TUMEIPATA SAUTI YA MSIGWA SIKILIZA ALICHOONGEA ''MIMI NI MTU HURU/SIJAENDA CCM KWAAJILII.....
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 151
KILA MTU ANAMSEMA MAGUFULI... Laana ya kumsema vibaya marehemu iwe Juu yako daima.
Sud upo vizuri sana umemuhoji mpumbavu aisee
Msigwa Kwa kweli ametia aibu sana
Mtangazaji upo vzr kwa kumhoji
Huyo ni mtumishi wa mungu alichokifanya anajua mungu na yeye ila naamini.mungu hazihakiwi
@waweruwaweru3303
2 күн бұрын
Mungu hapendi basaliti na wanafiki.
Njaa mbaya sana
Wewe ni msaliti tuu hauna jipya ukiona baba anakimbia nyumba yake na kukimbilia jilani huyo hafai hata kidogo hata huko hufai maana unajenga tumbo lako tu
Tumbo tumbo njaa 😂😂😂
Heshima yake imeshuka sana
Katika hili Msigwa umezingua, wewe ulionekana kuwa utaluvusha taifa lakini umerudi tena kwa mafisadi. Loh! Tanzania yangu
Njoo Iringa tukuchambe
Mzigwa akili IPO kisogoni tapeli muongo mkubwa sio mchungaji wa Nini nitapeli Fulani hivi,
Njaa za mfukoni zimehamia kichwani na tumboni! Very good!!???
@michaelmwamanda8418
2 күн бұрын
😂😂
Kama JPM alikuofa pesa na ubunge WA CCM sasa unawezaje kukwepa usaliti huu !?
Ni bola umeondoka, ugetuvulugia chama
Msigwa upo vizuri
Kwa kweli mtu hakosi hoja za kuongea, Aibu sana kwa mtu kama yeye, Hongera Monetę kwa maswari ya msingi.
Watu kama hawa wasihesimiwe, niwasaliti, ivi kweli utamwaminije mtu kama huu
😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅,,,,,ngoja tuone kama zile kelele za katiba mpya zitaendelea au bs tujuwe ni ndumilakuwili
@martinisadru9899
14 сағат бұрын
Katombwe nyuma huko, kwani katiba mpya mbaka akudaiye msigwa! Kwani wewe huna mdomo wa kwenda kudai katiba mpya? Kila mbuzi huishi kwa urefu wa kamba yake alokadiriwa na mchungaji.
Umeshindwa kanda ya nyasa unatafuta cheo ccm chenzi sana unapenda cheo
@emmanuelernest3596
2 күн бұрын
Mpumbavu tu huyo mzee lakin pia hata chama changu pia sijui wanawazaga nini wakati mwingine...huyu mzee aliyekosa hekima kwanza basi tuendelee
@reginas1832
9 сағат бұрын
Jamaa alikuwa kwenye payroll.
Unasingizia magu hawex kujibu sasa
Pumbavuuuui😂😂😂
Ww hiyo ni njaa tu inakusumbua ungekuwa mtu wa maana ungebaki nashughuli zako tu unaenda kujiunga na watu ambao wanatuhujumu tena
Acha ujinga Wewe chama Kiko imala nakitakuwa imala natutakuimala uliye Potenza dila niwewe msigwa njaa zinakusumbua kwenda tuu acha kujibalaguza
Wewe sio kiongozi bora
Jamani naomba mnisaidie msigwa anatambulika mwanzoni kwa cheo Cha utumishi wa Mungu ni kweli aliwahi kumtumikia Mungu au aliwahi kukuwa mchungaji wa kondeni TU.Naomba kujua tu maana nilimwamini Sana.
msigwa umetufanyia vibaya sana,
Tuje nyumbani kwako na picha zako za uchafu wako tuonyeshe kwenye vyombo vya habari hata cku nne kabla ujajiunga ccm ulikuwa ipogoro na kimada chako vp tumwage na ss ugali
Hata Kingunge alihama Lowasa Sumaye Mwenyekiti Shinyanga ana haki
Umeuza haki yako kwa mlo (tumbo)
Je bado utaendelea kudai katiba mpya, pamoja na tume huru ya uchaguzi? 😅😅😅
@emmanuelernest3596
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@reginas1832
9 сағат бұрын
Subuti
kiukweli simpendi msigwa alivyofanya Bure kabisa
Nailiza tu kwa nia njema. Huyu huwa anajiita Mchungaji, ni Mchungaji wa ng'ombe au Mbuzi? 😂😂😂😂
@reginas1832
9 сағат бұрын
Mbuzi na ngombe
Aisee umetufundishs,pakubwa sana kwamba ww ni mnafiki unayeonesha ni kiasi gani viongozi wa kiafrika ni wachumia tumbo
Huyu hana msimamo wowote!
