JAMANI COMMENTS ZENU ZOTE NINAZISOMA KWAIO USIACHE KUKOMENT KWA KUHOFU KWAMBA SITOIONA COMMENT YAKO, ENDELE KUTOA COMMENT ILI NIZIFANYIE KAZI ASANTENI, NAWAPENDA MNO WATU WANGU MUNGU AWABARIKI
@user-he3nz6gt3d
2 күн бұрын
🇰🇪 Usijali tpo pamoja Hku kenya tunakukubali sana broo🇰🇪 We jembe brother.
@lucyodhiambo5554
2 күн бұрын
Tunakupenda 😂😂hata kuliko mabwana zetu endelea kuleta zingine utuchangamke hapa KZread 😂😂😂😂bwana yangu asisome hii comment sita lala nyumbani leo jamani 😂😂😂
@MERCYmercy-rl3lu
2 күн бұрын
Tunakupenda sana baba karobo ❤
@amarikakozi8452
2 күн бұрын
Nataka number yako brother
@ZiadaNiyinkuru
2 күн бұрын
❤❤❤❤ nakupend san munachez vizir
@alexandrodieumerci89552 күн бұрын
From Burundi 🇧🇮 mjue kuwa mnanibagua sana maana sijapewa hata like 10 , jameni
@SadaKigwangala
2 күн бұрын
Hapana jaman❤❤ karibu sana
@jonnyndixh9414
2 күн бұрын
@@SadaKigwangalahyo like unataka haijafika
@user-jy4nk5ge8z
2 күн бұрын
❤❤
@mpajibinaisa7238
2 күн бұрын
Oyaa ntakibhazo ilike ngizo ngaho tola
@HajiMwanz-to3vg
2 күн бұрын
Sisi kama wa tanzania atunaga ubaguz ndugu kama like utapata tuuu😂
@user-mv6vi1gv6f2 күн бұрын
Leo20 kutoka 🇧🇮🇧🇮 naomba like zangu🎉❤🎉
@herenherman8077
2 күн бұрын
Mambo zako❤
@user-mv6vi1gv6f
2 күн бұрын
@@herenherman8077 poa
@user-mv6vi1gv6f
19 сағат бұрын
@@herenherman8077Poa
@user-mv6vi1gv6f
14 сағат бұрын
@@herenherman8077fiti
@MashMashile2 күн бұрын
Baba Joan love your movie mw w maisha unanifundisha sana ...unafundisha maisha
@user-nu2jz8wx2k2 күн бұрын
Jamani Baba kalobo pole uyo mwanamke hakufai kabisa ila tunakuombea uweze kuludi kweny Hali yako ya kaswida ❤❤❤❤
@zarejapheth72472 күн бұрын
Aki msisimko wa mamake Karobo linaniingia hadi kwenye nyonga, huyo hatari sana, nasahau eti ni kuigiza tu namuona kama Shetani huyu, Karobo ana akili huyo mtoto anipagawisha, Mungu awajalie makubwa mema
@user-vo7yb6wp1m2 күн бұрын
Kazi safi Sana hongereni Baba karobo unatufunza Sana mambo mengi mungu ashidi kukuongezea kupita hapo ulipofika🎉🎉❤
@sandejacob6232 күн бұрын
naomba fashion atengeneze nyimbo ya baba yangu kipofu , itakuwa vizuri sana
@SmilingCaterpillar-yy3jc2 күн бұрын
Baba joan naomba nami nipatie scene Moja nawew from MWANZA. NAPENDA sana kazi zako
@perissigano2 күн бұрын
From Kenya 🇰🇪🇰🇪 likes zikuje❤❤❤
@IlhamShaban-vq3kx2 күн бұрын
Jamn waooooh❤🎉 mpewe mauwa yenu
@DamarisDammie2 күн бұрын
Dakika ya kumi huyu mama karobo angemwagiwa tu kwa mdomo ili afunge hiyo mdomo ako n kiherere xx watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@amosbarasa3516
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂 She's amazing I say, I like how she acts
@DamarisDammie
2 күн бұрын
@@amosbarasa3516 huyu n moto jameni 😂😂😂
@ashamwanganzi6400
2 күн бұрын
😂😂😂yaan kwel aki anakera kinyama wallah😂😂😂😂
@amosbarasa3516
2 күн бұрын
@@ashamwanganzi6400 but sio Kwa ubaya
@MiriamKiroko
Күн бұрын
Also in Kenya 🇰🇪
@etsareliza66872 күн бұрын
