JPM ‘alipomtwangia’ simu Jafo na kumtaka aanze safari ya kwenda Mkuranga

“Ninataka kesho uje hapa…umenielewa…kesho ninataka uje Mkuranga, ufuatilie kero za kituo cha afya…ucheki hizo milioni 400 zimetumikaje…halafu umiambie wapi kwenye mapungufu…na wapi zimeliwa…” _ Rais Magufuli alipompigia simu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo na kumtaka aende Wilaya ya Mkuranga ili ashughulikie kero za huduma za afya wilayani humo.
#JPMMkuranga #JPMNaKeroZaWananchi #RaisMagufuli
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: azamtvtz
►INSTAGRAM: azamsports2
►TWITTER: azamtvtz
►FACEBOOK: azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 555

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael75383 жыл бұрын

    Tulikupenda Sana mzee wetu. Ila Mungu amekupenda zaidi!

  • @pipasccd

    @pipasccd

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/gWWXtMxsd5y4oNo.html

  • @hassanmagogo4295

    @hassanmagogo4295

    3 жыл бұрын

    Hakuna namna twaweza Zaid ya kukuombea Tu magufuli na mungu atatenda miujiza yake mama anatekeleza yote uloyaacha

  • @nicholauskicheta8503

    @nicholauskicheta8503

    2 жыл бұрын

    Kwel kabisa

  • @user-co2ed6dj6p

    @user-co2ed6dj6p

    4 ай бұрын

    Allah akuweke sanaaa

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta66412 жыл бұрын

    Rais wetu ulieletwa kwetu na mungu Basi mungu uyo uyo akupumzidhishe mahala pema peponi amiin

  • @augustinewilliam8281
    @augustinewilliam82813 жыл бұрын

    Daaahh ila kweli kizuri hakidumu kama unakubalkana na mimi piga likes apo

  • @zaituniluboge8897
    @zaituniluboge88973 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi mtetez wetu, akupe kauli thabiti, akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia na mwisho jannatufildaus iwe yake makazi

  • @rashidjuma269

    @rashidjuma269

    2 жыл бұрын

    zaituni luboge umepata wapi ufunuo wakumuombea dua endepeponi wakti si muislam

  • @emanueluledi5616
    @emanueluledi56163 жыл бұрын

    Daaih mungu akulaze mahala pema peponi amina ulitujali sana wanainchi sita kusahau maishani mwangu

  • @celinamgundoi8420
    @celinamgundoi84203 жыл бұрын

    Baba yetu JPM pumzika kwa Amani japo haupo nasi ila bado unaishi ndan ya mioyo ya watanzania tutakukumbuka kwa mengi, Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi Ameen

  • @chadgalavan
    @chadgalavan3 жыл бұрын

    Nimekukumbuka Rais wangu🙏🏽

  • @sayilameck6930
    @sayilameck69303 жыл бұрын

    HAmna namna pumzika kwa amani mzeee wetu tulikupenda lkn Mungu amekupenda zaidi JPM

  • @adrianmallyakibona.352
    @adrianmallyakibona.3523 жыл бұрын

    Mh rais hapa ndipo tunasema Mungu kasikia kilio cha watz. A committed and charismatic leader of such kind. God bless u.

  • @panafricamedia4798
    @panafricamedia47983 жыл бұрын

    Best president ever Rip General of africa One love from south sudan

  • @danielbarasa3342
    @danielbarasa33422 жыл бұрын

    If only Kenya had such a responsive and caring president who goes down to the ground to listen to wananchi's problems and solve them instantly🙄🙄🙄🙄

  • @mohamedithabiti4476
    @mohamedithabiti44762 жыл бұрын

    I have nothing to say aisee.....mwenyezi mungu amuhifadhi panapostahili

  • @hashimkale3215
    @hashimkale32153 жыл бұрын

    Kama hera imeliwa .....you make me cry marehema alikuwa shuja hatatokeapu.turamkumbuka kwa mazuri na mema yake

  • @alfampigiye2950

    @alfampigiye2950

    3 жыл бұрын

    Kamanda hatokei Mara 2 ndg, kwa sisi wakristo kamanda wetu Yesu Ni mmja tu hakuna mwingine na kea sisi wa Islam kamanda Ni Muhammad Ni mmoja tu, kamanda hatokei Mara 2, hatatokea kamanda Kama magu teeeeenaaaa! Imeisha hiyooo

  • @georgechibai2716
    @georgechibai27163 жыл бұрын

    @paulol Mabu, wacha hivyo, nadhani hata wengi wao, kama si wote, wanatamani afe ila sisi tunamuombea maisha marefu kwasababu kazi anayoifanya si yake bali ya mwenyezi mungu.

