Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amechafua hali ya hewa bungeni akipinga muswada wa mabadiliko ya sheria ya maliasili, wakati akichangia hoja huku akiwatuhumu wabunge wa CCM kufanya mambo kwa ushabiki.
Lema amesema sheria zilizoligharimu taifa mpaka sasa, zilipitishwa kishabiki bungeni, kama ambavyo wabunge wanataka kufanya hivyo sasa hivyo kama ushabiki utaendelea, lazima sheria zitakazopitishwa zitakuwa ni zilezile.
Ilibidi mheshimiwa George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, asimame na kumkosoa Lema kwamba alikuwa akikiuka sheria katika uchangiaji wake lakini alipokaa, Lema alimpiga kijembe kwamba anataka kubadilishiwa wizara ndiyo maana anapinga hoja ya Lema.
Akataka utengwe muda wa kutosha kujadili muswada huo na si kupeleka bungeni kwa hati ya dharura. Mjadala mkali uliendelea ambapo Lema aliendelea kutoa hoja nzito akizielekeza upande wa wabunge wa CCM.
Пікірлер: 286
nimemshangaa sana kusema Arusha mjini hatuna m bunge huyo ni nan sasa funguka lema
Chuga huyu ndo kiongozi msikoseee anafunguka ipasavyoooo yuko njemaa km rais Wa Arushaaa
mh:lema ameongea point kubwa sana na mueshimiwa rais angalia hilo coz kuna wabunge wa ccm wanatetea ujinga big up mh lema
ccm hawajielew big up mh. lemaa
hakika wewe Lema Mungu awalete viongozi km wewe
Nimemkubali Sana lema kwa alichozungumza ila simabachawene anajaribu kufosi kupindisha alichozungumza
Chuma hichoo mungu awape umakini wakurudishe tenaaa
Arusha tuna mbunge makin saanaa, mungu akubariki mheshimiwa lema.
@nicholasakeya6790
2 жыл бұрын
Ipo siku arusha mtamkumbuka lema
Duuuuuuh kweliii kiboko duuuuu.. umebonga adii nafsi yangu imeshtukaa jombaaa
ila CCM ni watu waajabu sana kwa kweli, hule muimbaji wa gospel Munishi hakukosea, Mh.Lema I salute you
Lema umefungukaaaa hahahahaa dozi imepenyaaaa
Hivi kichwa km hiki kijana unapataje ujasiri wa kukipinga? Viva Lema
Pole Lema, mna kazi ngumu sana
Thank you Lema congrat ....smart na unajua kujenga hoja ipasavyo....goood
@nicholasakeya6790
2 жыл бұрын
here from Kenya 🇰🇪I like this guy personally
Maneno yako ni Sawa na jina lako mwamba. Mungu akulinde na kukulinda kwa kila jambo ulitendalo mwamba. Your my inspiration
Wakati wa Mungu ukifika, ccm itashindwa na watu wengine, hongera lema kwa kulitambua hilo
@ombenianton3611
2 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣 ila walipoondoka ndio bunge lilipoteza mwelekeo wake. But 1 day tutachukua kombe tu na sisi
Ni vizuri Wah.Wabunge kufanya kazi za Bunge na siyo kazi za matakwa ya vyama vyao vya siasa!
nice sana Mungu akujaze hekima
Mwenyezi MUNGU akupe nguvu ..akutie hekima na maneno yako,,,m4c.....
Sema baba lema mwenyezi mungu aendelee kuwapigania
Arusha mkimpoteza Lema mtapata hasara kubwa na mtakumbuka daima
@jonaselisha3217
5 жыл бұрын
Huyo ndojembe letuuuu 2020 ten
Shikamoo Lema
Mh lema watakupinga kila siku maana hao wapo kwajili ya maslahi yao binafsi
lema mungu alie watoa wana wa israel misri na kwasauti yako uliotoe kwa kipindi hiki mungu atukuja kukuweka juu nawanao wapinga wata ficha sura zao
tunahita watyu kama nyie 100 tyu wenye ujasiri na weledi wa kutosha ili tulikomboe taifa....Viva Lemaaa
lema mungu akutie nguvu hao wangine Hawajui wafanyalo ni ndio tu kila kitu tunawasubiri kwa hamu-2020 wataungua tuuuuuuuu.
