Aliekuwa mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akizungumza na waandishi wa habari na kumwaga tuhuma kuhusu kuhujumiwa kwenye uchaguzi wa ndani ya chama
Жүктеу.....
Пікірлер: 121
@user-co4li6bn6m29 күн бұрын
Mchungaji umepamba sana na bado kazi inaendelea.mchungaji yapotezee hayo hata wenzetu ccm yapo hivi ndiyo Afrika.
@PeterIchobe
2 күн бұрын
7😢 65th😅 7:46
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
WAHUNI HAWA HAWAWEZI PEWA HII NCHI WOTE WAKO KWA MASLAHI YAO NA UBAGUZI WAO 😮😮😮😮😮
@whatisthetruth.8793
29 күн бұрын
Kama samia na ccm yake
@OmmyJames-xn7ji
29 күн бұрын
@@whatisthetruth.8793 kama CHADEMA na UDINI WAO🤧🤧🤧🤧🤧
@fanuelkitembe740422 сағат бұрын
Vipi umehama na mabinti zako
@user-lt1bi5nr1x3 күн бұрын
Msigwa kwaiyo Umehamia peponi
@brightontibenda23464 күн бұрын
Mchungaji Musigwa naomba nikushauri. Rudi kanisani ukamtumikie Mungu wa mbinguni achana na mambo ya kisiasa. Viongozi mnaonyesha kuwa na maslahi binafsi Wala sio kutafuta haki za raia. Rudi kanisani.
@uredmwasembo857929 күн бұрын
Leo Nimeona unaitwa mchungaji ila kumbe unatamaa ya madalaka kias ivo hamna lolote njaa tu ayo maneno yako kwanini usiite viongozi wako mkayaongea ndani na yakaisha namashaka na uchungaji wako😂
@mtimti3912Ай бұрын
Wewe ni mchungaji kumbuka ata Yesu alikubali kufa ili maandiko yatimizwe hivyo kwenye siasa ni zaidi sana kwa mfano wa neno la Mungu
@PrinceMgambwaАй бұрын
Huyu naee sijui katokea wapi nahisi ni mpumbaaaavu
@AdiaMwinyiАй бұрын
Uyo anataka kwenda ccm kwa mda mwingi iyo sio sababu amehaidiwa pesa na njaa inamsumbua ndio tatzo la viongoz wenye tamaa za kupitiliza
@SaidAlly-uh4qwАй бұрын
Ushauri wangu wa bure kwa my msigwa achana na hao wahuni wasiojua demokrasia njoo ccm ktk demokrasia ya kweli
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
29 күн бұрын
Wee ni hewa sana CCM inafanya Kila kuitwapo Leo watanzania wanakua masikini ila safar Kila kuchapo tena mungu anawaona
@fanuelkitembe740422 сағат бұрын
Alisema kweli yule mchekeshaji
@zat6311Ай бұрын
Kumbe anadhani jaziba zake zimekomeshwa hivyo, huyo ni mtafuta madaraka asiye na uvumilivu ! Kuita press conference kwa Hilo ni sawa na kutoa Siri ya ndani ya nyumba yako # Anajiumbua na chama chale !
@MOREDI20242 күн бұрын
Bora CCM
@malaryhillary307527 күн бұрын
Msigwa nadhani hapa unachafua chama chako na hauko sahihi. Maana umma unasikiliza upande mmoja . Hauko sahihi hapa unafanya kazi ya uchawa wa ccm kuichafua chadema
@AliSalim-yu4moАй бұрын
Kuanzia sasa nakutangaza rasmi kuwa wewe ni mshindi!
@bonifacemkanga6302Күн бұрын
Ungekuwa umeandika ungeelewekasana ila unapuyanga maana huna kidesa
@EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын
Umetia aibu tu kila mpiga kula wako anakushangaa miaka 7 huna ofisi jitafakir
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын
Msigwa uliingia chadema uliahidiwa cheo cha umwenyekiti wa nyasa. Wewe nenda ccm watakupa uwenyekit wa nyasa
@kibundapesamadimba6352Ай бұрын
Tayariiiiiiiiiii speeech ni uchaguzi wa chadema lakini CCM imetajwa mara nyingi mnooooo
@petsmore995528 күн бұрын
Malalamiko hayo ni mazito kama yana ukweli. Basi yafanyiwe kazi ilihaki itendeke. Uchaguzi urudiwe!!!!
