Mwananchi Digital is a Mwananchi Communication Limited channel for news and current affairs. It has great content that include sports, entertainments, hard news and documentaries. It broadcasts in Swahili and English, www.mwananchi.co.tz
Nakupenda Tanzania 🇹🇿 yangu ,uzalendo na uadilifu.
@ElizabethThomas-fj2sw13 минут бұрын
Yaani ndugu zangu nyie ni washamba akyamungu,sasa mlifikiri ulaya wanazika kama nyingi wamakonde wa kumemena!?? Shenzi!.
@roudhamahmoud76318 минут бұрын
Mara 1000 wangemsafirisha tanzaniya kuliko huko walikomzika pesa wanazo sijui walifikiri nini kumzika hivo haya mungu mkubwa tumwachiye yeye ndo hakim wa kweli na mjuzi wa wajuzi
@bujimuluhanga18046 минут бұрын
Baba yake alizikwa hapohapo nadhani ndo maana yao kubwa awe karibu na mzee
@sabinahobe347820 минут бұрын
Sorry jmn napenda kujua kwani alikuwa ameshahama Tanzania anaishi Marekan? Na je ni muhindi au mwarabu?
@Niget-us1np7 минут бұрын
Shia alien kimatibabu
@ALIKHAMIS-un4fv20 минут бұрын
Mungu amlipe anachostahiki mshia huyu mtume Muhammad Sala na Salam ziwe juu yake amesema hakika pepo imezuiliwa kwa kila mtu wa bidaa
@roudhamahmoud76321 минут бұрын
Mola atustiri atupe kaul thabit nasisi atujaaliye tuzikwe ktk madhehebu ya dini zetu na sio kuwq muislam ukazikwa ktk mambo ya dini nyengine
@user-il5pk2dr5n22 минут бұрын
Atazikwajwe kiislam wakati yeye simuhislam watu wengi wanachanganya Dini ya kishia na uislam,mashia wapo mbali mbali na uislam.
@ALIKHAMIS-un4fv8 минут бұрын
Ni kweli ndugu Allah atufishe katika uislamu sahihi wa Quran na sunnah kwa ufahamu wa wema waliotangulia salaf
Kama si muislamu unatakiwa waislamu wakiongea ukae kimnya kafiri wewe maana hujui chochote juu ya mazishi sahihi ya waislamu
@AshaMwamba39 минут бұрын
Sisi wAtanzania kwakuhoji wanajitahihid
@NixonJohnson-zn8nk40 минут бұрын
Muone na kujifunza sasa kuwa ukifa wewe ni uchafu wewe wa dunia utazikwa kama uchafu sio tunavyofikiri sisi... Huko ni ulaya hakuna kutangulia kabrini utafukiwa na wewe
@ameirameir434944 минут бұрын
Ushia mtupu hapo
@shekhomarynnunduma520944 минут бұрын
Ndiyo kazikwa hivyo kitajiri amezikwa kwenye inchi tajiri alikuwa anaishi kwenye mji tajiri wanaishi matajiri kalifonia ndiyo mji wa matajiri
@iddihamisiharuna826117 минут бұрын
We sio sheikh! Soma dini kwanza, HAKUNA mazishi ya kitajiri na kimasikin kwenye uislamu bali mazishi yote yanafanana. Sema huyu kazikwa kishia kwa taratibu za kishia Bali sio kwa taratibu za mafunzo sahihi ya Mtume صلى الله عليه وسلم
@nishaabdula501548 минут бұрын
Na kijiko jmn ndo kuzika gn uku
@user-wl8qm2yj2c52 минут бұрын
Mmh mtihan uwo wallah 😢 mwenyezi mungu amsamehe madhambi yake
@nishaabdula501552 минут бұрын
Mm uyu si muislam uyu ss mbona wmazima ivi kaa mungu wangu
@EliahKayombo58 минут бұрын
Au alikuwa ruminat
@abuialmarjibi97958 минут бұрын
Innalilah wainna ilaeh rajion
@umsoud3306Сағат бұрын
Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin
@umsoud3306Сағат бұрын
Allaah Amrehem Ampumzishe Fii'jannah, pamoja na Wa Islam wote, Amiin thumma Amiin
@sofiarugoye7929Сағат бұрын
Ningeomba wajawazito wote wawe wanapewa chakula bure popote,mh rais tunakuomba uweke Sheria hii
@arafatmahmud3547Сағат бұрын
Hiyo ndio swala ya maiti kwa mashia, haina Surat Al Fatiha, pia katika dua ya imamu ameomba amfufue pamoja na maimamu, maimamu 12 wa Kishia.
@teddymwageni1763Сағат бұрын
Kwanini walimzika marekani badala ya Tanzania alikozaluwa na kuishi muda mrefu?
