HUZUNI! MBOWE ATOA MAAGIZO KWA RAIS SAMIA JUU YA UTEKWAJI WA SATIVA KATAVI

Пікірлер: 20

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162Күн бұрын

    Wanajisifia wakikamata wahamiaji haramu, lakini watekwaji wanapitishwa humo mabarabarani hawasaoni hii ndio nchi ya wenyewe .

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878Күн бұрын

    Inahuzunisha😢😢😢😢

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7jiКүн бұрын

    MBOWE MZEE WAKUSUBIRI MATUKIO LAKINI LA PAROKO HAJA BWEKA 😢😢😢😢😢

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509Күн бұрын

    mbuyu ulianza kama mchicha kenya nao wameanza hivi hivi hatimae mizizi imekolea

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5dКүн бұрын

    Pole sana kijana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231Күн бұрын

    Hiyo ndiyo sera😢😢ya Mbowe

  • @kaguripenina63

    @kaguripenina63

    Күн бұрын

    Ww unafurahia hayo mambo

  • @gasperelasto8842

    @gasperelasto8842

    Күн бұрын

    Nafikiri

  • @danielamosi6871
    @danielamosi687113 сағат бұрын

    Mbowe tunakupenda

  • @valenakomba7686
    @valenakomba768612 сағат бұрын

    JAMAAANI, MBONA HII SIYO HAKII. WATALAANIWA TU. SASA WANAOGOPA NINI.?

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara421012 сағат бұрын

    😭😭🙌

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fuКүн бұрын

    Ccm wameisha zoea kuuwa MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI atawalipa

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120Күн бұрын

    bowe na chadema yako meishiwa mtakuwa mnasubiri mtu akieda choni mtu akigombana na mkewe mnakuja kweye jukwa kueleza hamna hoja ya kuwaeleza watanzania

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilungaКүн бұрын

    Mh

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140Күн бұрын

    Wewe mzee Mbowe achia ngazi au tandamane wanachama chama kinakufia nasisi hatuko tayari kuona chama chetu kinakufa ..kaa pemben tanataka mweyeketi mpya

  • @frankjohn8706

    @frankjohn8706

    4 сағат бұрын

    Serikali ya ufalme wa FARAO ilikua kubwa lkn Mungu ni mkuu Sana aliwapigania Wana wa Israel kwa USHINDI mkubwa bila hata ya fimbo mkononi MAPIGO makubwa alipata FARAO Mungu ni yule yule Jana na Leo na milele hata Leo anapiga WABAYA watu wasiojua kama serikali ni ya nani kati ya Mungu na watawala

  • @annaheagle2915
    @annaheagle2915Күн бұрын

    Serikali inahusika tuache ubishani aiwezekan watu wapite barabaran nzima from dar to katavi bila polic kujua n uongo

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7uКүн бұрын

    Ndo nchi yetu yaanani wanahubir Aman Aman ikowapi

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325Күн бұрын

    Huna jipya

  • @salama1113
    @salama1113Күн бұрын

    Watu mashuhuli wanaamia kwenye chama chako mjitathimini

Келесі