Peter Msigwa Ashusha Tuhuma Nzito CHADEMA | Adai Kuhujumiwa

Ойын-сауық

Aliekuwa mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akizungumza na waandishi wa habari na kumwaga tuhuma kuhusu kuhujumiwa kwenye uchaguzi wa ndani ya chama

Пікірлер: 121

  • @user-co4li6bn6m
    @user-co4li6bn6m29 күн бұрын

    Mchungaji umepamba sana na bado kazi inaendelea.mchungaji yapotezee hayo hata wenzetu ccm yapo hivi ndiyo Afrika.

  • @PeterIchobe

    @PeterIchobe

    2 күн бұрын

    7😢 65th😅 7:46

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7jiАй бұрын

    WAHUNI HAWA HAWAWEZI PEWA HII NCHI WOTE WAKO KWA MASLAHI YAO NA UBAGUZI WAO 😮😮😮😮😮

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    29 күн бұрын

    Kama samia na ccm yake

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    29 күн бұрын

    @@whatisthetruth.8793 kama CHADEMA na UDINI WAO🤧🤧🤧🤧🤧

  • @fanuelkitembe7404
    @fanuelkitembe740422 сағат бұрын

    Vipi umehama na mabinti zako

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x3 күн бұрын

    Msigwa kwaiyo Umehamia peponi

  • @brightontibenda2346
    @brightontibenda23464 күн бұрын

    Mchungaji Musigwa naomba nikushauri. Rudi kanisani ukamtumikie Mungu wa mbinguni achana na mambo ya kisiasa. Viongozi mnaonyesha kuwa na maslahi binafsi Wala sio kutafuta haki za raia. Rudi kanisani.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo857929 күн бұрын

    Leo Nimeona unaitwa mchungaji ila kumbe unatamaa ya madalaka kias ivo hamna lolote njaa tu ayo maneno yako kwanini usiite viongozi wako mkayaongea ndani na yakaisha namashaka na uchungaji wako😂

  • @mtimti3912
    @mtimti3912Ай бұрын

    Wewe ni mchungaji kumbuka ata Yesu alikubali kufa ili maandiko yatimizwe hivyo kwenye siasa ni zaidi sana kwa mfano wa neno la Mungu

  • @PrinceMgambwa
    @PrinceMgambwaАй бұрын

    Huyu naee sijui katokea wapi nahisi ni mpumbaaaavu

  • @AdiaMwinyi
    @AdiaMwinyiАй бұрын

    Uyo anataka kwenda ccm kwa mda mwingi iyo sio sababu amehaidiwa pesa na njaa inamsumbua ndio tatzo la viongoz wenye tamaa za kupitiliza

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qwАй бұрын

    Ushauri wangu wa bure kwa my msigwa achana na hao wahuni wasiojua demokrasia njoo ccm ktk demokrasia ya kweli

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv

    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv

    29 күн бұрын

    Wee ni hewa sana CCM inafanya Kila kuitwapo Leo watanzania wanakua masikini ila safar Kila kuchapo tena mungu anawaona

  • @fanuelkitembe7404
    @fanuelkitembe740422 сағат бұрын

    Alisema kweli yule mchekeshaji

  • @zat6311
    @zat6311Ай бұрын

    Kumbe anadhani jaziba zake zimekomeshwa hivyo, huyo ni mtafuta madaraka asiye na uvumilivu ! Kuita press conference kwa Hilo ni sawa na kutoa Siri ya ndani ya nyumba yako # Anajiumbua na chama chale !

  • @MOREDI2024
    @MOREDI20242 күн бұрын

    Bora CCM

  • @malaryhillary3075
    @malaryhillary307527 күн бұрын

    Msigwa nadhani hapa unachafua chama chako na hauko sahihi. Maana umma unasikiliza upande mmoja . Hauko sahihi hapa unafanya kazi ya uchawa wa ccm kuichafua chadema

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4moАй бұрын

    Kuanzia sasa nakutangaza rasmi kuwa wewe ni mshindi!