@user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын
MSIGWA JSMANI NAOMBA NAMBA ZA MBOWE
@victoriambonde8061Ай бұрын
msigwa wewe unaujumu chama unakula pesa za ccm watu wamekugundua
@PelesMlawa3 күн бұрын
Mh ko unataka uwe mwenyekiti miaka yote jani duu
@japhetringo76884 күн бұрын
Njaaaaaaaaaa sanaa wewe kwani umevumilia manqapi bana umeahidiwa uwaziri
@user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын
WANANCHI CHAMA TUNAKIPENDA CHADEMA
@sifamushi1747Ай бұрын
Shida nini ... Je ungeshida ungeongea ayoo?..
@GallusGustav29 күн бұрын
Hiyo ni laana kutoka kwa Mama yetu Samia Suluhu.NA BADO. MAMA PIGA KAZI KAMA KAWA.
@zachariamalley707629 күн бұрын
Moyo mzuri= nia nzuri=akili nzuri. Moyo mbaya=nia ovu= akili mbovu. Mungu anaona yaliyo mioyoni mwetu, hata zuia nia ovu inakupa kuwa na akili mbovu kutenda maovu. Mungu ametujalia mioyo, akili na nguvu zetu kuzitumia kumtumikia kwa kutenda kwa haki kwa watu wake. Wasiotenda haki humbuka muda umefika kwa CDM kuomba radhi CCM kama toba kwa maovu ya kusingizia. Maji na mafuta hujitenga muda umefika wa kijua kipi ni kipi.
@josephlugala318229 күн бұрын
Utaamini hata akina halima mdee waliruhusiwa na viongozi wa chadema kwenda bungeni Leo wanajifanye hawawajui chefuuuuuu
@sifamushi1747Ай бұрын
Some of us we see GREED here.. ULAFI WA MADARAKA.. MIAKA 7 , BADO unatoa Povu.. Sasa here say on ur Chairs,, unconfirmed kwenye vyombo vya abar.. such a joke..
@muddyausi8470Ай бұрын
Sasa si ungesema siku ile ile huo ni ujinga tu Tz Hakuna upinzani ni wapenda madarka na ubinfsi tu wanamch tuachane na wanasiasa me nishasema sipigi tena hata kula ccm tuhjlumieni tu mUK ngaliane musiihalibu tu inch yetu hakuna chama kwa sasa chakuwatoa madarakani mpk Mungu atapotaka yeye wakt utaamua
@johntendwa7856Ай бұрын
kakaa, ulishakuwa mjumbe wa kamati kuu na wewe ni kama twiga, iweje ushuke na kula majani ya chini kama swala?
@chamlilemhando7478Күн бұрын
Dont trust the politicians
@renamalima555823 күн бұрын
Siasa ndivyo vilivyo... Msigwa anaijua hyo
@richarddabryin9126Ай бұрын
Msigwa kalewa
@pinucykaberege28 күн бұрын
Ubinafsi, umimi,ni asili ya ibilisi ridhika mchungaji unatuchanganya waumini
@user-cj8yz4gk4u18 күн бұрын
Mchungaji kataja team yake ,sasa wengine wasioate team,au naye alitaja abilities nafasi. Mwanasiasa unayejiamini acha iende iko siku nyingine haki yako itakurudia.Cheo nni dhamana tu
Hawa hawajachukua madaraka wanaleteana vurugu wenyewe vipi wakiwa wamechukua dola itakuwaje. Mkataa pema pabaya panamuita. Acha twende na hii ccm tu.
@user-cj8yz4gk4u18 күн бұрын
Mimi namshangaa mchungaji eti kuwa hajui au haelewi kuwa haki hajawahi kusimamiwa ndani ya CHADEMA ,tunaijua chadema miaka 10+.Watu wanamiliki nafasi n hata kutengeneza vurugu dhidi ya wenzao.Katiba ya Chama inakataza kudai haki ktk vyombo vya haki,kwa adhabu ya kufukuzwa Chama. 16:14
@emanuelurio-ok8yl2 күн бұрын
Nimekupata sana lkn bad haikuwa sababu ya Muhammad ccm.. ungejiuzulu uanachama tu
@user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын
MSIGWA MIMI NIPO CHADEMA KWA KUFUATA USHAWISHI WAKO UTAKAPO KWENDA NAMI NIPO
@johntendwa7856Ай бұрын
aaaaah, mkuu hapa hutaeleweka, au kuna lingine nyuma ya pazia?
@CretusMwalongo4 күн бұрын
Unavyosema nisawa lakini hujasimamia msimamo wako
@EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын
Unakijalibu chama ww huna lolote hata ubaroz upewi bora arud jeska
@dennisungonella205Ай бұрын
Msigwa alipaswa kuonyesha ukomavu zaidi ...hayo malalamiko kwa nn asipeleke malalamiko chamani? Hatari
@MrKhatibu
Ай бұрын
Huwezi juwa kama ameyafikisha au laa
@whatisthetruth.8793
29 күн бұрын
Kani hicho sio chama cha democracy 😂😂😂
@RomanusRimbaАй бұрын
Yawezekana kinacholalamikiwa kina UKWELI ama laaa!! Ila katiba YETU imasemaje juu !! Ya malalako ama migogolo inayojitokeza ndani ya chama yawezekana ni KWELI ila ungebakia na hiyo HOJA ya kukata rufaa naamini ww umewahikuwa mjumbe wa kamati kuu ungelinda hicho unachosema ni aibu ya chama!!
