"Umasikini hauna aibu utabaki uchi /ukae mguu pande mguu sawa"RAIS MAGUFULI

Rais John Magufuli baada ya kushuhudia utiaji saini wa Mikataba ya ujenzi wa Meli mpya pia akaongea watendaji pamoja na Wananchi kueleza mikakati ya Serikali yake.

Пікірлер: 118

  • @ramadhaniiddi6160
    @ramadhaniiddi61605 жыл бұрын

    Kama UnamUelewa Magu Gonga Like hapa

  • @arroundfoot6149

    @arroundfoot6149

    5 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/a5NsyLKCkanAgso.html

  • @nafuwswedi2465
    @nafuwswedi24655 жыл бұрын

    Kweli Tanzania ni nchi tajiri sana, Hongera sana Magufuli, hapa ulaya unasifika sana sana

  • @jamesmakori7365
    @jamesmakori73655 жыл бұрын

    Asante Mh.Rais John .P.Magufuli mambo unayoyafanya sio ya kawaida kunasababu kubwa ya kumshukuru Mungu kwa kazi kubwa Mungu anayokutumia kuifanya hakika kama mtu ajatulia sawa sawa atabaki kulaumu ukweli uko wazi mnyonge mnyonheni haki yake mpeni God bless you Mr Presedent for your contribution in this Country

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi2635 жыл бұрын

    Mkuu kweli hapa ni kazi tu.kweli mali tunayo tanzania .mungu tubariki

  • @ladisthadeo1573
    @ladisthadeo15735 жыл бұрын

    Brilliant President . You are so optimistic my dear President . May the Good Lord keep you healthy and longer . I'm so much in support of you . Blessing be God who bestowed the power that you have for the benefits of Tanzania . Proud to be a Tanzanian more especially under your successful leadership .

  • @kelvinjohn6851

    @kelvinjohn6851

    5 жыл бұрын

    Ladis Thadeo sure

  • @modestusndunguru4479

    @modestusndunguru4479

    5 жыл бұрын

    Ladis Thadeo

  • @zuberinzige6452
    @zuberinzige64525 жыл бұрын

    mungu akutangulie rais wangu nakupenda xn mpk nataman cku moja nkutane na ww nseme nakupenda kaz yako naipenda xn mungu akubarki sana

  • @allykazoa7065
    @allykazoa70655 жыл бұрын

    mheshimiwa rais mimi ninakukubali sana kwa uwazi wako wewe ni msemaukweli daima

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent65325 жыл бұрын

    Keep it up mheshimiwa rais wetu.

  • @gracejulius3966
    @gracejulius39662 жыл бұрын

    Huwa inaniuma sana kwamba hayupo tena hai. Alikuwa ni Kiongozi mzuri sana, Makini, Mchapa kazi na Kiongozi mwenye Maono. Laiti kama angemaliza miaka yake mingine mitano, nadhani Tz ingekuwa the hub of Africa in terms of development.

  • @batonbernald9164

    @batonbernald9164

    2 жыл бұрын

    Duh

  • @alexfrance5486
    @alexfrance54865 жыл бұрын

    Good vision our p

  • @nathanmateow9455
    @nathanmateow94555 жыл бұрын

    Sasa kuanzia Leo mtu wa kumpinga magufuri Mimi huyo ntamwita kichaa bila aibu,na nikikutana nae lazima nimpige Hata Ngumi.

  • @makalangelengi852

    @makalangelengi852

    5 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa apigwe tuu

  • @kelvinjohn6851

    @kelvinjohn6851

    5 жыл бұрын

    maana hakuna namna 😂😂😂

  • @makalangelengi852

    @makalangelengi852

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa Maana tunataka tuambiweje ili tuelewe? au afanyeje ili watu waelewe?

