Tundu Lissu asema Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete naye anapaswa kuwajibishwa kwani ndiye aliyesaini leseni ya mgodi wa Bulyanhulu akiwa waziri
Жүктеу.....
Пікірлер: 63
@bakarimashi22994 жыл бұрын
Hichi kichwa ni lulu kubwa sana kama kingetumika vzr..👏
@paulinemaximillian78034 жыл бұрын
Ww ni mwanasheria mwenye kiwango cha juu sana. Be blessed Mr. Lissu
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Sipati picha kumbe ukweli hutakiwi na watawala!!! Wamekuumiza sana Mr. Lissu. God is Good! You are a God given gifted!!
@nasibumatutera7863 жыл бұрын
Hakika Mh Tundu Lissu ni mzalendo asilia na viongozi wote wakiwa hivi nchi itafika mbali sana kiuchumi hakika M/Mungu akubariki.
@geofreyemanuel89394 жыл бұрын
Tundulisu yuko mmojatu dunia hii respect kwako mkuu
@samueldwayne6899
2 жыл бұрын
I dont mean to be so offtopic but does someone know of a way to get back into an Instagram account..? I somehow lost the account password. I would appreciate any tricks you can give me
@leudkihanza898
2 жыл бұрын
Hakika
@edgarshayo97204 жыл бұрын
Lissu ni mwanasheria bora kuwahi kutokea Tanzania na mzalendo mtu kama huyu unatakiwa kumtumia vizuri kwa maslahi mapana ya taifa na sio kumpiga vita lissu utakumbukwa sanaa na watanzania na alama uliyoiweka Katika taifa hili
@issackchalahani12354 жыл бұрын
Binadamu anaeishi kwa muujiza wa aliye juu. Hakika Taifa hili limekosa binadamu mwenye weledi mkubwa wa professionalism yake.
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Unajaribuje kumuua mtu kama huyu?? This is a very resourcefu man!!!
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Wewe ni mbeba maono!! Misimamo yako inajulukana wazi toka ukiwa nje ya siasa!! Huyu mwingine anatudanganya msanii mtupu!! Professorior rubish!! Nilikuelewa sana!!!
@marvinomondi89213 жыл бұрын
Best member of parliament in Tz
@sixfridmartin37804 жыл бұрын
Huyu jamaa htr sanaa
@hassanmashambo13273 жыл бұрын
Cku hii ndo alipgw risasi baada ya kutoka bungeni
@sylvestermgale6699
3 жыл бұрын
siku aliyopigwa risasi alikuwa amechangia mkataba wa bonde la mto songwe
@sylvestermsafiri43725 жыл бұрын
Du! Kazi kweli kweli.
@philipowyinjones96453 жыл бұрын
Waooooo Tundu Atiphasi Lisu Uko sawa wengine humo wanabwabwaja hawajui chochote
@suedmtula4434 ай бұрын
Well executed. Well narrated. The best we have as a country. Saying this in 2040.
@meshackkwigize98482 жыл бұрын
Tunawe ewe Baba Tundu lisu, ubarikiwe Sana.
@daudichristopher94602 жыл бұрын
Rais wanchi uyu Asante muumba kwa kutupa hii chuma 2025 ikulu
@antonkomba40254 жыл бұрын
Hakika mungu aliweka kitu ndani yako umebarikiwa na mungu.
@elishamkora43173 жыл бұрын
Kwani huyu MTU Ana kosa lipi kwa taifa let u?
@faustinepeter31394 жыл бұрын
Kichwa iki Hatar sanaaa
@abelzablon59774 жыл бұрын
Penda usipende lisu mungu akikupa kitu amekupa tu hats ufanye nn big up lissu
@danhoemanho98564 жыл бұрын
You are blessed
@davidkaguru95115 жыл бұрын
Lissu sasa wamekuelewa baada ya kukosa matrilion waliyosema watalipa
@joftimwaduma4970
4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa huyu jamaa yuko vizuri sana yan.
@LumolaSteven
4 ай бұрын
Mimi bado nasubiria Noah yangu
@dreamdream99733 жыл бұрын
MUNGU anasikia , na nyie sikieni
@dogoprence51594 жыл бұрын
Heshima yako kamanda
@philipowyinjones96454 жыл бұрын
Nice oneeeee kutokea katika Taifa letu
@mtosimbakwetu1305 жыл бұрын
Rais anakuja wakutufikisha kanan
@simonfundi36094 жыл бұрын
2020 president
@robertabely57942 жыл бұрын
Nakuelewa sana 2022
@leudkihanza8982 жыл бұрын
Mimi namuelewaga saaana huyu ntu
@user-xi2mf4xh7r3 ай бұрын
Ivi asiyemuelewa mh,Lisu ana akili timamu au nisema asiyemuelewa ana akili ila anaweza akawa amekosa utashi.
