Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

Пікірлер: 299

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu24218 ай бұрын

    Anayeangalia hizi clip za JPM mpaka leo tujuane kwa like.

  • @JofreyMsigwa-ok7hv

    @JofreyMsigwa-ok7hv

    4 ай бұрын

    MAGU Wee 🙏🙏

  • @victorkamau5716

    @victorkamau5716

    3 ай бұрын

    𝑵𝒌𝒐 𝒂𝒑𝒂 𝒇𝒓𝒐𝒎 𝒌𝒆𝒏𝒚𝒂

  • @abdallahsidudu3438
    @abdallahsidudu3438 Жыл бұрын

    Nawapenda wote mnaempenda maguful

  • @geraldmakalala6091

    @geraldmakalala6091

    5 ай бұрын

    Kabisa

  • @user-qz2sk3is9c

    @user-qz2sk3is9c

    5 ай бұрын

    Nami nakupenda pia

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    4 ай бұрын

    Nami nakupenda pia ❤

  • @user-qz2sk3is9c

    @user-qz2sk3is9c

    4 ай бұрын

    @@halimamasai2234 Asante kwa kunipenda

  • @saidrashid5972
    @saidrashid5972 Жыл бұрын

    Kama kuna chuo cha Uongozi na utumishi bora basi Magufuli ni best institute of leadership

  • @allymwadi2815
    @allymwadi2815 Жыл бұрын

    Ulale salamaa mzee wetuuu

  • @msafirimwambela8887
    @msafirimwambela8887 Жыл бұрын

    Mungu tupe rais Tena kama huyu,

  • @saimonjoseph4663

    @saimonjoseph4663

    Жыл бұрын

    Hawez tokea

  • @user-rw5uw9jq5b

    @user-rw5uw9jq5b

    6 ай бұрын

    Baada ya miaka mia 7

  • @user-qz2sk3is9c

    @user-qz2sk3is9c

    5 ай бұрын

    Inshaallah

  • @user-qz2sk3is9c

    @user-qz2sk3is9c

    5 ай бұрын

    ​@@saimonjoseph4663kwa nini

  • @David-if6nk

    @David-if6nk

    5 ай бұрын

    Labda makonda

  • @chubakamirindijean-pierre5261
    @chubakamirindijean-pierre5261 Жыл бұрын

    Kiongozi wa Afrika tofauti kabisa, ulikuwa mutu wa maana sana, hatutakusahau kamwe, kutoka Bukavu Congo ,drc 🇨🇩😭😭😭😭.

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye60133 жыл бұрын

    Man of the people

  • @samwelmushi6162
    @samwelmushi6162 Жыл бұрын

    Chadema na ccm wote wale wale wanasiasa lkn huyu alikuwa kiongozi mwenye maono ya mbali jpm tutakumumbuka baba

  • @KuntukumuSadam
    @KuntukumuSadam Жыл бұрын

    Moja ya watu muhimu kuwahi kutokea 😢😢😢😢😢

  • @getrudecharles8689

    @getrudecharles8689

    11 ай бұрын

    Hakika,

  • @flightclubtanzania1638
    @flightclubtanzania16383 жыл бұрын

    Nenda kwa Aman Mwamba wetu

  • @simonjongoja
    @simonjongoja Жыл бұрын

    Kizur hakidumu 1 of the fdssertrsg people...

  • @funnymoments5393
    @funnymoments53933 жыл бұрын

    Alikua kiongozi asiye yumbishwa, hapendi mzaa kwenye issue serious, utadumu daima Shujaa wetu, umeacha alama 😭😭

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    Жыл бұрын

    Daa kaka nakukumbuka kwa ujasiri wako kaka

  • @denissiedisoni-lk7xm

    @denissiedisoni-lk7xm

    Жыл бұрын

    Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana

  • @ferdinandshisanya7216
    @ferdinandshisanya7216 Жыл бұрын

    It's only Magufuli spirits that can liberate Africa. Continue Rip a True liberator🇰🇪🇰🇪

  • @saidndimbo2738
    @saidndimbo2738 Жыл бұрын

    A true leader of Africa, Rest in peace

  • @user-rt7rl6ki1r

    @user-rt7rl6ki1r

    5 ай бұрын

    GOOD

  • @tajiriadamu41
    @tajiriadamu41 Жыл бұрын

    You still alive my president kutoka South Africa 🙏🏿

  • @samidohsam-fj1lo
    @samidohsam-fj1lo Жыл бұрын

    He was a man a man with mercy wisdom

  • @husseinnkuna6401
    @husseinnkuna6401 Жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba utakumbukwa daima 😭