  • @bonifacemkanga6302
    @bonifacemkanga6302Күн бұрын

    Ungekuwa umeandika ungeelewekasana ila unapuyanga maana huna kidesa

  • @EzekiaMhagama-vo6hz
    @EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын

    Umetia aibu tu kila mpiga kula wako anakushangaa miaka 7 huna ofisi jitafakir

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын

    Msigwa uliingia chadema uliahidiwa cheo cha umwenyekiti wa nyasa. Wewe nenda ccm watakupa uwenyekit wa nyasa

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352Ай бұрын

    Tayariiiiiiiiiii speeech ni uchaguzi wa chadema lakini CCM imetajwa mara nyingi mnooooo

  • @petsmore9955
    @petsmore995528 күн бұрын

    Malalamiko hayo ni mazito kama yana ukweli. Basi yafanyiwe kazi ilihaki itendeke. Uchaguzi urudiwe!!!!

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын

    MSIGWA JSMANI NAOMBA NAMBA ZA MBOWE

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde8061Ай бұрын

    msigwa wewe unaujumu chama unakula pesa za ccm watu wamekugundua

  • @PelesMlawa
    @PelesMlawa3 күн бұрын

    Mh ko unataka uwe mwenyekiti miaka yote jani duu

  • @japhetringo7688
    @japhetringo76884 күн бұрын

    Njaaaaaaaaaa sanaa wewe kwani umevumilia manqapi bana umeahidiwa uwaziri

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын

    WANANCHI CHAMA TUNAKIPENDA CHADEMA

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747Ай бұрын

    Shida nini ... Je ungeshida ungeongea ayoo?..

  • @GallusGustav
    @GallusGustav29 күн бұрын

    Hiyo ni laana kutoka kwa Mama yetu Samia Suluhu.NA BADO. MAMA PIGA KAZI KAMA KAWA.

  • @zachariamalley7076
    @zachariamalley707629 күн бұрын

    Moyo mzuri= nia nzuri=akili nzuri. Moyo mbaya=nia ovu= akili mbovu. Mungu anaona yaliyo mioyoni mwetu, hata zuia nia ovu inakupa kuwa na akili mbovu kutenda maovu. Mungu ametujalia mioyo, akili na nguvu zetu kuzitumia kumtumikia kwa kutenda kwa haki kwa watu wake. Wasiotenda haki humbuka muda umefika kwa CDM kuomba radhi CCM kama toba kwa maovu ya kusingizia. Maji na mafuta hujitenga muda umefika wa kijua kipi ni kipi.

  • @josephlugala3182
    @josephlugala318229 күн бұрын

    Utaamini hata akina halima mdee waliruhusiwa na viongozi wa chadema kwenda bungeni Leo wanajifanye hawawajui chefuuuuuu

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747Ай бұрын

    Some of us we see GREED here.. ULAFI WA MADARAKA.. MIAKA 7 , BADO unatoa Povu.. Sasa here say on ur Chairs,, unconfirmed kwenye vyombo vya abar.. such a joke..

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470Ай бұрын

    Sasa si ungesema siku ile ile huo ni ujinga tu Tz Hakuna upinzani ni wapenda madarka na ubinfsi tu wanamch tuachane na wanasiasa me nishasema sipigi tena hata kula ccm tuhjlumieni tu mUK ngaliane musiihalibu tu inch yetu hakuna chama kwa sasa chakuwatoa madarakani mpk Mungu atapotaka yeye wakt utaamua

  • @johntendwa7856
    @johntendwa7856Ай бұрын

    kakaa, ulishakuwa mjumbe wa kamati kuu na wewe ni kama twiga, iweje ushuke na kula majani ya chini kama swala?

