MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"

MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"
Mbunge wa Iringa mjini (CHADEMA), Peter Msigwa amewatupia lawama Mawaziri wa serikali ya awamu ya tano kwa kushughulikia kero na kutatua migogoro badala ya kushughuikia sera.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 293

  • @jiajoel2346
    @jiajoel23464 жыл бұрын

    Msigwa keep it up...nakubali hoja zako

  • @mohamedmohamedimnyilila6631
    @mohamedmohamedimnyilila66313 жыл бұрын

    Tunakupenda sana mbunge wetu wa iringa

  • @alikhalfan9551
    @alikhalfan95514 жыл бұрын

    Msigwa umeenda shule unaongea hadi wabunge wanachanganyikiwa eti kanuni ya ishirini na nane isome haijui nakuombea kwa mungu msigwa urudi bungeni

  • @amirisemaye1567

    @amirisemaye1567

    4 жыл бұрын

    Kaongea pumba tu

  • @leonardgalila3032
    @leonardgalila30324 жыл бұрын

    Leo speaker nimekuelewa

  • @simonkanyungu7760
    @simonkanyungu77603 жыл бұрын

    The like of opposition leaders we need in Kenya....at Peter msigwa

  • @pastor_mashimo
    @pastor_mashimo4 жыл бұрын

    Kuhusu utalii kwa kweli mh Singwa ameongea point

  • @chinamichael3340
    @chinamichael33404 жыл бұрын

    Mheshimiwa Msigwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Mwaka huu hana kitu Iringa mjini!!!

  • @godfreynkama6098
    @godfreynkama60984 жыл бұрын

    Hapo nimekuelewa sana mchungaji msigwa,uko vizuri kujenga hoja.

  • @stevehiraly9127
    @stevehiraly91273 жыл бұрын

    Mashine hio.. Naskitik sana huyu jamaaa kumkosa bungen... sjui hilo bunge lanaenda kuwaje???? 😭😭😭

  • @kellyroselwinga7999
    @kellyroselwinga79994 жыл бұрын

    Kabisa we are not serious watumie watu wakuweza kutangaza utaliii,points taken kwakweli

  • @wilsonmcs3369
    @wilsonmcs33694 жыл бұрын

    WA MWANGATA IRINGA TZ.👏👏

  • @binurusm8886
    @binurusm88864 жыл бұрын

    Mh. Msigwa umeongea Point nzuri tu katika kushauriana, Umechemka ulipomtaja moja kwa moja Msanii Steve Nyerere, hapo kwa Hadhi yako ya Kiuchungaji umejisahau kwani nayo ni Kazi kama kazi zingine, Pia na pia kuwathamini Wasanii wa ndani ni muhimu, Kwa hayo Mchungaji binafsi naona waombe radhi Wasanii wetu.

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer17814 жыл бұрын

    Uko Sahihi Hon.Msigwa

  • @zicomgravity4897
    @zicomgravity48974 жыл бұрын

    This Man Is Real OG.💪💯👏👏👏

  • @fettamidu2503
    @fettamidu25034 жыл бұрын

    Msingwa kichwa saaaana big up

  • @sehemunzuri
    @sehemunzuri4 жыл бұрын

    Mimi naungana na Mhe. Msigwa.. safi sana

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles79094 жыл бұрын

    Lakini kweli Mheshimiwa Msigwa wakati mwingine mko sawa kabisa,kweli mnaona mbali na mnahaki ya kukosoa na kuishauli Serikali,safi safi sana.

  • @abtwalibuhussein4877
    @abtwalibuhussein48774 жыл бұрын

    Mchungaji Uko vizuri sana.

