Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital is a Mwananchi Communication Limited channel for news and current affairs. It has great content that include sports, entertainments, hard news and documentaries. It broadcasts in Swahili and English, www.mwananchi.co.tz

Пікірлер

  • @user-iq5ew2fn3r
    @user-iq5ew2fn3r6 минут бұрын

    Acheni ushamba kazikwa kislam tofauti kidogo

  • @YakoboMolell-t7w
    @YakoboMolell-t7w7 минут бұрын

    Nakupenda Tanzania 🇹🇿 yangu ,uzalendo na uadilifu.

  • @ElizabethThomas-fj2sw
    @ElizabethThomas-fj2sw13 минут бұрын

    Yaani ndugu zangu nyie ni washamba akyamungu,sasa mlifikiri ulaya wanazika kama nyingi wamakonde wa kumemena!?? Shenzi!.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76318 минут бұрын

    Mara 1000 wangemsafirisha tanzaniya kuliko huko walikomzika pesa wanazo sijui walifikiri nini kumzika hivo haya mungu mkubwa tumwachiye yeye ndo hakim wa kweli na mjuzi wa wajuzi

  • @bujimuluhanga1804
    @bujimuluhanga18046 минут бұрын

    Baba yake alizikwa hapohapo nadhani ndo maana yao kubwa awe karibu na mzee

  • @sabinahobe3478
    @sabinahobe347820 минут бұрын

    Sorry jmn napenda kujua kwani alikuwa ameshahama Tanzania anaishi Marekan? Na je ni muhindi au mwarabu?

  • @Niget-us1np
    @Niget-us1np7 минут бұрын

    Shia alien kimatibabu

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv20 минут бұрын

    Mungu amlipe anachostahiki mshia huyu mtume Muhammad Sala na Salam ziwe juu yake amesema hakika pepo imezuiliwa kwa kila mtu wa bidaa

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76321 минут бұрын

    Mola atustiri atupe kaul thabit nasisi atujaaliye tuzikwe ktk madhehebu ya dini zetu na sio kuwq muislam ukazikwa ktk mambo ya dini nyengine

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n22 минут бұрын

    Atazikwajwe kiislam wakati yeye simuhislam watu wengi wanachanganya Dini ya kishia na uislam,mashia wapo mbali mbali na uislam.

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv8 минут бұрын

    Ni kweli ndugu Allah atufishe katika uislamu sahihi wa Quran na sunnah kwa ufahamu wa wema waliotangulia salaf

  • @StefanoMawe
    @StefanoMawe35 минут бұрын

    Hizo niichi zawatu acheni kuleta udini wenu hapa kazikwa kikafili yawapi ata umzike vipi hawezi amka wala kutazama acheni ushamba kenge nyinyiiiiiii

  • @user-sv6zy3hc8o
    @user-sv6zy3hc8o12 минут бұрын

    Kenge ni wew na baba ako au unasemaj

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv9 минут бұрын

    Kama si muislamu unatakiwa waislamu wakiongea ukae kimnya kafiri wewe maana hujui chochote juu ya mazishi sahihi ya waislamu

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba39 минут бұрын

    Sisi wAtanzania kwakuhoji wanajitahihid

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk40 минут бұрын

    Muone na kujifunza sasa kuwa ukifa wewe ni uchafu wewe wa dunia utazikwa kama uchafu sio tunavyofikiri sisi... Huko ni ulaya hakuna kutangulia kabrini utafukiwa na wewe

  • @ameirameir4349
    @ameirameir434944 минут бұрын

    Ushia mtupu hapo

  • @shekhomarynnunduma5209
    @shekhomarynnunduma520944 минут бұрын

    Ndiyo kazikwa hivyo kitajiri amezikwa kwenye inchi tajiri alikuwa anaishi kwenye mji tajiri wanaishi matajiri kalifonia ndiyo mji wa matajiri

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna826117 минут бұрын

    We sio sheikh! Soma dini kwanza, HAKUNA mazishi ya kitajiri na kimasikin kwenye uislamu bali mazishi yote yanafanana. Sema huyu kazikwa kishia kwa taratibu za kishia Bali sio kwa taratibu za mafunzo sahihi ya Mtume صلى الله عليه وسلم

