Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana
@ferdinandshisanya7216 Жыл бұрын
It's only Magufuli spirits that can liberate Africa. Continue Rip a True liberator🇰🇪🇰🇪
@saidndimbo2738 Жыл бұрын
A true leader of Africa, Rest in peace
@user-rt7rl6ki1r
5 ай бұрын
GOOD
@tajiriadamu41 Жыл бұрын
You still alive my president kutoka South Africa 🙏🏿
@samidohsam-fj1lo Жыл бұрын
He was a man a man with mercy wisdom
@husseinnkuna6401 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba utakumbukwa daima 😭
@Stanley.kapumbira Жыл бұрын
Baba yetu jaman 😭😭😭nchi ishakua yakisenge sana hii jaman
@shaffihsiraji3141
5 ай бұрын
Kabisa
@mwingadulle7400
4 ай бұрын
Mnoooo
@Abneruwezaeliyaad211 ай бұрын
Sifa heshma na utukufu tunakurejeshea MUNGU BABA kwa kutupa kiumbe wko aliye na roho kma yako....asante MUNGU uliyemkuu....emeeeeeeen
@faza4023 Жыл бұрын
Eh MUNGU Baba asante ulitupa Raisi huyu🙏🏾🙏🏾🙏🏾 tumejifunza mengi..narudia tena ASANTE SANA MUNGU MUUMBAJI. Tusije tukasahau kukushukuru,hatukutegemea kama kuna mtu kama huyu.
@yohanaamon5182
Жыл бұрын
Kweli Mungu Asante kwa kutupa JPM. Ni maombi yangu umuweke katika ufalme wako. Maana aliyoyatenda yaliwapa tumaini masikini wa roho na mwili na wenye njaa. Amen.
@thomaskubini8116 Жыл бұрын
Hatatokea raise kama wewe baba lala salama raise wa wanyonge nilkupenda sana
@ndiiyolazaro11255 ай бұрын
Nakukumbuka sana RAIS wangu wa Kila siku 🕊️🕊️ 2024
@faizatmfaume9051 Жыл бұрын
Jaman siyo siri nimekumbuka hotuba za mwisho wa mwezi hasa za magufuli mungu azid kumpa pumziko la milele
@maryamjumah Жыл бұрын
Uchaguzi ujao naomba mungu apokee dua yangu tuongozwe na majaaliwa
@Mobmob2013
Жыл бұрын
Hujui unachoomba Marry Tuombe Mungu Kwa bidii yeye ndiye anayejua nchi hii na anayetujua. Kumbuka yeye ndo alituambia Jpm yupo ikulu anaendelea kuchapa kazi
@jnote9283
Жыл бұрын
Hujui kitu
@n_onlinetv91
Жыл бұрын
Kabisaaa dua yangu pia nikuona tunabahatika tunampata majaliwa
@faustinamahenge2250
8 ай бұрын
Amina tuko pamoja ajiuzuru uwaziri mkuu sasa ili achukue fomu ya kugombea urais
@dr.djshigongo4927 Жыл бұрын
Mtu aliwatukana hadi hao mabeberu na kugomea masharti yao mengi lakini leo mtu anasema alikopa sanaaa, najiuliza sana Inawezekanaje mtu umtukane na ugomee masharti yake hadharani halafu akukopeshe sanaaa?daaaah haya bhana ndo keshaondoka hawezi kujibu karma itamjibia....R.I.P Mzee baba🥺
@lubangompyalimi8922
Жыл бұрын
Maaduwi zake wa ndani ndio wanajitahidi kuchafua jina lake hasa kwa mbinu mbalimbali , et alikopa saana. hasa baadhi ya waadishi wa habari.walibanwa na jpm .sasa wanalipiza kwa kuchafua jina lake. Ukweli utabaki kuwa JPM was an excellent leader .