@sifamushi1747Ай бұрын
KARIBU CCM. ila utanza na kufagia fagia. You gotta earn position . Sio kwa povu..
@SaidZavallah27 күн бұрын
Mpka wenyewe mnaibiana kura uko hahahaba daaah siasa mm sitaki kabisa mmmmh mwanasiasa siyo mtu wa kumuamin
@davidsilwamba246527 күн бұрын
Mbona wewe mwenyewe kwenye chaguzi zamajimbo namikoa hukutenda haki,kwakuwaondoa makatibu wamajimbo namikoa ambao walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo dhambi zako zimekutafuna,naulikuwa mtoa rushwa nguli hata kwenye chaguzi za majimbo namikoa ili kuwapitisha walio kuwa wanakuunga mkono,tulia hiyo nidozi nzuri sana kwako ili ujifunze nasiku nyingine tena
@josephlugala318229 күн бұрын
Kimeumanaa
@kwandiwageorge2826Ай бұрын
Kwani lazima uongoze wewe so unalalamika nini boya
@ProductionWinderBulyanhulu25 күн бұрын
Sass wenyewe kwa wenyewe mnahujumiana hivi, kuna dalili ya kutoboa kweli mbele ya CCM?😢
@bonifacemkanga6302Ай бұрын
Chadema pia mnamaelekezo kumbe kutoka juu
@whatisthetruth.8793
29 күн бұрын
Kama polisi wa ccm na samia 😂😂😂
@user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын
CHADEMA SISI WANANCHI TUNA WATEGEMEA NINYI NDIO CHAMA PEKEE TUNACHO SUBILI KUKIPIGIA KURA KTK NGAZI ZOTE KUNA NINI SASA IVO MUHESHIMIWA MBOWE LISSU DBU MSIKILIZENI MSIGWA MALIZENI TATIZO ILO MWENYE HAKI KM MSIGWA APEWE NAKM SUGU APEWE ILA MSIPENDELEE UPANDE WOWOTE
@henrykabogo4247
28 күн бұрын
Pole Bwana Msigwa,lakini lisaidie Taifa hili kujua ukweli wa moyoni kutoka kwako 1. Kwa Nini uliamua kukubali kushiriki uchaguzi ambao tayari ulionesha kutoendeshwa kihalali? 2.Matokeo ya uchaguzi yangekupa ushindi ungeyakataa kwa kuwa kulikuwa na figisu toka mwanzo? 3.Malalamiko Yako yanatokana na kukiukwa kwa taratibu za uchaguzi na katiba ama kushindwa kura?
@EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын
Acha kelele huna hoja umeshindwa kujenga ofic miaka 10 wana nchi wamekuamin au unaamin ulijipeleka bungeni mwenyewe umekosa hoja
@fadhilimsafiri216Ай бұрын
Hii kauli ni ya kwenda CCM. Kwa kauli hizi CDM watakuelewa? Unakiu chama wazi wazi! Unakipenda chama wewe?
@MrPongweАй бұрын
Khaaaaaaaaa kama nawaone kwa mbaaaali vile
@IsaacLobsonАй бұрын
Mimi sijapenda kabisa wewe kulalamika
@nyembobea7285
Ай бұрын
Kulalamika ndo asili ya wapinzani ila ni haki yake Kulalamika
@drkalokola586129 күн бұрын
Mbona anatetea mashudhushu?
