HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

Пікірлер: 214

  • @leonnyntandu7318
    @leonnyntandu73183 жыл бұрын

    Ambao leo tumekutana leo kufuatilia speech za jemedari wetu aliyetumwa na MUNGU kwaajili yetu tuseme Asante Mungu wewe ni mkuu sana Asante kwa zawadi. Amen

  • @donaldmhulula6888

    @donaldmhulula6888

    3 жыл бұрын

    tupo kamanda

  • @esterkiyabo1329

    @esterkiyabo1329

    3 жыл бұрын

    Lala salama shujaa wetu

  • @thomasmagoti9040

    @thomasmagoti9040

    2 жыл бұрын

    Asante mwenyezi mungu

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    2 жыл бұрын

    Mungu alimtuma.... na amemwondoa ! Mungu anatupenda.

  • @renatusmatungwa2508

    @renatusmatungwa2508

    Жыл бұрын

    Dah

  • @kamaukamau6233
    @kamaukamau62333 жыл бұрын

    Hon.JPM was a man from the beginning displaying boldness from the start..may his soul RIP

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba19503 жыл бұрын

    Daaa!! Mzalendo kutoka zamani, mchapakazi haswaa jamaniiii Pumzika Baba tutakukumbuka milele!

  • @micamathew2595
    @micamathew25953 жыл бұрын

    Huyu mtu alikuwa halali! Hajui cha usingizi. Acha tu, pumzika baba. Sitakusahau hata kwa sekunde mmoja. Acha tu nimwage machozi yangu.

  • @simonmayunga6252
    @simonmayunga62523 жыл бұрын

    This is unanswered cry, magufuli ww ndiyo baba wa taifa wa pili

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын

    Ulianza kitambo kuijomboa Tanzania yetu ya sasa😭😭😭tungekuwa na uwezo tungekubakiza miaka 10000

  • @khamislisso9137
    @khamislisso91373 жыл бұрын

    Magufuri siamin Kama umetuacha Baba 😭😭😭

  • @aizackkajika5086
    @aizackkajika50863 жыл бұрын

    Nani yuko hapa baada ya kamanda kuzikwa chato

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka46073 жыл бұрын

    Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa amani Amina. Nahisi ulijitoa sadaka kubwa hadi ukasahau moyo wako na ukauchosha kweli kweli. Mungu Baba msamehe dhambi zote na umpokee mbinguni.

  • @albertkondela976

    @albertkondela976

    3 жыл бұрын

    🙏

  • @ramamohamed8392

    @ramamohamed8392

    8 ай бұрын

    Hii imenigusa sana!😭😭😭

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga44903 жыл бұрын

    Jamani,Jamani.Mtumbua Majipuuu,........Mungu akupumzishe kwa Amani.

  • @lucymangwela5275
    @lucymangwela52753 жыл бұрын

    Nilitamani sana uwe Rais miaka 50 lakini haukuwa mpango wa Mungu,umetuacha katika wakati mgumu sana,Taifa lilikuwa bado linakuhitaji Baba,inaniuma sana

  • @user-gc3ec9wx6z

    @user-gc3ec9wx6z

    4 ай бұрын

    Bc alikuwe awe mfalme

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile15233 жыл бұрын

    Tutakumisi sana baba yetu

  • @mlalikwabiswalo7804
    @mlalikwabiswalo78043 жыл бұрын

    Kumbe tangu zamani alikua haandiki speech anatoa kichwani tu ni hatari sana

  • @onesmoelias2285

    @onesmoelias2285

    Жыл бұрын

    Jembeeeeeeeeee likikuwa

  • @hopehealthcs3294

    @hopehealthcs3294

    3 ай бұрын

    Kbs

  • @agripinaaudax168
    @agripinaaudax1683 жыл бұрын

    Dah Mungu anamakusudi yake nimeamini hii Leo vyenye Simuoni tena raisi wetu

  • @Ramadhanimsingwa
    @Ramadhanimsingwa3 жыл бұрын

    Shujaa Wa Tanzania hotuba zinatufariji Mungu akupe pepo na mapumziko mema tutakukumbuka daima

  • @allynazareth9684
    @allynazareth96843 жыл бұрын

    Huyu jamaa alikuwa ana conference nzuri sana haijapata kutokea hapa anaongea kama yeye ndo alikuwa rais ila mawaziri wa sasa wakiwa mbele ya rais wanaongea kwa hofu na kujipendekeza ila huyu mwamba alikuwa wa tofauti sana mungu amsamehe makosa yake amlaze pema

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63653 жыл бұрын

    Rest In peace Rais John Pombe Magufuli, Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏

  • @yusuphissa9613
    @yusuphissa96133 жыл бұрын

    Ulitakiwa uwe Rais wetu kuanzia 2012

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Жыл бұрын

    Asante Sana kwa kuweka kumbukumbu sawa kumbe katika utawala Jakaya Kikwete aliweza kujenga mtandao wa Barabara wenye jumla ya KM 11100,bado hujaongerea umeme wa REA chini ya Prof Sospiter Mhongo nk.

