VIONGOZI wa DINI WAIBUKA na SPIKA -KUSIMAMISHWA kwa MPINA na KAULI za WABUNGE - MAKONDA APONGEZWA...

VIONGOZI wa DINI WAIBUKA na SPIKA -KUSIMAMISHWA kwa MPINA na KAULI za WABUNGE - MAKONDA APONGEZWA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 168

  • @globaltv_online
    @globaltv_onlineКүн бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidhКүн бұрын

    Tz ndio nchi pekee Ukiwa mkweli na mtetezi wa wanyonge unapigwa vita sana

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert41792 күн бұрын

    Safi sana viongozi wa dini Mungu awabariki,

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z2 күн бұрын

    Ongereni sana mashee wetu kwa kuriona iri ata mimi roo iriniuma sana msema kweri kuchinjiwa baharini sio powa mungu awabariki sana❤❤

  • @AlistidiusKagyabukama

    @AlistidiusKagyabukama

    2 күн бұрын

    Wewe unaongea tu mpina yuko Sawa nyinyi mnafuta sifa

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani11382 күн бұрын

    Hapa hatuna Bunge Ni aibu tupu anayetetea watu wanamwondoa Asante Sana viongoz wa din

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bzКүн бұрын

    Hongereni sana viongozi wa dini na Mungu awabariki sana

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im2 күн бұрын

    Amani haichungiki bila ya haki. Nchi nyingi za kiafrika zinakosa amani kwaajiri ya dhuluma ya wengi. Wabunge wa Tanzania badała ya kutetea haki ya waliowachaguwa wanatetea interests za wachache wanao wadhulumu wengi. Usiposema ndiyo bungeni unakuwa Aduwi na wanakushutumu kuwa adui wa chama na serikali. Demokrasia gani hii? Mbunge ana haki ya kutetea wananchi na sio kuiunga mkono serikali na sifa nyingi kwa Rais bila ya kuwajali wananchi. Tanzania ni masikini kwa wizi na ufisadi wa watu wachache kujilimbikizia mali za watanzania. Hawakamatwi, wala kusemwa. Ukiwasema bungeni yanakupata yaliyompata Mpina.

  • @user-xy2hf5pl5y
    @user-xy2hf5pl5y2 күн бұрын

    Yaani mmenifurahisha sana na tafadhali kazeni kamba mpina ni mbunge namba 1 tutakuwa tayari Kwa lolote Kwa kumuweka nje mpendwa wetu Yuko nyuma yake lakini Kwa kuwa tuna mama ni mpenda hali nadhani Hilo ameliona tunasubiri maamuzi yake na yenye busara

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    Күн бұрын

    mmmmmh??? eti mama 😂😂😂😂😂 hivi bado kunawatanzania wajinga wasio fahamu kilakitu au kumjua mtu mbaya na mwema basi nchi bado ipo gizan sana kama bado mpo watu msioona huyu mtu anaroho gani ?

  • @kinkybanjukome217

    @kinkybanjukome217

    Күн бұрын

    Ni wabunge wa chama Cha mapuuzi

  • @user-ry4kx9hg7o
    @user-ry4kx9hg7o2 күн бұрын

    Hongerani Sana mashehe.

  • @ellylema9042
    @ellylema90422 күн бұрын

    Sikikiliza Kwa makini.Sio Kila jambo ni utapeli.Mungu amekupa akili na uwezo wa kufikiri.Angalia point

  • @saivellybrutally2994

    @saivellybrutally2994

    2 күн бұрын

    Mjinga hakiwa mpumbavu ni changamoto ahsante viongozi comment zetu ziwe na mantik

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971Күн бұрын

    Mpina ana ujasiri sana, anajua wajibu wake kama mbunge. Siyo hao wanaolinda wezi

  • @user-ej5qd3in2z
    @user-ej5qd3in2zКүн бұрын

    ongereni sana mmenigusa sana

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361Күн бұрын

    Mpina hongera

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648Күн бұрын

    Shukrani sana viongozi

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5tКүн бұрын

    Mungu awabariki sana

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias75942 күн бұрын

    Vijana mashekh mmeongea vzr msichoke kuelimisha

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp41032 күн бұрын

    Asante sana viongozi

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6niКүн бұрын

    Safi sana mashehe

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m2 күн бұрын

    Eti matapeli pale wanatapeli nini!!!?

