MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"
MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"
Mbunge wa Iringa mjini (CHADEMA), Peter Msigwa amewatupia lawama Mawaziri wa serikali ya awamu ya tano kwa kushughulikia kero na kutatua migogoro badala ya kushughuikia sera.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 293
Msigwa keep it up...nakubali hoja zako
Tunakupenda sana mbunge wetu wa iringa
Msigwa umeenda shule unaongea hadi wabunge wanachanganyikiwa eti kanuni ya ishirini na nane isome haijui nakuombea kwa mungu msigwa urudi bungeni
@amirisemaye1567
4 жыл бұрын
Kaongea pumba tu
Leo speaker nimekuelewa
The like of opposition leaders we need in Kenya....at Peter msigwa
Kuhusu utalii kwa kweli mh Singwa ameongea point
Mheshimiwa Msigwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Mwaka huu hana kitu Iringa mjini!!!
Hapo nimekuelewa sana mchungaji msigwa,uko vizuri kujenga hoja.
Mashine hio.. Naskitik sana huyu jamaaa kumkosa bungen... sjui hilo bunge lanaenda kuwaje???? 😭😭😭
Kabisa we are not serious watumie watu wakuweza kutangaza utaliii,points taken kwakweli
WA MWANGATA IRINGA TZ.👏👏
Mh. Msigwa umeongea Point nzuri tu katika kushauriana, Umechemka ulipomtaja moja kwa moja Msanii Steve Nyerere, hapo kwa Hadhi yako ya Kiuchungaji umejisahau kwani nayo ni Kazi kama kazi zingine, Pia na pia kuwathamini Wasanii wa ndani ni muhimu, Kwa hayo Mchungaji binafsi naona waombe radhi Wasanii wetu.
Uko Sahihi Hon.Msigwa
This Man Is Real OG.💪💯👏👏👏
Msingwa kichwa saaaana big up
Mimi naungana na Mhe. Msigwa.. safi sana
Lakini kweli Mheshimiwa Msigwa wakati mwingine mko sawa kabisa,kweli mnaona mbali na mnahaki ya kukosoa na kuishauli Serikali,safi safi sana.
Mchungaji Uko vizuri sana.
Asante mchungaji msigwa uyo mama mjinga anapoteza mda
@mussajacob8346
4 жыл бұрын
Tena nimpumbavu sijui kilichomwasha nini kwanini asingekaa kimya ili wataalamu waendelee kutoa elimu
@kijangapeter5135
4 жыл бұрын
Hili maza jinga kabisaa
Kumbe Kuna wabunge hawajui kanuni za bunge FISIEM bana
Leo nimekuelewa mhe. Msigwa. Good speech. But please show even solution and sent to Mr. Kigwangala
Kwa Stive kweli ni udwanzi sana.
@daniellyimo636
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Ana julikana Dar tuu 😄😄😄 Ana panda Mlima hata hafiki Mlimani 😄😄😄
Msigwaaaaaaaaaaaaa nomaaaaaa
Pamoja sana mh msigwa
Uko sawa
Mungu atskubariki hat wao wasipokusikia
Hapo mnaonyesha ni wapinzani wa kweli. Siyo kila kukicha kuzira bungeni. Kudos Mchungaji
ukiona taarifa zinazidi ujue unaeleweka
@paulebby1552
4 жыл бұрын
Kweli hawapendagi points za msingi zisikike
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Pumba tu!!!!
@Directorhernrypro
4 жыл бұрын
Kweli kabsa
Naombeni muniambie msigwa naweza kumnunua ahamie lushoto ?manas wakwetu sijawah kumsikia hataaaasiku moja
@boniphacetabu2903
4 жыл бұрын
Yuko LIKIZOO
@nilamlenga3581
4 жыл бұрын
Upinzani ni vichwa
@anastaziuscyriacus5415
4 жыл бұрын
Umenichekesha wewe...loh
@biaysha8553
3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😂
Point 😄😄😄
Safi sana mchungaji
Safi
Kaongea ukweli mtupu sababu hata wakipanda huko hawafiki mtu kama welu sengo sijui aunt hawawezi kupanda mlima msigwa umeongea point 🙌🙌🙌🙌🙌 wenye akili ndiyo watamuelea 🙌🙌🙌
Huwa napendaaa sana hotuba za huyu mwamba
Hilo ni bao mr msingwa ..... Hawajaacha Sera , wako kisiasa zaidi ili wakamate wananchi ..... Ninyi mlikuwa mnateka watu mnapiga kelele watu wanauawa ili muonekane watetezi wa wananchi , wao wanapiga kazi karibu nasisi ili tujue wako nasi ...... So kaa chini pambania kiti chako uchaguzi unakaribia .