  • @Stanley.kapumbira
    @Stanley.kapumbira Жыл бұрын

    Baba yetu jaman 😭😭😭nchi ishakua yakisenge sana hii jaman

  • @shaffihsiraji3141

    @shaffihsiraji3141

    5 ай бұрын

    Kabisa

  • @mwingadulle7400

    @mwingadulle7400

    4 ай бұрын

    Mnoooo

  • @Abneruwezaeliyaad2
    @Abneruwezaeliyaad211 ай бұрын

    Sifa heshma na utukufu tunakurejeshea MUNGU BABA kwa kutupa kiumbe wko aliye na roho kma yako....asante MUNGU uliyemkuu....emeeeeeeen

  • @faza4023
    @faza4023 Жыл бұрын

    Eh MUNGU Baba asante ulitupa Raisi huyu🙏🏾🙏🏾🙏🏾 tumejifunza mengi..narudia tena ASANTE SANA MUNGU MUUMBAJI. Tusije tukasahau kukushukuru,hatukutegemea kama kuna mtu kama huyu.

  • @yohanaamon5182

    @yohanaamon5182

    Жыл бұрын

    Kweli Mungu Asante kwa kutupa JPM. Ni maombi yangu umuweke katika ufalme wako. Maana aliyoyatenda yaliwapa tumaini masikini wa roho na mwili na wenye njaa. Amen.

  • @thomaskubini8116
    @thomaskubini8116 Жыл бұрын

    Hatatokea raise kama wewe baba lala salama raise wa wanyonge nilkupenda sana

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro11255 ай бұрын

    Nakukumbuka sana RAIS wangu wa Kila siku 🕊️🕊️ 2024

  • @faizatmfaume9051
    @faizatmfaume9051 Жыл бұрын

    Jaman siyo siri nimekumbuka hotuba za mwisho wa mwezi hasa za magufuli mungu azid kumpa pumziko la milele

  • @maryamjumah
    @maryamjumah Жыл бұрын

    Uchaguzi ujao naomba mungu apokee dua yangu tuongozwe na majaaliwa

  • @Mobmob2013

    @Mobmob2013

    Жыл бұрын

    Hujui unachoomba Marry Tuombe Mungu Kwa bidii yeye ndiye anayejua nchi hii na anayetujua. Kumbuka yeye ndo alituambia Jpm yupo ikulu anaendelea kuchapa kazi

  • @jnote9283

    @jnote9283

    Жыл бұрын

    Hujui kitu

  • @n_onlinetv91

    @n_onlinetv91

    Жыл бұрын

    Kabisaaa dua yangu pia nikuona tunabahatika tunampata majaliwa

  • @faustinamahenge2250

    @faustinamahenge2250

    8 ай бұрын

    Amina tuko pamoja ajiuzuru uwaziri mkuu sasa ili achukue fomu ya kugombea urais

  • @dr.djshigongo4927
    @dr.djshigongo4927 Жыл бұрын

    Mtu aliwatukana hadi hao mabeberu na kugomea masharti yao mengi lakini leo mtu anasema alikopa sanaaa, najiuliza sana Inawezekanaje mtu umtukane na ugomee masharti yake hadharani halafu akukopeshe sanaaa?daaaah haya bhana ndo keshaondoka hawezi kujibu karma itamjibia....R.I.P Mzee baba🥺

  • @lubangompyalimi8922

    @lubangompyalimi8922

    Жыл бұрын

    Maaduwi zake wa ndani ndio wanajitahidi kuchafua jina lake hasa kwa mbinu mbalimbali , et alikopa saana. hasa baadhi ya waadishi wa habari.walibanwa na jpm .sasa wanalipiza kwa kuchafua jina lake. Ukweli utabaki kuwa JPM was an excellent leader .

  • @faza4023

    @faza4023

    Жыл бұрын

    Usiwaze..hawawezi kumchafua, chuma

  • @nawandafamito500

    @nawandafamito500

    Жыл бұрын

    Hawatoweza maana mungu ni moto ni moto ulao hata wawe wawe wengi vp ukweli utazidi kua na nguvu

  • @charlesjohn5792

    @charlesjohn5792

    Жыл бұрын

    Ni huzuni kwakweli

  • @newadibalozi8773

    @newadibalozi8773

    Жыл бұрын

    umeongea hoja kubwa sana na mm nilijiuliza kama ww hivo hivo

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Жыл бұрын

    chuma kama chuma mtu bad uyooo kuna kama ww mzeee

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Жыл бұрын

    Hatuwezi kupata tena kama mjomba magu ,R.I.P 😭

  • @geraldmakalala6091

    @geraldmakalala6091

    Жыл бұрын

    Itakuwa ngumu sana

  • @MACHOYATAI-jk6fu

    @MACHOYATAI-jk6fu

    9 ай бұрын

    Tumempata mwabukusi

  • @johanesbagenzi2486
    @johanesbagenzi248610 ай бұрын

    Mungu akupe uzima wa milele.