Yaani kila m2 niwakwaza anaomba like haya na wamwisho tutaomba nini. Baba kalobo hongera sana na ma.kalobo kacheza vzr 🎉🎉
@J742512 күн бұрын
Kutoka Kenya Hapa Niko nakufatilia mwanzo mwisho Kaka kazi nzuri Sana ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤
@constantinndayishimiyenshu49482 күн бұрын
Thank you baba Kalobo from Rwanda
@user-sk7un6ls2t2 күн бұрын
Sijawahi pata like me nawapa nyie tu na mm naomba 😢😢❤😂
@suleimankipyego51432 күн бұрын
Nipeni like jamani mimi mkenya nko Canada 🇨🇦
@tresorkinyeshe69652 күн бұрын
Kweli baba lobo nimusanii kaabisa anaombwa ku like vidéo zakwake na musahada ila number 13 siiyone sijuwe kama hipo de njo mwisho
@Phoebenafula2 күн бұрын
Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Naomba likes
@stevedavid11982 күн бұрын
From Nairobi Kenya 🇰🇪 hizo likes jamani
@user-fr4wf5sl2r2 күн бұрын
Jamani leo nim wahi hata ddakika haijaisha naomba like zangu from burundi
@user-nc3rr1vv5r2 күн бұрын
Wakwanza Leo nipeni likes zangu kutoka kenya
@KhadijakassimMwaipaya
2 күн бұрын
😂😂😂😂
@jemeswambua31742 күн бұрын
Dio wakwaza Leo kutoka 🇰🇪
@Mwinyh-lp1mo2 күн бұрын
1:38 tembere limengia mkojo 😁😁 tutakula 😂😂😂😂
@stivemgonja46572 күн бұрын
Mnahangaika na like lakin kulike za wengine aaah
@niyogushimadorine60862 күн бұрын
Nimechelewa nawapenda sana team kalobo tujuane. Fromm Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤️ 💖
@user-pq1ot2or9u2 күн бұрын
Part 13 I don't want to miss any part am sending love from Uganda 🇺🇬
@sikujuakigwada31462 күн бұрын
Wakwanza leo, likes zangu nataka
@chantalmariesony29962 күн бұрын
😂😂😂😂 baba kalobo ongera sana mukojo munakojowa Kwa ndoo😂😂😂 zujath muongo kwenye Glass 🍷
@HendriBunuas2 күн бұрын
Baba karobo anaweza 👍mimi kutoka MZ nigongeh like 20 tu
@Sakina-jl6fn2 күн бұрын
Nipitieni uku twendelee na safari
@RoseOdilo2 күн бұрын
Movie nzuri ila kuna hawa mke na mume wakujikojolea hawana maana yyte wala hakuna funzo tunalolipata kwao jmn ni kutuchukulia muda
@KelvinKalinga-rf4jt2 күн бұрын
😂😂😂😂 Hilo kojo amelinywa leo dadeki
@JacklineAlivitsa-cj5ir2 күн бұрын
nimefurahi leo.kutoka kenya nafatilia mno.like hata mbili mtaridhika
@ksaskaka2 күн бұрын
Kazi nzuri sana baba karobo ❤❤❤
@PriskusMarunda2 күн бұрын
Nimekuwa wakwanza naombeni like zangu
@user-martins2 күн бұрын
Siwezi kukosa kuwa pamoja nanyi kwa ali nnanikosha. Kutoka Moçambique. Naomba like zangu
@user-rk1uq3ht4z2 күн бұрын
Plz leteni episode ya 13 haraka plz kazi nzuri sana🎉🎉🎉
@zephbaraka2 күн бұрын
Mnipee like leo... Kazi safi nmekuwa nkiifuatilia Sana Kwa muda.......Kenya tunaipenda hii sana
@FlayLizzy2 күн бұрын
Baba kalobo anajuwa kuingiza kama kipofu natamani niwe kama yeye❤❤❤
@user-pu7fm5ik9c2 күн бұрын
Naombeni jamani muwe mnawahi kuzitoa ni nzuri sana tunazimisi sana mkichelewesha
@amosbarasa35162 күн бұрын
Us Kenyans 🇰🇪 we are proud following daily Bro, Kazi nzuri sana pongezi sana
@AliIbrahim-gg2sx2 күн бұрын
leo kdogo nimewahi likes zangu plz.