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47413 жыл бұрын

    Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏

  • @mohammedabdalla6631

    @mohammedabdalla6631

    3 жыл бұрын

    Vyema Havidumu!

  • @alexmadafali4872
    @alexmadafali48723 жыл бұрын

    Mtu wa watu Ngosha wa Mbassa lala salama ndugu yangu John Walwa Magufuli😭😭😭🇹🇿🇹🇿

  • @MutuaCK
    @MutuaCK2 жыл бұрын

    The best Tanzanian president so far.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Rest in peace

  • @nzokayamwingi
    @nzokayamwingi3 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁 aki maghufuli ulikuwa wanipendeza Sana kwa ukarimu na unyenyekefu pamoja na uogozi mwema.mwishowe ikawa n kilio 😭😭😭😭😭 .. pale ulipo baba, hata utakuwa kiongozi wa maana Sana. Continue r.i.p

  • @bboymelvo5494
    @bboymelvo54943 жыл бұрын

    Hakuna raisi kama magofuli africa mzima walai mungu amlindi sana jamani 🔥🔥🔥🔥 natoka Kenya

  • @saikomkumbwa4812

    @saikomkumbwa4812

    3 жыл бұрын

    Mnafki wewe

  • @hadijamagufuli2661

    @hadijamagufuli2661

    3 жыл бұрын

    @@saikomkumbwa4812 he we kwani Hilo bando ni lako au lake

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius75543 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani mzee wetu

  • @kulemisairi5010
    @kulemisairi50103 жыл бұрын

    We need such leaders

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza74503 жыл бұрын

    Tuwe waminifu mungu hadanganyiki, mungu ajuwa hadi mawazo yetu ya kila siku,

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu68593 жыл бұрын

    Ctaacha kulia kila nikikukumbuka dad😭😭😭

  • @godfreykaimbe1780

    @godfreykaimbe1780

    3 жыл бұрын

    Daaaaa roho yangu inaumia mpaka leo...machozi hunitoka kila nikitizama video clips za rais wangu John Pombe Magufuli...RIP my president

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc3 жыл бұрын

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @jackhans7708

    @jackhans7708

    3 жыл бұрын

    Amico se scrivi in swahili tigarantisco tanti possono capirti veramente, magufuli ooooooyeeee Dio lo faccia riposare in pace mio re.

  • @DottRoBroc

    @DottRoBroc

    3 жыл бұрын

    @@jackhans7708 Rafiki, nitafuata ushauri wako. Asante

  • @maxamedabdukadir7965

    @maxamedabdukadir7965

    2 жыл бұрын

    I see this comment alot

  • @cmsa1r

    @cmsa1r

    Жыл бұрын

    You are so wrong in your assessment. This man brought poverty and destroyed a lot of small business owners. It’s easy for someone like you looking in from outside to applaud his efforts without evaluating the damage he has done to his people. He used his tax agencies to jail those who oppose him. He fired people and hired some on public settings without vertting…. He was wrong for Tanzania

  • @jofreyerenest5078
    @jofreyerenest50783 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie

  • @barackmahinda4961
    @barackmahinda49613 жыл бұрын

    Jpm jembe la tanzania akumbumbukwe daima

  • @paulolmabu7161
    @paulolmabu71613 жыл бұрын

    Kuna wakati nadhani watumishi wa serikali huwa wanatamani mh. Magufuli asiwe anasafiri kwa njia ya barabara

  • @abubakarimlyandi8571

    @abubakarimlyandi8571

    3 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @momadeatibo6729

    @momadeatibo6729

    3 жыл бұрын

    hata mimi nilikua naliona hili ni kweli kabisa

  • @suleimanmaneno5076

    @suleimanmaneno5076

    3 жыл бұрын

    Hahaha kweli kabisa😃😃😃

  • @kanbos5565

    @kanbos5565

    3 жыл бұрын

    L

  • @liliankapia451

    @liliankapia451

    3 жыл бұрын

    Mkurugezi mkuranga ajielewi

  • @kelvinsinkala3315
    @kelvinsinkala33152 жыл бұрын

    These are the leaders we want God

  • @Wakio231
    @Wakio2313 жыл бұрын

    It's hard, dearly missed 😭💔🇰🇪

  • @benkibusia9736
    @benkibusia97362 жыл бұрын

    its so painful to lose a leaders like thise Rip papa

  • @frankonyi7473
    @frankonyi74732 жыл бұрын

    Wow amazing I just wish here in Kenya we can have leaders like him rest in peace baba

