ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO

ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
Wabunge Zitto Kabwe na Cecil Mwambe leo Alhamisi Juni 28, 2018 wamemuomba Spika Job Ndugai kuitaka Kamati ya Maadili, Kinga na Madaraka ya Bunge kumhoji na kumchukulia hatua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk Adelardus Kilangi kwa madai kuwa amekipotosha chombo hicho cha Dola.
Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) na Mwambe (Ndanda-Chadema) wametoa kauli hiyo leo bungeni mjini Dodoma wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2018.
Mwambe alipingana na maelezo yaliyotolewa na AG siku mbili zilizopita kuwa fedha za ushuru wa mauzo ya korosho nje ni za umma na Serikali ndio yenye mamlaka ya kupanga matumizi yake, akisema kuwa fedha hizo ni za wakulima.
Mara baada Zitto kueleza hayo, Mwambe alimuunga mkono akitaka mwanasheria mkuu huyo wa Serikali achukuliwe hatua.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Пікірлер: 439

  • @josealute323
    @josealute3235 жыл бұрын

    Wenzangu na Mimi mnaoangalia kwa ushabiki kama Mimi naombeni like zenu jamani!!!! Mimi mnanitengaga sana bhana

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu97186 жыл бұрын

    Zitto kabwe ndio CHUMA CHA RELI SIO MCHUNGAJI FULANI. You are the pride of KIGOMA, the Pride of the NATION.

  • @husseinmucky829
    @husseinmucky8295 жыл бұрын

    Dah mh.Zitto Mungu akujalie maisha zaida,very logic kwa kla unachokiongea kiac kwmb ata speaker mwenyew kawa mpole

  • @halid494
    @halid4946 жыл бұрын

    The charisma of Mwl.Nyerere,the courage of Amina Chifupa and the confidence of Zitto Kabwe.

  • @dr.rimack8484
    @dr.rimack84846 жыл бұрын

    Daaaaaaaaaah! Huyu jamaa namkubali Sana asee, Hongera yke. Mungu ampe maisha marefu na SIHA NJEMA

  • @mashalawamba2836

    @mashalawamba2836

    6 жыл бұрын

    Bin Chipatu yaana zitto gudi

  • @bakariomary320

    @bakariomary320

    5 жыл бұрын

    Usomi unaonekana kwa vitendo broda,,,gud sn kabwe,,hazna ya taifa

  • @daudhenry8909
    @daudhenry89096 жыл бұрын

    Mungu akusimamie ktk yote mhe Zitto kabwe upo vizuri sana

  • @yasintamwalukisi4060

    @yasintamwalukisi4060

    5 жыл бұрын

    Daud Henry Yaani Rais angempa Wizara Zitto..yupo vizuri saana huyu jamaa

  • @bettylemanya4041
    @bettylemanya40416 жыл бұрын

    Nampenda sana Zitto yuko vzr sana! Big up to you

  • @camiliusmasao303

    @camiliusmasao303

    5 жыл бұрын

  • @joshuasinda1996
    @joshuasinda19966 жыл бұрын

    Mh.Zitto! You are very much bright and talented in reasoning! Well said Honourable!!!

  • @oliverwabwire2836
    @oliverwabwire28365 жыл бұрын

    What a fine legislative mind!! Kenyan MPs, please 'look and learn' ...the craft of building up an argument in a livid debate!

  • @vitalesmgenge6984
    @vitalesmgenge69845 жыл бұрын

    Yaan leo nimefarijka kwa kusikiliza maelezo ya huyu jaama zito! Kweli selekar iangalie tena juu ya mpango wakuuwa upinzani, maana kuna vichwa ambavyo vikipotea kuvipata, cjui! 👏👏👏👏👏 Ahsant zito zuber kabwe

  • @stevenpeter2260
    @stevenpeter22606 жыл бұрын

    Huyo mama yukoje lakini? Zitto wewe ni kichwa sana Kamanda.