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula501548 минут бұрын

    Na kijiko jmn ndo kuzika gn uku

  • @user-wl8qm2yj2c
    @user-wl8qm2yj2c52 минут бұрын

    Mmh mtihan uwo wallah 😢 mwenyezi mungu amsamehe madhambi yake

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula501552 минут бұрын

    Mm uyu si muislam uyu ss mbona wmazima ivi kaa mungu wangu

  • @EliahKayombo
    @EliahKayombo58 минут бұрын

    Au alikuwa ruminat

  • @abuialmarjibi979
    @abuialmarjibi97958 минут бұрын

    Innalilah wainna ilaeh rajion

  • @umsoud3306
    @umsoud3306Сағат бұрын

    Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin

  • @umsoud3306
    @umsoud3306Сағат бұрын

    Allaah Amrehem Ampumzishe Fii'jannah, pamoja na Wa Islam wote, Amiin thumma Amiin

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929Сағат бұрын

    Ningeomba wajawazito wote wawe wanapewa chakula bure popote,mh rais tunakuomba uweke Sheria hii

  • @arafatmahmud3547
    @arafatmahmud3547Сағат бұрын

    Hiyo ndio swala ya maiti kwa mashia, haina Surat Al Fatiha, pia katika dua ya imamu ameomba amfufue pamoja na maimamu, maimamu 12 wa Kishia.

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763Сағат бұрын

    Kwanini walimzika marekani badala ya Tanzania alikozaluwa na kuishi muda mrefu?

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula501550 минут бұрын

    Uyu kakulia uko na hp ndo baba ake alipo zikwa pia

  • @innocentchristopher7571
    @innocentchristopher757148 минут бұрын

    Mipango ya familia Yao ss hayatuhus

  • @abbtsa3060
    @abbtsa306025 минут бұрын

    Nasia ajabu akawa pia raia wa uko wahindi lazima wanakuwa na uraia sehemu nyingine

  • @khamishussein3502
    @khamishussein3502Сағат бұрын

    Uislam wa magharibi bana asa ndo vitu gani sasa

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula501551 минут бұрын

    Yn hjb i

  • @rashidhemed6816
    @rashidhemed6816Сағат бұрын

    Swalatul maiti ina takbira 4 hapo nimesikia 5 na takbira ya kwanza sijasikia wakisoma suratul fatiha

  • @ramadhanihashibae9805
    @ramadhanihashibae9805Сағат бұрын

    Hao sio waislamu, ni mashia ndio maana utaratibu wa ibada zao ni tofauti na wetu

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177Сағат бұрын

    ​@@ramadhanihashibae9805Mapokezi tofauti...Haya tuwachie wenyewe Allah ndie anaejua usahihi zaidi...Waislamu ni 1 duniani.

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816Сағат бұрын

    ​@@ramadhanihashibae9805utaratibu wa Ibada uko tofauti kivipi?

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv2 сағат бұрын

    Mungu aliyemlinda uhai wake usipotee ndo Mungu atamponya Ameen

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata2 сағат бұрын

    JAAH only under The would

  • @saleemshehabu3071
    @saleemshehabu30712 сағат бұрын

    Allah amsamehe makosa yake

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa53363 сағат бұрын

    Hiyo ni America hakuna uislamu wa kiarabu huko,mazishi yanafanyika kiyahudi ha haaaa

  • @user-qr7et3vl5z
    @user-qr7et3vl5z43 минут бұрын

    Sioo kweli kila nchi Kuna utaratibu wake ws kidini huendaa aliingia kwenye ukafiri bila ya watu kujua

  • @user-mo2sb2nh8u
    @user-mo2sb2nh8u3 сағат бұрын

    Mbona amezikwa tofauti na maziko ya waislamu

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714Сағат бұрын

    Mabadiliko siku izi tekinolojia

  • @innocentchristopher7571
    @innocentchristopher757147 минут бұрын

    Huko Sio buza ndg yngu n marekan akuna mamb ya kupig chepe

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna826122 минут бұрын

    Hao ni mashia, hawafuati mafunzo sahihi ya uislamu

  • @ElizabethThomas-fj2sw
    @ElizabethThomas-fj2sw13 минут бұрын

    Marekani huzika hivyo acheni ushamba

  • @HusseinChai
    @HusseinChai3 сағат бұрын

    Kaziikwa marekani eeeh h

  • @NelsonMesha-wp9ks
    @NelsonMesha-wp9ks2 сағат бұрын

    Mbona amezikwa kikristo Manji?

