TUMEIPATA SAUTI YA MSIGWA SIKILIZA ALICHOONGEA ''MIMI NI MTU HURU/SIJAENDA CCM KWAAJILII.....

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 151

  • @emlongetcha88
    @emlongetcha882 күн бұрын

    KILA MTU ANAMSEMA MAGUFULI... Laana ya kumsema vibaya marehemu iwe Juu yako daima.

  • @RwechungulaBegumisa
    @RwechungulaBegumisa2 күн бұрын

    Sud upo vizuri sana umemuhoji mpumbavu aisee

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace1232 күн бұрын

    Msigwa Kwa kweli ametia aibu sana

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence41762 күн бұрын

    Mtangazaji upo vzr kwa kumhoji

  • @abdalamfinanga6434
    @abdalamfinanga64342 күн бұрын

    Huyo ni mtumishi wa mungu alichokifanya anajua mungu na yeye ila naamini.mungu hazihakiwi

  • @waweruwaweru3303

    @waweruwaweru3303

    2 күн бұрын

    Mungu hapendi basaliti na wanafiki.

  • @KidundioFashion
    @KidundioFashion2 күн бұрын

    Njaa mbaya sana

  • @davidsamson8204
    @davidsamson82042 күн бұрын

    Wewe ni msaliti tuu hauna jipya ukiona baba anakimbia nyumba yake na kukimbilia jilani huyo hafai hata kidogo hata huko hufai maana unajenga tumbo lako tu

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x2 күн бұрын

    Tumbo tumbo njaa 😂😂😂

  • @aloycejames4862
    @aloycejames48622 күн бұрын

    Heshima yake imeshuka sana

  • @BasilMocha-mi6mx
    @BasilMocha-mi6mx2 күн бұрын

    Katika hili Msigwa umezingua, wewe ulionekana kuwa utaluvusha taifa lakini umerudi tena kwa mafisadi. Loh! Tanzania yangu

  • @leokamil6284
    @leokamil62842 күн бұрын

    Njoo Iringa tukuchambe

  • @henryndosi2002
    @henryndosi20022 күн бұрын

    Mzigwa akili IPO kisogoni tapeli muongo mkubwa sio mchungaji wa Nini nitapeli Fulani hivi,

  • @mariamjamali1444
    @mariamjamali14442 күн бұрын

    Njaa za mfukoni zimehamia kichwani na tumboni! Very good!!???

  • @michaelmwamanda8418

    @michaelmwamanda8418

    2 күн бұрын

    😂😂

  • @richardnganya2311
    @richardnganya23112 күн бұрын

    Kama JPM alikuofa pesa na ubunge WA CCM sasa unawezaje kukwepa usaliti huu !?

  • @MichaleMwakyambiki-pq4co
    @MichaleMwakyambiki-pq4co2 күн бұрын

    Ni bola umeondoka, ugetuvulugia chama

  • @WaziriMaftah
    @WaziriMaftah2 күн бұрын

    Msigwa upo vizuri

  • @ellymartin9343
    @ellymartin93432 күн бұрын

    Kwa kweli mtu hakosi hoja za kuongea, Aibu sana kwa mtu kama yeye, Hongera Monetę kwa maswari ya msingi.

  • @barakamanga5502
    @barakamanga55022 күн бұрын

    Watu kama hawa wasihesimiwe, niwasaliti, ivi kweli utamwaminije mtu kama huu

  • @coolruler6820
    @coolruler68202 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅,,,,,ngoja tuone kama zile kelele za katiba mpya zitaendelea au bs tujuwe ni ndumilakuwili

  • @martinisadru9899

    @martinisadru9899

    14 сағат бұрын

    Katombwe nyuma huko, kwani katiba mpya mbaka akudaiye msigwa! Kwani wewe huna mdomo wa kwenda kudai katiba mpya? Kila mbuzi huishi kwa urefu wa kamba yake alokadiriwa na mchungaji.

