Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
May 5, 2017 mkutano wa saba wa bunge umeendelea ambapo Wabunge walikuwa wakijadili na kuchangia mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo kwa mwaka wa fedha 2017/2018.
AyoTV imenasa hizi za Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.
Пікірлер: 436
Tundu Lissu ni kiboko. Speech yako imetuliza bunge lote. Wabunge wa CCM wametulia kimya wakinyonya madini ya mbunge mwelimishaji kuliko wote. Asante TL, Wewe ni hazina ya taifa hili
Wanaoangalia comments kwanza gonga like
Nice speech Mr. Lisu , hakika mchango wako bungeni hautasahaurika milele na Mungu akupe maisha marefu
Hapa Lisu alijitabiri na kumbe michango yake yote bungeni ni utabiri hapo badae fuatilia kwa makini gonga like ukipata ukweli.☝👏👏💓💓
Mtashughulikiwa ninyi na hakuna atakayewapigia kerere kwasababu wengine wote tutakuwa tumenyamanzishwa .like kama umemuelewa.
Lazima nitamzaa lissu katika Jina LA YESU.AMINA
Hakika lisu ni kichwa cha wa Tanzania Mungu akup maisha km yote
Lissu Mungu akupe maisha marefu,tunajifunza mengi
@mwasungakazigood2619
4 жыл бұрын
L
@ukweliunauma4570
4 жыл бұрын
Ameen
@marwajoseph9496
3 жыл бұрын
I miss sana mh lisu
@aminielyohana3052
3 жыл бұрын
Amen
@edojoseph4273
3 жыл бұрын
Unajifunza sheria au kibur? Nyote rudin mkafundishwe dini ugonjw weni uko hpo
Sichoki kumsikiliza Mh. Lissu🙏
Nakuelewa sana baba yangu Lissu Mungu akubariki kutetea taifa hili.
Lisu alikuwa amejitabiriwa yatakayo mpata,Mungu mrudishie afya aweze kupona kwa haraka,amen
@augostinoomar115
4 жыл бұрын
y
Safi sana kwa hoja nzuri, Tuisimamishe nchi kiukweli ukweli na sio kwa poroja bhana
jamani lisu ana uelewa mkubwa sana Wa sheria sasa wabunge wasipokuwa makini wanafikiri kutunga sheria mbaya ni kuwatungia wapinzani wakumbuke wana watoto wao na hawajui kesho watakuwa Chama gani wakumbuke wangetegemea lowasa angehamia huku
Nyie mmemdharau nyerere sembuse ss kudharau mwenge... 😂😂😂😂😂😁
Lisu nizaidi ya wabunge wote wa ccm anaafaa kua Rais TZ
@youngloyclassic3173
4 жыл бұрын
Wew ni mtabili mzuri sana
@ngweinalissomassinde7037
4 жыл бұрын
Ww jamaa mtabiri mkuu sana
@simonfundi3609
4 жыл бұрын
Ni yeye
@erickgmaker6789
3 жыл бұрын
Hafai hata kidogo
Aliyoyatabiri yanatokea tunajionea Lissu Mungu akulinde
@adrophwilliam3225
3 жыл бұрын
Leo tena claud imepata chamoto
Mungu akubariki Mh: Tundu Lisu.
Ww lisu umeteuliwa na mungu...
Mh mwenyekiti Zungu namkubali Sana he is unbiased ukimlinganisha na Spika wa bunge 2015-2017
Safi Lissu kibokoo msema kweli, from Kenya thanks Ayo TV
@benardmusa718
6 жыл бұрын
Hivi Mwenge ni nini dadangu? sisi kenya sijaisikia
😂 😂 😂, am dead, all the way from Kenya but i like Tanzanians leaders very brave.
Back again...Ni yeye 2020 ,,Mr Lisu
Maneno ya Lissu yanaishi. Sasa tunaongea Lugha moja
Mchango huu Wa mh,Tundu lisu bungeni , utadumu mpk kizazi cha TATU kwa wale wanaoelewa maana ya UTAWALA WA SHERIA.
