“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
Mbunge wa Tarime vijijini John Heche amesema kuwa Serikali inatakiwa kuzifanyia kazi baadhi ya taarifa zinazotolewa na wananchi kuhusu matukio yanayodaiwa kuhusisha Askari Polisi kuuawa watu bila hatia na iache kuwatishia watu wanaotoa taarifa hizo. Heche amesema hay oleo November 7, 2018 wakati akichangia mapendekezo yake katika mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na kuandaa mpango wa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2019/20
Пікірлер: 700
Unafaaa kuongoza Tanzania. Kama unamkubali Heche kua Rais wetu ngonga Like hapa
If you’re here 2022 listening to this guy again after missing these discussions on the Parliament…. Like here John Heche live long
I wish to see this guy back.As Kenyan we have alot of hope in him.
uyu jamaaa huwa namwonaga mbali sana...mungu aendelee kumtetea....
@samwelpaul7334
Жыл бұрын
Moja ya wanasiasa bora sana
Ukiwa mpinzan Mungu anakuongezea akil na uwezo wa kufikir, hongera Heche
@georgegodfrey4776
3 жыл бұрын
Ni kama ukiwa nje ya uwanja tu
Dah! hii kichwa naipenda balaa. Piga kazi mura najivunia wewe kuwa mbunge wanguuu👏👏👏
Naomba uwe rais kura yangu na ukooo wangu woooooote chukua. Akili yako nikama ya wana ...........wooooote, love u so much brother. Ongea ukweli asiependa ukweli atakuwinda, tuko nyumbani toka 2015 hamna ajira mimi ni moja wao, naomba namba nikutumie vocha bro.
@nicholausnchimbi1599
5 жыл бұрын
Yatapotoka majibu toka kwa mawaziri utasikia kuhusu utaratibu,mwongozo,taarifa mwisho haoooo nje
@isackmosesmabula3648
5 жыл бұрын
Tata muchomason hahaaaaaa
@documentariestvshow
4 жыл бұрын
Ukabilaaa ndo unauelewa Sana eeee n ukooo wako
mwanasiasa wangu bora katika huu mwaka huwa Una nipa ujasiri mkubwa sana
Nawakubali sana chama langu lijualikali pascal haonga heche prof j
Pole sana heche, kwa kumpoteza mdogo wako, inauma sana, lakini ndio serikali yetu hiyo ya uonevu.
@amanipindu3403
4 жыл бұрын
Kwer
Huyu mbunge ni mashine ya hali ya juu nimempenda Mungu akulinde na akupe maisha marefu aise
umeongea hoja nzito sana hongera sana heche
@iddymanyama3742
5 жыл бұрын
Mungu mtangulie john heche popote aendako mpeujasiri wa kutukomboa
@abdulrahmansaliumalbry2615
5 жыл бұрын
Majambazi watupu.
@emmykagemb7993
5 жыл бұрын
Wizi mtupu
longa heche longa I like this guy taking sense, that's what MP is supposed to do talk for the people GOD protect this guy
Hongera sema kaka yangu
Wabunge wa upinzani ni noma yani nivichwa wanafaa kumsaidia rais wetu kiukweli
@iddyabdallah4823
4 жыл бұрын
Heche kiboko sana
@sifuelinyaki3341
4 жыл бұрын
Bernadi Nangasi rais hataki kufanya kazi na wapinzani wakiwa upinzani unles kama watahamia tawala
@benjaminjulius8021
4 жыл бұрын
Sisi tunaitaji mtazamo wake hatutaki awe msagaji
@gabrielmamela2206
3 жыл бұрын
Kama rais hataki kufanya kazi na wapinzani huo ni upunguani kwani hii nchi ni ya mfumo wa vyama vingi na maendeleo hayana chama. Rais akishapita watu wote ni wa kwake awapelekee maendeleo bila ubaguzi eti kwa kuwa jimbo fulani mbunge wake ni chama cha upinzani au diwani ni wa upinzani eti mtasota miaka mitano yote bila kupata maendeleo yoyote.