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o2 күн бұрын

    Umeshindwa kanda ya nyasa unatafuta cheo ccm chenzi sana unapenda cheo

  • @emmanuelernest3596

    @emmanuelernest3596

    2 күн бұрын

    Mpumbavu tu huyo mzee lakin pia hata chama changu pia sijui wanawazaga nini wakati mwingine...huyu mzee aliyekosa hekima kwanza basi tuendelee

  • @reginas1832

    @reginas1832

    9 сағат бұрын

    Jamaa alikuwa kwenye payroll.

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi50872 күн бұрын

    Unasingizia magu hawex kujibu sasa

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda8282 күн бұрын

    Pumbavuuuui😂😂😂

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha261913 сағат бұрын

    Ww hiyo ni njaa tu inakusumbua ungekuwa mtu wa maana ungebaki nashughuli zako tu unaenda kujiunga na watu ambao wanatuhujumu tena

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda58192 күн бұрын

    Acha ujinga Wewe chama Kiko imala nakitakuwa imala natutakuimala uliye Potenza dila niwewe msigwa njaa zinakusumbua kwenda tuu acha kujibalaguza

  • @AbrahamMjema-di1li
    @AbrahamMjema-di1li15 сағат бұрын

    Wewe sio kiongozi bora

  • @NicodemBarantanda-ud7qy
    @NicodemBarantanda-ud7qy2 күн бұрын

    Jamani naomba mnisaidie msigwa anatambulika mwanzoni kwa cheo Cha utumishi wa Mungu ni kweli aliwahi kumtumikia Mungu au aliwahi kukuwa mchungaji wa kondeni TU.Naomba kujua tu maana nilimwamini Sana.

  • @josephatmbilinyi8947
    @josephatmbilinyi8947Күн бұрын

    msigwa umetufanyia vibaya sana,

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyo2 күн бұрын

    Tuje nyumbani kwako na picha zako za uchafu wako tuonyeshe kwenye vyombo vya habari hata cku nne kabla ujajiunga ccm ulikuwa ipogoro na kimada chako vp tumwage na ss ugali

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5siКүн бұрын

    Hata Kingunge alihama Lowasa Sumaye Mwenyekiti Shinyanga ana haki

  • @user-wz3ne2kc3o
    @user-wz3ne2kc3o2 күн бұрын

    Umeuza haki yako kwa mlo (tumbo)

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer67762 күн бұрын

    Je bado utaendelea kudai katiba mpya, pamoja na tume huru ya uchaguzi? 😅😅😅

  • @emmanuelernest3596

    @emmanuelernest3596

    2 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @reginas1832

    @reginas1832

    9 сағат бұрын

    Subuti

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge4182 күн бұрын

    kiukweli simpendi msigwa alivyofanya Bure kabisa

  • @williamshinini7896
    @williamshinini7896Күн бұрын

    Nailiza tu kwa nia njema. Huyu huwa anajiita Mchungaji, ni Mchungaji wa ng'ombe au Mbuzi? 😂😂😂😂

  • @reginas1832

    @reginas1832

    9 сағат бұрын

    Mbuzi na ngombe

  • @AntonyKawage
    @AntonyKawage2 күн бұрын

    Aisee umetufundishs,pakubwa sana kwamba ww ni mnafiki unayeonesha ni kiasi gani viongozi wa kiafrika ni wachumia tumbo

  • @oam14l
    @oam14l2 күн бұрын

    Huyu hana msimamo wowote!

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga182 күн бұрын

    CCM msifurahi sana mawazo yenu sio ya Mungu huyo sio wenu Mungu atamrudisha alikotoka ana kazi nae huko

  • @chrispinboniface3329
    @chrispinboniface3329Күн бұрын

    😂😂😂Ni aibu kwa nchi

  • @robertnkovuma7488
    @robertnkovuma7488Күн бұрын

    Aisee nimegundua wanadamu wanabadlika kumbe asiyebadilika ni mungu pekee inasikitisha sana

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52412 күн бұрын

    Ahhaaaaaa kumbe jamaaa anapenda vyeo

  • @songombingo108
    @songombingo1082 күн бұрын

    Njaa mbaya sana.

