DKT. BASHIRU AMJIA JUU TABASAMU KISA MPINA, "NI MTETEZI WA WANYONGE, WABUNGE WAZALENDO TUKO WACHACHE
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 391
@benardsamizi-qo4yp9 күн бұрын
Hongera sana Mpina ! Nchi hii tunapigwa sana.Mbunge Tabasamu analijua AMEKUUNGA MKONO MPINA ILA AMEKWEPA KUFUKUZWA BUNGENI. Mpina WANANCHI wenye AKILI TUKO NYUMA YAKO. (NCHI HII TUMEPIGWA NA TUNAENDELEA KUPIGWA SANA.) (NDUGAI UKO WAPI???)
@haggaikinyau139510 күн бұрын
Kichwa cha habari tofauti kabisa na kilichosemwa. Mwandishi ni mjinga sana anatumia jina la Bashiru visivyo
@bockerNyarusahi
4 күн бұрын
Mwandishi kanjanja
@gregoryogweyo4598
2 күн бұрын
ametuchota akili
@beatricemhongole885210 күн бұрын
Mh. mpina ni mtetezi wa tz
@hayeshimpeziy
10 күн бұрын
Fanya reseach ya ghasia hii..ukweli uko wazi mbona..Mh. Bashe anajitahidi sana kwenye kilimo..we should say the truth sometimes
@user-vd8hs6ue2n
10 күн бұрын
@@hayeshimpeziyAcha uchawa mzee zungumza na njaa zako mpina anatutetea sisi wanyonge
@juliuswantere6864
10 күн бұрын
La ajabu ni kuwa watu kama Mpina hawatakiwi nchini kwetu!!!!!
@jimmysameji3602
10 күн бұрын
@@hayeshimpeziy bashe alikuwa mchapa kazi enzi mzalendo J P Magufuli.Sasa hivi anarimotiwa na vibaka we nchi.
Dume zima linajikosha kwa Tulia Ackson! Eti “mi nimeumia sn kutukanwa spika” 😂😂😂😂
@zabronmwaipungu2212
4 күн бұрын
Haya majitu ni majinga tu. Anacho kisema mpina baada ya kutolewa bungeni yuko sahihi kabisa, kama vile wachangiaji walipangwa vile!
@yasiniSwedi-qg5oc10 күн бұрын
Kama kuna mbunge mnafki mbunge mjali njaa yaketu na c njaa ya wtz basi tabasam ni1jawpo
@jdanny497
10 күн бұрын
Hafai kabisa tapeli
@adeltuszakumuha9618
10 күн бұрын
Hovyo sana huyu
@omaryyusuph7877
10 күн бұрын
Kabisa
@edmundphilemon3054
10 күн бұрын
Na jina lake ni lakimchongo tabasam
@jedidahbintidaudi8241
6 күн бұрын
@@edmundphilemon3054 jmni Edmund😅😅
@davidmalogo710010 күн бұрын
Watanzania kwahili lampina ndomjue kuwa bunge Huwa ni kandamizi kwa wananchi Yani ndomjue kuwa bunge sio linatetea wananchi ila linakandamiza wananchi hilibunge nila mchongo ,Yani wamekaa kupigatu ,Yani hilibunge nibola tuludi kuongozwa na mchifu sio Hawa mafisadi
@iddrashid7054
10 күн бұрын
Unamaana Sukari isingeingia nchini kwa wakati kati ya Bashe na Mpina nani angelaumiwa kwa uzembe?tuwe fair Mpina kwa hili anatetea wawekezaji na Bashe amesaidia wananchi
@ellymaz2187
10 күн бұрын
Mpina hajashikwa na kosa lolote kuhusu Bashe. Kosa Lake ni kusema na vyombo vya habari tu.
@sophiemsuya6507
10 күн бұрын
Jamani hapo chama kinajitetea. Walio upande wa.wananchi wataendelea kueleweka. Mungu atabaki kuwa mwamuzi wa haki.
@user-zi4hx4jf3o
10 күн бұрын
Mpina tupo na wew huyo tabasamu Mnafiki sana
@barnabasmsamwel4292
10 күн бұрын
👑machifu tupo 😂😂 😊
@yasiniSwedi-qg5oc10 күн бұрын
Hapo bungeni wabunge wazalendo wachache sijui Kama wnafka 5kwasasa mbunge mzalendo no1ni bashilu Ali kakulwa alikuwepo polepole no2wkamuondoa no3mpna no4kunambi
@shukurukihwelo30848 күн бұрын
Mzalendo nimpina 1 hiyo nimiipango ya kumdhofisha , bunge la sasa rinataka mtu awe anasifia wakati wananchi wake harinngum .mpina hakuwenda bungen kumsifia mtu nimkweri daima na mungu amsimamie
kumbukeni waamuzi wakubwa ni wananchi bidhaa zote ni juu hamna mwenye uthubutu wa utetezi kwa madhira ya wananchi uchumi,bei za mazao chini havina uwiano na maisha kuanzia afya,nk hongera rip JPM katiba maamuzi ni 2024,2025 wananchi tuweke uthubutu kwa watenda haki serikalini.mungu ibariki tz
@margarethpolepole74384 күн бұрын
Kakulwa oyeeeee kazi inaendelea Mungu akupe nguvu
@marandoruzali19466 күн бұрын
Ww ndiyo adui wa wanyonge hujajibu hoja za Mpina unafurahisha bunge huku tz balaa tuna viongozi waoga sana ni wachache tu wa maana kama Mwalimu Nyerere, Magufuli, Mpina, Makonda,Bashiru,Sokoine,Ndugai,Anna Makinda,Tibaijuka,Sabaya,Hapi,Siro, wengine ni wahuni tu machawa na mafisadi wakubwa
@user-rn9og1rk3l10 күн бұрын
Tanzania inatuua kwa uchawa Hawa wote wanaosimama kinyume na mpina wote wala siyo kwa akili zao bali ni kwa shinikizo la kutetea matumbo yao na njaa zao binafsi Mpina chukua form ya urais 2025 Nakwambia samia atasubiri sana❤❤❤
@jeremiahngoka498010 күн бұрын
Eti bunge 😂😂😂.Mungu isaidie nchi yangu.
