MGOMBEA USPIKA ALIVYOWAKOSHA WABUNGE, ATUNZWA PESA

Пікірлер: 402

  • @paulinepeter412
    @paulinepeter4122 жыл бұрын

    He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.

  • @irenesisamo2184

    @irenesisamo2184

    2 жыл бұрын

    Very true imendeze mama tu

  • @happyelias9465
    @happyelias94652 жыл бұрын

    Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA

  • @tittoskeysproject1967

    @tittoskeysproject1967

    2 жыл бұрын

    Jitu la MBINGUNI

  • @ibrahimunderson4615

    @ibrahimunderson4615

    2 жыл бұрын

    Mm pia

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas43562 жыл бұрын

    Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.

  • @deepconcept2020
    @deepconcept20202 жыл бұрын

    Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.

  • @jaharaoman6478

    @jaharaoman6478

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @RamadhanAli
    @RamadhanAli2 жыл бұрын

    Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    2 жыл бұрын

    Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??

  • @RamadhanAli

    @RamadhanAli

    2 жыл бұрын

    @@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    2 жыл бұрын

    @@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.

  • @antoinekatembo8520

    @antoinekatembo8520

    2 жыл бұрын

    Very true

  • @RamadhanAli

    @RamadhanAli

    2 жыл бұрын

    @@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.

  • @onlythestrong8659
    @onlythestrong86592 жыл бұрын

    Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын

    Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....

  • @rubenijackisoni5679
    @rubenijackisoni56792 жыл бұрын

    Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @cyprianoduor870
    @cyprianoduor8702 жыл бұрын

    Charisma of this man will make parliament active.

  • @Iamraychris
    @Iamraychris2 жыл бұрын

    Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾

  • @maryberege3093

    @maryberege3093

    2 жыл бұрын

    Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli

  • @revivalchoir1
    @revivalchoir12 жыл бұрын

    Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania

  • @bonawalewale9921
    @bonawalewale99212 жыл бұрын

    Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka2562 жыл бұрын

    HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed79102 жыл бұрын

    Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    2 жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын

    Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv29932 жыл бұрын

    Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best

  • @bibilaginanani8259
    @bibilaginanani82592 жыл бұрын

    Hongera sana kiongozi unaweza

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca2 жыл бұрын

    @MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣

  • @samweliandrea7802
    @samweliandrea78022 жыл бұрын

    Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo

  • @BOB-oe7tc

    @BOB-oe7tc

    2 жыл бұрын

    Nice

  • @selinamashoko2490
    @selinamashoko24902 жыл бұрын

    Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!

  • @zolongOne
    @zolongOne2 жыл бұрын

    Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus72552 жыл бұрын

    Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu

  • @rossmaryphases8509

    @rossmaryphases8509

    2 жыл бұрын

    Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......

  • @ramadhanishaha6884
    @ramadhanishaha68842 жыл бұрын

    Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri

  • @abdullahipharah3677
    @abdullahipharah36772 жыл бұрын

    Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph26202 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @innocentmfundo5290

    @innocentmfundo5290

    2 жыл бұрын

    I'm Thrilled, This Is Love.

  • @believeboy2150
    @believeboy21502 жыл бұрын

    Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗

  • @dallorday
    @dallorday2 жыл бұрын

    Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi

  • @mkato5831
    @mkato58312 жыл бұрын

    Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu

  • @makameali136
    @makameali1362 жыл бұрын

    NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu

  • @arkamsaid7600
    @arkamsaid76002 жыл бұрын

    We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25702 жыл бұрын

    Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?

  • @sumahtanzania4991
    @sumahtanzania49912 жыл бұрын

    Mashalah anafaa sana ana confidence

  • @hiquest7273
    @hiquest72732 жыл бұрын

    I truly love the orderliness with the tanzanians in such openess. Kenya Bunge, learn

  • @agripinaaudax168
    @agripinaaudax1682 жыл бұрын

    Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu

  • @mpokimwakisimba692

    @mpokimwakisimba692

    2 жыл бұрын

    Inasikitisha Sana yaani. Shida ndiyo hiyo, tunawekewa matikiti maji😓😥

  • @blackpanther4825

    @blackpanther4825

    2 жыл бұрын

    Nchi ya kishamba sana

  • @lmashua
    @lmashua2 жыл бұрын

    Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.

  • @theopistamwayeya1764

    @theopistamwayeya1764

    2 жыл бұрын

    Hahaaa

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula37852 жыл бұрын

    Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.

