“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche

Mbunge wa Tarime vijijini John Heche amesema kuwa Serikali inatakiwa kuzifanyia kazi baadhi ya taarifa zinazotolewa na wananchi kuhusu matukio yanayodaiwa kuhusisha Askari Polisi kuuawa watu bila hatia na iache kuwatishia watu wanaotoa taarifa hizo. Heche amesema hay oleo November 7, 2018 wakati akichangia mapendekezo yake katika mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na kuandaa mpango wa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2019/20

Пікірлер: 700

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew64915 жыл бұрын

    Unafaaa kuongoza Tanzania. Kama unamkubali Heche kua Rais wetu ngonga Like hapa

  • @priscahezron8418
    @priscahezron8418 Жыл бұрын

    If you’re here 2022 listening to this guy again after missing these discussions on the Parliament…. Like here John Heche live long

  • @robisammeytv7547
    @robisammeytv75478 ай бұрын

    I wish to see this guy back.As Kenyan we have alot of hope in him.

  • @andreymalisa1625
    @andreymalisa16255 жыл бұрын

    uyu jamaaa huwa namwonaga mbali sana...mungu aendelee kumtetea....

  • @samwelpaul7334

    @samwelpaul7334

    Жыл бұрын

    Moja ya wanasiasa bora sana

  • @rajabugassa6723
    @rajabugassa67235 жыл бұрын

    Ukiwa mpinzan Mungu anakuongezea akil na uwezo wa kufikir, hongera Heche

  • @georgegodfrey4776

    @georgegodfrey4776

    3 жыл бұрын

    Ni kama ukiwa nje ya uwanja tu

  • @yegokubebekamugurus8072
    @yegokubebekamugurus80725 жыл бұрын

    Dah! hii kichwa naipenda balaa. Piga kazi mura najivunia wewe kuwa mbunge wanguuu👏👏👏

  • @muchomersonmichael4615
    @muchomersonmichael46155 жыл бұрын

    Naomba uwe rais kura yangu na ukooo wangu woooooote chukua. Akili yako nikama ya wana ...........wooooote, love u so much brother. Ongea ukweli asiependa ukweli atakuwinda, tuko nyumbani toka 2015 hamna ajira mimi ni moja wao, naomba namba nikutumie vocha bro.

  • @nicholausnchimbi1599

    @nicholausnchimbi1599

    5 жыл бұрын

    Yatapotoka majibu toka kwa mawaziri utasikia kuhusu utaratibu,mwongozo,taarifa mwisho haoooo nje

  • @isackmosesmabula3648

    @isackmosesmabula3648

    5 жыл бұрын

    Tata muchomason hahaaaaaa

  • @documentariestvshow

    @documentariestvshow

    4 жыл бұрын

    Ukabilaaa ndo unauelewa Sana eeee n ukooo wako

  • @peterwakitaa1902
    @peterwakitaa19025 жыл бұрын

    mwanasiasa wangu bora katika huu mwaka huwa Una nipa ujasiri mkubwa sana

  • @hassankaluta8864
    @hassankaluta88645 жыл бұрын

    Nawakubali sana chama langu lijualikali pascal haonga heche prof j

  • @nessa4899
    @nessa48995 жыл бұрын

    Pole sana heche, kwa kumpoteza mdogo wako, inauma sana, lakini ndio serikali yetu hiyo ya uonevu.

  • @amanipindu3403

    @amanipindu3403

    4 жыл бұрын

    Kwer

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack25734 жыл бұрын

    Huyu mbunge ni mashine ya hali ya juu nimempenda Mungu akulinde na akupe maisha marefu aise

  • @stanleylyimo7617
    @stanleylyimo76175 жыл бұрын

    umeongea hoja nzito sana hongera sana heche

  • @iddymanyama3742

    @iddymanyama3742

    5 жыл бұрын

    Mungu mtangulie john heche popote aendako mpeujasiri wa kutukomboa

  • @abdulrahmansaliumalbry2615

    @abdulrahmansaliumalbry2615

    5 жыл бұрын

    Majambazi watupu.

