MGOMBEA USPIKA ALIVYOWAKOSHA WABUNGE, ATUNZWA PESA
Жүктеу.....
Пікірлер: 402
@paulinepeter4122 жыл бұрын
He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.
@irenesisamo2184
2 жыл бұрын
Very true imendeze mama tu
@happyelias94652 жыл бұрын
Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA
@tittoskeysproject1967
2 жыл бұрын
Jitu la MBINGUNI
@ibrahimunderson4615
2 жыл бұрын
Mm pia
@saimonijonas43562 жыл бұрын
Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.
@deepconcept20202 жыл бұрын
Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
@jaharaoman6478
2 жыл бұрын
Amina
@RamadhanAli2 жыл бұрын
Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??
@RamadhanAli
2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
@antoinekatembo8520
2 жыл бұрын
Very true
@RamadhanAli
2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
@onlythestrong86592 жыл бұрын
Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍
@dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын
Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....
@rubenijackisoni56792 жыл бұрын
Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili
@eshasalim5496
2 жыл бұрын
Ameen
@cyprianoduor8702 жыл бұрын
Charisma of this man will make parliament active.
@Iamraychris2 жыл бұрын
Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾
@maryberege3093
2 жыл бұрын
Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli
@revivalchoir12 жыл бұрын
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
@bonawalewale99212 жыл бұрын
Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana
@salimmalaka2562 жыл бұрын
HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍
@ahmadsayyeed79102 жыл бұрын
Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye
@eshasalim5496
2 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын
Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin
@dubabaxakatv29932 жыл бұрын
Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best
@bibilaginanani82592 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi unaweza
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
@MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣
@samweliandrea78022 жыл бұрын
Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo
@BOB-oe7tc
2 жыл бұрын
Nice
@selinamashoko24902 жыл бұрын
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
@zolongOne2 жыл бұрын
Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣
@minskbelarus72552 жыл бұрын
Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu
@rossmaryphases8509
2 жыл бұрын
Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......
@ramadhanishaha68842 жыл бұрын
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
@abdullahipharah36772 жыл бұрын
Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!
@dotnatajoseph26202 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣
@innocentmfundo5290
2 жыл бұрын
I'm Thrilled, This Is Love.
@believeboy21502 жыл бұрын
Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗
@dallorday2 жыл бұрын
Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi
@mkato58312 жыл бұрын
Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu
@makameali1362 жыл бұрын
NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu
@arkamsaid76002 жыл бұрын
We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂
@malkavoice25702 жыл бұрын
Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?
@sumahtanzania49912 жыл бұрын
Mashalah anafaa sana ana confidence
@hiquest72732 жыл бұрын
I truly love the orderliness with the tanzanians in such openess. Kenya Bunge, learn
@agripinaaudax1682 жыл бұрын
Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu
@mpokimwakisimba692
2 жыл бұрын
Inasikitisha Sana yaani. Shida ndiyo hiyo, tunawekewa matikiti maji😓😥
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
Nchi ya kishamba sana
@lmashua2 жыл бұрын
Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.
@theopistamwayeya1764
2 жыл бұрын
Hahaaa
@simonjnrmabula37852 жыл бұрын
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
@jaharaoman6478
2 жыл бұрын
Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻
@zuenajohn8325
2 жыл бұрын
Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.
@loishiyesamwel1374
2 жыл бұрын
Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa
@zuenajohn8325
2 жыл бұрын
@@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.
@binrashid8671
2 жыл бұрын
Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...
@chrissg40262 жыл бұрын
Nimefurahia confidence yake🤣
@mgasa_tz5527
2 жыл бұрын
Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious
@johnrimoy16132 жыл бұрын
Anauwezo wa kushawishi. Safi sana.