@seifusengondo91706 күн бұрын
jinga lingine tena
@stephenwakunyala40049 күн бұрын
Bunge la ndiyo Mzee linatutesa Watanzania,
@augustinoevarist675410 күн бұрын
Nimeshangaa sana Mbunge kusema hii sio nchi ya Kijamaa.
@user-lt1bi5nr1x
10 күн бұрын
Ujamaa tulishautoko toka enzi za mwalimu. Tusijifiche kwenye ujamaa
@Mima-cl2im
10 күн бұрын
Ni kwasababu wabunge wetu wamekuwa mapepari wenye kutetea wawekezaji bila kujali interests za watanzania. Bado tutajionea biashara za waarabu na wahindi ndizo zitatawala Mwafirika atakuwa mtumwa
@SurprisedFullMoon-gg9vu8 күн бұрын
Yaaan nchi hii,"ukitetea tu wananchi lazima ubambikiziwe tuhumaaa
@jedidahbintidaudi8241
6 күн бұрын
yaani nimeligunuda hulo pia..kazi kwel
@williumteete2626Күн бұрын
Hongera sana Mpina, simama na wanyonge
@mwaamwetahussain99474 күн бұрын
We still love u honourable Mpina
@smallscaleminingsupplies967010 күн бұрын
Ila Wabunge Tz ni nchi ya kijamaa tokea lini,
@SmilingCityMap-xb9mdКүн бұрын
Nadhani mungu yuko kazini kuifunua mioyo ya wakuu
@OmarMohamed-bs2hf4 күн бұрын
Kwanini hamja msikiliza mpina mkampa siku kumi na tano huu ni unyanya saji
@JamaliAmour-jp9dd10 күн бұрын
Huyu muheshimiwa tabasam hoja zake ni upotezaji wa mda tu
@monicamwita7865
10 күн бұрын
Mjinga toot. Njaa tu Jana lolote.
@kwisa489910 күн бұрын
Very sad
@user-pg2wk7zi5q6 күн бұрын
Ujikombe nini ww tabasamu kwa sipika? Jitukubwa hovyooooooo.
@barikieliselemani562410 күн бұрын
Sasa hilo Bunge la 2026 kwa akili ya kawaida sana maana halisi ni kwamba Mwaka wa uchaguzi kwa mujibu wa katiba ya Nchi yetu ni mwaka 2025,Je ?anawezaje kusimamishwa vikao ambavyo hatuna uhakika kama atachaguliwa kwa mara nyingine tena.Kwangu naona swali hili ni matumizi mabaya ya muda na akili. Nchi yetu kwa mujibu wa Katiba yetu ni Nchi ya Kijamaa,Nenda kasome katiba yetu.
@jumaalmasjuma170010 күн бұрын
Je ameto hoja za uongo?
@user-jl5uh1xq9f10 күн бұрын
Njaa mbaya sana
@paschalkanagana4587 күн бұрын
Hongera sana
@malugukushaha67645 күн бұрын
Hongera sana Mpina, watanzania tumekuelewa vizuri.
@SaleheMkomwaКүн бұрын
MPINA hoyeee BASHIRU hataki kusems
@SayiMadaha-fq7tu10 күн бұрын
Msitufanye wajinga kila siku mnatueleza Habari ya sukali wakat hela zinachukuliwa b o t kama njugu tukikaa mwaka bila kutumia sukali tutapata shida gan
@AbdilahiMriri4 күн бұрын
Ni kweli kabisa Mpina hatufai kweli kabisa ni mtetezi feki wa wanyonge haikosi alihongwa kweli na watu wa Sukari Mhe daktari spika.
@tonnyamon888110 күн бұрын
Wanazingatia kanuni zaidi ya hoja. Sasa hoja yake imeishia wapi? Suala la maji na barabara hawawezi kutatua ila suala la mpina ni kama zege hawajalaza.
@user-rx7te2px5d10 күн бұрын
Habari digital hamko sirias asee
@pmfalila11 сағат бұрын
Tanzania haina media na haina bunge
@mokeya21 сағат бұрын
Natamani kutukana ila duhhh au bas tu. But mpina tunakuelewa sana na tunakupenda achana na hao manafiki . Mungu atasema nao
@GavyoleJonas9 күн бұрын
Hoja ya mpina ni ya msingi zaidi kuliko linalodaiwa kosa lake,bunge halijaona msingi wa hoja zake,lakini ameona kosa la yeye kuwaeleza wananchi kinachoendelea kupitia vyombo vya habari!!wabunge wamepiga makofi kwelikweli anapohukumiwa,lakini hoja zake kwao hazina maana halafu bashe anasifiwa kuwa shujaa ajengewe sanamu,halaf wanasema hapo ni watetezi wa wananchi,duh.
