VETA YAJA NA NJIA KUMUOKOA MTOTO NJITI

DA ES SALAAM: George Nyahende ni mbunifu aliyejikita kutengeneza mashine ya kuwasaidia makuzi watoto njiti baada ya kugundua kuna changamoto kubwa za mashine hizo hapa Nchini na gharama zake kuwa kubwa zinapotoka nje
Aidha Nyahende amesema mashine zake amejaribu kuzifanya za utofauti kwa kuweka vitu ambavyo mashine za nje haziweki,Pia gharama zake zitakuwa nafuu ukilinganisha na za nje
Pia,Nyahende ameeleza namna alivyopata wazo la kuanzisha mashine hizo za kuwasaidia watoto njiti ikiwa ni pamoja kuangalia Televisheni na kuona mganga mmoja akiwa analalamika ukosefu wa mashine hizo za kulelea watoto njiti
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер: 1

  • @mwidiniAlly-tp4on
    @mwidiniAlly-tp4on15 күн бұрын

    🙏🙏🙏