MZEE MASATU:AGEUKA MBOGO KWA CHAMA | NIULIZE KUHUSU JOSHUA MUTALE | TUNASHUSHA VYUMA HATARI SIMBA SC

Спорт

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Пікірлер: 58

  • @SulemaniNassor
    @SulemaniNassor2 күн бұрын

    Mze masatu upo juu sana good

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417Күн бұрын

    Huyu mzee atunzwe ana kitu kikubwa Sana nimekukubali mzeee Wang

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse15102 күн бұрын

    Safffi mzee masatu chukua mauwa yako🎉🎉🎉🎉

  • @ibadimohamedi9756
    @ibadimohamedi97562 күн бұрын

    Mzee anajua mpira

  • @japhetmwangwa2145
    @japhetmwangwa214522 сағат бұрын

    Mzee masatu namkubl Sana mzee wangu ❣️🇹🇿

  • @samsonpaul-uz6nq
    @samsonpaul-uz6nqКүн бұрын

    Unajuwa sana Mzee wangu

  • @kasolesambula1678
    @kasolesambula1678Күн бұрын

    Manshaallah mzee 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130Күн бұрын

    Mashabiki wa mpira Bongo,sometimes mnakuzaga mambo bila uhalisia --- Class ya Mutale ni ya dataja la kati --- tungekuwa na maskaut proper,wachezaji class ya Mutale,hapa hapa Bongo unaweza kuwapata hata 200.

  • @abdallahshariff6555

    @abdallahshariff6555

    Күн бұрын

    Ili uwe na ukumbuko,nitakuja kukuulizi hili ulililisema

  • @AthumaniMsuya
    @AthumaniMsuyaКүн бұрын

    Baba waambie hao wachambuzi wasikuchoze na maswala ya chama hao hao ndio wali kuawa wakisema chama kazeeka Leo Yuko yannga wanaona kazaliwa upya!

  • @JuhudiChunga-br5gh
    @JuhudiChunga-br5ghКүн бұрын

    Mm namtaka Mzee said

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892Күн бұрын

    Naam kuipenda simba ni neema wamemchukua chama kwa mbwembwe kama okra, msimu mmoja tu okra tupa kule na chama msimu mmoja tunae tupa kule mtayaona tu haya

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543Күн бұрын

    UPO SAHIHI SANA MZEE WAPO WACHEZAJI BORA WAMEHAMA NA KWENDA MECHI KUBWA HATUSHITUKU KABISA

  • @AbushirVicent
    @AbushirVicentКүн бұрын

    Mzee masatu ongera

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3tКүн бұрын

    Waaaambieeeeemzeeeee

  • @bonshag1
    @bonshag1Күн бұрын

    😂😂😂😂😂 mzee masatu umeua kabisa

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi245421 сағат бұрын

    Mzee masatu chukua maua Yako umejibu kisomi

  • @SaidOmary-nh5kr
    @SaidOmary-nh5krКүн бұрын

    saivi watu Wana taka Vijana ndoo ukweli wanaumia wasio Juan mpila

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376Күн бұрын

    Masatu kwenye ubora wake😂😂

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredyКүн бұрын

    Huna akili masatu

  • @user-cp2fr6ct5g
    @user-cp2fr6ct5g20 сағат бұрын

    Nakubar msinbaz

  • @richardmaimu9596
    @richardmaimu959622 сағат бұрын

    Kitaalamu inaitwa "SIZITAKI MBIVU HIZI"

  • @SarahAthumani-yr3fm
    @SarahAthumani-yr3fm5 сағат бұрын

    Ukovizur baba

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina128623 сағат бұрын

    unateumia na chama wew ni bwege kweli

  • @user-gj6mo9me8j
    @user-gj6mo9me8j2 сағат бұрын

    Ira nikweri maana chama umuri umendaa

  • @BarakaJiroli
    @BarakaJiroli37 минут бұрын

    Ww ndo auna akili masatu a naongea ukweli

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad788711 сағат бұрын

    Huyu muuza kahawa wa kwny hicho kijiwe anauza sana kahawa mana kijiwe hakikauki watu na ofa za kununulia watu kahawa yote ndo kibao,usihame ichi kijiwe ndg yng😂

