Rais John Magufuli, ametoa siku saba kwa vyombo vya dola kuchunguza magari 50 yaliyopo bandarini yaliyoingizwa nchini kwa jina la Ofisi ya Rais.
Жүктеу.....
Пікірлер: 343
@nkowe_one3 жыл бұрын
Kama umemkumbuka mh magufuli like hapa 🇹🇿
@awadhally1052
2 жыл бұрын
Kwel
@jumakimawa3633
2 жыл бұрын
Hakika
@johnthobius65436 жыл бұрын
Laa Rais anafanya kazi mpaka mamwonea huruma laa!! Mungu ampe maisha marefu
@mkemiamagege84772 жыл бұрын
Kwa hii kazi uliyoifanya Magufuli Rais wangu. Ndio maana walikuuwa!! Walioumia kwa kutopig misheni town zao no wengi kinyama!!
@gaspermganga89002 жыл бұрын
Rest In Peace my president the son of Africa. Naamini uliletwa na Mungu Kufungua macho watanzania na Waafrika kwa ujumla, muda sio mrefu watu wengi wataanza kugundua kuwa kifo chako wengi tulijua kitatokea kwasababu hakuna rahisi yeyote kwenye Historia ya afrika Aliyejitolea maisha yake kwa wananchi, akapendwa na Mataifa ya ulaya. Angalia, Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Ghadafi, kwame nkuruma, Na wengine wote. Afrika we must unite before it’s too late.
@maryammeme26156 жыл бұрын
Huyu rais Ni jembe sijawai ona duniani long live magu
@eliaikawilhelm35412 жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba magufuli😭😭😭😭😭😭
@jacksonpeter60993 жыл бұрын
Rest in peace Baba. Nilikukubali mno.
@williammaroa39286 жыл бұрын
Hongera Sana Mzee jpm. kiongozi wa Mali ya umma
@nyangimarwa34483 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba, Mzalendo wetu wa nchi yake Daima hatutakusahau Kipenzi cha Watanzania utaendelea kuishi mioyoni mwetu Daima
@mr.yahzadochuno79146 жыл бұрын
I love my president❤️💛💚 magufuli forever
@sayibahati73166 жыл бұрын
Inatia huluma sana Mzee wetu,,,,,,mijitu haisikii,,ama kweli watu wakozoea wizi ni kazi sana kuacha
@elisha56936 жыл бұрын
tuombe kwaajili ya rais wetu
@ayoubbusanya82906 жыл бұрын
Nimemuonea huruma sana raisi wangu baada ya kumaliza kuongea na Kusema "haya bana", inaonesha mawaziri wake wanamuangusha Sana maana kaonesha uchungu Sana
@emanuelmartin389
6 жыл бұрын
Makonda apewe awaoneshe kazi
@emanuelmartin389
6 жыл бұрын
Makonda apewe hiyo kaz awnyoshe
@mohamedfogo8820
6 жыл бұрын
Kwa kweli moyo ni safi Anaumia sana ila mijizi ktk nchi hii ni mingi sana.yaani bado wanamzunguka tu dah!!
@st99ngeni35
6 жыл бұрын
Ayubu Busanya Ina uma sana kwakweli. Tuzidi kuiombea hii nchi na raisi wetu ili tufike
@st99ngeni35
6 жыл бұрын
mohamed selungwi Ndiyo maana wanaompinga ni wengi....WATU WANATAMANI HATA AFE ILI MAMBO YARUDI KULEX2 KWA ZAMANI. NI LAZIMA WATZ TUKUBALI KUBADIRIKA NA TUMOE SUPPORT RAISI WETU
@jummawetu6 жыл бұрын
huu ndie raisi yaani afrika tukipata maraisi wa 5 kama mafufuli yaani tunatona ugaibuni tunalejea kwetu afrika UVWF tunamupongeza sana RAISI MAGUFULI
@mtotowaraila53976 жыл бұрын
Raisi mchapa kazi East African👊👊
@selemankishema57806 жыл бұрын
haya bana!!!! pole rais wetu funga majambazi hayo waishazoea wizi
@sheilatezura56526 жыл бұрын
Nakukubali rais wangu jpm.