@faza4023
Жыл бұрын
Usiwaze..hawawezi kumchafua, chuma
@nawandafamito500
Жыл бұрын
Hawatoweza maana mungu ni moto ni moto ulao hata wawe wawe wengi vp ukweli utazidi kua na nguvu
@charlesjohn5792
Жыл бұрын
Ni huzuni kwakweli
@newadibalozi8773
Жыл бұрын
umeongea hoja kubwa sana na mm nilijiuliza kama ww hivo hivo
@rashdiyange7758 Жыл бұрын
chuma kama chuma mtu bad uyooo kuna kama ww mzeee
@testarguy8609 Жыл бұрын
Hatuwezi kupata tena kama mjomba magu ,R.I.P 😭
@geraldmakalala6091
Жыл бұрын
Itakuwa ngumu sana
@MACHOYATAI-jk6fu
9 ай бұрын
Tumempata mwabukusi
@johanesbagenzi248610 ай бұрын
Mungu akupe uzima wa milele.
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
Hakuna tena Hutuba zenye hamu ya kuzisikiliza ,hutuba zilizojaa Hisia za Ukweli kutoka moyoni,,,,ALLAH AKUWEKE SEHEMU UNAYOSTAHILI MAGU
@dbarrik41085 ай бұрын
Its now time for Africana as continent to be magulified for the better tomorrow of its people
@stephanokigosi656 Жыл бұрын
Rest in power Ngosha
@omaryramadhani290 Жыл бұрын
Dah hatutapata rais mwenyemachungu na tanzania kama magufuli haitaweza tokea
@christophermontelo2518
Жыл бұрын
Una uhakika gani?
@davismakundi1700 Жыл бұрын
Eee mwenyez mungu mlaze mahali pema peponi bb yetu huyu
@kingwatabata4230 Жыл бұрын
Tanzania wajanja wengi Rais kama uyu hawezi pendwa hataaaaaaa🙌
@magrethcolestine2880
Жыл бұрын
Pumuzika kwa amani
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
King wa tabata kwako wahalifu na wezi ndo wajanja...haya bhanaaa!!
@charlesjohn5792
Жыл бұрын
Kweli KABISA
@kelvinbernard5453 Жыл бұрын
Yoooooo inuma inaumaaaa, r.I.p magu
@charlesmihayo1275 Жыл бұрын
Mzee pumzika kwa amani ulikuwa unatenda bila kubahatisha uongoze na huko uliko bajba
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Magufuli hakufa na ugonjwa wa moyo.!!! Acha uongo.!!!!! Kikwete na Samia na daktari wao wanahusika.
@husseinbakari123
Жыл бұрын
Really
@doricemitanto7481
Жыл бұрын
KABISA .😭
@malcomg1004
5 ай бұрын
Hakika
@user-uu7mg3ff8l6 ай бұрын
m.mungu akuekee mahar pema peponi
@raymondalfred8540 Жыл бұрын
We love you for ever 😥😥
@lukindombuleti8174 Жыл бұрын
Huyu ndio raisi ww cc masikini na watu wa hali ya chini,tangulia mzee ila ipo siku utarudi tanzani
@bennie7239 Жыл бұрын
Taarifa za habari siku hizi hazina mvuto 😎. Enzi hizi taarifa za habari watu walikuwa wanalipia kama mpira...
@newadibalozi8773
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 umetisha
@godfreyndole4706 Жыл бұрын
Tutakukumbu sanaa😭
@zenajsalehe53415 ай бұрын
Magufuli baba tunakukumbuka ,😢mungu akuremu kabisa tuliishi kwakujiamini sana aaa😭we gonna miss you magu
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Hakika mzee uniombee ipo siku nitagombea urais kwenye Taifa letu na watanzania wakiniamini basi baba nakuahidi sintakuangusha katika falsafa zako. Sintaleta urafiki kwenye kazi za wananchi. Kwa msimamo nitakaowaonyesha sio litakia Taifa hili mema. Badala kujali maslahi ya watanzania wao wanaangalia matumbo yao.