@sarahwalles2607
3 жыл бұрын
@@gabrielmamela2206 kweli kweli kbs licha wakwake tu pia nchi ya watanzania wote sio yake peke ake
TZ ya Sugu,Heche,Zitto,Msigwa,HalimaMdee,Easter Bulaya Nyerere angefurahi sana
@abdallahmzee4335
5 жыл бұрын
Umemsahau Tundu lisu
@rebeccampeta6650
5 жыл бұрын
umeona e
@maijohn4815
2 жыл бұрын
Umemsahau na lema
Mh Heche yuko vizuri kimawazo... Gud Sana mh
huyu ni mbuge wa watanzania namkubali sana
@majaliwawangdagangdullanga700
5 жыл бұрын
Kabisa
@mbwanaomary7537
5 жыл бұрын
Waongo sana hawa jamaa kesho unaweza ukasikia anawasifia na kuponda huko aliko sasa hivi
@libwelaally3707
5 жыл бұрын
True
@restjoel8968
5 жыл бұрын
Sana sana
@saidnzowa9913
5 жыл бұрын
nampenda sana heche
Big up sana Heche wataelewa tu hata kama wanajifanya viziwi
Heche anastahili kabisa hata kuwa MKT Wa upinzani salute mkuu
tumepewa macho kwa ajiri ya kuona,tumepewa masikio kwaajiri ya kusikiliza na tumepewa ubongo kwa ajiri ya kutunza kumbukumbu.kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho msijisahaulishe viongozi wetu asante sana Heche kwa mchango wako mzuri
Heche hats Mimi umeni inspire.MKULIMA nchi hii sijui nisemeje.hana haki mbolea elfu Sabin sawa na gunia NNE za mahindi. Serikali yangu sikivu embu liangalieni hili mambo mengine ni Nondo
Yani uyu jamaa sio wakawaida mungu akupe maisha malefu mweshimiwa.heche👏👏👏👏👏👏
Asante wabunge mnaoujua kilichowapeka wapo ambao wanataarifa za kuokatisha kitu chamaana kinachoongelewa poleni mloshiba nakusahau wenye njaa
Asante KAMANDA,UKO SAWA.VIPOFU NA ZE,ZETA WANAOSHANGILIA CCM WASIKIE HAYO LABDA WATAPATA UFAHAMU
hongera sana heche wewe ni kiongozi wa watu na unatetea watu Mungu anayaona haya tuko nyuma yako kaka
Mengine hapo yanakazana taaarifa wakati huku kitaa ndugu zao wanaishi maisha magumu, sema babaaa
@nicevictormkalimkali3776
5 жыл бұрын
winnie charles baby h i
@felistersanga6357
5 жыл бұрын
tutetee baba tunakuelewa wananchi huku tunaishi maisha magumu sana
@charlesachar7460
4 жыл бұрын
winnie charles
@pazzyamily2857
4 жыл бұрын
Watetee
@jacksonsangiwa4029
4 жыл бұрын
Hahaha dada muelewa sana safi mami
huyu ndo Heche umorooooo 🔥
Mwkt uwe unampa mh Heche hata nusu SAA azungumze tunamuelewa sana
@majaliwawangdagangdullanga700
5 жыл бұрын
Masrer Gaudens kweli
@tausimwambujule1642
5 жыл бұрын
Woyoooo, tunamuelewa kwel kwel
@charlesimaregesi5949
5 жыл бұрын
mheshimiwa nakubalisana kweli mungu akujalie afyanjema mwambie ukweli hao mawaziri na wabunge hao waoneshe uzalendo wakula mlo mmoja kamacici wavuja jasho @##mnyamakazi kunthu
@peteropiyo5934
5 жыл бұрын
Aisee Heche ungekuwa speaker bunge lingenyooka
@optatusnkwela4666
5 жыл бұрын
Heche wewe ni zidi ya msomi wa kitanzania
Sijawahi kukomenti ila leo mh hapo kwenye mahindi aaaa upo vizur mbunge mwaka huu mahindi hali ni mbaya mnoooo
Safii muraaa mbabe, alaaa mtu kajitahili mwenyewe huyo bila kutoa chozi mamae.
