Ambao leo tumekutana leo kufuatilia speech za jemedari wetu aliyetumwa na MUNGU kwaajili yetu tuseme Asante Mungu wewe ni mkuu sana Asante kwa zawadi. Amen
@donaldmhulula6888
3 жыл бұрын
tupo kamanda
@esterkiyabo1329
3 жыл бұрын
Lala salama shujaa wetu
@thomasmagoti9040
2 жыл бұрын
Asante mwenyezi mungu
@richardnganya2311
2 жыл бұрын
Mungu alimtuma.... na amemwondoa ! Mungu anatupenda.
@renatusmatungwa2508
Жыл бұрын
Dah
@kamaukamau62333 жыл бұрын
Hon.JPM was a man from the beginning displaying boldness from the start..may his soul RIP
@zarunaamwanajimba19503 жыл бұрын
Daaa!! Mzalendo kutoka zamani, mchapakazi haswaa jamaniiii Pumzika Baba tutakukumbuka milele!
@micamathew25953 жыл бұрын
Huyu mtu alikuwa halali! Hajui cha usingizi. Acha tu, pumzika baba. Sitakusahau hata kwa sekunde mmoja. Acha tu nimwage machozi yangu.
@simonmayunga62523 жыл бұрын
This is unanswered cry, magufuli ww ndiyo baba wa taifa wa pili
@zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын
Ulianza kitambo kuijomboa Tanzania yetu ya sasa😭😭😭tungekuwa na uwezo tungekubakiza miaka 10000
@khamislisso91373 жыл бұрын
Magufuri siamin Kama umetuacha Baba 😭😭😭
@aizackkajika50863 жыл бұрын
Nani yuko hapa baada ya kamanda kuzikwa chato
@ponsianamataka46073 жыл бұрын
Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa amani Amina. Nahisi ulijitoa sadaka kubwa hadi ukasahau moyo wako na ukauchosha kweli kweli. Mungu Baba msamehe dhambi zote na umpokee mbinguni.
@albertkondela976
3 жыл бұрын
🙏
@ramamohamed8392
8 ай бұрын
Hii imenigusa sana!😭😭😭
@florakweyunga44903 жыл бұрын
Jamani,Jamani.Mtumbua Majipuuu,........Mungu akupumzishe kwa Amani.
@lucymangwela52753 жыл бұрын
Nilitamani sana uwe Rais miaka 50 lakini haukuwa mpango wa Mungu,umetuacha katika wakati mgumu sana,Taifa lilikuwa bado linakuhitaji Baba,inaniuma sana
@user-gc3ec9wx6z
4 ай бұрын
Bc alikuwe awe mfalme
@dicksonmatulile15233 жыл бұрын
Tutakumisi sana baba yetu
@mlalikwabiswalo78043 жыл бұрын
Kumbe tangu zamani alikua haandiki speech anatoa kichwani tu ni hatari sana
@onesmoelias2285
Жыл бұрын
Jembeeeeeeeeee likikuwa
@hopehealthcs3294
3 ай бұрын
Kbs
@agripinaaudax1683 жыл бұрын
Dah Mungu anamakusudi yake nimeamini hii Leo vyenye Simuoni tena raisi wetu
@Ramadhanimsingwa3 жыл бұрын
Shujaa Wa Tanzania hotuba zinatufariji Mungu akupe pepo na mapumziko mema tutakukumbuka daima
@allynazareth96843 жыл бұрын
Huyu jamaa alikuwa ana conference nzuri sana haijapata kutokea hapa anaongea kama yeye ndo alikuwa rais ila mawaziri wa sasa wakiwa mbele ya rais wanaongea kwa hofu na kujipendekeza ila huyu mwamba alikuwa wa tofauti sana mungu amsamehe makosa yake amlaze pema
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Rest In peace Rais John Pombe Magufuli, Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏
@yusuphissa96133 жыл бұрын
Ulitakiwa uwe Rais wetu kuanzia 2012
@modestwenceslaus9 Жыл бұрын
Asante Sana kwa kuweka kumbukumbu sawa kumbe katika utawala Jakaya Kikwete aliweza kujenga mtandao wa Barabara wenye jumla ya KM 11100,bado hujaongerea umeme wa REA chini ya Prof Sospiter Mhongo nk.
