LEMA ALIPUKA BUNGENI - "ZITTO APUUZWE, MMEPANGA TUSIRUDI BUNGENI, TUNAJUA"

LEMA ALIPUKA BUNGENI - "ZITTO APUUZWE, MMEPANGA TUSIRUDI BUNGENI, TUNAJUA"
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amesimama Bungeni kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza adhabu ya kutohudhuria vikao vya bunge leo Februari 03, 2020 ambapo amechangia hoja akielezea ni namna gani Tanzania inaweza kukuza uchumi na kuvutia uwekezaji.
#BUNGENIDODOMA
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 94

  • @mwarabumapombe4201
    @mwarabumapombe42014 жыл бұрын

    Kweli lema hautarud bungen tutakukumbuka sana kamanda wetu

  • @johannesmaloda8209
    @johannesmaloda82094 жыл бұрын

    Lema respect.... ktk wabunge waupinzani nao waelewa na kuwaheshim,anakosoa kwa fact co kutukana na mtu wa hivyo ndy anetuma ujumbe kwa wananchi na kueleweka!!

  • @ombenianton3611
    @ombenianton36112 жыл бұрын

    Ila huo mdomo wako unatabiri mambo ambayo yapo mbali sana!!!! All in all u're the best thinker and presenter

  • @restymlale6003
    @restymlale60034 жыл бұрын

    Welldone Boss Lema.!

  • @fadhilgaspa6520
    @fadhilgaspa65204 жыл бұрын

    dah noma sana tundu lisu ukiludi huyu jamaa namfananisha nawewe kwa kweli maana ninoma sana

  • @fanuelgwimo3977
    @fanuelgwimo39773 жыл бұрын

    Uyu mshkaj ni nabii, haki ya wallah

  • @franciscogeorge6172
    @franciscogeorge61723 жыл бұрын

    I will miss u guys a lot.I promise,,,Magufuli kwann umewaacha hawa watu watetez wa wanyonge rais wetu.Mambo meng yaliyokuwa yamejificha hawa walikufanya uyajue.Mh.fikir tena namna ya kurudsha hawa watu n muhim sana kwetu na kwako.Tunajua ww n mchapa kaz lakin changamoto zilikufanya upate hasira zaid na kama pia n mtu hupend rushwa,utafaikisha vip bila kuwa na waangaliz wasaidiz kama hawa.Nasikitika sana.

  • @bunnasib1961
    @bunnasib19614 жыл бұрын

    Mimi nahisi Mh mwenyekiti huwa hawasikilizi wapinzani nahisi huwa ana earpods sikioni... Yani hayo anayoongea yameingilia sikio la kulia yakatokea kushoto...Yani kuzimiwa MIC nakuambiwa AAASANTEE nikawaida tu sasa utasema wanaskilizwa Kweli😂😂😂

  • @clieffmmtapai3459
    @clieffmmtapai34594 жыл бұрын

    Kiherehere cha zzk ndio kimewaponza na ndio kimesababisha mkose utamu wa mjengoni 2020 Zzk kachukua mlungula kuwaua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pole sana lema nenda kaendeshe gari zako za kale zile

  • @isayakilangi5888
    @isayakilangi58884 жыл бұрын

    Hii ndo Tanzania mwanangu nilimwambia asome awe kama profesa na mwanangu akanihoji Kama profesa Nani? Mamake akajibu ngoja nigugo

  • @alexmerickiadi3042

    @alexmerickiadi3042

    4 жыл бұрын

    Klauz .

  • @erasmusshauritanga8485

    @erasmusshauritanga8485

    3 жыл бұрын

    Ulimwambia asome awe professor au Kama professor?maana naona swali lake kwako lilikuwa sawa.

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61774 жыл бұрын

    Kenya Kenya tanzania tanzania kwani kama aupo bungeni bunge alitoendelea bunge si umelikuta walikuwepo akina msekwa na sasa awapo na bunge linaendelea wewe nani kapuku tu

  • @mussabulugu6319
    @mussabulugu63194 жыл бұрын

    Wewe acha kupotosha watu wew unaijua kenya .mbona kenya wanamtamani rais wetu akatawale kwao haraf unatuletea habar za kubumba

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa78824 жыл бұрын

    Nice one boss man

  • @josefusamki8294
    @josefusamki82944 жыл бұрын

    Umeongea point lema big up

  • @johnmiligo429
    @johnmiligo4294 жыл бұрын

    Leema.watake.wasitake.utaludi.mbengeni mungu anaona I navy pimping an is ichi.ya.Tanzania.