  • @ezrantaluka1035
    @ezrantaluka10355 жыл бұрын

    Zitto kweli umesoma na unajua unachokizungumza. Tunahitaji wabunge 100 kama Zitto kabwe. Live long brother

  • @gmark3754
    @gmark37546 жыл бұрын

    Sir Zitto Kabwe unawaonea wabunge wa ccm hata spika hawaelewi sheria wanazozitunga na hawana tabia ya kufanya rejea ya kisheria wavivu wa kusoma ata wanasheria wenyewe hawazijui... Hongera sana kaka unaona mbali sana

  • @dominickmbuke
    @dominickmbuke6 жыл бұрын

    akili ni Mali!!! Endelea mkuu haahhahaha!! mpka spika wa Bunge kamuuongezee muda!!! safi sana Zitto.

  • @dr.rimack8484
    @dr.rimack84846 жыл бұрын

    Huyu Speaker wa Bunge, Yuko vizur I never seen before,

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary87436 жыл бұрын

    Zitto ni Genius👏👏👏 ila huu mjadala angekuwepo Lissu ungekuwa mtamu zaidi, hutoona baadhi ya wabunge wanaoongoza kwa kusema hovyo wakichangia kwenye hoja kama hizi za kutumia vifungu vingi vya sheria na akili nyingi

  • @simonbaro6886

    @simonbaro6886

    6 жыл бұрын

    huo ndo ukweli hapo kibajaji,msukuma,kessy,na mlinga wamejificha hapo shule inafanya kaz yake

  • @emmanuelmkoma5920

    @emmanuelmkoma5920

    6 жыл бұрын

    Fazeel Shomary 😂 hapa huwez kumuona MLINGA

  • @magorahassan3491

    @magorahassan3491

    6 жыл бұрын

    Fazeel Shomary Lisu angekuwepo ingekuwa nzuri zaidi maana namjua Lisu kwa history na legal perspectives ni hatari

  • @stephenulomi8364

    @stephenulomi8364

    5 жыл бұрын

    Fazeel Shomary hahahaaa

  • @araphatiddy141

    @araphatiddy141

    5 жыл бұрын

    Uposawa

  • @wiza2309
    @wiza23096 жыл бұрын

    Nchi hii imebarikiwa, Mungu akutunze kijana wetu, ni hazina na tu u kuwa kwa Taifa hili.

  • @isihakamtaalam2099

    @isihakamtaalam2099

    5 жыл бұрын

    Kwelliiii

  • @jeremiahkiberenge834
    @jeremiahkiberenge8346 жыл бұрын

    Zitto ww ni JEMBE, KICHWA, KIFAA.......naomba tuchukuwe wabunge wote kama zitto waunde bunge LA jamhuri ya Mungano wa tz, wabunge kama lusinde,mlinga na msukuma waunde bunge LA SHILAWADU tz. Vichwa vipo upinzani. Zitto Mungu akubaliki.

  • @octaviangervas8425

    @octaviangervas8425

    6 жыл бұрын

    jeremiah kiberenge kweli aisee

  • @roilertemba4749

    @roilertemba4749

    5 жыл бұрын

    Kichwa mashaallah

  • @V24hrs
    @V24hrs2 жыл бұрын

    Mungu akuweke miaka mingi ishaAllah...wewe ni Hazina ya Taifa

  • @meshackkwigize9848
    @meshackkwigize98484 жыл бұрын

    Naaaam,spika Ndugai unapomlinda asikilizwe hapo unajinyakulia heshima kubwa!

  • @kingwawi8977
    @kingwawi89775 жыл бұрын

    Zito + Lisu = na umbozi wa watanzania

  • @denisadrian9765
    @denisadrian97655 жыл бұрын

    Daah mwana yuko nondo yuko duki balaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 anatoa shule nzito yaan ni kama messi vile anavyo wapoteza mabeki 🙌

  • @vakwawesanga733
    @vakwawesanga7336 жыл бұрын

    Zito ni mwanasiasa mzuri sana na tunakuunga mkono na ndo mwongozo wetu wa siasa kasoro mwaka 2015 ulikubali kuyumbiswa na siasa za bongo hicho kilikuharibia sana

  • @buguzajemedar3631
    @buguzajemedar36315 жыл бұрын

    Zito kibokooooo wallah,hongera sana muheshimiwa

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri91766 жыл бұрын

    Sheria zinatungwa Kwa Lugha ya Kiingereza, zinajadiliwa Kwa Kiswahili. Kazi tunayo, Sheria zitungwe Kwa kiswahili na zijadiliwe Kwa kiswahili, sisi sio waingereza!!!!