@lelomsechu7569
5 жыл бұрын
Kafanyaje? Hahahahaaa
@vivianlenard3618
5 жыл бұрын
+Lelo Msechu kajitahili mwenyewe kwa sime akiwa kasimama bila kutoa chozi. eti leo aogope pyu pyu
@lelomsechu7569
5 жыл бұрын
@@vivianlenard3618 haha haha haha haha! Ni hatari sana mwaya...
Saf sana heche wahili meet ni vichwa mungu akusaidie man's wakodoa macho washindwe kwa jina LA yesu
Shikmoo Heche, brother wew ni mtu muhimu sana kwenye hili taifa. Ushauri kama huu ungekuwa unafanyiwa kazi na serikali hii basi kusingekuwa hata na umasikini wa namna hii.
Umenikuna heche Sana Sana mungu akulinde
Safi sana Mheshimiwa John heche Mungu akutangulie uendelee kututetea wanyonge
Mh john heche mungu yupo tunamtegemea hili taifa letu lipiganiwe sana tufike maisha mazuri
Konk konk konk master Heche John
Heche kama tundu LISU bigup john
Asante Heche kwa kututetea!!!!
Uzalendo unahubiriwa kwa wasio na kitu hongera sana mp heche
Hahahahahah Heche wewe kiboko nikiuza korosho nitakutumia vocha kaka hata msimbazi chief nanga kaka Noma
@imanimputa1926
5 жыл бұрын
Jknn&ghbcbbv) v!v v b b
@agapehardware285
5 жыл бұрын
.
@abdalamfinanga3507
4 жыл бұрын
Abdala wewe mwanamke unae kierere tarifa tarifaunsjipya msikilize heche pumbavu haun ndugu zako ambao hwana ajira
Kiswahili kinaporomoshwa hapa hoja zinamiminwa kistadi bila woga, kazi nzuri mheshimiwa
Mbunge mmoja wa upinzani ni 10 wa ccm.
Mh Heche nimekuelewa vzur sana, unaweza xana kiongoz propaganda nyingi serikal hii
ahsante sana dokta heche ..ni kweli kabisa flyover ya DAR sisi hatuijui..serikali inakusanya lakin hakuna kinachoendelea hakuna ajila
Hili jamaa ni bonge la kiongozi sio hao wengine wanasifia kupanda kwa pesa ya budget kutoka 40% mpaka 57% ni uzuzu wa kiwango cha lami huu, kama mnapanga kutoa tsh 13T kwanini mtoe Tsh 6T na mjisifie, nyie vipi jamani, naunga mkono hoja ya sugu ya kupima akili za viongozi wote watakaotaka madaraka hapo baadae
Wako vzr na wanasema ukwel hongera sana heche
Hongera mbunge wangu bora wa muda wote kwa hoja nzr za kuwatetea watanzania. Nchi yetu tunahitaji watu kama hawa huko mjengoni na siyo wahuni wa kushangilia tu.
Bas tanzania ukiongea ukwel kama iv kesho unatekwa. Koma na ww dada et taalifa taalifa nenda choon ukanye fala ww
@raynellyaugustino3237
5 жыл бұрын
Hawa watu Wanaboa sana sana ndugu yangu
@dyanatanz6574
5 жыл бұрын
@@raynellyaugustino3237 nachukia mm hawa watu ingekuwa ni uamuz wangu bunge ningelifuta uwa sion cha maana
@limokisuda4145
5 жыл бұрын
Dyana Tanz mbavu zangu jamanii eti nenda chooni
@dyanatanz6574
5 жыл бұрын
@@limokisuda4145 wanaboa maisha nimagum ndugu yang. Mbaka umsubil rais apite akupe hera mkonon iv nikwel
@dyanatanz6574
5 жыл бұрын
@@limokisuda4145 nahuyu kaka anauchungu wa kuuwawa yule mdogoake ww kisu kiliingia kile jaman
Kujiunga ccm na kufa Mimi bora nife kuliko kuwa mwanachama wa ccm
@vivianlenard3618
5 жыл бұрын
wajinga sana waliokimbilia huko warembo tuu wanazidiwa hadi na wakina halima mdee. tena wengine mwanaune wa kikurya kabisa unashindwa kutulia
@jimjam4162
5 жыл бұрын
Kweli
@zahramunir8596
5 жыл бұрын
Hahaa
@kennykennedy9868
5 жыл бұрын
Atamimi
@emmanuelmussa8331
5 жыл бұрын
Mi pia
Dah nimekuelewa Sana Hongera kwa ujasiri ulionao
jonh heche mungu azidi kukuongezea hekima zaidi kiongoz wangu
Nimekupenda kwa kweli 🙌🙌🙌🙌
This guy breathes fire, he know how to table agendas I hope his ppl feel represented.