  • @africanbeadwork9434

    @africanbeadwork9434

    2 жыл бұрын

    Mchagueni raila atakuwa kama magu wetu

  • @alextercisio

    @alextercisio

    2 жыл бұрын

    @@africanbeadwork9434 raila ni shetani

  • @hillaryjoseph100
    @hillaryjoseph1003 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima baba magu

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack16693 жыл бұрын

    Things will never be the same again

  • @gastonealinda7494

    @gastonealinda7494

    Жыл бұрын

    Hahahaha

  • @allansk1035
    @allansk10353 жыл бұрын

    Rest In Peace soldier still I can’t believe you are gone

  • @mathiasabel2345
    @mathiasabel23453 жыл бұрын

    Rest In Peace the son of Africa Ulikua shupavu sana

  • @kijakgboyjemus1772

    @kijakgboyjemus1772

    Жыл бұрын

    Vipi

  • @consolathambuya2563
    @consolathambuya25633 жыл бұрын

    Bado hatuamin haupo baba yetu😭😭😭, Raha ya milele umpe Ee Bwana, na Mwanga wa milele umuangazie apumzke kwako kwa amani amina😭😭🙏🙏

  • @mariumkirungi3699

    @mariumkirungi3699

    3 жыл бұрын

    Kwakweli

  • @innocentnduwayo5674

    @innocentnduwayo5674

    3 жыл бұрын

    La ils ne ils ne se passe dans une ambiance dans

  • @innocentnduwayo5674

    @innocentnduwayo5674

    3 жыл бұрын

    Bonjou

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki81963 жыл бұрын

    Huyu ni Rais wa Wanyonge kweli kweli. JAMANI huyu Rais Bora wa TANZANIA.

  • @Ramadhanimsingwa

    @Ramadhanimsingwa

    3 жыл бұрын

    Haijawahi haitatokea Mungu ampe kila jema mbele ya haki

  • @user-wv3th2ln4d
    @user-wv3th2ln4d3 жыл бұрын

    Yaa Allah hatuamini jamani baba umetuacha wapweke 💔💔💔💔

  • @tz7976
    @tz79763 жыл бұрын

    Jpm naimani umefika salama baba wewe ni mbinguni moja kwa moja pumzika salama baba yetu❤❤❤

  • @hadijamagufuli2661

    @hadijamagufuli2661

    3 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @mrbiology4146

    @mrbiology4146

    3 жыл бұрын

    Mbinguni? Kafiri hatoonja ladha ya pepo

  • @hadijamagufuli2661

    @hadijamagufuli2661

    3 жыл бұрын

    @@mrbiology4146 we mwenyewe una uhakika ukifa utaenda peponi muzi we

  • @mrbiology4146

    @mrbiology4146

    3 жыл бұрын

    @@hadijamagufuli2661 hilo jina LA saumu ni lako au unefoji cheti? Au ndo nyie waislamu feki msiejua hata kuoga janaba.nenda kasome qurani sura 98 aya 6 . Allah anasema hakika wale waliokufuru katika waliopewa kitabu yaani mayahudi na wakristo na wale washirikina wote hao ni motoni na wataishi humo milele. Sasa wewe pingana na Allah. Muislam feki wewe. Kafiri hata afanye jema kiasi gani Malipo yake nihapahapa. Akifa hana chake zaidi ya kuishi motoni tu.

  • @hadijamagufuli2661

    @hadijamagufuli2661

    3 жыл бұрын

    @@mrbiology4146 hata hivyo vitabu vinsema mstili mwenzio aibu zake ili nawe mwenyezi mungu akustili mb sina

  • @mariamkiharo6345
    @mariamkiharo63453 жыл бұрын

    Kituo cha afya kinajengwa hospitali Mkurugenzi oyee🤣🤣🤣🤣

  • @selemanmayala9374

    @selemanmayala9374

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @mwanaimaabdallah7825

    @mwanaimaabdallah7825

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @junioragaah6038
    @junioragaah60383 жыл бұрын

