Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amechafua hali ya hewa bungeni akipinga muswada wa mabadiliko ya sheria ya maliasili, wakati akichangia hoja huku akiwatuhumu wabunge wa CCM kufanya mambo kwa ushabiki.
Lema amesema sheria zilizoligharimu taifa mpaka sasa, zilipitishwa kishabiki bungeni, kama ambavyo wabunge wanataka kufanya hivyo sasa hivyo kama ushabiki utaendelea, lazima sheria zitakazopitishwa zitakuwa ni zilezile.
Ilibidi mheshimiwa George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, asimame na kumkosoa Lema kwamba alikuwa akikiuka sheria katika uchangiaji wake lakini alipokaa, Lema alimpiga kijembe kwamba anataka kubadilishiwa wizara ndiyo maana anapinga hoja ya Lema.
Akataka utengwe muda wa kutosha kujadili muswada huo na si kupeleka bungeni kwa hati ya dharura. Mjadala mkali uliendelea ambapo Lema aliendelea kutoa hoja nzito akizielekeza upande wa wabunge wa CCM.

Пікірлер: 286

  • @shebbyrnem7003
    @shebbyrnem70035 жыл бұрын

    nimemshangaa sana kusema Arusha mjini hatuna m bunge huyo ni nan sasa funguka lema

  • @saddiqkinkoro389
    @saddiqkinkoro3895 жыл бұрын

    Chuga huyu ndo kiongozi msikoseee anafunguka ipasavyoooo yuko njemaa km rais Wa Arushaaa

  • @reganjuma152
    @reganjuma1527 жыл бұрын

    mh:lema ameongea point kubwa sana na mueshimiwa rais angalia hilo coz kuna wabunge wa ccm wanatetea ujinga big up mh lema

  • @isuqalex8726
    @isuqalex87267 жыл бұрын

    ccm hawajielew big up mh. lemaa

  • @suleimanali609
    @suleimanali6096 жыл бұрын

    hakika wewe Lema Mungu awalete viongozi km wewe

  • @maikonmsafirilatonga114
    @maikonmsafirilatonga1144 жыл бұрын

    Nimemkubali Sana lema kwa alichozungumza ila simabachawene anajaribu kufosi kupindisha alichozungumza

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya58553 жыл бұрын

    Chuma hichoo mungu awape umakini wakurudishe tenaaa

  • @aibansaidy2286
    @aibansaidy22865 жыл бұрын

    Arusha tuna mbunge makin saanaa, mungu akubariki mheshimiwa lema.

  • @nicholasakeya6790

    @nicholasakeya6790

    2 жыл бұрын

    Ipo siku arusha mtamkumbuka lema

  • @lubavaclassic7048
    @lubavaclassic70487 жыл бұрын

    Duuuuuuh kweliii kiboko duuuuu.. umebonga adii nafsi yangu imeshtukaa jombaaa

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice16007 жыл бұрын

    ila CCM ni watu waajabu sana kwa kweli, hule muimbaji wa gospel Munishi hakukosea, Mh.Lema I salute you

  • @justinemgomi9561
    @justinemgomi95617 жыл бұрын

    Lema umefungukaaaa hahahahaa dozi imepenyaaaa

  • @stelasasala5972
    @stelasasala59727 жыл бұрын

    Hivi kichwa km hiki kijana unapataje ujasiri wa kukipinga? Viva Lema

  • @geofbeka1669
    @geofbeka16697 жыл бұрын

    Pole Lema, mna kazi ngumu sana

  • @rahmayussuf4368
    @rahmayussuf43686 жыл бұрын

    Thank you Lema congrat ....smart na unajua kujenga hoja ipasavyo....goood

  • @nicholasakeya6790

    @nicholasakeya6790

    2 жыл бұрын

    here from Kenya 🇰🇪I like this guy personally

  • @princeriwa4000
    @princeriwa40002 жыл бұрын

    Maneno yako ni Sawa na jina lako mwamba. Mungu akulinde na kukulinda kwa kila jambo ulitendalo mwamba. Your my inspiration

  • @masalumashala185
    @masalumashala1853 жыл бұрын

    Wakati wa Mungu ukifika, ccm itashindwa na watu wengine, hongera lema kwa kulitambua hilo

  • @ombenianton3611

    @ombenianton3611

    2 жыл бұрын

    😂😂😂🤣🤣🤣 ila walipoondoka ndio bunge lilipoteza mwelekeo wake. But 1 day tutachukua kombe tu na sisi

  • @josephjohn6219
    @josephjohn62197 жыл бұрын

    Ni vizuri Wah.Wabunge kufanya kazi za Bunge na siyo kazi za matakwa ya vyama vyao vya siasa!