  • @rodigensinkwela5964
    @rodigensinkwela59644 жыл бұрын

    Nawaelewa sana vyama siasa kama vyam ving huwa unaongea point san

  • @hajimakame1062
    @hajimakame10624 жыл бұрын

    Unasema ukwili

  • @godwinegacharo9001
    @godwinegacharo90014 жыл бұрын

    Arusha msipo mchagua Lema, sjui mtamtoa wapi mwingine

  • @lukatarimo8364

    @lukatarimo8364

    4 жыл бұрын

    GACHARO 4G kwamba Arusha hakuna mwenyeakili kuliko lema?

  • @officialt-starboy9343
    @officialt-starboy93434 жыл бұрын

    Fact Tupu aisee

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude75114 жыл бұрын

    weeee ya Kenya yaache tu.hujui tu

  • @jonesgeorge3152
    @jonesgeorge31524 жыл бұрын

    Nakukubali sana mtumishi lema

  • @aminielyohana3052
    @aminielyohana30524 жыл бұрын

    Ila hawa vilaza ipo siku zao zitafika mungu atutangulie nakukubali sn lema

  • @erickzephania1030
    @erickzephania10304 жыл бұрын

    Kafulila aliitwa tumbili leo kawa shujaa.. tunapuuza mawazo ya upinzan afu kesho tunalalamika nchii imefika pabaya

  • @allyngoda761
    @allyngoda7614 жыл бұрын

    HIVI WATANZANIA HAMSIKILIZI HOJA ZA LEMA ? HUYU JAMAA NI MZALENDO SANA TUACHE ITIKADI ZETU TUSIKILIZE ANAYOSEMA HUYU JAMAA

  • @joss.nkilio.3537
    @joss.nkilio.35374 жыл бұрын

    Mimi binafsi na waheshimu sana Wapinzani Mabadiliko ya Taifa hili yamesababishwa na Wapinzani kuwa Wakali.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima62104 жыл бұрын

    Wewe lema humtegemei mungu.

  • @lidyamathayo6420
    @lidyamathayo64204 жыл бұрын

    Mheshimiwa Lema unavyosema kuwa hamtarudi bungeni kwamba Uchanguzi ujao utakuwa wa kuteuliwa kma wa serikali za ktaa? Cos sisi kwetu hakuna mhunge , Diwani na huyo mwenyekiti was serikali za mtaa hata kuongea hajui anakunywa na kuuza piwa,alipitishwa na Chama Cha Makofi

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas52414 жыл бұрын

    Apuuzwe tu . Acha akipate cha moto mnaongea upuuzi ili mpuuzwe . Kama ni msaliti kwa nini apuuzwe ?

  • @edwiniedwin3347
    @edwiniedwin33474 жыл бұрын

    Sema mh Lema

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima62104 жыл бұрын

    Kenya toka zamani wako juu kiutali au wawekezaji..

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael54703 жыл бұрын

    Jitihada zimefanikiwa kama ulivyosema kwa kunywa chako. Magufuli kiboko yao. Poleni mawakala wa mabeberu.

  • @innocentandrea6482

    @innocentandrea6482

    2 жыл бұрын

    Anaendeleaje huyo pimbi sa ivi

  • @herodejivava8994
    @herodejivava89944 жыл бұрын

    Uko vizuri kaka

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo30644 жыл бұрын

    😊

  • @sankofaman4112
    @sankofaman41124 жыл бұрын

    Wewe hujielewi ukizungumza juu ya Kenya. Sisi wakenya wenyewe ndio tunajua vile Kenya ilivyo gawanyika na njaa inavyotuumiza, ufisadi wa hali ya juu, wawekezaji wanatoa rushwa na kunyanyasa wafanya kazi raia wa Kenya, yaani Kenya vurugu tupu wala watanzania msikubali mfano huo

  • @hoseamgema9107
    @hoseamgema91074 жыл бұрын

    Hamia kenya mwanangu ..

