HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
Mbunge wa Tarime (Chadema), John Heche, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK:
/ globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Пікірлер: 226
uko vizuri Heche nakuelewa sana watanzania wanahitaji watu kama wewe
well done,Mr heche u'll never never be forgotten
Hon.Heche big up!..Tel'em da truth
Nchi yetu bado tupo gizani wanaitajika wabunge kama hawa wanaoweza kutoa mwanga iweze kuwanganza hongera sana Mkuu tuko pamoja
@matthiusmsule2213
5 жыл бұрын
mungu akubaliki heche
Duuu, Yeke Muraaa Tisha sanaaaa... Bravo hon. Heche it was on ur best ....Madini Tupu
@adenmayala9298
5 жыл бұрын
Heche uko vizuri sana na upinzani kwa ujumla mungu awasaidie sana
@juniorraphael7042
5 жыл бұрын
Mmm
Mbunge wangu nakukubali sanaaa, piga kazi jembeeee
@sadikimwalongo7871
5 жыл бұрын
Watu kama hawa wachache sana duniani
Mh. Heche upo vizuri endeleza mapambano zidi ya ufisadii
@winfridangingo8848
4 жыл бұрын
Daaaaaah mbunge mpinzani 1 sawa na wabunge wa ccm 100, safi sanaaa Heche🙏
Hii Mashine huwa naielewa mbaya,BigUp Heche,
yaani nataka kukunyanyua zaidi mungu akulinde
Tarime hatuchagui mabwege!!!! Heche 2020 hakuna mpinzani kwako tata!!!!!!
@mariamuomari1944
3 жыл бұрын
Wabunge wa upinzani wana akili sana na ndio maana mwaka huu wamewafanyia figisu ili asiwepo wa kusema maovu yao ccm kuna ubabaifu sana
safi sana kamanda heche hawa maccm tumewachoka na hadithi zao
Best work of opposition ....I like ur spirit Mr Heche. May u leave long in sha Allah
@hudhud2022
6 жыл бұрын
Maalim Ali Amiin
@hudhud2022
6 жыл бұрын
you are Absolutely right Mr Heche
@hudhud2022
6 жыл бұрын
na sio deni la bunge peke yao kodi za wavuja jasho hizo
Hon.Heche nimekupata vizuri lakn tatizo la wabunge wetu wanaongea kisha wanasema naunga mkono hoja,wabunge inusulini nchi hii
Safi sana mh heche Waambie hao wa ndio mzee
Safi sana kiongozi wangu unaongeo point sana
Sijawahi jutia Mb zangu kwako kaka, I wish maneno yako yangewekwa km kumbukumbu ili kizazi kijacho kijue kuwa uliyasema hayo!
@hawasaid6024
3 жыл бұрын
Muungwana huongea yaliio moyon tumewamiss
Waambie ukweli wanafik hao Mwenyezi Mungu atawaonesha na awapeo maradhi yasiokuwa na dawa ameen.
mb zikikata najaza tena mzee wangu endelea kuunguruma
Saf safi mh heche upo vizur mbunge
Upo sawa Kamanda
Ila kweli kuna kitu cha kujiuliza hapa mapato ukitoa matumizi unaanza kujiuliza hela ya kujenga Standard gauge Railway zipo wapi?
Kuna wabunge mna akili kuptiliza, saf sana
Powerful points
Bigup heche! Uko makin
Daaaaah wat kama hawa
Kwa akili yangu wanataka halmashauri zote waziongoze tu kwa remote ccm waweze kuwanyima wapinzani kwenye halmashauri zao.....WATALIPIGANIA SANA HILO WAZO CCM WATZ TUKIKAA KIMYA.LITAPITA KISHA MTAONA JINSI UBAGUZI UNAVYOZIDI KUKUA KWA HARAKA
big brain heche
point bin point
Safi sana umeeleweka
Safi Murah tabhaghambera mbane Enokwe akotangate
Utashangaa hata hawasikilizi na kufanyia kazi point kuntuntu kama hizi
Heche yuko sawaa dahhhhhh
Kama mti basi mhe,john Heche ww ni mizizi iliyoshika mti big up kaka mkubwa
Nikweli nimeenda Tanesiko kuwekewa umeme kwenye nyumba ambayo inaumeme tahari ninatakakutumia pekeyangu make mwenyenyumba aliniruhusu nikaambiwa nilipe sh350000
Safi sana heche
Saluti heche
Heche ni mwanaume na kiongozi wa kipekee anayeweza kusimamia maslahi ya wananchi wote Tanzania nzima
Fact
😭😭😭😭😭😭 Rais wazikilize hawa hata kidogo tu. Itakusaidia
Wewe ni master bro
Sana kaka imepenye
du hongera sana kamanda apana chezea chadema www
Mh.Waziri wa fedha chukua hili...tuokoe watz...