@sospetershijah56193 жыл бұрын
Alikuw mkweli Sana. Rest in peace my president
@danielupendo67483 жыл бұрын
Baba etu atutakusaau kamwe😭😭😭😭😭kwa upendo wako kwetu,ulitupa upendo wa kweli ,pumzika kipenzi Cha TANZANIA kea amani,amina
@vailetikulanga53933 жыл бұрын
Dah hapa alikua wazir😭😭
@Ronald-gh6jl3 жыл бұрын
Kiongozi supavu,, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
@mwamengele3 жыл бұрын
RIP JPM tutakukumbuka daima
@amenyemwansile6313 жыл бұрын
Eeh mungu mpe pumziko la amani mja wako katika ufalme wako milele Amina
@imanijohn60693 жыл бұрын
Dah, alikuwa anajiamini sana aisee, ameenda kuwa kiongozi wa malaika
@asueddy14654 жыл бұрын
This Man is very humble and hard working....God bless you JPM
@godlizenmolla2192
3 жыл бұрын
Appreciated, one year ago. 🙏🙏
@romanamassawe814
Жыл бұрын
According to your statement to say this one was humble, I think the meaning of the word humble has changed, you surprised me by called an assassinator Humber instead of dictator
@thegreatsource2953
Жыл бұрын
@@romanamassawe814 Mapumbu yako wewe😡
@lucaschisamalo28523 жыл бұрын
Kikwete ametukanwa Sana kumbe barabara kaanza kujenga yeye
@msetikebwasi1469
3 жыл бұрын
Sema alikoswa hela kwa kushindwa kukusanya kodi.
@ombeninnko93323 жыл бұрын
Alichelewa sana kuwa rais. ..rest in peace
@peterludaila84993 жыл бұрын
Kumbe alikuwa hivi hivi toka mwanzo mungu mpe pumziko la milele
@gooddeeds1625 жыл бұрын
Honest and straightforward man since day one , 🙌 Mr President. ProudlyTanzanian
Jamani, amesema Watanzania wanapenda kushurukuru watu waliyekufa :)) dahh ni ukweli sasa umeondoka ndiyo wote wanaupenda
@elkpddos17814 жыл бұрын
Proud of him,that is my presedent magufuli no doubt he is the man salute you my lovely presedent
@sameermilo49073 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Kamanda JPM 🇹🇿
@sniper939992 жыл бұрын
DAIMA utakubukwa milele JPM ww kwel ni shujaaa ulianza kupigania maendeleo zamani sana 😭😭we still tunakukumbuka hata na kizazi kijacho REST IN PEACE JPM
@jumamazengo96042 жыл бұрын
Hon. Joseph P. Magufuli a later president of Republic Tanzania your image will exist anymore in our country. R.I.P Dad.
@mduduonline81163 жыл бұрын
RIP BABA MAGUFULI
@jacksonhonorat30783 жыл бұрын
RIP mzee wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@coolruler68203 жыл бұрын
Daah,,,Hapa kazi tuu kweli" 2013 iyo Ila hotuba ya Mwamba kama ya jana vle,,,aliziishi kauli zake, iyo kichwa kumbukizi kama kompyuta vle,,mmoja wa Raisi aliyefanikiwa kunishawishi kupiga kura yapata miaka 25 tangu nitimize umri wa kupiga kura sikuwahi kupata wa kunishawishi kumpa kura ila Mwamba alifanikiwa kunishawishi...Rest in Power JPM
@jameskagulu422810 ай бұрын
Mzee documentary sana hadi raha kumsikiliza
@liberatusnsekela39972 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi was Mungu.
@ambertektv85683 жыл бұрын
Daaahh mheshimiwa Rais mama SAMIA TUNAKUOMBA FATA NYAO ZA MAGUFULI KUTUONGOZA
@thomasmagoti9040
2 жыл бұрын
Mh
@miketimejah42802 жыл бұрын
2022.. we still remember you Baba...