@albertkimaro84936 жыл бұрын
Mungu akutangulie katika kuingoza Tz, nimesikitika sana hapo mwishoni ulipo sema "Haya banna" imeonesha ni jinsi gani unavyo kerwa,
@omarmwalimu926 жыл бұрын
Uwozo wote huu unahitaji katiba mpya ambayo itakuwa Smart kwa kumshughulikia mtu yoyote bila kujali cheo au hadhi yake.Kama Rais anapambana na rushwa ,je itakuwaje kama Mungu anamchukua kabla ya kumaliza kipindi chake? ,na je itakuwaje kama akimaliza kipindi chake ?.Je tunaimani gani kama Raisi atakayefuata atafuata sera zake?.Hapo ndipo tunaposema kuna umuhimu wa katiba mpya anayoendana na usasa na kizazi cha sasa ,katiba ambayo itaweza kumshughulikia mtu yoyote hata kama ni Raisi ama waziri. Msingi wa Utawala bora ni sheria ambazo zinaweza kufanya kazi hata kwa mtu hohehahe (fukara)
@abdullaabdullahmpakanjia2336
3 жыл бұрын
Duuh ww inamaono mazito Leo ameshafariki mboeyupojela anadaikatibampya samia ndo raisi kapandishakodikibao mabandoyamepandabei mraditafranit
@vailethkidady7322
2 жыл бұрын
Uliwaza mbali sana mtu wa Mungu
@agnesakazinzurbadamwemanel8909
2 жыл бұрын
daaa uliwaza mbali xana
@africatanzaniatours5980
2 жыл бұрын
Respect kwako mzee
@mtungilandegeya63126 жыл бұрын
Rais Magufuli kazi anayo ... maana mijitu inayomzunguka inajifanya mizuzu sana
@michaelkungi8304
5 жыл бұрын
Yetu macho bhana
@kisayansimedia16263 жыл бұрын
Magufuri good job 👍
@loatalothi87846 жыл бұрын
Communication hata kwenye familia ikikosekana Mambo hayataenda, vivyohivyo na nchi viongozi,mawaziri,wakuu wa idara za serikali no communication Tanzania mnaichelewesha kuendelea,Mungu ibariki Tanzania yetu
@neozoran244 Жыл бұрын
Greatest Of All Time (G.O.A.T) ❤️💪
@mropeamadeus54456 жыл бұрын
huyo ndie Mkuu Safi Sana
@mkemiamagege84772 жыл бұрын
Huyu Kikwete huyu Alichotufanyia katika nchi hii kwakweli. Mungu anjua kuna siku atamuaibisha kwa kila jambo alilotutendea wananchi kipindi cha uwongozi wake na kipindi ambacho alipotuondolea huyu Mzee kuiingilia Serikali ya awamu ya Tano.
@gerardpaul23226 жыл бұрын
Mkuu mungu akupe ulinzi unamaaduwi wengi unauma xana bandar mkabidhi Makonda.
@erickkihuru45296 жыл бұрын
Hongera prezda kaz Nzur xana bandarn hakuna uongoz mzur angalia tena
@richardsoka24006 жыл бұрын
Uzembe wa hali ya juu! They have purposely done this, it is just an open sabotage by TPA and TRA leaders. Kudos President Magufuli. God Bless Tanzania.
@sentejr28212 жыл бұрын
Tunakukumbuka raisi wetu Raisi pekee aliependa wanyonge Dah RIP MWAMBA
@jacklinekimario7872 жыл бұрын
Natamani hata Mungu aturejeshee magufuli kidg tu hatamwezi mmoja tu afu amrudshe akapmzke aliko🥺🤲tunataka MAGUFULIFICATION🤒 Dah rip legend❤️bba wa mioyo ya wanyonge
@rizbfighter85745 жыл бұрын
Hongera mh.rais tuko nawew kila hatua na tunakuombea Mungu akulinde uzidi kufanya kaz kwa mkono wa Mungu usikate tamaa atakaye kukwamisha fukuza Mungu anataka haki Fanya kazi ya Mungu
@agnesakazinzurbadamwemanel89092 жыл бұрын
nimelia upya nilivyotazam hii video kwa mara nyingine raisi wetu leo haupo tena daa mungu mkali jamani pumzika kwa amani raisi wetu bado unaishi moyoni mwangu😭
@SuperKibwana6 жыл бұрын
Mjomba Magu, safisha tu nchi. Huu uchafu lazima utoweke kabisa na kwa Njia yoyote ile.