Exactly brother ur so good intellectual
mungu akubaliki sana heche unachoongea ni kweli kabisa huku kwetu barabara ya mtaa wa mapelele hawatengenezi eti kisa ni wanachadema
Brother heche uko vizuri umeongea point za msingi sana
Kwa kwel man of the people kinahusika tz umenikumbusha meng sana kwa kitab hiki
Respect mzee John heche
Kinacho uzi zaidi,,,, eti watanzania wanyonge, halafu watu tumesoma ili tuwa saidie wazazi wetu maana mazingira waliyo tusomesha ni siri zetu Lakin ajira hakuna, ukisema hivyo bas utasikia usisubili kuajiriwa Bali jiajiri mwenyewe,, ivi mtu ajiajiri vipi hata kianzio cha mtaji hana. Ila magufuli mungu anakuona.
Heche, hapo umesema yalo ya kweli.....toka 2015 had leo ajira n za kulenga kwa manati. Na bado tunalazimishwa kurejesha mikopo tuliyoitumia kwenye elimu yetu ya juu. How can we return the loans without being employed!
Waeleze wasifikie wananchi hawaoni au viziwi na Mola atawalipa kuwapa maradhi yasiokuwa na kinga In shaa Allah
Kweli kabisa heche watumishi tunashida sana
heche shikamoo brother,wewe kweli ni mwema kweli nakukubari asilimia 100 yani kama MUNGU azidi kukulinda udumu sana
Kiukweli Kama Kuna kada wa ccm hua anamsikiliza heche najua atakua anamuepewa sio hawa wabunge wa kupongeza tuu mungu mbaliki heche🙏🙏
semaaaaaa Kaka Mungu akutetee
Br umenigusaa salute kwako maisha bora kwa wabunge na mawaziri ukwl hali sio nzuri kila kunapo kucha
Upinzani kuna watu wenye akili sana, Mungu atakulipa mh. Heche
Love his debating prowess and he is so factual... Very informative...
@sylivestajoel1588
4 жыл бұрын
Nikweli kaka uyu tata Mora ninoma mungu amuongoze
@sylivestajoel1588
4 жыл бұрын
Nikweli kaka uyu tata Mora ninoma mungu amuongoze
Heche nakukubali
Dis discussion was very fire,fire to da maximum
Kama umemuona lijua likali like zenu
For sure so bright big up
Japo mm sipendi siasa ila this guy is very brilliant, ana logic, ana uwezo wa kujenga hoja sana., anasikilizika., keep fighting for ur people
Heche mumuongezeage muda jaman.anafunguka vzr
@husseinnyomi6120
5 жыл бұрын
Wambie tunawasubili 2020
@mtanzaniamzalendo7001
5 жыл бұрын
Roger Kibarua kweli
Daaaaah kaka nakushukuru umetusemea make mie ni mmoja wapo wa wahanga tangia mheshimiwa alipoingia mjengoni
Dada punguza kelele tna dharau zako hizo kisa ccm. taarifa taarifa taaarifaa acha mura aongeee
@msafilyngeze4202
5 жыл бұрын
Vivian Lenard ukosawa.mbunge.wangu
@husseinnyomi6120
5 жыл бұрын
Sichok kukusikiliza piga nyundo manyumbu hawo
@franaelisumari5108
5 жыл бұрын
NI KWELI UMASIKINI SIYO SIFA,UZALENDO SIYO KUWA MASIKINI.