@faza4023
Жыл бұрын
Ufanikiwe ufanikiwe sanaa kuibeba nchi yetu
@eriminahmshai
Жыл бұрын
Baba wawanyonge alinuwa watu walio finyiliwa Africa Africa line sisi tutakuwa na umoja tuwache kudhumiwa na watu weupe lini masomo tunayo ila tunaishi kaa sokwe hadi lini tutatumia elimu yetu kujiendeleza sisi wenyewe jamani nauzuka sana kuona walio soma badala yakutetea inchi zawo ndio wananyanyasa inchi na wanainchi kuwafaidisha watu weupe na family zao hadi huko wafrica ndio tunawalisha tuwaeka maisha mazuri sisi kwetu tunakufa maskini wafrica tusimame na inchi zetu
@casmirymusic Жыл бұрын
R.i.p baba
@ElishaDaBestPrince4 ай бұрын
We miss you daddy of nation 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@VenanceEphraim-hr2cc6 ай бұрын
l'Afrique à perdu un homme en tout cas 😢😢😢
@lukandaomary6347 Жыл бұрын
Magufuli chuma chetu,,,dah
@nyamwekomatoke9951 Жыл бұрын
Pumzka kwa Amani Jembe la Tanzania na Africa
@adelaudarutagwela5070 Жыл бұрын
Jembe utabaki kuwa jembe JPM
@mwananjesafari2547 Жыл бұрын
Tumchague Majaliwa ni Magufuli mwengine
@charlesjohn5792
Жыл бұрын
Never
@leahsamson9354 Жыл бұрын
WALIOMCHUKIA MAGUFULI WOOOTE MAFISADI , LEO HII WANASHANGILIA MUNGU ANAWAONA
@hawamjungu3396 Жыл бұрын
Mzee mzee jpm kwakweli ulisema tutakukumbuka na kweli tunakukumbuka sana
@jeremiamuro7670 Жыл бұрын
Huyu Raisi alikuwa kweli Raisi ndio alifanya nikapenda kufatilia siasa maana kulikuwa na hari. Yakusikiliza hotuba zake,Mungu akupokea kwakweli
@user-mx7ur9hf9q5 ай бұрын
A true legend
@ms123ru Жыл бұрын
Daah mzee anatuliza wengii sanaa
@karibubongo-tv636 Жыл бұрын
Exactly
@mr.qareembrown4473 Жыл бұрын
Sijui kuhusu wengn lkn mm i will always cherish what u have done and i will always try to do my best be like u
@onionpeeling58223 ай бұрын
AISEE - R.I.P KIONGOZI- aliyafinya Majizi. Watanzania wajanja janja sana ! Huyu mwamba ulikua hutoboi kwa ujinga ujinga
@boazjohn558 Жыл бұрын
Mbona mimi naangalia hapa lakini machozi yananitoka kunakitu namic eee
@msafiriomary893 Жыл бұрын
Marazi ya moyo waaaapiiiii weweeeeeeee
@swaggzhighlights527
Жыл бұрын
kam siyo Marazi y moyo ni nini ss kak ?
@user-rl3ou5rg4p4 ай бұрын
2024 nafatilia❤
@nollyboy8438 Жыл бұрын
He was good leader, tutakukumbuka daima ,, r.i.p JPM
@hamisimzungu6823 Жыл бұрын
Mr president cku Hz wanafiki wanakukumbuk pia TUISHI Tu hvyo hvyo coz tushazaliw Tz tyr nchi aiend bila unafik Sasa hv
@danielgerevas3837 Жыл бұрын
Da mungu akutangulie
@AzizSultan-fc7rn6 күн бұрын
Nani twend ssw 2024
@nestoryhaule6600 Жыл бұрын
Naipenda sana hiyo!
@shabanimungazija7272 Жыл бұрын
Sasa ivi baba unga tu sh elfu na mia tano
@pilisonje8944 Жыл бұрын
Jembe
@chidodoozkid1122 Жыл бұрын
Maraa paap mwamba akufa alikua anawatega😎😎😎
@malcomg1004
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@MsigalaAman-qb7vu Жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nawew
@mgazaabeid58739 ай бұрын
Mzee wetu Bado upo mioyoni mwetu! Pumzika kwa amani legendary
@drabaainc9250Ай бұрын
Roho Inaniuma kila nikisikia Sauti Yake😢😢😢
@mudymudy6410 Жыл бұрын
Mwamba huyoo
@JacksonProsper14 сағат бұрын
Tutakukumbuka sana kamanda
@maulidibrahim96654 ай бұрын
Mutu ya watu lala salama kwamaana toka uondoke nchi ipo gizani
@EmanuelMalkiadi-qt5ye27 күн бұрын
Sema kwel baba yetu na upumzike Kwa aman😢😢😢😢😢
@yusuphmarcelmasinde72635 ай бұрын
Mungu amlinde Kiongozi wetu huyo. Hayati Rais JPM Mungu mlinde ka uzima wa milele na umpe Ufalme milele.