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi85112 күн бұрын

    Shekhee tunakupenda kwakusimamia ukwer tunakupenda sn tupo nyuma Yako tunakulinda sn nyinyi niwatetezi wawnyonge sn sn sn ilove mashekh Kwa pamoja

  • @section8ight174

    @section8ight174

    2 күн бұрын

    *UkweLi

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    2 күн бұрын

    Haki huinua taifa

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1upКүн бұрын

    Asanteni sana shekh kwa ukweli huu. Askofu wetu Malasusa hutosikia akiongea ukweli wa kuikosoa serikali kwa maovu yake ...kazi yake ni kujipendekeza kwa mama ili aitwe ikulu kula kuku ....!! Nasikitika sana kwa viongizi wa KKKT hasa baadhi ya maaskofu wababaishaji wakiongozwa na Malasusa

  • @PeterMandata
    @PeterMandataКүн бұрын

    Upo sahihi sana

  • @user-qx4pc3rx8g
    @user-qx4pc3rx8gКүн бұрын

    Safi sana ndugu zetu

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618Күн бұрын

    Spika jaribu kuona hayo yaliyoanza kufanyika. Hao ni wachache mama yangu tafuta Sheria zingine arudi mpina inaonekana ni mhemko wa watu kutafuta heshima kwako. Mrudishe mpina

  • @nolanazalet5152
    @nolanazalet51522 күн бұрын

    Unajua niseme jambo moja bunge la chama kimoja ndo madhara yake ndo haya mtu amejenga hoja mnamfukuza kwa nn? Mjitafakali wananchi wanaona mnachokifanya wameelimika nyinyi Ni wasomi tumieni usomi wenu kwa kujibu hoja sio kumfukuza tunaomba mmrudishe.

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    2 күн бұрын

    Mjitafakari au mjitafakali?

  • @section8ight174

    @section8ight174

    2 күн бұрын

    @@edsonnelson4464*TafakaRi

  • @saivellybrutally2994

    @saivellybrutally2994

    2 күн бұрын

    Shida ni kwamba tukiwaita wasomi tunakuwa tumewatukuza

  • @Ezeqsweya1116

    @Ezeqsweya1116

    2 күн бұрын

    Hujaelewa ?​@@edsonnelson4464

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo60952 күн бұрын

    Asante kwa mtazamo wenye busara

  • @luganouswege628
    @luganouswege6282 күн бұрын

    Pamoja

  • @user-wq2fh5rx4s
    @user-wq2fh5rx4s2 күн бұрын

    Tupo pamoja viva

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki39666 сағат бұрын

    Ni mbunge Musukuma na Tabasamu na Gwajima mpaka Mh Mpina akauliza unanisimanga au unachangia?kamuuliza mbunge Musukuma Bora sheikh umeliona hili na kuamua kulisema Mungu akubariki na akulinde daima🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qdКүн бұрын

    dah, Yani mungu mkubwa Kama kweri ma shehe mmeliona hili, hakika mungu analipenda hili taifa, safi Sana ndungu zangu mungu awalinde.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuКүн бұрын

    Nimewapenda sana,hatuna bunge tuna bunge la vioja,spika anawalinda wasema ovyo akina msukuma,kibajaji lusinde hawaombewi mwongozo.wanalindana hao kwani Naibu spika Zungu alipomwambia Esta Bulaya atapotezwa alikuwa amelikosea nini.Endeleeni kukumea kwa uwazi na ukweli.

  • @QasimuSwedi
    @QasimuSwediКүн бұрын

    Nyie tushagundua lengo lenu ni watu waseme waislam wanafujo wanapenda kuingilia mambo kwanza hapo nyinnyi hakuna shee ata mmoja na ili kujua hilo kua huwenda pia wakawa sio waislam kabisa ila wamevishwa hizo kanzu kwa lengo lakuonyesha kua sisi waislam tunafujo ila chunguzeni hawa watu ata kanzu zenyewe hawajui kuvaamtazameni huyo mwenye kanzu nyeupe kwanza nguo alovaa ndani yakanzu dalili yakwanza amevaa kanzu siku anahojiwa na muonekano wao wote tizama mikono yake na nasema kwa kinya kipanahawa lengo nikuchafua wala sio viongozi wadini bali nawatu tu