@nurumajaliwa8435
5 жыл бұрын
sugu yuko sawa
@edwardchundu7454
5 жыл бұрын
Mbulula ni wengi hawawezi kuuelewa wengine wataelewa lakini wataupinga kwasababu za kiitikadi.
@youngsachafurniture5482
4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genuis sana
@youngsachafurniture5482
4 жыл бұрын
Lisuuu
@benardrugongo5860
4 жыл бұрын
Namkubali sana
Mungu walinde lissu na wengine wote wenye uchungu sana na nchi hii
@musalukumai3462
7 жыл бұрын
mj
@hassanmataula7063
7 жыл бұрын
kwel kabixa sugu na lisu mnasema ukwel
@mchisraelimbarikiwanassari7579
7 жыл бұрын
mungu tupe watu wenye uhodari wakunena ukweli
@phillipomdendemi2472
7 жыл бұрын
son thadei duu balaaa mtupu mafisiem
@emanuelwilliam8406
6 жыл бұрын
Licu umetuxahaw watanzaniya tunakusubiri
Ww ni jasiri wa taifa lako lisu saluti sana popote ulipo kaka
Wangapi tunaipenda hoja hii tujuane
wako sawa kabisa wana harakati wetu.
18/3/2021 Nasikiliza mkali Wahoja Nikiwa gomsi yani Gongo lamboto Shelia zote Anazo Kichwani
Tuwe wakweli lisu anafaa kuwa si tu mwanasheria Wa kimataifa Bali hata kuwa Rais 2020!
@sundaymakungu2500
3 жыл бұрын
ww utabili wako unatinia
They ll be real missed !!! ,lets wait
Mungu akulinde Mh lissu,,,,2020 unastahili kbsa
Mungu Akubariki sana
Wabunge wa upinzani wananipa aman sana,they always talk about facts and reality.
@jakiluvanda8053
6 жыл бұрын
Pmj sn kmnda
Angefaa sana kuwa mwanasheria mkuu wa serikali...angetusaidia
Hamismhenwa,wajifia,yan Asante kw kinyaturu, Uhuru wa Habari ndio haki ya Tanganyika, hatujielewi Tatizo shule,bila katiba hutaona haki,
hata mm sioni umuhimu wa mwenge wanavizia miradi.
@fatumachagudadui3138
4 жыл бұрын
Kwa vile hujui umuhimu mwa mwenge nenda makumbusho mwenge unamhm mkubwa kwan ni ishara ya amani
Ulitabiri mzee!! Pole kwa ukatili walokutendea kwa kusema ukweli!!!
Ai mis yu, nakukumbuka iyeee iyeee
Duuuu eee mungu wetu. Jina lako lihimidiwe milele
Mungu ni mwema atokuacha kama ulivyo!
nimecheka mpaka machozi sikwa maneno ayo ya sugu dah
Nakuombea uzima na afya mtu wangu#millardayo
Hakika ww ni almasi ing'aayo gizani Mungu awe nawe
Nan furaha sana kuona watu wakijenga nchi
Lisu simba waambie kabisa asiogope kabisa
Huyu ni mbunge machachali sana. Tanzania imepoteza mchachuaji mzuri sana wa mijadala mbungen.
these guys speak very defined points halafu wanapuuzwa, why?
omg Mh Lissu preach sir ..magufuli thinks his above all laws...
@danielreuben5110
7 жыл бұрын
lisu fanya maendeleo nakupongeza sana
It is 2022 today and the speech is so relevant!
@digostjafety6070
2 жыл бұрын
We are together ,,lisse he was really ccm without other parts ,,our government is nothing
Mwamba sana huyuu....💪💪💪
We missed you Lisu
yap,yap,yap! hongereni sana wapinzani Kwa kuwatetea wanyonge,mungu awe nanyi kwa kila jambo.
