MZEE MASATU:AGEUKA MBOGO KWA CHAMA | NIULIZE KUHUSU JOSHUA MUTALE | TUNASHUSHA VYUMA HATARI SIMBA SC
Спорт
JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 58
Mze masatu upo juu sana good
Huyu mzee atunzwe ana kitu kikubwa Sana nimekukubali mzeee Wang
Safffi mzee masatu chukua mauwa yako🎉🎉🎉🎉
Mzee anajua mpira
Mzee masatu namkubl Sana mzee wangu ❣️🇹🇿
Unajuwa sana Mzee wangu
Manshaallah mzee 🎉🎉🎉🎉🎉
Mashabiki wa mpira Bongo,sometimes mnakuzaga mambo bila uhalisia --- Class ya Mutale ni ya dataja la kati --- tungekuwa na maskaut proper,wachezaji class ya Mutale,hapa hapa Bongo unaweza kuwapata hata 200.
@abdallahshariff6555
Күн бұрын
Ili uwe na ukumbuko,nitakuja kukuulizi hili ulililisema
Baba waambie hao wachambuzi wasikuchoze na maswala ya chama hao hao ndio wali kuawa wakisema chama kazeeka Leo Yuko yannga wanaona kazaliwa upya!
Mm namtaka Mzee said
Naam kuipenda simba ni neema wamemchukua chama kwa mbwembwe kama okra, msimu mmoja tu okra tupa kule na chama msimu mmoja tunae tupa kule mtayaona tu haya
UPO SAHIHI SANA MZEE WAPO WACHEZAJI BORA WAMEHAMA NA KWENDA MECHI KUBWA HATUSHITUKU KABISA
Mzee masatu ongera
Waaaambieeeeemzeeeee
😂😂😂😂😂 mzee masatu umeua kabisa
Mzee masatu chukua maua Yako umejibu kisomi
saivi watu Wana taka Vijana ndoo ukweli wanaumia wasio Juan mpila
Masatu kwenye ubora wake😂😂
Huna akili masatu
Nakubar msinbaz
Kitaalamu inaitwa "SIZITAKI MBIVU HIZI"
Ukovizur baba
unateumia na chama wew ni bwege kweli
Ira nikweri maana chama umuri umendaa
Ww ndo auna akili masatu a naongea ukweli
Huyu muuza kahawa wa kwny hicho kijiwe anauza sana kahawa mana kijiwe hakikauki watu na ofa za kununulia watu kahawa yote ndo kibao,usihame ichi kijiwe ndg yng😂
SIMBA KALA NYAMA MAFISI YANAFURAHIA MIFUPA 😂😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Lusindehalima-si3ej
13 сағат бұрын
Tumekula nyama tumetupa mfupa mmeukimbilia, haya kuleni makombo sisi haooooo
mzee masatu ww rudi makojo ukale furu umbea wachie watu wa mwambao
MZEE WANGU SISI WOTE NI WANA SIMBA ILA KWA CHAMA WEKA AKIBA YA MANENO... LIGI HAIJAANZA BADO TUSIJE TUKAMTAFUTA MCHAWI!!
We ndio huna akil akiachwa wapo Zaid ya Cham wewe nyie si wababa makapi mbon okra mmemuacha tena
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
😂😂😂
Wachezaji hawana timu wao wanatizama pessa tu kwahiyo mchezaj anahak ya kwenda kokote
Lll
Wewe masato akiri ndogo sana jieshim ww ndio mama unaliwa weee
Hawa wazee kama huyu mzee masatu hana akili ya mpira na huyu ndo wale mizee Haina akili chama bado mtu sisi tunaumia waandishi msiwe mnahoji mizee mjinga hapa mzee saidi ndo anajua mpira
@andekisyenasibu312
Күн бұрын
Wew ndo hauna akili, kwan Chama atacheza milele? Zwazwa wew kama mumeo mfate aliko
@mussakinkon5252
Күн бұрын
Kwani Chama mulianza kumtaka leo ndoto zenu sisi kama tungemuhitaji angebaki mbona kipind yuko dogo mbona mlishindwa kumchukua ...ACHENI KUOKOTAOKOTA
@AbdulshakurAthuman
Күн бұрын
Chama sio Simba
@michaeltilusasila2992
Күн бұрын
Hana akiri baba akhooo ila mzee masatu ana akiri
@issakikwazi-jm5rq
Күн бұрын
kua na adabu kijana hayo ni maoni yake toa nawewe maoni yako usitukane mjomba chama siyo mwanachama wa simba bali chama ni mchezaji anaweza kucheza timu yoyote duniani kumbuka tumekosa ubingwa mara tatu mfululizo na chama akiwemo hiyo ndo football
Waligombania na simba
@januarysungura8119
Күн бұрын
Huyu alikuwa mchezaji wa simba kwaiyo alihitajika na nani na nani nje ya simba ?
CPA = CHAMA -- PACOME --- PRINCE -- AZIZ --- Huo moto mtakimbiana " Kariakoo Derby, itakuwa nafuu sana kwenu madunduka,kama hamtapeleka timu Lupaso "
Mbona mbogo