"Umasikini hauna aibu utabaki uchi /ukae mguu pande mguu sawa"RAIS MAGUFULI
Rais John Magufuli baada ya kushuhudia utiaji saini wa Mikataba ya ujenzi wa Meli mpya pia akaongea watendaji pamoja na Wananchi kueleza mikakati ya Serikali yake.
Rais John Magufuli baada ya kushuhudia utiaji saini wa Mikataba ya ujenzi wa Meli mpya pia akaongea watendaji pamoja na Wananchi kueleza mikakati ya Serikali yake.
Пікірлер: 118
Kama UnamUelewa Magu Gonga Like hapa
@arroundfoot6149
5 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/a5NsyLKCkanAgso.html
Kweli Tanzania ni nchi tajiri sana, Hongera sana Magufuli, hapa ulaya unasifika sana sana
Asante Mh.Rais John .P.Magufuli mambo unayoyafanya sio ya kawaida kunasababu kubwa ya kumshukuru Mungu kwa kazi kubwa Mungu anayokutumia kuifanya hakika kama mtu ajatulia sawa sawa atabaki kulaumu ukweli uko wazi mnyonge mnyonheni haki yake mpeni God bless you Mr Presedent for your contribution in this Country
Mkuu kweli hapa ni kazi tu.kweli mali tunayo tanzania .mungu tubariki
Brilliant President . You are so optimistic my dear President . May the Good Lord keep you healthy and longer . I'm so much in support of you . Blessing be God who bestowed the power that you have for the benefits of Tanzania . Proud to be a Tanzanian more especially under your successful leadership .
@kelvinjohn6851
5 жыл бұрын
Ladis Thadeo sure
@modestusndunguru4479
5 жыл бұрын
Ladis Thadeo
mungu akutangulie rais wangu nakupenda xn mpk nataman cku moja nkutane na ww nseme nakupenda kaz yako naipenda xn mungu akubarki sana
mheshimiwa rais mimi ninakukubali sana kwa uwazi wako wewe ni msemaukweli daima
Keep it up mheshimiwa rais wetu.
Huwa inaniuma sana kwamba hayupo tena hai. Alikuwa ni Kiongozi mzuri sana, Makini, Mchapa kazi na Kiongozi mwenye Maono. Laiti kama angemaliza miaka yake mingine mitano, nadhani Tz ingekuwa the hub of Africa in terms of development.
@batonbernald9164
2 жыл бұрын
Duh
Good vision our p
Sasa kuanzia Leo mtu wa kumpinga magufuri Mimi huyo ntamwita kichaa bila aibu,na nikikutana nae lazima nimpige Hata Ngumi.
@makalangelengi852
5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa apigwe tuu
@kelvinjohn6851
5 жыл бұрын
maana hakuna namna 😂😂😂
@makalangelengi852
5 жыл бұрын
Kweli kabisa Maana tunataka tuambiweje ili tuelewe? au afanyeje ili watu waelewe?
@Jordan_g9
5 жыл бұрын
Ka hard 😂😂😂
@ntimifrank2770
5 жыл бұрын
hahahaahahahahaaaaaa...... inatosha bro usije ukaitwa central
BASI KAMA NDOO HIVO BASI WAPINZANI NI WABWEGE KWEKI KWELI
well said Mr President
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
Keep going Tanzania 🇹🇿
Lazima tuamka sasa Rais amekuja kutuamsha sasa lazima tumize mlengo yetu sasa rais wrka soma kujiamini watu gawana confidesi naisha ni muhimu sana waanze shule msingi secondary mpaka vyuo vikuu ili tujenge taifa kujiamini na uminifu muhimu sasa hajazoe wazoe wazungu kuambia cha kufanya mambo yamepita na wakati wakati huu wa wahau ya tano kazi hipo ningekua hapo rais nikupe medal unaji kupewa nobel price kweli hongera baba ubarikiwa sana wewe mama janet na watoto wajukuu
@dn.n4983
5 жыл бұрын
Bless you our Predent
Mungu akupe uzima jaman rais huyu ananifanya nilie kwa furaha nataman ningekuwa mtanzania
@namlessnamless1207
5 жыл бұрын
Aiiiiiiise unatakiwa kuwa mwendawazimu kumkataa huyu mjomba kwakweli
Wenye mapenzi mema na wazalendo wa nchi hii aijikutokea tukasahau maneno ya Hero tanzania
Go on magu
tunakukumbuka sana rais wa wanyonge punzika kwa amani
Hapo nimekuelewa mkuu
I will never forget you master....