Lema Lema Lemaaaa! God bless Lema Amina.
lema mungu akubaliki sana katika Kazi yako
Wewe Tulia. ,,,,hatuna hati ya Dharula.... ni Dharura.
Jamani ww lema uko good
mungu ambariki gobbles lema
Uko vzr lema
I wish ningekua raisi ninge kuchagua WAZIR MKUU
Lema happy nakupa BG up. Umeongea.
Lema unajuw sana kujenga oja
roma akiwaambia ukweli wabunge wetu mnatuangushaa anatekwaaa.... sasa mambo gani hayo... watu wazima mnashindwa kukaa mkaelewana na kuskilizana.
jah bless u godbless lem 2 live 100yrs ahead with alots of happiness...asante lema
@yaledijakobo4072
6 жыл бұрын
Deogratius Daudi
LEMA Ni hazina ya TAIFA
Yes this is what we need in our nation the truly guy like Mr. Lema is good even if most of the parliament are oppose him
@bigsonmeckson8688
4 жыл бұрын
Pelgrin Dominicus
Waheshimiwa msicheke hilo swala ni muhimu sana raia sisi hatufurahii hata.
Huyu jamaa Mungu ambariki Sana kwa kuipigania nchi
Our pride Arusha tumekumisss sanaaaa mhe
lema ukisimama wabunge wote wa cc wanatetemeka
@anjunurdin2763
6 жыл бұрын
pole sana Lema ila mkono mmoja hauvunji chawa..kaka yangu umoja ni nguvu
@alexanderkilembo7651
6 жыл бұрын
ongea bana tumechoka kabisa
@sorryboy4404
5 жыл бұрын
Salim Masatu
Uko Sawa mungu akubariki
Kura yangu ni kwa lema arusha mjini 2020
Lema na zito kabwe ni ndugu pacha I love you all
Kwa mara ya kwanza nimemuelewa lema
ujumbe umefika hata kama wanaukataa kinafiki lkn tumeuelewa wenye akili
@kevinmrope1783
7 жыл бұрын
Yohana Zacharia nawewe unaakili?
@rahmashaban8693
7 жыл бұрын
Yohana Zacharia +wewe mie naona no number one. unahitaji kupelekwa mirembe.
@agabalufulani7247
5 жыл бұрын
Safiii
Hakika wa faa kuwa mbunge wa kitaifa na si wa jimbo. Mungu na awe nawe
Wawooooo mkuuu dah unaongea ukweli na kwa uchungu sana ,mbna wabunge wa upinzani wanaakili sana ,adi wivuu
@nicholasakeya6790
4 жыл бұрын
lema mh
asante San lema mungu akulinde
Lisu aliwakomesha sasa zamu ya lema kuwaonyesha kazi
Kweli Lema waambie
Wana macho hawaoni na wana masikio lakini hawasikii kabisa
MANENO YAKO MARA NYINGI , YAMEUACHA MOYO WANGU NA TABASAM....!! MUNGU AZIDI KUKUHEKIMISHA LEMA
@yohanamgungu9850
4 жыл бұрын
Alfred Mmbaga sanaaaa kaka
@joycedaniel6127
4 жыл бұрын
Alfred Mmbaga nakuunga mkono kabisa Lema Hapa aliongea kiuongozi zaidi na alipiga picha ya mbali sana lazima sheria zilenge matakwa ya sasa na ya baadae sheria nyingi kwenye nchi zakiafrika zinalenga kulinda viongozi hao kwa muda wanapokuwa kwenye mamlaka kitu ambacho sio afya kwa ustawi wa Taifq
@nicholasakeya6790
3 жыл бұрын
Big up sir kamanda
Ndio rema wachane ujumbe ushafika
@nicholasakeya6790
3 жыл бұрын
Kabisaa lema
Godblessings you lema mangu akulinde popote ulipo Godbless you lema
Lema you are very true
we simba cha wene kaa chini hauna maana
Lema wewe ni mwamba wapo wabunge wachache Sana kwenye taifa hili wenye moyo Kama wako
Nakukubali sana
yani wabunge wa ccm nimuzingo mkubwa mno kasoro bashe tu anaye jitambua.