  • @ameniameni617
    @ameniameni6174 жыл бұрын

    Asante mchungaji msigwa uyo mama mjinga anapoteza mda

  • @mussajacob8346

    @mussajacob8346

    4 жыл бұрын

    Tena nimpumbavu sijui kilichomwasha nini kwanini asingekaa kimya ili wataalamu waendelee kutoa elimu

  • @kijangapeter5135

    @kijangapeter5135

    4 жыл бұрын

    Hili maza jinga kabisaa

  • @willyngailo4549
    @willyngailo45494 жыл бұрын

    Kumbe Kuna wabunge hawajui kanuni za bunge FISIEM bana

  • @dlmedial9417
    @dlmedial94174 жыл бұрын

    Leo nimekuelewa mhe. Msigwa. Good speech. But please show even solution and sent to Mr. Kigwangala

  • @seljasele
    @seljasele4 жыл бұрын

    Kwa Stive kweli ni udwanzi sana.

  • @daniellyimo636

    @daniellyimo636

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 Ana julikana Dar tuu 😄😄😄 Ana panda Mlima hata hafiki Mlimani 😄😄😄

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo46624 жыл бұрын

    Msigwaaaaaaaaaaaaa nomaaaaaa

  • @freckkihundo4349
    @freckkihundo43494 жыл бұрын

    Pamoja sana mh msigwa

  • @salasaidi1888
    @salasaidi18884 жыл бұрын

    Uko sawa

  • @angelmaganga9482
    @angelmaganga94824 жыл бұрын

    Mungu atskubariki hat wao wasipokusikia

  • @fredylucas2484
    @fredylucas24844 жыл бұрын

    Hapo mnaonyesha ni wapinzani wa kweli. Siyo kila kukicha kuzira bungeni. Kudos Mchungaji

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao89884 жыл бұрын

    ukiona taarifa zinazidi ujue unaeleweka

  • @paulebby1552

    @paulebby1552

    4 жыл бұрын

    Kweli hawapendagi points za msingi zisikike

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Pumba tu!!!!

  • @Directorhernrypro

    @Directorhernrypro

    4 жыл бұрын

    Kweli kabsa

  • @jacobmgumiro156
    @jacobmgumiro1564 жыл бұрын

    Naombeni muniambie msigwa naweza kumnunua ahamie lushoto ?manas wakwetu sijawah kumsikia hataaaasiku moja

  • @boniphacetabu2903

    @boniphacetabu2903

    4 жыл бұрын

    Yuko LIKIZOO

  • @nilamlenga3581

    @nilamlenga3581

    4 жыл бұрын

    Upinzani ni vichwa

  • @anastaziuscyriacus5415

    @anastaziuscyriacus5415

    4 жыл бұрын

    Umenichekesha wewe...loh

  • @biaysha8553

    @biaysha8553

    3 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😂

  • @daniellyimo636
    @daniellyimo6364 жыл бұрын

    Point 😄😄😄

  • @nassorseluma2920
    @nassorseluma29204 жыл бұрын

    Safi sana mchungaji

  • @janelukololo9919
    @janelukololo99193 жыл бұрын

    Safi

  • @aggyparty2990
    @aggyparty29904 жыл бұрын

    Kaongea ukweli mtupu sababu hata wakipanda huko hawafiki mtu kama welu sengo sijui aunt hawawezi kupanda mlima msigwa umeongea point 🙌🙌🙌🙌🙌 wenye akili ndiyo watamuelea 🙌🙌🙌

  • @mkonojr2779
    @mkonojr27793 жыл бұрын

    Huwa napendaaa sana hotuba za huyu mwamba

  • @loner_wolf
    @loner_wolf4 жыл бұрын

    Hilo ni bao mr msingwa ..... Hawajaacha Sera , wako kisiasa zaidi ili wakamate wananchi ..... Ninyi mlikuwa mnateka watu mnapiga kelele watu wanauawa ili muonekane watetezi wa wananchi , wao wanapiga kazi karibu nasisi ili tujue wako nasi ...... So kaa chini pambania kiti chako uchaguzi unakaribia .

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56744 жыл бұрын

    Mzembe sana wewe, wakikaa ofisini pia mtalalamika,,,,,kweli duniani hakuna jema!!!!!