@AksantibiganikiroJoel2 күн бұрын
Napenda sana asante Joël form congo ❤❤❤
@VanessaSide
2 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@mvinyo992 күн бұрын
Hongera Kwa KAZI nzuriii baba Joan Waomb likes toen maonii KIPI kiongezeke au maoni mengne sio kuomba likes tu😊
@@JullianaEmmanuel-tm5xg alitakiwa awe mchungaji wa ukweli
@user-dz4pz3oz8f
18 сағат бұрын
@@nyukitvonlinemwendelezo wa ndoa ya kahaba
@RosaVicenteMulota2 күн бұрын
Mama karobo utakoma tu huo mwanzo tu😂
@user-qn3ul4ju4x2 күн бұрын
From Burundi Sas nao omba like munazipeleka wp jaman😂 bol mutoe maon ety like zangu daah! Ongelen Jaman next ep naigojea
@MCMussa-tl8kn2 күн бұрын
Wakwanz jaman naomb like hata 10 maan nimejitahid kusubir sana♥️♥️
@JoffiAlenga2 күн бұрын
😢😅😂😂😊 Jr has been in a rush with my family's and cool house in the morning 😁 I think I want you guys to sell the car and the car is my favorite color I think I want to sell it for you and I want you to be a good friend of mine too lol and
@JullianaEmmanuel-tm5xg2 күн бұрын
Ila ukiomba kwa Iman unapona, na sio kuamin mtu
@fredrickowino32 күн бұрын
Nawafuatilia sana kutoka huku kenye kazi nzuri sana ila munachelewa sana
@ishararamazani12 күн бұрын
Nitafurahi kwa mwisho baba karobo aone alaf aifanye siri ili aone mambo ya mama karobo nawaza ndjo itakuwa utamu wa hii kitu
@JAPONAISMBUTOBINSIKU2 күн бұрын
mama karobo kiboko nabado atatafuta waganga wakihenyeji ili amutafute kumuhuwa baba karobo. niko congo❤
@AsmaRamadhani-ok6iv2 күн бұрын
Nyuki hahhahahahahahahahhaah umenifurahisha san pia umetusabraiz wana baba joani
@user-dz4pz3oz8f
18 сағат бұрын
Tena so kitoto kaua balaa
@InnocentSeth-k1f2 күн бұрын
Vizuri kwa jinsi munavyo endelea kufanya kazi Ila huwa munachelewa
@lucykellymlenga-nm1br2 күн бұрын
Jamana nawaomba like hata moj TU jamn
@scompanyswahili30242 күн бұрын
Huyu mama karobo huyu mimi simpendi ila hii character kapatia hongera mama karobo
@fammamourchy21642 күн бұрын
Maombi weeeeeeh 😅😅😅😅😅😅😅 Utapeli mama Kalobo shauri yako Ubaya utakurudia Baba Kalibo tunasubiri ukweli 🎉
@hagayinkundimana2 күн бұрын
Muombaji Mukora sana Link kwangu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@iyumva-jonas2 күн бұрын
Unajua Baba Joan, hutwo tuneno twa kiha twa mchanganyiko, hua najihisi vizuri kwani unajua kinafanana na Kirundi chetu 🇧🇮. Yaani "ndisovyeko, bileke bigende ibindi biloza" na mengineyo. Ukiyapitishia hayo, unatuburudisha sana sisi warundi halafu pia na waha wenzetu. Hongera sana.