@ptriczkmdachi79
6 жыл бұрын
Seiff . hv
@ptriczkmdachi79
6 жыл бұрын
Seiff K ibwana
@ptriczkmdachi79
6 жыл бұрын
zZ.
@elisha56936 жыл бұрын
huyu Rais tumwache atuongoze mpk atakapo itwa na Mungu,maana anatusaidia sana
@ndelemwalonde2145
6 жыл бұрын
Dunia ya Leo haiendiii hivyoooo.
@basharahamtzhalisi6871
6 жыл бұрын
Hayo mawazo yako. Wako wazuri wengi, sema tu hawakupata nafasi hiyo.
@basharahamtzhalisi6871
6 жыл бұрын
ndele mwalonde. Kweli ndg dunia ya leo haiendi hiyo.
Our Late beloved president Pole sana nchi ilikuchosha... pumzika kwa amanj John P Magufuli
@machinefannatic996 жыл бұрын
Tanzania pasua kichwa, magari yanakaa miaka yanachomwa na jua, yanapata rust na corrosion taasisi za uma zinakosa magari ya kutosha na kuagiza mengine kijinga jinga
@kitangacharles58186 жыл бұрын
Nimekuelewa jpm
@kulwawaziri38666 жыл бұрын
Sawa sawa rais wetu mpendwa John pombe magufuli tunakusapot
@rammyissa59282 жыл бұрын
Tutakukumbaka daima mzee wetu mungu hakupumuzishe kwahamani baba
@elvunielvuni66376 жыл бұрын
duuu nakuogopa kama motoooo mkuu magugufuri
@isayangwahi92516 жыл бұрын
Baba Magu piga kazi Baba Nakuombea wallah Mungu akulinde....Lazima wanyooke
@hemedomary22816 жыл бұрын
Mh.Rais hakuna haja ya maneno mengi,piga chini hao kisha weka ndani kwa uzembe wao pia piga chini waziri.Haiwezekani hadi Rais aende bandarini ndiyo uozo ugundulike,hawa jamaa wanajua kinachoendelea juu ya hayo magari na mengine mengi tu hapo bandarini.
@pauljuma57136 жыл бұрын
Ndo maana huwa namkubali Paul makonda unadhani uchafu kama huo angeuvumilia raisi angemkabidhi hyo bandari awanyooshe
@hassanimalangu7025
5 жыл бұрын
Mm sina chakusema zaidi ya kusema. Ccm hooyeeeee
@annafrancis96992 жыл бұрын
That is wonder full and nice one for our better president
@mirrykirungi32232 жыл бұрын
Rest easy my president daima tutakukumbuka tulikupenda ila MUNGU amekupenda Zaid umeondoka Bado twakuitaji
@mcjabbyevents49386 жыл бұрын
Endelea kutunyoosha mambo mazuriiii hakika wewe ni role model viva mheshimiwa tafadhali fika na mtibwa kuna majipu
@elisanteshelukindo27456 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya JPM ,Bwana azidi kumpa hekima mara trilion
@mathiasnsegenelo75986 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda rais wangu mpendwa,nakupenda kweli rais wang
@gemkachar6 жыл бұрын
Pole Mhe Rais. mwenyezi mungu yupo nawe.
@angelamarlow5102 жыл бұрын
Hakika utabaki kua ww kwenye moyo wangu Rais Dr Magufuli Nina Iman ulijichagulia fungu sahihi wakati wa Uhai wako,,
@kitimethegreat526 жыл бұрын
Yaani nimejisikia sana uchungu uchungu, kwanini mzigo wote huo ubebeshwe peke yako, wao wanakodoa tu mimacho.
@clementhiddi1486
3 жыл бұрын
Viongozi Tanzania ni aibu tu no accountability nor patriotism, rais anaumia sana.
@mihambokitambo4216 жыл бұрын
jama Mungu amsadie rais
@yohanamagele3633
6 жыл бұрын
MIHAMBO KITAMBO
@hamisisonga43576 жыл бұрын
Kusema ukweli mawaziri baadhi bado wanaboa aisee kama hawajuw wajibu wao wapishe two wenye ham na kazi waje kupiga coz hawawajibiki ipasanyo piga kazi jembe tunakusapoti
@sammweusimweusi7806 жыл бұрын
Mh rais watendaji wako hasa kwenye chama chako wanakuhujumu.
