VIONGOZI wa DINI WAIBUKA na SPIKA -KUSIMAMISHWA kwa MPINA na KAULI za WABUNGE - MAKONDA APONGEZWA...
VIONGOZI wa DINI WAIBUKA na SPIKA -KUSIMAMISHWA kwa MPINA na KAULI za WABUNGE - MAKONDA APONGEZWA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 168
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Tz ndio nchi pekee Ukiwa mkweli na mtetezi wa wanyonge unapigwa vita sana
Safi sana viongozi wa dini Mungu awabariki,
Ongereni sana mashee wetu kwa kuriona iri ata mimi roo iriniuma sana msema kweri kuchinjiwa baharini sio powa mungu awabariki sana❤❤
@AlistidiusKagyabukama
2 күн бұрын
Wewe unaongea tu mpina yuko Sawa nyinyi mnafuta sifa
Hapa hatuna Bunge Ni aibu tupu anayetetea watu wanamwondoa Asante Sana viongoz wa din
Hongereni sana viongozi wa dini na Mungu awabariki sana
Amani haichungiki bila ya haki. Nchi nyingi za kiafrika zinakosa amani kwaajiri ya dhuluma ya wengi. Wabunge wa Tanzania badała ya kutetea haki ya waliowachaguwa wanatetea interests za wachache wanao wadhulumu wengi. Usiposema ndiyo bungeni unakuwa Aduwi na wanakushutumu kuwa adui wa chama na serikali. Demokrasia gani hii? Mbunge ana haki ya kutetea wananchi na sio kuiunga mkono serikali na sifa nyingi kwa Rais bila ya kuwajali wananchi. Tanzania ni masikini kwa wizi na ufisadi wa watu wachache kujilimbikizia mali za watanzania. Hawakamatwi, wala kusemwa. Ukiwasema bungeni yanakupata yaliyompata Mpina.
Yaani mmenifurahisha sana na tafadhali kazeni kamba mpina ni mbunge namba 1 tutakuwa tayari Kwa lolote Kwa kumuweka nje mpendwa wetu Yuko nyuma yake lakini Kwa kuwa tuna mama ni mpenda hali nadhani Hilo ameliona tunasubiri maamuzi yake na yenye busara
@aishaalbalushaishabalush8291
Күн бұрын
mmmmmh??? eti mama 😂😂😂😂😂 hivi bado kunawatanzania wajinga wasio fahamu kilakitu au kumjua mtu mbaya na mwema basi nchi bado ipo gizan sana kama bado mpo watu msioona huyu mtu anaroho gani ?
@kinkybanjukome217
Күн бұрын
Ni wabunge wa chama Cha mapuuzi
Hongerani Sana mashehe.
Sikikiliza Kwa makini.Sio Kila jambo ni utapeli.Mungu amekupa akili na uwezo wa kufikiri.Angalia point
@saivellybrutally2994
2 күн бұрын
Mjinga hakiwa mpumbavu ni changamoto ahsante viongozi comment zetu ziwe na mantik
Mpina ana ujasiri sana, anajua wajibu wake kama mbunge. Siyo hao wanaolinda wezi
ongereni sana mmenigusa sana
Mpina hongera
Shukrani sana viongozi
Mungu awabariki sana
Vijana mashekh mmeongea vzr msichoke kuelimisha
Asante sana viongozi
Safi sana mashehe
Eti matapeli pale wanatapeli nini!!!?