  • @sospetershijah5619
    @sospetershijah56193 жыл бұрын

    Alikuw mkweli Sana. Rest in peace my president

  • @danielupendo6748
    @danielupendo67483 жыл бұрын

    Baba etu atutakusaau kamwe😭😭😭😭😭kwa upendo wako kwetu,ulitupa upendo wa kweli ,pumzika kipenzi Cha TANZANIA kea amani,amina

  • @vailetikulanga5393
    @vailetikulanga53933 жыл бұрын

    Dah hapa alikua wazir😭😭

  • @Ronald-gh6jl
    @Ronald-gh6jl3 жыл бұрын

    Kiongozi supavu,, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi

  • @mwamengele
    @mwamengele3 жыл бұрын

    RIP JPM tutakukumbuka daima

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile6313 жыл бұрын

    Eeh mungu mpe pumziko la amani mja wako katika ufalme wako milele Amina

  • @imanijohn6069
    @imanijohn60693 жыл бұрын

    Dah, alikuwa anajiamini sana aisee, ameenda kuwa kiongozi wa malaika

  • @asueddy1465
    @asueddy14654 жыл бұрын

    This Man is very humble and hard working....God bless you JPM

  • @godlizenmolla2192

    @godlizenmolla2192

    3 жыл бұрын

    Appreciated, one year ago. 🙏🙏

  • @romanamassawe814

    @romanamassawe814

    Жыл бұрын

    According to your statement to say this one was humble, I think the meaning of the word humble has changed, you surprised me by called an assassinator Humber instead of dictator

  • @thegreatsource2953

    @thegreatsource2953

    Жыл бұрын

    @@romanamassawe814 Mapumbu yako wewe😡

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo28523 жыл бұрын

    Kikwete ametukanwa Sana kumbe barabara kaanza kujenga yeye

  • @msetikebwasi1469

    @msetikebwasi1469

    3 жыл бұрын

    Sema alikoswa hela kwa kushindwa kukusanya kodi.

  • @ombeninnko9332
    @ombeninnko93323 жыл бұрын

    Alichelewa sana kuwa rais. ..rest in peace

  • @peterludaila8499
    @peterludaila84993 жыл бұрын

    Kumbe alikuwa hivi hivi toka mwanzo mungu mpe pumziko la milele

  • @gooddeeds162
    @gooddeeds1625 жыл бұрын

    Honest and straightforward man since day one , 🙌 Mr President. ProudlyTanzanian

  • @user-xd5pi5vj4s
    @user-xd5pi5vj4s4 ай бұрын

    Iv,watu,kama,hawa, tayari watatokea,tena,inch,yetu,ijengwe,upya,kweli, kamanda huyu,badotunamlilia,sana,tena,sana, Mungu,akupuzishe, huko,ulil❤

  • @herrygaudence904
    @herrygaudence9043 жыл бұрын

    Daaaah kweli wanashukuru mtu ukishaenda

  • @amigodossantos4129
    @amigodossantos4129 Жыл бұрын

    Jamani, amesema Watanzania wanapenda kushurukuru watu waliyekufa :)) dahh ni ukweli sasa umeondoka ndiyo wote wanaupenda

  • @elkpddos1781
    @elkpddos17814 жыл бұрын

    Proud of him,that is my presedent magufuli no doubt he is the man salute you my lovely presedent

  • @sameermilo4907
    @sameermilo49073 жыл бұрын

    Pumzika kwa Amani Kamanda JPM 🇹🇿

  • @sniper93999
    @sniper939992 жыл бұрын

    DAIMA utakubukwa milele JPM ww kwel ni shujaaa ulianza kupigania maendeleo zamani sana 😭😭we still tunakukumbuka hata na kizazi kijacho REST IN PEACE JPM

  • @jumamazengo9604
    @jumamazengo96042 жыл бұрын

    Hon. Joseph P. Magufuli a later president of Republic Tanzania your image will exist anymore in our country. R.I.P Dad.