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele77962 күн бұрын

    Welcome msigwa kama naona mkutano utakavokuwa mzuri iringa

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc2 күн бұрын

    Inauma sana kama

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc2 күн бұрын

    Inauma sana basitu

  • @shanjemanumba6325
    @shanjemanumba63252 күн бұрын

    Nakiomba chama chetu pendwa chadema tujipange Kila anapotoka Msigwa na sisi tunaenda kujibu hoja mpaka akae kimya

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231Күн бұрын

    Chagadema ni umbea na uongo mtupu Sera hakuna Zaidi ya lawama ,malalamishi,ubinafsi,uchonganishi, ubaguzi na usenge 😢😢

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl2 күн бұрын

    Ccm Kuna watoto wao usichukue vyeo vyao. Hah hah hah! Ok

  • @HaryPoter-zw7vr
    @HaryPoter-zw7vr2 күн бұрын

    Duuuh Siasa hizi😂😂😂

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843Күн бұрын

    >Mahojiano yanakuweka mahali pagumu sana Mch. Msigwa! >Uhuru ni jambo moja lkn CHADEMA kupoteza misingi ni jambo lingine kabisa wala hakusafishi misingi ya CCM uliyoipinga miaka yote. >Mshituko mkubwa wa wananchi wengi ni kielelezo tosha cha kukosa msimamo na kanuni! >Kujenga chama na nchi ktk muundo na mfumo uliopo, kabla ya kupatikana Katiba Mpya ni mtihani na kutarajia miujiza!

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8kКүн бұрын

    Mchungaji hawezi kuwa mnafiki na muongo , lakini kwasasa watu washakujuwa ni mnafiki na muongo ,,YAANI UNATWAMBIA YAKWAMBA YALE YOTE ULIYOKUWA UNAYASEMA DHIDI YA WAOVU CCM YALIKUWA NI UONGO NA UNAYOYASEMA SASA NI YA UKWELI?

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y16 сағат бұрын

    Njoo iringa uongee na wezao CHADEMA sisi ccm hatukutaki

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121Күн бұрын

    Chadema wote ni wasaliti musiwaamini hawa wanafiki wahuni walavi wa walaku wapenda vyeo

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba2 күн бұрын

    Apa hutosema chochote mmm umeyakanyaga bana

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh5 сағат бұрын

    Kama mtu anahama hama chama Siyo mtu wa kuaminika sana tengenezeni wanachama wetu hawa ni watu Tamara tu hate ccm kuna prinspo

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku2 күн бұрын

    Ww msigwa ulisema ukienda ccm utapewa cheo na vitu vingi tu

  • @ottomap-u2i
    @ottomap-u2i2 күн бұрын

    msigwa atakuwa mwanachama wa kawaida kama wengine. yeye kama anatarajia atapata uongozi basi asahau maana hata ccm wapo watu wenye uwezo kuliko msigwa.

  • @emmanuellyatuu4103
    @emmanuellyatuu41032 күн бұрын

    Huyu ni mnafiki na mtu dhaifu sana. Anajaribu kuficha upumbavu wake na madhaifu yake kwa kumsingizia Magufuli. Magufuli gani aliyemwahidi pesa? Anataka kutudanganya Samia hajamwahidi cheo? PUMBAVU KABISA😡😡😡

  • @rushydahmed9179
    @rushydahmed917910 сағат бұрын

    hili jamaa pumbavuu waheedi,, hata hajitambui anataka nini - mbabaishaji tu na njaa sana..

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise2 күн бұрын

    Chizi fresh

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga28482 күн бұрын

    Tafadhali sanaa..Tuachie JPM.Alale kwa.usalama.Amefanya mambo makubwa Sana'a ktk nchi hii.huo.Uhuru mlionyimwa kwa.sababu mlikuwa mnamkwamishwa ktk kujenga nchi.kwa kuhama hujakosea.Hata Zito alihama.