@samomnanka27792 жыл бұрын
AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM
@umojamedia4167
2 жыл бұрын
icho kiti cha uspika anagombea yeyote ata huyu japo sio mmbunge Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
@to-chisesoboy73362 жыл бұрын
Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA
@amanlenatus90672 жыл бұрын
Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko
@issaalfani10302 жыл бұрын
Umeongea kwa uwezo mkubwa sana
@rosemarymshana39392 жыл бұрын
He's the greatest confidence man✊❣️🙏
@pascalpolepole12092 жыл бұрын
Ana Akili timamu kabisa! Respect !👌👌👌🔥🔥🔥
@hassanmohamedi75852 жыл бұрын
Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂
@sharcksharckhassan57862 жыл бұрын
Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salimkatana67212 жыл бұрын
Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!
@arqammasoud68582 жыл бұрын
Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏
@JAYCLASSICMEDIA2 жыл бұрын
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
@evanccast62282 жыл бұрын
Muomba rithaa Ndonge Said ndonge yuko vizuriii sanaaa 👏👏👏👏👏
@hajimnubi45812 жыл бұрын
Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina
@nicksonnewton15402 жыл бұрын
Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila
@youngbilioners46312 жыл бұрын
Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo
@hamisikisoma27422 жыл бұрын
Safi sanaa Mr.Ndonge umeupiga mwingi muomba ridhaaaaaaa
@schosay_2 жыл бұрын
I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,
@philemonmagesa55482 жыл бұрын
Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua
@edm0ndk2 жыл бұрын
7:34 Ndonge kaupiga mwingi hapa 🙌🏾😂🤣
@francismagari43732 жыл бұрын
Ahsante kwa kuizungumzia Katiba mpya
@TALLUBOY2 жыл бұрын
Kweli umetisha sana kamanda
@janethjustin52562 жыл бұрын
He is great man 👏👏
@malkavoice25702 жыл бұрын
Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!
@baselinoelimwasi37632 жыл бұрын
Hivi vyama kweli Ni vya CCM
@abdulhamis98252 жыл бұрын
Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii
@olobikoomollel38982 жыл бұрын
Jamani mliomchangia pia mpeni na kura muomba ridhaa ....mungu awabariki wote watanzania mlioguswa na bwana ndunge
@angeljustine24932 жыл бұрын
Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
@omarymohammed93962 жыл бұрын
Ndonge ana madini kichwani anafaa kuwa mkuu wa mkoa
@hamismagangger75422 жыл бұрын
Ana comfidence sana lakini kaaambiwa ajielezeee anatoka nje ya mada 😁🥛
@asiaokelay84212 жыл бұрын
Masha Allah
@ramadhanimtetu72462 жыл бұрын
Hahahaha Nimecheka mnooo.
@angeljustine24932 жыл бұрын
Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.
@beatricefilbert11712 жыл бұрын
Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako
@ChiefMkwetu2 жыл бұрын
Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳
@hellenbochere49822 жыл бұрын
Kweli Kawa speaker
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
@HamixBreshiBane2 жыл бұрын
Jamaa kwa jinsi alivyo na alivyoongea watampatia kitengo
@saidabdallah26492 жыл бұрын
Dah huyu anafaaa sana yaani yuko vizuri labda akose busara 👍👍👍😂😂
@fralex_12762 жыл бұрын
I love this guy
@moshiomarymnyeda89072 жыл бұрын
Wangempa Lukuvi tu Yupo makini sana aisee
@mosesmahinya96542 жыл бұрын
Huyu jamaa ni nouma sana
@joelrugano65172 жыл бұрын
Watanzania tuna tatizo. Tunashangilia nini hapo, mtu anaongea pumba tunacheka. " This guy is talking nonsense in my view". Aombe kuwa mwenyekiti wa wasanii.