Shekhee tunakupenda kwakusimamia ukwer tunakupenda sn tupo nyuma Yako tunakulinda sn nyinyi niwatetezi wawnyonge sn sn sn ilove mashekh Kwa pamoja
@section8ight174
2 күн бұрын
*UkweLi
@adelinelyaruu3036
2 күн бұрын
Haki huinua taifa
Asanteni sana shekh kwa ukweli huu. Askofu wetu Malasusa hutosikia akiongea ukweli wa kuikosoa serikali kwa maovu yake ...kazi yake ni kujipendekeza kwa mama ili aitwe ikulu kula kuku ....!! Nasikitika sana kwa viongizi wa KKKT hasa baadhi ya maaskofu wababaishaji wakiongozwa na Malasusa
Upo sahihi sana
Safi sana ndugu zetu
Spika jaribu kuona hayo yaliyoanza kufanyika. Hao ni wachache mama yangu tafuta Sheria zingine arudi mpina inaonekana ni mhemko wa watu kutafuta heshima kwako. Mrudishe mpina
Unajua niseme jambo moja bunge la chama kimoja ndo madhara yake ndo haya mtu amejenga hoja mnamfukuza kwa nn? Mjitafakali wananchi wanaona mnachokifanya wameelimika nyinyi Ni wasomi tumieni usomi wenu kwa kujibu hoja sio kumfukuza tunaomba mmrudishe.
@edsonnelson4464
2 күн бұрын
Mjitafakari au mjitafakali?
@section8ight174
2 күн бұрын
@@edsonnelson4464*TafakaRi
@saivellybrutally2994
2 күн бұрын
Shida ni kwamba tukiwaita wasomi tunakuwa tumewatukuza
@Ezeqsweya1116
2 күн бұрын
Hujaelewa ?@@edsonnelson4464
Asante kwa mtazamo wenye busara
Pamoja
Tupo pamoja viva
Ni mbunge Musukuma na Tabasamu na Gwajima mpaka Mh Mpina akauliza unanisimanga au unachangia?kamuuliza mbunge Musukuma Bora sheikh umeliona hili na kuamua kulisema Mungu akubariki na akulinde daima🙏🏼🙏🏼🙏🏼
dah, Yani mungu mkubwa Kama kweri ma shehe mmeliona hili, hakika mungu analipenda hili taifa, safi Sana ndungu zangu mungu awalinde.
Nimewapenda sana,hatuna bunge tuna bunge la vioja,spika anawalinda wasema ovyo akina msukuma,kibajaji lusinde hawaombewi mwongozo.wanalindana hao kwani Naibu spika Zungu alipomwambia Esta Bulaya atapotezwa alikuwa amelikosea nini.Endeleeni kukumea kwa uwazi na ukweli.
Nyie tushagundua lengo lenu ni watu waseme waislam wanafujo wanapenda kuingilia mambo kwanza hapo nyinnyi hakuna shee ata mmoja na ili kujua hilo kua huwenda pia wakawa sio waislam kabisa ila wamevishwa hizo kanzu kwa lengo lakuonyesha kua sisi waislam tunafujo ila chunguzeni hawa watu ata kanzu zenyewe hawajui kuvaamtazameni huyo mwenye kanzu nyeupe kwanza nguo alovaa ndani yakanzu dalili yakwanza amevaa kanzu siku anahojiwa na muonekano wao wote tizama mikono yake na nasema kwa kinya kipanahawa lengo nikuchafua wala sio viongozi wadini bali nawatu tu
Exactly.
Bunge lawapiga madawati aibu tupu nchi imeoza
Nawapongeza Sana viongoz wa dini Kwa kupaza sauti
Tuwapige chini 2025
Waambie wakome kutafuta pesa chafu kwaajili ya uchaguzi
Mpina Yuko kwajili yakutetea wananch wake wabunge wengine wote niwatetezi waserekali yule msukuma anazarau sana wakat mpina kamzd elimu
@nashirkamugisha9425
13 сағат бұрын
Mpina ni katika wabunge WASIO NA AKILI MPIMA SAMAKI KWA RULA. Kipindi cha uwaziri wake tulipata tabu Sana kwa maamuzi yake ya kijuha. Hizi kelele zotee wivu wa kunyimwa uwaziri
@margarethsaramaki3966
2 сағат бұрын
@@nashirkamugisha9425 Mbona umejibu hivyo umemsikia sheikh alivyosema? Mbunge anamwambia mbunge mwezake hana akili Na ndiyo yale yale unayosema wewe ebu sikiliza tena hiyo clip Tujifunze kuwa wastaarabu na hekima itawale
Ukweli unajulikana ni sawa na maji na mafuta,..kile anachosimamia Mh.Luhaga Mpina ni suala la kitaifa,wananchi tunaona tafadhari arudishwe bungeni👈
Aman hii ikipotea mtaitqfuta , shda nn kqtiba na sheria zipo shda n watu wanakaa juu ya sheria wao kama kina nan kisa viongoz
Shehe, viongozi zetu was dini Mungu awajalie kwakutusaidia Kwa hili mhe. Mpina ananyanyaswa sana na anadharirishwa sana Lkn Supika wa bunge anaona Şafi tu inatisha sana kumbe msema kweli hapendwi? Tanzania liliisha kuwa shamba la bibi? Wananchi tunaumia sana ila hatuna jinsi, Mungu atatutetea tu.