@Crabtree18442 жыл бұрын
Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge.
@skeetergodwins25764 жыл бұрын
Baba fanya kazi ya kuwatumikia watanzania uliowaahidi. Tunakupongeza sana. Wewe fanya sehemu yako wasioelewa achana nao baba.
@rajabmsinzia17152 жыл бұрын
Leo nimejisikia kukukumbuka tu mzee dah No one is like you, No one watakuja wengi ila Hatotokea mwengine
@mussataliye78155 жыл бұрын
Rais wangu najivunia sn kuwa na Rais kama ww mungu akulinde
@malcomg10042 жыл бұрын
Sasa ni 2022,kma umeshammis sana jembe Magu gonga like tumuenzi Baba yetu
@mpumulagrandson78802 жыл бұрын
Tunakukumbuka Sana JPM Allah akupumzike na akupunguzie adhabu ya kaburi Ameen
@upendorobert72986 жыл бұрын
duuh, nchi hii, huliwa na wenye meno. mawaziri wote ni mizigo tu. utafukuza wote tu
@barikichichimu35026 жыл бұрын
j..p..m mungu akubariki na akupe nguvu daima.saaaf sana .
@muzdalfaaladina69432 жыл бұрын
Dah nimekumis sanaa baba pumzika kwa amani😭😭😭😭🇹🇿
@Tiffany3406 жыл бұрын
natamani makonda awe waziri ausike na bandari watamkoma
@rafiikapanda2156
5 жыл бұрын
Fetry John chizi awezi kua wazili
@josephkinunda42116 жыл бұрын
Siyo mwepesi sn wa kucomment kuhusu mambo km haya lkn huu ni uzembe mkubwa ambao hata mm mwenyewe nikipewa nafasi km hii siwezi kuufanya. Hongera rais.
Mheshimiwa hayo magari ya polisi itakuwa ni RAIA alipewa tenda ayalete sasa wewe baada ya kusitisha kupewa tenda watu binafsi ndio kimbembe kilipokuja ndio maana unaona yamekaa hapo sasa umeshatoa amri yatolewe bado utamfahidisha huyo aliyeyaleta kwanza atulipe kodi yetu ndio hayo magari yatolewe huo mchezo mzima wasimamizi wako watakuwa wanaujua
@joshuanyamkokoma14676 жыл бұрын
Mungu azid kukuongoza na kukulinda Raisi wetu
@bekabakari73942 жыл бұрын
Tumempoteza shujaa Mungu ndiye anaye jua
@emmanuelmichael30122 жыл бұрын
Daa speech zake sijui Kama zitasahaulika
@mcjabbyevents49386 жыл бұрын
Mungu akuzidishie mheshimiwa
@franklazaro76606 жыл бұрын
upo sawa mzee wangu
@josephmkemangwa43896 жыл бұрын
Safi sana mkulugezi izo gali zije na ilinga gali ni chache ilinga!
@andason54062 жыл бұрын
Tutakukumbuka sn bb saizi wale uliowabana kwahaki saizi wanatusumbuwa sisi maskin
@romanshirima29726 жыл бұрын
Huyo jamaa mwenye magari yuko na wewe ulipo mkuu wangu ""humjui"?? nimtajeee????
@wilhadarobogastshirima9149
4 жыл бұрын
😀😁😁
@sayibahati73166 жыл бұрын
MPE makonda bandari mkuu wetu,,,,,
@ymusic8032 жыл бұрын
Uliupiga mwingi sanaa kila cku ww ni kazi tu hakuna kuzurula nchi za nje hakuna kutulia ikulu .........Mungu natamani kumuona Magufuri mwingine ...
@marysaimon22132 жыл бұрын
Nani atakaye fichua wizi kama huu, tunakumic sana Rais wetu
@barakamasanja84662 жыл бұрын
Very good anko magu lala salama
@mditijaphet73476 жыл бұрын
Ndiyo makonda itapendeza zaidi
@stevenlyando18016 жыл бұрын
magu anapiga sana kazi huyu mzee,kaniumiza sana roho mwishoni hapo eti HAYA BWANA duuuh
@jimmyjay95942 жыл бұрын
Rest in peace king
@keloboy78446 жыл бұрын
kazi juu ya kaz yani bamba tubamba
@godfreyhiza10752 жыл бұрын
Miss U my president!!!!You are legend is with us
@ezekielkimaro16474 жыл бұрын
Live long my president!
