MAGUFULI AMKAANGA KIGOGO TAKUKURU "MNAJIPENDEKEZA KWANGU, MIMI MOYO USHAKUA SUGU"

Пікірлер: 200

  • @joharijumbe6543
    @joharijumbe65434 жыл бұрын

    Jamani katiba ingekuwa inaruhusu magufuli angekaa ata miaka 30 tunakupenda sana raisi

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65264 жыл бұрын

    Super Mheshimia Dkt Magufuli unamiliki kona zote Katika Nchi nzima pamoja na Rushwa ya kila siku hongera sana

  • @benedictaustard3423
    @benedictaustard34234 жыл бұрын

    Huyu ndiye Mh.Raisi Magufuli. Unanifanya nitembee kifua wazi mzee wangu!.

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey36854 жыл бұрын

    Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais

  • @razakpaulo6407
    @razakpaulo64074 жыл бұрын

    Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah2904 жыл бұрын

    WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽

  • @gilbertmichael9130

    @gilbertmichael9130

    3 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana kwakulitambua hili

  • @mengirashidy-ld3lm

    @mengirashidy-ld3lm

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @janeyoj8228
    @janeyoj82284 жыл бұрын

    "Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Safi JPM... Haya wale wakupinga, mpinge na hili

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate14884 жыл бұрын

    Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv73054 жыл бұрын

    Aiseee watanzania tuna bahati sana, Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa. Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.

  • @clifordmsongole1134

    @clifordmsongole1134

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    2 жыл бұрын

    Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    2 жыл бұрын

    Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    2 жыл бұрын

    Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha

  • @user-cz9sk1yq7r

    @user-cz9sk1yq7r

    Жыл бұрын

    kabisa😊😊

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda89074 жыл бұрын

    MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍

  • @joxevictus3720
    @joxevictus37204 жыл бұрын

    Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @magufulificationofafrica7096

    @magufulificationofafrica7096

    4 жыл бұрын

    Watakua wanajikuna saizi

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary97414 жыл бұрын

    Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo

  • @justusmuendo7823

    @justusmuendo7823

    Жыл бұрын

    Ukweli usemwe raise dkt magufuli

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock95624 жыл бұрын

    Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20

  • @generaltanzania1810
    @generaltanzania18104 жыл бұрын

    Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.

  • @mrpodomanno1299

    @mrpodomanno1299

    4 жыл бұрын

    Tundulisu jeh!😂😂😂

  • @angelshio2617
    @angelshio26174 жыл бұрын

    Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi97614 жыл бұрын

    Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.

  • @setholivier4862
    @setholivier48624 жыл бұрын

    Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano54244 жыл бұрын

    Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people

  • @gilbertmichael9130

    @gilbertmichael9130

    3 жыл бұрын

    I also need that oldman back!

  • @joxevictus3720
    @joxevictus37204 жыл бұрын

    Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏

  • @wazirikhamisi4828

    @wazirikhamisi4828

    4 жыл бұрын

    KAPATWA NA UBUBU

  • @bornifaceshombe4159
    @bornifaceshombe41594 жыл бұрын

    Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.

  • @fredrickphilomena8613
    @fredrickphilomena86134 жыл бұрын

    Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!

  • @solemba595

    @solemba595

    4 жыл бұрын

    Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo

  • @wazirmlogi7532

    @wazirmlogi7532

    4 жыл бұрын

    Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    4 жыл бұрын

    Ndo waache kujipendekeza

  • @user-un3df1sl2h

    @user-un3df1sl2h

    3 жыл бұрын

    Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu94 жыл бұрын

    Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull12654 жыл бұрын

    Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...

  • @claudiangowi9585

    @claudiangowi9585

    4 жыл бұрын

    Acha tu kakangu

  • @alexkihongola798

    @alexkihongola798

    4 жыл бұрын

    JPM mwamba mno, Hakuna wa kumfananisha nae, na hajazaliwa Bado, wengine marais wa maonyesho tu.