  • @veilamariki3000
    @veilamariki30004 жыл бұрын

    Point Msigwa

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna21114 жыл бұрын

    Wow Mchungaji u gave them there own medicine are u sure u are not from Kenya? iu are a fighter for ur country n a true leader🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇭🇨🇭uku ndio kwa Roger Federer tena jirani yangu True

  • @leonardawamu2275
    @leonardawamu22754 жыл бұрын

    safi sana MCHUNGAJI

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott33254 жыл бұрын

    Mzee msingwa mzee kichwa yako iko sawa sana mzee uko sawasawa ila kuna mijitu ipo hapo bungeni hata haitambui uwepo wao mzee chapa kaz.

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly93764 жыл бұрын

    Sema Mtumishi Wa bwana ulie barikiwa, unaeleweka vizuri.

  • @suleykilindi5117
    @suleykilindi51173 жыл бұрын

    Nimekuja kuangalia baada ya ripoti ya CAG

  • @silasnnko4384
    @silasnnko43844 жыл бұрын

    Mbunge msigwa noma umewakalisha kama wote na miongozo yao

  • @adamally8791
    @adamally87914 жыл бұрын

    God point msingwa, tuache upinzani ulichokiongea hata ckupingi, kigwangwala chukua hayo madini, Hata team aliyopo samata kwa sasa uungie nayo mkataba kuutangaza utalii wa Nchi yetu

  • @robben8736

    @robben8736

    4 жыл бұрын

    unajua uchikiongea...kuingia mkataba wa aina yeyote na club inayoshiriki ligi kuu England ni very expensive...approximately ni kuanzia M15 Dollars ambazo ni sawa Billioni 34 za Tanzania...sasa hapo huoni kama watanzania wataanza kulalamika pesa nyingi imepelekwa kwenye utalii na wanafunzi hawana mikopo

  • @mohamedisarafi5308
    @mohamedisarafi53084 жыл бұрын

    Msigwa🙌🙌🙌🙌

  • @jeremiahdibogo2910

    @jeremiahdibogo2910

    4 жыл бұрын

    Mbona hapa kuna taarifa nyingi

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao89884 жыл бұрын

    kazi ya taarifa ni kupunguza speed ya mzungumzaji au kupoteza muda sio kujenga hoja

  • @serianjamal8254

    @serianjamal8254

    4 жыл бұрын

    Nawewe umeligundua hilo yaani ni kero

  • @jacobmgumiro156

    @jacobmgumiro156

    4 жыл бұрын

    Majinga sana magoga meza haya maccm

  • @kellyroselwinga7999

    @kellyroselwinga7999

    4 жыл бұрын

    Kabisa wanapunguza muda

  • @philipomofuga3511
    @philipomofuga35114 жыл бұрын

    Kiboko ya ccm saf sana mbunge ujawahi waangusha watu wako Mungu akulinde uzid kua bora.

  • @kavassay8899
    @kavassay88994 жыл бұрын

    Msigwa ni saw na wabunge wote wa ccm umo ndan

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.71854 жыл бұрын

    Muheshimiwa kigwangwala pokea haya maneno ya Msigwa points.....

  • @priscusaugust7251

    @priscusaugust7251

    2 жыл бұрын

    🙏🙏

  • @fadhilalemba7857
    @fadhilalemba78574 жыл бұрын

    very true

  • @robertthomas7769
    @robertthomas77694 жыл бұрын

    Mchungaji uko vizuri, ukweli mtupu huu.

  • @alexmbembela4571
    @alexmbembela45714 жыл бұрын

    Kigwanagala nakuelewa Sana Ila jaribu kuyachukua mawazo ya mchungaji msigwa yatakusaidia Sana ......HAUWEZI KUMCHUKUA STEVE NYERERE UKAENDA NAE KUTANGAZA UTALII HATA KENYA HAWAMJUI......Kama umemuelewa mchungaji njoo ulike hapa

  • @evethaasey1791
    @evethaasey17914 жыл бұрын

    OK kibwagala muelewa ameelewa, bongo zozo is good

  • @smarty1064
    @smarty10644 жыл бұрын

    Tunataka kwenda kimataifa we unawaleta kina steve nyerere...uko sahihi kabisa

  • @errydeo8865
    @errydeo88654 жыл бұрын

    true,nawaziri kuna vijikazi wanafanya ambavyo watu wa chini ndo kazi zao.