  • @Jordan_g9

    @Jordan_g9

    5 жыл бұрын

    Ka hard 😂😂😂

  • @ntimifrank2770

    @ntimifrank2770

    5 жыл бұрын

    hahahaahahahahaaaaaa...... inatosha bro usije ukaitwa central

  • @chuimnyama9074
    @chuimnyama90745 жыл бұрын

    BASI KAMA NDOO HIVO BASI WAPINZANI NI WABWEGE KWEKI KWELI

  • @deus8629
    @deus86295 жыл бұрын

    well said Mr President

  • @benjaminabisemba5331
    @benjaminabisemba53312 жыл бұрын

    RIP mzee wetu JPM 😭😭😭

  • @amanichanga3448
    @amanichanga34485 жыл бұрын

    Keep going Tanzania 🇹🇿

  • @dn.n4983
    @dn.n49835 жыл бұрын

    Lazima tuamka sasa Rais amekuja kutuamsha sasa lazima tumize mlengo yetu sasa rais wrka soma kujiamini watu gawana confidesi naisha ni muhimu sana waanze shule msingi secondary mpaka vyuo vikuu ili tujenge taifa kujiamini na uminifu muhimu sasa hajazoe wazoe wazungu kuambia cha kufanya mambo yamepita na wakati wakati huu wa wahau ya tano kazi hipo ningekua hapo rais nikupe medal unaji kupewa nobel price kweli hongera baba ubarikiwa sana wewe mama janet na watoto wajukuu

  • @dn.n4983

    @dn.n4983

    5 жыл бұрын

    Bless you our Predent

  • @ahmedalharthy6006
    @ahmedalharthy60065 жыл бұрын

    Mungu akupe uzima jaman rais huyu ananifanya nilie kwa furaha nataman ningekuwa mtanzania

  • @namlessnamless1207

    @namlessnamless1207

    5 жыл бұрын

    Aiiiiiiise unatakiwa kuwa mwendawazimu kumkataa huyu mjomba kwakweli

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas28042 жыл бұрын

    Wenye mapenzi mema na wazalendo wa nchi hii aijikutokea tukasahau maneno ya Hero tanzania

  • @wilsonnyabagaka2265
    @wilsonnyabagaka22655 жыл бұрын

    Go on magu

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri51352 жыл бұрын

    tunakukumbuka sana rais wa wanyonge punzika kwa amani

  • @jonaslameck1563
    @jonaslameck15635 жыл бұрын

    Hapo nimekuelewa mkuu

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 жыл бұрын

    I will never forget you master....

  • @salummwahu5840
    @salummwahu58405 жыл бұрын

    Kama unamuona Askali anataka kucheka vile hahah

  • @shekilashekilaabudulha5038
    @shekilashekilaabudulha50385 жыл бұрын

    Ukwel Mungu akupe maisha marefu na ukalie kiti miaka 50 Heshima yko Rais

  • @humphreymalema3024
    @humphreymalema30245 жыл бұрын

    Nakukubali sana jembe langu

  • @rainnahmlundi1266
    @rainnahmlundi12665 жыл бұрын

    mungu akulinde Raisi wetu

  • @k2plusstudio858
    @k2plusstudio8585 жыл бұрын

    Mh yupo muwazi sana tunakuombea tanzania ifike salama

  • @edson2450
    @edson24502 жыл бұрын

    Mimi sio Raisi wa milele, ipo siku mtajua kua kuna Rais alituambia ukweli

  • @jeanclaudekamanzi9678
    @jeanclaudekamanzi96782 жыл бұрын

    Duh mheshimiwa mwenyezi Mungu aendelee kukurehemu mwana wa Africa. Daima tutaendelea kukumbuka uncle Magu. Inaniuma sana !!!

