HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"

HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
Mbunge wa Tarime (Chadema), John Heche, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK:
/ globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Пікірлер: 226

  • @khamisihussein8777
    @khamisihussein87776 жыл бұрын

    uko vizuri Heche nakuelewa sana watanzania wanahitaji watu kama wewe

  • @gtmalanga6953
    @gtmalanga69533 жыл бұрын

    well done,Mr heche u'll never never be forgotten

  • @ndagabwenemachunda313
    @ndagabwenemachunda3136 жыл бұрын

    Hon.Heche big up!..Tel'em da truth

  • @elishamollel2131
    @elishamollel21316 жыл бұрын

    Nchi yetu bado tupo gizani wanaitajika wabunge kama hawa wanaoweza kutoa mwanga iweze kuwanganza hongera sana Mkuu tuko pamoja

  • @matthiusmsule2213

    @matthiusmsule2213

    5 жыл бұрын

    mungu akubaliki heche

  • @biggamihayombotte184
    @biggamihayombotte1846 жыл бұрын

    Duuu, Yeke Muraaa Tisha sanaaaa... Bravo hon. Heche it was on ur best ....Madini Tupu

  • @adenmayala9298

    @adenmayala9298

    5 жыл бұрын

    Heche uko vizuri sana na upinzani kwa ujumla mungu awasaidie sana

  • @juniorraphael7042

    @juniorraphael7042

    5 жыл бұрын

    Mmm

  • @yegokubebekamugurus8072
    @yegokubebekamugurus80726 жыл бұрын

    Mbunge wangu nakukubali sanaaa, piga kazi jembeeee

  • @sadikimwalongo7871

    @sadikimwalongo7871

    5 жыл бұрын

    Watu kama hawa wachache sana duniani

  • @yusuphlusinde9832
    @yusuphlusinde98326 жыл бұрын

    Mh. Heche upo vizuri endeleza mapambano zidi ya ufisadii

  • @winfridangingo8848

    @winfridangingo8848

    4 жыл бұрын

    Daaaaaah mbunge mpinzani 1 sawa na wabunge wa ccm 100, safi sanaaa Heche🙏

  • @transmadale
    @transmadale6 жыл бұрын

    Hii Mashine huwa naielewa mbaya,BigUp Heche,

  • @julianusnambert2237
    @julianusnambert22376 жыл бұрын

    yaani nataka kukunyanyua zaidi mungu akulinde

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa79186 жыл бұрын

    Tarime hatuchagui mabwege!!!! Heche 2020 hakuna mpinzani kwako tata!!!!!!

  • @mariamuomari1944

    @mariamuomari1944

    3 жыл бұрын

    Wabunge wa upinzani wana akili sana na ndio maana mwaka huu wamewafanyia figisu ili asiwepo wa kusema maovu yao ccm kuna ubabaifu sana

  • @mapundamapunda2868
    @mapundamapunda28686 жыл бұрын

    safi sana kamanda heche hawa maccm tumewachoka na hadithi zao

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka95256 жыл бұрын

    Best work of opposition ....I like ur spirit Mr Heche. May u leave long in sha Allah

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    6 жыл бұрын

    Maalim Ali Amiin

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    6 жыл бұрын

    you are Absolutely right Mr Heche

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    6 жыл бұрын

    na sio deni la bunge peke yao kodi za wavuja jasho hizo

  • @jaredjohanes3839
    @jaredjohanes38396 жыл бұрын

    Hon.Heche nimekupata vizuri lakn tatizo la wabunge wetu wanaongea kisha wanasema naunga mkono hoja,wabunge inusulini nchi hii

  • @habilmselemu4610
    @habilmselemu46106 жыл бұрын

    Safi sana mh heche Waambie hao wa ndio mzee

  • @janetmtei5892
    @janetmtei58926 жыл бұрын

    Safi sana kiongozi wangu unaongeo point sana

  • @abuuaishaahmadtwaha7711
    @abuuaishaahmadtwaha77116 жыл бұрын

    Sijawahi jutia Mb zangu kwako kaka, I wish maneno yako yangewekwa km kumbukumbu ili kizazi kijacho kijue kuwa uliyasema hayo!

  • @hawasaid6024

    @hawasaid6024

    3 жыл бұрын

    Muungwana huongea yaliio moyon tumewamiss

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97734 жыл бұрын

    Waambie ukweli wanafik hao Mwenyezi Mungu atawaonesha na awapeo maradhi yasiokuwa na dawa ameen.