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xjКүн бұрын

    Exactly.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert41792 күн бұрын

    Bunge lawapiga madawati aibu tupu nchi imeoza

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe49532 күн бұрын

    Nawapongeza Sana viongoz wa dini Kwa kupaza sauti

  • @omariSaliboko
    @omariSaliboko2 күн бұрын

    Tuwapige chini 2025

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo2 күн бұрын

    Waambie wakome kutafuta pesa chafu kwaajili ya uchaguzi

  • @frankraphael7546
    @frankraphael75462 күн бұрын

    Mpina Yuko kwajili yakutetea wananch wake wabunge wengine wote niwatetezi waserekali yule msukuma anazarau sana wakat mpina kamzd elimu

  • @nashirkamugisha9425

    @nashirkamugisha9425

    13 сағат бұрын

    Mpina ni katika wabunge WASIO NA AKILI MPIMA SAMAKI KWA RULA. Kipindi cha uwaziri wake tulipata tabu Sana kwa maamuzi yake ya kijuha. Hizi kelele zotee wivu wa kunyimwa uwaziri

  • @margarethsaramaki3966

    @margarethsaramaki3966

    2 сағат бұрын

    @@nashirkamugisha9425 Mbona umejibu hivyo umemsikia sheikh alivyosema? Mbunge anamwambia mbunge mwezake hana akili Na ndiyo yale yale unayosema wewe ebu sikiliza tena hiyo clip Tujifunze kuwa wastaarabu na hekima itawale

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440Күн бұрын

    Ukweli unajulikana ni sawa na maji na mafuta,..kile anachosimamia Mh.Luhaga Mpina ni suala la kitaifa,wananchi tunaona tafadhari arudishwe bungeni👈

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard9332 күн бұрын

    Aman hii ikipotea mtaitqfuta , shda nn kqtiba na sheria zipo shda n watu wanakaa juu ya sheria wao kama kina nan kisa viongoz

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418Күн бұрын

    Shehe, viongozi zetu was dini Mungu awajalie kwakutusaidia Kwa hili mhe. Mpina ananyanyaswa sana na anadharirishwa sana Lkn Supika wa bunge anaona Şafi tu inatisha sana kumbe msema kweli hapendwi? Tanzania liliisha kuwa shamba la bibi? Wananchi tunaumia sana ila hatuna jinsi, Mungu atatutetea tu.

  • @saadune
    @saaduneКүн бұрын

    Hivi hawa mashehe wanaishi nchi hii??? Poleni waTz

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuКүн бұрын

    Lema aende mjengoni afute ile kauli yake alisema mkishatumaliza sisi mtageukiana nyingi kwa nyingi.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8sКүн бұрын

    Tukubali kishinda na kushindwa katika uchaguzi tunaendea ya serikali za mtaa ni ujumbe mzito toka kwa kiongozi wa dini.

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507Күн бұрын

    Mimi sijawaelewa kabisaaaa. Wamelenga kutufunda nini haswa! Waandishi wetu muwe makini namnachoandika. Ila nashauri kuwe na bunge lisilokuwa na mawazo mgando. Na ikiwezekana awepo spika asiye na chama yaani spika huru ili kuondoa uchama bungeni kwa sababu bunge ni la Wtz wote.

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma54083 сағат бұрын

    ❤❤

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714Күн бұрын

    Mmmh ma shekh washakula posho asa huyo mwarabu alovaa lemba nae kiongozi wa Dini 😂😂

  • @Olengujati-uo6gx
    @Olengujati-uo6gxКүн бұрын

    Me ningekuwa mpina ningepima hafu ,madaktari wakithibitisha kuwa yupo pw akamatwe msukuma

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bnКүн бұрын

    Tuliani hovyoo. Mungu a tusaidie tupate watu.

  • @abdulhamidnjovu6031
    @abdulhamidnjovu6031Күн бұрын

    Bora mngejitambulisha kama wananchi Watanzania, ambao mna haki ya kutoa maoni yenu. Kujinasibu kuwa ni viongozi wa dini bila kujitambulisha ni viongozi wa Taasisi gani ya Dini, ni upungufu mkubwa. Pia Bunge lina utaratibu wake wa kushughulikia mambo yake kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kibunge. Vinginevyo kinachosemwa siyo habari mpya!

  • @faiditv5535
    @faiditv5535Күн бұрын

    Hiyo kanzu yenyewe imevaliwa leo

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie12 минут бұрын

    Hapo hakuna cha ukali kwani kwa kilichotokea, inaonesha wazi pia spika ana jambo analolifahamu. Haiwezekani mtu atoe maneno mabovu na spika yupo.

  • @nurumohamed7225
    @nurumohamed72252 күн бұрын

    Masheikh 😊😊 mnaswali msikiti gani mbona hatujawahi kuwaona?