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja24115 жыл бұрын

    Abusoluteli Purezidenti

  • @kiranjaally3977
    @kiranjaally39775 жыл бұрын

    najivunia rais magufuli ni rais wangu bora wa muda woooote

  • @shukurumlekwa5165
    @shukurumlekwa51655 жыл бұрын

    Piga kazi mweshimiwa

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8095 жыл бұрын

    piga kazi mkuu wewe unatafaa sana mzee Mungu akubariki baba

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus62985 жыл бұрын

    Mungu azidi kukulinda.maana na uzee nao umeanza kukuzidia,kuongoza mamia ya watu sikazi ndogo

  • @mahamedabdi1881
    @mahamedabdi18815 жыл бұрын

    Rais wetu pika kazi tu tuko nyuma yk watanzania

  • @adammponzi4371
    @adammponzi43715 жыл бұрын

    Mungu azid kkpa afya ww na family yako pamoja na viongozi wenzko wapnda maendeleo.

  • @babusadala5732
    @babusadala57322 жыл бұрын

    Rip mjomba 🙏🙏🙏😢😢😢 Now I remember

  • @adammponzi4371
    @adammponzi43715 жыл бұрын

    Yaani ninazidi kukuelewa mzee wangu.

  • @jamesmtewa961
    @jamesmtewa9612 жыл бұрын

    Ila kifo!!!!! mmmmmm Mungu ndoujuayeee.

  • @fettyfay2334

    @fettyfay2334

    2 жыл бұрын

    Saaana.. kama alijua atatangulia mbele za hakii. Apumzike kwa aman. Sichoki kumsikiliza

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari28332 жыл бұрын

    Ewe mwenyezi MUNGU mkuu ewe mwenyezi MUNGU mkuu ewe mwenyezi MUNGU mkuu mraze maali pema

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley41605 жыл бұрын

    Sababisha hali ya uchumi iwenzuri Mh .

  • @paulosamson2
    @paulosamson25 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁 Hapo kwenye dividends ndo utamu ulipo yaani umekomesha kabisa

  • @mohameddamka922
    @mohameddamka9225 жыл бұрын

    Wapinzani mkasome tena

  • @ceciliajimmy5652

    @ceciliajimmy5652

    5 жыл бұрын

    Wasingesoma wangenunuliwa? Anayoongea leo Rais wapinzani ndio kilikuwa kilio chao. Walikuwa wanashangaa viwanda vinataifishwa, nyumba za serikali zinauzwa watumishi sasa hawana makazi. Lazima ccm isifiwe, lakini waliouwa viwanda ni wapinzani? Waliotaifisha ni hao hao wa ccm huko ni kuuma na kupulizia. Nimuombe Rais afuatilie waliouwaviwanda watajwe hata kama wako mbele za haki!! Mimi nikikuta na wapinzani wamo naandaa keki nile na watoto wangu. Maneno ya leo ya Mkuu angekuwa kayasema mpinzani haya haya bila nyongeza, haki ya Mungu angeshushwa jukwaani. Ukweli unauma, wamo waccm hawajafurahishwa na hotuba hii, unabisha??

  • @moraray2616
    @moraray26165 жыл бұрын

    kweli mzee magu wewe ni zaidi ya kiongozi pia wewe kweli ni mwalimu kweli kweli ufichi kitu unaongea wazi wazi ila wanafunzi wako hawakuelewi vichwa ngumu mi ninakubari alie iharibu tanzania ni watanzania wenyewe kwaiyo lazima tuijenge wenyewe ata mataifa ya ulaya wamejenga wenyewe na maendeleo wamejiletea wenyewe safi sana rais wetu ungoze speed baba hamna kurudi nyuma baba songa mbela

  • @saidsalmin1248
    @saidsalmin12485 жыл бұрын

    Mheshimiwa naomba ufike na bunda hapa walimu tunanyanyaswa sana viongozi ukiwaambia ukweli wanatutisha

  • @JohnWilliam-ep9ky
    @JohnWilliam-ep9ky2 жыл бұрын

    Mzee mungu akulaze mahali pema peponi

  • @glorycharles1382
    @glorycharles13825 жыл бұрын

    Nakupenda saaaaaaaana raisi wangu Magufuli..... Mungu akujalie uongoze miakaa yoteee mpaka utoshekee we mwenyewee