@yonasangitho44856 жыл бұрын
kudadeki huhu anko huyu ni balaa hatari anakaba mpaka penalty
@bahatimwakagugu9796 жыл бұрын
Komaa nao Baba'! Hao watumishi mizigo watanyooka tuu. Kwani zama zimebadirika mambo ya kukaa maofisini tu zimeisha. Hapa kazi tu. Ufisadi hauna nafasi.
@benjagabril99943 жыл бұрын
Dah mzee anasema Aya bana vigogo munamuangusha 🚶🚶🚶
@elisha56936 жыл бұрын
Amen rais wangu
@myoutubecom-gg7sb4 жыл бұрын
Mzee magufuli chukua gari zako hiyo hawa waharamia wametumia jina la raisi
@sitellamatni68783 жыл бұрын
Huyu ndie magufuri Duuuh kwakweli mungu anamakusudi yake kutupa nakutupokonya 🙆🙆🙆
@nestorykayombo86816 жыл бұрын
Mmmm magufuri ninoma
@barakamasanja84662 жыл бұрын
Magufuli raid bora mungu akupe ufalme mbiguni
@ahmedysaidy98742 жыл бұрын
Hayo magari yana siri kubwa.
@stahncalifornia2146 жыл бұрын
Maguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@matysamwel85926 жыл бұрын
makonda apewe uwaziri hayo yoyote yatakwisha,hiyo kasi yako aneiweza vizuri zaidi na Makonda
@strikerhussein92126 жыл бұрын
hahahahaa mister prisdent big up naona vidume kimyaaaa vijasho lainiiii hahahaha ukiwakuta kwenye office zao c mikwala hiyo watumbue tu mkongwe .na ktiba tuibadili uendelee 2040
@temkezatv43813 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Пікірлер: 343
Kama umemkumbuka mh magufuli like hapa 🇹🇿
@awadhally1052
2 жыл бұрын
Kwel
@jumakimawa3633
2 жыл бұрын
Hakika
Laa Rais anafanya kazi mpaka mamwonea huruma laa!! Mungu ampe maisha marefu
Kwa hii kazi uliyoifanya Magufuli Rais wangu. Ndio maana walikuuwa!! Walioumia kwa kutopig misheni town zao no wengi kinyama!!
Rest In Peace my president the son of Africa. Naamini uliletwa na Mungu Kufungua macho watanzania na Waafrika kwa ujumla, muda sio mrefu watu wengi wataanza kugundua kuwa kifo chako wengi tulijua kitatokea kwasababu hakuna rahisi yeyote kwenye Historia ya afrika Aliyejitolea maisha yake kwa wananchi, akapendwa na Mataifa ya ulaya. Angalia, Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Ghadafi, kwame nkuruma, Na wengine wote. Afrika we must unite before it’s too late.
Huyu rais Ni jembe sijawai ona duniani long live magu
Pumzika kwa aman baba magufuli😭😭😭😭😭😭
Rest in peace Baba. Nilikukubali mno.
Hongera Sana Mzee jpm. kiongozi wa Mali ya umma
Pumzika kwa Amani Baba, Mzalendo wetu wa nchi yake Daima hatutakusahau Kipenzi cha Watanzania utaendelea kuishi mioyoni mwetu Daima
I love my president❤️💛💚 magufuli forever
Inatia huluma sana Mzee wetu,,,,,,mijitu haisikii,,ama kweli watu wakozoea wizi ni kazi sana kuacha
tuombe kwaajili ya rais wetu
Nimemuonea huruma sana raisi wangu baada ya kumaliza kuongea na Kusema "haya bana", inaonesha mawaziri wake wanamuangusha Sana maana kaonesha uchungu Sana
@emanuelmartin389
6 жыл бұрын
Makonda apewe awaoneshe kazi
@emanuelmartin389
6 жыл бұрын
Makonda apewe hiyo kaz awnyoshe
@mohamedfogo8820
6 жыл бұрын
Kwa kweli moyo ni safi Anaumia sana ila mijizi ktk nchi hii ni mingi sana.yaani bado wanamzunguka tu dah!!