  • @emmykagemb7993

    @emmykagemb7993

    5 жыл бұрын

    Wizi mtupu

  • @salmaabdillah1617
    @salmaabdillah16175 жыл бұрын

    longa heche longa I like this guy taking sense, that's what MP is supposed to do talk for the people GOD protect this guy

  • @gililwise
    @gililwise5 жыл бұрын

    Hongera sema kaka yangu

  • @bernadinangasi7664
    @bernadinangasi76645 жыл бұрын

    Wabunge wa upinzani ni noma yani nivichwa wanafaa kumsaidia rais wetu kiukweli

  • @iddyabdallah4823

    @iddyabdallah4823

    4 жыл бұрын

    Heche kiboko sana

  • @sifuelinyaki3341

    @sifuelinyaki3341

    4 жыл бұрын

    Bernadi Nangasi rais hataki kufanya kazi na wapinzani wakiwa upinzani unles kama watahamia tawala

  • @benjaminjulius8021

    @benjaminjulius8021

    4 жыл бұрын

    Sisi tunaitaji mtazamo wake hatutaki awe msagaji

  • @gabrielmamela2206

    @gabrielmamela2206

    3 жыл бұрын

    Kama rais hataki kufanya kazi na wapinzani huo ni upunguani kwani hii nchi ni ya mfumo wa vyama vingi na maendeleo hayana chama. Rais akishapita watu wote ni wa kwake awapelekee maendeleo bila ubaguzi eti kwa kuwa jimbo fulani mbunge wake ni chama cha upinzani au diwani ni wa upinzani eti mtasota miaka mitano yote bila kupata maendeleo yoyote.

  • @sarahwalles2607

    @sarahwalles2607

    3 жыл бұрын

    @@gabrielmamela2206 kweli kweli kbs licha wakwake tu pia nchi ya watanzania wote sio yake peke ake

  • @samateryussuf5938
    @samateryussuf59385 жыл бұрын

    TZ ya Sugu,Heche,Zitto,Msigwa,HalimaMdee,Easter Bulaya Nyerere angefurahi sana

  • @abdallahmzee4335

    @abdallahmzee4335

    5 жыл бұрын

    Umemsahau Tundu lisu

  • @rebeccampeta6650

    @rebeccampeta6650

    5 жыл бұрын

    umeona e

  • @maijohn4815

    @maijohn4815

    2 жыл бұрын

    Umemsahau na lema

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba11985 жыл бұрын

    Mh Heche yuko vizuri kimawazo... Gud Sana mh

  • @shownewsdiamond1942
    @shownewsdiamond19425 жыл бұрын

    huyu ni mbuge wa watanzania namkubali sana

  • @majaliwawangdagangdullanga700

    @majaliwawangdagangdullanga700

    5 жыл бұрын

    Kabisa

  • @mbwanaomary7537

    @mbwanaomary7537

    5 жыл бұрын

    Waongo sana hawa jamaa kesho unaweza ukasikia anawasifia na kuponda huko aliko sasa hivi

  • @libwelaally3707

    @libwelaally3707

    5 жыл бұрын

    True

  • @restjoel8968

    @restjoel8968

    5 жыл бұрын

    Sana sana

  • @saidnzowa9913

    @saidnzowa9913

    5 жыл бұрын

    nampenda sana heche

  • @abdallahmzee4335
    @abdallahmzee43355 жыл бұрын

    Big up sana Heche wataelewa tu hata kama wanajifanya viziwi

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa98845 жыл бұрын

    Heche anastahili kabisa hata kuwa MKT Wa upinzani salute mkuu

  • @manfredymahinya9511
    @manfredymahinya95115 жыл бұрын

    tumepewa macho kwa ajiri ya kuona,tumepewa masikio kwaajiri ya kusikiliza na tumepewa ubongo kwa ajiri ya kutunza kumbukumbu.kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho msijisahaulishe viongozi wetu asante sana Heche kwa mchango wako mzuri

  • @winnestonmwalukasa2398
    @winnestonmwalukasa23985 жыл бұрын

    Heche hats Mimi umeni inspire.MKULIMA nchi hii sijui nisemeje.hana haki mbolea elfu Sabin sawa na gunia NNE za mahindi. Serikali yangu sikivu embu liangalieni hili mambo mengine ni Nondo

  • @dickisoniryoba3989
    @dickisoniryoba39895 жыл бұрын

    Yani uyu jamaa sio wakawaida mungu akupe maisha malefu mweshimiwa.heche👏👏👏👏👏👏

  • @beatraceketto3880
    @beatraceketto38805 жыл бұрын

    Asante wabunge mnaoujua kilichowapeka wapo ambao wanataarifa za kuokatisha kitu chamaana kinachoongelewa poleni mloshiba nakusahau wenye njaa