    Rais wangu wa muda wote RIP

  • @JosephBasiga-l9j
    @JosephBasiga-l9j11 күн бұрын

    Tutakukumbuka daima mungu akulaze mahali pema peponi amina

  • @emmanuelmshanga5142
    @emmanuelmshanga51423 жыл бұрын

    You will always stick in our mind

  • @sumaroma2041
    @sumaroma20413 жыл бұрын

    duh tunampa shida sana rais

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty88193 жыл бұрын

    Utakumbukwa zaid ya zaidi Pumzika kwa aman jaman

  • @efurazichales3423

    @efurazichales3423

    3 жыл бұрын

    Mamb

  • @fraviansweetberty8819

    @fraviansweetberty8819

    3 жыл бұрын

    @@efurazichales3423 Pouwa hbr za uzima

  • @dembeleisak2878
    @dembeleisak28783 жыл бұрын

    R.I.P Legend hero Mr President.

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha80533 жыл бұрын

    Nakukubuka daima wallah kizuri hakidumu

  • @maendaamos2690
    @maendaamos26902 жыл бұрын

    Rip daddy, God when I will be a leader make my leaders to be in people's heart is my prayer ,people have been moving in a Cage.

  • @raphaelluyela5666
    @raphaelluyela56663 жыл бұрын

    Dah,pumzika kwa amani mwamba wa Africa chuma cha Tanzania magufuri hakika hotuba zako zinaishi milele masikioni mwetu watanzania Mora akupe pumziko LA milele amina

  • @marcelchofi9372
    @marcelchofi93723 жыл бұрын

    Papa j'ai des larmes aux yeux réponse en Paix

  • @k.d.m83

    @k.d.m83

    2 жыл бұрын

    We all do😭💔 we miss this great man

  • @albertshikuku4788
    @albertshikuku47883 жыл бұрын

    The best african president i have ever seen and a Gaddafi

  • @sailasjuma1819
    @sailasjuma18192 жыл бұрын

    Baba marehemu wa wana inji, pole sana, wanainji wa tanzania.

  • @lukemk826
    @lukemk8263 жыл бұрын

    Hapa kazi tu 😆😆🤣🤣

  • @eddymwaka175
    @eddymwaka1753 жыл бұрын

    Jafo atawabana mpaka watasema sababu anafanya kaz vizuri sana

  • @lelozaina8711
    @lelozaina87113 жыл бұрын

    Shujaaa wetu kwa heri tulikupenda sana wote na tutaendelea kukupenda

  • @barikimwakajumba2627
    @barikimwakajumba26273 жыл бұрын

    Nawaamisha watanzania hatutakuja pata rais mkarimu mpenda maendeleo kama Magufuli. Hakika ni zawadi kutoka kwa Mungu. Magufuli Mungu akubaliki na akupe umri mrefu

  • @faithlukosi71
    @faithlukosi713 жыл бұрын

    Mungu msaidie uyu baba awe na maisha marefu na asije chaguliwa rais mwingine ,ilo ni ombi langu kwa mungu ,barikiwa na mungu magufuli