  • @chamlilemhando7478
    @chamlilemhando7478Күн бұрын

    Dont trust the politicians

  • @renamalima5558
    @renamalima555823 күн бұрын

    Siasa ndivyo vilivyo... Msigwa anaijua hyo

  • @richarddabryin9126
    @richarddabryin9126Ай бұрын

    Msigwa kalewa

  • @pinucykaberege
    @pinucykaberege28 күн бұрын

    Ubinafsi, umimi,ni asili ya ibilisi ridhika mchungaji unatuchanganya waumini

  • @user-cj8yz4gk4u
    @user-cj8yz4gk4u18 күн бұрын

    Mchungaji kataja team yake ,sasa wengine wasioate team,au naye alitaja abilities nafasi. Mwanasiasa unayejiamini acha iende iko siku nyingine haki yako itakurudia.Cheo nni dhamana tu

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9zАй бұрын

    Zito aliondoka itakua wewe?,nenda Pumbavu wewe umetumwa.

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын

    MBOWE LISSU MSIKILIZENI MSIGWA MALIZENI TATIZO

  • @nicksonkamazimo5173
    @nicksonkamazimo517329 күн бұрын

    Kumbe na chadema Kuna maelekezo kutoka juu😢

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2kАй бұрын

    Hawa hawajachukua madaraka wanaleteana vurugu wenyewe vipi wakiwa wamechukua dola itakuwaje. Mkataa pema pabaya panamuita. Acha twende na hii ccm tu.

  • @user-cj8yz4gk4u
    @user-cj8yz4gk4u18 күн бұрын

    Mimi namshangaa mchungaji eti kuwa hajui au haelewi kuwa haki hajawahi kusimamiwa ndani ya CHADEMA ,tunaijua chadema miaka 10+.Watu wanamiliki nafasi n hata kutengeneza vurugu dhidi ya wenzao.Katiba ya Chama inakataza kudai haki ktk vyombo vya haki,kwa adhabu ya kufukuzwa Chama. 16:14

  • @emanuelurio-ok8yl
    @emanuelurio-ok8yl2 күн бұрын

    Nimekupata sana lkn bad haikuwa sababu ya Muhammad ccm.. ungejiuzulu uanachama tu

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын

    MSIGWA MIMI NIPO CHADEMA KWA KUFUATA USHAWISHI WAKO UTAKAPO KWENDA NAMI NIPO

  • @johntendwa7856
    @johntendwa7856Ай бұрын

    aaaaah, mkuu hapa hutaeleweka, au kuna lingine nyuma ya pazia?

  • @CretusMwalongo
    @CretusMwalongo4 күн бұрын

    Unavyosema nisawa lakini hujasimamia msimamo wako

  • @EzekiaMhagama-vo6hz
    @EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын

    Unakijalibu chama ww huna lolote hata ubaroz upewi bora arud jeska

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205Ай бұрын

    Msigwa alipaswa kuonyesha ukomavu zaidi ...hayo malalamiko kwa nn asipeleke malalamiko chamani? Hatari

  • @MrKhatibu

    @MrKhatibu

    Ай бұрын

    Huwezi juwa kama ameyafikisha au laa

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    29 күн бұрын

    Kani hicho sio chama cha democracy 😂😂😂

  • @RomanusRimba
    @RomanusRimbaАй бұрын

    Yawezekana kinacholalamikiwa kina UKWELI ama laaa!! Ila katiba YETU imasemaje juu !! Ya malalako ama migogolo inayojitokeza ndani ya chama yawezekana ni KWELI ila ungebakia na hiyo HOJA ya kukata rufaa naamini ww umewahikuwa mjumbe wa kamati kuu ungelinda hicho unachosema ni aibu ya chama!!

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747Ай бұрын

    KARIBU CCM. ila utanza na kufagia fagia. You gotta earn position . Sio kwa povu..