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    2 күн бұрын

    Mjinga mmoja ww

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    2 күн бұрын

    ​@@MathewNathan-yb2bzmjinga na choko nani bora? 🤣🤣🤣

  • @epifaniamilinga2848

    @epifaniamilinga2848

    Күн бұрын

    @@MathewNathan-yb2bz Naamini.ujumbe.umefika kisawasawa

  • @GodMziray
    @GodMzirayКүн бұрын

    Sema upumbavu yote .achana na jina la mzee wetu wew .bado tunae mioyon.Mag oyeeeee

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y15 сағат бұрын

    Kanisa la huyu bwana liko wapi

  • @MbegaMwangasha
    @MbegaMwangashaКүн бұрын

    Msenge tu ww

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud90042 күн бұрын

    Huyu Mtangazaji ana sauti kma Tido Mhando ni yeye?

  • @kibwetere1418

    @kibwetere1418

    2 күн бұрын

    Sudi mnete

  • @AbdulOthman-gy7nu
    @AbdulOthman-gy7nuКүн бұрын

    Msigwa Kuma tuu utatuambia nn wewe umejalia masilahi yako sio ya kukomboa nchi njaa tuu hiyo

  • @mashakakwembe7482
    @mashakakwembe7482Күн бұрын

    We umeshatuzalilisha wanyalu pita kule huna jipy

  • @user-em9vh8wr5c
    @user-em9vh8wr5c2 күн бұрын

    kwanini iwe baada ya kushindwa uchaguzi

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine65262 күн бұрын

    Kwani vipande vinaonyeshwa wazi wazi?

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg3072 күн бұрын

    Mshenzi tuu, kumbe unanjaa hivyo

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku2 күн бұрын

    Hakuna sababu za msingi alizozieleza

  • @user-ex9gt9np8i
    @user-ex9gt9np8i2 күн бұрын

    Wewe una maana mchungaji kinyonga

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha261913 сағат бұрын

    Kuna jambo MUNGU anafanya utashangaa

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z11 сағат бұрын

    Maswali ya mtangazaji yote yamekaa vizuri ila yamejibiwa kiubabaishaji kwani aliyeulizwa Hana jipya zaidi ya kua mpiga porojo km huko alikoenda. Watanzania umetuangusha mno lkn kubwa umejiangusha wewe mwenyewe na history itakuhukumu .

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana86542 күн бұрын

    Ushahidi upo wa kuhonga watu aliotumia

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231Күн бұрын

    Msigwa achana na chama cha wahuni chagadema 😢

  • @user-ub8fc2gy3y
    @user-ub8fc2gy3y2 күн бұрын

    Njaa uyòoo

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai11402 күн бұрын

    MBONA CHADEMA NI WAHUNI SASA WACHA WAMTUMIE TUNDU AKIJA KUSHTUKA NDUKI

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl2 күн бұрын

    Hah hah hah! JE usipopata hiyo nafasi utafanyaje ndg yangu ? Ok

  • @Fundi12345
    @Fundi12345Күн бұрын

    Hixho chama ukifikingazi ya juu ndo utajuwa kuwa kumbobcham cha mtu moj hivihivi siyo rais

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k14 сағат бұрын

    Huna safariii wewe yeyote anae kimbiaa mapambano hua hanasafari anapotea kamaa linavopotea vumbii tu

  • @tedlema8105
    @tedlema81052 күн бұрын

    Kumbe kweli uchungaji wako ni feki,biblia inasema ndiyo Yako iwe ndiyo na hapana iwe hapana,Sasa inakuwaje ndiyo Yako ni hapana? Sisi tunajua unachokikataa ndicho ukweli wenyewe

  • @nyerere1259
    @nyerere12592 күн бұрын

    IRINGA TUNAMJUA MSIGWA TUU MWISHO WA KUNUKUU.