  • @jaharaoman6478

    @jaharaoman6478

    2 жыл бұрын

    Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻

  • @zuenajohn8325

    @zuenajohn8325

    2 жыл бұрын

    Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.

  • @loishiyesamwel1374

    @loishiyesamwel1374

    2 жыл бұрын

    Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa

  • @zuenajohn8325

    @zuenajohn8325

    2 жыл бұрын

    @@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.

  • @binrashid8671

    @binrashid8671

    2 жыл бұрын

    Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...

  • @chrissg4026
    @chrissg40262 жыл бұрын

    Nimefurahia confidence yake🤣

  • @mgasa_tz5527

    @mgasa_tz5527

    2 жыл бұрын

    Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious

  • @johnrimoy1613
    @johnrimoy16132 жыл бұрын

    Anauwezo wa kushawishi. Safi sana.

  • @samomnanka2779
    @samomnanka27792 жыл бұрын

    AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM

  • @umojamedia4167

    @umojamedia4167

    2 жыл бұрын

    icho kiti cha uspika anagombea yeyote ata huyu japo sio mmbunge Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom

  • @to-chisesoboy7336
    @to-chisesoboy73362 жыл бұрын

    Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus90672 жыл бұрын

    Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko

  • @issaalfani1030
    @issaalfani10302 жыл бұрын

    Umeongea kwa uwezo mkubwa sana

  • @rosemarymshana3939
    @rosemarymshana39392 жыл бұрын

    He's the greatest confidence man✊❣️🙏

  • @pascalpolepole1209
    @pascalpolepole12092 жыл бұрын

    Ana Akili timamu kabisa! Respect !👌👌👌🔥🔥🔥

  • @hassanmohamedi7585
    @hassanmohamedi75852 жыл бұрын

    Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam94152 жыл бұрын

    Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂

  • @sharcksharckhassan5786
    @sharcksharckhassan57862 жыл бұрын

    Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salimkatana6721
    @salimkatana67212 жыл бұрын

    Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!

  • @arqammasoud6858
    @arqammasoud68582 жыл бұрын

    Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏

  • @JAYCLASSICMEDIA
    @JAYCLASSICMEDIA2 жыл бұрын

    EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho59472 жыл бұрын

    Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.

  • @evanccast6228
    @evanccast62282 жыл бұрын

    Muomba rithaa Ndonge Said ndonge yuko vizuriii sanaaa 👏👏👏👏👏

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi45812 жыл бұрын

    Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina

  • @nicksonnewton1540
    @nicksonnewton15402 жыл бұрын

    Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila

  • @youngbilioners4631
    @youngbilioners46312 жыл бұрын

    Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo

  • @hamisikisoma2742
    @hamisikisoma27422 жыл бұрын

    Safi sanaa Mr.Ndonge umeupiga mwingi muomba ridhaaaaaaa

  • @schosay_
    @schosay_2 жыл бұрын

    I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa55482 жыл бұрын

    Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua

  • @edm0ndk
    @edm0ndk2 жыл бұрын

    7:34 Ndonge kaupiga mwingi hapa 🙌🏾😂🤣

  • @francismagari4373
    @francismagari43732 жыл бұрын

    Ahsante kwa kuizungumzia Katiba mpya

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY2 жыл бұрын

    Kweli umetisha sana kamanda

  • @janethjustin5256
    @janethjustin52562 жыл бұрын

    He is great man 👏👏

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25702 жыл бұрын

    Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!

  • @baselinoelimwasi3763
    @baselinoelimwasi37632 жыл бұрын

    Hivi vyama kweli Ni vya CCM

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis98252 жыл бұрын

    Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii

  • @olobikoomollel3898
    @olobikoomollel38982 жыл бұрын

    Jamani mliomchangia pia mpeni na kura muomba ridhaa ....mungu awabariki wote watanzania mlioguswa na bwana ndunge

  • @angeljustine2493
    @angeljustine24932 жыл бұрын

    Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.

  • @omarymohammed9396
    @omarymohammed93962 жыл бұрын

    Ndonge ana madini kichwani anafaa kuwa mkuu wa mkoa

  • @hamismagangger7542
    @hamismagangger75422 жыл бұрын

    Ana comfidence sana lakini kaaambiwa ajielezeee anatoka nje ya mada 😁🥛

  • @asiaokelay8421
    @asiaokelay84212 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu72462 жыл бұрын

    Hahahaha Nimecheka mnooo.