  • @elizabethmlay5015
    @elizabethmlay50156 жыл бұрын

    nice sana Mungu akujaze hekima

  • @godfreymgaya435
    @godfreymgaya4356 жыл бұрын

    Mwenyezi MUNGU akupe nguvu ..akutie hekima na maneno yako,,,m4c.....

  • @shaddytzblog1907
    @shaddytzblog19075 жыл бұрын

    Sema baba lema mwenyezi mungu aendelee kuwapigania

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba23915 жыл бұрын

    Arusha mkimpoteza Lema mtapata hasara kubwa na mtakumbuka daima

  • @jonaselisha3217

    @jonaselisha3217

    5 жыл бұрын

    Huyo ndojembe letuuuu 2020 ten

  • @Adryfierce
    @Adryfierce7 жыл бұрын

    Shikamoo Lema

  • @thomasmario950
    @thomasmario9505 жыл бұрын

    Mh lema watakupinga kila siku maana hao wapo kwajili ya maslahi yao binafsi

  • @pttemba4421
    @pttemba44215 жыл бұрын

    lema mungu alie watoa wana wa israel misri na kwasauti yako uliotoe kwa kipindi hiki mungu atukuja kukuweka juu nawanao wapinga wata ficha sura zao

  • @zompasevenludovick51
    @zompasevenludovick517 жыл бұрын

    tunahita watyu kama nyie 100 tyu wenye ujasiri na weledi wa kutosha ili tulikomboe taifa....Viva Lemaaa

  • @leonidaobed2952
    @leonidaobed29527 жыл бұрын

    lema mungu akutie nguvu hao wangine Hawajui wafanyalo ni ndio tu kila kitu tunawasubiri kwa hamu-2020 wataungua tuuuuuuuu.

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje77305 жыл бұрын

    Lema Lema Lemaaaa! God bless Lema Amina.

  • @augustinochuhila6004
    @augustinochuhila60047 жыл бұрын

    lema mungu akubaliki sana katika Kazi yako

  • @kechbowcech3325
    @kechbowcech33254 жыл бұрын

    Wewe Tulia. ,,,,hatuna hati ya Dharula.... ni Dharura.

  • @ibrahimrikanga1607
    @ibrahimrikanga16075 жыл бұрын

    Jamani ww lema uko good

  • @josephkanondo3999
    @josephkanondo39997 жыл бұрын

    mungu ambariki gobbles lema

  • @ramadhanikakoree3728
    @ramadhanikakoree37286 жыл бұрын

    Uko vzr lema

  • @shemsaroja975
    @shemsaroja9754 жыл бұрын

    I wish ningekua raisi ninge kuchagua WAZIR MKUU

  • @khassimnkuruvi4
    @khassimnkuruvi46 жыл бұрын

    Lema happy nakupa BG up. Umeongea.

  • @woltabenad8311
    @woltabenad83114 жыл бұрын

    Lema unajuw sana kujenga oja

  • @hitmanhunter9557
    @hitmanhunter95577 жыл бұрын

    roma akiwaambia ukweli wabunge wetu mnatuangushaa anatekwaaa.... sasa mambo gani hayo... watu wazima mnashindwa kukaa mkaelewana na kuskilizana.