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana86542 күн бұрын

    Wewe acha kudanganya watu umehongwa na kunyimwa uenyekiti wa kanda

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga46062 күн бұрын

    Yaani ww ni umekwaza wengi

  • @user-ds7ho1my4u
    @user-ds7ho1my4u2 күн бұрын

    Kubadilika kama Kinyonga nibinu za Kujichimbia dhidi ya Adui zako, Chadema ni chama Wachaga zaidi, Ccm ni chama cha Watanzania wengi, Pia ndani ya Ccm kuna Uchaguzi na Taratibu za Usawa kwa wote, Chadema Mbowe ndiye Mmiliki wa Chama.

  • @user-bz3kk5te4m

    @user-bz3kk5te4m

    2 күн бұрын

    Wewe kabila gani

  • @MichaleMwakyambiki-pq4co

    @MichaleMwakyambiki-pq4co

    2 күн бұрын

    NJAA MBAYA

  • @kingj9606
    @kingj96062 күн бұрын

    Wanasemaga mbwa hawezi kula matapishi yake, ila leo ndo imekuwa ukweli. Yaani Mchungaji mzima na yale yote aliyosema kwa ccm leo hii anasema anaenda kukijenga chama?. Kwa hiyo chama kiendelee kuteka watu, kupoteza au na kuiba, n.k. 😂. Kwani huwezi kujenga nchi bila kuwa na chama?. Mbona watanzania wengi wanaijenga nchi na hawana hata chama. Hao wauza karanga kariakoo wanaolipa kodi TRA hawaijengi tanzania?. Au kwani Bakhresa ushawahi msikia anasema anasubiri mwenyekiti wa ccm amwambie nini afanye kujenga tanzania?. 😂.

  • @user-lp3pv2wi5p
    @user-lp3pv2wi5p2 күн бұрын

    Chama cratus 20

  • @KayongoOba-ht2rf
    @KayongoOba-ht2rf2 күн бұрын

    Hii ni mbwa Koko

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5nКүн бұрын

    Acha mbwembwe msigwa sema ukweli wako

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya8462 күн бұрын

    Lakini uongo zambi jamaa kijani kimemtoa kinoma 🤣🤣🤣

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231Күн бұрын

    Chagadema baki na Lissu chizi wenu hawana Sera yoyote

  • @KidomaRamadhani-q2e
    @KidomaRamadhani-q2e2 күн бұрын

    Yakawaida Sana

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda58192 күн бұрын

    Acha ujinga kabisa msigwa sema unanjaa tuu Wewe usitufanya watt ukajinge nachi gani uicnjenge Wewe wanaojenga ichi nimashujaaa sokama wewe

  • @msabahaali758
    @msabahaali75815 сағат бұрын

    kiukweli umekosa la kusema wewe mpenda vyeo

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego40302 күн бұрын

    Njaa hizi

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan70062 күн бұрын

    CCM NA CHADEMA NA ACT NA VYAMA VYOTE VILIVYO PATA USAJILI WA KUDUMU SIYO DINI ANA MAAMUZI YAKWENDA CHAMA CHOCHOTE ATAKACHO TAKA KWENDA HATA WALIO KUWA CHADEMA NA ACT NA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI WALIKUWA CCM WAKAHAMIA UPINZANI MSIGWA ANAUHURU KWENDA POPOTE ATAKAPO TAKA KWENDA

  • @yusufurhobi9678
    @yusufurhobi96782 күн бұрын

    Watu wa ccm wana akili kubwa,

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi70012 күн бұрын

    Bora umeondoka maana ungeng'ang'ania ingekula kwako

  • @michaelmwamanda8418
    @michaelmwamanda84182 күн бұрын

    Bulasa musigwa😅😅😅🙌

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y16 сағат бұрын

    Hajielewi huyu

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983Күн бұрын

    Kiongozi Malaya malaya huyu, ni aibu kubwa. Msukuma alisha maliza kuwa unapewa pesa kama unabisha chongoa mdomo, kweli hukuchongoa mdomo wewe ni kibaka kama vibaka wengine.

Келесі