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    Hakuna tena Hutuba zenye hamu ya kuzisikiliza ,hutuba zilizojaa Hisia za Ukweli kutoka moyoni,,,,ALLAH AKUWEKE SEHEMU UNAYOSTAHILI MAGU

  • @dbarrik4108
    @dbarrik41085 ай бұрын

    Its now time for Africana as continent to be magulified for the better tomorrow of its people

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi656 Жыл бұрын

    Rest in power Ngosha

  • @omaryramadhani290
    @omaryramadhani290 Жыл бұрын

    Dah hatutapata rais mwenyemachungu na tanzania kama magufuli haitaweza tokea

  • @christophermontelo2518

    @christophermontelo2518

    Жыл бұрын

    Una uhakika gani?

  • @davismakundi1700
    @davismakundi1700 Жыл бұрын

    Eee mwenyez mungu mlaze mahali pema peponi bb yetu huyu

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 Жыл бұрын

    Tanzania wajanja wengi Rais kama uyu hawezi pendwa hataaaaaaa🙌

  • @magrethcolestine2880

    @magrethcolestine2880

    Жыл бұрын

    Pumuzika kwa amani

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    Жыл бұрын

    King wa tabata kwako wahalifu na wezi ndo wajanja...haya bhanaaa!!

  • @charlesjohn5792

    @charlesjohn5792

    Жыл бұрын

    Kweli KABISA

  • @kelvinbernard5453
    @kelvinbernard5453 Жыл бұрын

    Yoooooo inuma inaumaaaa, r.I.p magu

  • @charlesmihayo1275
    @charlesmihayo1275 Жыл бұрын

    Mzee pumzika kwa amani ulikuwa unatenda bila kubahatisha uongoze na huko uliko bajba

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Жыл бұрын

    Magufuli hakufa na ugonjwa wa moyo.!!! Acha uongo.!!!!! Kikwete na Samia na daktari wao wanahusika.

  • @husseinbakari123

    @husseinbakari123

    Жыл бұрын

    Really

  • @doricemitanto7481

    @doricemitanto7481

    Жыл бұрын

    KABISA .😭

  • @malcomg1004

    @malcomg1004

    5 ай бұрын

    Hakika

  • @user-uu7mg3ff8l
    @user-uu7mg3ff8l6 ай бұрын

    m.mungu akuekee mahar pema peponi

  • @raymondalfred8540
    @raymondalfred8540 Жыл бұрын

    We love you for ever 😥😥

  • @lukindombuleti8174
    @lukindombuleti8174 Жыл бұрын

    Huyu ndio raisi ww cc masikini na watu wa hali ya chini,tangulia mzee ila ipo siku utarudi tanzani

  • @bennie7239
    @bennie7239 Жыл бұрын

    Taarifa za habari siku hizi hazina mvuto 😎. Enzi hizi taarifa za habari watu walikuwa wanalipia kama mpira...

  • @newadibalozi8773

    @newadibalozi8773

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 umetisha

  • @godfreyndole4706
    @godfreyndole4706 Жыл бұрын

    Tutakukumbu sanaa😭

  • @zenajsalehe5341
    @zenajsalehe53415 ай бұрын

    Magufuli baba tunakukumbuka ,😢mungu akuremu kabisa tuliishi kwakujiamini sana aaa😭we gonna miss you magu

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Жыл бұрын

    Hakika mzee uniombee ipo siku nitagombea urais kwenye Taifa letu na watanzania wakiniamini basi baba nakuahidi sintakuangusha katika falsafa zako. Sintaleta urafiki kwenye kazi za wananchi. Kwa msimamo nitakaowaonyesha sio litakia Taifa hili mema. Badala kujali maslahi ya watanzania wao wanaangalia matumbo yao.