  • @deogratiusdaudi5482
    @deogratiusdaudi54827 жыл бұрын

    jah bless u godbless lem 2 live 100yrs ahead with alots of happiness...asante lema

  • @yaledijakobo4072

    @yaledijakobo4072

    6 жыл бұрын

    Deogratius Daudi

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani5204 жыл бұрын

    LEMA Ni hazina ya TAIFA

  • @pelgrindominicus4890
    @pelgrindominicus48905 жыл бұрын

    Yes this is what we need in our nation the truly guy like Mr. Lema is good even if most of the parliament are oppose him

  • @bigsonmeckson8688

    @bigsonmeckson8688

    4 жыл бұрын

    Pelgrin Dominicus

  • @theodorychristopher4795
    @theodorychristopher47956 жыл бұрын

    Waheshimiwa msicheke hilo swala ni muhimu sana raia sisi hatufurahii hata.

  • @dostovan5142
    @dostovan51422 жыл бұрын

    Huyu jamaa Mungu ambariki Sana kwa kuipigania nchi

  • @angeljustine1978
    @angeljustine19782 жыл бұрын

    Our pride Arusha tumekumisss sanaaaa mhe

  • @salimmasatu7637
    @salimmasatu76377 жыл бұрын

    lema ukisimama wabunge wote wa cc wanatetemeka

  • @anjunurdin2763

    @anjunurdin2763

    6 жыл бұрын

    pole sana Lema ila mkono mmoja hauvunji chawa..kaka yangu umoja ni nguvu

  • @alexanderkilembo7651

    @alexanderkilembo7651

    6 жыл бұрын

    ongea bana tumechoka kabisa

  • @sorryboy4404

    @sorryboy4404

    5 жыл бұрын

    Salim Masatu

  • @marcohamisihubill.1649
    @marcohamisihubill.16497 жыл бұрын

    Uko Sawa mungu akubariki

  • @mamaedson7179
    @mamaedson71794 жыл бұрын

    Kura yangu ni kwa lema arusha mjini 2020

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba23915 жыл бұрын

    Lema na zito kabwe ni ndugu pacha I love you all

  • @ama7742
    @ama77424 жыл бұрын

    Kwa mara ya kwanza nimemuelewa lema

  • @yohanazacharia3352
    @yohanazacharia33527 жыл бұрын

    ujumbe umefika hata kama wanaukataa kinafiki lkn tumeuelewa wenye akili

  • @kevinmrope1783

    @kevinmrope1783

    7 жыл бұрын

    Yohana Zacharia nawewe unaakili?

  • @rahmashaban8693

    @rahmashaban8693

    7 жыл бұрын

    Yohana Zacharia +wewe mie naona no number one. unahitaji kupelekwa mirembe.

  • @agabalufulani7247

    @agabalufulani7247

    5 жыл бұрын

    Safiii

  • @geraldmilanzi424
    @geraldmilanzi4245 жыл бұрын

    Hakika wa faa kuwa mbunge wa kitaifa na si wa jimbo. Mungu na awe nawe

  • @albertmichael8675
    @albertmichael86755 жыл бұрын

    Wawooooo mkuuu dah unaongea ukweli na kwa uchungu sana ,mbna wabunge wa upinzani wanaakili sana ,adi wivuu

  • @nicholasakeya6790

    @nicholasakeya6790

    4 жыл бұрын

    lema mh

  • @ismshakoor1340
    @ismshakoor13406 жыл бұрын

    asante San lema mungu akulinde

  • @omarymachea2364
    @omarymachea23644 жыл бұрын

    Lisu aliwakomesha sasa zamu ya lema kuwaonyesha kazi

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema16934 жыл бұрын

    Kweli Lema waambie

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba23915 жыл бұрын

    Wana macho hawaoni na wana masikio lakini hawasikii kabisa

  • @alfredmmbaga9336
    @alfredmmbaga93367 жыл бұрын

    MANENO YAKO MARA NYINGI , YAMEUACHA MOYO WANGU NA TABASAM....!! MUNGU AZIDI KUKUHEKIMISHA LEMA

  • @yohanamgungu9850

    @yohanamgungu9850

    4 жыл бұрын

    Alfred Mmbaga sanaaaa kaka

  • @joycedaniel6127

    @joycedaniel6127

    4 жыл бұрын

    Alfred Mmbaga nakuunga mkono kabisa Lema Hapa aliongea kiuongozi zaidi na alipiga picha ya mbali sana lazima sheria zilenge matakwa ya sasa na ya baadae sheria nyingi kwenye nchi zakiafrika zinalenga kulinda viongozi hao kwa muda wanapokuwa kwenye mamlaka kitu ambacho sio afya kwa ustawi wa Taifq

