LEMA ALIPUKA BUNGENI - "ZITTO APUUZWE, MMEPANGA TUSIRUDI BUNGENI, TUNAJUA"
LEMA ALIPUKA BUNGENI - "ZITTO APUUZWE, MMEPANGA TUSIRUDI BUNGENI, TUNAJUA"
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amesimama Bungeni kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza adhabu ya kutohudhuria vikao vya bunge leo Februari 03, 2020 ambapo amechangia hoja akielezea ni namna gani Tanzania inaweza kukuza uchumi na kuvutia uwekezaji.
#BUNGENIDODOMA
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 94
Kweli lema hautarud bungen tutakukumbuka sana kamanda wetu
Lema respect.... ktk wabunge waupinzani nao waelewa na kuwaheshim,anakosoa kwa fact co kutukana na mtu wa hivyo ndy anetuma ujumbe kwa wananchi na kueleweka!!
Ila huo mdomo wako unatabiri mambo ambayo yapo mbali sana!!!! All in all u're the best thinker and presenter
Welldone Boss Lema.!
dah noma sana tundu lisu ukiludi huyu jamaa namfananisha nawewe kwa kweli maana ninoma sana
Uyu mshkaj ni nabii, haki ya wallah
I will miss u guys a lot.I promise,,,Magufuli kwann umewaacha hawa watu watetez wa wanyonge rais wetu.Mambo meng yaliyokuwa yamejificha hawa walikufanya uyajue.Mh.fikir tena namna ya kurudsha hawa watu n muhim sana kwetu na kwako.Tunajua ww n mchapa kaz lakin changamoto zilikufanya upate hasira zaid na kama pia n mtu hupend rushwa,utafaikisha vip bila kuwa na waangaliz wasaidiz kama hawa.Nasikitika sana.
Mimi nahisi Mh mwenyekiti huwa hawasikilizi wapinzani nahisi huwa ana earpods sikioni... Yani hayo anayoongea yameingilia sikio la kulia yakatokea kushoto...Yani kuzimiwa MIC nakuambiwa AAASANTEE nikawaida tu sasa utasema wanaskilizwa Kweli😂😂😂
Kiherehere cha zzk ndio kimewaponza na ndio kimesababisha mkose utamu wa mjengoni 2020 Zzk kachukua mlungula kuwaua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pole sana lema nenda kaendeshe gari zako za kale zile
Hii ndo Tanzania mwanangu nilimwambia asome awe kama profesa na mwanangu akanihoji Kama profesa Nani? Mamake akajibu ngoja nigugo
@alexmerickiadi3042
4 жыл бұрын
Klauz .
@erasmusshauritanga8485
3 жыл бұрын
Ulimwambia asome awe professor au Kama professor?maana naona swali lake kwako lilikuwa sawa.
Kenya Kenya tanzania tanzania kwani kama aupo bungeni bunge alitoendelea bunge si umelikuta walikuwepo akina msekwa na sasa awapo na bunge linaendelea wewe nani kapuku tu
Wewe acha kupotosha watu wew unaijua kenya .mbona kenya wanamtamani rais wetu akatawale kwao haraf unatuletea habar za kubumba
Nice one boss man
Umeongea point lema big up
Leema.watake.wasitake.utaludi.mbengeni mungu anaona I navy pimping an is ichi.ya.Tanzania.
Nawaelewa sana vyama siasa kama vyam ving huwa unaongea point san
Unasema ukwili
Arusha msipo mchagua Lema, sjui mtamtoa wapi mwingine
@lukatarimo8364
4 жыл бұрын
GACHARO 4G kwamba Arusha hakuna mwenyeakili kuliko lema?
Fact Tupu aisee
weeee ya Kenya yaache tu.hujui tu
Nakukubali sana mtumishi lema
Ila hawa vilaza ipo siku zao zitafika mungu atutangulie nakukubali sn lema
Kafulila aliitwa tumbili leo kawa shujaa.. tunapuuza mawazo ya upinzan afu kesho tunalalamika nchii imefika pabaya
HIVI WATANZANIA HAMSIKILIZI HOJA ZA LEMA ? HUYU JAMAA NI MZALENDO SANA TUACHE ITIKADI ZETU TUSIKILIZE ANAYOSEMA HUYU JAMAA
Mimi binafsi na waheshimu sana Wapinzani Mabadiliko ya Taifa hili yamesababishwa na Wapinzani kuwa Wakali.
Wewe lema humtegemei mungu.
Mheshimiwa Lema unavyosema kuwa hamtarudi bungeni kwamba Uchanguzi ujao utakuwa wa kuteuliwa kma wa serikali za ktaa? Cos sisi kwetu hakuna mhunge , Diwani na huyo mwenyekiti was serikali za mtaa hata kuongea hajui anakunywa na kuuza piwa,alipitishwa na Chama Cha Makofi
Apuuzwe tu . Acha akipate cha moto mnaongea upuuzi ili mpuuzwe . Kama ni msaliti kwa nini apuuzwe ?
Sema mh Lema
Kenya toka zamani wako juu kiutali au wawekezaji..
Jitihada zimefanikiwa kama ulivyosema kwa kunywa chako. Magufuli kiboko yao. Poleni mawakala wa mabeberu.
@innocentandrea6482
2 жыл бұрын
Anaendeleaje huyo pimbi sa ivi
Uko vizuri kaka
😊
Wewe hujielewi ukizungumza juu ya Kenya. Sisi wakenya wenyewe ndio tunajua vile Kenya ilivyo gawanyika na njaa inavyotuumiza, ufisadi wa hali ya juu, wawekezaji wanatoa rushwa na kunyanyasa wafanya kazi raia wa Kenya, yaani Kenya vurugu tupu wala watanzania msikubali mfano huo
Hamia kenya mwanangu ..