@Worldunite10 күн бұрын
Amekuwaje kubwa la maadui??.. hapo mi sijaelewa,ila labda alivunja kanuni ya bunge
@Mima-cl2im
10 күн бұрын
Wengi hatuelewi
@mwingwasolozi8651
10 күн бұрын
Mpenu alitetea viwanda badala wananchi
@Worldunite
10 күн бұрын
Mpina hakandamizi wanyonge wala hatetei wenye viwanda, labda hamkumuelewa vizuri ila kavunja kanuni ya bunge kujitokeza kwenye media, lkn hii haimaanishi kuwa amekuwa kubwa la maadui, fanyieni kazi nyaraka alizowasilisha kwa mujibu wa taratibu na sheria za bunge
@Mima-cl2im
10 күн бұрын
@@mwingwasolozi8651 Kwa hiyo Bashe alitetea wananchi kwa kuipa tenda kiny umie cha sheria na utaratibu, kampuni ndogo ya kuuza simu isiyokuwa na uwęzo na mutaji mdogo kuagiza sukari ya mabilioni? Kama sio wizi na udanganyifu ni nini?
@mkambamaulid447Күн бұрын
Uzalendo sio kazi ndogo acheni2
@user-kw5pb9dd7p10 күн бұрын
Duhuuu
@onesmoswai987610 күн бұрын
Tabasamu chawa
@user-ps6wm2qm4f10 күн бұрын
Ila Mimi nakukubali sana Mpina.Siku zote ww ni msema kweli.Wabunge wengi c wasema kweli.Tuwe wakweli jamani ndo mapenzi ya Mungu.
@johnmalale386043 минут бұрын
Wananchi wakichoka na huu upuuuz wenu,' mstafute mchawi
@uredmwasembo857910 күн бұрын
Ata mumfungie ila ndo shujaa wetu mpina mungu yupo nawe
@zubedadaudi20510 күн бұрын
Uyo nae nn? Mbona kama mweu😅😅😅
@christophermatiko11534 күн бұрын
Ilikuwa nchi ya kijamaa kipindi cha Nyerere saiv kupitia ccm ni ya kibebari kwani nchi ya ujamaa haijui rushwa hata kidogo mfano cuba ,china, na rusia
@user-lf5wp9yn7x8 сағат бұрын
Kazungumza fact wazalendo wachache sana .ilimuuma sana mpina kutolewa nje na alizani kwa kipindi kirefu.kumbe ni kipindi kifupi.n a ilimuuma sana tulia akson kutukanwa
@jalaryababilasi15623 күн бұрын
Bila D mbili huwezi kuelewaa 😂😂😂😂
@user-dq1ss2uq6u5 күн бұрын
Acheni kujipendekeza jmn hv kweli ? Mnajua
@abdukhalnyerere89933 күн бұрын
Wakuchongewa sanamu kila mkoa ni mpina na sio mwingine anagusa maisha ya watu wanyonge naona magufuri bado yupo kwa mpina binafsi mimi nasimama na mpina
@user-fc3og1eo3x2 күн бұрын
Vitu viwili tofauti kabisa
@user-gy3bv7nm7d3 күн бұрын
Huyu hv nimbunge wa wapi?
@user-dq1ss2uq6u5 күн бұрын
Mpina yuko sawa ss tunamuelewa jmn wabunge msitufanye ni mambumbu ss
Umesema kweli kabisa. Nani myonge! MAGU alituaminisha kuwa sisi ni matajiri tutembee vifua mbele.
@NdageKitahama
10 күн бұрын
Huyu tabasamu hafai Tena kuwa mbunge anatetea ufisadi uliotajwa na mpina anampamba bashe kwa lipi? Mpaka Sasa sukari Bado ipo juu Hana hata aibu kwamaneno yake ya upambe twambie sukari kilo bei gani?au unatuona cc wananchi ni wajinga sukari Bado ipo juu alafu unasimama bungeni unaongopea wananchi mpina yupo sahihi tupo pamoja nae wananchi
@user-mm6sm9rt9x
10 күн бұрын
Asante sana Kwa swali zuri laiti tungekutana ningekuzawadia. SWALI zuri sana. Hawa CCM Kila siku wanawaita WATANZANIA ni wanyonge, nani aliyewanyonga???? .Anayetunyonga kwenye sukari siyo CCM???? Anayetunyonga kwenye bandari siyo CCM??? Anayetunyonga kwenye madini siyo CCM??? Anayewafanya NGORONGORO wanyonge siyo CCM????? Gaesi nayo je nani anatupandishia?????? Umeme tulikuwa tunaingiza Kwa sh. 28000/= na kaipandisha Hadi laki 300000???? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-fc3og1eo3x2 күн бұрын
Hovyo kabisa bado nasimama na mpina
@omariSaliboko4 күн бұрын
Jadilini matumizi ya mipaka mwongozo wa upatikanaji wa sukar hapo mbona hamsemi mnaenda kwenye kuongea na wandishi
@johnmalale386049 минут бұрын
Yaani hii mibungeeeeee;
@emmanuelafrica3 күн бұрын
Hili zee akili linazo kwl et limeumia sana😅
@infodigtechforcommunityemp410310 күн бұрын
Wale wale mnamuharibia mama
@mericknzungu-xf8ji
10 күн бұрын
mpumbav
@nicodemuswidambe51322 күн бұрын
Hakuna watu Wanafiki na waongo kama wanasiasa. Angalia hizo taarifa!!