@SarahBimuloko2 күн бұрын
Najuliza kwa nini apo mwanzo ya iyi films peko watu wenye shepu néné nene
@philohmutua29682 күн бұрын
Team hamam nini nafwatilia baba karobo nikiwa tabuk. Nawewe❤❤❤
@user-pm8vd9ni9y2 күн бұрын
Nani kamuona mchngaji nyukii😂😂😂😂😂😂😂
@AnoriteMungusa2 күн бұрын
🔥🔥👍👌
@Fadhakir212 күн бұрын
Kazi za sisi waha sio za kitoto like moja kwanza ya baba karobo ❤Nisovyeko😂😂😂
@RukundoHamdan2 күн бұрын
Kitu kizuri sana wakwanza nipe lik
@elvinakalu69912 күн бұрын
Huyu nyuki kawa pastor lini,naye kazi yake nikuuma watu tu 😂😂
@glorymanga36502 күн бұрын
Nikimaliza kuangalia movie ndo nitakoment vzuri
@SilviaDirecto.2 күн бұрын
like mama karobo n tabia take mbaya
@nurafedrick378
2 күн бұрын
Tena yakunuka kama hiloo kojoo amemwagiwaa
@user-qo8uj1ym4m2 күн бұрын
Aminia bb karobo ila heee mama karobo tapeli apuliza huku akitafuna 😂nakufuatilieni mwanzo mwisho from yemenia❤hizi story zenye kuelimisha
@user-ec6ow2cx7c2 күн бұрын
Mchungaji kimekuramba after kufanyia neno la mungu mchezo mama'ke karobo unafanyisha mchungaji dhambi aky hadi akaibiwa kila kitu 😂😂😂baba Joan tuko pamba Kwa pamba tunaenjoy pia tunajifundisha🎉🎉🎉
@BonifasNikodem2 күн бұрын
Pole sana baba joan ninapenda sana movies zako kwasababu ninajifunza mambo mengi sana kwenye haya maisha kupitia movies zako
@kinanaissango34922 күн бұрын
Kuna wahusika hatuwaoni Kwa Sasa walikua WA moto tunaomba warudishwe kazi zijazo nice job
@user-dx6qd3ox2c2 күн бұрын
Hahahaaa mama karobo
@oswaldminja82412 күн бұрын
Movie nzuri sana wangempata kipara Cha umbea ingependeza zaidi maana mpaka Sasa hajatokea ata mmbea mmoja kumchunguza mama kalabo
@aishaomar2287
2 күн бұрын
Umewaza kwl😊
@aishaomar22872 күн бұрын
Baba karobo "ati siskii kitu" 😂😂😂....Mungu Atakuponya kwa imani yako ❤
@NeymanMaganga2 күн бұрын
nic
@LaurentNdyanabo2 күн бұрын
Jamani mama karobo
@user-hv8fg7uu2fКүн бұрын
Nabarikiwa na movie zenu zina maadili hata watu wazima na watoto wanaweza kuangalia❤️❤️ Baba karobo umeuaaaaaa
@minaelpaul92192 күн бұрын
Kwa maombi haya hata kama ni ya kinafiki mbn mungu atajibu
@danielgichuhi25042 күн бұрын
Inamafnzo jameni video zenu.