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja69805 жыл бұрын

    mb zikikata najaza tena mzee wangu endelea kuunguruma

  • @psterinishayo4270
    @psterinishayo42706 жыл бұрын

    Saf safi mh heche upo vizur mbunge

  • @prosperamlima86
    @prosperamlima866 жыл бұрын

    Upo sawa Kamanda

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari30576 жыл бұрын

    Ila kweli kuna kitu cha kujiuliza hapa mapato ukitoa matumizi unaanza kujiuliza hela ya kujenga Standard gauge Railway zipo wapi?

  • @hosearwechungura7164
    @hosearwechungura71646 жыл бұрын

    Kuna wabunge mna akili kuptiliza, saf sana

  • @ndilanhasjeremiah
    @ndilanhasjeremiah6 жыл бұрын

    Powerful points

  • @davidlissu9099
    @davidlissu90996 жыл бұрын

    Bigup heche! Uko makin

  • @sammymichael693
    @sammymichael6936 жыл бұрын

    Daaaaah wat kama hawa

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa98846 жыл бұрын

    Kwa akili yangu wanataka halmashauri zote waziongoze tu kwa remote ccm waweze kuwanyima wapinzani kwenye halmashauri zao.....WATALIPIGANIA SANA HILO WAZO CCM WATZ TUKIKAA KIMYA.LITAPITA KISHA MTAONA JINSI UBAGUZI UNAVYOZIDI KUKUA KWA HARAKA

  • @ibrahimzuberi1029
    @ibrahimzuberi10296 жыл бұрын

    big brain heche

  • @paulfrancis7143
    @paulfrancis71436 жыл бұрын

    point bin point

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika176 жыл бұрын

    Safi sana umeeleweka

  • @elizabethmniko2522
    @elizabethmniko25226 жыл бұрын

    Safi Murah tabhaghambera mbane Enokwe akotangate

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa98846 жыл бұрын

    Utashangaa hata hawasikilizi na kufanyia kazi point kuntuntu kama hizi

  • @sibiromallya5894
    @sibiromallya58946 жыл бұрын

    Heche yuko sawaa dahhhhhh

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын

    Kama mti basi mhe,john Heche ww ni mizizi iliyoshika mti big up kaka mkubwa

  • @erasmusnzibonela5151
    @erasmusnzibonela51516 жыл бұрын

    Nikweli nimeenda Tanesiko kuwekewa umeme kwenye nyumba ambayo inaumeme tahari ninatakakutumia pekeyangu make mwenyenyumba aliniruhusu nikaambiwa nilipe sh350000

  • @eradmdage8504
    @eradmdage85046 жыл бұрын

    Safi sana heche

  • @chikakamanu1452
    @chikakamanu14523 жыл бұрын

    Saluti heche

  • @karegakisimbo4145
    @karegakisimbo41454 жыл бұрын

    Heche ni mwanaume na kiongozi wa kipekee anayeweza kusimamia maslahi ya wananchi wote Tanzania nzima

  • @aidangilles8136
    @aidangilles81366 жыл бұрын

    Fact

  • @Peterson__J
    @Peterson__J6 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭 Rais wazikilize hawa hata kidogo tu. Itakusaidia

  • @amosmakini6676
    @amosmakini66764 жыл бұрын

    Wewe ni master bro

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi78836 жыл бұрын

    Sana kaka imepenye

  • @wrghkjdghklljg3819
    @wrghkjdghklljg38196 жыл бұрын

    du hongera sana kamanda apana chezea chadema www

  • @frankzominister1473
    @frankzominister14736 жыл бұрын

    Mh.Waziri wa fedha chukua hili...tuokoe watz...

  • @chazydaudy1379
    @chazydaudy13794 жыл бұрын

    Thankx

  • @SUPREMEDIGITAL
    @SUPREMEDIGITAL6 жыл бұрын

    Asanteeeee

  • @fabianmories4218
    @fabianmories42186 жыл бұрын

    Heche ww ni mbunge wa aina yake tangu tarime tuchague sijaona kiboko kama ww, kura yangu 2020 lazima iangukie kwako .