@FredymaswiMwita-oj6gv10 күн бұрын
siss tunapenda what mpina is doing
@PeterMaonga5 күн бұрын
Mpina sio kubwa la maadui maadui wamebaki ndani mtetezi yuko nje
@jackisonmlaari4556Күн бұрын
Hivi nyinyi mnamwelewa kweli?
@FortiMtolela-xl2nb6 күн бұрын
Mmmmmmh
@profs.a54125 күн бұрын
Hiv huyo anae ongea hapo ni mbunge? 😂😂😂
@geraldluiso67925 күн бұрын
Bunge la kinafiki. Hoja hujibiwa Kwa hoja
@godwinkileo77023 күн бұрын
Sasa kwanini sukari imeletwa kutoka Brazil na inauzwa 3000, hivi mnakumbukuka issue ya Iddi Simba? Alijiuzuru kwasababu ya sukari, wakati Raisi ni Mkapa, Mpina yupo sahihi kabisa
@GeofreySenka3 күн бұрын
Ili kubwa jinga
@ibrahimabdul82575 күн бұрын
Hivi huyuu sio ndio mbunge wa Lushoto?
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye4 күн бұрын
umeanza vzr lakini mwishon umevurunda kwel nikuombe2 futa kwanza kauli ya kujiita mtetezi wa wanyonge we n mtetezi wa tumbo na siyo wanyonge
@abelchacha59778 күн бұрын
Hoja inaondolewa na hoja. Sio sheria
@YusuphOmary-br6ev10 күн бұрын
Mzee wa hovyo sana
@rahimsadru-ct4ot6 күн бұрын
Shida bunge lina wabunge mbumbumbu weng san
@hamidabarraball316210 күн бұрын
Hatumitaki nyie wabunge mjiuzulu, mpo hapo kwa maslahi yenu tu
@user-oo2rr7jd6w6 күн бұрын
Mpina ndiye anaye litendea haki Bunge, sheria na kanuni zinazomnyima haki mpigania haki Mpina nanwengineo !!! Ziondolewe
@tanzanitetv10 күн бұрын
Huyu naye ni Mbunge ,Magufuli alikosea baadhi ya maeneo
@JamaliAmour-jp9dd10 күн бұрын
bashe hana ushujaaa wowote mpina anahaki na hana haki kuomba radhi ttz bunge linashughulika na wabunge na sio katiba
@josephlorri4319 күн бұрын
Mwindaji amekuwa mwindwa...the hunter being the hunted
Na kwa hekima na ufahamu wake hawezi kuomba msamaha kwa weledi wake ana mtaji wa wananchi ambao ni wengi kuliko hao wabunge 300 ana wafuasi milioni 59,700,000 wa CCM,Wapinzani na tusio na vyama long live Mpina Mungu husimama na wenye haki si unamwona Lisu risasi 16 mwilini lakini yu hai wewe vikao 15 ni kama upepo tu unapita
@dickisoniryoba3989Күн бұрын
Humohakuna wazalendo...??
@HamzaHeri4 күн бұрын
SASA KAMA HUYO BASHIRI NI MSHENZI WAKATI WAO WALIJIONA MUNGU WATU
@jisrainomwa401510 күн бұрын
Mh apo sasa Kaz ipo
@edsonkahesi86036 күн бұрын
Wabunge wengi ni wachumia matumbo, fatilieni Kenya kinachoendelea ili liwe fundisho kwenu, siyo mnahonga pikipiki kisa uchaguzi umekaribia Unaleta hoja eti hatua iliyochukuliwa na waziri wa kilimo inafaa kuungwa mkono!! Kwani kilo ya sukari imeshuka mpka sh ngapi ili tujue nia yake ni ya kizalendo.
@kamalabuberwa200110 күн бұрын
Mpina yupo sahihi, tabasamu nyie ndo maadui wa wanyonge
@eliakazilo607810 күн бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli tuu .hata wakimfungia vikao 15,haisaidii.kisha tufumbua macho na masikio.ila spika aache kuwakumbatia mafisadi wa sukari..Mpina kawasema mnamuona mbayaaa haijaisha badooo
@user-ze6lx9ng6s6 күн бұрын
Huyu tabasam kumbe na yeye ni walewale tu, kapewa asali anamsaliti mpina,
@eliaskitundu737710 күн бұрын
Ndipo uelewe bunge Moja hakuna kitu maelekezo ya mpini ni sahihi vielelezo vyote hivyo vinatupwa bunge la maslahi tu
@AugustKisaka-qy7kl10 күн бұрын
Unda kamati tujue mpina ni msaliti au kuna shida kwenye wizara na bodi
@joyceKingu10 күн бұрын
Naomba kusema kuwa Watanzania sio wanyonge. Wala sio watumwa Tupo kwenye nchi huru ya kidemokrasia ya kisiasa na kiuchumi. Kwahiy❤o wabunge wetu SIO watetezi bali ni WAWAKILISHILI wa wananchi waliowachagua wao wenyewe Maana hatuwezi wote tukakaa bungeni kujadili maswala ya nchi yetu ya kijamaa. Naomba wananchi tusiitwe wanyonge Tuna uhuru na mali zote za nchi ni za umma .