@nishaabdula501550 минут бұрын
Uyu kakulia uko na hp ndo baba ake alipo zikwa pia
@innocentchristopher757148 минут бұрын
Mipango ya familia Yao ss hayatuhus
@abbtsa306025 минут бұрын
Nasia ajabu akawa pia raia wa uko wahindi lazima wanakuwa na uraia sehemu nyingine
@khamishussein3502Сағат бұрын
Uislam wa magharibi bana asa ndo vitu gani sasa
@nishaabdula501551 минут бұрын
Yn hjb i
@rashidhemed6816Сағат бұрын
Swalatul maiti ina takbira 4 hapo nimesikia 5 na takbira ya kwanza sijasikia wakisoma suratul fatiha
@ramadhanihashibae9805Сағат бұрын
Hao sio waislamu, ni mashia ndio maana utaratibu wa ibada zao ni tofauti na wetu
@hamadsuleiman5177Сағат бұрын
@@ramadhanihashibae9805Mapokezi tofauti...Haya tuwachie wenyewe Allah ndie anaejua usahihi zaidi...Waislamu ni 1 duniani.
@ashachitemo7816Сағат бұрын
@@ramadhanihashibae9805utaratibu wa Ibada uko tofauti kivipi?
@InjiliyaUfalmetv2 сағат бұрын
Mungu aliyemlinda uhai wake usipotee ndo Mungu atamponya Ameen
@OnesmoEphrata2 сағат бұрын
JAAH only under The would
@saleemshehabu30712 сағат бұрын
Allah amsamehe makosa yake
@nicholauskilosa53363 сағат бұрын
Hiyo ni America hakuna uislamu wa kiarabu huko,mazishi yanafanyika kiyahudi ha haaaa
@user-qr7et3vl5z43 минут бұрын
Sioo kweli kila nchi Kuna utaratibu wake ws kidini huendaa aliingia kwenye ukafiri bila ya watu kujua
@user-mo2sb2nh8u3 сағат бұрын
Mbona amezikwa tofauti na maziko ya waislamu
@msowamhokole7714Сағат бұрын
Mabadiliko siku izi tekinolojia
@innocentchristopher757147 минут бұрын
Huko Sio buza ndg yngu n marekan akuna mamb ya kupig chepe
@iddihamisiharuna826122 минут бұрын
Hao ni mashia, hawafuati mafunzo sahihi ya uislamu
@ElizabethThomas-fj2sw13 минут бұрын
Marekani huzika hivyo acheni ushamba
@HusseinChai3 сағат бұрын
Kaziikwa marekani eeeh h
@NelsonMesha-wp9ks2 сағат бұрын
Mbona amezikwa kikristo Manji?
@abdulabdy68224 сағат бұрын
Innalillah wainnaillaih rajiun..Pumzika Kwa amani ndugu yetu Yusuf Manji.. Allah akujalie kauli thabiti Insha Allah
@kilimanjaro6952 сағат бұрын
Allahuma Ameen 🤲🏾
@Sh_Taqee5 сағат бұрын
Muislamu ukiishi bila kufuata mafunzo ya Dini yako utazikwa kwa mafunzo na utaratibu wa kikafiri
@barakafanuel50155 сағат бұрын
Kwendaaaa
@barakafanuel50155 сағат бұрын
Unapangia maisha watu na wakati unanjaa
@SalumJuma-iz2gj4 сағат бұрын
@@barakafanuel5015mazishi yapangwa na mungu utaratibu wake sio wat
@nicholauskilosa53363 сағат бұрын
Adhabu ya kabulini ipo kweli hapo maana kazikwa kiyahudi ha haaaa
@Moresa196Сағат бұрын
Kiazi sana. Kwani aina ya mazishi yanamfufua mtu? Au wewe umeenda umerudi?
@warakawayohana28965 сағат бұрын
Huko hakuna cha mwanandani
@osmundmtavangu5 сағат бұрын
Hizo mbwembwe hua zinatupotezea muda tu!
@MpumaLanga-vc4zh4 сағат бұрын
Hata Misri mwanandani hakuna kwenye maziko yao
@warakawayohana28964 сағат бұрын
@@MpumaLanga-vc4zh Aah kumbe ni tamaduni
@vt-kn6qf3 сағат бұрын
Apana sio uku maine Portland twazika kama nyumbani hispokuwa ilo zenge uwekwa juu ya mwanandani
@OnesmoEphrata2 сағат бұрын
😁
@MadilishaSimon-sb9kk5 сағат бұрын
MUNGU ibariki Israel
@user-cj2kl7cd9k6 сағат бұрын
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun Allah atupe mwisho mwema
@tahiyasaidi65326 сағат бұрын
Haya sio mazishi ya kiislamu..