Hivi hawa mashehe wanaishi nchi hii??? Poleni waTz
Lema aende mjengoni afute ile kauli yake alisema mkishatumaliza sisi mtageukiana nyingi kwa nyingi.
Tukubali kishinda na kushindwa katika uchaguzi tunaendea ya serikali za mtaa ni ujumbe mzito toka kwa kiongozi wa dini.
Mimi sijawaelewa kabisaaaa. Wamelenga kutufunda nini haswa! Waandishi wetu muwe makini namnachoandika. Ila nashauri kuwe na bunge lisilokuwa na mawazo mgando. Na ikiwezekana awepo spika asiye na chama yaani spika huru ili kuondoa uchama bungeni kwa sababu bunge ni la Wtz wote.
❤❤
Mmmh ma shekh washakula posho asa huyo mwarabu alovaa lemba nae kiongozi wa Dini 😂😂
Me ningekuwa mpina ningepima hafu ,madaktari wakithibitisha kuwa yupo pw akamatwe msukuma
Tuliani hovyoo. Mungu a tusaidie tupate watu.
Bora mngejitambulisha kama wananchi Watanzania, ambao mna haki ya kutoa maoni yenu. Kujinasibu kuwa ni viongozi wa dini bila kujitambulisha ni viongozi wa Taasisi gani ya Dini, ni upungufu mkubwa. Pia Bunge lina utaratibu wake wa kushughulikia mambo yake kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kibunge. Vinginevyo kinachosemwa siyo habari mpya!
Hiyo kanzu yenyewe imevaliwa leo
Hapo hakuna cha ukali kwani kwa kilichotokea, inaonesha wazi pia spika ana jambo analolifahamu. Haiwezekani mtu atoe maneno mabovu na spika yupo.
Masheikh 😊😊 mnaswali msikiti gani mbona hatujawahi kuwaona?
@NixonJohnson-zn8nk
Күн бұрын
Uwa one wapi mbona unaleta ushabiki kwenye Mambo ya msingi acha basi..
ninyi niviongozi kutoka taasisi gan?? na uko arusha sehemu gan?hujajitambulisha vizur
Hawa viongozi wanatoa maoni Yao TU hawajamsema spika kwamba hatendi hakki bungeni .ila wanawasema viongozi wenye kuwadharau viongozi wao .ni pamoja na mpina kudharau mamlaka ya bunge .na wanawasema wabunge wenye kuwadharau wabunge wengine .hata kama mbunge mwenzenu amekisea basi sio vyema ukamwambia Hana akili .sio jambo zuri hata kidogo..na Mimi maoni yangu ni kwa watanzania wenzangu tuwe na heshima kwa muhimili wa bungu..mahakama na serikali.asante ni sana
Salaaam naomba kuuliza hawa ni Viongozi wa dini gani? Maana hapa namuona mtu😂?
Mimi ni mkiristo ila nini mashekh mliosimama apa Mungu awalinde hakika ndo mnaijua dini nimependezwa nanyi sasa Uo ndo Uislam na ndio Mungu anataka
Shekh gan unaongea siasa za democrasia labda shehena
Mm ,mm naona masheihe wa mchongo tu.asa spika apo kosa lake nini? Fanyeni kazi ya dini acheni kununuliwa
Masheikh hamuogopi kutekwa na kupelekwa mbuga ya wanyama na kupigwa risasi ya taya😮😮
@user-uo8xw9kr4b
Күн бұрын
Waliuliwa kina mkwawa kinjekitile ila bado walitokea kina nyrerere na wenzake kudai haki.
jamani sikilizeni point, watu wanaongea point alafu mnazarau, blgup mashehe.