  • @mduduonline8116
    @mduduonline81163 жыл бұрын

    RIP BABA MAGUFULI

  • @jacksonhonorat3078
    @jacksonhonorat30783 жыл бұрын

    RIP mzee wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @coolruler6820
    @coolruler68203 жыл бұрын

    Daah,,,Hapa kazi tuu kweli" 2013 iyo Ila hotuba ya Mwamba kama ya jana vle,,,aliziishi kauli zake, iyo kichwa kumbukizi kama kompyuta vle,,mmoja wa Raisi aliyefanikiwa kunishawishi kupiga kura yapata miaka 25 tangu nitimize umri wa kupiga kura sikuwahi kupata wa kunishawishi kumpa kura ila Mwamba alifanikiwa kunishawishi...Rest in Power JPM

  • @jameskagulu4228
    @jameskagulu422810 ай бұрын

    Mzee documentary sana hadi raha kumsikiliza

  • @liberatusnsekela3997
    @liberatusnsekela39972 жыл бұрын

    Hongera sana mtumishi was Mungu.

  • @ambertektv8568
    @ambertektv85683 жыл бұрын

    Daaahh mheshimiwa Rais mama SAMIA TUNAKUOMBA FATA NYAO ZA MAGUFULI KUTUONGOZA

  • @thomasmagoti9040

    @thomasmagoti9040

    2 жыл бұрын

    Mh

  • @miketimejah4280
    @miketimejah42802 жыл бұрын

    2022.. we still remember you Baba...

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo3 ай бұрын

    Mungu akulaze mahali pema peponi amefanya kazi kwa haki bila kutaka ambacho sio chake mungu akubariki sanaaaa

  • @evansmunga6662
    @evansmunga66622 жыл бұрын

    A great man he was. I Miss him

  • @brother_majesty
    @brother_majesty4 ай бұрын

    Alikuwa ana upako wa kisiasa..tena akijua anaelekea urais 2015

  • @bonneanneebizimana2788
    @bonneanneebizimana278811 ай бұрын

    Hatutakupata tena mungu akulaze mahari pema peponi

  • @kudraahmad5670
    @kudraahmad56703 жыл бұрын

    Shujaaa muongoza njia

  • @Julius_Lugwisher
    @Julius_Lugwisher2 жыл бұрын

    Dah😭😭 our magufuli, anaongea kwa hisia kweli lkn Mungu ampumzishe kwa amani dah,

  • @Epicmarkmedia
    @Epicmarkmedia4 жыл бұрын

    MY PRESIDENT

  • @emmanuelgwaay4773
    @emmanuelgwaay47734 жыл бұрын

    Hajawahi kupindisha ukweli tokea day one

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja708719 күн бұрын

    Nakukumbaka sana najakaya rasii mpendwa

  • @maribaisack8389
    @maribaisack83893 жыл бұрын

    Pumzika kwa Amani mzee

  • @psitanzania9146
    @psitanzania91463 жыл бұрын

    R.I.P kamanda

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza56423 жыл бұрын

    Hapa alikua waziri wa ujenzi

  • @mrinjamwanga1423
    @mrinjamwanga14233 жыл бұрын

    Kwli baba sio wote watakushukur ,,hata wewe hawajakushukuru ,nashangaa kuona mataifa mengine yakikulilia na kutamani ungekua wakwao,hapo ndo utagundua kibaya ni saile unacho

  • @YosiaYohana
    @YosiaYohana2 ай бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭acheni kunikumbusha majonzi cjui yataisha lin mpak ntakapo kufa

  • @AbdulrahmanMurshid
    @AbdulrahmanMurshid Жыл бұрын

    Apumzike kwa aman jemedal wetu na watu wahivi niwachache dunian wenye mapenz kwa wananchi wanyonge ambao wakotayal kujitoa kwa nia ya dhat kutka moyon ili kuwatetea

  • @stevinmwanzaa1785
    @stevinmwanzaa178524 күн бұрын

    Hapa ni waziri bado na kujiamini kweli mungu anamakusudi yake

  • @brother_majesty
    @brother_majesty4 ай бұрын

    Maono alikuwa nayo kitambo.....ana beji ya africa

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro15522 жыл бұрын

    Mungu akulaze mahala pema peponi

  • @Renardnho-gd8ib
    @Renardnho-gd8ib10 ай бұрын

    Aaaaaa😢 mwamba tutakukumbuka sana😢😢😢😢😮

  • @mwaitwalilechannel2024
    @mwaitwalilechannel20243 жыл бұрын

    RIP my president

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63653 жыл бұрын

    Pumzika kwa Aman Shujaa wetu wa Africa 😭😭😭🙏

  • @johngachugu305
    @johngachugu305 Жыл бұрын

    Na imekuja mpaka hapa Uyovu, Uyovu, Uyovu kutoka Dar-es-Salaam, urekosha sana hadi nimecheka kweli WaTanzania mulijaliwa na kiongozi kama Magufuli

  • @stephanojmafumbira5369
    @stephanojmafumbira53693 жыл бұрын

    Kama upo duniani vile

  • @kenslogistics4377
    @kenslogistics43773 жыл бұрын

    Mheshimiwa raisi........x 1000000000

  • @athumansuphian5891
    @athumansuphian58912 жыл бұрын

    Huyu jamaa alikua jiniasi kwakweli haandiki hutuba anatoa kwenye computer kichwani R.I.P MAGUFULI