  • @SaidZavallah
    @SaidZavallah27 күн бұрын

    Mpka wenyewe mnaibiana kura uko hahahaba daaah siasa mm sitaki kabisa mmmmh mwanasiasa siyo mtu wa kumuamin

  • @davidsilwamba2465
    @davidsilwamba246527 күн бұрын

    Mbona wewe mwenyewe kwenye chaguzi zamajimbo namikoa hukutenda haki,kwakuwaondoa makatibu wamajimbo namikoa ambao walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo dhambi zako zimekutafuna,naulikuwa mtoa rushwa nguli hata kwenye chaguzi za majimbo namikoa ili kuwapitisha walio kuwa wanakuunga mkono,tulia hiyo nidozi nzuri sana kwako ili ujifunze nasiku nyingine tena

  • @josephlugala3182
    @josephlugala318229 күн бұрын

    Kimeumanaa

  • @kwandiwageorge2826
    @kwandiwageorge2826Ай бұрын

    Kwani lazima uongoze wewe so unalalamika nini boya

  • @ProductionWinderBulyanhulu
    @ProductionWinderBulyanhulu25 күн бұрын

    Sass wenyewe kwa wenyewe mnahujumiana hivi, kuna dalili ya kutoboa kweli mbele ya CCM?😢

  • @bonifacemkanga6302
    @bonifacemkanga6302Ай бұрын

    Chadema pia mnamaelekezo kumbe kutoka juu

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    29 күн бұрын

    Kama polisi wa ccm na samia 😂😂😂

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын

    CHADEMA SISI WANANCHI TUNA WATEGEMEA NINYI NDIO CHAMA PEKEE TUNACHO SUBILI KUKIPIGIA KURA KTK NGAZI ZOTE KUNA NINI SASA IVO MUHESHIMIWA MBOWE LISSU DBU MSIKILIZENI MSIGWA MALIZENI TATIZO ILO MWENYE HAKI KM MSIGWA APEWE NAKM SUGU APEWE ILA MSIPENDELEE UPANDE WOWOTE

  • @henrykabogo4247

    @henrykabogo4247

    28 күн бұрын

    Pole Bwana Msigwa,lakini lisaidie Taifa hili kujua ukweli wa moyoni kutoka kwako 1. Kwa Nini uliamua kukubali kushiriki uchaguzi ambao tayari ulionesha kutoendeshwa kihalali? 2.Matokeo ya uchaguzi yangekupa ushindi ungeyakataa kwa kuwa kulikuwa na figisu toka mwanzo? 3.Malalamiko Yako yanatokana na kukiukwa kwa taratibu za uchaguzi na katiba ama kushindwa kura?

  • @EzekiaMhagama-vo6hz
    @EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын

    Acha kelele huna hoja umeshindwa kujenga ofic miaka 10 wana nchi wamekuamin au unaamin ulijipeleka bungeni mwenyewe umekosa hoja

  • @fadhilimsafiri216
    @fadhilimsafiri216Ай бұрын

    Hii kauli ni ya kwenda CCM. Kwa kauli hizi CDM watakuelewa? Unakiu chama wazi wazi! Unakipenda chama wewe?

  • @MrPongwe
    @MrPongweАй бұрын

    Khaaaaaaaaa kama nawaone kwa mbaaaali vile

  • @IsaacLobson
    @IsaacLobsonАй бұрын

    Mimi sijapenda kabisa wewe kulalamika

  • @nyembobea7285

    @nyembobea7285

    Ай бұрын

    Kulalamika ndo asili ya wapinzani ila ni haki yake Kulalamika

  • @drkalokola5861
    @drkalokola586129 күн бұрын

    Mbona anatetea mashudhushu?

  • @fidelmbai3642
    @fidelmbai3642Ай бұрын

    😅😅😅😂😂 qmamake chaguzi zenu za ndani wenyewe mnalalamika😂😂😂😂 Mama SAMIA NJIA NYEUPEEEE 2025... Serikali za mitaa ndiyo msiseme😂😂😂😂

  • @GallusGustav
    @GallusGustav29 күн бұрын

    Huu ni uroho wa kanda tu. Halima Mdee Leo wametuhakikishia ulionewa. Nenda kwa mama Samia kwani unaupiga mwingi bungeni, usipoteze maelekezo ya Mungu kuwatumikia watanzania kisa chadema

