Channel hii inaendeshwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN), Wachapishaji wa magazeti ya DAILY NEWS, HABARILEO NA SPORTILEO. Karibu na usiache KU- SUBSCRIBE katika Channel hii kwa habari za kweli na uhakika.
Inatisha sana na yeye anyongwe tu ameua mtoto asiyenahatia
@mwidiniAlly-tp4on14 сағат бұрын
🙏🙏🙏
@EdgarRobert-e1s14 сағат бұрын
Inasikitisha San pole Sana no huzuni kubwa sana
@abdalahgunda131919 сағат бұрын
Biyo ndio ccm sasa huyu jamaa katafuta vita na waka rushwa wana nguvu ndani ya ccm balaa wana maneno matamu balaa na vita ya kichini chini balaa
@abdalahgunda131919 сағат бұрын
Where is gambo problem to display cicret of coruption to prime minister kasim majaliwa has right difend pablic money abiusing gavment money rong doing sasa huyo mjinga anaendelea kumlaumu gambo kutoboa siri ya rushwa na matumizi mabaya pesa za serekali laa
@lulanjamd388619 сағат бұрын
Mungu akubariki Kwa kulisemea hili rasi kikwete
@josiahkamugisha919320 сағат бұрын
Huyu itabidi wamkatie fungu maana maana amekua kama maonyesho
@MasterOil-qm6vw23 сағат бұрын
Kwanza umeme kufanya haki inatakiwa wananchi waunganishiwe bure kwa sababu mtu akishaaunganishiwa umeme watautumia vizazi na vizazi na serikali inazidi kuchuma pesa kutoka kwa hiyo nyumba kwa nn nyumba kama hii isiwekewe umeme bure unakuta kuna nyumba toka uhuru mpaka sasa hazina umeme sio kama hawautaki bali hawana pesa ya kuunganishia hiv serikali haijiuliza kama wangemuunganishia huyu hata bure toka uhuru mpaka sasa serikali ingekua imekusanya kiasi gani kutoka kwenye hii nyumba
@MasterOil-qm6vw23 сағат бұрын
HONGERA MZEE BABA SEMA WATATEKELEZA MAANA MAAGIZO YANATOKA LAKINI WANAJIFANYA VICHWA MAJI
@omarybakunda2554Күн бұрын
Hilo la mana sana
@musamwapinga361Күн бұрын
APA tumepigwaa roboti uwa awazungumzi Kwa haraka kiasi hichoo
@GodfreyOsward19 сағат бұрын
Chombo cha Al Jazeera, kilitumgazia kwamba kampuni ya RADELIFAME yaTz imeweza kugundua umfumo wa robot kujifunza yaani adaptive learning. Kama alivyosema Mzee Warioba, waandishi wa habari hatuna habari za kutujulisha wanachi wanafanya nini. Hawa wametengeneza mfumo mwingine skyline and logistics. Umeanza kutumika nchi 193. Tungekuwa tunakimbilia fursa. Hawa ndio tungewaleta kwenye maonyesho. Hawa wamebuni chimbo la utajiri wa taifa .
@MalikiAbassi-sn3kmКүн бұрын
Kumbe Hadi viongozi huwa waongo Suma kunaa chakula au unasafiri wa Bure acha uwongo mwexhimiwa vjana wetu kilasiku wanalalamika na mixhahara ya xuma gad midogo unauwongopea uma muogope mungu
@gregory6165Күн бұрын
Ningekuwa huyu jamaa ningekuwa nashikashika watu vichwa na kupiga konzi inapobidi
@omaryyusuph7877Күн бұрын
Fact
@timothbenard8213Күн бұрын
Point
@josephkiwale374Күн бұрын
Kikwete bhana😆😆😆
@edsonnelson4464Күн бұрын
Kwa kweli hata mimi nakuunga mkono kuhusu kushushwa kwa bei ya umeme na gesi. Serikali itakuwa imefanya jambo jema
@petersynto2043Күн бұрын
Zakayo😂😂😂
@msowamhokole7714Күн бұрын
Utalii tosha nembo ya taifa
@zobakazizi7637Күн бұрын
JPM alipania kuushusha. Januari Makamba ndiye alishikiria bei isishuke.