Kama unamuona Askali anataka kucheka vile hahah
Ukwel Mungu akupe maisha marefu na ukalie kiti miaka 50 Heshima yko Rais
Nakukubali sana jembe langu
mungu akulinde Raisi wetu
Mh yupo muwazi sana tunakuombea tanzania ifike salama
Mimi sio Raisi wa milele, ipo siku mtajua kua kuna Rais alituambia ukweli
Duh mheshimiwa mwenyezi Mungu aendelee kukurehemu mwana wa Africa. Daima tutaendelea kukumbuka uncle Magu. Inaniuma sana !!!
Abusoluteli Purezidenti
najivunia rais magufuli ni rais wangu bora wa muda woooote
Piga kazi mweshimiwa
piga kazi mkuu wewe unatafaa sana mzee Mungu akubariki baba
Mungu azidi kukulinda.maana na uzee nao umeanza kukuzidia,kuongoza mamia ya watu sikazi ndogo
Rais wetu pika kazi tu tuko nyuma yk watanzania
Mungu azid kkpa afya ww na family yako pamoja na viongozi wenzko wapnda maendeleo.
Rip mjomba 🙏🙏🙏😢😢😢 Now I remember
Yaani ninazidi kukuelewa mzee wangu.
Ila kifo!!!!! mmmmmm Mungu ndoujuayeee.
@fettyfay2334
2 жыл бұрын
Saaana.. kama alijua atatangulia mbele za hakii. Apumzike kwa aman. Sichoki kumsikiliza
Ewe mwenyezi MUNGU mkuu ewe mwenyezi MUNGU mkuu ewe mwenyezi MUNGU mkuu mraze maali pema
Sababisha hali ya uchumi iwenzuri Mh .
😁😁😁😁😁 Hapo kwenye dividends ndo utamu ulipo yaani umekomesha kabisa
Wapinzani mkasome tena
@ceciliajimmy5652
5 жыл бұрын
Wasingesoma wangenunuliwa? Anayoongea leo Rais wapinzani ndio kilikuwa kilio chao. Walikuwa wanashangaa viwanda vinataifishwa, nyumba za serikali zinauzwa watumishi sasa hawana makazi. Lazima ccm isifiwe, lakini waliouwa viwanda ni wapinzani? Waliotaifisha ni hao hao wa ccm huko ni kuuma na kupulizia. Nimuombe Rais afuatilie waliouwaviwanda watajwe hata kama wako mbele za haki!! Mimi nikikuta na wapinzani wamo naandaa keki nile na watoto wangu. Maneno ya leo ya Mkuu angekuwa kayasema mpinzani haya haya bila nyongeza, haki ya Mungu angeshushwa jukwaani. Ukweli unauma, wamo waccm hawajafurahishwa na hotuba hii, unabisha??