  • @nyumbanafricana9447

    @nyumbanafricana9447

    3 жыл бұрын

    Dah!💔💔😭

  • @abdalladawali8969

    @abdalladawali8969

    2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @nicehonesty912

    @nicehonesty912

    2 ай бұрын

    😭😭😭😭 amesha lala dah

  • @cassyaugust4585
    @cassyaugust45853 жыл бұрын

    naitwa Hamis shaban mwalami rashid kondo oyoyo Dah

  • @tysonboy4752

    @tysonboy4752

    3 жыл бұрын

    Umetisha mwamba

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz27553 жыл бұрын

    Mi Siwezi kutoa kero mbele ya raisi Naogopa😂😂

  • @prettynesspastory3111

    @prettynesspastory3111

    3 жыл бұрын

    Hahahaha unaogopa wasikutafute wakuda wakakunyoosha viungo vya mwili eeh?😂😂😂

  • @dehills905
    @dehills9052 жыл бұрын

    The world needs leaders like him but it's hard to find

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog67523 жыл бұрын

    Lala salama baba 😭😭😭💔🇰🇪

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74913 жыл бұрын

    Kama ela ime liwa hiiii😅😅😅

  • @smsalama6540

    @smsalama6540

    3 жыл бұрын

    Nimesikia apo apo kama ela imeliwa🤣🤣🤣🤣

  • @kanukanute1514
    @kanukanute15143 жыл бұрын

    Rais Allah akulinde n aendlee kukupa afya njema n p1 n uongz wako

  • @aishaamwalimu2887

    @aishaamwalimu2887

    3 жыл бұрын

    Tulimpenda ila molla amempenda zaidi 😭😭😭

  • @nickrayjackson9753
    @nickrayjackson97533 жыл бұрын

    Pumzika baba mwanga wa milele akuangazie

  • @Ramadhanimsingwa

    @Ramadhanimsingwa

    3 жыл бұрын

    Raha ya milele umpe akae na watakatifu na wema waliotangulia mbele ya haki

  • @hamidomar7474
    @hamidomar74743 жыл бұрын

    Hongera San babu

  • @delpietv288
    @delpietv2882 жыл бұрын

    Rip Mr Presidente, will never forget you

  • @daudmaganga5719
    @daudmaganga57193 жыл бұрын

    Kama ela imeliwa khiii😂😭😭😭😭😭

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka47653 жыл бұрын

    Hamna Rais kama Magufuli tumepoteza mtu muhimu sana kwa Taifa

  • @amidoubiaye8663
    @amidoubiaye86632 жыл бұрын

    Même si je ne comprends pas la langue je vais l'écouter

  • @robertrerarevocatus3455
    @robertrerarevocatus34553 жыл бұрын

    Huyu jamaa kichekesho kweli kituo cha afya kinajengwa hospital 😁😁😁😁😂😂😂

  • @mocranaburugi3486

    @mocranaburugi3486

    3 жыл бұрын

    Na mi hapo sijaelewa

  • @josephmanyama435

    @josephmanyama435

    3 жыл бұрын

    Anajichanganya kinoma ujue hahaha hata mbunge kamkataaaa aahhaha

  • @justinerespicius755

    @justinerespicius755

    3 жыл бұрын

    Yani mm mwenyew nmecheka kinoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salummigezo3729

    @salummigezo3729

    3 жыл бұрын

    Msichukulie poa kuongea mbele ya rais nyie ohoo😂😂

  • @kiatu

    @kiatu

    3 жыл бұрын

    Ajabu sana

  • @ramahamis5793
    @ramahamis57933 жыл бұрын

    Pumzika mpenzi wetu j p m watanzania tutakukumbuka daima KWERI uliishi uharisia wako wa kutetea WANANCHI na kweri umekufa kwa ajili ya WANANCHI❤❤❤ pumzika BABA

  • @raibethnicholaus1493

    @raibethnicholaus1493

    3 жыл бұрын

    Now nafatilia ziara za aliekuwa raic wngu jpm kuliko huyu wa kuanda kamati tu na michakato

  • @georgekobero9767
    @georgekobero97672 жыл бұрын

    A real president who is aware what people really need. Rest in peace

  • @BestLife486
    @BestLife4863 жыл бұрын

    Duniani sio kwetu hakika tunapita pumzika kwa amani kipenzi cha wanyonge.. tutakukumbuka daima 😭

  • @violetnafula2286

    @violetnafula2286

    3 жыл бұрын

    Rayvanny music

  • @bakarijohnson8307

    @bakarijohnson8307

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @aishaothmani5259
    @aishaothmani52593 жыл бұрын

    Dah! R.I.P JPM😭😭😭

  • @sailasjuma1819
    @sailasjuma18192 жыл бұрын

    Poleni!! Poleni!! Sana watanzania, hataka mimi ni mkenya, lakini niliumia hiyo wakata, mh pombe magufuli rais alipo......😭😭😭😭😭😭

  • @anafiabasi4301
    @anafiabasi43013 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 mkurugenzi anaulizwa kituo cha afya kinajengwa wap? Ye anajibu kinajengwa hospitalini🤣🤣🤣🤣 iv kwel kituo cha afya kinaweza kujengwa hospitalini. Duuh au ndio woga wa kuongea na Rais

  • @magdalenanjau6452

    @magdalenanjau6452

    3 жыл бұрын

    Kachanganyikiwa jmn😀😀😀

  • @jeremiahmakoye6340

    @jeremiahmakoye6340

    3 жыл бұрын

    Hataree sana jamaa anashindwa kujieleza sasa sijui kwa nini alikaimu ofisi ya DED!!!!????!