  • @nicholasakeya6790

    @nicholasakeya6790

    3 жыл бұрын

    Big up sir kamanda

  • @markkayuni9775
    @markkayuni97757 жыл бұрын

    Ndio rema wachane ujumbe ushafika

  • @nicholasakeya6790

    @nicholasakeya6790

    3 жыл бұрын

    Kabisaa lema

  • @paulalipakwa9077
    @paulalipakwa90772 жыл бұрын

    Godblessings you lema mangu akulinde popote ulipo Godbless you lema

  • @mpelienock
    @mpelienock6 жыл бұрын

    Lema you are very true

  • @salimmasatu7637
    @salimmasatu76377 жыл бұрын

    we simba cha wene kaa chini hauna maana

  • @abdulyesswigo5266
    @abdulyesswigo52662 жыл бұрын

    Lema wewe ni mwamba wapo wabunge wachache Sana kwenye taifa hili wenye moyo Kama wako

  • @tollmrema6049
    @tollmrema60492 жыл бұрын

    Nakukubali sana

  • @mohamedshabani2263
    @mohamedshabani22635 жыл бұрын

    yani wabunge wa ccm nimuzingo mkubwa mno kasoro bashe tu anaye jitambua.

  • @peterlaiza1399
    @peterlaiza13995 жыл бұрын

    Shikamoo lema

  • @mabulantinyehu5575
    @mabulantinyehu55756 жыл бұрын

    makamanda tusikate tamaa endeleen kulipigania taifa

  • @augustinochuhila6004
    @augustinochuhila60047 жыл бұрын

    lema baba uchaguzi ujao waviongozi gombeya uwenyekiti taifa utawanyosha

  • @fundibaskeli2600

    @fundibaskeli2600

    6 жыл бұрын

    Ww ni mwisho

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana99206 жыл бұрын

    namkubali sana lema

  • @dicksonmsongole1059
    @dicksonmsongole10595 жыл бұрын

    Big up ma brother

  • @kyomamabifi7686
    @kyomamabifi76866 жыл бұрын

    pilot kamnda lema nakukubali ad tunajivunia kuwa nambunge kama ww

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo50473 жыл бұрын

    Ni mtoro ila Nabii wa ukweli..keep up Lema

  • @kenyatatogota5340
    @kenyatatogota53405 жыл бұрын

    Hatali Sana

  • @fabiolapanga8680
    @fabiolapanga86803 жыл бұрын

    Nakumic san rais wa Arusha

  • @jamilaismail5227
    @jamilaismail52277 жыл бұрын

    👏👏👏Lema👏👏👏👏👏❤❤❤💙Lema💙💙💙Lema 💪💪💪 Lema👌👌👌👌

  • @Onicavee

    @Onicavee

    6 жыл бұрын

    Jamila Ismail 👏🙏mbuge wanguuu

  • @thomasmario950
    @thomasmario9505 жыл бұрын

    Acha mambo ya ajabu spika ww kwann usiache aongee?

  • @theodorychristopher4795
    @theodorychristopher47956 жыл бұрын

    Kuwachokonoa kivipi tena ukweli unauma.

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel26404 жыл бұрын

    Sura mbayaaaaaa! Kaoneeee

  • @jolojist929
    @jolojist9293 жыл бұрын

    Viva lema

  • @josephlasway664
    @josephlasway6647 жыл бұрын

    mbungeee wang uyo god+bless u

  • @jonathanjj.pachajjpacha9127

    @jonathanjj.pachajjpacha9127

    4 жыл бұрын

    Kwer kabisa

  • @jasminelissu9063

    @jasminelissu9063

    3 жыл бұрын

    Lema kama lema mbge wangu uyo

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk7 жыл бұрын

    wakati mwingine wapinzani wanaongeaga pointi Sijawahi kuikubali chochote cha lema ila kwa hii point "Sio kila Rais anayechaguliwa ni mzalendo kama MAGUFULI.............." Ni kweli kabisa hapo umeongea! Ushauri: tungeni hizo sera bila chuki na msichanganye vyama na maisha ya wananchi wa tz. hii mambo ya taaarifa mweshimiwa au utaratibu mweshimiwa mimi ninadhani hazina maana yoyote!