@wechemakambo2182
2 жыл бұрын
Nashangaa
@raphaellighongo6076
2 жыл бұрын
Sema tu una roho ya korosho...😂😂
@joelrugano6517
2 жыл бұрын
@@raphaellighongo6076 Shida ndiyo hiyo, hoja hujibiwa kwa hoja.Mtima nyongo unaanzia wapi kwa mfano? Hii inadhihilisha nilicho kisema
@maximusalnono64252 жыл бұрын
Wee kwanza nichague halafu uone shughuli 🤣🤣Ndonge kiswahili kingi amekaa sana vibaraza vya karata na kahawa 🤣🤣
@suleimanbakar34292 жыл бұрын
banging kweli cab mboga msukuma anavuta bang hasa
@bakarimohamedi58142 жыл бұрын
Issue serious mtu anapiga porojo tu hamna kitu hapa
@jacquelinesemu13472 жыл бұрын
Nimefurahi kumsikiliza
@dazzoofficial4692 жыл бұрын
Hana maajabu wala hoja za msingi Mama maamaa mama nini bn Ongea vitu nya msingi
@shakilasharifa92 жыл бұрын
MASHAALLAH
@dismashaule16312 жыл бұрын
Nimefarijika sna kumuona Mch.Gwajma akiwa bungen,Mungu yu mwema Ila Ndonge kapiga pesa sna kwa dakika 10
@fayeezomar93532 жыл бұрын
MashaAllah
@justinemaganga77342 жыл бұрын
Huyu anafaa sana
@kapondamsita4762 жыл бұрын
Allah akupemafanikio inshallah
@eshasalim5496
2 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@rich_wasparner92332 жыл бұрын
Hongera Sana muomba ridhaa
@hassanomar10412 жыл бұрын
Ndonge amemaliza kila kitu mimi ni mkenya ila nimempitisha ✌
@kinaboavelini82382 жыл бұрын
😁 yupo vizuri sana, naimani ataonwa zaidi
@simonlyimo43602 жыл бұрын
Mweshimiwa Said Ndonge kapita tayar kwtu
@lumumbasankara63882 жыл бұрын
Hahahahaaaaa maisha kucheka tu
@eliyahango42782 жыл бұрын
Wabunge wa ccm Mungu anawaona, mnawapa wagombea nafasi za kujiekeza wakati m ajua hawashindi😝😝😝😝😝😝😝🤣🤣🤣
Пікірлер: 402
He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.
@irenesisamo2184
2 жыл бұрын
Very true imendeze mama tu
Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA
@tittoskeysproject1967
2 жыл бұрын
Jitu la MBINGUNI
@ibrahimunderson4615
2 жыл бұрын
Mm pia
Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.
Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
@jaharaoman6478
2 жыл бұрын
Amina
Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??
@RamadhanAli
2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
@antoinekatembo8520
2 жыл бұрын
Very true
@RamadhanAli
2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍
Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....
Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili
@eshasalim5496
2 жыл бұрын
Ameen
Charisma of this man will make parliament active.
Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾
@maryberege3093
2 жыл бұрын
Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana
HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍
Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye
@eshasalim5496
2 жыл бұрын
Allahumma Amiin
Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin
Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best
Hongera sana kiongozi unaweza
@MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣
Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo
@BOB-oe7tc
2 жыл бұрын
Nice
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣
Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu
@rossmaryphases8509
2 жыл бұрын
Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!
🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣
@innocentmfundo5290
2 жыл бұрын
I'm Thrilled, This Is Love.
Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗
Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi
Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu
NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu
We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂
Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?
Mashalah anafaa sana ana confidence
I truly love the orderliness with the tanzanians in such openess. Kenya Bunge, learn
Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu
@mpokimwakisimba692
2 жыл бұрын
Inasikitisha Sana yaani. Shida ndiyo hiyo, tunawekewa matikiti maji😓😥
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
Nchi ya kishamba sana
Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.
@theopistamwayeya1764
2 жыл бұрын
Hahaaa
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
@jaharaoman6478
2 жыл бұрын
Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻
@zuenajohn8325
2 жыл бұрын
Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.
@loishiyesamwel1374
2 жыл бұрын
Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa
@zuenajohn8325
2 жыл бұрын
@@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.