@st99ngeni35
6 жыл бұрын
Ayubu Busanya Ina uma sana kwakweli. Tuzidi kuiombea hii nchi na raisi wetu ili tufike
@st99ngeni35
6 жыл бұрын
mohamed selungwi Ndiyo maana wanaompinga ni wengi....WATU WANATAMANI HATA AFE ILI MAMBO YARUDI KULEX2 KWA ZAMANI. NI LAZIMA WATZ TUKUBALI KUBADIRIKA NA TUMOE SUPPORT RAISI WETU
huu ndie raisi yaani afrika tukipata maraisi wa 5 kama mafufuli yaani tunatona ugaibuni tunalejea kwetu afrika UVWF tunamupongeza sana RAISI MAGUFULI
Raisi mchapa kazi East African👊👊
haya bana!!!! pole rais wetu funga majambazi hayo waishazoea wizi
Nakukubali rais wangu jpm.
Mungu akutangulie katika kuingoza Tz, nimesikitika sana hapo mwishoni ulipo sema "Haya banna" imeonesha ni jinsi gani unavyo kerwa,
Uwozo wote huu unahitaji katiba mpya ambayo itakuwa Smart kwa kumshughulikia mtu yoyote bila kujali cheo au hadhi yake.Kama Rais anapambana na rushwa ,je itakuwaje kama Mungu anamchukua kabla ya kumaliza kipindi chake? ,na je itakuwaje kama akimaliza kipindi chake ?.Je tunaimani gani kama Raisi atakayefuata atafuata sera zake?.Hapo ndipo tunaposema kuna umuhimu wa katiba mpya anayoendana na usasa na kizazi cha sasa ,katiba ambayo itaweza kumshughulikia mtu yoyote hata kama ni Raisi ama waziri. Msingi wa Utawala bora ni sheria ambazo zinaweza kufanya kazi hata kwa mtu hohehahe (fukara)
@abdullaabdullahmpakanjia2336
3 жыл бұрын
Duuh ww inamaono mazito Leo ameshafariki mboeyupojela anadaikatibampya samia ndo raisi kapandishakodikibao mabandoyamepandabei mraditafranit
@vailethkidady7322
2 жыл бұрын
Uliwaza mbali sana mtu wa Mungu
@agnesakazinzurbadamwemanel8909
2 жыл бұрын
daaa uliwaza mbali xana
@africatanzaniatours5980
2 жыл бұрын
Respect kwako mzee
Rais Magufuli kazi anayo ... maana mijitu inayomzunguka inajifanya mizuzu sana
@michaelkungi8304
5 жыл бұрын
Yetu macho bhana
Magufuri good job 👍
Communication hata kwenye familia ikikosekana Mambo hayataenda, vivyohivyo na nchi viongozi,mawaziri,wakuu wa idara za serikali no communication Tanzania mnaichelewesha kuendelea,Mungu ibariki Tanzania yetu
Greatest Of All Time (G.O.A.T) ❤️💪
huyo ndie Mkuu Safi Sana
Huyu Kikwete huyu Alichotufanyia katika nchi hii kwakweli. Mungu anjua kuna siku atamuaibisha kwa kila jambo alilotutendea wananchi kipindi cha uwongozi wake na kipindi ambacho alipotuondolea huyu Mzee kuiingilia Serikali ya awamu ya Tano.
Mkuu mungu akupe ulinzi unamaaduwi wengi unauma xana bandar mkabidhi Makonda.
Hongera prezda kaz Nzur xana bandarn hakuna uongoz mzur angalia tena
Uzembe wa hali ya juu! They have purposely done this, it is just an open sabotage by TPA and TRA leaders. Kudos President Magufuli. God Bless Tanzania.
Tunakukumbuka raisi wetu Raisi pekee aliependa wanyonge Dah RIP MWAMBA
Natamani hata Mungu aturejeshee magufuli kidg tu hatamwezi mmoja tu afu amrudshe akapmzke aliko🥺🤲tunataka MAGUFULIFICATION🤒 Dah rip legend❤️bba wa mioyo ya wanyonge
Hongera mh.rais tuko nawew kila hatua na tunakuombea Mungu akulinde uzidi kufanya kaz kwa mkono wa Mungu usikate tamaa atakaye kukwamisha fukuza Mungu anataka haki Fanya kazi ya Mungu
nimelia upya nilivyotazam hii video kwa mara nyingine raisi wetu leo haupo tena daa mungu mkali jamani pumzika kwa amani raisi wetu bado unaishi moyoni mwangu😭
Mjomba Magu, safisha tu nchi. Huu uchafu lazima utoweke kabisa na kwa Njia yoyote ile.