@AbelJohn-tx4in10 күн бұрын
Jamani wananchi, hebu uchaguzi huu ujao tuiweke ccm pembeni, tuone kama tutakufa, kwani bila ccm hakuna maisha? mbona wanang'ang'ania sana kukaa madarakan, kuna nini?, kina biashara gani mpaka wako tayari hata kuuwa watu ili mradi tu wabakie hapo sipati picha, he u tufanye kitu chenye akili, tuisukumie pembeni tuone itakuwaje du! hatari sana wanakuwa kama kupe, ingekuwa nguo tungesema kauka nikuvae, ma a na hata shati huwezi kilivaa hilo hilo siku zote litachakaa itafikia kipindi lazima ulibadilishe maana utaona aibu kupita mitaani limejaa viraka kila kina ccm ni kama shati lililojaa viraka, linatakiwa libadilishwe, livaliwe shati jipya, kama nyie wananchi ni waungwana na mnaipenda nchi yenu hebu tulibadilishe hilo shati, limejaa viraka mpaka aibu, ukivaa shati lililochakaa halafu mtu akakuletea jipya ukalivaa ni lazima utapendeza uwongo jamani?, basi tufanye hivyo waungwana msiniangushe.
@martinkisha630710 күн бұрын
Huyu hana hata aibu nchi ilivyo maisha mangumu . Wewe uliuza sh. Gapi hana uzalendo wowote.mbolea tu shida hatuwaelewi kabisa maneno yenu na uhalisia wa maisha ni vitu viwili tofauti
@victorphilipo4 күн бұрын
Mimi sija mwereway tabasamu kwa maana Yuko upande upi
@Mima-cl2im4 сағат бұрын
Amewakandamizaje wanyonge? Wabunge wengi hamuelewi. Mpina hajageuka ni kutomuelewa. Mpina amezungumuzia kuhusu wasiokuwa na hadhi na uwezo wanapewa tenda, na waziri Bashe. Munatetea uwongo na kujipendekeza. Hakuna mutetezi wa haki za watanzania kama Mpina
@simonchristian631910 күн бұрын
Njaaa mbaya sana
@rosetreffert417910 күн бұрын
Waache wajione walo vizuri wajue wananchi wananunguka rohoni siku moja itakaa iwe kama kenya
Пікірлер: 391
Hongera sana Mpina ! Nchi hii tunapigwa sana.Mbunge Tabasamu analijua AMEKUUNGA MKONO MPINA ILA AMEKWEPA KUFUKUZWA BUNGENI. Mpina WANANCHI wenye AKILI TUKO NYUMA YAKO. (NCHI HII TUMEPIGWA NA TUNAENDELEA KUPIGWA SANA.) (NDUGAI UKO WAPI???)
Kichwa cha habari tofauti kabisa na kilichosemwa. Mwandishi ni mjinga sana anatumia jina la Bashiru visivyo
@bockerNyarusahi
4 күн бұрын
Mwandishi kanjanja
@gregoryogweyo4598
2 күн бұрын
ametuchota akili
Mh. mpina ni mtetezi wa tz
@hayeshimpeziy
10 күн бұрын
Fanya reseach ya ghasia hii..ukweli uko wazi mbona..Mh. Bashe anajitahidi sana kwenye kilimo..we should say the truth sometimes
@user-vd8hs6ue2n
10 күн бұрын
@@hayeshimpeziyAcha uchawa mzee zungumza na njaa zako mpina anatutetea sisi wanyonge
@juliuswantere6864
10 күн бұрын
La ajabu ni kuwa watu kama Mpina hawatakiwi nchini kwetu!!!!!
@jimmysameji3602
10 күн бұрын
@@hayeshimpeziy bashe alikuwa mchapa kazi enzi mzalendo J P Magufuli.Sasa hivi anarimotiwa na vibaka we nchi.
@aidanexson1634
9 күн бұрын
@@jimmysameji3602wengine ndo wananza kufatilia akina mpina sahz
Dume zima linajikosha kwa Tulia Ackson! Eti “mi nimeumia sn kutukanwa spika” 😂😂😂😂
@zabronmwaipungu2212
4 күн бұрын
Haya majitu ni majinga tu. Anacho kisema mpina baada ya kutolewa bungeni yuko sahihi kabisa, kama vile wachangiaji walipangwa vile!
Kama kuna mbunge mnafki mbunge mjali njaa yaketu na c njaa ya wtz basi tabasam ni1jawpo
@jdanny497
10 күн бұрын
Hafai kabisa tapeli
@adeltuszakumuha9618
10 күн бұрын
Hovyo sana huyu
@omaryyusuph7877
10 күн бұрын
Kabisa
@edmundphilemon3054
10 күн бұрын
Na jina lake ni lakimchongo tabasam
@jedidahbintidaudi8241
6 күн бұрын
@@edmundphilemon3054 jmni Edmund😅😅
Watanzania kwahili lampina ndomjue kuwa bunge Huwa ni kandamizi kwa wananchi Yani ndomjue kuwa bunge sio linatetea wananchi ila linakandamiza wananchi hilibunge nila mchongo ,Yani wamekaa kupigatu ,Yani hilibunge nibola tuludi kuongozwa na mchifu sio Hawa mafisadi
@iddrashid7054
10 күн бұрын
Unamaana Sukari isingeingia nchini kwa wakati kati ya Bashe na Mpina nani angelaumiwa kwa uzembe?tuwe fair Mpina kwa hili anatetea wawekezaji na Bashe amesaidia wananchi
@ellymaz2187
10 күн бұрын
Mpina hajashikwa na kosa lolote kuhusu Bashe. Kosa Lake ni kusema na vyombo vya habari tu.
@sophiemsuya6507
10 күн бұрын
Jamani hapo chama kinajitetea. Walio upande wa.wananchi wataendelea kueleweka. Mungu atabaki kuwa mwamuzi wa haki.