  • @gibishinchambi1971
    @gibishinchambi19713 жыл бұрын

    TUTAMPATA NANI MWINGINE KAMA JPM JAMAN BASI ANGALAU ANAEENDANA NAE HATA KWA ASILIMIA 75% tu ili tutimize ndoto zetu

  • @samwelshengulo3232

    @samwelshengulo3232

    3 жыл бұрын

    Mkojan Mkojan L

  • @samwelshengulo3232

    @samwelshengulo3232

    3 жыл бұрын

    Jnoj

  • @t.evideosclips431
    @t.evideosclips4313 жыл бұрын

    Kama ela imeliwa ihiiiiiii 😁😁😁😁😁😁

  • @suleimanmaneno5076

    @suleimanmaneno5076

    3 жыл бұрын

    Anachinjwa mtu wima wima

  • @lameckongechi4548

    @lameckongechi4548

    3 жыл бұрын

    Thanks president wa Tz asante kwa kazi nzuri

  • @ngisianbn
    @ngisianbn3 жыл бұрын

    MUNGU BABA Mpe huyu Kiongozi uliompenda rahaa zote kule mbinguni.

  • @josephmanyama435
    @josephmanyama4353 жыл бұрын

    kama hela imeliwa ihhhiiiiiiiiiiii hahahahaha

  • @suleimanmaneno5076

    @suleimanmaneno5076

    3 жыл бұрын

    😀😃😀😀 dah me nimecheka sana hapa 🤣🤣🤣 anachinjwa mtu wima wima

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli26613 жыл бұрын

    Mbele twende nyuma turudi kama huyu hayupo na hata tokea hata kama mumseme vibaya magu umeliza we baba kila ninapokaa sura yako hunijia yani kama ndugu yangu kumbe ni rais to da sikuwahi Kuumizwa na kifo cha mtu mkubwa kama huyu baba da😭😭😭

  • @smukelomkhize9775

    @smukelomkhize9775

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa JPM kaliza Wengi Hadi Huku South Africa

  • @charlesjames5965
    @charlesjames59653 жыл бұрын

    Dah R.I.P MAGUFULI

  • @pkcharles2508
    @pkcharles250822 сағат бұрын

    Best of the best

  • @zenoziya7657
    @zenoziya76573 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima na milele,hakika ulikuwa mzalendo halisi, pumzika kwa amani

  • @kiariedavid8370
    @kiariedavid83703 жыл бұрын

    Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kama hera imeliwa hiiiiiiiiiiiiiiiii lazima kieleweke na kamada kesho saa nne yuko hapo itabidi wajenge usiku lol

  • @selenganyagawa1358
    @selenganyagawa13583 жыл бұрын

    R. I..P rais wetu, Kama waige mfano. Ila haiwezekani.

  • @elijaonyango8620
    @elijaonyango86202 жыл бұрын

    I miss this man

  • @mturijackonia9138
    @mturijackonia91382 жыл бұрын

    Mungu akulinde milele baba etu

  • @OmarMohamed-bp9ix
    @OmarMohamed-bp9ix3 жыл бұрын

    Kama hela imeliwaaa hiiiiii 😁😁😁

  • @suleimanmaneno5076

    @suleimanmaneno5076

    3 жыл бұрын

    Anachinjwa mtu wima wima

  • @qoshwannaag63

    @qoshwannaag63

    3 жыл бұрын

    May his soul rest in peace

  • @neemamwenda3451
    @neemamwenda34513 жыл бұрын

    Saiz tutapata tabu sana mana wakumsemea haya maneno hatakuwepo tena

  • @felistermichael7640
    @felistermichael76402 жыл бұрын

    Hadi machozi yamenitoka 2022 like

  • @selemanmayala9374
    @selemanmayala93743 жыл бұрын

    Mpe huyo mic kauli hii Rais wangu naimiss Sana 😭😭😭

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus62983 жыл бұрын

    Nimecheka hiyo km hela imeliwa,nihatari baba kashasema

  • @gibumsagati9298
    @gibumsagati92983 жыл бұрын

    Tutakumis sana baba

  • @halifahamimu4059
    @halifahamimu40593 жыл бұрын

    Rip mzee 😭😭😭😭😭

  • @treshautkabulo3262
    @treshautkabulo32622 жыл бұрын

    Bwana mungu umu hurumie raïs magufulu apumzike kwa Amani.

  • @albinusmalima5153
    @albinusmalima51533 жыл бұрын

    we miss u daddy

  • @mbelyterry1584
    @mbelyterry15843 жыл бұрын

    Aaaaaaa rais una nifanya nicheke

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 hata miye...

  • @rhodavalentino9735
    @rhodavalentino97353 жыл бұрын

    Pumzika kwa Amani shujaa wetu

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын

    Ilove raisi wetu Mungu amekuchukua mapema kazi yake haina makosa

Келесі