@ptriczkmdachi79
6 жыл бұрын
Seiff . hv
@ptriczkmdachi79
6 жыл бұрын
Seiff K ibwana
@ptriczkmdachi79
6 жыл бұрын
zZ.
huyu Rais tumwache atuongoze mpk atakapo itwa na Mungu,maana anatusaidia sana
@ndelemwalonde2145
6 жыл бұрын
Dunia ya Leo haiendiii hivyoooo.
@basharahamtzhalisi6871
6 жыл бұрын
Hayo mawazo yako. Wako wazuri wengi, sema tu hawakupata nafasi hiyo.
@basharahamtzhalisi6871
6 жыл бұрын
ndele mwalonde. Kweli ndg dunia ya leo haiendi hiyo.
@semeninyerere3573
6 жыл бұрын
Jinga
@junubmedia3831
4 жыл бұрын
Haijalishi unavyocheza vizuri lkn mwishowe unafaa ushuke jukwani, mawazo nzuri iyo yako lakini hatufanyi ivo.
Our Late beloved president Pole sana nchi ilikuchosha... pumzika kwa amanj John P Magufuli
Tanzania pasua kichwa, magari yanakaa miaka yanachomwa na jua, yanapata rust na corrosion taasisi za uma zinakosa magari ya kutosha na kuagiza mengine kijinga jinga
Nimekuelewa jpm
Sawa sawa rais wetu mpendwa John pombe magufuli tunakusapot
Tutakukumbaka daima mzee wetu mungu hakupumuzishe kwahamani baba
duuu nakuogopa kama motoooo mkuu magugufuri
Baba Magu piga kazi Baba Nakuombea wallah Mungu akulinde....Lazima wanyooke
Mh.Rais hakuna haja ya maneno mengi,piga chini hao kisha weka ndani kwa uzembe wao pia piga chini waziri.Haiwezekani hadi Rais aende bandarini ndiyo uozo ugundulike,hawa jamaa wanajua kinachoendelea juu ya hayo magari na mengine mengi tu hapo bandarini.
Ndo maana huwa namkubali Paul makonda unadhani uchafu kama huo angeuvumilia raisi angemkabidhi hyo bandari awanyooshe
@hassanimalangu7025
5 жыл бұрын
Mm sina chakusema zaidi ya kusema. Ccm hooyeeeee
That is wonder full and nice one for our better president
Rest easy my president daima tutakukumbuka tulikupenda ila MUNGU amekupenda Zaid umeondoka Bado twakuitaji
Endelea kutunyoosha mambo mazuriiii hakika wewe ni role model viva mheshimiwa tafadhali fika na mtibwa kuna majipu
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya JPM ,Bwana azidi kumpa hekima mara trilion
Mungu azidi kukulinda rais wangu mpendwa,nakupenda kweli rais wang
Pole Mhe Rais. mwenyezi mungu yupo nawe.
Hakika utabaki kua ww kwenye moyo wangu Rais Dr Magufuli Nina Iman ulijichagulia fungu sahihi wakati wa Uhai wako,,
Yaani nimejisikia sana uchungu uchungu, kwanini mzigo wote huo ubebeshwe peke yako, wao wanakodoa tu mimacho.
@clementhiddi1486
3 жыл бұрын
Viongozi Tanzania ni aibu tu no accountability nor patriotism, rais anaumia sana.
jama Mungu amsadie rais
@yohanamagele3633
6 жыл бұрын
MIHAMBO KITAMBO
Kusema ukweli mawaziri baadhi bado wanaboa aisee kama hawajuw wajibu wao wapishe two wenye ham na kazi waje kupiga coz hawawajibiki ipasanyo piga kazi jembe tunakusapoti
Mh rais watendaji wako hasa kwenye chama chako wanakuhujumu.
Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge.