  • @frankbella4170

    @frankbella4170

    7 жыл бұрын

    sio kila wakati ni kila siku

  • @masalumashala185

    @masalumashala185

    3 жыл бұрын

    Hukumueleea vzr ww lema ndo maana unalipuka

  • @mhavilesukari2708
    @mhavilesukari27087 жыл бұрын

    asante saaana LEMA

  • @yusufuemauneli9413
    @yusufuemauneli9413 Жыл бұрын

    Pole makazi mema kazi yenu ngumu

  • @njaunestory761
    @njaunestory7616 жыл бұрын

    Simba chaweneee sijui akili yako vip

  • @rahmayussuf4368
    @rahmayussuf43686 жыл бұрын

    mnapigwa vita wazi wazi daah..Anakula dakika zako kukupinga

  • @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065
    @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065 Жыл бұрын

    Pole Sana lema ccm aizidiwi kabisa ndugu yangu iyo niile ile

  • @babujinga5819
    @babujinga58194 жыл бұрын

    Wabunge wa upinzani nawakubali sana tena sana

  • @mursaliswalehe8324

    @mursaliswalehe8324

    Жыл бұрын

    Karibu mkuu

  • @fredrickwaosure9286
    @fredrickwaosure92865 жыл бұрын

    Lema uko vzr xn wachane hao ccm ukweli

  • @frankmkama5169
    @frankmkama51694 жыл бұрын

    Lemaaa big brain master

  • @rashidlimanyile6237
    @rashidlimanyile62375 жыл бұрын

    ccm mzigo,lema yupo sawa kinga ya Rais iondolewe.

  • @mahirimahiri2643
    @mahirimahiri264311 ай бұрын

    Mungu anawaona. Mlidhani mko makini kumbe hakuna lolote. Haya sasa

  • @francissalamba8112
    @francissalamba81127 жыл бұрын

    lemaa shikamoooooooooooooooooo

  • @osternmeru6240

    @osternmeru6240

    7 жыл бұрын

    Asante mh.Lema

  • @golanmathias3634

    @golanmathias3634

    7 жыл бұрын

    safi Lema cc tumewaelewa wanacho kifanya

  • @joachimisackzechariah2916
    @joachimisackzechariah29166 жыл бұрын

    Kaka lema nashukuru kwa kujenga hoja za msingi, ila asilimia kibwa ya wabunge haswa wa chama Tawala wanaangalia maslai yao tu peke yao

  • @edlineglorycutemunis4986
    @edlineglorycutemunis49866 жыл бұрын

    lema wape ukweli

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon98234 жыл бұрын

    Hahahahaaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀 Jamani Lema!

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli19145 жыл бұрын

    Bila upinzani hakuna nchi

  • @eliezaseme714
    @eliezaseme7147 жыл бұрын

    Good imepenya hyo wameipata

  • @woltabenad8311
    @woltabenad83114 жыл бұрын

    Lema wewe ndombunge naomba uruditena bungen wewe niraisi ajaye 2035

  • @sam-bezdangilo9076
    @sam-bezdangilo90767 жыл бұрын

    sikuzote shelia zilizopo tanzania nyingi niza kuwalinda viongozi waliopo madalakani

  • @singasinga2663
    @singasinga26637 жыл бұрын

    Big up lema waelewa tunaonaa

  • @pharlesemanuel9204
    @pharlesemanuel92047 жыл бұрын

    hongèra Rema hao wamekunywaaa majibya

  • @husseinjejeleje6585
    @husseinjejeleje65857 жыл бұрын

    lema hatari

  • @ndimesady7467
    @ndimesady74673 жыл бұрын

    Alafu leo jitu linakaa mtan linauluza umetufanyiann arusha kuwen makin hilo ni jembe ss nyie wapeni wale mateso mpambanuen dar tunamuelewa sn pambanen lema jembe