  • @albertkileo6132
    @albertkileo61325 жыл бұрын

    Asante KAMANDA,UKO SAWA.VIPOFU NA ZE,ZETA WANAOSHANGILIA CCM WASIKIE HAYO LABDA WATAPATA UFAHAMU

  • @lazarochimaguli1077
    @lazarochimaguli10775 жыл бұрын

    hongera sana heche wewe ni kiongozi wa watu na unatetea watu Mungu anayaona haya tuko nyuma yako kaka

  • @devybernardlaizer7713
    @devybernardlaizer77135 жыл бұрын

    Mengine hapo yanakazana taaarifa wakati huku kitaa ndugu zao wanaishi maisha magumu, sema babaaa

  • @nicevictormkalimkali3776

    @nicevictormkalimkali3776

    5 жыл бұрын

    winnie charles baby h i

  • @felistersanga6357

    @felistersanga6357

    5 жыл бұрын

    tutetee baba tunakuelewa wananchi huku tunaishi maisha magumu sana

  • @charlesachar7460

    @charlesachar7460

    4 жыл бұрын

    winnie charles

  • @pazzyamily2857

    @pazzyamily2857

    4 жыл бұрын

    Watetee

  • @jacksonsangiwa4029

    @jacksonsangiwa4029

    4 жыл бұрын

    Hahaha dada muelewa sana safi mami

  • @yohanakebacho3990
    @yohanakebacho39905 жыл бұрын

    huyu ndo Heche umorooooo 🔥

  • @masrergaudens3967
    @masrergaudens39675 жыл бұрын

    Mwkt uwe unampa mh Heche hata nusu SAA azungumze tunamuelewa sana

  • @majaliwawangdagangdullanga700

    @majaliwawangdagangdullanga700

    5 жыл бұрын

    Masrer Gaudens kweli

  • @tausimwambujule1642

    @tausimwambujule1642

    5 жыл бұрын

    Woyoooo, tunamuelewa kwel kwel

  • @charlesimaregesi5949

    @charlesimaregesi5949

    5 жыл бұрын

    mheshimiwa nakubalisana kweli mungu akujalie afyanjema mwambie ukweli hao mawaziri na wabunge hao waoneshe uzalendo wakula mlo mmoja kamacici wavuja jasho @##mnyamakazi kunthu

  • @peteropiyo5934

    @peteropiyo5934

    5 жыл бұрын

    Aisee Heche ungekuwa speaker bunge lingenyooka

  • @optatusnkwela4666

    @optatusnkwela4666

    5 жыл бұрын

    Heche wewe ni zidi ya msomi wa kitanzania

  • @hasanalihasani3236
    @hasanalihasani32365 жыл бұрын

    Sijawahi kukomenti ila leo mh hapo kwenye mahindi aaaa upo vizur mbunge mwaka huu mahindi hali ni mbaya mnoooo

  • @vivianlenard3618
    @vivianlenard36185 жыл бұрын

    Safii muraaa mbabe, alaaa mtu kajitahili mwenyewe huyo bila kutoa chozi mamae.

  • @lelomsechu7569

    @lelomsechu7569

    5 жыл бұрын

    Kafanyaje? Hahahahaaa

  • @vivianlenard3618

    @vivianlenard3618

    5 жыл бұрын

    +Lelo Msechu kajitahili mwenyewe kwa sime akiwa kasimama bila kutoa chozi. eti leo aogope pyu pyu

  • @lelomsechu7569

    @lelomsechu7569

    5 жыл бұрын

    @@vivianlenard3618 haha haha haha haha! Ni hatari sana mwaya...

  • @julietsamson4059
    @julietsamson40595 жыл бұрын

    Saf sana heche wahili meet ni vichwa mungu akusaidie man's wakodoa macho washindwe kwa jina LA yesu

  • @blassabdon8241
    @blassabdon82415 жыл бұрын

    Shikmoo Heche, brother wew ni mtu muhimu sana kwenye hili taifa. Ushauri kama huu ungekuwa unafanyiwa kazi na serikali hii basi kusingekuwa hata na umasikini wa namna hii.