Baba fanya kazi ya kuwatumikia watanzania uliowaahidi. Tunakupongeza sana. Wewe fanya sehemu yako wasioelewa achana nao baba.
Leo nimejisikia kukukumbuka tu mzee dah No one is like you, No one watakuja wengi ila Hatotokea mwengine
Rais wangu najivunia sn kuwa na Rais kama ww mungu akulinde
Sasa ni 2022,kma umeshammis sana jembe Magu gonga like tumuenzi Baba yetu
Tunakukumbuka Sana JPM Allah akupumzike na akupunguzie adhabu ya kaburi Ameen
duuh, nchi hii, huliwa na wenye meno. mawaziri wote ni mizigo tu. utafukuza wote tu
j..p..m mungu akubariki na akupe nguvu daima.saaaf sana .
Dah nimekumis sanaa baba pumzika kwa amani😭😭😭😭🇹🇿
natamani makonda awe waziri ausike na bandari watamkoma
@rafiikapanda2156
5 жыл бұрын
Fetry John chizi awezi kua wazili
Siyo mwepesi sn wa kucomment kuhusu mambo km haya lkn huu ni uzembe mkubwa ambao hata mm mwenyewe nikipewa nafasi km hii siwezi kuufanya. Hongera rais.
Makonda anasitaili kua wazili apewe bandali kuisimamia
Mheshimiwa hayo magari ya polisi itakuwa ni RAIA alipewa tenda ayalete sasa wewe baada ya kusitisha kupewa tenda watu binafsi ndio kimbembe kilipokuja ndio maana unaona yamekaa hapo sasa umeshatoa amri yatolewe bado utamfahidisha huyo aliyeyaleta kwanza atulipe kodi yetu ndio hayo magari yatolewe huo mchezo mzima wasimamizi wako watakuwa wanaujua
Mungu azid kukuongoza na kukulinda Raisi wetu
Tumempoteza shujaa Mungu ndiye anaye jua
Daa speech zake sijui Kama zitasahaulika
Mungu akuzidishie mheshimiwa
upo sawa mzee wangu
Safi sana mkulugezi izo gali zije na ilinga gali ni chache ilinga!
Tutakukumbuka sn bb saizi wale uliowabana kwahaki saizi wanatusumbuwa sisi maskin
Huyo jamaa mwenye magari yuko na wewe ulipo mkuu wangu ""humjui"?? nimtajeee????
@wilhadarobogastshirima9149
4 жыл бұрын
😀😁😁
MPE makonda bandari mkuu wetu,,,,,
Uliupiga mwingi sanaa kila cku ww ni kazi tu hakuna kuzurula nchi za nje hakuna kutulia ikulu .........Mungu natamani kumuona Magufuri mwingine ...
Nani atakaye fichua wizi kama huu, tunakumic sana Rais wetu
Very good anko magu lala salama
Ndiyo makonda itapendeza zaidi
magu anapiga sana kazi huyu mzee,kaniumiza sana roho mwishoni hapo eti HAYA BWANA duuuh
Rest in peace king
kazi juu ya kaz yani bamba tubamba
Miss U my president!!!!You are legend is with us
Live long my president!
kudadeki huhu anko huyu ni balaa hatari anakaba mpaka penalty
Komaa nao Baba'! Hao watumishi mizigo watanyooka tuu. Kwani zama zimebadirika mambo ya kukaa maofisini tu zimeisha. Hapa kazi tu. Ufisadi hauna nafasi.
Dah mzee anasema Aya bana vigogo munamuangusha 🚶🚶🚶
Amen rais wangu
Mzee magufuli chukua gari zako hiyo hawa waharamia wametumia jina la raisi
Huyu ndie magufuri Duuuh kwakweli mungu anamakusudi yake kutupa nakutupokonya 🙆🙆🙆
Mmmm magufuri ninoma
Magufuli raid bora mungu akupe ufalme mbiguni
Hayo magari yana siri kubwa.
Maguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
makonda apewe uwaziri hayo yoyote yatakwisha,hiyo kasi yako aneiweza vizuri zaidi na Makonda
hahahahaa mister prisdent big up naona vidume kimyaaaa vijasho lainiiii hahahaha ukiwakuta kwenye office zao c mikwala hiyo watumbue tu mkongwe .na ktiba tuibadili uendelee 2040
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Big up
Piga chini hao