  • @muganyiziemmanuel4897

    @muganyiziemmanuel4897

    4 жыл бұрын

    Nasema hivi anaeweza kuwa kama yeye ni Dr kakulwa katibu mkuu wa ccm

  • @wazirikhamisi4828

    @wazirikhamisi4828

    4 жыл бұрын

    HAKUNA KAMA MAGU BWANA

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba30284 жыл бұрын

    Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka

  • @richardjoseph9642
    @richardjoseph96422 жыл бұрын

    Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47414 жыл бұрын

    Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏

  • @theeyechannel8601
    @theeyechannel86014 жыл бұрын

    Nisije ni kakuona nimekupa nyata za bure!! Kainyoshe nchi hiyo Mzee wanyike.

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom63404 жыл бұрын

    Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote

  • @salimsalim8421
    @salimsalim84214 жыл бұрын

    Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed12944 жыл бұрын

    " Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza95644 жыл бұрын

    Hii inaitwa makavu live 😃

  • @alimarezi7543
    @alimarezi75434 жыл бұрын

    Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana

  • @majidially4363

    @majidially4363

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂eti boyaa,,, Dah

  • @afredyohana356
    @afredyohana3564 жыл бұрын

    Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost

  • @ednajeremiah8671
    @ednajeremiah86714 жыл бұрын

    Wakomeshe baba hapa kazi tu

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    2 жыл бұрын

    Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana

  • @justusmuendo7823
    @justusmuendo7823 Жыл бұрын

    Very insightive,magufuli continue resting in peace

  • @yasinigao3589
    @yasinigao35894 ай бұрын

    Sawa pambana na ufisandi Rais wetu

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri17254 жыл бұрын

    Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀

  • @petermatonya8078
    @petermatonya80784 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha malefu lais wabgu

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar30204 жыл бұрын

    Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee

  • @malcomg1004
    @malcomg10042 жыл бұрын

    Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you

  • @fadhilharuna9804
    @fadhilharuna9804 Жыл бұрын

    Good president magufuri

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad86154 жыл бұрын

    Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz7034 жыл бұрын

    Yes.. Preach father preach.!!

  • @markkayuni99
    @markkayuni994 жыл бұрын

    Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao

  • @josephbujimu1123

    @josephbujimu1123

    4 жыл бұрын

    JPM wanyooooshe walizoeakula bike hao

  • @patrickjohnlucas3827
    @patrickjohnlucas38274 жыл бұрын

    Kweli mweshimiwa

  • @kambiibrahim415
    @kambiibrahim4154 жыл бұрын

    Thank you so much Mr.President much love to you

  • @mshumbusideogratias9567
    @mshumbusideogratias95674 жыл бұрын

    Nmesikiliza Mara 10

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph86324 жыл бұрын

    Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari

  • @saumsaid5717

    @saumsaid5717

    4 жыл бұрын

    Yani we baba nakupenda mpaka naumwa

  • @tebogolucia6889

    @tebogolucia6889

    4 жыл бұрын

    C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang

  • @MukandilwaProspere-th2xu
    @MukandilwaProspere-th2xu Жыл бұрын

    Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe73214 жыл бұрын

    unajua mtanivuruga hapa

  • @lemameasi1723
    @lemameasi17234 жыл бұрын

    NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA

  • @justinaissa2278
    @justinaissa22784 жыл бұрын

    Mh uko sawa kabisa

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Жыл бұрын

    Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Жыл бұрын

    Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭

  • @musasabu6969
    @musasabu69694 жыл бұрын

    Wanajpendekeze had wanakela

  • @asrymohd6690
    @asrymohd66904 жыл бұрын

    Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid24884 жыл бұрын

    Safi sana Rais wangu

  • @joxevictus3720
    @joxevictus37204 жыл бұрын

    Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁

  • @allykingo3558
    @allykingo35584 жыл бұрын

    Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif94674 жыл бұрын

    Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka6374 жыл бұрын

    Baba maliza wabaya wote

  • @mbonijabut1405
    @mbonijabut14054 жыл бұрын

    Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo

  • @kambamazig02024

    @kambamazig02024

    4 жыл бұрын

    wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha20344 жыл бұрын

    Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri94534 жыл бұрын

    Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani

  • @wahabingaheka637
    @wahabingaheka6374 жыл бұрын

    Nchi iwe Safi hii wamezoea hao

  • @salmahillu
    @salmahilluАй бұрын

    Mungu aiweke robo magu peponi amina

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar30204 жыл бұрын

    Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...