@user-zi4hx4jf3o
10 күн бұрын
Mpina tupo na wew huyo tabasamu Mnafiki sana
@barnabasmsamwel4292
10 күн бұрын
👑machifu tupo 😂😂 😊
Hapo bungeni wabunge wazalendo wachache sijui Kama wnafka 5kwasasa mbunge mzalendo no1ni bashilu Ali kakulwa alikuwepo polepole no2wkamuondoa no3mpna no4kunambi
Mzalendo nimpina 1 hiyo nimiipango ya kumdhofisha , bunge la sasa rinataka mtu awe anasifia wakati wananchi wake harinngum .mpina hakuwenda bungen kumsifia mtu nimkweri daima na mungu amsimamie
@jedidahbintidaudi8241
6 күн бұрын
amina baba
Hamuwezi kumchafua Mpina wananchi tumemuelewa sana.
@majidimussa8678
10 күн бұрын
haswah
@jedidahbintidaudi8241
6 күн бұрын
kwa kweli
Uyuuu mzeee nae msenge tuu
kumbukeni waamuzi wakubwa ni wananchi bidhaa zote ni juu hamna mwenye uthubutu wa utetezi kwa madhira ya wananchi uchumi,bei za mazao chini havina uwiano na maisha kuanzia afya,nk hongera rip JPM katiba maamuzi ni 2024,2025 wananchi tuweke uthubutu kwa watenda haki serikalini.mungu ibariki tz
Kakulwa oyeeeee kazi inaendelea Mungu akupe nguvu
Ww ndiyo adui wa wanyonge hujajibu hoja za Mpina unafurahisha bunge huku tz balaa tuna viongozi waoga sana ni wachache tu wa maana kama Mwalimu Nyerere, Magufuli, Mpina, Makonda,Bashiru,Sokoine,Ndugai,Anna Makinda,Tibaijuka,Sabaya,Hapi,Siro, wengine ni wahuni tu machawa na mafisadi wakubwa
Tanzania inatuua kwa uchawa Hawa wote wanaosimama kinyume na mpina wote wala siyo kwa akili zao bali ni kwa shinikizo la kutetea matumbo yao na njaa zao binafsi Mpina chukua form ya urais 2025 Nakwambia samia atasubiri sana❤❤❤
Eti bunge 😂😂😂.Mungu isaidie nchi yangu.
jinga lingine tena
Bunge la ndiyo Mzee linatutesa Watanzania,
Nimeshangaa sana Mbunge kusema hii sio nchi ya Kijamaa.
@user-lt1bi5nr1x
10 күн бұрын
Ujamaa tulishautoko toka enzi za mwalimu. Tusijifiche kwenye ujamaa
@Mima-cl2im
10 күн бұрын
Ni kwasababu wabunge wetu wamekuwa mapepari wenye kutetea wawekezaji bila kujali interests za watanzania. Bado tutajionea biashara za waarabu na wahindi ndizo zitatawala Mwafirika atakuwa mtumwa
Yaaan nchi hii,"ukitetea tu wananchi lazima ubambikiziwe tuhumaaa
@jedidahbintidaudi8241
6 күн бұрын
yaani nimeligunuda hulo pia..kazi kwel
Hongera sana Mpina, simama na wanyonge
We still love u honourable Mpina
Ila Wabunge Tz ni nchi ya kijamaa tokea lini,
Nadhani mungu yuko kazini kuifunua mioyo ya wakuu
Kwanini hamja msikiliza mpina mkampa siku kumi na tano huu ni unyanya saji
Huyu muheshimiwa tabasam hoja zake ni upotezaji wa mda tu
@monicamwita7865
10 күн бұрын
Mjinga toot. Njaa tu Jana lolote.
Very sad
Ujikombe nini ww tabasamu kwa sipika? Jitukubwa hovyooooooo.
Sasa hilo Bunge la 2026 kwa akili ya kawaida sana maana halisi ni kwamba Mwaka wa uchaguzi kwa mujibu wa katiba ya Nchi yetu ni mwaka 2025,Je ?anawezaje kusimamishwa vikao ambavyo hatuna uhakika kama atachaguliwa kwa mara nyingine tena.Kwangu naona swali hili ni matumizi mabaya ya muda na akili. Nchi yetu kwa mujibu wa Katiba yetu ni Nchi ya Kijamaa,Nenda kasome katiba yetu.
Je ameto hoja za uongo?
Njaa mbaya sana
Hongera sana
Hongera sana Mpina, watanzania tumekuelewa vizuri.
MPINA hoyeee BASHIRU hataki kusems
Msitufanye wajinga kila siku mnatueleza Habari ya sukali wakat hela zinachukuliwa b o t kama njugu tukikaa mwaka bila kutumia sukali tutapata shida gan
Ni kweli kabisa Mpina hatufai kweli kabisa ni mtetezi feki wa wanyonge haikosi alihongwa kweli na watu wa Sukari Mhe daktari spika.
Wanazingatia kanuni zaidi ya hoja. Sasa hoja yake imeishia wapi? Suala la maji na barabara hawawezi kutatua ila suala la mpina ni kama zege hawajalaza.
Habari digital hamko sirias asee
Tanzania haina media na haina bunge
Natamani kutukana ila duhhh au bas tu. But mpina tunakuelewa sana na tunakupenda achana na hao manafiki . Mungu atasema nao
Hoja ya mpina ni ya msingi zaidi kuliko linalodaiwa kosa lake,bunge halijaona msingi wa hoja zake,lakini ameona kosa la yeye kuwaeleza wananchi kinachoendelea kupitia vyombo vya habari!!wabunge wamepiga makofi kwelikweli anapohukumiwa,lakini hoja zake kwao hazina maana halafu bashe anasifiwa kuwa shujaa ajengewe sanamu,halaf wanasema hapo ni watetezi wa wananchi,duh.