  • @mwalamimshamu331

    @mwalamimshamu331

    5 жыл бұрын

    yanga Vs biashara

  • @molegend2672
    @molegend26726 жыл бұрын

    Kama hauja mkubali zito utapata tabu sana tena sana

  • @isihakamtaalam2099

    @isihakamtaalam2099

    5 жыл бұрын

    Ww ovyoooo hauoni ukwell au hujasomaaa

  • @isihakamtaalam2099

    @isihakamtaalam2099

    5 жыл бұрын

    Oya nimemkubaaliii zito kiboko.

  • @sylvanusinjomango2169
    @sylvanusinjomango21696 жыл бұрын

    Uyo jamaa yuko sahihi sana jamani duuu

  • @MM-oe2eo
    @MM-oe2eo6 жыл бұрын

    Zitto huwa yuko vizuri sana, kama nchi ni kama tuna mmissuse

  • @danieliskander9680
    @danieliskander96806 жыл бұрын

    Jumbe mbili zinaweza kupatikana-moja ni kurejea makubaliano ya 65 35 kama alivyoeleza kwa umahiri kabisa Mh Zitto, ama Serikali inaweza kuona haja ya kuleta ushuru wa namna hiyo hiyo kwa yaho mazao mengine ya kuuza nje. Ila busara itumike- ni wazi kuwa utaratibu huu wa makusanyo ya kuboresha kilimo cha korosho- ingezeweza kusaidia kuendeleza mazaomengine ya kibiashara. Zitto- shukrani kwa ufafanuzi

  • @shaabanikabwe5670
    @shaabanikabwe56706 жыл бұрын

    Lazima watu waelewe tu Akili kubwa sana hiyo Mh Zitto Kabwe thanks brother

  • @jixxyjussy4721
    @jixxyjussy47213 жыл бұрын

    Eti namuona Joshua nasarri nar anapoga makofi...daaaaaah pole mwanangu...turu usariver kula hela za yatima

  • @akidasalim9798
    @akidasalim97985 жыл бұрын

    Mwenyekitiiiiiiiii.Hiko ni kichwa cha Mungu kw ajili ya wa Tz

  • @kabisadu8541
    @kabisadu85416 жыл бұрын

    President Magufuli mtu km huyu unakoseje kumuweka sehem mhimu serkalin? Tunamkubal sn sio kwa ushabiki ni kichwa na mtaalam duh Mh Zitto it' s dangerous

  • @andrewsadiki9914

    @andrewsadiki9914

    6 жыл бұрын

    Kabi Sadu Ndugu yangu kwani hujui mpaka leo serikali ya ccm haikuchagui mpaka ufanye ubaya kwa wananchi ndio unapeiwa cheo kwa mfano Makonda,Ummy mwalimu, Nape, na wengine wengi tu

  • @amanzisandali317

    @amanzisandali317

    6 жыл бұрын

    Ivi ndosaf mbunge aongelee Jambo kwa maslah ya nch pia na Jimbo lake ongera sana zito

  • @alinanmpamba8471

    @alinanmpamba8471

    5 жыл бұрын

    Kabi Sadu hapana,,,abaki alipo ingewezkan Angelrejoin CHADEMA

  • @sajidikaskazi2273
    @sajidikaskazi22734 жыл бұрын

    Huu ndio upinzani ninaoukubali like nyingi tafadhali

  • @florianmuganyizimuganyizi5709
    @florianmuganyizimuganyizi57096 жыл бұрын

    Ur smart brother very smart, they understand you, spika knows ur position what a smart guy bless saana

  • @daudikassimu4574
    @daudikassimu45746 жыл бұрын

    Big up mwami👍 Kichwa kimoja sawa na wabunge hamsini wa fisiem!!!

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma49326 жыл бұрын

    Wewe kijwa mheshimiwa Zitto Kabwe Kigoma oyeeeee

  • @davidolemollel4962
    @davidolemollel49626 жыл бұрын

    Mh.kwa kuweka tofauti za vyama vyetu pembeni...Umejitahidi Sana kwa uwezo wako wote kujenga HOJA.HAKIKA WEWE NI MZALENDO.