@burundibujumbura2078 Жыл бұрын
RIP BABA!
@amockkalinga1520
Жыл бұрын
😭😭💚💛🖤💙🇹🇿
@evanstum503210 ай бұрын
Rest in peace legend
@josephigogomsemakweli8711 Жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema Amina
@georgemtipa6424 Жыл бұрын
Hakuna zaid yako na hata kuja kutokea kamwe
@ezekielmabwai482 Жыл бұрын
Angefanya mazuri upande wa pili wa shilingi, ningemwelewa. Kwa nini alikufa ghafla pamoja na kufanya maajabu kwenye utawala wake. Aliwajeruhi sana CCM WENYEWE. Watafiti tujuzeni, alikufa natural death kweli?
@Jomuka-yb9vv5 ай бұрын
Rest in PEACE DAD
@kulwamathias768018 күн бұрын
nakupenda sana raisi wangu nitazaa mtoto na nitamuita magufuli pia nitamtengeneza kuwa magufuli
@ramdanmbara8500 Жыл бұрын
Umesahau Uamuzi wa kuanzisha Nyerere Hydro Power(Stieglers Gorge) na kuhamishia Makao Makuu Dodoma
@angelomfilinge86625 ай бұрын
Fikra zake Hayati Rais Magufuli bado zinaishi. Tutaendeleza fikra zako. Pumzika kwa amani.
@timothalex3249 Жыл бұрын
RIP COMRADE..
@vincentauxerbius7554 Жыл бұрын
Hii nchi ilikua bado inamuhitaj sana rais huyu ila hatuwez kupinga lililopangwa na mungu r.i.p jpm
@maryamjumah Жыл бұрын
Huyu ndo rais wetu bado anatuongoza kupitia hotuba zake
@BonfaceKiage8 ай бұрын
GOD Bless u
@josephatalphonce44744 ай бұрын
Still my beloved president until now
@ElizabethJoseph-vj7zr11 ай бұрын
Kweli ilikuwa na maamuzi makali mungu akuweke mahalo pema peponi
@eliudjamess4231 Жыл бұрын
Leo hii tunaungua bila huyu mwamba
@izackimrema136910 ай бұрын
Ivi saiv Tanzania kunara hisi ama kutawahi tokea kuwa narahis kama huyu
@ablackkinyaga-nq1mc Жыл бұрын
Marioo
@jameschengwali1051 Жыл бұрын
Hii ilikua nyundo kamili ya kuharibu mafisadi
@willibroadwilliam6798 Жыл бұрын
Viongozi wa Tanzania igeni mfano kama wa rais Magufu. Tanzania itakua kama Japanes
Пікірлер: 299
Anayeangalia hizi clip za JPM mpaka leo tujuane kwa like.
@JofreyMsigwa-ok7hv
4 ай бұрын
MAGU Wee 🙏🙏
@victorkamau5716
3 ай бұрын
𝑵𝒌𝒐 𝒂𝒑𝒂 𝒇𝒓𝒐𝒎 𝒌𝒆𝒏𝒚𝒂
Nawapenda wote mnaempenda maguful
@geraldmakalala6091
5 ай бұрын
Kabisa
@user-qz2sk3is9c
5 ай бұрын
Nami nakupenda pia
@halimamasai2234
4 ай бұрын
Nami nakupenda pia ❤
@user-qz2sk3is9c
4 ай бұрын
@@halimamasai2234 Asante kwa kunipenda
Kama kuna chuo cha Uongozi na utumishi bora basi Magufuli ni best institute of leadership
Ulale salamaa mzee wetuuu
Mungu tupe rais Tena kama huyu,
@saimonjoseph4663
Жыл бұрын
Hawez tokea
@user-rw5uw9jq5b
6 ай бұрын
Baada ya miaka mia 7
@user-qz2sk3is9c
5 ай бұрын
Inshaallah
@user-qz2sk3is9c
5 ай бұрын
@@saimonjoseph4663kwa nini
@David-if6nk
5 ай бұрын
Labda makonda
Kiongozi wa Afrika tofauti kabisa, ulikuwa mutu wa maana sana, hatutakusahau kamwe, kutoka Bukavu Congo ,drc 🇨🇩😭😭😭😭.