Hikikichwa ni hatari xana good xana
@jacobojastini7279
6 жыл бұрын
Simon Mjoshuamaiko82133 Taarifa ya.habari d wv
Tunamiss sana hili bunge... Sugu🔥🔥🔥
Nimependa neno “ mkinyamaza kimya ninyi mlio wengi “ from Lissu 💪💪
@starniceofficial5492
3 жыл бұрын
Duu strong message an
2020 chadema tunaomba lisu lisu angegombea urais tuipeleke nchi mbele
@simonfundi3609
4 жыл бұрын
Deal done ✅
ivi ule wimbo wataisoma number umeishia WAP maana tunaisoma number wote
@linahlameck7950
5 жыл бұрын
😁😁😁😂😂😂😂
Nakubali sn lisu
pesa nyingi zinatumiwa kwenye mwenge wakati huduma muhimu amna kabisa Tanzania km hospitali azina dawa hakuna vipimo zaidi ya vipimo vya malaria na ukimwi saivi at parasetamol hakuna ,huo mwenge ni wanini? Na raia wakiwa na afya duni au njaa nani ataukimbiza jamani au kuupokea? tuangalieni jamani kuna vitu avina umuhimu km afya kwa binadamu.
@joellipunge4593
7 жыл бұрын
Jamila Ismail Hakuna serikali ni ujinga tu hospitalit ya Serikali kila kitu lazima ununue mwisho wao 2020 tunawang'oa mabwege hawa.
Never disappoint
strong message and ccm needs enough time to discuss those words.
Hiyo ndio point, gonga like apa kisha subscribe
Lissu ulifunzwa sheria na nan?
wise words from Lissu.
Tundu your too good they don't disserve you
Uzuri wa sugu hajawahi niangusha
@suleissaonlinetv9266
5 жыл бұрын
Utarudilin
@muhamedkhamis1868
5 жыл бұрын
Juma Michael
2021 twende pamoja
Congrant mh. Lissu unafaa kuwa kiongozi wa juu zaidi
Mungu akupe maisha malefu
Viumbee wagumu lakini lisuu now one like you hata mungu wanampuuza Kama ni fakiti lisuu sio wa sayarii Hiii ni shida we we🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉
Ndio maana risasi zote zile ulibaki hai kamanda wewe hakika ni aseti ya hii nchi na dunia kwa ujumla
Hawa ndio viongozi wasema kweli nchi yetu ukisema kweli unapingwa nakuuwawa
Please post majibu ya waziri
Semani Mkuu Tupate Maarifa
Best mp ever in Tz
Mungu azidi kukulinda mh lisu
Kwali mimi ni mejivunza mengi kupitia tundulisu
Dah Jamaa yuko makini Lissu anafaa kutuongoza
Ndo hivyo wamejichanganya
wewe ndiye raising wetu
Rip bunge la tz. Tutamiss upinzani sana
Mhuuuu tutawamiss the skilled people Sasa nizamu ya meza na ndio mzeee
Missing you All. You will be staying in heart forever
2020 gonga like
Lissu alikuwa Nabii Kwenye Jambo Hili Leo Hii Akina Nape Hata Press Hapana Uwezo Wa Kuzifanya popote Ushahidi ni Namba membe alivyonyimwa Ukumbi
Alie kuzulu kwa maneno ayo matakatifu alaniwe
Still living lissu
Tundulisu wachadema ni wabunge wote wa ccm Akiwemo na Rais
2020🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Uliona mbali baba naleo yamekuwa
Huyu lissu aliongeza IPP( INTERNATIONAL PUMBA POINTS)
sugu jiandae lisu aaa kwel ili ndy bunge la bongo
Lisu ni nabii kweli
Lisu anasimamia hoja muhimu good
LISSU 4 PREZZO
nawapenda chadema HD naumwa
Sugu sawa na wabunge 50 wa ccm kiboko
mmh mbeya wamepata mtetezi.. he did is job.
Ninaempenda ni lisu peke yake