Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais
@razakpaulo64074 жыл бұрын
Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania
@aaaaaah2904 жыл бұрын
WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽
@gilbertmichael9130
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwakulitambua hili
@mengirashidy-ld3lm
Жыл бұрын
Kabisa
@janeyoj82284 жыл бұрын
"Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Safi JPM... Haya wale wakupinga, mpinge na hili
@masakaupdate14884 жыл бұрын
Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME
@aminamtikaonlinetv73054 жыл бұрын
Aiseee watanzania tuna bahati sana, Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa. Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.
@clifordmsongole1134
4 жыл бұрын
Amen
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha
@user-cz9sk1yq7r
Жыл бұрын
kabisa😊😊
@moshiomarymnyeda89074 жыл бұрын
MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍
@joxevictus37204 жыл бұрын
Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@magufulificationofafrica7096
4 жыл бұрын
Watakua wanajikuna saizi
@lasteckmmary97414 жыл бұрын
Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo
@justusmuendo7823
Жыл бұрын
Ukweli usemwe raise dkt magufuli
@elibaricksadock95624 жыл бұрын
Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20
@generaltanzania18104 жыл бұрын
Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.
@mrpodomanno1299
4 жыл бұрын
Tundulisu jeh!😂😂😂
@angelshio26174 жыл бұрын
Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.
@setholivier48624 жыл бұрын
Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza
@cheupestefano54244 жыл бұрын
Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people
@gilbertmichael9130
3 жыл бұрын
I also need that oldman back!
@joxevictus37204 жыл бұрын
Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏
@wazirikhamisi4828
4 жыл бұрын
KAPATWA NA UBUBU
@bornifaceshombe41594 жыл бұрын
Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.
@fredrickphilomena86134 жыл бұрын
Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!
@solemba595
4 жыл бұрын
Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo
@wazirmlogi7532
4 жыл бұрын
Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza
@timothmwakakusyu4563
4 жыл бұрын
Ndo waache kujipendekeza
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana
@said306nyatu94 жыл бұрын
Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure
@ayoubabdull12654 жыл бұрын
Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...
@claudiangowi9585
4 жыл бұрын
Acha tu kakangu
@alexkihongola798
4 жыл бұрын
JPM mwamba mno, Hakuna wa kumfananisha nae, na hajazaliwa Bado, wengine marais wa maonyesho tu.
@muganyiziemmanuel4897
4 жыл бұрын
Nasema hivi anaeweza kuwa kama yeye ni Dr kakulwa katibu mkuu wa ccm
@wazirikhamisi4828
4 жыл бұрын
HAKUNA KAMA MAGU BWANA
@atuganilemsomba30284 жыл бұрын
Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka
@richardjoseph96422 жыл бұрын
Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏
@theeyechannel86014 жыл бұрын
Nisije ni kakuona nimekupa nyata za bure!! Kainyoshe nchi hiyo Mzee wanyike.
@nasserrostom63404 жыл бұрын
Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote
@salimsalim84214 жыл бұрын
Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu
@emmanuelmohammed12944 жыл бұрын
" Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂
@tanzaniakwanza95644 жыл бұрын
Hii inaitwa makavu live 😃
@alimarezi75434 жыл бұрын
Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana
@majidially4363
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂eti boyaa,,, Dah
@afredyohana3564 жыл бұрын
Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost
@ednajeremiah86714 жыл бұрын
Wakomeshe baba hapa kazi tu
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana
@justusmuendo7823 Жыл бұрын
Very insightive,magufuli continue resting in peace
@yasinigao35894 ай бұрын
Sawa pambana na ufisandi Rais wetu
@lightmashauri17254 жыл бұрын
Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀
@petermatonya80784 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu lais wabgu
@ahmedomar30204 жыл бұрын
Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee
@malcomg10042 жыл бұрын
Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you
@fadhilharuna9804 Жыл бұрын
Good president magufuri
@mamaahmad86154 жыл бұрын
Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe
@abdulaziz7034 жыл бұрын
Yes.. Preach father preach.!!