  • @faza4023

    @faza4023

    Жыл бұрын

    Ufanikiwe ufanikiwe sanaa kuibeba nchi yetu

  • @eriminahmshai

    @eriminahmshai

    Жыл бұрын

    Baba wawanyonge alinuwa watu walio finyiliwa Africa Africa line sisi tutakuwa na umoja tuwache kudhumiwa na watu weupe lini masomo tunayo ila tunaishi kaa sokwe hadi lini tutatumia elimu yetu kujiendeleza sisi wenyewe jamani nauzuka sana kuona walio soma badala yakutetea inchi zawo ndio wananyanyasa inchi na wanainchi kuwafaidisha watu weupe na family zao hadi huko wafrica ndio tunawalisha tuwaeka maisha mazuri sisi kwetu tunakufa maskini wafrica tusimame na inchi zetu

  • @casmirymusic
    @casmirymusic Жыл бұрын

    R.i.p baba

  • @ElishaDaBestPrince
    @ElishaDaBestPrince4 ай бұрын

    We miss you daddy of nation 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @VenanceEphraim-hr2cc
    @VenanceEphraim-hr2cc6 ай бұрын

    l'Afrique à perdu un homme en tout cas 😢😢😢

  • @lukandaomary6347
    @lukandaomary6347 Жыл бұрын

    Magufuli chuma chetu,,,dah

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke9951 Жыл бұрын

    Pumzka kwa Amani Jembe la Tanzania na Africa

  • @adelaudarutagwela5070
    @adelaudarutagwela5070 Жыл бұрын

    Jembe utabaki kuwa jembe JPM

  • @mwananjesafari2547
    @mwananjesafari2547 Жыл бұрын

    Tumchague Majaliwa ni Magufuli mwengine

  • @charlesjohn5792

    @charlesjohn5792

    Жыл бұрын

    Never

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 Жыл бұрын

    WALIOMCHUKIA MAGUFULI WOOOTE MAFISADI , LEO HII WANASHANGILIA MUNGU ANAWAONA

  • @hawamjungu3396
    @hawamjungu3396 Жыл бұрын

    Mzee mzee jpm kwakweli ulisema tutakukumbuka na kweli tunakukumbuka sana

  • @jeremiamuro7670
    @jeremiamuro7670 Жыл бұрын

    Huyu Raisi alikuwa kweli Raisi ndio alifanya nikapenda kufatilia siasa maana kulikuwa na hari. Yakusikiliza hotuba zake,Mungu akupokea kwakweli

  • @user-mx7ur9hf9q
    @user-mx7ur9hf9q5 ай бұрын

    A true legend

  • @ms123ru
    @ms123ru Жыл бұрын

    Daah mzee anatuliza wengii sanaa

  • @karibubongo-tv636
    @karibubongo-tv636 Жыл бұрын

    Exactly

  • @mr.qareembrown4473
    @mr.qareembrown4473 Жыл бұрын

    Sijui kuhusu wengn lkn mm i will always cherish what u have done and i will always try to do my best be like u

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling58223 ай бұрын

    AISEE - R.I.P KIONGOZI- aliyafinya Majizi. Watanzania wajanja janja sana ! Huyu mwamba ulikua hutoboi kwa ujinga ujinga

  • @boazjohn558
    @boazjohn558 Жыл бұрын

    Mbona mimi naangalia hapa lakini machozi yananitoka kunakitu namic eee

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Жыл бұрын

    Marazi ya moyo waaaapiiiii weweeeeeeee

  • @swaggzhighlights527

    @swaggzhighlights527

    Жыл бұрын

    kam siyo Marazi y moyo ni nini ss kak ?

  • @user-rl3ou5rg4p
    @user-rl3ou5rg4p4 ай бұрын

    2024 nafatilia❤

  • @nollyboy8438
    @nollyboy8438 Жыл бұрын

    He was good leader, tutakukumbuka daima ,, r.i.p JPM

  • @hamisimzungu6823
    @hamisimzungu6823 Жыл бұрын

    Mr president cku Hz wanafiki wanakukumbuk pia TUISHI Tu hvyo hvyo coz tushazaliw Tz tyr nchi aiend bila unafik Sasa hv

  • @danielgerevas3837
    @danielgerevas3837 Жыл бұрын

    Da mungu akutangulie

  • @AzizSultan-fc7rn
    @AzizSultan-fc7rn6 күн бұрын

    Nani twend ssw 2024

  • @nestoryhaule6600
    @nestoryhaule6600 Жыл бұрын

    Naipenda sana hiyo!