  • @abubakarsuleiman1588
    @abubakarsuleiman15884 жыл бұрын

    Ahsante MH rais

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed12944 жыл бұрын

    Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!

  • @pendomsulwa5806

    @pendomsulwa5806

    4 жыл бұрын

    kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee

  • @meshackkanyetisahani5584
    @meshackkanyetisahani55842 жыл бұрын

    Was a geneous person may god rest in peace our lovelly president

  • @majaliwakavinga2752
    @majaliwakavinga27524 жыл бұрын

    Hongera sana Rais.

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull12654 жыл бұрын

    Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu67984 жыл бұрын

    Safi sana mh Raisi

  • @mlashanikisinini6020
    @mlashanikisinini60204 жыл бұрын

    Safi sana mheshimiwa

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar30204 жыл бұрын

    Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka

  • @denicejoseph8632
    @denicejoseph86324 жыл бұрын

    Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘

  • @rizmkondo1344

    @rizmkondo1344

    4 жыл бұрын

    Rais Leo nimekusifia sna

  • @mtorosenga1272
    @mtorosenga12722 жыл бұрын

    😆😆😆 unaionaje hiyo??? Mzee anajiuma

  • @erickendrick3330
    @erickendrick33304 жыл бұрын

    Daaah.....J.P.M ni Noma sana .🙌🙌🙌

  • @yaletbweye5565
    @yaletbweye55654 жыл бұрын

    Uyu Mzee ni mfano wa Dunia

  • @bashiryusuph6750
    @bashiryusuph67504 жыл бұрын

    😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣

  • @prosperthedubaiexplorer8980
    @prosperthedubaiexplorer89804 жыл бұрын

    awakujui baba watoboe

  • @rehemanmkumbo5631
    @rehemanmkumbo56312 жыл бұрын

    Huyu baba apumzike kwa amani

  • @matanobaya7660
    @matanobaya76604 жыл бұрын

    Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila2174 жыл бұрын

    Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako

  • @elisanteelisante172
    @elisanteelisante1724 жыл бұрын

    Baba Ng'ataaaaaa

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje12154 жыл бұрын

    Mkulu kashasema hataki shobo Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu6 ай бұрын

    Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏

  • @sixmangwela4543
    @sixmangwela45434 жыл бұрын

    vua nyota izo anatia haibu jeshi

  • @alimadmaulid2567
    @alimadmaulid25674 жыл бұрын

    Mmmmmh kweli mkuu nakubali kazi yako

  • @rshidyrajabu255
    @rshidyrajabu255Ай бұрын

    Very nice rip john pombe

  • @fakihibakari7701
    @fakihibakari77014 жыл бұрын

    Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.

  • @mwakamtungirehi4773
    @mwakamtungirehi47734 жыл бұрын

    Takukuru ng'ata

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule53123 жыл бұрын

    Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c4 ай бұрын

    Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais

  • @jonathanlema7782
    @jonathanlema77824 жыл бұрын

    El pressdente. My president God bless you sir

  • @Mautammelody8197
    @Mautammelody8197Күн бұрын

    Hatariii

  • @55goodmen
    @55goodmen4 жыл бұрын

    Ukweli unauma duh huyu rais hana upuuzi ni straight forward yani. wezi wote wanaogopa yani JPM oyeeeh.....

  • @solomonkikeke2795
    @solomonkikeke27954 жыл бұрын

    Tazama hapa pia uone Wimbo mzuri wa Maombolezo ya mheshimiwa BENJAMIN MKAPA Kutoka kwa TUNDA MAN pa1 na producer ZEST

  • @hassanimussa5776
    @hassanimussa57764 жыл бұрын

    Chuma kinazungumza

  • @stephanojeremiah3192

    @stephanojeremiah3192

    4 жыл бұрын

    Mh jaman wa tz tumepata rais Mungu azidi, kulimlinda

  • @emanuelfissoo2015
    @emanuelfissoo20153 жыл бұрын

    Safi sana mwl jpm

Келесі