@markkayuni994 жыл бұрын
Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao
@josephbujimu1123
4 жыл бұрын
JPM wanyooooshe walizoeakula bike hao
@patrickjohnlucas38274 жыл бұрын
Kweli mweshimiwa
@kambiibrahim4154 жыл бұрын
Thank you so much Mr.President much love to you
@mshumbusideogratias95674 жыл бұрын
Nmesikiliza Mara 10
@denicejoseph86324 жыл бұрын
Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari
@saumsaid5717
4 жыл бұрын
Yani we baba nakupenda mpaka naumwa
@tebogolucia6889
4 жыл бұрын
C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang
@MukandilwaProspere-th2xu Жыл бұрын
Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema
@selemanimsofe73214 жыл бұрын
unajua mtanivuruga hapa
@lemameasi17234 жыл бұрын
NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA
@justinaissa22784 жыл бұрын
Mh uko sawa kabisa
@gaspeldaniel1140 Жыл бұрын
Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi
@kalumbugideon4159 Жыл бұрын
Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭
@musasabu69694 жыл бұрын
Wanajpendekeze had wanakela
@asrymohd66904 жыл бұрын
Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka
@sistertrashid24884 жыл бұрын
Safi sana Rais wangu
@joxevictus37204 жыл бұрын
Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁
@allykingo35584 жыл бұрын
Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima
@seifmohamedseif94674 жыл бұрын
Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣
@wahabingaheka6374 жыл бұрын
Baba maliza wabaya wote
@mbonijabut14054 жыл бұрын
Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo
@kambamazig02024
4 жыл бұрын
wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.
@wilsonkaseha20344 жыл бұрын
Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅
@jameschubiri94534 жыл бұрын
Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani
@wahabingaheka6374 жыл бұрын
Nchi iwe Safi hii wamezoea hao
@salmahilluАй бұрын
Mungu aiweke robo magu peponi amina
@ahmedomar30204 жыл бұрын
Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...
@abubakarsuleiman15884 жыл бұрын
Ahsante MH rais
@emmanuelmohammed12944 жыл бұрын
Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!
@pendomsulwa5806
4 жыл бұрын
kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee
@meshackkanyetisahani55842 жыл бұрын
Was a geneous person may god rest in peace our lovelly president
@majaliwakavinga27524 жыл бұрын
Hongera sana Rais.
@ayoubabdull12654 жыл бұрын
Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...
@daudirajabu67984 жыл бұрын
Safi sana mh Raisi
@mlashanikisinini60204 жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa
@ahmedomar30204 жыл бұрын
Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka
@denicejoseph86324 жыл бұрын
Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘
@rizmkondo1344
4 жыл бұрын
Rais Leo nimekusifia sna
@mtorosenga12722 жыл бұрын
😆😆😆 unaionaje hiyo??? Mzee anajiuma
@erickendrick33304 жыл бұрын
Daaah.....J.P.M ni Noma sana .🙌🙌🙌
@yaletbweye55654 жыл бұрын
Uyu Mzee ni mfano wa Dunia
@bashiryusuph67504 жыл бұрын
😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣
@prosperthedubaiexplorer89804 жыл бұрын
awakujui baba watoboe
@rehemanmkumbo56312 жыл бұрын
Huyu baba apumzike kwa amani
@matanobaya76604 жыл бұрын
Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.
@nickomlimbila2174 жыл бұрын
Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako
@elisanteelisante1724 жыл бұрын
Baba Ng'ataaaaaa
@watakaniitaje12154 жыл бұрын
Mkulu kashasema hataki shobo Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya
@laurnyandwi-sb1gu6 ай бұрын
Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏
@sixmangwela45434 жыл бұрын
vua nyota izo anatia haibu jeshi
@alimadmaulid25674 жыл бұрын
Mmmmmh kweli mkuu nakubali kazi yako
@rshidyrajabu255Ай бұрын
Very nice rip john pombe
@fakihibakari77014 жыл бұрын
Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.
@mwakamtungirehi47734 жыл бұрын
Takukuru ng'ata
@jumakalukule53123 жыл бұрын
Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe
@user-qv2tg9cz8c4 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais
@jonathanlema77824 жыл бұрын
El pressdente. My president God bless you sir
@Mautammelody8197Күн бұрын
Hatariii
@55goodmen4 жыл бұрын
Ukweli unauma duh huyu rais hana upuuzi ni straight forward yani. wezi wote wanaogopa yani JPM oyeeeh.....
@solomonkikeke27954 жыл бұрын
Tazama hapa pia uone Wimbo mzuri wa Maombolezo ya mheshimiwa BENJAMIN MKAPA Kutoka kwa TUNDA MAN pa1 na producer ZEST
@hassanimussa57764 жыл бұрын
Chuma kinazungumza
@stephanojeremiah3192
4 жыл бұрын
Mh jaman wa tz tumepata rais Mungu azidi, kulimlinda
Пікірлер: 200
Jamani katiba ingekuwa inaruhusu magufuli angekaa ata miaka 30 tunakupenda sana raisi
Super Mheshimia Dkt Magufuli unamiliki kona zote Katika Nchi nzima pamoja na Rushwa ya kila siku hongera sana
Huyu ndiye Mh.Raisi Magufuli. Unanifanya nitembee kifua wazi mzee wangu!.
Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais
Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania
WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽
@gilbertmichael9130
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwakulitambua hili
@mengirashidy-ld3lm
Жыл бұрын
Kabisa
"Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Safi JPM... Haya wale wakupinga, mpinge na hili
Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME
Aiseee watanzania tuna bahati sana, Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa. Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.
@clifordmsongole1134
4 жыл бұрын
Amen
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha
@user-cz9sk1yq7r
Жыл бұрын
kabisa😊😊
MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍
Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@magufulificationofafrica7096
4 жыл бұрын
Watakua wanajikuna saizi
Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo
@justusmuendo7823
Жыл бұрын
Ukweli usemwe raise dkt magufuli
Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20
Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.
@mrpodomanno1299
4 жыл бұрын
Tundulisu jeh!😂😂😂
Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza
Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.
Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza
Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people
@gilbertmichael9130
3 жыл бұрын
I also need that oldman back!
Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏
@wazirikhamisi4828
4 жыл бұрын
KAPATWA NA UBUBU
Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.
Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!
@solemba595
4 жыл бұрын
Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo
@wazirmlogi7532
4 жыл бұрын
Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza
@timothmwakakusyu4563
4 жыл бұрын
Ndo waache kujipendekeza
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana
Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure
Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...
@claudiangowi9585
4 жыл бұрын
Acha tu kakangu
@alexkihongola798
4 жыл бұрын
JPM mwamba mno, Hakuna wa kumfananisha nae, na hajazaliwa Bado, wengine marais wa maonyesho tu.
@muganyiziemmanuel4897
4 жыл бұрын
Nasema hivi anaeweza kuwa kama yeye ni Dr kakulwa katibu mkuu wa ccm
@wazirikhamisi4828
4 жыл бұрын
HAKUNA KAMA MAGU BWANA
Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka
Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏
Nisije ni kakuona nimekupa nyata za bure!! Kainyoshe nchi hiyo Mzee wanyike.
Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote
Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu
" Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂
Hii inaitwa makavu live 😃
Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana
@majidially4363
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂eti boyaa,,, Dah
Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost
Wakomeshe baba hapa kazi tu
@calebcaleb3193
2 жыл бұрын
Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana
Very insightive,magufuli continue resting in peace
Sawa pambana na ufisandi Rais wetu
Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀
Mungu akupe maisha malefu lais wabgu
Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee
Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you
Good president magufuri
Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe
Yes.. Preach father preach.!!
Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao
@josephbujimu1123
4 жыл бұрын
JPM wanyooooshe walizoeakula bike hao
Kweli mweshimiwa
Thank you so much Mr.President much love to you
Nmesikiliza Mara 10
Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari
@saumsaid5717
4 жыл бұрын
Yani we baba nakupenda mpaka naumwa
@tebogolucia6889
4 жыл бұрын
C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang
Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema
unajua mtanivuruga hapa
NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA
Mh uko sawa kabisa
Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi
Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭
Wanajpendekeze had wanakela
Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka
Safi sana Rais wangu
Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁
Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima
Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣
Baba maliza wabaya wote
Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo
@kambamazig02024
4 жыл бұрын
wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.
Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅
Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani
Nchi iwe Safi hii wamezoea hao
Mungu aiweke robo magu peponi amina
Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...
Ahsante MH rais
Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!
@pendomsulwa5806
4 жыл бұрын
kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee
Was a geneous person may god rest in peace our lovelly president
Hongera sana Rais.
Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...
Safi sana mh Raisi
Safi sana mheshimiwa
Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka
Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘
@rizmkondo1344
4 жыл бұрын
Rais Leo nimekusifia sna
😆😆😆 unaionaje hiyo??? Mzee anajiuma
Daaah.....J.P.M ni Noma sana .🙌🙌🙌
Uyu Mzee ni mfano wa Dunia
😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣
awakujui baba watoboe
Huyu baba apumzike kwa amani
Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.
Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako
Baba Ng'ataaaaaa
Mkulu kashasema hataki shobo Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya
Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏
vua nyota izo anatia haibu jeshi
Mmmmmh kweli mkuu nakubali kazi yako
Very nice rip john pombe
Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.
Takukuru ng'ata
Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe
Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais
El pressdente. My president God bless you sir
Hatariii
Ukweli unauma duh huyu rais hana upuuzi ni straight forward yani. wezi wote wanaogopa yani JPM oyeeeh.....
Tazama hapa pia uone Wimbo mzuri wa Maombolezo ya mheshimiwa BENJAMIN MKAPA Kutoka kwa TUNDA MAN pa1 na producer ZEST
Chuma kinazungumza
@stephanojeremiah3192
4 жыл бұрын
Mh jaman wa tz tumepata rais Mungu azidi, kulimlinda
Safi sana mwl jpm