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar49084 жыл бұрын

    Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae

  • @radiusbakashaya2801

    @radiusbakashaya2801

    4 жыл бұрын

    Nyie waliowachagua walikuwa hawaoni mbele sasa wameshawaona nyie wapinzani mulivyowasariti sasa wawe makini nyie wanafki wawatupilie mbali

  • @bwiganeuswege2366
    @bwiganeuswege23664 жыл бұрын

    Huwez tenganisha siasa na uchumu.. Mazingira mabovu ya biashara, utawala mbovu na sera mbovu za uwekezaji matokeo yake ni umumi mbovu na unaosinyaa.

  • @saluhadu7967
    @saluhadu79674 жыл бұрын

    Lema sisi wana arusha tunakupenda na utakuwa mbunge tu

  • @machintangachibwena5922

    @machintangachibwena5922

    3 жыл бұрын

    Kawa mmbunge wa nairobi sasa

  • @bigbrosmedia255
    @bigbrosmedia2554 жыл бұрын

    mwee!!!

  • @lukasmwendo9383
    @lukasmwendo93834 жыл бұрын

    Lema Akili yako haina Akili inakutosha mwenyew tu

  • @josiakogani3787
    @josiakogani37874 жыл бұрын

    Ney wa mitego mungu upo wap

  • @johnmosha8285
    @johnmosha82854 жыл бұрын

    makini sanaa

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena59223 жыл бұрын

    Kenya vibaraka wa Marekani

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere14504 жыл бұрын

    Huyu mpuuzi anayesema arusha tunampenda lema nani labda wewe katufanyia nini zaidi ya tumbo lake

  • @innoivinick2221

    @innoivinick2221

    4 жыл бұрын

    Hata wa Ccm wamefanya nn kwenye majimbo yao

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini86784 жыл бұрын

    🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @patiencekelvin4453
    @patiencekelvin44534 жыл бұрын

    Matokeo,mchakato,what next ?

  • @frankgabriely9294

    @frankgabriely9294

    4 жыл бұрын

    Lazima arudi

  • @abdallahelbali4200
    @abdallahelbali42004 жыл бұрын

    Ungekuwa na Akihito ungejua China, Singapore na Russia zinaendelea bila upinzani. We lilia njaa zako acha kudanganya.

  • @omarihussein6945
    @omarihussein69454 жыл бұрын

    Mange si ndio sulihisho lenu maji shingoni unataka suluhu

  • @yaletbweye5565
    @yaletbweye55654 жыл бұрын

    Wewe mtenda haki jambazi mstaaf

  • @philliminusmugereza8952
    @philliminusmugereza89524 жыл бұрын

    Tumwombe MUNGU Atuepushe Na Kila Hila.

  • @ngeymwakyelu7631
    @ngeymwakyelu76314 жыл бұрын

    hivi nchi hii kuna haja kweli ya kuwa na bunge?maana ni miyeyusho tu,,hoja za msi ngi hazieshimiwi

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena59224 жыл бұрын

    Huyu Mwenyekiti wa Spika kweli kavu 😭😭😭😭

  • @fadhilikibanti3402

    @fadhilikibanti3402

    4 жыл бұрын

    Mwenyekiti wa bunge sio wa spika

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses68604 жыл бұрын

    Acha uoga lema..

  • @berthayekonia4112
    @berthayekonia41124 жыл бұрын

    Tulifkiri lema angesema shda zetu tupone kumbe yupo bungeni kusema shida za upinzani!!!?

  • @isiakahkadari5279

    @isiakahkadari5279

    4 жыл бұрын

    Arusha hatuna mbunge tuna msemaji wa chama cha chadema,,

  • @michaeljonas7497

    @michaeljonas7497

    4 жыл бұрын

    @@isiakahkadari5279 yaani wew boya

  • @abouilysar5416

    @abouilysar5416

    4 жыл бұрын

    Ujinga umekujaa sana

  • @agnesspetro6695

    @agnesspetro6695

    4 жыл бұрын

    Weee nae! Sasa Kama watabinywa wao kero zetu zitafikaje apo

  • @isaacsengunda3099

    @isaacsengunda3099

    4 жыл бұрын

    Bertha Yekonia ulitaka Lema azungumzie wewe kuuza matunda barabarani,

  • @ericstephenm.844
    @ericstephenm.8444 жыл бұрын

    Tunahitaji Upinzani katika nchi hii hata kama Serikali ya CCM itaonekana inafanya kazi kiasi gani! Siku Upinzani ukifa kabisa katika nchi hii, CCM wataanza kupingana wenyewe kwa wenyewe. Na Wapinzani wa Ndani ni Wabaya kuliko wa Nje. Uhai na Uimara wa CCM ni kwa sababu kuna Wapinzani.