  • @israelpwele5535
    @israelpwele55354 жыл бұрын

    Pasua kichwaa, mchungajiiiii

  • @feisalissa3009
    @feisalissa30094 жыл бұрын

    Msigwa wape maneno yao sema ukweli hawo 👍 👍💯

  • @Directorhernrypro
    @Directorhernrypro4 жыл бұрын

    Point 👍🏼

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei29274 жыл бұрын

    Kazi ya Mbunge ni kuishauri na kuishauri serikali

  • @yassinudd4422
    @yassinudd44224 жыл бұрын

    Kuna kazi sana, kama mbunge amini kuwa ata wasanii wa ndani wanaweza tangaza maliasili zetu, nashaka na uzalendo wake

  • @evelynmon9423
    @evelynmon94234 жыл бұрын

    Yaan hapo kunaweza kukawa na maroroso yanaendelea kama ya kina logola lakini wao wakashangilia tu sijui wanamatatizo gani ktk akili zao

  • @yusuphmkapa5302
    @yusuphmkapa53024 жыл бұрын

    Kamwene veya

  • @merypeter7467

    @merypeter7467

    4 жыл бұрын

    Yusuph waambie baba tupone

  • @petroerinest2744
    @petroerinest27444 жыл бұрын

    Nakuelewa sana pastor

  • @mrsramadhani2400
    @mrsramadhani24004 жыл бұрын

    Nimekuelewa.boc.kubwa Lakn.maccm Cjui2.wakoje Chukuen.mawazohayo Myafanyiekaz

  • @sasumaadsaihmayombya8145

    @sasumaadsaihmayombya8145

    4 жыл бұрын

    Mrs Ramadhani Kumbe ww uko kichama zaidi na sio kile alichokiongea tukifuata maelezo yako?

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph144 жыл бұрын

    Sema baba

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags4104 жыл бұрын

    Safi sana Msigwa mpe kubwa fala huyo hamisi sijui kingangwala

  • @barakajohn5116

    @barakajohn5116

    4 жыл бұрын

    Se***ng ww

  • @sekuludevid5239
    @sekuludevid52394 жыл бұрын

    Hahahaha mnagombea demu na Steve nyerere kachukua goma lako mchungaji hahahahahaha tunajua msigwa 😂😂😂😂

  • @jamessanga7120
    @jamessanga71202 жыл бұрын

    Uko vizur mchungaji wangu unaakili sana

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon71604 жыл бұрын

    Kanuni 28:isome😁😁😁😁😁 TAARIFA imekua Nyingi, I'la Wazo la MSIGWA Ni sahihi!!!!

  • @ulomistephen7679
    @ulomistephen76794 жыл бұрын

    Akili.kubwa

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari52094 жыл бұрын

    Ameongea sense sana msigwa. .but lets wat and see

  • @bilalimziray448
    @bilalimziray4484 жыл бұрын

    Yaan msigwa unavyo wakatia wabunge wenzako noma Sana 😁😁

  • @esromkanubho4738
    @esromkanubho47384 жыл бұрын

    Vizuri msigwa lakini msaidie kigwangara

  • @lonyorilaizer8507
    @lonyorilaizer85074 жыл бұрын

    Mchugajiiiiiiiii

  • @kellyroselwinga7999
    @kellyroselwinga79994 жыл бұрын

    Umeongea point Sana Mheshimiwa Msigwa wanashindwa tu kuelewa,nawangeweza kuchukua points zako