  • @godymashana1968
    @godymashana19685 жыл бұрын

    Umenikuna heche Sana Sana mungu akulinde

  • @ShabaniMome
    @ShabaniMomeАй бұрын

    Safi sana Mheshimiwa John heche Mungu akutangulie uendelee kututetea wanyonge

  • @linusjohn5950
    @linusjohn59504 жыл бұрын

    Mh john heche mungu yupo tunamtegemea hili taifa letu lipiganiwe sana tufike maisha mazuri

  • @jchuwatv1890
    @jchuwatv18905 жыл бұрын

    Konk konk konk master Heche John

  • @bonabonala8253
    @bonabonala82534 жыл бұрын

    Heche kama tundu LISU bigup john

  • @smwansasu8605
    @smwansasu86055 жыл бұрын

    Asante Heche kwa kututetea!!!!

  • @jipozeonline3983
    @jipozeonline39834 жыл бұрын

    Uzalendo unahubiriwa kwa wasio na kitu hongera sana mp heche

  • @twahiraliy3382
    @twahiraliy33825 жыл бұрын

    Hahahahahah Heche wewe kiboko nikiuza korosho nitakutumia vocha kaka hata msimbazi chief nanga kaka Noma

  • @imanimputa1926

    @imanimputa1926

    5 жыл бұрын

    Jknn&ghbcbbv) v!v v b b

  • @agapehardware285

    @agapehardware285

    5 жыл бұрын

    .

  • @abdalamfinanga3507

    @abdalamfinanga3507

    4 жыл бұрын

    Abdala wewe mwanamke unae kierere tarifa tarifaunsjipya msikilize heche pumbavu haun ndugu zako ambao hwana ajira

  • @thomasmosoti5161
    @thomasmosoti5161 Жыл бұрын

    Kiswahili kinaporomoshwa hapa hoja zinamiminwa kistadi bila woga, kazi nzuri mheshimiwa

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi5 жыл бұрын

    Mbunge mmoja wa upinzani ni 10 wa ccm.

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh57295 жыл бұрын

    Mh Heche nimekuelewa vzur sana, unaweza xana kiongoz propaganda nyingi serikal hii

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba825 жыл бұрын

    ahsante sana dokta heche ..ni kweli kabisa flyover ya DAR sisi hatuijui..serikali inakusanya lakin hakuna kinachoendelea hakuna ajila

  • @babalily4516
    @babalily45165 жыл бұрын

    Hili jamaa ni bonge la kiongozi sio hao wengine wanasifia kupanda kwa pesa ya budget kutoka 40% mpaka 57% ni uzuzu wa kiwango cha lami huu, kama mnapanga kutoa tsh 13T kwanini mtoe Tsh 6T na mjisifie, nyie vipi jamani, naunga mkono hoja ya sugu ya kupima akili za viongozi wote watakaotaka madaraka hapo baadae

  • @silversilas3634
    @silversilas36345 жыл бұрын

    Wako vzr na wanasema ukwel hongera sana heche

  • @theodorahraphael7322
    @theodorahraphael73225 жыл бұрын

    Hongera mbunge wangu bora wa muda wote kwa hoja nzr za kuwatetea watanzania. Nchi yetu tunahitaji watu kama hawa huko mjengoni na siyo wahuni wa kushangilia tu.

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz65745 жыл бұрын

    Bas tanzania ukiongea ukwel kama iv kesho unatekwa. Koma na ww dada et taalifa taalifa nenda choon ukanye fala ww

  • @raynellyaugustino3237

    @raynellyaugustino3237

    5 жыл бұрын

    Hawa watu Wanaboa sana sana ndugu yangu

  • @dyanatanz6574

    @dyanatanz6574

    5 жыл бұрын

    @@raynellyaugustino3237 nachukia mm hawa watu ingekuwa ni uamuz wangu bunge ningelifuta uwa sion cha maana

  • @limokisuda4145

    @limokisuda4145

    5 жыл бұрын

    Dyana Tanz mbavu zangu jamanii eti nenda chooni

  • @dyanatanz6574

    @dyanatanz6574

    5 жыл бұрын

    @@limokisuda4145 wanaboa maisha nimagum ndugu yang. Mbaka umsubil rais apite akupe hera mkonon iv nikwel