CCM msifurahi sana mawazo yenu sio ya Mungu huyo sio wenu Mungu atamrudisha alikotoka ana kazi nae huko
😂😂😂Ni aibu kwa nchi
Aisee nimegundua wanadamu wanabadlika kumbe asiyebadilika ni mungu pekee inasikitisha sana
Ahhaaaaaa kumbe jamaaa anapenda vyeo
Njaa mbaya sana.
Welcome msigwa kama naona mkutano utakavokuwa mzuri iringa
Inauma sana kama
Inauma sana basitu
Nakiomba chama chetu pendwa chadema tujipange Kila anapotoka Msigwa na sisi tunaenda kujibu hoja mpaka akae kimya
Chagadema ni umbea na uongo mtupu Sera hakuna Zaidi ya lawama ,malalamishi,ubinafsi,uchonganishi, ubaguzi na usenge 😢😢
Ccm Kuna watoto wao usichukue vyeo vyao. Hah hah hah! Ok
Duuuh Siasa hizi😂😂😂
>Mahojiano yanakuweka mahali pagumu sana Mch. Msigwa! >Uhuru ni jambo moja lkn CHADEMA kupoteza misingi ni jambo lingine kabisa wala hakusafishi misingi ya CCM uliyoipinga miaka yote. >Mshituko mkubwa wa wananchi wengi ni kielelezo tosha cha kukosa msimamo na kanuni! >Kujenga chama na nchi ktk muundo na mfumo uliopo, kabla ya kupatikana Katiba Mpya ni mtihani na kutarajia miujiza!
Mchungaji hawezi kuwa mnafiki na muongo , lakini kwasasa watu washakujuwa ni mnafiki na muongo ,,YAANI UNATWAMBIA YAKWAMBA YALE YOTE ULIYOKUWA UNAYASEMA DHIDI YA WAOVU CCM YALIKUWA NI UONGO NA UNAYOYASEMA SASA NI YA UKWELI?
Njoo iringa uongee na wezao CHADEMA sisi ccm hatukutaki
Chadema wote ni wasaliti musiwaamini hawa wanafiki wahuni walavi wa walaku wapenda vyeo
Apa hutosema chochote mmm umeyakanyaga bana
Kama mtu anahama hama chama Siyo mtu wa kuaminika sana tengenezeni wanachama wetu hawa ni watu Tamara tu hate ccm kuna prinspo
Ww msigwa ulisema ukienda ccm utapewa cheo na vitu vingi tu
msigwa atakuwa mwanachama wa kawaida kama wengine. yeye kama anatarajia atapata uongozi basi asahau maana hata ccm wapo watu wenye uwezo kuliko msigwa.
Huyu ni mnafiki na mtu dhaifu sana. Anajaribu kuficha upumbavu wake na madhaifu yake kwa kumsingizia Magufuli. Magufuli gani aliyemwahidi pesa? Anataka kutudanganya Samia hajamwahidi cheo? PUMBAVU KABISA😡😡😡
hili jamaa pumbavuu waheedi,, hata hajitambui anataka nini - mbabaishaji tu na njaa sana..
Chizi fresh
Tafadhali sanaa..Tuachie JPM.Alale kwa.usalama.Amefanya mambo makubwa Sana'a ktk nchi hii.huo.Uhuru mlionyimwa kwa.sababu mlikuwa mnamkwamishwa ktk kujenga nchi.kwa kuhama hujakosea.Hata Zito alihama.
@MathewNathan-yb2bz
2 күн бұрын
Mjinga mmoja ww
@shinipapaya846
2 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bzmjinga na choko nani bora? 🤣🤣🤣
@epifaniamilinga2848
Күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bz Naamini.ujumbe.umefika kisawasawa
Sema upumbavu yote .achana na jina la mzee wetu wew .bado tunae mioyon.Mag oyeeeee
Kanisa la huyu bwana liko wapi
Msenge tu ww
Huyu Mtangazaji ana sauti kma Tido Mhando ni yeye?
@kibwetere1418
2 күн бұрын
Sudi mnete
Msigwa Kuma tuu utatuambia nn wewe umejalia masilahi yako sio ya kukomboa nchi njaa tuu hiyo
We umeshatuzalilisha wanyalu pita kule huna jipy
kwanini iwe baada ya kushindwa uchaguzi
Kwani vipande vinaonyeshwa wazi wazi?
