Sativa kupatiwa matibabu Dar, ndege yapata dharura

Wakati wowote kuanzia sasa Edgar Mwakabela maarufu Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23 na kupatikana mkoani Katavi, atawasili Dar es Salaam kwa ajili ya kupata huduma za matibabu.
Sativa alitakiwa kuwasili Dar es Salaam leo saa tisa alasiri kwa ndege maalumu ya kukodi, lakini kutokana na dharura iliyojitokeza, amelazimika kusafirishwa kwa gari la wagonjwa akitokea mkoani Dodoma kuletwa jijini hapa.
Sativa mkazi wa Mbezi wilayani Ubungo alipatikana Alhamisi Juni 27, 2024 katika pori la Hifadhi ya Taifa ya Katavi akiwa na majeraha mwilini, akiomba msaada wa kupelekwa hospitalini.
Akizungumza na wanahabari leo Jumamosi, Juni 29, 2024 katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, mratibu wa matibabu na safari ya Sativa, Martin Masese maarufu ‘MMM’ alisema Mwakabela anaendelea vema na hali yake inazidi kuimarika, ndiyo maana madaktari wametoa ruhusa asafirishwe.
Masese amesema Sativa alikuwa asafiri na Shirika la Ndege la Tanzania, tangu Juni 28 kutoka Katavi kupitia Tabora hadi Dar es Salaam, lakini kwa bahati mbaya usafiri huo ulishajaa.
Kutokana na hali hiyo, Masese amesema walishauriana na ndugu wa Sativa na madaktari na kuazimia mgonjwa huyo aletwe Dar es Salaam na gari la wagonjwa badala ya kusubiria ndege iliyopangwa kufika Dodoma usiku.

Пікірлер: 32

  • @user-lo8ef9qn2r
    @user-lo8ef9qn2r4 күн бұрын

    Mnajua kutufunga kamba kumbe Kwa Gari angeweza kufika vp mkae kusubili ndege?

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv2 күн бұрын

    Mungu aliyemlinda uhai wake usipotee ndo Mungu atamponya Ameen

  • @swaibushemdoe2143
    @swaibushemdoe21434 күн бұрын

    Kwanini msichukue V8

  • @exprodigitaltechtv5571

    @exprodigitaltechtv5571

    4 күн бұрын

    Sas V8 ndo ambulance?

  • @samsonsamwel8782
    @samsonsamwel87824 күн бұрын

    Na mchunge kutoa taarifa kamil na ikiwezekana mpeleken hata Kenya hapo watamvzia kumalizia

  • @LaurentMpilu-qe6lq
    @LaurentMpilu-qe6lq4 күн бұрын

    Danadana Mpira wenye chenga nyingi

  • @user-mb2ln1et5w
    @user-mb2ln1et5w4 күн бұрын

    Poleni sana

  • @user-mb2ln1et5w
    @user-mb2ln1et5w4 күн бұрын

    Huyo rpc ni WA serekali hii mnayoishbulia Kila siku au??

  • @prospersteven4564
    @prospersteven45644 күн бұрын

    Poleni saana

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg2 күн бұрын

    Mpelekeni Kenya, wasije wakammalizia

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s15 сағат бұрын

    Hivi hawa watekaji ni dini gani? Mbona hawana huruma? Pole sana,

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui3 күн бұрын

    mbona umbali wa dom-dar ni mdogo kuliko umbali wa katavi-dom, c mngemleta dar kwa gari tu

  • @deborahmchona5584
    @deborahmchona55844 күн бұрын

    SASA Dodoma mgeendaoja Kwa moja mpka dar

  • @fridayjkajange1247
    @fridayjkajange12474 күн бұрын

    Chukua visa ninda nje ya nchi utanishukuru badae

  • @YangaNews
    @YangaNews4 күн бұрын

    Nyie akili ndogo sana 😢

  • @KilingohJuma
    @KilingohJumaКүн бұрын

    Unaongea sana bila vtendo , katavi to Dar usafl upo na Kuna mabas mazur sana, ninyi mnasubili ndege , are you serious ,acheni uzembe

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna205810 сағат бұрын

    Mnakaa kungoja ndege wakati kuna luxury bus mngechukua hata private ila yote kwa yote apewe ulinzi hata ikiwezakana apelekwe nje ya nchi sina iman na serekali yetu imebeba watekaji kukilinda chama tu😭😭

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg2 күн бұрын

    Kwa hiyo uma wasipojua alike ndio usalama wake, au wasiojulikana ndio hawatakiwi kujua,

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_4 күн бұрын

    Tanzania ni Nchi ya Amani saaana ila kwa wanao funga midomo, watekaji hawakuwa na lengo la kumuua yaelekea lengo ni kufikisha ujumbe au walivyoona media zimeanza kurusha wakaona Isiwe tabu , hizi taarifa siku hizi zinafika Dunia nzima na ndio mambo yanayo ichafulia Nchi , kwenye ripoti ya haki za Binam kwa Tz sio nzuri saana , huwa wanatahadharisha saana watu wao wakija kufanya utalii

  • @nzitogondwe9976

    @nzitogondwe9976

    3 күн бұрын

    Rais wenu sio

  • @beinafuu6219
    @beinafuu621951 минут бұрын

    Watekaji hinaonyesha bado watu hawatak kuua ndo maana kila mbombo yanagoma lisu na huyu vinagoma mama samia saidia hawa watu mama wanakutis ubaya

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb3 күн бұрын

    Ingekua mbunge maeezezo yotehayo yangekuepo

  • @msakadoobongeladada-uh3sk

    @msakadoobongeladada-uh3sk

    Күн бұрын

    hapana

  • @danielndam5997
    @danielndam59974 күн бұрын

    Askali wanalinda nn eneo la tukio?

Келесі