  • @dyanatanz6574

    @dyanatanz6574

    5 жыл бұрын

    @@limokisuda4145 nahuyu kaka anauchungu wa kuuwawa yule mdogoake ww kisu kiliingia kile jaman

  • @vitalisnyagali2204
    @vitalisnyagali22045 жыл бұрын

    Kujiunga ccm na kufa Mimi bora nife kuliko kuwa mwanachama wa ccm

  • @vivianlenard3618

    @vivianlenard3618

    5 жыл бұрын

    wajinga sana waliokimbilia huko warembo tuu wanazidiwa hadi na wakina halima mdee. tena wengine mwanaune wa kikurya kabisa unashindwa kutulia

  • @jimjam4162

    @jimjam4162

    5 жыл бұрын

    Kweli

  • @zahramunir8596

    @zahramunir8596

    5 жыл бұрын

    Hahaa

  • @kennykennedy9868

    @kennykennedy9868

    5 жыл бұрын

    Atamimi

  • @emmanuelmussa8331

    @emmanuelmussa8331

    5 жыл бұрын

    Mi pia

  • @frankmichael893
    @frankmichael8934 жыл бұрын

    Dah nimekuelewa Sana Hongera kwa ujasiri ulionao

  • @michealseleman8013
    @michealseleman80135 жыл бұрын

    jonh heche mungu azidi kukuongezea hekima zaidi kiongoz wangu

  • @nicegabriely917
    @nicegabriely9175 жыл бұрын

    Nimekupenda kwa kweli 🙌🙌🙌🙌

  • @muhingirajeremih7752
    @muhingirajeremih77523 жыл бұрын

    This guy breathes fire, he know how to table agendas I hope his ppl feel represented.

  • @luhigoemmanuel8720
    @luhigoemmanuel87205 жыл бұрын

    Exactly brother ur so good intellectual

  • @michaelsimion720
    @michaelsimion7205 жыл бұрын

    mungu akubaliki sana heche unachoongea ni kweli kabisa huku kwetu barabara ya mtaa wa mapelele hawatengenezi eti kisa ni wanachadema

  • @godfreykyejo7070
    @godfreykyejo70705 жыл бұрын

    Brother heche uko vizuri umeongea point za msingi sana

  • @amirmotors9735
    @amirmotors97355 жыл бұрын

    Kwa kwel man of the people kinahusika tz umenikumbusha meng sana kwa kitab hiki

  • @allygambwe7555
    @allygambwe75555 жыл бұрын

    Respect mzee John heche

  • @michaelgideon625
    @michaelgideon6255 жыл бұрын

    Kinacho uzi zaidi,,,, eti watanzania wanyonge, halafu watu tumesoma ili tuwa saidie wazazi wetu maana mazingira waliyo tusomesha ni siri zetu Lakin ajira hakuna, ukisema hivyo bas utasikia usisubili kuajiriwa Bali jiajiri mwenyewe,, ivi mtu ajiajiri vipi hata kianzio cha mtaji hana. Ila magufuli mungu anakuona.

  • @philemonviva7187
    @philemonviva71875 жыл бұрын

    Heche, hapo umesema yalo ya kweli.....toka 2015 had leo ajira n za kulenga kwa manati. Na bado tunalazimishwa kurejesha mikopo tuliyoitumia kwenye elimu yetu ya juu. How can we return the loans without being employed!

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97734 жыл бұрын

    Waeleze wasifikie wananchi hawaoni au viziwi na Mola atawalipa kuwapa maradhi yasiokuwa na kinga In shaa Allah

  • @ummuzakariya798
    @ummuzakariya7985 жыл бұрын

    Kweli kabisa heche watumishi tunashida sana

  • @armyofgodworshipersminitri7610
    @armyofgodworshipersminitri76105 жыл бұрын

    heche shikamoo brother,wewe kweli ni mwema kweli nakukubari asilimia 100 yani kama MUNGU azidi kukulinda udumu sana

  • @cleopastanley6683
    @cleopastanley66834 жыл бұрын

    Kiukweli Kama Kuna kada wa ccm hua anamsikiliza heche najua atakua anamuepewa sio hawa wabunge wa kupongeza tuu mungu mbaliki heche🙏🙏

  • @betweljackson375
    @betweljackson3755 жыл бұрын

    semaaaaaa Kaka Mungu akutetee

  • @simonsadala2386
    @simonsadala23865 жыл бұрын

    Br umenigusaa salute kwako maisha bora kwa wabunge na mawaziri ukwl hali sio nzuri kila kunapo kucha

  • @stevenpeter2260
    @stevenpeter22605 жыл бұрын

    Upinzani kuna watu wenye akili sana, Mungu atakulipa mh. Heche

  • @oscarwandera8129
    @oscarwandera81295 жыл бұрын

    Love his debating prowess and he is so factual... Very informative...