Mshenzi tuu, kumbe unanjaa hivyo
Hakuna sababu za msingi alizozieleza
Wewe una maana mchungaji kinyonga
Kuna jambo MUNGU anafanya utashangaa
Maswali ya mtangazaji yote yamekaa vizuri ila yamejibiwa kiubabaishaji kwani aliyeulizwa Hana jipya zaidi ya kua mpiga porojo km huko alikoenda. Watanzania umetuangusha mno lkn kubwa umejiangusha wewe mwenyewe na history itakuhukumu .
Ushahidi upo wa kuhonga watu aliotumia
Msigwa achana na chama cha wahuni chagadema 😢
Njaa uyòoo
MBONA CHADEMA NI WAHUNI SASA WACHA WAMTUMIE TUNDU AKIJA KUSHTUKA NDUKI
Hah hah hah! JE usipopata hiyo nafasi utafanyaje ndg yangu ? Ok
Hixho chama ukifikingazi ya juu ndo utajuwa kuwa kumbobcham cha mtu moj hivihivi siyo rais
Huna safariii wewe yeyote anae kimbiaa mapambano hua hanasafari anapotea kamaa linavopotea vumbii tu
Kumbe kweli uchungaji wako ni feki,biblia inasema ndiyo Yako iwe ndiyo na hapana iwe hapana,Sasa inakuwaje ndiyo Yako ni hapana? Sisi tunajua unachokikataa ndicho ukweli wenyewe
IRINGA TUNAMJUA MSIGWA TUU MWISHO WA KUNUKUU.
Wewe acha kudanganya watu umehongwa na kunyimwa uenyekiti wa kanda
Yaani ww ni umekwaza wengi
Kubadilika kama Kinyonga nibinu za Kujichimbia dhidi ya Adui zako, Chadema ni chama Wachaga zaidi, Ccm ni chama cha Watanzania wengi, Pia ndani ya Ccm kuna Uchaguzi na Taratibu za Usawa kwa wote, Chadema Mbowe ndiye Mmiliki wa Chama.
@user-bz3kk5te4m
2 күн бұрын
Wewe kabila gani
@MichaleMwakyambiki-pq4co
2 күн бұрын
NJAA MBAYA
Wanasemaga mbwa hawezi kula matapishi yake, ila leo ndo imekuwa ukweli. Yaani Mchungaji mzima na yale yote aliyosema kwa ccm leo hii anasema anaenda kukijenga chama?. Kwa hiyo chama kiendelee kuteka watu, kupoteza au na kuiba, n.k. 😂. Kwani huwezi kujenga nchi bila kuwa na chama?. Mbona watanzania wengi wanaijenga nchi na hawana hata chama. Hao wauza karanga kariakoo wanaolipa kodi TRA hawaijengi tanzania?. Au kwani Bakhresa ushawahi msikia anasema anasubiri mwenyekiti wa ccm amwambie nini afanye kujenga tanzania?. 😂.
Chama cratus 20
Hii ni mbwa Koko
Acha mbwembwe msigwa sema ukweli wako
Lakini uongo zambi jamaa kijani kimemtoa kinoma 🤣🤣🤣
Chagadema baki na Lissu chizi wenu hawana Sera yoyote
Yakawaida Sana
Acha ujinga kabisa msigwa sema unanjaa tuu Wewe usitufanya watt ukajinge nachi gani uicnjenge Wewe wanaojenga ichi nimashujaaa sokama wewe
kiukweli umekosa la kusema wewe mpenda vyeo
Njaa hizi
CCM NA CHADEMA NA ACT NA VYAMA VYOTE VILIVYO PATA USAJILI WA KUDUMU SIYO DINI ANA MAAMUZI YAKWENDA CHAMA CHOCHOTE ATAKACHO TAKA KWENDA HATA WALIO KUWA CHADEMA NA ACT NA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI WALIKUWA CCM WAKAHAMIA UPINZANI MSIGWA ANAUHURU KWENDA POPOTE ATAKAPO TAKA KWENDA
Watu wa ccm wana akili kubwa,
Bora umeondoka maana ungeng'ang'ania ingekula kwako
Bulasa musigwa😅😅😅🙌
Hajielewi huyu
Kiongozi Malaya malaya huyu, ni aibu kubwa. Msukuma alisha maliza kuwa unapewa pesa kama unabisha chongoa mdomo, kweli hukuchongoa mdomo wewe ni kibaka kama vibaka wengine.