Mzembe sana wewe, wakikaa ofisini pia mtalalamika,,,,,kweli duniani hakuna jema!!!!!
Point Msigwa
Wow Mchungaji u gave them there own medicine are u sure u are not from Kenya? iu are a fighter for ur country n a true leader🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇭🇨🇭uku ndio kwa Roger Federer tena jirani yangu True
safi sana MCHUNGAJI
Mzee msingwa mzee kichwa yako iko sawa sana mzee uko sawasawa ila kuna mijitu ipo hapo bungeni hata haitambui uwepo wao mzee chapa kaz.
Sema Mtumishi Wa bwana ulie barikiwa, unaeleweka vizuri.
Nimekuja kuangalia baada ya ripoti ya CAG
Mbunge msigwa noma umewakalisha kama wote na miongozo yao
God point msingwa, tuache upinzani ulichokiongea hata ckupingi, kigwangwala chukua hayo madini, Hata team aliyopo samata kwa sasa uungie nayo mkataba kuutangaza utalii wa Nchi yetu
@robben8736
4 жыл бұрын
unajua uchikiongea...kuingia mkataba wa aina yeyote na club inayoshiriki ligi kuu England ni very expensive...approximately ni kuanzia M15 Dollars ambazo ni sawa Billioni 34 za Tanzania...sasa hapo huoni kama watanzania wataanza kulalamika pesa nyingi imepelekwa kwenye utalii na wanafunzi hawana mikopo
Msigwa🙌🙌🙌🙌
@jeremiahdibogo2910
4 жыл бұрын
Mbona hapa kuna taarifa nyingi
kazi ya taarifa ni kupunguza speed ya mzungumzaji au kupoteza muda sio kujenga hoja
@serianjamal8254
4 жыл бұрын
Nawewe umeligundua hilo yaani ni kero
@jacobmgumiro156
4 жыл бұрын
Majinga sana magoga meza haya maccm
@kellyroselwinga7999
4 жыл бұрын
Kabisa wanapunguza muda
Kiboko ya ccm saf sana mbunge ujawahi waangusha watu wako Mungu akulinde uzid kua bora.
Msigwa ni saw na wabunge wote wa ccm umo ndan
Muheshimiwa kigwangwala pokea haya maneno ya Msigwa points.....
@priscusaugust7251
2 жыл бұрын
🙏🙏
very true
Mchungaji uko vizuri, ukweli mtupu huu.
Kigwanagala nakuelewa Sana Ila jaribu kuyachukua mawazo ya mchungaji msigwa yatakusaidia Sana ......HAUWEZI KUMCHUKUA STEVE NYERERE UKAENDA NAE KUTANGAZA UTALII HATA KENYA HAWAMJUI......Kama umemuelewa mchungaji njoo ulike hapa
OK kibwagala muelewa ameelewa, bongo zozo is good
Tunataka kwenda kimataifa we unawaleta kina steve nyerere...uko sahihi kabisa
true,nawaziri kuna vijikazi wanafanya ambavyo watu wa chini ndo kazi zao.