@binrashid8671
2 жыл бұрын
Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...
Nimefurahia confidence yake🤣
@mgasa_tz5527
2 жыл бұрын
Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious
Anauwezo wa kushawishi. Safi sana.
AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM
@umojamedia4167
2 жыл бұрын
icho kiti cha uspika anagombea yeyote ata huyu japo sio mmbunge Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA
Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko
Umeongea kwa uwezo mkubwa sana
He's the greatest confidence man✊❣️🙏
Ana Akili timamu kabisa! Respect !👌👌👌🔥🔥🔥
Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya
Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂
Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!
Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
Muomba rithaa Ndonge Said ndonge yuko vizuriii sanaaa 👏👏👏👏👏
Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina
Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila
Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo
Safi sanaa Mr.Ndonge umeupiga mwingi muomba ridhaaaaaaa
I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,
Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua
7:34 Ndonge kaupiga mwingi hapa 🙌🏾😂🤣
Ahsante kwa kuizungumzia Katiba mpya
Kweli umetisha sana kamanda
He is great man 👏👏
Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!
Hivi vyama kweli Ni vya CCM
Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii
Jamani mliomchangia pia mpeni na kura muomba ridhaa ....mungu awabariki wote watanzania mlioguswa na bwana ndunge
Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
Ndonge ana madini kichwani anafaa kuwa mkuu wa mkoa
Ana comfidence sana lakini kaaambiwa ajielezeee anatoka nje ya mada 😁🥛
Masha Allah
Hahahaha Nimecheka mnooo.
Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.
Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako
Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳
Kweli Kawa speaker
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
Jamaa kwa jinsi alivyo na alivyoongea watampatia kitengo
Dah huyu anafaaa sana yaani yuko vizuri labda akose busara 👍👍👍😂😂
I love this guy
Wangempa Lukuvi tu Yupo makini sana aisee
Huyu jamaa ni nouma sana
Watanzania tuna tatizo. Tunashangilia nini hapo, mtu anaongea pumba tunacheka. " This guy is talking nonsense in my view". Aombe kuwa mwenyekiti wa wasanii.
@wechemakambo2182
2 жыл бұрын
Nashangaa
@raphaellighongo6076
2 жыл бұрын
Sema tu una roho ya korosho...😂😂
@joelrugano6517
2 жыл бұрын
@@raphaellighongo6076 Shida ndiyo hiyo, hoja hujibiwa kwa hoja.Mtima nyongo unaanzia wapi kwa mfano? Hii inadhihilisha nilicho kisema
Wee kwanza nichague halafu uone shughuli 🤣🤣Ndonge kiswahili kingi amekaa sana vibaraza vya karata na kahawa 🤣🤣
banging kweli cab mboga msukuma anavuta bang hasa
Issue serious mtu anapiga porojo tu hamna kitu hapa
Nimefurahi kumsikiliza
Hana maajabu wala hoja za msingi Mama maamaa mama nini bn Ongea vitu nya msingi
MASHAALLAH
Nimefarijika sna kumuona Mch.Gwajma akiwa bungen,Mungu yu mwema Ila Ndonge kapiga pesa sna kwa dakika 10
MashaAllah
Huyu anafaa sana
Allah akupemafanikio inshallah
@eshasalim5496
2 жыл бұрын
Allahumma Amiin
Hongera Sana muomba ridhaa
Ndonge amemaliza kila kitu mimi ni mkenya ila nimempitisha ✌
😁 yupo vizuri sana, naimani ataonwa zaidi
Mweshimiwa Said Ndonge kapita tayar kwtu
Hahahahaaaaa maisha kucheka tu
Wabunge wa ccm Mungu anawaona, mnawapa wagombea nafasi za kujiekeza wakati m ajua hawashindi😝😝😝😝😝😝😝🤣🤣🤣
AWESOME 👌
His good guy 👍👍👍🙏🏽🙏🏽🙏🏽😘😘