@fidelmbai3642Ай бұрын
😅😅😅😂😂 qmamake chaguzi zenu za ndani wenyewe mnalalamika😂😂😂😂 Mama SAMIA NJIA NYEUPEEEE 2025... Serikali za mitaa ndiyo msiseme😂😂😂😂
@GallusGustav29 күн бұрын
Huu ni uroho wa kanda tu. Halima Mdee Leo wametuhakikishia ulionewa. Nenda kwa mama Samia kwani unaupiga mwingi bungeni, usipoteze maelekezo ya Mungu kuwatumikia watanzania kisa chadema
@ShaabanMfalme28 күн бұрын
Ninyi chadema mko kwa masirahi binafsi kwa kifupi viongozi wa chadema mna uchu wa madaraka ndiyo maana mnaitwa watoa taarifa na si wapinzani
@AngerusLijuja-bg6sb29 күн бұрын
Uliingia namatokeo iyo imeisha
@drkalokola586129 күн бұрын
Uongozi ni kupokezana mjiti
@gmknews792927 күн бұрын
Kiukweli mmi sionag uwezo wa sugu kulinganisha na hyu mwamba
@davidsilwamba246527 күн бұрын
Kijiti nikupokezana sasa wewe unalialia nini,au nikweli walivyo sema kua wewe umepewa hela zamama abduli ili ushinde uendelee kukivuruga chama kama vyenye ulifaulu kutengeneza migogoro kwenye chama chetu kila kona yakanda,wewe mwenyewe uli diliki kuwatoa makatibu wamajimbo walio shinda kihalali ukaleta watu ambao hawakushinda kwasababu walio shinda walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo tulia ikuingie vizuri.
@drkalokola586129 күн бұрын
Personality ni Mila ya ufalme. Unataka chadema iendeshee kifalme?
@mlekwa29 күн бұрын
Wajumbe sio watu wazuri
@saidalhinai11314 күн бұрын
Chadema ni ya wachaga hao wabaguzi
@user-wl8ns6hh8l
4 күн бұрын
Wacha ujiga ww lisu ni mchaga heche
@exseviangaeje1158Ай бұрын
Mch unajiondolea heshima WATU awakuelewi una ndimi mbili una nini kilichojiri cha?
@user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын
NAOMBENI NAMBA ZA MBOWE
@abrahamrubeni5905Ай бұрын
Kumbe ulikuwa na idadi ya wanakuunga
@Aminmwansile-we8vn29 күн бұрын
Mzee msigwa umeshindwa kubari yaishe ww ulishindwa hata kabla ya uchaguzi wenyewe. Mbona hata kwenye mdahalo sugu alikushinda? Wewe umeshindwa kiharali mzee acha tabia za kukigawa chama
@saidomary879629 күн бұрын
Siuhame
@edwinmbelle420729 күн бұрын
Asiyekubali kushindwa sio mshindani mtumishi !😅😅😅
@mwombekiflorian5203Ай бұрын
Mchungaji Peter msigwa unalalamikia kutoshinda kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kanda mpaka unaita press conference na waandishi wa habari kweli .Nafikiri hili ni jambo linalotakiwa limalizwe ndani ya chama lkn kama unavyofanya sasa .Naona kama vile unataka kuvuruga chama as if umepewa kitu kidogo .Vilevile usiwe mroho wa madaraka kwani muda uliiongoza kanda ni mchache ? Mchungaji rizika na kuwa na kiasi kwa kile ulichopata .
@MalandoJames29 күн бұрын
Nimegundua kawaida ya hiki chama in kulalamika. Ccm ikishinda wanasema wameibiwa kura. Sasa huu uchaguzi wao wameibiana kura? Wanaodai katiba na time huru ni hawa? Kama ndo hivyo waanze kwanza kurekebisha katiba yao. Kumbe hata katiba yao ni mbovu.
@tanzcanmediatv4473Ай бұрын
Sasa ndiovwataongoza nchi hawa
@mbwanahasan2971Ай бұрын
Anaenda CCM huyoo
@drkalokola586129 күн бұрын
Ulijuaje kama nakatibu wote wangekypigua wewe? Kumbe ndani ya chadema uchaguzi sio wa Siri?
@twahaanyoni9120Ай бұрын
Msingwa wacha kulalama ungeliangalia masilai yako kwa jicho la tatu Enzi za mjomba magu wala usingekuja shupaza mishipa ya shingo hapa umasikini unautaka mwenyewe buana tuachie kelele uko
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын
Huo ni uchafu msigwa ni mchafu wala hakuna kupitia lufaa yakoo
@gideon5464 күн бұрын
🇹🇿 MCHUNGAJI Peter MSIGWA, Ukishindwa kwa UCHAGUZI si utoroke CHAMA ni Kuangalia kwaninj ULISHIDWA.⁉️❓🤫 👉SOMETHING IS WRONG WITH YOU NOT WITH CHADEMA. Wewe ni MNAFIKI.👈 ❌
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын
Hao makatibu niwatu wako
@DaydreamHimselfАй бұрын
personality ya Mbowe kuruka na chopa...?!
@drkalokola586129 күн бұрын
Hicho ni kitabu Cha wahuni sio kitabu Cha Baba wa Taifa. Sera za Baba wa Taifa as likuwa akizotoa kama Meongozo wa CCM katika Halmashauri kuu ya Taifa.