  • @sylivestajoel1588

    @sylivestajoel1588

    4 жыл бұрын

    Nikweli kaka uyu tata Mora ninoma mungu amuongoze

  • @sylivestajoel1588

    @sylivestajoel1588

    4 жыл бұрын

    Nikweli kaka uyu tata Mora ninoma mungu amuongoze

  • @akidasalim9798
    @akidasalim97985 жыл бұрын

    Heche nakukubali

  • @gtmalanga6953
    @gtmalanga69533 жыл бұрын

    Dis discussion was very fire,fire to da maximum

  • @dckson2192
    @dckson21924 жыл бұрын

    Kama umemuona lijua likali like zenu

  • @benjamincosmas5926
    @benjamincosmas59264 жыл бұрын

    For sure so bright big up

  • @godfreymajagi1867
    @godfreymajagi18675 жыл бұрын

    Japo mm sipendi siasa ila this guy is very brilliant, ana logic, ana uwezo wa kujenga hoja sana., anasikilizika., keep fighting for ur people

  • @rogerkibarua1108
    @rogerkibarua11085 жыл бұрын

    Heche mumuongezeage muda jaman.anafunguka vzr

  • @husseinnyomi6120

    @husseinnyomi6120

    5 жыл бұрын

    Wambie tunawasubili 2020

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    5 жыл бұрын

    Roger Kibarua kweli

  • @mnikog1529
    @mnikog15295 жыл бұрын

    Daaaaah kaka nakushukuru umetusemea make mie ni mmoja wapo wa wahanga tangia mheshimiwa alipoingia mjengoni

  • @vivianlenard3618
    @vivianlenard36185 жыл бұрын

    Dada punguza kelele tna dharau zako hizo kisa ccm. taarifa taarifa taaarifaa acha mura aongeee

  • @msafilyngeze4202

    @msafilyngeze4202

    5 жыл бұрын

    Vivian Lenard ukosawa.mbunge.wangu

  • @husseinnyomi6120

    @husseinnyomi6120

    5 жыл бұрын

    Sichok kukusikiliza piga nyundo manyumbu hawo

  • @franaelisumari5108

    @franaelisumari5108

    5 жыл бұрын

    NI KWELI UMASIKINI SIYO SIFA,UZALENDO SIYO KUWA MASIKINI.

  • @henrysanga1087

    @henrysanga1087

    5 жыл бұрын

    ww ndio nyumbu hujitambui

  • @chikumatangwa8314

    @chikumatangwa8314

    5 жыл бұрын

    Vivian Lenard 😂😂😂😂😂 yaan vina kiherehere hivi vidada ata hoja havina vinaendaga kuuza sura tu kula posho za bure

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi31695 жыл бұрын

    Hongera sana heche mungu akulinde Sana safi Sana

  • @abdallahmlenda3823
    @abdallahmlenda38235 жыл бұрын

    Kaka heche uwa nakukubali sana tunakusikiliza sana

  • @davidsaanane7939
    @davidsaanane79395 жыл бұрын

    knowledge is Power.

  • @zahramunir8596

    @zahramunir8596

    5 жыл бұрын

    True... kukosa elimu mtihani!!!

  • @thomashudson1083
    @thomashudson10835 жыл бұрын

    Mbunge wangu wa nguvu

  • @jifunzekusamehe4527

    @jifunzekusamehe4527

    5 жыл бұрын

    mia mia

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha76805 жыл бұрын

    Ongea Tata sisi tumekuangiza Ukawaambie waelewe

  • @husseinmaliki4844
    @husseinmaliki48445 жыл бұрын

    #Mbunge heche Tanzania inahitaji wabunge km ww mungu akulinde na haki iwe ndio siraha yako amina.

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa79185 жыл бұрын

    Safi sana John Heche!!! hoja nzuri sana!!!