  • @idynasoro3250

    @idynasoro3250

    4 жыл бұрын

    Saw kabisa

  • @charlessengasenga2582

    @charlessengasenga2582

    4 жыл бұрын

    Namkubali

  • @winfridangingo8848

    @winfridangingo8848

    4 жыл бұрын

    Jembeeeee hilooo

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya22694 жыл бұрын

    Honourable !! Heche

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny20656 жыл бұрын

    Nakuunga mkono Mheshimiwa Heche..umeongea la maana leo.

  • @hamadshein935
    @hamadshein9356 жыл бұрын

    Wabunge wa ccm hawawezi kuongea kama heche.akiongea hvyo tu.anapugwa.

  • @bahatikengese3603

    @bahatikengese3603

    3 жыл бұрын

    heche noma

  • @remenmassawe9184
    @remenmassawe91846 жыл бұрын

    safi sana,keep a good work alive

  • @matthiusmsule2213

    @matthiusmsule2213

    5 жыл бұрын

    chadema 1 =ccm 25

  • @yohanamollel2335
    @yohanamollel23356 жыл бұрын

    Global tv mm nna ushauri icho kitu kinacholia iyo sound mwanzo kabsa toeni inaumiza maskio kwa ss tunaotumia earphone

  • @pastorysent6586
    @pastorysent6586 Жыл бұрын

    John Heche ni mmojawapo wa watu makini na vichwa sana, bahati mbaya sijui kwa nini watu bora wapo nje ya system.. walio kwenye system ukisikiliza wakiwa wanahojiwa unaweza kushika kichwa aibu tupu

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma49326 жыл бұрын

    Hasante sana mheshimiwa

  • @dariuslimbu7442
    @dariuslimbu74426 жыл бұрын

    Point's tupu

  • @justinerasto3430
    @justinerasto34306 жыл бұрын

    Wewe mh heche ni msema ukweli kuliko jiwe

  • @elialucas6140
    @elialucas61403 жыл бұрын

    Heche umetisha kwa kweli

  • @jumangojole4009
    @jumangojole40096 жыл бұрын

    Mtapata tabu sanaa ccm

  • @musaogira385
    @musaogira3856 жыл бұрын

    wabunge ni kama hawa sio wale nyinyiem wanao ogopa kusema ukweli

  • @issazakaria863
    @issazakaria8633 жыл бұрын

    2021 bunge limepooza sana. Wapinzani warudi vitini

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani5204 жыл бұрын

    Wapinzani ndio Kila kitu. Hongereni sana wapinzani

  • @enockkagomba2602
    @enockkagomba2602 Жыл бұрын

    Thanks Mr Heche

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha76806 жыл бұрын

    VITA NI VITA TATA TANZANIA NI YETU SOTE KINACHOPATKANA KIWEKWE WAZI NA KILICHO SHINDIKANA TUAMBIWE NA SIO WATUDANGANYEDANGANYE

  • @yasinjames556
    @yasinjames5565 жыл бұрын

    your Highness Sir...!

  • @bahatikengese3603
    @bahatikengese36033 жыл бұрын

    anaongea jamaaa noma sana

  • @simonfundi9658
    @simonfundi96586 жыл бұрын

    Kuna raha sana kuwa upinzani

  • @jamesmwaipaja5196

    @jamesmwaipaja5196

    5 жыл бұрын

    Simon Fundi

  • @musarichard2934
    @musarichard29345 жыл бұрын

    Huyu jamaa hatareee sanaa

  • @antonijohn6958
    @antonijohn69584 жыл бұрын

    Shikamoo heche ,nipo singida nakuja msoma kukuona tu na nijue ivi wew ni MTU kweli ama malaika?

  • @kinglance9816
    @kinglance98166 жыл бұрын

    anaongea point tupu

  • @shauriernest7934
    @shauriernest79346 жыл бұрын

    Mbona ufisadi. Hamsemi ? Mnataka fedha badala ya watu kufanyakazi?

  • @lindatemu3465
    @lindatemu34655 жыл бұрын

    Nampenda sana heche jamani Mungu amuweke miaka 100 anaongea point ni mkweli anajiamin yuko gadoooooo Haya wakina bashite mpoo

  • @japhetbaraka587
    @japhetbaraka5876 жыл бұрын

    yani selikari hii nishida

  • @sebamkalikwanza5097
    @sebamkalikwanza50974 жыл бұрын

    Najivunia chadema

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester Жыл бұрын

    Wengine wanasema uncle magu alikua Sawa%, lakini uamini usiamini lipo kusudi la kuondoka kwake, maana hakuna mwanadam mkamilifu ila Mungu TU