  • @eenpaard3915
    @eenpaard39153 жыл бұрын

    Chuma chetu

  • @emmanuelbenson6330
    @emmanuelbenson63303 жыл бұрын

    Nashangaa kuona dislike hapa, kweli haters hawakosi

  • @RD-ml7pi

    @RD-ml7pi

    3 жыл бұрын

    Wengine awaelewag maana yake

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    3 жыл бұрын

    Emmanuel; hao sio HATERS hao ni WENDAWAZIMU

  • @bahatimirambo6358
    @bahatimirambo63582 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba uliyoyatenda Tanzania ni makubwa Sana

  • @yusuphissa9613
    @yusuphissa96133 жыл бұрын

    Nashindwa hata niseme nini

  • @paulsingano674
    @paulsingano6744 жыл бұрын

    Mchapa kazi toka zamani

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v3 ай бұрын

    Marais wetu hakika wanaishi kishkaji nakuvumiliana sana

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu79833 жыл бұрын

    Nimemuona majaliwa Apo.

  • @AliHussein-lk2gw
    @AliHussein-lk2gw3 жыл бұрын

    Daa inauma kweli

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93133 жыл бұрын

    Hii ndio ilikua safari ya kwenda Ikulu

  • @ivankivinge2987
    @ivankivinge29873 жыл бұрын

    Rest in peace baba 🙏🙏🙏

  • @ibrahimjobu9141
    @ibrahimjobu91414 жыл бұрын

    Ahahahahahahahahahahahah saizi Baba ndio umeshika rungu sio kwa kutunyoosha huko na uzidi kutunyoosha mbaka tukubali wenyewe

  • @saimonpeter3788
    @saimonpeter37883 жыл бұрын

    😭😭😭😭 tutakukumbuk Bab

  • @jijab4442
    @jijab44423 жыл бұрын

    HE WAS A REAL LEGEND

  • @mosenetor7882
    @mosenetor7882 Жыл бұрын

    Nakukumbuka BABA Yale uliyokuwa unayatetea hayapo tena

  • @bennie7239
    @bennie72392 жыл бұрын

    Mnaofake uongozi hili jiwe ni FUNZO kwenu huyu mwamba alizaliwa alivokuwa; msijifanye mnatembelea Magufulification ambayo kiuhalisia HAMNA. RIP Mr. President..

  • @mcutanorsonvanwillson2991
    @mcutanorsonvanwillson29913 жыл бұрын

    Rest in peace magu

  • @yasinnyembo8249
    @yasinnyembo82493 жыл бұрын

    R.i.p chuma

  • @ezekielkazingo6055
    @ezekielkazingo60553 жыл бұрын

    Waziri adi rais wapekee

  • @fraviusmanyika7521
    @fraviusmanyika75213 жыл бұрын

    "Wachina Nivibarua wa Kikwete"

  • @robertonesmo8892
    @robertonesmo88923 жыл бұрын

    R.l.P

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani4 ай бұрын

    Huyu mwamba alikuwa hamchukii mtu bali alichukia Umaskini na uzembe serikalini.

  • @stephanomsuya9414
    @stephanomsuya9414 Жыл бұрын

    Super JPM, pumzika mzee wetu

  • @erneuslugusi1785
    @erneuslugusi17853 жыл бұрын

    Jembeeee hiloo

  • @mwakasegeshukuru3720
    @mwakasegeshukuru37203 жыл бұрын

    Upo vzr magu

  • @yordanyona1234
    @yordanyona12342 жыл бұрын

    Huyu mwamba alikuwa Rais hata kabla

  • @alfredyfredrick8955
    @alfredyfredrick89553 жыл бұрын

    Daaah Chuma R.I.P

  • @YosiaYohana
    @YosiaYohana2 ай бұрын

    I miss you dady

  • @tugesyegemwakatumbula9857
    @tugesyegemwakatumbula98574 жыл бұрын

    Mzee wa kutunza kumbukumbu

  • @sulaimanomary6533

    @sulaimanomary6533

    3 жыл бұрын

    😆😆😆😆😅 kwa kumbukumbu tu duh

  • @erickphilipo4163

    @erickphilipo4163

    3 жыл бұрын

    Kazi ya samaki hiyo

  • @iddymalole3922
    @iddymalole39224 ай бұрын

    Kitunda on làini tv

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Жыл бұрын

    Ukweli Mweheshimiwa Dr.John John Joseph Pombe Magufuli Hayati ulikuwa Mzalendo wa pumzika kwa amani. Kizuri hakidumu ila thamani yako liko pale pale.utakumbwa siku zote.

Келесі