  • @angeljustine2493
    @angeljustine24932 жыл бұрын

    Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert11712 жыл бұрын

    Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako

  • @ChiefMkwetu
    @ChiefMkwetu2 жыл бұрын

    Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳

  • @hellenbochere4982
    @hellenbochere49822 жыл бұрын

    Kweli Kawa speaker

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu52432 жыл бұрын

    Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.

  • @HamixBreshiBane
    @HamixBreshiBane2 жыл бұрын

    Jamaa kwa jinsi alivyo na alivyoongea watampatia kitengo

  • @saidabdallah2649
    @saidabdallah26492 жыл бұрын

    Dah huyu anafaaa sana yaani yuko vizuri labda akose busara 👍👍👍😂😂

  • @fralex_1276
    @fralex_12762 жыл бұрын

    I love this guy

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda89072 жыл бұрын

    Wangempa Lukuvi tu Yupo makini sana aisee

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya96542 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni nouma sana

  • @joelrugano6517
    @joelrugano65172 жыл бұрын

    Watanzania tuna tatizo. Tunashangilia nini hapo, mtu anaongea pumba tunacheka. " This guy is talking nonsense in my view". Aombe kuwa mwenyekiti wa wasanii.

  • @wechemakambo2182

    @wechemakambo2182

    2 жыл бұрын

    Nashangaa

  • @raphaellighongo6076

    @raphaellighongo6076

    2 жыл бұрын

    Sema tu una roho ya korosho...😂😂

  • @joelrugano6517

    @joelrugano6517

    2 жыл бұрын

    @@raphaellighongo6076 Shida ndiyo hiyo, hoja hujibiwa kwa hoja.Mtima nyongo unaanzia wapi kwa mfano? Hii inadhihilisha nilicho kisema

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono64252 жыл бұрын

    Wee kwanza nichague halafu uone shughuli 🤣🤣Ndonge kiswahili kingi amekaa sana vibaraza vya karata na kahawa 🤣🤣

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar34292 жыл бұрын

    banging kweli cab mboga msukuma anavuta bang hasa

  • @bakarimohamedi5814
    @bakarimohamedi58142 жыл бұрын

    Issue serious mtu anapiga porojo tu hamna kitu hapa

  • @jacquelinesemu1347
    @jacquelinesemu13472 жыл бұрын

    Nimefurahi kumsikiliza

  • @dazzoofficial469
    @dazzoofficial4692 жыл бұрын

    Hana maajabu wala hoja za msingi Mama maamaa mama nini bn Ongea vitu nya msingi

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa92 жыл бұрын

    MASHAALLAH

  • @dismashaule1631
    @dismashaule16312 жыл бұрын

    Nimefarijika sna kumuona Mch.Gwajma akiwa bungen,Mungu yu mwema Ila Ndonge kapiga pesa sna kwa dakika 10

  • @fayeezomar9353
    @fayeezomar93532 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @justinemaganga7734
    @justinemaganga77342 жыл бұрын

    Huyu anafaa sana

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita4762 жыл бұрын

    Allah akupemafanikio inshallah

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    2 жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @rich_wasparner9233
    @rich_wasparner92332 жыл бұрын

    Hongera Sana muomba ridhaa

  • @hassanomar1041
    @hassanomar10412 жыл бұрын

    Ndonge amemaliza kila kitu mimi ni mkenya ila nimempitisha ✌

  • @kinaboavelini8238
    @kinaboavelini82382 жыл бұрын

    😁 yupo vizuri sana, naimani ataonwa zaidi

  • @simonlyimo4360
    @simonlyimo43602 жыл бұрын

    Mweshimiwa Said Ndonge kapita tayar kwtu

  • @lumumbasankara6388
    @lumumbasankara63882 жыл бұрын

    Hahahahaaaaa maisha kucheka tu

  • @eliyahango4278
    @eliyahango42782 жыл бұрын

    Wabunge wa ccm Mungu anawaona, mnawapa wagombea nafasi za kujiekeza wakati m ajua hawashindi😝😝😝😝😝😝😝🤣🤣🤣

  • @abdizozizu8098
    @abdizozizu80982 жыл бұрын

    AWESOME 👌

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle41042 жыл бұрын

    His good guy 👍👍👍🙏🏽🙏🏽🙏🏽😘😘

Келесі