@reisezone45746 сағат бұрын
Elewa kila nchi in taratibu zake za kuzika
@ZainabLol-wx7xf6 сағат бұрын
YA KI ISLAMU YAKOJE
@hamynas49 минут бұрын
haya ndiyo maziko sahihi unazijua haki za maiti wa kiislamu? kasome uelewe kwamza
@aliabdalla929712 минут бұрын
@@hamynaskasome ww kwanza maana hata huo uislamu huujui
@Niget-us1np7 минут бұрын
Ml@@hamynas
@Zubaiba6 сағат бұрын
Innalillahi wainnalillah rajiun
@paulokenedy40906 сағат бұрын
Si ndio hao unaowaona au unataka rangi?
@suleimansoud27836 сағат бұрын
Inna lillahi wainna ilaihi rajioun
@sadamshantiwa97496 сағат бұрын
Mchungaji feki kabixa, siku zote usiwaamin watu wafupi
@lusakaone77827 сағат бұрын
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
@mamlomamlo90647 сағат бұрын
Wanachama wa yanga siwaoni hapo,innalilah wa Ina ilayhi rajiun
@hajimassawe25927 сағат бұрын
Allah ampe kauli thabiti!
@MasoudMOHAMMED-qp3yt7 сағат бұрын
Bora muwapige nuclia muishi nyinyi milele msife
@HeriMagwaza-cd4wg8 сағат бұрын
Kila nafsi itaonjaa mauti rala manji
@michaelsamson96638 сағат бұрын
Watoto wa2 tu wahindi wanazingatia sana Mali kuliko chochote
@malaryhillary30758 сағат бұрын
Je huko ccm Kuna HAKI , sema wewe unataka madaraka basi kagomnee uenyekiti wa ccm kama utapata, mchungaji hewa
Пікірлер
Acheni ushamba kazikwa kislam tofauti kidogo
Nakupenda Tanzania 🇹🇿 yangu ,uzalendo na uadilifu.
Yaani ndugu zangu nyie ni washamba akyamungu,sasa mlifikiri ulaya wanazika kama nyingi wamakonde wa kumemena!?? Shenzi!.
Mara 1000 wangemsafirisha tanzaniya kuliko huko walikomzika pesa wanazo sijui walifikiri nini kumzika hivo haya mungu mkubwa tumwachiye yeye ndo hakim wa kweli na mjuzi wa wajuzi
Baba yake alizikwa hapohapo nadhani ndo maana yao kubwa awe karibu na mzee
Sorry jmn napenda kujua kwani alikuwa ameshahama Tanzania anaishi Marekan? Na je ni muhindi au mwarabu?
Shia alien kimatibabu
Mungu amlipe anachostahiki mshia huyu mtume Muhammad Sala na Salam ziwe juu yake amesema hakika pepo imezuiliwa kwa kila mtu wa bidaa
Mola atustiri atupe kaul thabit nasisi atujaaliye tuzikwe ktk madhehebu ya dini zetu na sio kuwq muislam ukazikwa ktk mambo ya dini nyengine
Atazikwajwe kiislam wakati yeye simuhislam watu wengi wanachanganya Dini ya kishia na uislam,mashia wapo mbali mbali na uislam.
Ni kweli ndugu Allah atufishe katika uislamu sahihi wa Quran na sunnah kwa ufahamu wa wema waliotangulia salaf
Hizo niichi zawatu acheni kuleta udini wenu hapa kazikwa kikafili yawapi ata umzike vipi hawezi amka wala kutazama acheni ushamba kenge nyinyiiiiiii
Kenge ni wew na baba ako au unasemaj
Kama si muislamu unatakiwa waislamu wakiongea ukae kimnya kafiri wewe maana hujui chochote juu ya mazishi sahihi ya waislamu
Sisi wAtanzania kwakuhoji wanajitahihid
Muone na kujifunza sasa kuwa ukifa wewe ni uchafu wewe wa dunia utazikwa kama uchafu sio tunavyofikiri sisi... Huko ni ulaya hakuna kutangulia kabrini utafukiwa na wewe
Ushia mtupu hapo
Ndiyo kazikwa hivyo kitajiri amezikwa kwenye inchi tajiri alikuwa anaishi kwenye mji tajiri wanaishi matajiri kalifonia ndiyo mji wa matajiri
We sio sheikh! Soma dini kwanza, HAKUNA mazishi ya kitajiri na kimasikin kwenye uislamu bali mazishi yote yanafanana. Sema huyu kazikwa kishia kwa taratibu za kishia Bali sio kwa taratibu za mafunzo sahihi ya Mtume صلى الله عليه وسلم
Na kijiko jmn ndo kuzika gn uku
Mmh mtihan uwo wallah 😢 mwenyezi mungu amsamehe madhambi yake
Mm uyu si muislam uyu ss mbona wmazima ivi kaa mungu wangu
Au alikuwa ruminat
Innalilah wainna ilaeh rajion
Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin
Allaah Amrehem Ampumzishe Fii'jannah, pamoja na Wa Islam wote, Amiin thumma Amiin
Ningeomba wajawazito wote wawe wanapewa chakula bure popote,mh rais tunakuomba uweke Sheria hii
Hiyo ndio swala ya maiti kwa mashia, haina Surat Al Fatiha, pia katika dua ya imamu ameomba amfufue pamoja na maimamu, maimamu 12 wa Kishia.