Man of the people
Chadema na ccm wote wale wale wanasiasa lkn huyu alikuwa kiongozi mwenye maono ya mbali jpm tutakumumbuka baba
Moja ya watu muhimu kuwahi kutokea 😢😢😢😢😢
@getrudecharles8689
11 ай бұрын
Hakika,
Nenda kwa Aman Mwamba wetu
Kizur hakidumu 1 of the fdssertrsg people...
Alikua kiongozi asiye yumbishwa, hapendi mzaa kwenye issue serious, utadumu daima Shujaa wetu, umeacha alama 😭😭
@thomastarimo
Жыл бұрын
Daa kaka nakukumbuka kwa ujasiri wako kaka
@denissiedisoni-lk7xm
Жыл бұрын
Kasimu majaliwa ange chukua mikoba yake hiv sasa tungekuwa mbali sana
It's only Magufuli spirits that can liberate Africa. Continue Rip a True liberator🇰🇪🇰🇪
A true leader of Africa, Rest in peace
@user-rt7rl6ki1r
5 ай бұрын
GOOD
You still alive my president kutoka South Africa 🙏🏿
He was a man a man with mercy wisdom
Pumzika kwa amani baba utakumbukwa daima 😭
Baba yetu jaman 😭😭😭nchi ishakua yakisenge sana hii jaman
@shaffihsiraji3141
5 ай бұрын
Kabisa
@mwingadulle7400
4 ай бұрын
Mnoooo
Sifa heshma na utukufu tunakurejeshea MUNGU BABA kwa kutupa kiumbe wko aliye na roho kma yako....asante MUNGU uliyemkuu....emeeeeeeen
Eh MUNGU Baba asante ulitupa Raisi huyu🙏🏾🙏🏾🙏🏾 tumejifunza mengi..narudia tena ASANTE SANA MUNGU MUUMBAJI. Tusije tukasahau kukushukuru,hatukutegemea kama kuna mtu kama huyu.
@yohanaamon5182
Жыл бұрын
Kweli Mungu Asante kwa kutupa JPM. Ni maombi yangu umuweke katika ufalme wako. Maana aliyoyatenda yaliwapa tumaini masikini wa roho na mwili na wenye njaa. Amen.
Hatatokea raise kama wewe baba lala salama raise wa wanyonge nilkupenda sana
Nakukumbuka sana RAIS wangu wa Kila siku 🕊️🕊️ 2024
Jaman siyo siri nimekumbuka hotuba za mwisho wa mwezi hasa za magufuli mungu azid kumpa pumziko la milele
Uchaguzi ujao naomba mungu apokee dua yangu tuongozwe na majaaliwa
@Mobmob2013
Жыл бұрын
Hujui unachoomba Marry Tuombe Mungu Kwa bidii yeye ndiye anayejua nchi hii na anayetujua. Kumbuka yeye ndo alituambia Jpm yupo ikulu anaendelea kuchapa kazi
@jnote9283
Жыл бұрын
Hujui kitu
@n_onlinetv91
Жыл бұрын
Kabisaaa dua yangu pia nikuona tunabahatika tunampata majaliwa
@faustinamahenge2250
8 ай бұрын
Amina tuko pamoja ajiuzuru uwaziri mkuu sasa ili achukue fomu ya kugombea urais
Mtu aliwatukana hadi hao mabeberu na kugomea masharti yao mengi lakini leo mtu anasema alikopa sanaaa, najiuliza sana Inawezekanaje mtu umtukane na ugomee masharti yake hadharani halafu akukopeshe sanaaa?daaaah haya bhana ndo keshaondoka hawezi kujibu karma itamjibia....R.I.P Mzee baba🥺
@lubangompyalimi8922
Жыл бұрын
Maaduwi zake wa ndani ndio wanajitahidi kuchafua jina lake hasa kwa mbinu mbalimbali , et alikopa saana. hasa baadhi ya waadishi wa habari.walibanwa na jpm .sasa wanalipiza kwa kuchafua jina lake. Ukweli utabaki kuwa JPM was an excellent leader .