Thankx
Asanteeeee
Heche ww ni mbunge wa aina yake tangu tarime tuchague sijaona kiboko kama ww, kura yangu 2020 lazima iangukie kwako .
@idynasoro3250
4 жыл бұрын
Saw kabisa
@charlessengasenga2582
4 жыл бұрын
Namkubali
@winfridangingo8848
4 жыл бұрын
Jembeeeee hilooo
Honourable !! Heche
Nakuunga mkono Mheshimiwa Heche..umeongea la maana leo.
Wabunge wa ccm hawawezi kuongea kama heche.akiongea hvyo tu.anapugwa.
@bahatikengese3603
3 жыл бұрын
heche noma
safi sana,keep a good work alive
@matthiusmsule2213
5 жыл бұрын
chadema 1 =ccm 25
Global tv mm nna ushauri icho kitu kinacholia iyo sound mwanzo kabsa toeni inaumiza maskio kwa ss tunaotumia earphone
John Heche ni mmojawapo wa watu makini na vichwa sana, bahati mbaya sijui kwa nini watu bora wapo nje ya system.. walio kwenye system ukisikiliza wakiwa wanahojiwa unaweza kushika kichwa aibu tupu
Hasante sana mheshimiwa
Point's tupu
Wewe mh heche ni msema ukweli kuliko jiwe
Heche umetisha kwa kweli
Mtapata tabu sanaa ccm
wabunge ni kama hawa sio wale nyinyiem wanao ogopa kusema ukweli
2021 bunge limepooza sana. Wapinzani warudi vitini
Wapinzani ndio Kila kitu. Hongereni sana wapinzani
Thanks Mr Heche
VITA NI VITA TATA TANZANIA NI YETU SOTE KINACHOPATKANA KIWEKWE WAZI NA KILICHO SHINDIKANA TUAMBIWE NA SIO WATUDANGANYEDANGANYE
your Highness Sir...!
anaongea jamaaa noma sana
Kuna raha sana kuwa upinzani
@jamesmwaipaja5196
5 жыл бұрын
Simon Fundi
Huyu jamaa hatareee sanaa
Shikamoo heche ,nipo singida nakuja msoma kukuona tu na nijue ivi wew ni MTU kweli ama malaika?
anaongea point tupu
Mbona ufisadi. Hamsemi ? Mnataka fedha badala ya watu kufanyakazi?
Nampenda sana heche jamani Mungu amuweke miaka 100 anaongea point ni mkweli anajiamin yuko gadoooooo Haya wakina bashite mpoo
yani selikari hii nishida
Najivunia chadema
Wengine wanasema uncle magu alikua Sawa%, lakini uamini usiamini lipo kusudi la kuondoka kwake, maana hakuna mwanadam mkamilifu ila Mungu TU
Nice
Mungu akulinde baba
We nenda chuoni kukariri wakati kuna watu wanaenda kusoma kuelewa halafu kwenye kukariri kwako unatuletea ufisadi
Heche noma aiseeeeeee
@thomaspeter1736
5 жыл бұрын
Conrad junior huu ndiyo ukweli
CCM wataweza kuongea kama wapibzani ? Au mbataka kuumuua lissu kwa ukweli wake?? Bure!?
penda sana chama langu ✌🏼✌🏼✌🏼forever 😍😍😍
Big up
Hengereni watu wa tarime kwa kupata jembe cyo iyo minyumbu ya___
kweli wew jembe
jamaa lina akili mpaka basi
huko juu
@yusuphsaid1398
4 жыл бұрын
Tamimu Vairres 🤔
Heche we ni jiwe kwerikweri nakupongeza kwa dhati kabisa,
Heche upo vizuri sanaa
hatariii cjui
@ibrahimjuma9974
4 жыл бұрын
Heche umeshashinda ubunge trh 29'10'2020
Mbn ccm wanawachukua wapinzani...
saf saaana
Points, Heche
Uwiiiiii evaeee HECHEE.
Huyu ndio mra msimi
Mbona ccm hawatoi maoni yao hapa
@mohamedimganga1481
4 жыл бұрын
Mwenyez mungu ibalik Tanzania
Nimeamin kichwa kimoja cha cdm bungen ni zaid ya vichwa 10 vya ccm bungen
Naipenda iyo
japo niko mbeya namkubali sana uyu jamaa john heche
Kazi nzuri
Kazikazi mkuuuu.
Mbona wabunge WA CCM hawa hoji mambo ya hivi?hiindio faida ya upinzani makini wabunge makini chama makini pigs point kaka tarime mnaakili Myra kumpigania heche kuwa mbunge minaona upinzani woote wana akili na uwelewa
@marthalewis332
3 жыл бұрын
C c m hovyo hao wapinzan wako vizur Sana japo mm nili ccm ya chukua Chalo malaya
Ni kit chaajabu sana wat wenye akili kama hawa kama Taifa hawatakiw