Pasua kichwaa, mchungajiiiii
Msigwa wape maneno yao sema ukweli hawo 👍 👍💯
Point 👍🏼
Kazi ya Mbunge ni kuishauri na kuishauri serikali
Kuna kazi sana, kama mbunge amini kuwa ata wasanii wa ndani wanaweza tangaza maliasili zetu, nashaka na uzalendo wake
Yaan hapo kunaweza kukawa na maroroso yanaendelea kama ya kina logola lakini wao wakashangilia tu sijui wanamatatizo gani ktk akili zao
Kamwene veya
@merypeter7467
4 жыл бұрын
Yusuph waambie baba tupone
Nakuelewa sana pastor
Nimekuelewa.boc.kubwa Lakn.maccm Cjui2.wakoje Chukuen.mawazohayo Myafanyiekaz
@sasumaadsaihmayombya8145
4 жыл бұрын
Mrs Ramadhani Kumbe ww uko kichama zaidi na sio kile alichokiongea tukifuata maelezo yako?
Sema baba
Safi sana Msigwa mpe kubwa fala huyo hamisi sijui kingangwala
@barakajohn5116
4 жыл бұрын
Se***ng ww
Hahahaha mnagombea demu na Steve nyerere kachukua goma lako mchungaji hahahahahaha tunajua msigwa 😂😂😂😂
Uko vizur mchungaji wangu unaakili sana
Kanuni 28:isome😁😁😁😁😁 TAARIFA imekua Nyingi, I'la Wazo la MSIGWA Ni sahihi!!!!
Akili.kubwa
Ameongea sense sana msigwa. .but lets wat and see
Yaan msigwa unavyo wakatia wabunge wenzako noma Sana 😁😁
Vizuri msigwa lakini msaidie kigwangara
Mchugajiiiiiiiii
Umeongea point Sana Mheshimiwa Msigwa wanashindwa tu kuelewa,nawangeweza kuchukua points zako
Watu Bora saaana kwa kizazi chetu,inafanya kazi hadi Leo 2021
Yes
Factor
Utangazaji ni fani, kama huitumii ukatumia mawazo yako utakua huna unalofanya
spika leo nimekupenda umempa muda msigwa safi sana
Wazee wa taarifa, hawa hutawasikia kuchangia vitu vya msingi
Steve Nyerere anakusubiri
Msingwa huwezi ukawa mbunge wa kutuongoza kama waziri kama unashindwa kujua matatizo ya wananchi na badara yake kujikuta unawaza sana uchumi wakati huo hufikilii kama sisi tunaitaji amani ya wenyewe kwa wenyewee ndipo watalii waweze kuja pia migogoro ya watanzania wandani hawana watu maamulu kwa ajili ya kutatua MSIGWA UMEONGEA UPUUZI SANA UPUUZI SANA UPUUZI SANA HUFAI HUFAI HUFAI.
Point
Wape wape vidonge vyao !!!
Kuche mwagito kangale, utalii hoyeeee
@bravoromeo4428
4 жыл бұрын
Haaaaaaaa bela alonzile asinzile
Kanuni bila tablets mamae Shikamoo mbunge 😂😂😂😂😂
@saleheinnocent7636
4 жыл бұрын
Hahahahaaaaa
Msigwa Ni Moto jamani
Good job mh Msigwa
@saidikhalifa4734
3 жыл бұрын
uko vizuri msigwa
Fact
Eti hawajulikani hata Malawi dah very funny Msigwa ha ha
Wape somoooooo
Ukiona Taarifa zinazidi ujue ccm imezidiwa
@paulebby1552
4 жыл бұрын
🙆🙆🙆
@Directorhernrypro
4 жыл бұрын
🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️👍🏼
Huna lolote sisi tunajisikia raha Rais wetu anaposuluhisha migogoro pahala Popote, kwaiyo wewe msigwa unawivi tu waache mawazili wapige kazi kwa vitendo
Hamjui kutangaza utalii mnapenda kupoke pesa Tu ,mnategemea tour operators ,halafu mnawafunguza wawekezaji na kuwaongezea kodi
KWELI UNAPENDA SANA MITANDAO
Hajafungua tablet ila amemuelewa mchungaji ....ni hatareeeee...anichukue hata Mimi jmn lukuvi Iam available jmn
Kuna vitu serikari inaweza kuvipuza lkn ni vitu mhimu sana kwa masirahi ya nchi yetu..
Daaaa chadema nimafutena wana jua sjui tutawapateje tena
Nataka kumuowa kama Hana mume