  • @salehekihedu2084
    @salehekihedu20845 жыл бұрын

    mungu akuweke daima sijawah kutoa neno ila we mingu kakuleta kwa utetez wetu

  • @mwachamwacha5538
    @mwachamwacha55385 жыл бұрын

    wakiwa ccm tuu huko bungeni hatutakaa tusikie kauli kama hizi ..zaidi sana kutakuwa na kupongezana tuu

  • @nicholausnchimbi1599

    @nicholausnchimbi1599

    5 жыл бұрын

    Hata mungu anahitaji sifa jaribu kumdhihaki uone,kumbe pongezi ni kimungu zaidi ni ni dalili ya unyenyekevu na adabu ili upate vingi lakini kutia moyo pia

  • @paolodebizza5078

    @paolodebizza5078

    5 жыл бұрын

    Muraaaa waeleze hao Hawa elewagi

  • @fatmahamad2156

    @fatmahamad2156

    5 жыл бұрын

    @@nicholausnchimbi1599 usifanishe kiumbe na Mungu brooo,Mungu hujawahi na wala hatawani kukosea sawa,viumbe peke yake ndio wenye udhaifu sawa broo,na Mungu anaenda haki na usawa kwa binaadam wote,kila mmoja amemkadiria jins wanavyotaka yy ,

  • @severinmmassy7627

    @severinmmassy7627

    4 жыл бұрын

    Mwacha Mwacha kwakweli

  • @quarantine325

    @quarantine325

    3 жыл бұрын

    Yametimia kaka

  • @tumsifumunuo7428
    @tumsifumunuo74285 жыл бұрын

    Watu wa tarime mna bahati ya kuwa na mbunge mwenye uwezo wa kutoa hoja nzito zaidi ya wabunge kumi wa ccm

  • @marwamaisa659
    @marwamaisa6593 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu mh heche

  • @ChristerShao
    @ChristerShao8 ай бұрын

    Heche na Dr Mpango ni watani.

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa98845 жыл бұрын

    Mungu akubarikii heche uliko

  • @manasejames7221
    @manasejames72215 жыл бұрын

    dah mungu awalinde upinzan siku zote maana mnaongea ukweli naskia raha pamoja na tunapigwa risasi

  • @nellyjaq8932
    @nellyjaq89325 жыл бұрын

    Daah mungu akulinde na wasiojulikana mh heche nakupigia saluti kwa uliyoongea ni kweli tupu. unatuwakilisha vema bungeni.

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti24005 жыл бұрын

    Nice speech.

  • @redmondmulilo4852
    @redmondmulilo48525 жыл бұрын

    Sijui ao akina karanga na waitara sijui ndouo uzalendo wanaouunga mkono kuwaumiza wakulima nakuwauwa wanyonge au kunamengine wanayoyaunga mkono

  • @donasmanyama21
    @donasmanyama215 жыл бұрын

    Mwenye maarfa utoa maarfa na wenye kupokea upokea maarfa, ahsante Eche

  • @raphaelphaustine9408
    @raphaelphaustine94085 жыл бұрын

    Bro uko vizuri Wakurya wanajielewa kasolo waitala tu

  • @gabrielemmanuel4348
    @gabrielemmanuel43485 жыл бұрын

    Kabisaa kodi ipo juu sana

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz65745 жыл бұрын

    Semababa semaaaaaaaaaaa

  • @ChiediTV
    @ChiediTV5 жыл бұрын

    Hecheeeeeeeeee we ni nyundo

  • @verdianabanabi8230

    @verdianabanabi8230

    5 жыл бұрын

    musa ausi Umeona ehh musa.

  • @josephatchristian7267

    @josephatchristian7267

    5 жыл бұрын

    Nakukubali heche bigup

  • @emmanuelkitabi3437

    @emmanuelkitabi3437

    5 жыл бұрын

    Heche unacho kisema ni sahihi sana

  • @amryzubery1051

    @amryzubery1051

    5 жыл бұрын

    people power

  • @ChiediTV

    @ChiediTV

    5 жыл бұрын

    Sana ukisoma hicho kitabu cha chinua Achebe kwa sisi tuliosoma language utajua kweli kazi ya fasihi

  • @deeboyclassic9330
    @deeboyclassic9330 Жыл бұрын

    Daah mungu akubariki sana kaka!!