Kwanini walimzika marekani badala ya Tanzania alikozaluwa na kuishi muda mrefu?
Uyu kakulia uko na hp ndo baba ake alipo zikwa pia
Mipango ya familia Yao ss hayatuhus
Nasia ajabu akawa pia raia wa uko wahindi lazima wanakuwa na uraia sehemu nyingine
Uislam wa magharibi bana asa ndo vitu gani sasa
Yn hjb i
Swalatul maiti ina takbira 4 hapo nimesikia 5 na takbira ya kwanza sijasikia wakisoma suratul fatiha
Hao sio waislamu, ni mashia ndio maana utaratibu wa ibada zao ni tofauti na wetu
@@ramadhanihashibae9805Mapokezi tofauti...Haya tuwachie wenyewe Allah ndie anaejua usahihi zaidi...Waislamu ni 1 duniani.
@@ramadhanihashibae9805utaratibu wa Ibada uko tofauti kivipi?
Mungu aliyemlinda uhai wake usipotee ndo Mungu atamponya Ameen
JAAH only under The would
Allah amsamehe makosa yake
Hiyo ni America hakuna uislamu wa kiarabu huko,mazishi yanafanyika kiyahudi ha haaaa
Sioo kweli kila nchi Kuna utaratibu wake ws kidini huendaa aliingia kwenye ukafiri bila ya watu kujua
Mbona amezikwa tofauti na maziko ya waislamu
Mabadiliko siku izi tekinolojia
Huko Sio buza ndg yngu n marekan akuna mamb ya kupig chepe
Hao ni mashia, hawafuati mafunzo sahihi ya uislamu
Marekani huzika hivyo acheni ushamba
Kaziikwa marekani eeeh h
Mbona amezikwa kikristo Manji?
Innalillah wainnaillaih rajiun..Pumzika Kwa amani ndugu yetu Yusuf Manji.. Allah akujalie kauli thabiti Insha Allah
Allahuma Ameen 🤲🏾
Muislamu ukiishi bila kufuata mafunzo ya Dini yako utazikwa kwa mafunzo na utaratibu wa kikafiri
Kwendaaaa
Unapangia maisha watu na wakati unanjaa
@@barakafanuel5015mazishi yapangwa na mungu utaratibu wake sio wat
Adhabu ya kabulini ipo kweli hapo maana kazikwa kiyahudi ha haaaa
Kiazi sana. Kwani aina ya mazishi yanamfufua mtu? Au wewe umeenda umerudi?
Huko hakuna cha mwanandani
Hizo mbwembwe hua zinatupotezea muda tu!
Hata Misri mwanandani hakuna kwenye maziko yao
@@MpumaLanga-vc4zh Aah kumbe ni tamaduni
Apana sio uku maine Portland twazika kama nyumbani hispokuwa ilo zenge uwekwa juu ya mwanandani
😁
MUNGU ibariki Israel
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun Allah atupe mwisho mwema
Haya sio mazishi ya kiislamu..
Elewa kila nchi in taratibu zake za kuzika
YA KI ISLAMU YAKOJE
haya ndiyo maziko sahihi unazijua haki za maiti wa kiislamu? kasome uelewe kwamza
@@hamynaskasome ww kwanza maana hata huo uislamu huujui
Ml@@hamynas
Innalillahi wainnalillah rajiun
Si ndio hao unaowaona au unataka rangi?
Inna lillahi wainna ilaihi rajioun
Mchungaji feki kabixa, siku zote usiwaamin watu wafupi
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
Wanachama wa yanga siwaoni hapo,innalilah wa Ina ilayhi rajiun
Allah ampe kauli thabiti!
Bora muwapige nuclia muishi nyinyi milele msife
Kila nafsi itaonjaa mauti rala manji
Watoto wa2 tu wahindi wanazingatia sana Mali kuliko chochote
Je huko ccm Kuna HAKI , sema wewe unataka madaraka basi kagomnee uenyekiti wa ccm kama utapata, mchungaji hewa
Kila nafsi itaonja umauti
Duh pole yake jmn