  • @nurujuma2889
    @nurujuma28892 жыл бұрын

    Machozi Yamenitoka Kwa Uchungu Hakika Tunakukumbuka Baba Wa wanyonge

  • @charlesdavid9583
    @charlesdavid95835 жыл бұрын

    Huyu ndiye rais tunayemtaka.Anatenda kwavitendo sio porojo

  • @eugenenkandu1287
    @eugenenkandu1287 Жыл бұрын

    This man was the president of the poor MHSRIP

  • @katungenyanda6177
    @katungenyanda61775 жыл бұрын

    Nyumba zote zilizovunja nilikuwa sahihi tatizo nifence za makanisa ya AICT na KKKT ziko barabarani corridor LA barabara 30m lipo hapakuwa na sababu ya kuvunja Nyumba za ccm, madaraka na kituo cha mafuta kilichotakiwa ni kuheshinu utaalam kwanza kwa kuonyesha corridor LA barabara ambalo lipo ila makanisa hayo yamevuka mpaka yako na kyweka fence barabarani

  • @allyabdalah1399
    @allyabdalah13992 жыл бұрын

    RIP Ngosha The Don 🤲🙌🤲

  • @kalumunaanthony4203
    @kalumunaanthony42035 жыл бұрын

    Asante baba

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum38325 жыл бұрын

    Safi sana

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын

    Mzee alisema yeye sio Raisi wa milele lakini hakika mimi naona kuna pengo kubwa sana sana bila yeye, miradi ilijulikana leo hata hatuijui....miradi waliijua nje ya tanzania mpaka channels kibao za watu wa nje ya tanzania wakawa wanazungumzia, leo hakuna hata mmoja anayesema Tanzania Tanzania....kuna tatizo mahali. Inflation rate iko juu sana, hela inakosa thamani, kila kitu ulichowahi kukijua kimepanda bei hivi ndio nini....hampendi kulinganisha ila mimi nitalinganisha.....chuma chetu hiki na huyu wa leo, chuma kitabaki chuma.

  • @petermakundi1505
    @petermakundi15055 жыл бұрын

    Congratz my president

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42585 жыл бұрын

    👏🏾👏🏾👏🏾

  • @deosilayo1877
    @deosilayo18775 жыл бұрын

    Nice

  • @masungakibinza1312
    @masungakibinza13122 жыл бұрын

    JPM. Hakupaswa kuondoka mapema daa lakini itoshe tu kusema Mungu nimwema

  • @ramadhanmgaya1775
    @ramadhanmgaya17752 жыл бұрын

    Rais wa kweli sio wa Rais wa maigizo.

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka12392 жыл бұрын

    Huyu mwamba aisee!!! Any way apumzike kwa amani

  • @babaog9583
    @babaog95832 жыл бұрын

    Chapa kazi Muheshimiwa

  • @flova7022
    @flova70222 жыл бұрын

    Rip my ninja...Mungu nakuomba msamehe huyu Mzee dhambi zake

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata42302 жыл бұрын

    Uyu ndio Rais bhana dooh😭💔

  • @tumainielia8902
    @tumainielia89025 жыл бұрын

    wapinzan some time mbulula tuu

  • @rucdokibaha7668
    @rucdokibaha76685 жыл бұрын

    good

  • @kiningap
    @kiningap5 жыл бұрын

    Magufuli hapo hapo haki Kwa wanyonge hio...

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement63082 жыл бұрын

    Huku Tunakopa Tuu Saiv Ndugu Yetu ingawa Nchi Ni Tajiri

  • @jilugalamarco9308
    @jilugalamarco93085 жыл бұрын

    best president in africa

  • @paulokasera3470
    @paulokasera34702 жыл бұрын

    😊

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz2335 жыл бұрын

    My President.