  • @beatricelucas1454
    @beatricelucas14546 жыл бұрын

    Zito nakukubari sana

  • @ramadhanmohamedy5931
    @ramadhanmohamedy59313 жыл бұрын

    Zitto mkuu nakufuatilia san nakinacho nifanya nikufatilie kuwa uwez ongea kitu kma ukijui kwakina big up san mkuuu

  • @luganobwenda8590
    @luganobwenda85906 жыл бұрын

    Zitto is one hell of an intelligent character... afunguo chuo atufunze namna ya kujenga hoja na kupambanua vitu

  • @V24hrs
    @V24hrs2 жыл бұрын

    Duuh..Zitto kabwe.. upo vizuri sana Broo

  • @shabanikibana4279
    @shabanikibana42796 жыл бұрын

    Duuh!! Huyu zitto msomi kwelikweli anavyo dadavua mambo mpaka sisi wenye elimu ndogo tunamuelewa vizuri kabisa namshangaa huyo mbunge mbumbu anashindwa kuelewa jambo lepesi kama hilo!! Alafu eti ana digrii? Atakuwa bashite huyu maana anatia hasira kweli

  • @melejishangai6054

    @melejishangai6054

    5 жыл бұрын

    Mi niliipenda sana mbunge huyu Kwa hoja safi na maelezo safiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @ibrahimmaganga3429

    @ibrahimmaganga3429

    5 жыл бұрын

    Kwa kweli ztto ni mtu makini sana

  • @emmanuelshayo9623
    @emmanuelshayo96236 жыл бұрын

    Be blessed

  • @shizoshop2469
    @shizoshop24693 жыл бұрын

    Zitto alimuelimisha vzr sana zuzu letu hili li ndugai, yaani ni bogazi la htr swali lake lilijua hataweza kulijibu bwege kweli kweli yani livyobebwe na ccm linajua wote ni vilaza kama wao

  • @mzeewaburudani2888
    @mzeewaburudani28886 жыл бұрын

    kweli zito hakurupuki jaman

  • @adrianhilary1241
    @adrianhilary12416 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana swahiba..sometimes najuta kwanini nilipoteza kura yangu 2015, majinga mengi ndani ya ccm

  • @sultantz7635
    @sultantz76355 жыл бұрын

    Kweli shule ni muhimu jamani...duh zitto respect

  • @andrew29468
    @andrew294686 жыл бұрын

    Brother ur so bright,hongera kwa kuwapigania watu watz bila kujali ukanda Wala ukabila

  • @sadaramustafa8401
    @sadaramustafa84016 жыл бұрын

    Zitto tu anatosha kusimama na wabunge wrote wa ccm

  • @inobuzika5720
    @inobuzika57206 жыл бұрын

    mungu akuzidishie mshimiwa ZITO ambaye shule haijamsaidia hawezi kukuelewa.

  • @akidasalim9798
    @akidasalim97985 жыл бұрын

    Pole Zito kwa kupambana kwa sababu ya Watanzania.

  • @alphoncekachira6414

    @alphoncekachira6414

    3 жыл бұрын

    Tunakuombea urudi bungeni tena,

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga99155 жыл бұрын

    Nionacho Mimi kuna watu vihiyo sana ktk serikali na wanaoangusha uchumi wa mtu mmojammoja na hata vyama vya ushirika,

  • @ilumbukibi4169
    @ilumbukibi41695 жыл бұрын

    This Guy is very SMART!

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda26086 жыл бұрын

    Mh. Zitto,pamoja na hoja zako nzuri na kugusa mawazo ya

  • @andrewmgoyo8008
    @andrewmgoyo80085 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua bwana dah Mh ndugai anaona km muvi ya kihindi hadi raha

  • @mohamedishabani7662
    @mohamedishabani76626 жыл бұрын

    mh. zito kabwa mungu akubariki sana naakulinde ili elimu yako iendee kutuelimisha hususani ss wanyonge.

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba1915 жыл бұрын

    Sitakuja kumshauri mwanangu kuwa hata na kadi ya ccm hata kama marehemu wangekuwa wanaongea!..