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo3 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi amefanya kazi kwa haki bila kutaka ambacho sio chake mungu akubariki sanaaaa
@evansmunga66622 жыл бұрын
A great man he was. I Miss him
@brother_majesty4 ай бұрын
Alikuwa ana upako wa kisiasa..tena akijua anaelekea urais 2015
@bonneanneebizimana278811 ай бұрын
Hatutakupata tena mungu akulaze mahari pema peponi
@kudraahmad56703 жыл бұрын
Shujaaa muongoza njia
@Julius_Lugwisher2 жыл бұрын
Dah😭😭 our magufuli, anaongea kwa hisia kweli lkn Mungu ampumzishe kwa amani dah,
@Epicmarkmedia4 жыл бұрын
MY PRESIDENT
@emmanuelgwaay47734 жыл бұрын
Hajawahi kupindisha ukweli tokea day one
@eliamwankenja708719 күн бұрын
Nakukumbaka sana najakaya rasii mpendwa
@maribaisack83893 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani mzee
@psitanzania91463 жыл бұрын
R.I.P kamanda
@moshimgaza56423 жыл бұрын
Hapa alikua waziri wa ujenzi
@mrinjamwanga14233 жыл бұрын
Kwli baba sio wote watakushukur ,,hata wewe hawajakushukuru ,nashangaa kuona mataifa mengine yakikulilia na kutamani ungekua wakwao,hapo ndo utagundua kibaya ni saile unacho
@YosiaYohana2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭acheni kunikumbusha majonzi cjui yataisha lin mpak ntakapo kufa
@AbdulrahmanMurshid Жыл бұрын
Apumzike kwa aman jemedal wetu na watu wahivi niwachache dunian wenye mapenz kwa wananchi wanyonge ambao wakotayal kujitoa kwa nia ya dhat kutka moyon ili kuwatetea
@stevinmwanzaa178524 күн бұрын
Hapa ni waziri bado na kujiamini kweli mungu anamakusudi yake
@brother_majesty4 ай бұрын
Maono alikuwa nayo kitambo.....ana beji ya africa
@jumanassoro15522 жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema peponi
@Renardnho-gd8ib10 ай бұрын
Aaaaaa😢 mwamba tutakukumbuka sana😢😢😢😢😮
@mwaitwalilechannel20243 жыл бұрын
RIP my president
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman Shujaa wetu wa Africa 😭😭😭🙏
@johngachugu305 Жыл бұрын
Na imekuja mpaka hapa Uyovu, Uyovu, Uyovu kutoka Dar-es-Salaam, urekosha sana hadi nimecheka kweli WaTanzania mulijaliwa na kiongozi kama Magufuli
Pumzika kwa amani baba uliyoyatenda Tanzania ni makubwa Sana
@yusuphissa96133 жыл бұрын
Nashindwa hata niseme nini
@paulsingano6744 жыл бұрын
Mchapa kazi toka zamani
@user-ms1xg1fp4v3 ай бұрын
Marais wetu hakika wanaishi kishkaji nakuvumiliana sana
@lichilasalumu79833 жыл бұрын
Nimemuona majaliwa Apo.
@AliHussein-lk2gw3 жыл бұрын
Daa inauma kweli
@saidalsalmi93133 жыл бұрын
Hii ndio ilikua safari ya kwenda Ikulu
@ivankivinge29873 жыл бұрын
Rest in peace baba 🙏🙏🙏
@ibrahimjobu91414 жыл бұрын
Ahahahahahahahahahahahah saizi Baba ndio umeshika rungu sio kwa kutunyoosha huko na uzidi kutunyoosha mbaka tukubali wenyewe
@saimonpeter37883 жыл бұрын
😭😭😭😭 tutakukumbuk Bab
@jijab44423 жыл бұрын
HE WAS A REAL LEGEND
@mosenetor7882 Жыл бұрын
Nakukumbuka BABA Yale uliyokuwa unayatetea hayapo tena
@bennie72392 жыл бұрын
Mnaofake uongozi hili jiwe ni FUNZO kwenu huyu mwamba alizaliwa alivokuwa; msijifanye mnatembelea Magufulification ambayo kiuhalisia HAMNA. RIP Mr. President..