  • @emaydickson4239
    @emaydickson42395 жыл бұрын

    saf kiongoz wetu

  • @faithhumble3780
    @faithhumble37802 жыл бұрын

    Duuuh Tumebakiza Kumbukumbu tu

  • @annestamwinuka
    @annestamwinuka2 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @naftalimagige4699
    @naftalimagige46995 жыл бұрын

    Nakukubali sana my President magu

  • @namlessnamless1207

    @namlessnamless1207

    5 жыл бұрын

    sema sema waambie mh rais

  • @joshuaikuu2515

    @joshuaikuu2515

    2 жыл бұрын

    Nakukubali Sana Baba Pumzika Kwa Amani

  • @samwelmfugale5593
    @samwelmfugale55935 жыл бұрын

    it's fact about all

  • @emmanuelhatangimana3431
    @emmanuelhatangimana34312 жыл бұрын

    Kiukwel huyu Rais alikuwa musema ukwel!! Anayo pinga ni nani???

  • @thomasmapunda7191
    @thomasmapunda71915 жыл бұрын

    sema mkuu wa nchi

  • @rizikiomar6710
    @rizikiomar67105 жыл бұрын

    Pemba umeitupa huji

  • @joshuakanondo9327
    @joshuakanondo93275 жыл бұрын

    the first one to comment

  • @emmanuelmajumbi9794
    @emmanuelmajumbi97942 жыл бұрын

    Amakweli kizuri hakidumu

  • @denisrweyemamu4629
    @denisrweyemamu46292 жыл бұрын

    RIP

  • @fettyfay2334
    @fettyfay23342 жыл бұрын

    Rest in peace... Ukwli tunauona

  • @annestamwinuka
    @annestamwinuka2 жыл бұрын

    Hata mwaka unakaribia kuisha wa nne laki bado inanguvu hoja hii

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa88805 жыл бұрын

    wee mzee acha siasa fanya kazi bwana mkubwa

  • @samsonjoseph670
    @samsonjoseph6705 жыл бұрын

    nakuelewa MJOMBA!.

  • @johnsamson6435
    @johnsamson64352 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman baba 😂

  • @evaristjoseph1453
    @evaristjoseph14532 жыл бұрын

    PUMZIKA KWA AMANI JPM.

  • @johnsamson6435
    @johnsamson64352 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @chapugajohn1556
    @chapugajohn15562 жыл бұрын

    nimerudi kusikiliza ili nifarijike

  • @halfamgonera5119
    @halfamgonera51192 жыл бұрын

    Magufuli

  • @arroundfoot6149
    @arroundfoot61495 жыл бұрын

    tazama porus hapa kzread.info/dash/bejne/a5NsyLKCkanAgso.html

  • @masudiitembele5414
    @masudiitembele54145 жыл бұрын

    mbona na kunawengine walikaataa ukawatishia kuvunja bunge usidanganye watu mweshimiwa na ulimtishia mpaka waziri mkuu kua ungemng'oa na vipi ile TRILION 1.5 ZILIENDA WAP?? MH

  • @moraray2616

    @moraray2616

    5 жыл бұрын

    wewe masudi kaa nyuma kama mkia wa ng'ombe ufukuze inzi hapa kazi maneno waachie waimba tarabu

  • @sarahsamwely9405

    @sarahsamwely9405

    5 жыл бұрын

    Mmmmh haya hatuna budi kukuckiliza japo bado hujalegeza mzee baba umekaza kwa mwez unaweza hata ucxhike hata buku

  • @modestusndunguru4479

    @modestusndunguru4479

    5 жыл бұрын

    Masudi Itembele acha umaku kaamulize mamaako mbowe anajua

  • @thomasjohn2016

    @thomasjohn2016

    5 жыл бұрын

    Acha kufikiri kwa kumtumia makalio kwani makalio co pesa

  • @masudiitembele5414

    @masudiitembele5414

    5 жыл бұрын

    Modestus Ndunguru yaano weee mma ya mama yakoo ipo mwezini inatalii achana na mimi boya wewe