@daudichristopher94602 жыл бұрын
Nani alitaka kumuua uyu chuma Nani😭😭😭😭 ipo siku Nita kuja bungeni kuhoj ili swala
@LumolaSteven
4 ай бұрын
Magufuli
@mfalmekaitaba2425 Жыл бұрын
Lissu ni Genius dadekii
@user-ko7pv1fh7d6 ай бұрын
Kweli uko vizuri lissu sema sasa hii nchi hakitaki ukweli hiyo ndio hiko sasa
@LumolaSteven4 ай бұрын
Hili ndilo lilikuwa bunge
@elishamkora43172 жыл бұрын
Jamani kosa lake ni nini?
@saidybhoky-lb7hg2 ай бұрын
ccm viongozi ni wezi
@faustinepeter31394 жыл бұрын
Ccm amuwatakii mema wananchi mnaficha mambo et mnataka kumuua msema ukweli kma uyu
@selemaniyunusi26915 жыл бұрын
Duuu mwe 👌📌📌
@robertabely57942 жыл бұрын
Kamanda ni kamanda tu
@mwl.elishafredrickmwambeng8921Ай бұрын
TUNDU ANTIPAS LISSU
@davidkaguru95115 жыл бұрын
Mpaka Leo hakuna aliyeshughulikiwa,uharo mtupu
@patricembala2734
4 жыл бұрын
😂😂eti uharo!!
@edwardmseti5263
4 жыл бұрын
We ni zaidi
@edwardmseti5263
4 жыл бұрын
Tutakukumbuka xn kamanda
@mwakalingalugano1140
4 жыл бұрын
Damu ya YESU ikufunike na Bwana aione damu juu yako anapozulu wengine asikupite,(kutoka 12:13)
@danhoemanho98564 жыл бұрын
Charismatics are known
@davidkaguru95115 жыл бұрын
Duh huyu jamaaa ndo maana walimpiga risasi
@issackchalahani1235
4 жыл бұрын
Na huu ndio ukweli uliopelekea yamkute hayo.
@charlesmipawa5191 Жыл бұрын
Cmpw
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Bado tunasubiri kishika uchumba!! Sijui wakuolewa alikuwa nani!! Chi inatia haibu hii!!!!
@onesmokinyonga2669
4 жыл бұрын
Aliye mpiga risasi lisu mungu anamuona
@frankmwakatundu9856
2 жыл бұрын
Tundu Lisu Urais 2025 Hadi 2045 unakustahili KWANI UTAKUWA UMELIWEKA TAIFA VYA KUTOSHA KTK MWAMBA IMARA WA SHERIA. WEWE NI MWANA SHERIA BORA NA UBORA WAKO HUIMARISHWA ZAIDI NA HAKI NA UJASIRI ULIVYOJALIWA NA MUMBA WAKO!!! BARIKIWA SANA TUNDU LISU.
@paulinemaximillian78034 жыл бұрын
Ww ni mwanasheria mwenye kiwango cha juu sana. Be blessed Mr. Lissu
Пікірлер: 63
Hichi kichwa ni lulu kubwa sana kama kingetumika vzr..👏
Ww ni mwanasheria mwenye kiwango cha juu sana. Be blessed Mr. Lissu
Sipati picha kumbe ukweli hutakiwi na watawala!!! Wamekuumiza sana Mr. Lissu. God is Good! You are a God given gifted!!
Hakika Mh Tundu Lissu ni mzalendo asilia na viongozi wote wakiwa hivi nchi itafika mbali sana kiuchumi hakika M/Mungu akubariki.
Tundulisu yuko mmojatu dunia hii respect kwako mkuu
@samueldwayne6899
2 жыл бұрын
I dont mean to be so offtopic but does someone know of a way to get back into an Instagram account..? I somehow lost the account password. I would appreciate any tricks you can give me
@leudkihanza898
2 жыл бұрын
Hakika
Lissu ni mwanasheria bora kuwahi kutokea Tanzania na mzalendo mtu kama huyu unatakiwa kumtumia vizuri kwa maslahi mapana ya taifa na sio kumpiga vita lissu utakumbukwa sanaa na watanzania na alama uliyoiweka Katika taifa hili
Binadamu anaeishi kwa muujiza wa aliye juu. Hakika Taifa hili limekosa binadamu mwenye weledi mkubwa wa professionalism yake.