@Chef_AmmytzАй бұрын
Ukishazeeka akili huwa inapotea
@EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын
Hunalolote ww nimbinafsi mpigie makofi sugu kubar kushindwa
@user-sj8pe6hi9nАй бұрын
Kumbuka hotuba take baada ya uchaguzi
@user-sj8pe6hi9n
Ай бұрын
Otuba yake baada ya uchaguzi
@alphoncehanura3255Ай бұрын
Kamanda komaa nao .ufuatwaji wa katiba . John Mrema ajiuzuru....... siku nyingine Chadema azimeni Padri Kitima awe mkuu wa uchaguzi.... siyo hao.... akina Kigaila.
hiki ndo chama kinachojinasibu kutaka kuitoa ccm madarakani??
@ZuhuraMwanafuno
Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@cmsa1rАй бұрын
CCM oyeeeeeeee
@cyprianboniphace-oz5lw29 күн бұрын
Wanaodhani Msigwa atatoka Chadema wanaota ndoto
@williamkavishe397
28 күн бұрын
Mwambie huyu jamaa awache Mara moja kuaibisha chama kweli Katia chama doa kubwa Sana aibu hii kahahirishia Cham mharo mkubwa Sana hayo yalitakiwa yasiwe hadharan Peter umeharbu Sana yani hata Mimi Sasa chadema kwaheri kumbe Ni Walarushwa wakubwa hivi duuuuuuu
@GallusGustav29 күн бұрын
Mama anagawa viuatilifu vya korosho bure hapaTunduru na Tanzania kwa ujumla, wengine wanagombania kanda ambayo haipo kitatiba Je ukiwapa nchi! Chukua hatua,
@drkalokola586129 күн бұрын
Kumbe kuna magenge kama CCM?
@kambalekambale541Ай бұрын
Na bado mbona wewe na wenzio muliwadhaeau akina mdee na wenzake kuimba kupokezana njoo ccm 2025 tukupe udiwani
Пікірлер: 121
Mchungaji umepamba sana na bado kazi inaendelea.mchungaji yapotezee hayo hata wenzetu ccm yapo hivi ndiyo Afrika.
@PeterIchobe
2 күн бұрын
7😢 65th😅 7:46
WAHUNI HAWA HAWAWEZI PEWA HII NCHI WOTE WAKO KWA MASLAHI YAO NA UBAGUZI WAO 😮😮😮😮😮
@whatisthetruth.8793
29 күн бұрын
Kama samia na ccm yake
@OmmyJames-xn7ji
29 күн бұрын
@@whatisthetruth.8793 kama CHADEMA na UDINI WAO🤧🤧🤧🤧🤧
Vipi umehama na mabinti zako
Msigwa kwaiyo Umehamia peponi
Mchungaji Musigwa naomba nikushauri. Rudi kanisani ukamtumikie Mungu wa mbinguni achana na mambo ya kisiasa. Viongozi mnaonyesha kuwa na maslahi binafsi Wala sio kutafuta haki za raia. Rudi kanisani.
Leo Nimeona unaitwa mchungaji ila kumbe unatamaa ya madalaka kias ivo hamna lolote njaa tu ayo maneno yako kwanini usiite viongozi wako mkayaongea ndani na yakaisha namashaka na uchungaji wako😂
Wewe ni mchungaji kumbuka ata Yesu alikubali kufa ili maandiko yatimizwe hivyo kwenye siasa ni zaidi sana kwa mfano wa neno la Mungu
Huyu naee sijui katokea wapi nahisi ni mpumbaaaavu
Uyo anataka kwenda ccm kwa mda mwingi iyo sio sababu amehaidiwa pesa na njaa inamsumbua ndio tatzo la viongoz wenye tamaa za kupitiliza
Ushauri wangu wa bure kwa my msigwa achana na hao wahuni wasiojua demokrasia njoo ccm ktk demokrasia ya kweli
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
29 күн бұрын
Wee ni hewa sana CCM inafanya Kila kuitwapo Leo watanzania wanakua masikini ila safar Kila kuchapo tena mungu anawaona
Alisema kweli yule mchekeshaji
Kumbe anadhani jaziba zake zimekomeshwa hivyo, huyo ni mtafuta madaraka asiye na uvumilivu ! Kuita press conference kwa Hilo ni sawa na kutoa Siri ya ndani ya nyumba yako # Anajiumbua na chama chale !
Bora CCM
Msigwa nadhani hapa unachafua chama chako na hauko sahihi. Maana umma unasikiliza upande mmoja . Hauko sahihi hapa unafanya kazi ya uchawa wa ccm kuichafua chadema
Kuanzia sasa nakutangaza rasmi kuwa wewe ni mshindi!