@ijumaamushi2 күн бұрын
Kazi nzuri sana hii, watanzania tuchangamkie fursa
@user-ys3gt8lp5h2 күн бұрын
Leo umeongea point
@shirimabenedict54312 күн бұрын
Huyu mzee tushamchoka
@exaverysimon1064Күн бұрын
acha kutusemea
@Kabwela776Күн бұрын
Uko sahihi anaongea sana wakati wake hamna kitu
@mohamedhamismagoraonlinetv4592 сағат бұрын
@@Kabwela776Maisha yako wakati yupo madarakani na hivi sasa yana tofauti gani? Jilaumu mwenyewe
@tevintevin62542 күн бұрын
Huu mchezo popcorn 🍿 znahusika ,mpaka tufike mwakani tutaona mengi 😂😂
@hamzakimaro37642 күн бұрын
RAIS WETU MSTAAFU alifanya kazi kubwa mno kwa taifa la watanzania,ila waombeza ni wale wale wanaomsonga mhesh mama yetu samia suluhu hasan,ndiyo wanaomsonga mhesh January makamba,ndiyo hao hao wanaomsonga mhesh BASHE!!tunaeafahamu vizuri mno,wakati wakiwachafua hao,wamewasifu wengine tena nusu mental kwamba wao walifanya kazi kama MALAIKA sijui nikama MANABII!! wanajiona wajanja ila wanajulikana LENGO lao ni nini?
@abuuramadhan80932 күн бұрын
Tunakukumbuka san mzee kikwete ndo ulianzisha Gas asilia na mwendokasi
@abuuramadhan80932 күн бұрын
Kikwete ndo alianzisha mwendo kasi, madaraja makubwa na barbara ndefu za lami, ndo alianzisha Gas Tanzania
@MeenaHassan-fd9vvКүн бұрын
Huyo ni mbwa tuuu hana lssue
@StAr-yu3vz2 күн бұрын
Mbona Dar umeme umepanda
@abuuramadhan80932 күн бұрын
Hongera san mama samia mungu akubarik san umeijenga san Tanzania
Sasa hivi serikali wameongeza tozo ya shs 2000 kimya kimya bila kusema hicho kiasi Cha Nini alafu hii serikali wabunge Awana usemi wa kutetea wananchi wanatetea matumbo yao
@edsonnelson4464Күн бұрын
Umeonae!
@frankbuliro91832 күн бұрын
Hongera sana muheshimiwa kikwete
@emmanueljoseph38152 күн бұрын
RIP jpm
@ismailhassan52092 күн бұрын
Mango wa matumizi ya Gass kikaya GASS ASILIA VIPI?
Пікірлер
Inatisha sana na yeye anyongwe tu ameua mtoto asiyenahatia
🙏🙏🙏
Inasikitisha San pole Sana no huzuni kubwa sana
Biyo ndio ccm sasa huyu jamaa katafuta vita na waka rushwa wana nguvu ndani ya ccm balaa wana maneno matamu balaa na vita ya kichini chini balaa
Where is gambo problem to display cicret of coruption to prime minister kasim majaliwa has right difend pablic money abiusing gavment money rong doing sasa huyo mjinga anaendelea kumlaumu gambo kutoboa siri ya rushwa na matumizi mabaya pesa za serekali laa
Mungu akubariki Kwa kulisemea hili rasi kikwete
Huyu itabidi wamkatie fungu maana maana amekua kama maonyesho
Kwanza umeme kufanya haki inatakiwa wananchi waunganishiwe bure kwa sababu mtu akishaaunganishiwa umeme watautumia vizazi na vizazi na serikali inazidi kuchuma pesa kutoka kwa hiyo nyumba kwa nn nyumba kama hii isiwekewe umeme bure unakuta kuna nyumba toka uhuru mpaka sasa hazina umeme sio kama hawautaki bali hawana pesa ya kuunganishia hiv serikali haijiuliza kama wangemuunganishia huyu hata bure toka uhuru mpaka sasa serikali ingekua imekusanya kiasi gani kutoka kwenye hii nyumba
HONGERA MZEE BABA SEMA WATATEKELEZA MAANA MAAGIZO YANATOKA LAKINI WANAJIFANYA VICHWA MAJI
Hilo la mana sana
APA tumepigwaa roboti uwa awazungumzi Kwa haraka kiasi hichoo
Chombo cha Al Jazeera, kilitumgazia kwamba kampuni ya RADELIFAME yaTz imeweza kugundua umfumo wa robot kujifunza yaani adaptive learning. Kama alivyosema Mzee Warioba, waandishi wa habari hatuna habari za kutujulisha wanachi wanafanya nini. Hawa wametengeneza mfumo mwingine skyline and logistics. Umeanza kutumika nchi 193. Tungekuwa tunakimbilia fursa. Hawa ndio tungewaleta kwenye maonyesho. Hawa wamebuni chimbo la utajiri wa taifa .