kweli mzee magu wewe ni zaidi ya kiongozi pia wewe kweli ni mwalimu kweli kweli ufichi kitu unaongea wazi wazi ila wanafunzi wako hawakuelewi vichwa ngumu mi ninakubari alie iharibu tanzania ni watanzania wenyewe kwaiyo lazima tuijenge wenyewe ata mataifa ya ulaya wamejenga wenyewe na maendeleo wamejiletea wenyewe safi sana rais wetu ungoze speed baba hamna kurudi nyuma baba songa mbela
Mheshimiwa naomba ufike na bunda hapa walimu tunanyanyaswa sana viongozi ukiwaambia ukweli wanatutisha
Mzee mungu akulaze mahali pema peponi
Nakupenda saaaaaaaana raisi wangu Magufuli..... Mungu akujalie uongoze miakaa yoteee mpaka utoshekee we mwenyewee
Machozi Yamenitoka Kwa Uchungu Hakika Tunakukumbuka Baba Wa wanyonge
Huyu ndiye rais tunayemtaka.Anatenda kwavitendo sio porojo
This man was the president of the poor MHSRIP
Nyumba zote zilizovunja nilikuwa sahihi tatizo nifence za makanisa ya AICT na KKKT ziko barabarani corridor LA barabara 30m lipo hapakuwa na sababu ya kuvunja Nyumba za ccm, madaraka na kituo cha mafuta kilichotakiwa ni kuheshinu utaalam kwanza kwa kuonyesha corridor LA barabara ambalo lipo ila makanisa hayo yamevuka mpaka yako na kyweka fence barabarani
RIP Ngosha The Don 🤲🙌🤲
Asante baba
Safi sana
Mzee alisema yeye sio Raisi wa milele lakini hakika mimi naona kuna pengo kubwa sana sana bila yeye, miradi ilijulikana leo hata hatuijui....miradi waliijua nje ya tanzania mpaka channels kibao za watu wa nje ya tanzania wakawa wanazungumzia, leo hakuna hata mmoja anayesema Tanzania Tanzania....kuna tatizo mahali. Inflation rate iko juu sana, hela inakosa thamani, kila kitu ulichowahi kukijua kimepanda bei hivi ndio nini....hampendi kulinganisha ila mimi nitalinganisha.....chuma chetu hiki na huyu wa leo, chuma kitabaki chuma.
Congratz my president
👏🏾👏🏾👏🏾
Nice
JPM. Hakupaswa kuondoka mapema daa lakini itoshe tu kusema Mungu nimwema
Rais wa kweli sio wa Rais wa maigizo.
Huyu mwamba aisee!!! Any way apumzike kwa amani
Chapa kazi Muheshimiwa
Rip my ninja...Mungu nakuomba msamehe huyu Mzee dhambi zake
Uyu ndio Rais bhana dooh😭💔
wapinzan some time mbulula tuu
good
Magufuli hapo hapo haki Kwa wanyonge hio...
Huku Tunakopa Tuu Saiv Ndugu Yetu ingawa Nchi Ni Tajiri
best president in africa
😊
My President.
saf kiongoz wetu
Duuuh Tumebakiza Kumbukumbu tu
😭😭😭😭😭😭
Nakukubali sana my President magu
@namlessnamless1207
5 жыл бұрын
sema sema waambie mh rais
@joshuaikuu2515
2 жыл бұрын
Nakukubali Sana Baba Pumzika Kwa Amani
it's fact about all
Kiukwel huyu Rais alikuwa musema ukwel!! Anayo pinga ni nani???
sema mkuu wa nchi
Pemba umeitupa huji
the first one to comment
Amakweli kizuri hakidumu
RIP
Rest in peace... Ukwli tunauona
Hata mwaka unakaribia kuisha wa nne laki bado inanguvu hoja hii
wee mzee acha siasa fanya kazi bwana mkubwa
nakuelewa MJOMBA!.
Pumzika kwa aman baba 😂
PUMZIKA KWA AMANI JPM.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
nimerudi kusikiliza ili nifarijike
Magufuli
tazama porus hapa kzread.info/dash/bejne/a5NsyLKCkanAgso.html
mbona na kunawengine walikaataa ukawatishia kuvunja bunge usidanganye watu mweshimiwa na ulimtishia mpaka waziri mkuu kua ungemng'oa na vipi ile TRILION 1.5 ZILIENDA WAP?? MH
@moraray2616
5 жыл бұрын
wewe masudi kaa nyuma kama mkia wa ng'ombe ufukuze inzi hapa kazi maneno waachie waimba tarabu
@sarahsamwely9405
5 жыл бұрын
Mmmmh haya hatuna budi kukuckiliza japo bado hujalegeza mzee baba umekaza kwa mwez unaweza hata ucxhike hata buku
@modestusndunguru4479
5 жыл бұрын
Masudi Itembele acha umaku kaamulize mamaako mbowe anajua
@thomasjohn2016
5 жыл бұрын
Acha kufikiri kwa kumtumia makalio kwani makalio co pesa
@masudiitembele5414
5 жыл бұрын
Modestus Ndunguru yaano weee mma ya mama yakoo ipo mwezini inatalii achana na mimi boya wewe