Ungekuwa umeandika ungeelewekasana ila unapuyanga maana huna kidesa
Umetia aibu tu kila mpiga kula wako anakushangaa miaka 7 huna ofisi jitafakir
Msigwa uliingia chadema uliahidiwa cheo cha umwenyekiti wa nyasa. Wewe nenda ccm watakupa uwenyekit wa nyasa
Tayariiiiiiiiiii speeech ni uchaguzi wa chadema lakini CCM imetajwa mara nyingi mnooooo
Malalamiko hayo ni mazito kama yana ukweli. Basi yafanyiwe kazi ilihaki itendeke. Uchaguzi urudiwe!!!!
MSIGWA JSMANI NAOMBA NAMBA ZA MBOWE
msigwa wewe unaujumu chama unakula pesa za ccm watu wamekugundua
Mh ko unataka uwe mwenyekiti miaka yote jani duu
Njaaaaaaaaaa sanaa wewe kwani umevumilia manqapi bana umeahidiwa uwaziri
WANANCHI CHAMA TUNAKIPENDA CHADEMA
Shida nini ... Je ungeshida ungeongea ayoo?..
Hiyo ni laana kutoka kwa Mama yetu Samia Suluhu.NA BADO. MAMA PIGA KAZI KAMA KAWA.
Moyo mzuri= nia nzuri=akili nzuri. Moyo mbaya=nia ovu= akili mbovu. Mungu anaona yaliyo mioyoni mwetu, hata zuia nia ovu inakupa kuwa na akili mbovu kutenda maovu. Mungu ametujalia mioyo, akili na nguvu zetu kuzitumia kumtumikia kwa kutenda kwa haki kwa watu wake. Wasiotenda haki humbuka muda umefika kwa CDM kuomba radhi CCM kama toba kwa maovu ya kusingizia. Maji na mafuta hujitenga muda umefika wa kijua kipi ni kipi.
Utaamini hata akina halima mdee waliruhusiwa na viongozi wa chadema kwenda bungeni Leo wanajifanye hawawajui chefuuuuuu
Some of us we see GREED here.. ULAFI WA MADARAKA.. MIAKA 7 , BADO unatoa Povu.. Sasa here say on ur Chairs,, unconfirmed kwenye vyombo vya abar.. such a joke..
Sasa si ungesema siku ile ile huo ni ujinga tu Tz Hakuna upinzani ni wapenda madarka na ubinfsi tu wanamch tuachane na wanasiasa me nishasema sipigi tena hata kula ccm tuhjlumieni tu mUK ngaliane musiihalibu tu inch yetu hakuna chama kwa sasa chakuwatoa madarakani mpk Mungu atapotaka yeye wakt utaamua
kakaa, ulishakuwa mjumbe wa kamati kuu na wewe ni kama twiga, iweje ushuke na kula majani ya chini kama swala?
Dont trust the politicians
Siasa ndivyo vilivyo... Msigwa anaijua hyo
Msigwa kalewa
Ubinafsi, umimi,ni asili ya ibilisi ridhika mchungaji unatuchanganya waumini
Mchungaji kataja team yake ,sasa wengine wasioate team,au naye alitaja abilities nafasi. Mwanasiasa unayejiamini acha iende iko siku nyingine haki yako itakurudia.Cheo nni dhamana tu
Zito aliondoka itakua wewe?,nenda Pumbavu wewe umetumwa.
MBOWE LISSU MSIKILIZENI MSIGWA MALIZENI TATIZO
Kumbe na chadema Kuna maelekezo kutoka juu😢
Hawa hawajachukua madaraka wanaleteana vurugu wenyewe vipi wakiwa wamechukua dola itakuwaje. Mkataa pema pabaya panamuita. Acha twende na hii ccm tu.
Mimi namshangaa mchungaji eti kuwa hajui au haelewi kuwa haki hajawahi kusimamiwa ndani ya CHADEMA ,tunaijua chadema miaka 10+.Watu wanamiliki nafasi n hata kutengeneza vurugu dhidi ya wenzao.Katiba ya Chama inakataza kudai haki ktk vyombo vya haki,kwa adhabu ya kufukuzwa Chama. 16:14
Nimekupata sana lkn bad haikuwa sababu ya Muhammad ccm.. ungejiuzulu uanachama tu
MSIGWA MIMI NIPO CHADEMA KWA KUFUATA USHAWISHI WAKO UTAKAPO KWENDA NAMI NIPO
aaaaah, mkuu hapa hutaeleweka, au kuna lingine nyuma ya pazia?