@TomFundi2 күн бұрын
Baba kalombo mkojo kwa matembele, zujat kwa glass 💐 chukua maua yako
@PeterMgani-v7c2 күн бұрын
Baba joan unajitahidi ~sana kaza buti yan utafikiri mov za. Kinaijeria safi sana nimeipenda
@PatriciaMshanga8 сағат бұрын
Jamn baba Joan penda wew sana movie tamu sana Big up brother
@AsebaleylaDavid2 күн бұрын
🎉🎉🎉
@user-xu6on2nt6l2 күн бұрын
Kuna kinyambizi na kikojozi😅😅😅😢
@rosemarenga832
2 күн бұрын
Umesahau pastor wa mchongoooo😂😂😂😂
@user-xu6on2nt6l
2 күн бұрын
@@rosemarenga832 weeuuhh 😅🤦 hawa watanzania wataniuwa bana
@rosemarenga832
2 күн бұрын
@@user-xu6on2nt6l hahaha 😂🤣🤣 bado ujathema ad utheme
@user-xu6on2nt6l
2 күн бұрын
@@rosemarenga832 toka hapa nmesusus venye ulikuwa unataka🤣🤣🤣🤣🤣
@rosemarenga832
2 күн бұрын
@@user-xu6on2nt6l Sis ndio watanzania🤗
@SarahBimuloko2 күн бұрын
Muchungaji napona,leo leo ,muje kanisani na wewe uko michungaji wa muchongo kanisa unalitowa Wapi ?
@IssaAbdillah2 күн бұрын
From kenya 🎉hapa nomaa sna Kwa mkojo 😂😂😂,,,
@rasoamaelo87592 күн бұрын
First to comment
@sadcome3213mapenzi2 күн бұрын
Wakwanza ❤ Leo jamani like zangu hapa
@mgityanyahurya83752 күн бұрын
Baba John uko vizuri lakini uwe unawaisha jamani tuna mis sana
@suleimankipyego51432 күн бұрын
😢😢😢😢😢jamani mbona hii sinema mnamalixia na utamu I'm waiting next season 13
@ChingaKenboy-fz8yr2 күн бұрын
Twende nalo leo🎉🎉baba yangu kipofu
@Daniel-jb9ql2 күн бұрын
Kenya tuko... Tumetulia tu...
@HajiMwanz-to3vg2 күн бұрын
Mm natoka kagera muleba bugarama naomba liike nijione kama mwanafamiriya ya baba joan
@Everayubu2 күн бұрын
Mm jaman ujue sielew kile kipengelee cha yule mbaba na mke wake wanajikojolea cjui kinamaanaa ganii kweny hii moveee mmeniachaa
Пікірлер: 920
JAMANI COMMENTS ZENU ZOTE NINAZISOMA KWAIO USIACHE KUKOMENT KWA KUHOFU KWAMBA SITOIONA COMMENT YAKO, ENDELE KUTOA COMMENT ILI NIZIFANYIE KAZI ASANTENI, NAWAPENDA MNO WATU WANGU MUNGU AWABARIKI
@user-he3nz6gt3d
2 күн бұрын
🇰🇪 Usijali tpo pamoja Hku kenya tunakukubali sana broo🇰🇪 We jembe brother.
@lucyodhiambo5554
2 күн бұрын
Tunakupenda 😂😂hata kuliko mabwana zetu endelea kuleta zingine utuchangamke hapa KZread 😂😂😂😂bwana yangu asisome hii comment sita lala nyumbani leo jamani 😂😂😂
@MERCYmercy-rl3lu
2 күн бұрын
Tunakupenda sana baba karobo ❤
@amarikakozi8452
2 күн бұрын
Nataka number yako brother
@ZiadaNiyinkuru
2 күн бұрын
❤❤❤❤ nakupend san munachez vizir
From Burundi 🇧🇮 mjue kuwa mnanibagua sana maana sijapewa hata like 10 , jameni
@SadaKigwangala
2 күн бұрын
Hapana jaman❤❤ karibu sana
@jonnyndixh9414
2 күн бұрын
@@SadaKigwangalahyo like unataka haijafika
@user-jy4nk5ge8z
2 күн бұрын
❤❤
@mpajibinaisa7238
2 күн бұрын
Oyaa ntakibhazo ilike ngizo ngaho tola
@HajiMwanz-to3vg
2 күн бұрын
Sisi kama wa tanzania atunaga ubaguz ndugu kama like utapata tuuu😂
Leo20 kutoka 🇧🇮🇧🇮 naomba like zangu🎉❤🎉
@herenherman8077
2 күн бұрын
Mambo zako❤
@user-mv6vi1gv6f
2 күн бұрын
@@herenherman8077 poa
@user-mv6vi1gv6f
19 сағат бұрын
@@herenherman8077Poa
@user-mv6vi1gv6f
14 сағат бұрын
@@herenherman8077fiti
Baba Joan love your movie mw w maisha unanifundisha sana ...unafundisha maisha
Jamani Baba kalobo pole uyo mwanamke hakufai kabisa ila tunakuombea uweze kuludi kweny Hali yako ya kaswida ❤❤❤❤
