HUZUNI! MBOWE ATOA MAAGIZO KWA RAIS SAMIA JUU YA UTEKWAJI WA SATIVA KATAVI
Жүктеу.....
Пікірлер: 20
@hamidabarraball3162Күн бұрын
Wanajisifia wakikamata wahamiaji haramu, lakini watekwaji wanapitishwa humo mabarabarani hawasaoni hii ndio nchi ya wenyewe .
@godymbanyi1878Күн бұрын
Inahuzunisha😢😢😢😢
@OmmyJames-xn7jiКүн бұрын
MBOWE MZEE WAKUSUBIRI MATUKIO LAKINI LA PAROKO HAJA BWEKA 😢😢😢😢😢
@josephmkinga9509Күн бұрын
mbuyu ulianza kama mchicha kenya nao wameanza hivi hivi hatimae mizizi imekolea
@user-cx1xz2is5dКүн бұрын
Pole sana kijana
@gracekagoma3231Күн бұрын
Hiyo ndiyo sera😢😢ya Mbowe
@kaguripenina63
Күн бұрын
Ww unafurahia hayo mambo
@gasperelasto8842
Күн бұрын
Nafikiri
@danielamosi687113 сағат бұрын
Mbowe tunakupenda
@valenakomba768612 сағат бұрын
JAMAAANI, MBONA HII SIYO HAKII. WATALAANIWA TU. SASA WANAOGOPA NINI.?
@dianamakyara421012 сағат бұрын
😭😭🙌
@MACHOYATAI-jk6fuКүн бұрын
Ccm wameisha zoea kuuwa MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI atawalipa
@janiafaomaa5120Күн бұрын
bowe na chadema yako meishiwa mtakuwa mnasubiri mtu akieda choni mtu akigombana na mkewe mnakuja kweye jukwa kueleza hamna hoja ya kuwaeleza watanzania
@SylivesterKilungaКүн бұрын
Mh
@realswahilicultural8140Күн бұрын
Wewe mzee Mbowe achia ngazi au tandamane wanachama chama kinakufia nasisi hatuko tayari kuona chama chetu kinakufa ..kaa pemben tanataka mweyeketi mpya
@frankjohn8706
4 сағат бұрын
Serikali ya ufalme wa FARAO ilikua kubwa lkn Mungu ni mkuu Sana aliwapigania Wana wa Israel kwa USHINDI mkubwa bila hata ya fimbo mkononi MAPIGO makubwa alipata FARAO Mungu ni yule yule Jana na Leo na milele hata Leo anapiga WABAYA watu wasiojua kama serikali ni ya nani kati ya Mungu na watawala
@annaheagle2915Күн бұрын
Serikali inahusika tuache ubishani aiwezekan watu wapite barabaran nzima from dar to katavi bila polic kujua n uongo
@user-yh3dv2bl7uКүн бұрын
Ndo nchi yetu yaanani wanahubir Aman Aman ikowapi
@alphoncewilliam4325Күн бұрын
Huna jipya
@salama1113Күн бұрын
Watu mashuhuli wanaamia kwenye chama chako mjitathimini
Пікірлер: 20
Wanajisifia wakikamata wahamiaji haramu, lakini watekwaji wanapitishwa humo mabarabarani hawasaoni hii ndio nchi ya wenyewe .
Inahuzunisha😢😢😢😢
MBOWE MZEE WAKUSUBIRI MATUKIO LAKINI LA PAROKO HAJA BWEKA 😢😢😢😢😢
mbuyu ulianza kama mchicha kenya nao wameanza hivi hivi hatimae mizizi imekolea
Pole sana kijana
Hiyo ndiyo sera😢😢ya Mbowe
@kaguripenina63
Күн бұрын
Ww unafurahia hayo mambo
@gasperelasto8842
Күн бұрын
Nafikiri
Mbowe tunakupenda
JAMAAANI, MBONA HII SIYO HAKII. WATALAANIWA TU. SASA WANAOGOPA NINI.?
😭😭🙌
Ccm wameisha zoea kuuwa MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI atawalipa
bowe na chadema yako meishiwa mtakuwa mnasubiri mtu akieda choni mtu akigombana na mkewe mnakuja kweye jukwa kueleza hamna hoja ya kuwaeleza watanzania
Mh
Wewe mzee Mbowe achia ngazi au tandamane wanachama chama kinakufia nasisi hatuko tayari kuona chama chetu kinakufa ..kaa pemben tanataka mweyeketi mpya
@frankjohn8706
4 сағат бұрын
Serikali ya ufalme wa FARAO ilikua kubwa lkn Mungu ni mkuu Sana aliwapigania Wana wa Israel kwa USHINDI mkubwa bila hata ya fimbo mkononi MAPIGO makubwa alipata FARAO Mungu ni yule yule Jana na Leo na milele hata Leo anapiga WABAYA watu wasiojua kama serikali ni ya nani kati ya Mungu na watawala
Serikali inahusika tuache ubishani aiwezekan watu wapite barabaran nzima from dar to katavi bila polic kujua n uongo
Ndo nchi yetu yaanani wanahubir Aman Aman ikowapi
Huna jipya
Watu mashuhuli wanaamia kwenye chama chako mjitathimini