  • @NixonJohnson-zn8nk

    @NixonJohnson-zn8nk

    Күн бұрын

    Uwa one wapi mbona unaleta ushabiki kwenye Mambo ya msingi acha basi..

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8xКүн бұрын

    ninyi niviongozi kutoka taasisi gan?? na uko arusha sehemu gan?hujajitambulisha vizur

  • @saidishamte635
    @saidishamte6352 сағат бұрын

    Hawa viongozi wanatoa maoni Yao TU hawajamsema spika kwamba hatendi hakki bungeni .ila wanawasema viongozi wenye kuwadharau viongozi wao .ni pamoja na mpina kudharau mamlaka ya bunge .na wanawasema wabunge wenye kuwadharau wabunge wengine .hata kama mbunge mwenzenu amekisea basi sio vyema ukamwambia Hana akili .sio jambo zuri hata kidogo..na Mimi maoni yangu ni kwa watanzania wenzangu tuwe na heshima kwa muhimili wa bungu..mahakama na serikali.asante ni sana

  • @Dhikriqadiriarazaqia
    @Dhikriqadiriarazaqia4 сағат бұрын

    Salaaam naomba kuuliza hawa ni Viongozi wa dini gani? Maana hapa namuona mtu😂?

  • @user-bc4tt3bw7l
    @user-bc4tt3bw7lКүн бұрын

    Mimi ni mkiristo ila nini mashekh mliosimama apa Mungu awalinde hakika ndo mnaijua dini nimependezwa nanyi sasa Uo ndo Uislam na ndio Mungu anataka

  • @user-kc5gp4fb7b
    @user-kc5gp4fb7bКүн бұрын

    Shekh gan unaongea siasa za democrasia labda shehena

  • @hashimmawazo5503
    @hashimmawazo550314 сағат бұрын

    Mm ,mm naona masheihe wa mchongo tu.asa spika apo kosa lake nini? Fanyeni kazi ya dini acheni kununuliwa

  • @magallahramadhani8762
    @magallahramadhani8762Күн бұрын

    Masheikh hamuogopi kutekwa na kupelekwa mbuga ya wanyama na kupigwa risasi ya taya😮😮

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    Күн бұрын

    Waliuliwa kina mkwawa kinjekitile ila bado walitokea kina nyrerere na wenzake kudai haki.

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qdКүн бұрын

    jamani sikilizeni point, watu wanaongea point alafu mnazarau, blgup mashehe.

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha942513 сағат бұрын

    Sisi waislam viongozi wetu wana aiba fulani hivi. Na tuna taasisi zinazojulikana na viongozi wetu wanajulina (BAKWATA, ANSAR, N.K)

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw2 күн бұрын

    Nyie hapo ni viongozi wa dini ya uganga njaa hmjasema lolote la maana mtakua machawa tuu

  • @makejamaduhu7618

    @makejamaduhu7618

    Күн бұрын

    Kiongozi watu wapo huru kusema tena kwa uhuru wapo sawa nao ila pia bunge letu ni hovyo tuu Sheria bado hazitumiki. Na kuzodoana bila hoja muhimu. Wawatetee wananchi mpina alisimama upande wa wananchi ndo maana kabebeshwa mambo mengi

  • @mashakakwembe7482
    @mashakakwembe7482Күн бұрын

    Ss wapenda haki tutasimama na mpina na wakikuzingua Zaid hama lichama lao jiunge upinzani na utashinda achana na Hilo genge la wezi na watetea wezi

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407Күн бұрын

    Katiba imepitwa na wakati abadilishe ndo tatizo kubwa

  • @MohammedMtoza
    @MohammedMtoza14 сағат бұрын

    Felia kumfundisha felia

  • @abdulkawingaabdulrahman-sc8284
    @abdulkawingaabdulrahman-sc82842 күн бұрын

    Kiongozi wa dini amepiga Panki..... Dahh! Kweli propaganda sasa zimekosa muelekeo!

  • @jakobongwara3038

    @jakobongwara3038

    2 күн бұрын

    Pole wewe chawa nywele auponki linausiana nakauli?

  • @QasimuSwedi
    @QasimuSwediКүн бұрын

    Na wanaofanya hivi waache hivi kwanini usijiweke wazi hiviv ndivyo waislam wamepitia kipind kigumu zilivyokuja fikra za ugaidi wakawa wanafanyamayukio ya ajabu watu wasio waislam kwakutumia mavazi ya waislam wakatuhimiwa waislam kwa vitendo vinavyofanywa na watu wasio waislam kwa kujifananisha na waislam

  • @ChristerKoku
    @ChristerKokuКүн бұрын

    Wambie wasiibe kura.kwani haki ndo msingi wa amani.