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256Күн бұрын

    SIMBA KALA NYAMA MAFISI YANAFURAHIA MIFUPA 😂😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Lusindehalima-si3ej

    @Lusindehalima-si3ej

    13 сағат бұрын

    Tumekula nyama tumetupa mfupa mmeukimbilia, haya kuleni makombo sisi haooooo

  • @MotibaMashana-hv3tf
    @MotibaMashana-hv3tf13 сағат бұрын

    mzee masatu ww rudi makojo ukale furu umbea wachie watu wa mwambao

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646Күн бұрын

    MZEE WANGU SISI WOTE NI WANA SIMBA ILA KWA CHAMA WEKA AKIBA YA MANENO... LIGI HAIJAANZA BADO TUSIJE TUKAMTAFUTA MCHAWI!!

  • @abdallahchande1467
    @abdallahchande146714 сағат бұрын

    We ndio huna akil akiachwa wapo Zaid ya Cham wewe nyie si wababa makapi mbon okra mmemuacha tena

  • @Hasnspop
    @Hasnspop28 минут бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉

  • @Aloycepastory
    @AloycepastoryКүн бұрын

    😂😂😂

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo22 сағат бұрын

    Wachezaji hawana timu wao wanatizama pessa tu kwahiyo mchezaj anahak ya kwenda kokote

  • @MapangaMapanga
    @MapangaMapangaКүн бұрын

    Lll

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806Күн бұрын

    Wewe masato akiri ndogo sana jieshim ww ndio mama unaliwa weee

  • @maxmia100
    @maxmia1002 күн бұрын

    Hawa wazee kama huyu mzee masatu hana akili ya mpira na huyu ndo wale mizee Haina akili chama bado mtu sisi tunaumia waandishi msiwe mnahoji mizee mjinga hapa mzee saidi ndo anajua mpira

  • @andekisyenasibu312

    @andekisyenasibu312

    Күн бұрын

    Wew ndo hauna akili, kwan Chama atacheza milele? Zwazwa wew kama mumeo mfate aliko

  • @mussakinkon5252

    @mussakinkon5252

    Күн бұрын

    Kwani Chama mulianza kumtaka leo ndoto zenu sisi kama tungemuhitaji angebaki mbona kipind yuko dogo mbona mlishindwa kumchukua ...ACHENI KUOKOTAOKOTA

  • @AbdulshakurAthuman

    @AbdulshakurAthuman

    Күн бұрын

    Chama sio Simba

  • @michaeltilusasila2992

    @michaeltilusasila2992

    Күн бұрын

    Hana akiri baba akhooo ila mzee masatu ana akiri

  • @issakikwazi-jm5rq

    @issakikwazi-jm5rq

    Күн бұрын

    kua na adabu kijana hayo ni maoni yake toa nawewe maoni yako usitukane mjomba chama siyo mwanachama wa simba bali chama ni mchezaji anaweza kucheza timu yoyote duniani kumbuka tumekosa ubingwa mara tatu mfululizo na chama akiwemo hiyo ndo football

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx2 күн бұрын

    Waligombania na simba

  • @januarysungura8119

    @januarysungura8119

    Күн бұрын

    Huyu alikuwa mchezaji wa simba kwaiyo alihitajika na nani na nani nje ya simba ?

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130Күн бұрын

    CPA = CHAMA -- PACOME --- PRINCE -- AZIZ --- Huo moto mtakimbiana " Kariakoo Derby, itakuwa nafuu sana kwenu madunduka,kama hamtapeleka timu Lupaso "

  • @DanielChaula
    @DanielChaulaКүн бұрын

    Mbona mbogo

Келесі