Amekuwaje kubwa la maadui??.. hapo mi sijaelewa,ila labda alivunja kanuni ya bunge
@Mima-cl2im
10 күн бұрын
Wengi hatuelewi
@mwingwasolozi8651
10 күн бұрын
Mpenu alitetea viwanda badala wananchi
@Worldunite
10 күн бұрын
Mpina hakandamizi wanyonge wala hatetei wenye viwanda, labda hamkumuelewa vizuri ila kavunja kanuni ya bunge kujitokeza kwenye media, lkn hii haimaanishi kuwa amekuwa kubwa la maadui, fanyieni kazi nyaraka alizowasilisha kwa mujibu wa taratibu na sheria za bunge
@Mima-cl2im
10 күн бұрын
@@mwingwasolozi8651 Kwa hiyo Bashe alitetea wananchi kwa kuipa tenda kiny umie cha sheria na utaratibu, kampuni ndogo ya kuuza simu isiyokuwa na uwęzo na mutaji mdogo kuagiza sukari ya mabilioni? Kama sio wizi na udanganyifu ni nini?
Uzalendo sio kazi ndogo acheni2
Duhuuu
Tabasamu chawa
Ila Mimi nakukubali sana Mpina.Siku zote ww ni msema kweli.Wabunge wengi c wasema kweli.Tuwe wakweli jamani ndo mapenzi ya Mungu.
Wananchi wakichoka na huu upuuuz wenu,' mstafute mchawi
Ata mumfungie ila ndo shujaa wetu mpina mungu yupo nawe
Uyo nae nn? Mbona kama mweu😅😅😅
Ilikuwa nchi ya kijamaa kipindi cha Nyerere saiv kupitia ccm ni ya kibebari kwani nchi ya ujamaa haijui rushwa hata kidogo mfano cuba ,china, na rusia
Kazungumza fact wazalendo wachache sana .ilimuuma sana mpina kutolewa nje na alizani kwa kipindi kirefu.kumbe ni kipindi kifupi.n a ilimuuma sana tulia akson kutukanwa
Bila D mbili huwezi kuelewaa 😂😂😂😂
Acheni kujipendekeza jmn hv kweli ? Mnajua
Wakuchongewa sanamu kila mkoa ni mpina na sio mwingine anagusa maisha ya watu wanyonge naona magufuri bado yupo kwa mpina binafsi mimi nasimama na mpina
Vitu viwili tofauti kabisa
Huyu hv nimbunge wa wapi?
Mpina yuko sawa ss tunamuelewa jmn wabunge msitufanye ni mambumbu ss
Huhuhuuuuu nice bunge😢
Achen,unafiki,hivi,mnaona,Raha,kutuita,wanyongee,,?Nani,katupa,unyonge,kwenye,nch,yetu,Kama,sio,nyinyi,mnaojiita,watetezi,wetu?teteeni,,tu,matumbo,yenu,achen,zarau
@debbiemes4600
10 күн бұрын
Umesema kweli kabisa. Nani myonge! MAGU alituaminisha kuwa sisi ni matajiri tutembee vifua mbele.
@NdageKitahama
10 күн бұрын
Huyu tabasamu hafai Tena kuwa mbunge anatetea ufisadi uliotajwa na mpina anampamba bashe kwa lipi? Mpaka Sasa sukari Bado ipo juu Hana hata aibu kwamaneno yake ya upambe twambie sukari kilo bei gani?au unatuona cc wananchi ni wajinga sukari Bado ipo juu alafu unasimama bungeni unaongopea wananchi mpina yupo sahihi tupo pamoja nae wananchi
@user-mm6sm9rt9x
10 күн бұрын
Asante sana Kwa swali zuri laiti tungekutana ningekuzawadia. SWALI zuri sana. Hawa CCM Kila siku wanawaita WATANZANIA ni wanyonge, nani aliyewanyonga???? .Anayetunyonga kwenye sukari siyo CCM???? Anayetunyonga kwenye bandari siyo CCM??? Anayetunyonga kwenye madini siyo CCM??? Anayewafanya NGORONGORO wanyonge siyo CCM????? Gaesi nayo je nani anatupandishia?????? Umeme tulikuwa tunaingiza Kwa sh. 28000/= na kaipandisha Hadi laki 300000???? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hovyo kabisa bado nasimama na mpina
Jadilini matumizi ya mipaka mwongozo wa upatikanaji wa sukar hapo mbona hamsemi mnaenda kwenye kuongea na wandishi
Yaani hii mibungeeeeee;
Hili zee akili linazo kwl et limeumia sana😅
Wale wale mnamuharibia mama
@mericknzungu-xf8ji
10 күн бұрын
mpumbav
Hakuna watu Wanafiki na waongo kama wanasiasa. Angalia hizo taarifa!!
siss tunapenda what mpina is doing
Mpina sio kubwa la maadui maadui wamebaki ndani mtetezi yuko nje
Hivi nyinyi mnamwelewa kweli?