  • @seifjuma8422
    @seifjuma8422Күн бұрын

    Mbona hamna sifa ya kuwa viongozi wa dini?? Nyie mtaitwa na bunge mwende mkazibitishe hilo kama kweli nyoe viongozi wa dini

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz715815 сағат бұрын

    Viongozi wa kidini au wahuni wa kidini

  • @Kokhaako
    @KokhaakoКүн бұрын

    Mnaonyoosha maelezo ni nyinyi mliokabidhiwa aslimia 98% ya viti vya bunge vilivyokuwa si halali yenu muende mukateteye maslahi ya matumbo yenu.

  • @abednego3876
    @abednego38762 күн бұрын

    Hawa matapeli wa wapi! Wanaharibu uislam, uisalm sio dini ya unafiki.

  • @saidabdillahi8107

    @saidabdillahi8107

    2 күн бұрын

    Kweli hawa matapeli kama ulikuwepo Msukuma aliomba Mbunge akapimwe Akili kwa record zake hakukurupuka tuu wako wabunge wengi alimchaguwa mmoja tuu kupima samaki kwa ruler na kuchoma nyavu za wavuvi masikini na kusema uongo

  • @makejamaduhu7618

    @makejamaduhu7618

    Күн бұрын

    Huamini kama mashehe? Waamini kabisa ni viongozi wa dini

  • @user-hk7cp1iw6f

    @user-hk7cp1iw6f

    Күн бұрын

    Unapaswa kupimwa akili, na kisha uelewa wa dini yako, kwan uislam na siasa haviachani,,uislam ni unyenyekevu, sifa ya mnyenyekevu ni haki haki huletaamani

  • @omaribrahim1087
    @omaribrahim1087Күн бұрын

    Bunge alichagua Magufuli sio la wananchi

  • @user-qx4pc3rx8g
    @user-qx4pc3rx8gКүн бұрын

    Mmeongea utumbo nlizani mnamkemea spika afanye haki katika kuongoza bunge hamjanyoosha maelezo

  • @sadikingonyani8124
    @sadikingonyani8124Күн бұрын

    Mashegheh wetu mna uelewa wowote wa uendeshaji wa BUNGE? kanuni na sheria za BUNGE Mnazifahamu? Isije mkajiingiza chaka. Nyinyi ni VIONGOZI wa dini zehebu au jumuhia gani? Sawa tunawatakia uanaharati mwema

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 күн бұрын

    Baadhi wanaenda bungeni na tabia zao ....wala hawaziachi nyumbani

  • @leokamil6284
    @leokamil6284Күн бұрын

    Hakuna amani bila haki ningewaona wa maana kama mngeanza kupigania Kwanza Haki na utawala bora na katiba mpya kabla ya kujidanganya ati kuna amani au kuimba wimbo wa amani .Amani ipi?

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl2 күн бұрын

    Utifuu,kwa alie mteua ,pia unyekevu kwa anao wasimamia ndio moja wapo wa sifa ya kiongonzi, ili kiongozi awe bora ni lazima aweze kujua nini maana ya Herufi zinazo unda neno KIONGOZI, kila herufi ina maana na nishia

  • @DenisRukangula
    @DenisRukangula16 сағат бұрын

    Watanzania mnajua tu ku comment yaani mnajua kuomgelea mitandaoni Mngeweza kuingia mtaani na kuandamana kutetea haki.

  • @kichwachafamilia
    @kichwachafamilia2 күн бұрын

    Dear tulia oyeee mpina oyooooooooooooo

  • @user-nk6ky7ru3u
    @user-nk6ky7ru3uКүн бұрын

    Huyuhuyu mnae mtetea juzi tu alipokua Waziri wa uvuvi kila mmoja alilia Ng'ombe Mitego ya Samaki kila mmoja aliomba Mungu nyinyi mnakosoa Bunge Musukuma alisema kawaida tu huyu Mpina kila 1 anamlaumu Bashe Mwiguru Kitira Ulega nk toka alipokoswa uwaziri Kawa mkosoaji na maneno yake hayana Ushahidi na nyinyi mnatumika kwa kisingizio Cha Dini

  • @user-xx1je7sy4h

    @user-xx1je7sy4h

    Күн бұрын

    Mpina alivyokuwa wazir wa uvuvi samaki waliongezeka sana hata bei ya samaki ilishuka sana wew hujuwi chochote ni mpumbavu mmoja tu mpina ameonewa sana kisa kusimamia haki ya walio wengi tena ww ni choko mmoja tu wa kijani

  • @user-uy7kn5ei3g
    @user-uy7kn5ei3gКүн бұрын

    Masheikh au Mashehena duuuuh????