Sisi waislam viongozi wetu wana aiba fulani hivi. Na tuna taasisi zinazojulikana na viongozi wetu wanajulina (BAKWATA, ANSAR, N.K)
Nyie hapo ni viongozi wa dini ya uganga njaa hmjasema lolote la maana mtakua machawa tuu
@makejamaduhu7618
Күн бұрын
Kiongozi watu wapo huru kusema tena kwa uhuru wapo sawa nao ila pia bunge letu ni hovyo tuu Sheria bado hazitumiki. Na kuzodoana bila hoja muhimu. Wawatetee wananchi mpina alisimama upande wa wananchi ndo maana kabebeshwa mambo mengi
Ss wapenda haki tutasimama na mpina na wakikuzingua Zaid hama lichama lao jiunge upinzani na utashinda achana na Hilo genge la wezi na watetea wezi
Katiba imepitwa na wakati abadilishe ndo tatizo kubwa
Felia kumfundisha felia
Kiongozi wa dini amepiga Panki..... Dahh! Kweli propaganda sasa zimekosa muelekeo!
@jakobongwara3038
2 күн бұрын
Pole wewe chawa nywele auponki linausiana nakauli?
Na wanaofanya hivi waache hivi kwanini usijiweke wazi hiviv ndivyo waislam wamepitia kipind kigumu zilivyokuja fikra za ugaidi wakawa wanafanyamayukio ya ajabu watu wasio waislam kwakutumia mavazi ya waislam wakatuhimiwa waislam kwa vitendo vinavyofanywa na watu wasio waislam kwa kujifananisha na waislam
Wambie wasiibe kura.kwani haki ndo msingi wa amani.
Mbona hamna sifa ya kuwa viongozi wa dini?? Nyie mtaitwa na bunge mwende mkazibitishe hilo kama kweli nyoe viongozi wa dini
Viongozi wa kidini au wahuni wa kidini
Mnaonyoosha maelezo ni nyinyi mliokabidhiwa aslimia 98% ya viti vya bunge vilivyokuwa si halali yenu muende mukateteye maslahi ya matumbo yenu.
Hawa matapeli wa wapi! Wanaharibu uislam, uisalm sio dini ya unafiki.
@saidabdillahi8107
2 күн бұрын
Kweli hawa matapeli kama ulikuwepo Msukuma aliomba Mbunge akapimwe Akili kwa record zake hakukurupuka tuu wako wabunge wengi alimchaguwa mmoja tuu kupima samaki kwa ruler na kuchoma nyavu za wavuvi masikini na kusema uongo
@makejamaduhu7618
Күн бұрын
Huamini kama mashehe? Waamini kabisa ni viongozi wa dini
@user-hk7cp1iw6f
Күн бұрын
Unapaswa kupimwa akili, na kisha uelewa wa dini yako, kwan uislam na siasa haviachani,,uislam ni unyenyekevu, sifa ya mnyenyekevu ni haki haki huletaamani
Bunge alichagua Magufuli sio la wananchi
Mmeongea utumbo nlizani mnamkemea spika afanye haki katika kuongoza bunge hamjanyoosha maelezo
Mashegheh wetu mna uelewa wowote wa uendeshaji wa BUNGE? kanuni na sheria za BUNGE Mnazifahamu? Isije mkajiingiza chaka. Nyinyi ni VIONGOZI wa dini zehebu au jumuhia gani? Sawa tunawatakia uanaharati mwema
Baadhi wanaenda bungeni na tabia zao ....wala hawaziachi nyumbani
Hakuna amani bila haki ningewaona wa maana kama mngeanza kupigania Kwanza Haki na utawala bora na katiba mpya kabla ya kujidanganya ati kuna amani au kuimba wimbo wa amani .Amani ipi?