Aki msisimko wa mamake Karobo linaniingia hadi kwenye nyonga, huyo hatari sana, nasahau eti ni kuigiza tu namuona kama Shetani huyu, Karobo ana akili huyo mtoto anipagawisha, Mungu awajalie makubwa mema
Kazi safi Sana hongereni Baba karobo unatufunza Sana mambo mengi mungu ashidi kukuongezea kupita hapo ulipofika🎉🎉❤
naomba fashion atengeneze nyimbo ya baba yangu kipofu , itakuwa vizuri sana
Baba joan naomba nami nipatie scene Moja nawew from MWANZA. NAPENDA sana kazi zako
From Kenya 🇰🇪🇰🇪 likes zikuje❤❤❤
Jamn waooooh❤🎉 mpewe mauwa yenu
Dakika ya kumi huyu mama karobo angemwagiwa tu kwa mdomo ili afunge hiyo mdomo ako n kiherere xx watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@amosbarasa3516
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂 She's amazing I say, I like how she acts
@DamarisDammie
2 күн бұрын
@@amosbarasa3516 huyu n moto jameni 😂😂😂
@ashamwanganzi6400
2 күн бұрын
😂😂😂yaan kwel aki anakera kinyama wallah😂😂😂😂
@amosbarasa3516
2 күн бұрын
@@ashamwanganzi6400 but sio Kwa ubaya
@MiriamKiroko
Күн бұрын
Also in Kenya 🇰🇪
Yaani kila m2 niwakwaza anaomba like haya na wamwisho tutaomba nini. Baba kalobo hongera sana na ma.kalobo kacheza vzr 🎉🎉
Kutoka Kenya Hapa Niko nakufatilia mwanzo mwisho Kaka kazi nzuri Sana ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤
Thank you baba Kalobo from Rwanda
Sijawahi pata like me nawapa nyie tu na mm naomba 😢😢❤😂
Nipeni like jamani mimi mkenya nko Canada 🇨🇦
Kweli baba lobo nimusanii kaabisa anaombwa ku like vidéo zakwake na musahada ila number 13 siiyone sijuwe kama hipo de njo mwisho
Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Naomba likes
From Nairobi Kenya 🇰🇪 hizo likes jamani
Jamani leo nim wahi hata ddakika haijaisha naomba like zangu from burundi
Wakwanza Leo nipeni likes zangu kutoka kenya
@KhadijakassimMwaipaya
2 күн бұрын
😂😂😂😂
Dio wakwaza Leo kutoka 🇰🇪
1:38 tembere limengia mkojo 😁😁 tutakula 😂😂😂😂
Mnahangaika na like lakin kulike za wengine aaah
Nimechelewa nawapenda sana team kalobo tujuane. Fromm Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤️ 💖
Part 13 I don't want to miss any part am sending love from Uganda 🇺🇬
Wakwanza leo, likes zangu nataka
😂😂😂😂 baba kalobo ongera sana mukojo munakojowa Kwa ndoo😂😂😂 zujath muongo kwenye Glass 🍷
Baba karobo anaweza 👍mimi kutoka MZ nigongeh like 20 tu
Nipitieni uku twendelee na safari
Movie nzuri ila kuna hawa mke na mume wakujikojolea hawana maana yyte wala hakuna funzo tunalolipata kwao jmn ni kutuchukulia muda
😂😂😂😂 Hilo kojo amelinywa leo dadeki
nimefurahi leo.kutoka kenya nafatilia mno.like hata mbili mtaridhika
Kazi nzuri sana baba karobo ❤❤❤
Nimekuwa wakwanza naombeni like zangu
Siwezi kukosa kuwa pamoja nanyi kwa ali nnanikosha. Kutoka Moçambique. Naomba like zangu
Plz leteni episode ya 13 haraka plz kazi nzuri sana🎉🎉🎉
Mnipee like leo... Kazi safi nmekuwa nkiifuatilia Sana Kwa muda.......Kenya tunaipenda hii sana
Baba kalobo anajuwa kuingiza kama kipofu natamani niwe kama yeye❤❤❤
Naombeni jamani muwe mnawahi kuzitoa ni nzuri sana tunazimisi sana mkichelewesha
Us Kenyans 🇰🇪 we are proud following daily Bro, Kazi nzuri sana pongezi sana
leo kdogo nimewahi likes zangu plz.