  • @abdulabdy6822
    @abdulabdy68224 сағат бұрын

    Innalillah wainnaillaih rajiun..Pumzika Kwa amani ndugu yetu Yusuf Manji.. Allah akujalie kauli thabiti Insha Allah

  • @kilimanjaro695
    @kilimanjaro6952 сағат бұрын

    Allahuma Ameen 🤲🏾

  • @Sh_Taqee
    @Sh_Taqee5 сағат бұрын

    Muislamu ukiishi bila kufuata mafunzo ya Dini yako utazikwa kwa mafunzo na utaratibu wa kikafiri

  • @barakafanuel5015
    @barakafanuel50155 сағат бұрын

    Kwendaaaa

  • @barakafanuel5015
    @barakafanuel50155 сағат бұрын

    Unapangia maisha watu na wakati unanjaa

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj4 сағат бұрын

    ​@@barakafanuel5015mazishi yapangwa na mungu utaratibu wake sio wat

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa53363 сағат бұрын

    Adhabu ya kabulini ipo kweli hapo maana kazikwa kiyahudi ha haaaa

  • @Moresa196
    @Moresa196Сағат бұрын

    Kiazi sana. Kwani aina ya mazishi yanamfufua mtu? Au wewe umeenda umerudi?

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana28965 сағат бұрын

    Huko hakuna cha mwanandani

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu5 сағат бұрын

    Hizo mbwembwe hua zinatupotezea muda tu!

  • @MpumaLanga-vc4zh
    @MpumaLanga-vc4zh4 сағат бұрын

    Hata Misri mwanandani hakuna kwenye maziko yao

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana28964 сағат бұрын

    @@MpumaLanga-vc4zh Aah kumbe ni tamaduni

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf3 сағат бұрын

    Apana sio uku maine Portland twazika kama nyumbani hispokuwa ilo zenge uwekwa juu ya mwanandani

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata2 сағат бұрын

    😁

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk5 сағат бұрын

    MUNGU ibariki Israel

  • @user-cj2kl7cd9k
    @user-cj2kl7cd9k6 сағат бұрын

    Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun Allah atupe mwisho mwema

  • @tahiyasaidi6532
    @tahiyasaidi65326 сағат бұрын

    Haya sio mazishi ya kiislamu..

  • @reisezone4574
    @reisezone45746 сағат бұрын

    Elewa kila nchi in taratibu zake za kuzika

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf6 сағат бұрын

    YA KI ISLAMU YAKOJE

  • @hamynas
    @hamynas49 минут бұрын

    haya ndiyo maziko sahihi unazijua haki za maiti wa kiislamu? kasome uelewe kwamza

  • @aliabdalla9297
    @aliabdalla929712 минут бұрын

    ​@@hamynaskasome ww kwanza maana hata huo uislamu huujui

  • @Niget-us1np
    @Niget-us1np7 минут бұрын

    Ml​@@hamynas

  • @Zubaiba
    @Zubaiba6 сағат бұрын

    Innalillahi wainnalillah rajiun

  • @paulokenedy4090
    @paulokenedy40906 сағат бұрын

    Si ndio hao unaowaona au unataka rangi?

  • @suleimansoud2783
    @suleimansoud27836 сағат бұрын

    Inna lillahi wainna ilaihi rajioun

  • @sadamshantiwa9749
    @sadamshantiwa97496 сағат бұрын

    Mchungaji feki kabixa, siku zote usiwaamin watu wafupi

  • @lusakaone7782
    @lusakaone77827 сағат бұрын

    Innalillah wainna ilayhi raajiuun

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo90647 сағат бұрын

    Wanachama wa yanga siwaoni hapo,innalilah wa Ina ilayhi rajiun

  • @hajimassawe2592
    @hajimassawe25927 сағат бұрын

    Allah ampe kauli thabiti!

  • @MasoudMOHAMMED-qp3yt
    @MasoudMOHAMMED-qp3yt7 сағат бұрын

    Bora muwapige nuclia muishi nyinyi milele msife

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wg8 сағат бұрын

    Kila nafsi itaonjaa mauti rala manji

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson96638 сағат бұрын

    Watoto wa2 tu wahindi wanazingatia sana Mali kuliko chochote

  • @malaryhillary3075
    @malaryhillary30758 сағат бұрын

    Je huko ccm Kuna HAKI , sema wewe unataka madaraka basi kagomnee uenyekiti wa ccm kama utapata, mchungaji hewa

  • @ZaiNdogondogo-wf7mw
    @ZaiNdogondogo-wf7mw8 сағат бұрын

    Kila nafsi itaonja umauti

  • @Naomi-j2j
    @Naomi-j2j8 сағат бұрын

    Duh pole yake jmn