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae
@radiusbakashaya2801
4 жыл бұрын
Nyie waliowachagua walikuwa hawaoni mbele sasa wameshawaona nyie wapinzani mulivyowasariti sasa wawe makini nyie wanafki wawatupilie mbali
Huwez tenganisha siasa na uchumu.. Mazingira mabovu ya biashara, utawala mbovu na sera mbovu za uwekezaji matokeo yake ni umumi mbovu na unaosinyaa.
Lema sisi wana arusha tunakupenda na utakuwa mbunge tu
@machintangachibwena5922
3 жыл бұрын
Kawa mmbunge wa nairobi sasa
mwee!!!
Lema Akili yako haina Akili inakutosha mwenyew tu
Ney wa mitego mungu upo wap
makini sanaa
Kenya vibaraka wa Marekani
Huyu mpuuzi anayesema arusha tunampenda lema nani labda wewe katufanyia nini zaidi ya tumbo lake
@innoivinick2221
4 жыл бұрын
Hata wa Ccm wamefanya nn kwenye majimbo yao
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Matokeo,mchakato,what next ?
@frankgabriely9294
4 жыл бұрын
Lazima arudi
Ungekuwa na Akihito ungejua China, Singapore na Russia zinaendelea bila upinzani. We lilia njaa zako acha kudanganya.
Mange si ndio sulihisho lenu maji shingoni unataka suluhu
Wewe mtenda haki jambazi mstaaf
Tumwombe MUNGU Atuepushe Na Kila Hila.
hivi nchi hii kuna haja kweli ya kuwa na bunge?maana ni miyeyusho tu,,hoja za msi ngi hazieshimiwi
Huyu Mwenyekiti wa Spika kweli kavu 😭😭😭😭
@fadhilikibanti3402
4 жыл бұрын
Mwenyekiti wa bunge sio wa spika
Acha uoga lema..
Tulifkiri lema angesema shda zetu tupone kumbe yupo bungeni kusema shida za upinzani!!!?
@isiakahkadari5279
4 жыл бұрын
Arusha hatuna mbunge tuna msemaji wa chama cha chadema,,
@michaeljonas7497
4 жыл бұрын
@@isiakahkadari5279 yaani wew boya
@abouilysar5416
4 жыл бұрын
Ujinga umekujaa sana
@agnesspetro6695
4 жыл бұрын
Weee nae! Sasa Kama watabinywa wao kero zetu zitafikaje apo
@isaacsengunda3099
4 жыл бұрын
Bertha Yekonia ulitaka Lema azungumzie wewe kuuza matunda barabarani,
Tunahitaji Upinzani katika nchi hii hata kama Serikali ya CCM itaonekana inafanya kazi kiasi gani! Siku Upinzani ukifa kabisa katika nchi hii, CCM wataanza kupingana wenyewe kwa wenyewe. Na Wapinzani wa Ndani ni Wabaya kuliko wa Nje. Uhai na Uimara wa CCM ni kwa sababu kuna Wapinzani.
@eliamakanika8070
4 жыл бұрын
Mung u.atasimama
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
True kbs
@omariwazirikibao1932
4 жыл бұрын
Broo acha uoga Cha msingi ujitathmini ulilifanyia nini Jimbo lako watanzania sio mbumbu
@joss.nkilio.3537
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
Urawala bora tunauona wananch
Eeeh leo wapili?🤦🏽♂️
@conceptertibikunda6120
4 жыл бұрын
Ismail majala, ni wewe ulikuwa unakaa kihonda kota 11 za polyester wakati uleeee?
Kazi kulalamika tu kwa ajili ya chadema na ukawa na sio kwa ajili ya wananchi wa Arusha mjini,mmechaguliwa kwa ajili ya vyama washenzi ninyi?
We jembe
Lema huu ndio mwisho wko hautakuwa mbunge tena. Hauna hoja ya msingi......
Chizi wewe hataunachokiongeaga bungeni sikuelewagi
@kulwaswetu4457
4 жыл бұрын
Wakenya wanasema tz wamepata kiongozi bola wewe ambae si mkenya unasema kenyawanauongozi mzuli 2 wewe nikibalaka wa mabepali ndiyomaana unafagilia Kenya wewe kilema nimjingasaana nawewe ukifa motoni
Lema anaongea mambo asiyoyajua
@abouilysar5416
4 жыл бұрын
Unawazimu wewe
@jojolee382
4 жыл бұрын
@@abouilysar5416 unawashwa pabaya eeh....Lema ni jambazi tu
@berniethomas9883
4 жыл бұрын
@@jojolee382 eti Yesu atosha halafu unakua na mambo ya kipumbavu ya kuwaita wenzako majambazi,,alikuibia nn ukajua ni jambaz
democrasia Gani lema unayohitaji ndugu mfamaji,
Nyinyi kwenye chama hamna Democraticy wala utawala bora mwendawazim hunadira kapumzike
Kelele tu, huko Kenya wana matatizo yao kibao mpaka hawajielewi unaongea nini weee🤣🤣
@gredsontangare2401
4 жыл бұрын
Unataka kufananinsha bongo na kenya kweli ujielewi wewe oscar
@berniethomas9883
4 жыл бұрын
@@gredsontangare2401 kaka kumuelewesha chizi utajipa kazi
Huna lolote utarudi kufanyakazi uliokuwa unafanya bungeni kweli hurudi
Waabie wasije kujisahau tutatoana utumbo
Apuuzwe tu . Acha akipate cha moto mnaongea upuuzi ili mpuuzwe . Kama ni msaliti kwa nini apuuzwe ?