Napenda sana asante Joël form congo ❤❤❤
@VanessaSide
2 күн бұрын
❤❤❤❤❤
Hongera Kwa KAZI nzuriii baba Joan Waomb likes toen maonii KIPI kiongezeke au maoni mengne sio kuomba likes tu😊
From Kenya naombeni likes
kazi nziri form kenya
Leo Wakwanza mimi
Nyuki yaan ww utafka mbingun umechoka sana, lkn hongera
@abedsaidy7263
2 күн бұрын
😂😂
@nyukitvonline
2 күн бұрын
😂😂😂 Asante
@minaelpaul9219
2 күн бұрын
@@JullianaEmmanuel-tm5xg alitakiwa awe mchungaji wa ukweli
@user-dz4pz3oz8f
18 сағат бұрын
@@nyukitvonlinemwendelezo wa ndoa ya kahaba
Mama karobo utakoma tu huo mwanzo tu😂
From Burundi Sas nao omba like munazipeleka wp jaman😂 bol mutoe maon ety like zangu daah! Ongelen Jaman next ep naigojea
Wakwanz jaman naomb like hata 10 maan nimejitahid kusubir sana♥️♥️
😢😅😂😂😊 Jr has been in a rush with my family's and cool house in the morning 😁 I think I want you guys to sell the car and the car is my favorite color I think I want to sell it for you and I want you to be a good friend of mine too lol and
Ila ukiomba kwa Iman unapona, na sio kuamin mtu
Nawafuatilia sana kutoka huku kenye kazi nzuri sana ila munachelewa sana
Nitafurahi kwa mwisho baba karobo aone alaf aifanye siri ili aone mambo ya mama karobo nawaza ndjo itakuwa utamu wa hii kitu
mama karobo kiboko nabado atatafuta waganga wakihenyeji ili amutafute kumuhuwa baba karobo. niko congo❤
Nyuki hahhahahahahahahahhaah umenifurahisha san pia umetusabraiz wana baba joani
@user-dz4pz3oz8f
18 сағат бұрын
Tena so kitoto kaua balaa
Vizuri kwa jinsi munavyo endelea kufanya kazi Ila huwa munachelewa
Jamana nawaomba like hata moj TU jamn
Huyu mama karobo huyu mimi simpendi ila hii character kapatia hongera mama karobo
Maombi weeeeeeh 😅😅😅😅😅😅😅 Utapeli mama Kalobo shauri yako Ubaya utakurudia Baba Kalibo tunasubiri ukweli 🎉
Muombaji Mukora sana Link kwangu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Unajua Baba Joan, hutwo tuneno twa kiha twa mchanganyiko, hua najihisi vizuri kwani unajua kinafanana na Kirundi chetu 🇧🇮. Yaani "ndisovyeko, bileke bigende ibindi biloza" na mengineyo. Ukiyapitishia hayo, unatuburudisha sana sisi warundi halafu pia na waha wenzetu. Hongera sana.