@faza4023
Жыл бұрын
Usiwaze..hawawezi kumchafua, chuma
@nawandafamito500
Жыл бұрын
Hawatoweza maana mungu ni moto ni moto ulao hata wawe wawe wengi vp ukweli utazidi kua na nguvu
@charlesjohn5792
Жыл бұрын
Ni huzuni kwakweli
@newadibalozi8773
Жыл бұрын
umeongea hoja kubwa sana na mm nilijiuliza kama ww hivo hivo
chuma kama chuma mtu bad uyooo kuna kama ww mzeee
Hatuwezi kupata tena kama mjomba magu ,R.I.P 😭
@geraldmakalala6091
Жыл бұрын
Itakuwa ngumu sana
@MACHOYATAI-jk6fu
9 ай бұрын
Tumempata mwabukusi
Mungu akupe uzima wa milele.
Hakuna tena Hutuba zenye hamu ya kuzisikiliza ,hutuba zilizojaa Hisia za Ukweli kutoka moyoni,,,,ALLAH AKUWEKE SEHEMU UNAYOSTAHILI MAGU
Its now time for Africana as continent to be magulified for the better tomorrow of its people
Rest in power Ngosha
Dah hatutapata rais mwenyemachungu na tanzania kama magufuli haitaweza tokea
@christophermontelo2518
Жыл бұрын
Una uhakika gani?
Eee mwenyez mungu mlaze mahali pema peponi bb yetu huyu
Tanzania wajanja wengi Rais kama uyu hawezi pendwa hataaaaaaa🙌
@magrethcolestine2880
Жыл бұрын
Pumuzika kwa amani
@mamboshepea8888
Жыл бұрын
King wa tabata kwako wahalifu na wezi ndo wajanja...haya bhanaaa!!
@charlesjohn5792
Жыл бұрын
Kweli KABISA
Yoooooo inuma inaumaaaa, r.I.p magu
Mzee pumzika kwa amani ulikuwa unatenda bila kubahatisha uongoze na huko uliko bajba
Magufuli hakufa na ugonjwa wa moyo.!!! Acha uongo.!!!!! Kikwete na Samia na daktari wao wanahusika.
@husseinbakari123
Жыл бұрын
Really
@doricemitanto7481
Жыл бұрын
KABISA .😭
@malcomg1004
5 ай бұрын
Hakika
m.mungu akuekee mahar pema peponi
We love you for ever 😥😥
Huyu ndio raisi ww cc masikini na watu wa hali ya chini,tangulia mzee ila ipo siku utarudi tanzani
Taarifa za habari siku hizi hazina mvuto 😎. Enzi hizi taarifa za habari watu walikuwa wanalipia kama mpira...
@newadibalozi8773
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 umetisha
Tutakukumbu sanaa😭
Magufuli baba tunakukumbuka ,😢mungu akuremu kabisa tuliishi kwakujiamini sana aaa😭we gonna miss you magu
Hakika mzee uniombee ipo siku nitagombea urais kwenye Taifa letu na watanzania wakiniamini basi baba nakuahidi sintakuangusha katika falsafa zako. Sintaleta urafiki kwenye kazi za wananchi. Kwa msimamo nitakaowaonyesha sio litakia Taifa hili mema. Badala kujali maslahi ya watanzania wao wanaangalia matumbo yao.