Shikamoo lema
makamanda tusikate tamaa endeleen kulipigania taifa
lema baba uchaguzi ujao waviongozi gombeya uwenyekiti taifa utawanyosha
@fundibaskeli2600
6 жыл бұрын
Ww ni mwisho
namkubali sana lema
Big up ma brother
pilot kamnda lema nakukubali ad tunajivunia kuwa nambunge kama ww
Ni mtoro ila Nabii wa ukweli..keep up Lema
Hatali Sana
Nakumic san rais wa Arusha
👏👏👏Lema👏👏👏👏👏❤❤❤💙Lema💙💙💙Lema 💪💪💪 Lema👌👌👌👌
@Onicavee
6 жыл бұрын
Jamila Ismail 👏🙏mbuge wanguuu
Acha mambo ya ajabu spika ww kwann usiache aongee?
Kuwachokonoa kivipi tena ukweli unauma.
Sura mbayaaaaaa! Kaoneeee
Viva lema
mbungeee wang uyo god+bless u
@jonathanjj.pachajjpacha9127
4 жыл бұрын
Kwer kabisa
@jasminelissu9063
3 жыл бұрын
Lema kama lema mbge wangu uyo
wakati mwingine wapinzani wanaongeaga pointi Sijawahi kuikubali chochote cha lema ila kwa hii point "Sio kila Rais anayechaguliwa ni mzalendo kama MAGUFULI.............." Ni kweli kabisa hapo umeongea! Ushauri: tungeni hizo sera bila chuki na msichanganye vyama na maisha ya wananchi wa tz. hii mambo ya taaarifa mweshimiwa au utaratibu mweshimiwa mimi ninadhani hazina maana yoyote!
@frankbella4170
7 жыл бұрын
sio kila wakati ni kila siku
@masalumashala185
3 жыл бұрын
Hukumueleea vzr ww lema ndo maana unalipuka
asante saaana LEMA
Pole makazi mema kazi yenu ngumu
Simba chaweneee sijui akili yako vip
mnapigwa vita wazi wazi daah..Anakula dakika zako kukupinga
Pole Sana lema ccm aizidiwi kabisa ndugu yangu iyo niile ile
Wabunge wa upinzani nawakubali sana tena sana
@mursaliswalehe8324
Жыл бұрын
Karibu mkuu
Lema uko vzr xn wachane hao ccm ukweli
Lemaaa big brain master
ccm mzigo,lema yupo sawa kinga ya Rais iondolewe.
Mungu anawaona. Mlidhani mko makini kumbe hakuna lolote. Haya sasa
lemaa shikamoooooooooooooooooo
@osternmeru6240
7 жыл бұрын
Asante mh.Lema
@golanmathias3634
7 жыл бұрын
safi Lema cc tumewaelewa wanacho kifanya
Kaka lema nashukuru kwa kujenga hoja za msingi, ila asilimia kibwa ya wabunge haswa wa chama Tawala wanaangalia maslai yao tu peke yao
lema wape ukweli
Hahahahaaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀 Jamani Lema!
Bila upinzani hakuna nchi
Good imepenya hyo wameipata
Lema wewe ndombunge naomba uruditena bungen wewe niraisi ajaye 2035
sikuzote shelia zilizopo tanzania nyingi niza kuwalinda viongozi waliopo madalakani
Big up lema waelewa tunaonaa
hongèra Rema hao wamekunywaaa majibya
lema hatari
Alafu leo jitu linakaa mtan linauluza umetufanyiann arusha kuwen makin hilo ni jembe ss nyie wapeni wale mateso mpambanuen dar tunamuelewa sn pambanen lema jembe