Música Emocionante e Deus conforte a família Tanzaniana
@jackmabirangacharles93983 минут бұрын
Gari yako Utaipata tu wamekuwekea maadam imewekwa kwenye mitandao utaipata wala usjjali ila tupe namba ya Whatsup ndio watu wengi wanatumia siku hzi
@jeniphermyingajeniphermyin80297 минут бұрын
Yaan mchungajj alf anaongea uongo,mmmh
@rachaelliza267216 минут бұрын
❤🙏🙏
@jeniphermyingajeniphermyin802916 минут бұрын
I sana makonda
@omarybakunda255421 минут бұрын
Hongera kwetu watanzania
@stellamsofe641822 минут бұрын
Nzuri kweli kweli
@MezdDimoso24 минут бұрын
Camera man naomba unionyeshe wahudumu wa kwenye hiyo tren nione jinsi wanavyo timiza majukumu yao🎉
@jeniphermyingajeniphermyin802927 минут бұрын
Mungu akulinde Makonda unapenda haki
@SalmanMughal-lq5lt31 минут бұрын
MashaAllah Allah.awalinde
@marianmartin748332 минут бұрын
Safi sana
@josephatjordan215033 минут бұрын
😂imebidi ncheke tu
@JacksonMartin-pb2vq34 минут бұрын
Hapo ndio tatizo hatari nzima wanahojiwa viongozi mnapaswa kuonyesha na safari huduma zilizopo pia
@JanuaryMasanga36 минут бұрын
Hongera kaka
@yayananajota583838 минут бұрын
The dream cam truu, rest in peace KING JPM👑,,
@user-to5pz6ko8f42 минут бұрын
Naipenda.habarizenu.asanteni.sana
@JanuaryMasanga45 минут бұрын
Hongera sana mkuu mungu akuongoze salama
@gabapentin807047 минут бұрын
Mae😂
@MartinaMsimbe-qk8ug49 минут бұрын
Dogo yupo vizuri, kamilisha Shule faulu mtihani. Usiwe na haraka na Maisha
@jacksonmatheka162453 минут бұрын
Copyright
@vero5754 минут бұрын
Choo jee TUONYESHE, na maji yapo ????
@babuuosama8752Сағат бұрын
VIONGOZI WA TANZANIAN WAMINIFU WAFANYA MAENDELEO SEMBUSE VIONGOZI WETU WA KENYA MAFISADI WAPORAJI WA PESA ZA WAKENYA " KONGOLE MAMA SAMIA PONGEZI VIONGOZI WA TANZANIAN. KENYAN UPORAJI MUUNDO MSINGI .
@jullia639Сағат бұрын
Yaaani mnachokiandika tofauti na kinachosema kuku nyie
@user-cu8dm6eh3gСағат бұрын
Wewe unae muekezaji mengine bx mlete
@user-cu8dm6eh3gСағат бұрын
Wewe chiz bx kachukua hisa mnafiki we
@user-cu8dm6eh3gСағат бұрын
Wewe mwenda ukipewa simba utaweza kusajil mjinga mmoja wewe maneno tu hayasaidii kitu
@jworld148036 минут бұрын
watu wa namna hii ni wa hovyo sana maana hata simba yenyewe haisaidii zaidi ya ushabiki tu mo akila hela sisi haituhusu tunataka ushindi na burudani anaisifia yanga si ahamie huko yanga mbona walipitia kipindi kigumu miaka 4 nani aliyewasaidia au yanga kama yanga inahela za wapi gate collection inawasaidia kusajili nakuendesha team wapi ulisikia
@binwasiumbanga9256Сағат бұрын
Kweli unga hauachiki,ukimtizama vizuri utagundua hilo,inasikitisha sana.