@faza4023
Жыл бұрын
Ufanikiwe ufanikiwe sanaa kuibeba nchi yetu
@eriminahmshai
Жыл бұрын
Baba wawanyonge alinuwa watu walio finyiliwa Africa Africa line sisi tutakuwa na umoja tuwache kudhumiwa na watu weupe lini masomo tunayo ila tunaishi kaa sokwe hadi lini tutatumia elimu yetu kujiendeleza sisi wenyewe jamani nauzuka sana kuona walio soma badala yakutetea inchi zawo ndio wananyanyasa inchi na wanainchi kuwafaidisha watu weupe na family zao hadi huko wafrica ndio tunawalisha tuwaeka maisha mazuri sisi kwetu tunakufa maskini wafrica tusimame na inchi zetu
R.i.p baba
We miss you daddy of nation 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
l'Afrique à perdu un homme en tout cas 😢😢😢
Magufuli chuma chetu,,,dah
Pumzka kwa Amani Jembe la Tanzania na Africa
Jembe utabaki kuwa jembe JPM
Tumchague Majaliwa ni Magufuli mwengine
@charlesjohn5792
Жыл бұрын
Never
WALIOMCHUKIA MAGUFULI WOOOTE MAFISADI , LEO HII WANASHANGILIA MUNGU ANAWAONA
Mzee mzee jpm kwakweli ulisema tutakukumbuka na kweli tunakukumbuka sana
Huyu Raisi alikuwa kweli Raisi ndio alifanya nikapenda kufatilia siasa maana kulikuwa na hari. Yakusikiliza hotuba zake,Mungu akupokea kwakweli
A true legend
Daah mzee anatuliza wengii sanaa
Exactly
Sijui kuhusu wengn lkn mm i will always cherish what u have done and i will always try to do my best be like u
AISEE - R.I.P KIONGOZI- aliyafinya Majizi. Watanzania wajanja janja sana ! Huyu mwamba ulikua hutoboi kwa ujinga ujinga
Mbona mimi naangalia hapa lakini machozi yananitoka kunakitu namic eee
Marazi ya moyo waaaapiiiii weweeeeeeee
@swaggzhighlights527
Жыл бұрын
kam siyo Marazi y moyo ni nini ss kak ?
2024 nafatilia❤
He was good leader, tutakukumbuka daima ,, r.i.p JPM
Mr president cku Hz wanafiki wanakukumbuk pia TUISHI Tu hvyo hvyo coz tushazaliw Tz tyr nchi aiend bila unafik Sasa hv
Da mungu akutangulie
Nani twend ssw 2024
Naipenda sana hiyo!
Sasa ivi baba unga tu sh elfu na mia tano
Jembe
Maraa paap mwamba akufa alikua anawatega😎😎😎
@malcomg1004
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Mungu yupo pamoja nawew
Mzee wetu Bado upo mioyoni mwetu! Pumzika kwa amani legendary
Roho Inaniuma kila nikisikia Sauti Yake😢😢😢
Mwamba huyoo
Tutakukumbuka sana kamanda
Mutu ya watu lala salama kwamaana toka uondoke nchi ipo gizani
Sema kwel baba yetu na upumzike Kwa aman😢😢😢😢😢
Mungu amlinde Kiongozi wetu huyo. Hayati Rais JPM Mungu mlinde ka uzima wa milele na umpe Ufalme milele.
RIP BABA!
@amockkalinga1520
Жыл бұрын
😭😭💚💛🖤💙🇹🇿
Rest in peace legend
Mungu akulaze mahala pema Amina
Hakuna zaid yako na hata kuja kutokea kamwe
Angefanya mazuri upande wa pili wa shilingi, ningemwelewa. Kwa nini alikufa ghafla pamoja na kufanya maajabu kwenye utawala wake. Aliwajeruhi sana CCM WENYEWE. Watafiti tujuzeni, alikufa natural death kweli?
Rest in PEACE DAD
nakupenda sana raisi wangu nitazaa mtoto na nitamuita magufuli pia nitamtengeneza kuwa magufuli
Umesahau Uamuzi wa kuanzisha Nyerere Hydro Power(Stieglers Gorge) na kuhamishia Makao Makuu Dodoma
Fikra zake Hayati Rais Magufuli bado zinaishi. Tutaendeleza fikra zako. Pumzika kwa amani.
RIP COMRADE..
Hii nchi ilikua bado inamuhitaj sana rais huyu ila hatuwez kupinga lililopangwa na mungu r.i.p jpm
Huyu ndo rais wetu bado anatuongoza kupitia hotuba zake
GOD Bless u
Still my beloved president until now
Kweli ilikuwa na maamuzi makali mungu akuweke mahalo pema peponi
Leo hii tunaungua bila huyu mwamba
Ivi saiv Tanzania kunara hisi ama kutawahi tokea kuwa narahis kama huyu
Marioo
Hii ilikua nyundo kamili ya kuharibu mafisadi
Viongozi wa Tanzania igeni mfano kama wa rais Magufu. Tanzania itakua kama Japanes
Kweli mhe alikuwa mzalendo kwlikweli
Aiseee Bado tunakupenda sana kamanda Magu