@mcutanorsonvanwillson29913 жыл бұрын
Rest in peace magu
@yasinnyembo82493 жыл бұрын
R.i.p chuma
@ezekielkazingo60553 жыл бұрын
Waziri adi rais wapekee
@fraviusmanyika75213 жыл бұрын
"Wachina Nivibarua wa Kikwete"
@robertonesmo88923 жыл бұрын
R.l.P
@mawazoaliselemani4 ай бұрын
Huyu mwamba alikuwa hamchukii mtu bali alichukia Umaskini na uzembe serikalini.
@stephanomsuya9414 Жыл бұрын
Super JPM, pumzika mzee wetu
@erneuslugusi17853 жыл бұрын
Jembeeee hiloo
@mwakasegeshukuru37203 жыл бұрын
Upo vzr magu
@yordanyona12342 жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa Rais hata kabla
@alfredyfredrick89553 жыл бұрын
Daaah Chuma R.I.P
@YosiaYohana2 ай бұрын
I miss you dady
@tugesyegemwakatumbula98574 жыл бұрын
Mzee wa kutunza kumbukumbu
@sulaimanomary6533
3 жыл бұрын
😆😆😆😆😅 kwa kumbukumbu tu duh
@erickphilipo4163
3 жыл бұрын
Kazi ya samaki hiyo
@iddymalole39224 ай бұрын
Kitunda on làini tv
@charleselijah-vq3hq Жыл бұрын
Ukweli Mweheshimiwa Dr.John John Joseph Pombe Magufuli Hayati ulikuwa Mzalendo wa pumzika kwa amani. Kizuri hakidumu ila thamani yako liko pale pale.utakumbwa siku zote.
Пікірлер: 214
Ambao leo tumekutana leo kufuatilia speech za jemedari wetu aliyetumwa na MUNGU kwaajili yetu tuseme Asante Mungu wewe ni mkuu sana Asante kwa zawadi. Amen
@donaldmhulula6888
3 жыл бұрын
tupo kamanda
@esterkiyabo1329
3 жыл бұрын
Lala salama shujaa wetu
@thomasmagoti9040
2 жыл бұрын
Asante mwenyezi mungu
@richardnganya2311
2 жыл бұрын
Mungu alimtuma.... na amemwondoa ! Mungu anatupenda.
@renatusmatungwa2508
Жыл бұрын
Dah
Hon.JPM was a man from the beginning displaying boldness from the start..may his soul RIP
Daaa!! Mzalendo kutoka zamani, mchapakazi haswaa jamaniiii Pumzika Baba tutakukumbuka milele!
Huyu mtu alikuwa halali! Hajui cha usingizi. Acha tu, pumzika baba. Sitakusahau hata kwa sekunde mmoja. Acha tu nimwage machozi yangu.
This is unanswered cry, magufuli ww ndiyo baba wa taifa wa pili
Ulianza kitambo kuijomboa Tanzania yetu ya sasa😭😭😭tungekuwa na uwezo tungekubakiza miaka 10000
Magufuri siamin Kama umetuacha Baba 😭😭😭
Nani yuko hapa baada ya kamanda kuzikwa chato
Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa amani Amina. Nahisi ulijitoa sadaka kubwa hadi ukasahau moyo wako na ukauchosha kweli kweli. Mungu Baba msamehe dhambi zote na umpokee mbinguni.
@albertkondela976
3 жыл бұрын
🙏
@ramamohamed8392
8 ай бұрын
Hii imenigusa sana!😭😭😭
Jamani,Jamani.Mtumbua Majipuuu,........Mungu akupumzishe kwa Amani.
Nilitamani sana uwe Rais miaka 50 lakini haukuwa mpango wa Mungu,umetuacha katika wakati mgumu sana,Taifa lilikuwa bado linakuhitaji Baba,inaniuma sana
@user-gc3ec9wx6z
4 ай бұрын
Bc alikuwe awe mfalme
Tutakumisi sana baba yetu
Kumbe tangu zamani alikua haandiki speech anatoa kichwani tu ni hatari sana
@onesmoelias2285
Жыл бұрын
Jembeeeeeeeeee likikuwa
@hopehealthcs3294
3 ай бұрын
Kbs
Dah Mungu anamakusudi yake nimeamini hii Leo vyenye Simuoni tena raisi wetu
Shujaa Wa Tanzania hotuba zinatufariji Mungu akupe pepo na mapumziko mema tutakukumbuka daima
Huyu jamaa alikuwa ana conference nzuri sana haijapata kutokea hapa anaongea kama yeye ndo alikuwa rais ila mawaziri wa sasa wakiwa mbele ya rais wanaongea kwa hofu na kujipendekeza ila huyu mwamba alikuwa wa tofauti sana mungu amsamehe makosa yake amlaze pema
Rest In peace Rais John Pombe Magufuli, Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏
Ulitakiwa uwe Rais wetu kuanzia 2012
Asante Sana kwa kuweka kumbukumbu sawa kumbe katika utawala Jakaya Kikwete aliweza kujenga mtandao wa Barabara wenye jumla ya KM 11100,bado hujaongerea umeme wa REA chini ya Prof Sospiter Mhongo nk.