  • @shabanimungazija7272
    @shabanimungazija7272 Жыл бұрын

    Sasa ivi baba unga tu sh elfu na mia tano

  • @pilisonje8944
    @pilisonje8944 Жыл бұрын

    Jembe

  • @chidodoozkid1122
    @chidodoozkid1122 Жыл бұрын

    Maraa paap mwamba akufa alikua anawatega😎😎😎

  • @malcomg1004

    @malcomg1004

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @MsigalaAman-qb7vu
    @MsigalaAman-qb7vu Жыл бұрын

    Mungu yupo pamoja nawew

  • @mgazaabeid5873
    @mgazaabeid58739 ай бұрын

    Mzee wetu Bado upo mioyoni mwetu! Pumzika kwa amani legendary

  • @drabaainc9250
    @drabaainc9250Ай бұрын

    Roho Inaniuma kila nikisikia Sauti Yake😢😢😢

  • @mudymudy6410
    @mudymudy6410 Жыл бұрын

    Mwamba huyoo

  • @JacksonProsper
    @JacksonProsper14 сағат бұрын

    Tutakukumbuka sana kamanda

  • @maulidibrahim9665
    @maulidibrahim96654 ай бұрын

    Mutu ya watu lala salama kwamaana toka uondoke nchi ipo gizani

  • @EmanuelMalkiadi-qt5ye
    @EmanuelMalkiadi-qt5ye27 күн бұрын

    Sema kwel baba yetu na upumzike Kwa aman😢😢😢😢😢

  • @yusuphmarcelmasinde7263
    @yusuphmarcelmasinde72635 ай бұрын

    Mungu amlinde Kiongozi wetu huyo. Hayati Rais JPM Mungu mlinde ka uzima wa milele na umpe Ufalme milele.

  • @burundibujumbura2078
    @burundibujumbura2078 Жыл бұрын

    RIP BABA!

  • @amockkalinga1520

    @amockkalinga1520

    Жыл бұрын

    😭😭💚💛🖤💙🇹🇿

  • @evanstum5032
    @evanstum503210 ай бұрын

    Rest in peace legend

  • @josephigogomsemakweli8711
    @josephigogomsemakweli8711 Жыл бұрын

    Mungu akulaze mahala pema Amina

  • @georgemtipa6424
    @georgemtipa6424 Жыл бұрын

    Hakuna zaid yako na hata kuja kutokea kamwe

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 Жыл бұрын

    Angefanya mazuri upande wa pili wa shilingi, ningemwelewa. Kwa nini alikufa ghafla pamoja na kufanya maajabu kwenye utawala wake. Aliwajeruhi sana CCM WENYEWE. Watafiti tujuzeni, alikufa natural death kweli?

  • @Jomuka-yb9vv
    @Jomuka-yb9vv5 ай бұрын

    Rest in PEACE DAD

  • @kulwamathias7680
    @kulwamathias768018 күн бұрын

    nakupenda sana raisi wangu nitazaa mtoto na nitamuita magufuli pia nitamtengeneza kuwa magufuli

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Жыл бұрын

    Umesahau Uamuzi wa kuanzisha Nyerere Hydro Power(Stieglers Gorge) na kuhamishia Makao Makuu Dodoma

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge86625 ай бұрын

    Fikra zake Hayati Rais Magufuli bado zinaishi. Tutaendeleza fikra zako. Pumzika kwa amani.

  • @timothalex3249
    @timothalex3249 Жыл бұрын

    RIP COMRADE..

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Жыл бұрын

    Hii nchi ilikua bado inamuhitaj sana rais huyu ila hatuwez kupinga lililopangwa na mungu r.i.p jpm

  • @maryamjumah
    @maryamjumah Жыл бұрын

    Huyu ndo rais wetu bado anatuongoza kupitia hotuba zake

  • @BonfaceKiage
    @BonfaceKiage8 ай бұрын

    GOD Bless u

  • @josephatalphonce4474
    @josephatalphonce44744 ай бұрын

    Still my beloved president until now

  • @ElizabethJoseph-vj7zr
    @ElizabethJoseph-vj7zr11 ай бұрын

    Kweli ilikuwa na maamuzi makali mungu akuweke mahalo pema peponi

  • @eliudjamess4231
    @eliudjamess4231 Жыл бұрын

    Leo hii tunaungua bila huyu mwamba

  • @izackimrema1369
    @izackimrema136910 ай бұрын

    Ivi saiv Tanzania kunara hisi ama kutawahi tokea kuwa narahis kama huyu

  • @ablackkinyaga-nq1mc
    @ablackkinyaga-nq1mc Жыл бұрын

    Marioo

  • @jameschengwali1051
    @jameschengwali1051 Жыл бұрын

    Hii ilikua nyundo kamili ya kuharibu mafisadi

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 Жыл бұрын

    Viongozi wa Tanzania igeni mfano kama wa rais Magufu. Tanzania itakua kama Japanes

  • @paskaligwangway2597
    @paskaligwangway2597 Жыл бұрын

    Kweli mhe alikuwa mzalendo kwlikweli

  • @user-rw5uw9jq5b
    @user-rw5uw9jq5b6 ай бұрын

    Aiseee Bado tunakupenda sana kamanda Magu

Келесі