Najuliza kwa nini apo mwanzo ya iyi films peko watu wenye shepu néné nene
Team hamam nini nafwatilia baba karobo nikiwa tabuk. Nawewe❤❤❤
Nani kamuona mchngaji nyukii😂😂😂😂😂😂😂
🔥🔥👍👌
Kazi za sisi waha sio za kitoto like moja kwanza ya baba karobo ❤Nisovyeko😂😂😂
Kitu kizuri sana wakwanza nipe lik
Huyu nyuki kawa pastor lini,naye kazi yake nikuuma watu tu 😂😂
Nikimaliza kuangalia movie ndo nitakoment vzuri
like mama karobo n tabia take mbaya
@nurafedrick378
2 күн бұрын
Tena yakunuka kama hiloo kojoo amemwagiwaa
Aminia bb karobo ila heee mama karobo tapeli apuliza huku akitafuna 😂nakufuatilieni mwanzo mwisho from yemenia❤hizi story zenye kuelimisha
Mchungaji kimekuramba after kufanyia neno la mungu mchezo mama'ke karobo unafanyisha mchungaji dhambi aky hadi akaibiwa kila kitu 😂😂😂baba Joan tuko pamba Kwa pamba tunaenjoy pia tunajifundisha🎉🎉🎉
Pole sana baba joan ninapenda sana movies zako kwasababu ninajifunza mambo mengi sana kwenye haya maisha kupitia movies zako
Kuna wahusika hatuwaoni Kwa Sasa walikua WA moto tunaomba warudishwe kazi zijazo nice job
Hahahaaa mama karobo
Movie nzuri sana wangempata kipara Cha umbea ingependeza zaidi maana mpaka Sasa hajatokea ata mmbea mmoja kumchunguza mama kalabo
@aishaomar2287
2 күн бұрын
Umewaza kwl😊
Baba karobo "ati siskii kitu" 😂😂😂....Mungu Atakuponya kwa imani yako ❤
nic
Jamani mama karobo
Nabarikiwa na movie zenu zina maadili hata watu wazima na watoto wanaweza kuangalia❤️❤️ Baba karobo umeuaaaaaa
Kwa maombi haya hata kama ni ya kinafiki mbn mungu atajibu
Inamafnzo jameni video zenu.
Baba kalombo mkojo kwa matembele, zujat kwa glass 💐 chukua maua yako
Baba joan unajitahidi ~sana kaza buti yan utafikiri mov za. Kinaijeria safi sana nimeipenda
Jamn baba Joan penda wew sana movie tamu sana Big up brother
🎉🎉🎉
Kuna kinyambizi na kikojozi😅😅😅😢
@rosemarenga832
2 күн бұрын
Umesahau pastor wa mchongoooo😂😂😂😂
@user-xu6on2nt6l
2 күн бұрын
@@rosemarenga832 weeuuhh 😅🤦 hawa watanzania wataniuwa bana
@rosemarenga832
2 күн бұрын
@@user-xu6on2nt6l hahaha 😂🤣🤣 bado ujathema ad utheme
@user-xu6on2nt6l
2 күн бұрын
@@rosemarenga832 toka hapa nmesusus venye ulikuwa unataka🤣🤣🤣🤣🤣
@rosemarenga832
2 күн бұрын
@@user-xu6on2nt6l Sis ndio watanzania🤗
Muchungaji napona,leo leo ,muje kanisani na wewe uko michungaji wa muchongo kanisa unalitowa Wapi ?
From kenya 🎉hapa nomaa sna Kwa mkojo 😂😂😂,,,
First to comment
Wakwanza ❤ Leo jamani like zangu hapa
Baba John uko vizuri lakini uwe unawaisha jamani tuna mis sana
😢😢😢😢😢jamani mbona hii sinema mnamalixia na utamu I'm waiting next season 13
Twende nalo leo🎉🎉baba yangu kipofu
Kenya tuko... Tumetulia tu...
Mm natoka kagera muleba bugarama naomba liike nijione kama mwanafamiriya ya baba joan
Mm jaman ujue sielew kile kipengelee cha yule mbaba na mke wake wanajikojolea cjui kinamaanaa ganii kweny hii moveee mmeniachaa