Unajaribuje kumuua mtu kama huyu?? This is a very resourcefu man!!!
Wewe ni mbeba maono!! Misimamo yako inajulukana wazi toka ukiwa nje ya siasa!! Huyu mwingine anatudanganya msanii mtupu!! Professorior rubish!! Nilikuelewa sana!!!
Best member of parliament in Tz
Huyu jamaa htr sanaa
Cku hii ndo alipgw risasi baada ya kutoka bungeni
@sylvestermgale6699
3 жыл бұрын
siku aliyopigwa risasi alikuwa amechangia mkataba wa bonde la mto songwe
Du! Kazi kweli kweli.
Waooooo Tundu Atiphasi Lisu Uko sawa wengine humo wanabwabwaja hawajui chochote
Well executed. Well narrated. The best we have as a country. Saying this in 2040.
Tunawe ewe Baba Tundu lisu, ubarikiwe Sana.
Rais wanchi uyu Asante muumba kwa kutupa hii chuma 2025 ikulu
Hakika mungu aliweka kitu ndani yako umebarikiwa na mungu.
Kwani huyu MTU Ana kosa lipi kwa taifa let u?
Kichwa iki Hatar sanaaa
Penda usipende lisu mungu akikupa kitu amekupa tu hats ufanye nn big up lissu
You are blessed
Lissu sasa wamekuelewa baada ya kukosa matrilion waliyosema watalipa
@joftimwaduma4970
4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa huyu jamaa yuko vizuri sana yan.
@LumolaSteven
4 ай бұрын
Mimi bado nasubiria Noah yangu
MUNGU anasikia , na nyie sikieni
Heshima yako kamanda
Nice oneeeee kutokea katika Taifa letu
Rais anakuja wakutufikisha kanan
2020 president
Nakuelewa sana 2022
Mimi namuelewaga saaana huyu ntu
Ivi asiyemuelewa mh,Lisu ana akili timamu au nisema asiyemuelewa ana akili ila anaweza akawa amekosa utashi.
Nani alitaka kumuua uyu chuma Nani😭😭😭😭 ipo siku Nita kuja bungeni kuhoj ili swala
@LumolaSteven
4 ай бұрын
Magufuli
Lissu ni Genius dadekii
Kweli uko vizuri lissu sema sasa hii nchi hakitaki ukweli hiyo ndio hiko sasa
Hili ndilo lilikuwa bunge
Jamani kosa lake ni nini?
ccm viongozi ni wezi
Ccm amuwatakii mema wananchi mnaficha mambo et mnataka kumuua msema ukweli kma uyu
Duuu mwe 👌📌📌
Kamanda ni kamanda tu
TUNDU ANTIPAS LISSU
Mpaka Leo hakuna aliyeshughulikiwa,uharo mtupu
@patricembala2734
4 жыл бұрын
😂😂eti uharo!!
@edwardmseti5263
4 жыл бұрын
We ni zaidi
@edwardmseti5263
4 жыл бұрын
Tutakukumbuka xn kamanda
@mwakalingalugano1140
4 жыл бұрын
Damu ya YESU ikufunike na Bwana aione damu juu yako anapozulu wengine asikupite,(kutoka 12:13)
Charismatics are known
Duh huyu jamaaa ndo maana walimpiga risasi
@issackchalahani1235
4 жыл бұрын
Na huu ndio ukweli uliopelekea yamkute hayo.
Cmpw
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
Bado tunasubiri kishika uchumba!! Sijui wakuolewa alikuwa nani!! Chi inatia haibu hii!!!!
@onesmokinyonga2669
4 жыл бұрын
Aliye mpiga risasi lisu mungu anamuona
@frankmwakatundu9856
2 жыл бұрын
Tundu Lisu Urais 2025 Hadi 2045 unakustahili KWANI UTAKUWA UMELIWEKA TAIFA VYA KUTOSHA KTK MWAMBA IMARA WA SHERIA. WEWE NI MWANA SHERIA BORA NA UBORA WAKO HUIMARISHWA ZAIDI NA HAKI NA UJASIRI ULIVYOJALIWA NA MUMBA WAKO!!! BARIKIWA SANA TUNDU LISU.
Ww ni mwanasheria mwenye kiwango cha juu sana. Be blessed Mr. Lissu