Daily News Digital

Daily News Digital

Channel hii inaendeshwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN), Wachapishaji wa magazeti ya DAILY NEWS, HABARILEO NA SPORTILEO. Karibu na usiache KU- SUBSCRIBE katika Channel hii kwa habari za kweli na uhakika.

REA WATAKIWA KUFUATA MAELEKEZO

REA WATAKIWA KUFUATA MAELEKEZO

VETA YAJA NA UDONGO UNAOPIKWA 7 7

VETA YAJA NA UDONGO UNAOPIKWA 7 7

NEEMA TUPU, HOSPITALI YA TEMEKE

NEEMA TUPU, HOSPITALI YA TEMEKE

ABUNI MTAMBO UFUNGASHAJI KIWANDANI

ABUNI MTAMBO UFUNGASHAJI KIWANDANI

OSHA, BRELLA WAPEWA MAAGIZO

OSHA, BRELLA WAPEWA MAAGIZO

WANARIADHA WATEMA NYONGO

WANARIADHA WATEMA NYONGO

WATANZANIA WAMEAMUA

WATANZANIA WAMEAMUA

MAELFU WAFURIKA SABASABA 2024

MAELFU WAFURIKA SABASABA 2024

MPOTO ATIA FORA SABASABA

MPOTO ATIA FORA SABASABA

Пікірлер

  • @user-kp3hz3qw4m
    @user-kp3hz3qw4m5 сағат бұрын

    Inatisha sana na yeye anyongwe tu ameua mtoto asiyenahatia

  • @mwidiniAlly-tp4on
    @mwidiniAlly-tp4on14 сағат бұрын

    🙏🙏🙏

  • @EdgarRobert-e1s
    @EdgarRobert-e1s14 сағат бұрын

    Inasikitisha San pole Sana no huzuni kubwa sana

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131919 сағат бұрын

    Biyo ndio ccm sasa huyu jamaa katafuta vita na waka rushwa wana nguvu ndani ya ccm balaa wana maneno matamu balaa na vita ya kichini chini balaa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda131919 сағат бұрын

    Where is gambo problem to display cicret of coruption to prime minister kasim majaliwa has right difend pablic money abiusing gavment money rong doing sasa huyo mjinga anaendelea kumlaumu gambo kutoboa siri ya rushwa na matumizi mabaya pesa za serekali laa

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd388619 сағат бұрын

    Mungu akubariki Kwa kulisemea hili rasi kikwete

  • @josiahkamugisha9193
    @josiahkamugisha919320 сағат бұрын

    Huyu itabidi wamkatie fungu maana maana amekua kama maonyesho

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw23 сағат бұрын

    Kwanza umeme kufanya haki inatakiwa wananchi waunganishiwe bure kwa sababu mtu akishaaunganishiwa umeme watautumia vizazi na vizazi na serikali inazidi kuchuma pesa kutoka kwa hiyo nyumba kwa nn nyumba kama hii isiwekewe umeme bure unakuta kuna nyumba toka uhuru mpaka sasa hazina umeme sio kama hawautaki bali hawana pesa ya kuunganishia hiv serikali haijiuliza kama wangemuunganishia huyu hata bure toka uhuru mpaka sasa serikali ingekua imekusanya kiasi gani kutoka kwenye hii nyumba

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw23 сағат бұрын

    HONGERA MZEE BABA SEMA WATATEKELEZA MAANA MAAGIZO YANATOKA LAKINI WANAJIFANYA VICHWA MAJI

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554Күн бұрын

    Hilo la mana sana

  • @musamwapinga361
    @musamwapinga361Күн бұрын

    APA tumepigwaa roboti uwa awazungumzi Kwa haraka kiasi hichoo

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward19 сағат бұрын

    Chombo cha Al Jazeera, kilitumgazia kwamba kampuni ya RADELIFAME yaTz imeweza kugundua umfumo wa robot kujifunza yaani adaptive learning. Kama alivyosema Mzee Warioba, waandishi wa habari hatuna habari za kutujulisha wanachi wanafanya nini. Hawa wametengeneza mfumo mwingine skyline and logistics. Umeanza kutumika nchi 193. Tungekuwa tunakimbilia fursa. Hawa ndio tungewaleta kwenye maonyesho. Hawa wamebuni chimbo la utajiri wa taifa .

  • @MalikiAbassi-sn3km
    @MalikiAbassi-sn3kmКүн бұрын

    Kumbe Hadi viongozi huwa waongo Suma kunaa chakula au unasafiri wa Bure acha uwongo mwexhimiwa vjana wetu kilasiku wanalalamika na mixhahara ya xuma gad midogo unauwongopea uma muogope mungu

  • @gregory6165
    @gregory6165Күн бұрын

    Ningekuwa huyu jamaa ningekuwa nashikashika watu vichwa na kupiga konzi inapobidi

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877Күн бұрын

    Fact

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213Күн бұрын

    Point

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374Күн бұрын

    Kikwete bhana😆😆😆

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464Күн бұрын

    Kwa kweli hata mimi nakuunga mkono kuhusu kushushwa kwa bei ya umeme na gesi. Serikali itakuwa imefanya jambo jema

  • @petersynto2043
    @petersynto2043Күн бұрын

    Zakayo😂😂😂

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714Күн бұрын

    Utalii tosha nembo ya taifa

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637Күн бұрын

    JPM alipania kuushusha. Januari Makamba ndiye alishikiria bei isishuke.