Kumbe Hadi viongozi huwa waongo Suma kunaa chakula au unasafiri wa Bure acha uwongo mwexhimiwa vjana wetu kilasiku wanalalamika na mixhahara ya xuma gad midogo unauwongopea uma muogope mungu
Ningekuwa huyu jamaa ningekuwa nashikashika watu vichwa na kupiga konzi inapobidi
Fact
Point
Kikwete bhana😆😆😆
Kwa kweli hata mimi nakuunga mkono kuhusu kushushwa kwa bei ya umeme na gesi. Serikali itakuwa imefanya jambo jema
Zakayo😂😂😂
Utalii tosha nembo ya taifa
JPM alipania kuushusha. Januari Makamba ndiye alishikiria bei isishuke.
Kazi nzuri sana hii, watanzania tuchangamkie fursa
Leo umeongea point
Huyu mzee tushamchoka
acha kutusemea
Uko sahihi anaongea sana wakati wake hamna kitu
@@Kabwela776Maisha yako wakati yupo madarakani na hivi sasa yana tofauti gani? Jilaumu mwenyewe
Huu mchezo popcorn 🍿 znahusika ,mpaka tufike mwakani tutaona mengi 😂😂
RAIS WETU MSTAAFU alifanya kazi kubwa mno kwa taifa la watanzania,ila waombeza ni wale wale wanaomsonga mhesh mama yetu samia suluhu hasan,ndiyo wanaomsonga mhesh January makamba,ndiyo hao hao wanaomsonga mhesh BASHE!!tunaeafahamu vizuri mno,wakati wakiwachafua hao,wamewasifu wengine tena nusu mental kwamba wao walifanya kazi kama MALAIKA sijui nikama MANABII!! wanajiona wajanja ila wanajulikana LENGO lao ni nini?
Tunakukumbuka san mzee kikwete ndo ulianzisha Gas asilia na mwendokasi
Kikwete ndo alianzisha mwendo kasi, madaraja makubwa na barbara ndefu za lami, ndo alianzisha Gas Tanzania
Huyo ni mbwa tuuu hana lssue
Mbona Dar umeme umepanda
Hongera san mama samia mungu akubarik san umeijenga san Tanzania
Namba za sim
Tangazeni bei ieleweke
tatiz biza Wana uza beii kubwa
Izo ahadi mliziacha bungenii
Tunaomba no zake
Unajielezea mno. Ulichofanya kitajisemea chenyewe!
Sasa hivi serikali wameongeza tozo ya shs 2000 kimya kimya bila kusema hicho kiasi Cha Nini alafu hii serikali wabunge Awana usemi wa kutetea wananchi wanatetea matumbo yao
Umeonae!
Hongera sana muheshimiwa kikwete
RIP jpm
Mango wa matumizi ya Gass kikaya GASS ASILIA VIPI?
Nataka hizi nyumba mimi. Nazipataje??
Samahani mnapokea wanafunzi kwanzia form ngapi
Kuweni.wakweli.jaman.hofu.ya.mungu.ltawale.ili.mambo.yaende
Good
Hayo mashamba yapo wapi?
❤
Maneno tu
Rais akiongea, kwetu sisi ni maelekezo 😂😂TPDF❤❤🎉🎉
Apewe tamisemi uwaziri
Wanapatikana Vipi kwa waliombali? E-mail, WhatApp phone number 🤷🏿♂️
Spika, hapo hujatenda haki, inabidi uwe unasimama kama Spika acha kuegemea upande mmoja hususani upande wa huyo mpigaji Bashe.