Alikuw mkweli Sana. Rest in peace my president
Baba etu atutakusaau kamwe😭😭😭😭😭kwa upendo wako kwetu,ulitupa upendo wa kweli ,pumzika kipenzi Cha TANZANIA kea amani,amina
Dah hapa alikua wazir😭😭
Kiongozi supavu,, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
RIP JPM tutakukumbuka daima
Eeh mungu mpe pumziko la amani mja wako katika ufalme wako milele Amina
Dah, alikuwa anajiamini sana aisee, ameenda kuwa kiongozi wa malaika
This Man is very humble and hard working....God bless you JPM
@godlizenmolla2192
3 жыл бұрын
Appreciated, one year ago. 🙏🙏
@romanamassawe814
Жыл бұрын
According to your statement to say this one was humble, I think the meaning of the word humble has changed, you surprised me by called an assassinator Humber instead of dictator
@thegreatsource2953
Жыл бұрын
@@romanamassawe814 Mapumbu yako wewe😡
Kikwete ametukanwa Sana kumbe barabara kaanza kujenga yeye
@msetikebwasi1469
3 жыл бұрын
Sema alikoswa hela kwa kushindwa kukusanya kodi.
Alichelewa sana kuwa rais. ..rest in peace
Kumbe alikuwa hivi hivi toka mwanzo mungu mpe pumziko la milele
Honest and straightforward man since day one , 🙌 Mr President. ProudlyTanzanian
Iv,watu,kama,hawa, tayari watatokea,tena,inch,yetu,ijengwe,upya,kweli, kamanda huyu,badotunamlilia,sana,tena,sana, Mungu,akupuzishe, huko,ulil❤
Daaaah kweli wanashukuru mtu ukishaenda
Jamani, amesema Watanzania wanapenda kushurukuru watu waliyekufa :)) dahh ni ukweli sasa umeondoka ndiyo wote wanaupenda
Proud of him,that is my presedent magufuli no doubt he is the man salute you my lovely presedent
Pumzika kwa Amani Kamanda JPM 🇹🇿
DAIMA utakubukwa milele JPM ww kwel ni shujaaa ulianza kupigania maendeleo zamani sana 😭😭we still tunakukumbuka hata na kizazi kijacho REST IN PEACE JPM
Hon. Joseph P. Magufuli a later president of Republic Tanzania your image will exist anymore in our country. R.I.P Dad.
RIP BABA MAGUFULI
RIP mzee wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Daah,,,Hapa kazi tuu kweli" 2013 iyo Ila hotuba ya Mwamba kama ya jana vle,,,aliziishi kauli zake, iyo kichwa kumbukizi kama kompyuta vle,,mmoja wa Raisi aliyefanikiwa kunishawishi kupiga kura yapata miaka 25 tangu nitimize umri wa kupiga kura sikuwahi kupata wa kunishawishi kumpa kura ila Mwamba alifanikiwa kunishawishi...Rest in Power JPM
Mzee documentary sana hadi raha kumsikiliza
Hongera sana mtumishi was Mungu.
Daaahh mheshimiwa Rais mama SAMIA TUNAKUOMBA FATA NYAO ZA MAGUFULI KUTUONGOZA
@thomasmagoti9040
2 жыл бұрын
Mh
2022.. we still remember you Baba...