@henrysanga1087
5 жыл бұрын
ww ndio nyumbu hujitambui
@chikumatangwa8314
5 жыл бұрын
Vivian Lenard 😂😂😂😂😂 yaan vina kiherehere hivi vidada ata hoja havina vinaendaga kuuza sura tu kula posho za bure
Hongera sana heche mungu akulinde Sana safi Sana
Kaka heche uwa nakukubali sana tunakusikiliza sana
knowledge is Power.
@zahramunir8596
5 жыл бұрын
True... kukosa elimu mtihani!!!
Mbunge wangu wa nguvu
@jifunzekusamehe4527
5 жыл бұрын
mia mia
Ongea Tata sisi tumekuangiza Ukawaambie waelewe
#Mbunge heche Tanzania inahitaji wabunge km ww mungu akulinde na haki iwe ndio siraha yako amina.
Safi sana John Heche!!! hoja nzuri sana!!!
mungu akuweke daima sijawah kutoa neno ila we mingu kakuleta kwa utetez wetu
wakiwa ccm tuu huko bungeni hatutakaa tusikie kauli kama hizi ..zaidi sana kutakuwa na kupongezana tuu
@nicholausnchimbi1599
5 жыл бұрын
Hata mungu anahitaji sifa jaribu kumdhihaki uone,kumbe pongezi ni kimungu zaidi ni ni dalili ya unyenyekevu na adabu ili upate vingi lakini kutia moyo pia
@paolodebizza5078
5 жыл бұрын
Muraaaa waeleze hao Hawa elewagi
@fatmahamad2156
5 жыл бұрын
@@nicholausnchimbi1599 usifanishe kiumbe na Mungu brooo,Mungu hujawahi na wala hatawani kukosea sawa,viumbe peke yake ndio wenye udhaifu sawa broo,na Mungu anaenda haki na usawa kwa binaadam wote,kila mmoja amemkadiria jins wanavyotaka yy ,
@severinmmassy7627
4 жыл бұрын
Mwacha Mwacha kwakweli
@quarantine325
3 жыл бұрын
Yametimia kaka
Watu wa tarime mna bahati ya kuwa na mbunge mwenye uwezo wa kutoa hoja nzito zaidi ya wabunge kumi wa ccm
Mungu akupe maisha marefu mh heche
Heche na Dr Mpango ni watani.
Mungu akubarikii heche uliko
dah mungu awalinde upinzan siku zote maana mnaongea ukweli naskia raha pamoja na tunapigwa risasi
Daah mungu akulinde na wasiojulikana mh heche nakupigia saluti kwa uliyoongea ni kweli tupu. unatuwakilisha vema bungeni.
Nice speech.
Sijui ao akina karanga na waitara sijui ndouo uzalendo wanaouunga mkono kuwaumiza wakulima nakuwauwa wanyonge au kunamengine wanayoyaunga mkono
Mwenye maarfa utoa maarfa na wenye kupokea upokea maarfa, ahsante Eche
Bro uko vizuri Wakurya wanajielewa kasolo waitala tu
Kabisaa kodi ipo juu sana
Semababa semaaaaaaaaaaa
Hecheeeeeeeeee we ni nyundo
@verdianabanabi8230
5 жыл бұрын
musa ausi Umeona ehh musa.
@josephatchristian7267
5 жыл бұрын
Nakukubali heche bigup
@emmanuelkitabi3437
5 жыл бұрын
Heche unacho kisema ni sahihi sana
@amryzubery1051
5 жыл бұрын
people power
@ChiediTV
5 жыл бұрын
Sana ukisoma hicho kitabu cha chinua Achebe kwa sisi tuliosoma language utajua kweli kazi ya fasihi
Daah mungu akubariki sana kaka!!