  • @ShaabanMfalme
    @ShaabanMfalme28 күн бұрын

    Ninyi chadema mko kwa masirahi binafsi kwa kifupi viongozi wa chadema mna uchu wa madaraka ndiyo maana mnaitwa watoa taarifa na si wapinzani

  • @AngerusLijuja-bg6sb
    @AngerusLijuja-bg6sb29 күн бұрын

    Uliingia namatokeo iyo imeisha

  • @drkalokola5861
    @drkalokola586129 күн бұрын

    Uongozi ni kupokezana mjiti

  • @gmknews7929
    @gmknews792927 күн бұрын

    Kiukweli mmi sionag uwezo wa sugu kulinganisha na hyu mwamba

  • @davidsilwamba2465
    @davidsilwamba246527 күн бұрын

    Kijiti nikupokezana sasa wewe unalialia nini,au nikweli walivyo sema kua wewe umepewa hela zamama abduli ili ushinde uendelee kukivuruga chama kama vyenye ulifaulu kutengeneza migogoro kwenye chama chetu kila kona yakanda,wewe mwenyewe uli diliki kuwatoa makatibu wamajimbo walio shinda kihalali ukaleta watu ambao hawakushinda kwasababu walio shinda walikuwa hawakuungi mkono,kwahiyo tulia ikuingie vizuri.

  • @drkalokola5861
    @drkalokola586129 күн бұрын

    Personality ni Mila ya ufalme. Unataka chadema iendeshee kifalme?

  • @mlekwa
    @mlekwa29 күн бұрын

    Wajumbe sio watu wazuri

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai11314 күн бұрын

    Chadema ni ya wachaga hao wabaguzi

  • @user-wl8ns6hh8l

    @user-wl8ns6hh8l

    4 күн бұрын

    Wacha ujiga ww lisu ni mchaga heche

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158Ай бұрын

    Mch unajiondolea heshima WATU awakuelewi una ndimi mbili una nini kilichojiri cha?

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k28 күн бұрын

    NAOMBENI NAMBA ZA MBOWE

  • @abrahamrubeni5905
    @abrahamrubeni5905Ай бұрын

    Kumbe ulikuwa na idadi ya wanakuunga

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn29 күн бұрын

    Mzee msigwa umeshindwa kubari yaishe ww ulishindwa hata kabla ya uchaguzi wenyewe. Mbona hata kwenye mdahalo sugu alikushinda? Wewe umeshindwa kiharali mzee acha tabia za kukigawa chama

  • @saidomary8796
    @saidomary879629 күн бұрын

    Siuhame

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle420729 күн бұрын

    Asiyekubali kushindwa sio mshindani mtumishi !😅😅😅

  • @mwombekiflorian5203
    @mwombekiflorian5203Ай бұрын

    Mchungaji Peter msigwa unalalamikia kutoshinda kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kanda mpaka unaita press conference na waandishi wa habari kweli .Nafikiri hili ni jambo linalotakiwa limalizwe ndani ya chama lkn kama unavyofanya sasa .Naona kama vile unataka kuvuruga chama as if umepewa kitu kidogo .Vilevile usiwe mroho wa madaraka kwani muda uliiongoza kanda ni mchache ? Mchungaji rizika na kuwa na kiasi kwa kile ulichopata .

  • @MalandoJames
    @MalandoJames29 күн бұрын

    Nimegundua kawaida ya hiki chama in kulalamika. Ccm ikishinda wanasema wameibiwa kura. Sasa huu uchaguzi wao wameibiana kura? Wanaodai katiba na time huru ni hawa? Kama ndo hivyo waanze kwanza kurekebisha katiba yao. Kumbe hata katiba yao ni mbovu.

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473Ай бұрын

    Sasa ndiovwataongoza nchi hawa

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971Ай бұрын

    Anaenda CCM huyoo

  • @drkalokola5861
    @drkalokola586129 күн бұрын

    Ulijuaje kama nakatibu wote wangekypigua wewe? Kumbe ndani ya chadema uchaguzi sio wa Siri?