Mmmmmmh
Hiv huyo anae ongea hapo ni mbunge? 😂😂😂
Bunge la kinafiki. Hoja hujibiwa Kwa hoja
Sasa kwanini sukari imeletwa kutoka Brazil na inauzwa 3000, hivi mnakumbukuka issue ya Iddi Simba? Alijiuzuru kwasababu ya sukari, wakati Raisi ni Mkapa, Mpina yupo sahihi kabisa
Ili kubwa jinga
Hivi huyuu sio ndio mbunge wa Lushoto?
umeanza vzr lakini mwishon umevurunda kwel nikuombe2 futa kwanza kauli ya kujiita mtetezi wa wanyonge we n mtetezi wa tumbo na siyo wanyonge
Hoja inaondolewa na hoja. Sio sheria
Mzee wa hovyo sana
Shida bunge lina wabunge mbumbumbu weng san
Hatumitaki nyie wabunge mjiuzulu, mpo hapo kwa maslahi yenu tu
Mpina ndiye anaye litendea haki Bunge, sheria na kanuni zinazomnyima haki mpigania haki Mpina nanwengineo !!! Ziondolewe
Huyu naye ni Mbunge ,Magufuli alikosea baadhi ya maeneo
bashe hana ushujaaa wowote mpina anahaki na hana haki kuomba radhi ttz bunge linashughulika na wabunge na sio katiba
Mwindaji amekuwa mwindwa...the hunter being the hunted
Kama mimi ningelikuwa mpina nisingeli omba msamaha utaombaje msamaha huja kosea
@Kwelihukuwekahuru
10 күн бұрын
Na kwa hekima na ufahamu wake hawezi kuomba msamaha kwa weledi wake ana mtaji wa wananchi ambao ni wengi kuliko hao wabunge 300 ana wafuasi milioni 59,700,000 wa CCM,Wapinzani na tusio na vyama long live Mpina Mungu husimama na wenye haki si unamwona Lisu risasi 16 mwilini lakini yu hai wewe vikao 15 ni kama upepo tu unapita
Humohakuna wazalendo...??
SASA KAMA HUYO BASHIRI NI MSHENZI WAKATI WAO WALIJIONA MUNGU WATU
Mh apo sasa Kaz ipo
Wabunge wengi ni wachumia matumbo, fatilieni Kenya kinachoendelea ili liwe fundisho kwenu, siyo mnahonga pikipiki kisa uchaguzi umekaribia Unaleta hoja eti hatua iliyochukuliwa na waziri wa kilimo inafaa kuungwa mkono!! Kwani kilo ya sukari imeshuka mpka sh ngapi ili tujue nia yake ni ya kizalendo.
Mpina yupo sahihi, tabasamu nyie ndo maadui wa wanyonge
Ukweli utabaki kuwa ukweli tuu .hata wakimfungia vikao 15,haisaidii.kisha tufumbua macho na masikio.ila spika aache kuwakumbatia mafisadi wa sukari..Mpina kawasema mnamuona mbayaaa haijaisha badooo
Huyu tabasam kumbe na yeye ni walewale tu, kapewa asali anamsaliti mpina,
Ndipo uelewe bunge Moja hakuna kitu maelekezo ya mpini ni sahihi vielelezo vyote hivyo vinatupwa bunge la maslahi tu
Unda kamati tujue mpina ni msaliti au kuna shida kwenye wizara na bodi
Naomba kusema kuwa Watanzania sio wanyonge. Wala sio watumwa Tupo kwenye nchi huru ya kidemokrasia ya kisiasa na kiuchumi. Kwahiy❤o wabunge wetu SIO watetezi bali ni WAWAKILISHILI wa wananchi waliowachagua wao wenyewe Maana hatuwezi wote tukakaa bungeni kujadili maswala ya nchi yetu ya kijamaa. Naomba wananchi tusiitwe wanyonge Tuna uhuru na mali zote za nchi ni za umma .
Jamani wananchi, hebu uchaguzi huu ujao tuiweke ccm pembeni, tuone kama tutakufa, kwani bila ccm hakuna maisha? mbona wanang'ang'ania sana kukaa madarakan, kuna nini?, kina biashara gani mpaka wako tayari hata kuuwa watu ili mradi tu wabakie hapo sipati picha, he u tufanye kitu chenye akili, tuisukumie pembeni tuone itakuwaje du! hatari sana wanakuwa kama kupe, ingekuwa nguo tungesema kauka nikuvae, ma a na hata shati huwezi kilivaa hilo hilo siku zote litachakaa itafikia kipindi lazima ulibadilishe maana utaona aibu kupita mitaani limejaa viraka kila kina ccm ni kama shati lililojaa viraka, linatakiwa libadilishwe, livaliwe shati jipya, kama nyie wananchi ni waungwana na mnaipenda nchi yenu hebu tulibadilishe hilo shati, limejaa viraka mpaka aibu, ukivaa shati lililochakaa halafu mtu akakuletea jipya ukalivaa ni lazima utapendeza uwongo jamani?, basi tufanye hivyo waungwana msiniangushe.
Huyu hana hata aibu nchi ilivyo maisha mangumu . Wewe uliuza sh. Gapi hana uzalendo wowote.mbolea tu shida hatuwaelewi kabisa maneno yenu na uhalisia wa maisha ni vitu viwili tofauti
Mimi sija mwereway tabasamu kwa maana Yuko upande upi
Amewakandamizaje wanyonge? Wabunge wengi hamuelewi. Mpina hajageuka ni kutomuelewa. Mpina amezungumuzia kuhusu wasiokuwa na hadhi na uwezo wanapewa tenda, na waziri Bashe. Munatetea uwongo na kujipendekeza. Hakuna mutetezi wa haki za watanzania kama Mpina
Njaaa mbaya sana
Waache wajione walo vizuri wajue wananchi wananunguka rohoni siku moja itakaa iwe kama kenya
Siasa