Utifuu,kwa alie mteua ,pia unyekevu kwa anao wasimamia ndio moja wapo wa sifa ya kiongonzi, ili kiongozi awe bora ni lazima aweze kujua nini maana ya Herufi zinazo unda neno KIONGOZI, kila herufi ina maana na nishia
Watanzania mnajua tu ku comment yaani mnajua kuomgelea mitandaoni Mngeweza kuingia mtaani na kuandamana kutetea haki.
Dear tulia oyeee mpina oyooooooooooooo
Huyuhuyu mnae mtetea juzi tu alipokua Waziri wa uvuvi kila mmoja alilia Ng'ombe Mitego ya Samaki kila mmoja aliomba Mungu nyinyi mnakosoa Bunge Musukuma alisema kawaida tu huyu Mpina kila 1 anamlaumu Bashe Mwiguru Kitira Ulega nk toka alipokoswa uwaziri Kawa mkosoaji na maneno yake hayana Ushahidi na nyinyi mnatumika kwa kisingizio Cha Dini
@user-xx1je7sy4h
Күн бұрын
Mpina alivyokuwa wazir wa uvuvi samaki waliongezeka sana hata bei ya samaki ilishuka sana wew hujuwi chochote ni mpumbavu mmoja tu mpina ameonewa sana kisa kusimamia haki ya walio wengi tena ww ni choko mmoja tu wa kijani
Masheikh au Mashehena duuuuh????
Uongozi wa dini gani
Awagombeze aje na fimbo spika mbona hueleweki
Hakuna bunge tatizo Katiba haina afya imepitwa na wakati.
Nyie.mmetumwa.viongozi.wa.dini.gani.mnajuanini.kuhusu.bunge.mpaka.mumkosoe.sipika.hamnakazi.za.kufanya
Mmh
Wewe sio mbunge na haujui utaratibu wa bunge endelea na ushee wako
Yaani hawa ni viongozi wa dini, dah
Hakuna mashehe hapa
Nimesoma comment nimegundua waislam hawapendani
Sikiliza ponti
Uwelewa wa msukuma n'a uwepo wake bungeni bungeni hauna afya kwa taifa letu,karine hii kua na mbunge darasa la saba unategemea ataongea kitu gani cha maana kwa taifa hili?anajiita prof wa mchongo,huu ni msiba
Unamaana gani kupiga magoti na kumuomba Mungu umezungumza kama Padre ndani ya Kanisa na wewe ni Muisilamu inashangaza.
@josephwilliammnyune5464
Күн бұрын
Kwani ni mapadre tu, wanaopiga magoti wakimuomba Mungu? Waislam hawafanyi hivyo? Wanaposujudu, hawapigi magoti? Fuatilia hoja. Shida zetu hazichagui dini. Zinatukumba wote sawasawa.
TUNAWASHUKURU VIONGOZi wetu wa dini hamna spika humo kazi yake kuwalinda wapigaji , HUYO BASHE AJITATHIMINI HAFAI KUWA WAZIRI WA KILIMO
Sahau bungeni hata wewe unaenda COVID 19 mbona wapo mupina na halima mdee na wenzake 19 wanamuwakilisha nani Hawa ni kuchwapwa na kuwafuta
Waislam Bwana wanaishi kulingana na utabir hali ya hewa,Mgekuwa hiv kipindi cha kipupwe Bandar isingekabizwa wagen
Hivi nyinyi ni viongozi wa dini au mnajifanya? Ninavyojua mimi viongozi wa dini ya kiislamu wana busara na hekima isiyokuwa ya kawaida. Kuhusu Mpina inaonekana wazi alitoa tuhuma ambazo hazikuwa na ukweli. Raisi Maghufuli alipopiga marufuku sukari toka nje, sisi watanzania tunaoishi jirani na mipaka na nchi jirani sukari ilipanda bei sana. Mpaka sasa bei ya sukari hapa Tanzania ni kubwa sana kuliko bei ya sukari ya nchi yoyote tunayopakana nayo. Sukari ikiadimika tunalaumu serikari. Serikari ikichukua hatua tunailaumu. Mimi ninavyofahamu kinachotakiwa ni kufuata kanuni na sheria. Mbunge asiseme uongo na kiongozi wa serikari asiseme uongo.
Wewe changia kwa umakini