Mungu akulaze mahali pema peponi amefanya kazi kwa haki bila kutaka ambacho sio chake mungu akubariki sanaaaa
A great man he was. I Miss him
Alikuwa ana upako wa kisiasa..tena akijua anaelekea urais 2015
Hatutakupata tena mungu akulaze mahari pema peponi
Shujaaa muongoza njia
Dah😭😭 our magufuli, anaongea kwa hisia kweli lkn Mungu ampumzishe kwa amani dah,
MY PRESIDENT
Hajawahi kupindisha ukweli tokea day one
Nakukumbaka sana najakaya rasii mpendwa
Pumzika kwa Amani mzee
R.I.P kamanda
Hapa alikua waziri wa ujenzi
Kwli baba sio wote watakushukur ,,hata wewe hawajakushukuru ,nashangaa kuona mataifa mengine yakikulilia na kutamani ungekua wakwao,hapo ndo utagundua kibaya ni saile unacho
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭acheni kunikumbusha majonzi cjui yataisha lin mpak ntakapo kufa
Apumzike kwa aman jemedal wetu na watu wahivi niwachache dunian wenye mapenz kwa wananchi wanyonge ambao wakotayal kujitoa kwa nia ya dhat kutka moyon ili kuwatetea
Hapa ni waziri bado na kujiamini kweli mungu anamakusudi yake
Maono alikuwa nayo kitambo.....ana beji ya africa
Mungu akulaze mahala pema peponi
Aaaaaa😢 mwamba tutakukumbuka sana😢😢😢😢😮
RIP my president
Pumzika kwa Aman Shujaa wetu wa Africa 😭😭😭🙏
Na imekuja mpaka hapa Uyovu, Uyovu, Uyovu kutoka Dar-es-Salaam, urekosha sana hadi nimecheka kweli WaTanzania mulijaliwa na kiongozi kama Magufuli
Kama upo duniani vile
Mheshimiwa raisi........x 1000000000
Huyu jamaa alikua jiniasi kwakweli haandiki hutuba anatoa kwenye computer kichwani R.I.P MAGUFULI
Chuma chetu
Nashangaa kuona dislike hapa, kweli haters hawakosi
@RD-ml7pi
3 жыл бұрын
Wengine awaelewag maana yake
@minskbelarus7255
3 жыл бұрын
Emmanuel; hao sio HATERS hao ni WENDAWAZIMU
Pumzika kwa amani baba uliyoyatenda Tanzania ni makubwa Sana
Nashindwa hata niseme nini
Mchapa kazi toka zamani
Marais wetu hakika wanaishi kishkaji nakuvumiliana sana
Nimemuona majaliwa Apo.
Daa inauma kweli
Hii ndio ilikua safari ya kwenda Ikulu
Rest in peace baba 🙏🙏🙏
Ahahahahahahahahahahahah saizi Baba ndio umeshika rungu sio kwa kutunyoosha huko na uzidi kutunyoosha mbaka tukubali wenyewe
😭😭😭😭 tutakukumbuk Bab
HE WAS A REAL LEGEND
Nakukumbuka BABA Yale uliyokuwa unayatetea hayapo tena
Mnaofake uongozi hili jiwe ni FUNZO kwenu huyu mwamba alizaliwa alivokuwa; msijifanye mnatembelea Magufulification ambayo kiuhalisia HAMNA. RIP Mr. President..
Rest in peace magu
R.i.p chuma
Waziri adi rais wapekee
"Wachina Nivibarua wa Kikwete"
R.l.P
Huyu mwamba alikuwa hamchukii mtu bali alichukia Umaskini na uzembe serikalini.
Super JPM, pumzika mzee wetu
Jembeeee hiloo
Upo vzr magu
Huyu mwamba alikuwa Rais hata kabla
Daaah Chuma R.I.P
I miss you dady
Mzee wa kutunza kumbukumbu
@sulaimanomary6533
3 жыл бұрын
😆😆😆😆😅 kwa kumbukumbu tu duh
@erickphilipo4163
3 жыл бұрын
Kazi ya samaki hiyo
Kitunda on làini tv
Ukweli Mweheshimiwa Dr.John John Joseph Pombe Magufuli Hayati ulikuwa Mzalendo wa pumzika kwa amani. Kizuri hakidumu ila thamani yako liko pale pale.utakumbwa siku zote.