  • @kfastak
    @kfastak6 жыл бұрын

    Nice

  • @yussufally8668
    @yussufally86685 жыл бұрын

    Mungu akulinde baba

  • @allymohamed1563
    @allymohamed15634 жыл бұрын

    We nenda chuoni kukariri wakati kuna watu wanaenda kusoma kuelewa halafu kwenye kukariri kwako unatuletea ufisadi

  • @conradjunior5940
    @conradjunior59406 жыл бұрын

    Heche noma aiseeeeeee

  • @thomaspeter1736

    @thomaspeter1736

    5 жыл бұрын

    Conrad junior huu ndiyo ukweli

  • @bonabonala8253
    @bonabonala82534 жыл бұрын

    CCM wataweza kuongea kama wapibzani ? Au mbataka kuumuua lissu kwa ukweli wake?? Bure!?

  • @ashashabani4210
    @ashashabani42105 жыл бұрын

    penda sana chama langu ✌🏼✌🏼✌🏼forever 😍😍😍

  • @agustinoginwe4080
    @agustinoginwe40805 жыл бұрын

    Big up

  • @nehemiamsigara419
    @nehemiamsigara4194 жыл бұрын

    Hengereni watu wa tarime kwa kupata jembe cyo iyo minyumbu ya___

  • @rithabanyanga6886
    @rithabanyanga68865 жыл бұрын

    kweli wew jembe

  • @kinglance9816
    @kinglance98166 жыл бұрын

    jamaa lina akili mpaka basi

  • @barakaananias987
    @barakaananias9876 жыл бұрын

    huko juu

  • @yusuphsaid1398

    @yusuphsaid1398

    4 жыл бұрын

    Tamimu Vairres 🤔

  • @ngwanayande6761
    @ngwanayande67615 жыл бұрын

    Heche we ni jiwe kwerikweri nakupongeza kwa dhati kabisa,

  • @lucky9285
    @lucky92855 жыл бұрын

    Heche upo vizuri sanaa

  • @wazomagenge2348
    @wazomagenge23486 жыл бұрын

    hatariii cjui

  • @ibrahimjuma9974

    @ibrahimjuma9974

    4 жыл бұрын

    Heche umeshashinda ubunge trh 29'10'2020

  • @kibangahassan8773
    @kibangahassan87735 жыл бұрын

    Mbn ccm wanawachukua wapinzani...

  • @salomejonas3823
    @salomejonas38236 жыл бұрын

    saf saaana

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani5204 жыл бұрын

    Points, Heche

  • @abrahammangendimcharo3027
    @abrahammangendimcharo30275 жыл бұрын

    Uwiiiiii evaeee HECHEE.

  • @siwemaalphoncy2452
    @siwemaalphoncy24524 жыл бұрын

    Huyu ndio mra msimi

  • @juliuspaul7927
    @juliuspaul79276 жыл бұрын

    Mbona ccm hawatoi maoni yao hapa

  • @mohamedimganga1481

    @mohamedimganga1481

    4 жыл бұрын

    Mwenyez mungu ibalik Tanzania

  • @mangsonsamson7712
    @mangsonsamson77125 жыл бұрын

    Nimeamin kichwa kimoja cha cdm bungen ni zaid ya vichwa 10 vya ccm bungen

  • @user-mk6pw8cv1s
    @user-mk6pw8cv1s9 ай бұрын

    Naipenda iyo

  • @farajajeriko2620
    @farajajeriko26204 жыл бұрын

    japo niko mbeya namkubali sana uyu jamaa john heche

  • @saidomary4950
    @saidomary49504 жыл бұрын

    Kazi nzuri

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya58556 жыл бұрын

    Kazikazi mkuuuu.

  • @fransicsamson106
    @fransicsamson1066 жыл бұрын

    Mbona wabunge WA CCM hawa hoji mambo ya hivi?hiindio faida ya upinzani makini wabunge makini chama makini pigs point kaka tarime mnaakili Myra kumpigania heche kuwa mbunge minaona upinzani woote wana akili na uwelewa

  • @marthalewis332

    @marthalewis332

    3 жыл бұрын

    C c m hovyo hao wapinzan wako vizur Sana japo mm nili ccm ya chukua Chalo malaya

  • @kilekeremson9821
    @kilekeremson98214 жыл бұрын

    Ni kit chaajabu sana wat wenye akili kama hawa kama Taifa hawatakiw