@jellyyatta7597Сағат бұрын
Bonge Moja la point. Nafanya kazi sana usinihurumie big up mh
@shyneafya2468Сағат бұрын
Yan kocha Mwenda nakukubali sana wangu Yan tuko pamoja sana Simba lazima inyoke
@jellyyatta7597Сағат бұрын
Mwamba wa mzee wa mangu nina Imani naww kira rakheri mkuu
@abdulbasitmulla7678Сағат бұрын
Mbona yanga haipo ni GSM ndo anamiliki yanga
@abufatimamohammad3344Сағат бұрын
Mwangaza Huyo Alikua Iblisi 🥹
@erickwanjarajr5707Сағат бұрын
Next time nitapanda ihii maana nimeteseka sana kwenye ordinary siku nzima naitafuta dodoma ni waste of time
@shyneafya2468Сағат бұрын
Yan ukweli ndo huo MO hana Cha kutuambia Yan inawezekana vip mtu useme et amekula hela af umchukue tena awe tena mjumbe kivip? Yan n bora MO na genge lake watoke japokuwa WANASIMBA mtanisema vibaya ila ukweli ndio huo
Пікірлер
❤ ccm ndio hii ufuatiliaji sahih
Música Emocionante e Deus conforte a família Tanzaniana
Gari yako Utaipata tu wamekuwekea maadam imewekwa kwenye mitandao utaipata wala usjjali ila tupe namba ya Whatsup ndio watu wengi wanatumia siku hzi
Yaan mchungajj alf anaongea uongo,mmmh
❤🙏🙏
I sana makonda
Hongera kwetu watanzania
Nzuri kweli kweli
Camera man naomba unionyeshe wahudumu wa kwenye hiyo tren nione jinsi wanavyo timiza majukumu yao🎉
Mungu akulinde Makonda unapenda haki
MashaAllah Allah.awalinde
Safi sana
😂imebidi ncheke tu
Hapo ndio tatizo hatari nzima wanahojiwa viongozi mnapaswa kuonyesha na safari huduma zilizopo pia
Hongera kaka
The dream cam truu, rest in peace KING JPM👑,,
Naipenda.habarizenu.asanteni.sana
Hongera sana mkuu mungu akuongoze salama
Mae😂
Dogo yupo vizuri, kamilisha Shule faulu mtihani. Usiwe na haraka na Maisha
Copyright
Choo jee TUONYESHE, na maji yapo ????
VIONGOZI WA TANZANIAN WAMINIFU WAFANYA MAENDELEO SEMBUSE VIONGOZI WETU WA KENYA MAFISADI WAPORAJI WA PESA ZA WAKENYA " KONGOLE MAMA SAMIA PONGEZI VIONGOZI WA TANZANIAN. KENYAN UPORAJI MUUNDO MSINGI .
Yaaani mnachokiandika tofauti na kinachosema kuku nyie
Wewe unae muekezaji mengine bx mlete
Wewe chiz bx kachukua hisa mnafiki we
Wewe mwenda ukipewa simba utaweza kusajil mjinga mmoja wewe maneno tu hayasaidii kitu
watu wa namna hii ni wa hovyo sana maana hata simba yenyewe haisaidii zaidi ya ushabiki tu mo akila hela sisi haituhusu tunataka ushindi na burudani anaisifia yanga si ahamie huko yanga mbona walipitia kipindi kigumu miaka 4 nani aliyewasaidia au yanga kama yanga inahela za wapi gate collection inawasaidia kusajili nakuendesha team wapi ulisikia
Kweli unga hauachiki,ukimtizama vizuri utagundua hilo,inasikitisha sana.
Bonge Moja la point. Nafanya kazi sana usinihurumie big up mh
Yan kocha Mwenda nakukubali sana wangu Yan tuko pamoja sana Simba lazima inyoke
Mwamba wa mzee wa mangu nina Imani naww kira rakheri mkuu
Mbona yanga haipo ni GSM ndo anamiliki yanga
Mwangaza Huyo Alikua Iblisi 🥹
Next time nitapanda ihii maana nimeteseka sana kwenye ordinary siku nzima naitafuta dodoma ni waste of time
Yan ukweli ndo huo MO hana Cha kutuambia Yan inawezekana vip mtu useme et amekula hela af umchukue tena awe tena mjumbe kivip? Yan n bora MO na genge lake watoke japokuwa WANASIMBA mtanisema vibaya ila ukweli ndio huo