  • @ijumaamushi
    @ijumaamushi2 күн бұрын

    Kazi nzuri sana hii, watanzania tuchangamkie fursa

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h2 күн бұрын

    Leo umeongea point

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict54312 күн бұрын

    Huyu mzee tushamchoka

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064Күн бұрын

    acha kutusemea

  • @Kabwela776
    @Kabwela776Күн бұрын

    Uko sahihi anaongea sana wakati wake hamna kitu

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459
    @mohamedhamismagoraonlinetv4592 сағат бұрын

    ​@@Kabwela776Maisha yako wakati yupo madarakani na hivi sasa yana tofauti gani? Jilaumu mwenyewe

  • @tevintevin6254
    @tevintevin62542 күн бұрын

    Huu mchezo popcorn 🍿 znahusika ,mpaka tufike mwakani tutaona mengi 😂😂

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37642 күн бұрын

    RAIS WETU MSTAAFU alifanya kazi kubwa mno kwa taifa la watanzania,ila waombeza ni wale wale wanaomsonga mhesh mama yetu samia suluhu hasan,ndiyo wanaomsonga mhesh January makamba,ndiyo hao hao wanaomsonga mhesh BASHE!!tunaeafahamu vizuri mno,wakati wakiwachafua hao,wamewasifu wengine tena nusu mental kwamba wao walifanya kazi kama MALAIKA sijui nikama MANABII!! wanajiona wajanja ila wanajulikana LENGO lao ni nini?

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan80932 күн бұрын

    Tunakukumbuka san mzee kikwete ndo ulianzisha Gas asilia na mwendokasi

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan80932 күн бұрын

    Kikwete ndo alianzisha mwendo kasi, madaraja makubwa na barbara ndefu za lami, ndo alianzisha Gas Tanzania

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vvКүн бұрын

    Huyo ni mbwa tuuu hana lssue

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz2 күн бұрын

    Mbona Dar umeme umepanda

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan80932 күн бұрын

    Hongera san mama samia mungu akubarik san umeijenga san Tanzania

  • @ErishaDomos
    @ErishaDomos2 күн бұрын

    Namba za sim

  • @FidelMaheke
    @FidelMaheke2 күн бұрын

    Tangazeni bei ieleweke

  • @nyakamwebakeha2915
    @nyakamwebakeha29152 күн бұрын

    tatiz biza Wana uza beii kubwa

  • @eliasexsavery9108
    @eliasexsavery91082 күн бұрын

    Izo ahadi mliziacha bungenii

  • @ireneprosper2154
    @ireneprosper21542 күн бұрын

    Tunaomba no zake

  • @sendorojuma4544
    @sendorojuma45442 күн бұрын

    Unajielezea mno. Ulichofanya kitajisemea chenyewe!

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga96382 күн бұрын

    Sasa hivi serikali wameongeza tozo ya shs 2000 kimya kimya bila kusema hicho kiasi Cha Nini alafu hii serikali wabunge Awana usemi wa kutetea wananchi wanatetea matumbo yao

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464Күн бұрын

    Umeonae!

  • @frankbuliro9183
    @frankbuliro91832 күн бұрын

    Hongera sana muheshimiwa kikwete

  • @emmanueljoseph3815
    @emmanueljoseph38152 күн бұрын

    RIP jpm

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan52092 күн бұрын

    Mango wa matumizi ya Gass kikaya GASS ASILIA VIPI?

  • @wennybarny168
    @wennybarny1682 күн бұрын

    Nataka hizi nyumba mimi. Nazipataje??

  • @MamaFuraha-gu1no
    @MamaFuraha-gu1no3 күн бұрын

    Samahani mnapokea wanafunzi kwanzia form ngapi

  • @user-no1xc9tv5z
    @user-no1xc9tv5z3 күн бұрын

    Kuweni.wakweli.jaman.hofu.ya.mungu.ltawale.ili.mambo.yaende

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa97323 күн бұрын

    Good

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma12233 күн бұрын

    Hayo mashamba yapo wapi?

  • @user-bq6cn9pq6t
    @user-bq6cn9pq6t4 күн бұрын

  • @ChrisantJohn-d3l
    @ChrisantJohn-d3l4 күн бұрын

    Maneno tu

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas48664 күн бұрын

    Rais akiongea, kwetu sisi ni maelekezo 😂😂TPDF❤❤🎉🎉

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas57295 күн бұрын

    Apewe tamisemi uwaziri

  • @mrwangxingcai6711
    @mrwangxingcai67115 күн бұрын

    Wanapatikana Vipi kwa waliombali? E-mail, WhatApp phone number 🤷🏿‍♂️

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani64185 күн бұрын

    Spika, hapo hujatenda haki, inabidi uwe unasimama kama Spika acha kuegemea upande mmoja hususani upande wa huyo mpigaji Bashe.