Unavyosema nisawa lakini hujasimamia msimamo wako
Unakijalibu chama ww huna lolote hata ubaroz upewi bora arud jeska
Msigwa alipaswa kuonyesha ukomavu zaidi ...hayo malalamiko kwa nn asipeleke malalamiko chamani? Hatari
@MrKhatibu
Ай бұрын
Huwezi juwa kama ameyafikisha au laa
@whatisthetruth.8793
29 күн бұрын
Kani hicho sio chama cha democracy 😂😂😂
Yawezekana kinacholalamikiwa kina UKWELI ama laaa!! Ila katiba YETU imasemaje juu !! Ya malalako ama migogolo inayojitokeza ndani ya chama yawezekana ni KWELI ila ungebakia na hiyo HOJA ya kukata rufaa naamini ww umewahikuwa mjumbe wa kamati kuu ungelinda hicho unachosema ni aibu ya chama!!
KARIBU CCM. ila utanza na kufagia fagia. You gotta earn position . Sio kwa povu..
Mpka wenyewe mnaibiana kura uko hahahaba daaah siasa mm sitaki kabisa mmmmh mwanasiasa siyo mtu wa kumuamin
Mbona wewe mwenyewe kwenye chaguzi zamajimbo namikoa hukutenda haki,kwakuwaondoa makatibu wamajimbo namikoa ambao walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo dhambi zako zimekutafuna,naulikuwa mtoa rushwa nguli hata kwenye chaguzi za majimbo namikoa ili kuwapitisha walio kuwa wanakuunga mkono,tulia hiyo nidozi nzuri sana kwako ili ujifunze nasiku nyingine tena
Kimeumanaa
Kwani lazima uongoze wewe so unalalamika nini boya
Sass wenyewe kwa wenyewe mnahujumiana hivi, kuna dalili ya kutoboa kweli mbele ya CCM?😢
Chadema pia mnamaelekezo kumbe kutoka juu
@whatisthetruth.8793
29 күн бұрын
Kama polisi wa ccm na samia 😂😂😂
CHADEMA SISI WANANCHI TUNA WATEGEMEA NINYI NDIO CHAMA PEKEE TUNACHO SUBILI KUKIPIGIA KURA KTK NGAZI ZOTE KUNA NINI SASA IVO MUHESHIMIWA MBOWE LISSU DBU MSIKILIZENI MSIGWA MALIZENI TATIZO ILO MWENYE HAKI KM MSIGWA APEWE NAKM SUGU APEWE ILA MSIPENDELEE UPANDE WOWOTE
@henrykabogo4247
28 күн бұрын
Pole Bwana Msigwa,lakini lisaidie Taifa hili kujua ukweli wa moyoni kutoka kwako 1. Kwa Nini uliamua kukubali kushiriki uchaguzi ambao tayari ulionesha kutoendeshwa kihalali? 2.Matokeo ya uchaguzi yangekupa ushindi ungeyakataa kwa kuwa kulikuwa na figisu toka mwanzo? 3.Malalamiko Yako yanatokana na kukiukwa kwa taratibu za uchaguzi na katiba ama kushindwa kura?
Acha kelele huna hoja umeshindwa kujenga ofic miaka 10 wana nchi wamekuamin au unaamin ulijipeleka bungeni mwenyewe umekosa hoja
Hii kauli ni ya kwenda CCM. Kwa kauli hizi CDM watakuelewa? Unakiu chama wazi wazi! Unakipenda chama wewe?
Khaaaaaaaaa kama nawaone kwa mbaaaali vile
Mimi sijapenda kabisa wewe kulalamika
@nyembobea7285
Ай бұрын
Kulalamika ndo asili ya wapinzani ila ni haki yake Kulalamika
Mbona anatetea mashudhushu?
😅😅😅😂😂 qmamake chaguzi zenu za ndani wenyewe mnalalamika😂😂😂😂 Mama SAMIA NJIA NYEUPEEEE 2025... Serikali za mitaa ndiyo msiseme😂😂😂😂
Huu ni uroho wa kanda tu. Halima Mdee Leo wametuhakikishia ulionewa. Nenda kwa mama Samia kwani unaupiga mwingi bungeni, usipoteze maelekezo ya Mungu kuwatumikia watanzania kisa chadema
Ninyi chadema mko kwa masirahi binafsi kwa kifupi viongozi wa chadema mna uchu wa madaraka ndiyo maana mnaitwa watoa taarifa na si wapinzani
Uliingia namatokeo iyo imeisha
Uongozi ni kupokezana mjiti
Kiukweli mmi sionag uwezo wa sugu kulinganisha na hyu mwamba
Kijiti nikupokezana sasa wewe unalialia nini,au nikweli walivyo sema kua wewe umepewa hela zamama abduli ili ushinde uendelee kukivuruga chama kama vyenye ulifaulu kutengeneza migogoro kwenye chama chetu kila kona yakanda,wewe mwenyewe uli diliki kuwatoa makatibu wamajimbo walio shinda kihalali ukaleta watu ambao hawakushinda kwasababu walio shinda walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo tulia ikuingie vizuri.