  • @galussskale8701
    @galussskale87013 жыл бұрын

    Watu Bora saaana kwa kizazi chetu,inafanya kazi hadi Leo 2021

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict53783 жыл бұрын

    Yes

  • @kasolekasole4981
    @kasolekasole49814 жыл бұрын

    Factor

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei29274 жыл бұрын

    Utangazaji ni fani, kama huitumii ukatumia mawazo yako utakua huna unalofanya

  • @mwabayachacha3557
    @mwabayachacha35574 жыл бұрын

    spika leo nimekupenda umempa muda msigwa safi sana

  • @salehehassan3665
    @salehehassan36654 жыл бұрын

    Wazee wa taarifa, hawa hutawasikia kuchangia vitu vya msingi

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud65424 жыл бұрын

    Steve Nyerere anakusubiri

  • @adiliharold1172
    @adiliharold11724 жыл бұрын

    Msingwa huwezi ukawa mbunge wa kutuongoza kama waziri kama unashindwa kujua matatizo ya wananchi na badara yake kujikuta unawaza sana uchumi wakati huo hufikilii kama sisi tunaitaji amani ya wenyewe kwa wenyewee ndipo watalii waweze kuja pia migogoro ya watanzania wandani hawana watu maamulu kwa ajili ya kutatua MSIGWA UMEONGEA UPUUZI SANA UPUUZI SANA UPUUZI SANA HUFAI HUFAI HUFAI.

  • @omaryhango6696
    @omaryhango66964 жыл бұрын

    Point

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery4 жыл бұрын

    Wape wape vidonge vyao !!!

  • @yohanaandrew1462
    @yohanaandrew14624 жыл бұрын

    Kuche mwagito kangale, utalii hoyeeee

  • @bravoromeo4428

    @bravoromeo4428

    4 жыл бұрын

    Haaaaaaaa bela alonzile asinzile

  • @paulebby1552
    @paulebby15524 жыл бұрын

    Kanuni bila tablets mamae Shikamoo mbunge 😂😂😂😂😂

  • @saleheinnocent7636

    @saleheinnocent7636

    4 жыл бұрын

    Hahahahaaaaa

  • @adventureguidertanzania2331
    @adventureguidertanzania23314 жыл бұрын

    Msigwa Ni Moto jamani

  • @kibwanaMAlly
    @kibwanaMAlly4 жыл бұрын

    Good job mh Msigwa

  • @saidikhalifa4734

    @saidikhalifa4734

    3 жыл бұрын

    uko vizuri msigwa

  • @daytonmsuku8419
    @daytonmsuku84192 ай бұрын

    Fact

  • @chrismndolwa718
    @chrismndolwa7184 жыл бұрын

    Eti hawajulikani hata Malawi dah very funny Msigwa ha ha

  • @lonyorilaizer8507
    @lonyorilaizer85074 жыл бұрын

    Wape somoooooo

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight33094 жыл бұрын

    Ukiona Taarifa zinazidi ujue ccm imezidiwa

  • @paulebby1552

    @paulebby1552

    4 жыл бұрын

    🙆🙆🙆

  • @Directorhernrypro

    @Directorhernrypro

    4 жыл бұрын

    🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️👍🏼

  • @ibrahimrajab1702
    @ibrahimrajab17024 жыл бұрын

    Huna lolote sisi tunajisikia raha Rais wetu anaposuluhisha migogoro pahala Popote, kwaiyo wewe msigwa unawivi tu waache mawazili wapige kazi kwa vitendo

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa51873 жыл бұрын

    Hamjui kutangaza utalii mnapenda kupoke pesa Tu ,mnategemea tour operators ,halafu mnawafunguza wawekezaji na kuwaongezea kodi

  • @masanjangololo6204
    @masanjangololo62044 жыл бұрын

    KWELI UNAPENDA SANA MITANDAO

  • @kavishevicky1816
    @kavishevicky18164 жыл бұрын

    Hajafungua tablet ila amemuelewa mchungaji ....ni hatareeeee...anichukue hata Mimi jmn lukuvi Iam available jmn

  • @mtatiromgeka7270
    @mtatiromgeka72704 жыл бұрын

    Kuna vitu serikari inaweza kuvipuza lkn ni vitu mhimu sana kwa masirahi ya nchi yetu..

  • @festoasanga5572
    @festoasanga55722 жыл бұрын

    Daaaa chadema nimafutena wana jua sjui tutawapateje tena

  • @mahrooqsuleiman7216
    @mahrooqsuleiman72164 жыл бұрын

    Nataka kumuowa kama Hana mume