  • @twahaanyoni9120
    @twahaanyoni9120Ай бұрын

    Msingwa wacha kulalama ungeliangalia masilai yako kwa jicho la tatu Enzi za mjomba magu wala usingekuja shupaza mishipa ya shingo hapa umasikini unautaka mwenyewe buana tuachie kelele uko

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын

    Huo ni uchafu msigwa ni mchafu wala hakuna kupitia lufaa yakoo

  • @gideon546
    @gideon5464 күн бұрын

    🇹🇿 MCHUNGAJI Peter MSIGWA, Ukishindwa kwa UCHAGUZI si utoroke CHAMA ni Kuangalia kwaninj ULISHIDWA.⁉️❓🤫 👉SOMETHING IS WRONG WITH YOU NOT WITH CHADEMA. Wewe ni MNAFIKI.👈 ❌

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jpАй бұрын

    Hao makatibu niwatu wako

  • @DaydreamHimself
    @DaydreamHimselfАй бұрын

    personality ya Mbowe kuruka na chopa...?!

  • @drkalokola5861
    @drkalokola586129 күн бұрын

    Hicho ni kitabu Cha wahuni sio kitabu Cha Baba wa Taifa. Sera za Baba wa Taifa as likuwa akizotoa kama Meongozo wa CCM katika Halmashauri kuu ya Taifa.

  • @Chef_Ammytz
    @Chef_AmmytzАй бұрын

    Ukishazeeka akili huwa inapotea

  • @EzekiaMhagama-vo6hz
    @EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын

    Hunalolote ww nimbinafsi mpigie makofi sugu kubar kushindwa

  • @user-sj8pe6hi9n
    @user-sj8pe6hi9nАй бұрын

    Kumbuka hotuba take baada ya uchaguzi

  • @user-sj8pe6hi9n

    @user-sj8pe6hi9n

    Ай бұрын

    Otuba yake baada ya uchaguzi

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255Ай бұрын

    Kamanda komaa nao .ufuatwaji wa katiba . John Mrema ajiuzuru....... siku nyingine Chadema azimeni Padri Kitima awe mkuu wa uchaguzi.... siyo hao.... akina Kigaila.

  • @EzekiaMhagama-vo6hz
    @EzekiaMhagama-vo6hzАй бұрын

    Hupat hata udiwan hunalolote ww nimubinafsi unatupigia kelele nenda ccm wanakuhitaji

  • @bakarindemanga2318
    @bakarindemanga2318Ай бұрын

    hiki ndo chama kinachojinasibu kutaka kuitoa ccm madarakani??

  • @ZuhuraMwanafuno

    @ZuhuraMwanafuno

    Ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @cmsa1r
    @cmsa1rАй бұрын

    CCM oyeeeeeeee

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw29 күн бұрын

    Wanaodhani Msigwa atatoka Chadema wanaota ndoto

  • @williamkavishe397

    @williamkavishe397

    28 күн бұрын

    Mwambie huyu jamaa awache Mara moja kuaibisha chama kweli Katia chama doa kubwa Sana aibu hii kahahirishia Cham mharo mkubwa Sana hayo yalitakiwa yasiwe hadharan Peter umeharbu Sana yani hata Mimi Sasa chadema kwaheri kumbe Ni Walarushwa wakubwa hivi duuuuuuu

  • @GallusGustav
    @GallusGustav29 күн бұрын

    Mama anagawa viuatilifu vya korosho bure hapaTunduru na Tanzania kwa ujumla, wengine wanagombania kanda ambayo haipo kitatiba Je ukiwapa nchi! Chukua hatua,

  • @drkalokola5861
    @drkalokola586129 күн бұрын

    Kumbe kuna magenge kama CCM?

  • @kambalekambale541
    @kambalekambale541Ай бұрын

    Na bado mbona wewe na wenzio muliwadhaeau akina mdee na wenzake kuimba kupokezana njoo ccm 2025 tukupe udiwani

Келесі