Personality ni Mila ya ufalme. Unataka chadema iendeshee kifalme?
Wajumbe sio watu wazuri
Chadema ni ya wachaga hao wabaguzi
@user-wl8ns6hh8l
4 күн бұрын
Wacha ujiga ww lisu ni mchaga heche
Mch unajiondolea heshima WATU awakuelewi una ndimi mbili una nini kilichojiri cha?
NAOMBENI NAMBA ZA MBOWE
Kumbe ulikuwa na idadi ya wanakuunga
Mzee msigwa umeshindwa kubari yaishe ww ulishindwa hata kabla ya uchaguzi wenyewe. Mbona hata kwenye mdahalo sugu alikushinda? Wewe umeshindwa kiharali mzee acha tabia za kukigawa chama
Siuhame
Asiyekubali kushindwa sio mshindani mtumishi !😅😅😅
Mchungaji Peter msigwa unalalamikia kutoshinda kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kanda mpaka unaita press conference na waandishi wa habari kweli .Nafikiri hili ni jambo linalotakiwa limalizwe ndani ya chama lkn kama unavyofanya sasa .Naona kama vile unataka kuvuruga chama as if umepewa kitu kidogo .Vilevile usiwe mroho wa madaraka kwani muda uliiongoza kanda ni mchache ? Mchungaji rizika na kuwa na kiasi kwa kile ulichopata .
Nimegundua kawaida ya hiki chama in kulalamika. Ccm ikishinda wanasema wameibiwa kura. Sasa huu uchaguzi wao wameibiana kura? Wanaodai katiba na time huru ni hawa? Kama ndo hivyo waanze kwanza kurekebisha katiba yao. Kumbe hata katiba yao ni mbovu.
Sasa ndiovwataongoza nchi hawa
Anaenda CCM huyoo
Ulijuaje kama nakatibu wote wangekypigua wewe? Kumbe ndani ya chadema uchaguzi sio wa Siri?
Msingwa wacha kulalama ungeliangalia masilai yako kwa jicho la tatu Enzi za mjomba magu wala usingekuja shupaza mishipa ya shingo hapa umasikini unautaka mwenyewe buana tuachie kelele uko
Huo ni uchafu msigwa ni mchafu wala hakuna kupitia lufaa yakoo
🇹🇿 MCHUNGAJI Peter MSIGWA, Ukishindwa kwa UCHAGUZI si utoroke CHAMA ni Kuangalia kwaninj ULISHIDWA.⁉️❓🤫 👉SOMETHING IS WRONG WITH YOU NOT WITH CHADEMA. Wewe ni MNAFIKI.👈 ❌
Hao makatibu niwatu wako
personality ya Mbowe kuruka na chopa...?!
Hicho ni kitabu Cha wahuni sio kitabu Cha Baba wa Taifa. Sera za Baba wa Taifa as likuwa akizotoa kama Meongozo wa CCM katika Halmashauri kuu ya Taifa.
Ukishazeeka akili huwa inapotea
Hunalolote ww nimbinafsi mpigie makofi sugu kubar kushindwa
Kumbuka hotuba take baada ya uchaguzi
@user-sj8pe6hi9n
Ай бұрын
Otuba yake baada ya uchaguzi
Kamanda komaa nao .ufuatwaji wa katiba . John Mrema ajiuzuru....... siku nyingine Chadema azimeni Padri Kitima awe mkuu wa uchaguzi.... siyo hao.... akina Kigaila.
Hupat hata udiwan hunalolote ww nimubinafsi unatupigia kelele nenda ccm wanakuhitaji
hiki ndo chama kinachojinasibu kutaka kuitoa ccm madarakani??
@ZuhuraMwanafuno
Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
CCM oyeeeeeeee
Wanaodhani Msigwa atatoka Chadema wanaota ndoto
@williamkavishe397
28 күн бұрын
Mwambie huyu jamaa awache Mara moja kuaibisha chama kweli Katia chama doa kubwa Sana aibu hii kahahirishia Cham mharo mkubwa Sana hayo yalitakiwa yasiwe hadharan Peter umeharbu Sana yani hata Mimi Sasa chadema kwaheri kumbe Ni Walarushwa wakubwa hivi duuuuuuu
Mama anagawa viuatilifu vya korosho bure hapaTunduru na Tanzania kwa ujumla, wengine wanagombania kanda ambayo haipo kitatiba Je ukiwapa nchi! Chukua hatua,
Kumbe kuna magenge kama CCM?
Na bado mbona wewe na wenzio muliwadhaeau akina mdee na wenzake kuimba kupokezana njoo ccm 2025 tukupe udiwani