  • @peterkibiriti5601
    @peterkibiriti5601Күн бұрын

    Uongozi wa dini gani

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq2 күн бұрын

    Awagombeze aje na fimbo spika mbona hueleweki

  • @SarahAlphonce-q4e
    @SarahAlphonce-q4eКүн бұрын

    Hakuna bunge tatizo Katiba haina afya imepitwa na wakati.

  • @sadikishemkai
    @sadikishemkaiКүн бұрын

    Nyie.mmetumwa.viongozi.wa.dini.gani.mnajuanini.kuhusu.bunge.mpaka.mumkosoe.sipika.hamnakazi.za.kufanya

  • @MAGARITanzania
    @MAGARITanzania14 сағат бұрын

    Mmh

  • @user-eg1fi6gi7b
    @user-eg1fi6gi7bКүн бұрын

    Wewe sio mbunge na haujui utaratibu wa bunge endelea na ushee wako

  • @2003hintay
    @2003hintay2 күн бұрын

    Yaani hawa ni viongozi wa dini, dah

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295Күн бұрын

    Hakuna mashehe hapa

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza13952 күн бұрын

    Nimesoma comment nimegundua waislam hawapendani

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo69492 күн бұрын

    Sikiliza ponti

  • @shabanizayumba5432
    @shabanizayumba5432Күн бұрын

    Uwelewa wa msukuma n'a uwepo wake bungeni bungeni hauna afya kwa taifa letu,karine hii kua na mbunge darasa la saba unategemea ataongea kitu gani cha maana kwa taifa hili?anajiita prof wa mchongo,huu ni msiba

  • @abdisalamjamal2128
    @abdisalamjamal2128Күн бұрын

    Unamaana gani kupiga magoti na kumuomba Mungu umezungumza kama Padre ndani ya Kanisa na wewe ni Muisilamu inashangaza.

  • @josephwilliammnyune5464

    @josephwilliammnyune5464

    Күн бұрын

    Kwani ni mapadre tu, wanaopiga magoti wakimuomba Mungu? Waislam hawafanyi hivyo? Wanaposujudu, hawapigi magoti? Fuatilia hoja. Shida zetu hazichagui dini. Zinatukumba wote sawasawa.

  • @barakakevela245
    @barakakevela245Күн бұрын

    TUNAWASHUKURU VIONGOZi wetu wa dini hamna spika humo kazi yake kuwalinda wapigaji , HUYO BASHE AJITATHIMINI HAFAI KUWA WAZIRI WA KILIMO

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bКүн бұрын

    Sahau bungeni hata wewe unaenda COVID 19 mbona wapo mupina na halima mdee na wenzake 19 wanamuwakilisha nani Hawa ni kuchwapwa na kuwafuta

  • @MejjatScott-mf2vi
    @MejjatScott-mf2viКүн бұрын

    Waislam Bwana wanaishi kulingana na utabir hali ya hewa,Mgekuwa hiv kipindi cha kipupwe Bandar isingekabizwa wagen

  • @frankmwinuka3413
    @frankmwinuka3413Күн бұрын

    Hivi nyinyi ni viongozi wa dini au mnajifanya? Ninavyojua mimi viongozi wa dini ya kiislamu wana busara na hekima isiyokuwa ya kawaida. Kuhusu Mpina inaonekana wazi alitoa tuhuma ambazo hazikuwa na ukweli. Raisi Maghufuli alipopiga marufuku sukari toka nje, sisi watanzania tunaoishi jirani na mipaka na nchi jirani sukari ilipanda bei sana. Mpaka sasa bei ya sukari hapa Tanzania ni kubwa sana kuliko bei ya sukari ya nchi yoyote tunayopakana nayo. Sukari ikiadimika tunalaumu serikari. Serikari ikichukua hatua tunailaumu. Mimi ninavyofahamu kinachotakiwa ni kufuata kanuni na sheria. Mbunge asiseme uongo na kiongozi wa serikari asiseme uongo.

  • @AbubakarsaidKundya
    @AbubakarsaidKundya13 сағат бұрын

    Wewe changia kwa umakini

Келесі