  • @eliamakanika8070

    @eliamakanika8070

    4 жыл бұрын

    Mung u.atasimama

  • @ilovejesus9303

    @ilovejesus9303

    4 жыл бұрын

    True kbs

  • @omariwazirikibao1932

    @omariwazirikibao1932

    4 жыл бұрын

    Broo acha uoga Cha msingi ujitathmini ulilifanyia nini Jimbo lako watanzania sio mbumbu

  • @joss.nkilio.3537

    @joss.nkilio.3537

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @abdulkarimhamissi3755
    @abdulkarimhamissi37554 жыл бұрын

    Urawala bora tunauona wananch

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala28024 жыл бұрын

    Eeeh leo wapili?🤦🏽‍♂️

  • @conceptertibikunda6120

    @conceptertibikunda6120

    4 жыл бұрын

    Ismail majala, ni wewe ulikuwa unakaa kihonda kota 11 za polyester wakati uleeee?

  • @petermachambile3149
    @petermachambile31494 жыл бұрын

    Kazi kulalamika tu kwa ajili ya chadema na ukawa na sio kwa ajili ya wananchi wa Arusha mjini,mmechaguliwa kwa ajili ya vyama washenzi ninyi?

  • @pascalkenyatta420
    @pascalkenyatta4204 жыл бұрын

    We jembe

  • @silverinada3894
    @silverinada38944 жыл бұрын

    Lema huu ndio mwisho wko hautakuwa mbunge tena. Hauna hoja ya msingi......

  • @kulwaswetu4457
    @kulwaswetu44574 жыл бұрын

    Chizi wewe hataunachokiongeaga bungeni sikuelewagi

  • @kulwaswetu4457

    @kulwaswetu4457

    4 жыл бұрын

    Wakenya wanasema tz wamepata kiongozi bola wewe ambae si mkenya unasema kenyawanauongozi mzuli 2 wewe nikibalaka wa mabepali ndiyomaana unafagilia Kenya wewe kilema nimjingasaana nawewe ukifa motoni

  • @jojolee382
    @jojolee3824 жыл бұрын

    Lema anaongea mambo asiyoyajua

  • @abouilysar5416

    @abouilysar5416

    4 жыл бұрын

    Unawazimu wewe

  • @jojolee382

    @jojolee382

    4 жыл бұрын

    @@abouilysar5416 unawashwa pabaya eeh....Lema ni jambazi tu

  • @berniethomas9883

    @berniethomas9883

    4 жыл бұрын

    @@jojolee382 eti Yesu atosha halafu unakua na mambo ya kipumbavu ya kuwaita wenzako majambazi,,alikuibia nn ukajua ni jambaz

  • @gilberthndakidemi7358
    @gilberthndakidemi73584 жыл бұрын

    democrasia Gani lema unayohitaji ndugu mfamaji,

  • @Kisaboleonards
    @Kisaboleonards4 жыл бұрын

    Nyinyi kwenye chama hamna Democraticy wala utawala bora mwendawazim hunadira kapumzike

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar68764 жыл бұрын

    Kelele tu, huko Kenya wana matatizo yao kibao mpaka hawajielewi unaongea nini weee🤣🤣

  • @gredsontangare2401

    @gredsontangare2401

    4 жыл бұрын

    Unataka kufananinsha bongo na kenya kweli ujielewi wewe oscar

  • @berniethomas9883

    @berniethomas9883

    4 жыл бұрын

    @@gredsontangare2401 kaka kumuelewesha chizi utajipa kazi

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas33224 жыл бұрын

    Huna lolote utarudi kufanyakazi uliokuwa unafanya bungeni kweli hurudi

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi78834 жыл бұрын

    Waabie wasije kujisahau tutatoana utumbo

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas52414 жыл бұрын

    Apuuzwe tu . Acha akipate cha moto mnaongea upuuzi ili mpuuzwe . Kama ni msaliti kwa nini apuuzwe ?

Келесі