  • @emmykagemb7993

    @emmykagemb7993

    5 жыл бұрын

    Mimi na we ni mapacha

  • @edinamwanilwa8094

    @edinamwanilwa8094

    5 жыл бұрын

    Ndaro Gamba Hata mm aise atakuwa huru

  • @makalanimau4649
    @makalanimau46496 жыл бұрын

    sasa ni vizuri wabunge wote wawe na elimu ukipata wabunge kama hawa 100 abuluzwi mtu tena

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u2 ай бұрын

    Zitto upo vzr sana kijana mwezetu

  • @mukhsinraibi1738
    @mukhsinraibi17384 жыл бұрын

    Amewasaidia Sana jamaa Huyu Zitto yupo vizuri sana

  • @V24hrs
    @V24hrs2 жыл бұрын

    Zitto Zidane Zubeir Zizou Kabwe Fundiii..a.k.a THE TEACHER.

  • @muhidinally3753
    @muhidinally37536 жыл бұрын

    Zitto you are 1000 people person. Excellent excellent excellent excellent

  • @ezranairo8195
    @ezranairo81956 жыл бұрын

    Asante kwa kuwapa dalasa.100000%

  • @shaibunamtita7879

    @shaibunamtita7879

    5 жыл бұрын

    Ezra Nairo zito kichwa

  • @artsonkimath2917
    @artsonkimath29176 жыл бұрын

    Duh vizuri sana, wapi Mhagama leo na miongozo yake?.Inaelekea amekubali hizo nondo .Ndugai wengekuwa upo hivi kwa kila jambo wengepata heshima kubwa kwenye hili Taifa kuliko marehemu Sitta

  • @chamgegeseba6367
    @chamgegeseba63676 жыл бұрын

    saf zto kabwe nakubal umemalxa kla ktu ahsante na mungu akulinde

  • @yusufumpepo5836
    @yusufumpepo58365 жыл бұрын

    huwa nakukubali sana. ila hapa Tz watu werevu hawanaga nafasi na huwa wanaonekana wahuni.

  • @ahmadimaarufu6367
    @ahmadimaarufu63676 жыл бұрын

    Jamani zito Mwaka 2020 njoo ugombee mtwara (v)

  • @tysondeo501
    @tysondeo5016 жыл бұрын

    mimi kusema za kweli hua simuelewi uyo mama anaetoaga taarifa katikati ya mada muhimu

  • @chesconkwera2005

    @chesconkwera2005

    6 жыл бұрын

    Tyson Deo hajawahi kuwa sawa msamehe bule

  • @khadijaaziza7586

    @khadijaaziza7586

    6 жыл бұрын

    Tyson Deo yani hata mm namuona sana huyu mama atulii yani utakuta mada za maana utasikiya taarifa yeyety

  • @meckymwandambo3977

    @meckymwandambo3977

    6 жыл бұрын

    Tyson Deo mapovu sasa ya nini shauri tu serikali itakuelewa

  • @beatrckombe2617

    @beatrckombe2617

    6 жыл бұрын

    Tyson Deo ccm sunawajua?

  • @salmaazard9793

    @salmaazard9793

    6 жыл бұрын

    xana

  • @misalabacharles2728
    @misalabacharles27286 жыл бұрын

    Zitto ni kichwa kilichobarikiwa Aiseee

  • @twalhatwalha7758
    @twalhatwalha77582 жыл бұрын

    Zitto kabwe Ruyagwa 2022 still nipo na wewe🔥

  • @danielsamwel3628
    @danielsamwel36285 жыл бұрын

    Kuna wabunge wa ccm wao kazi yao ni taarifa tu.hawatoi hoja yoyote ya maana. Huyu mama simwelewi kabisa. Kwani kuna zambi gani kuwapa watu vichwa kama zito ,bashe, nasari nk uwazili au kuwa upinzani ndo hawapati vyeo

  • @janetmtei5892
    @janetmtei58926 жыл бұрын

    Zito uko vizuri sana yani unachambua mpaka nasikia raha

  • @saidjagger.5543
    @saidjagger.55434 жыл бұрын

    Dah chadema always is back, napenda chadema in love

  • @mussaamiry9823
    @mussaamiry98236 жыл бұрын

    we ndo hero apa tanzania kwanza napenda unavyo ongea yani ii ni sign kuwa we ni msomi mzuri sana

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu90343 жыл бұрын

    Lazima watanzania tusikitike kua bunge letu la awamu ya tano kukosa watu muhimu kama Hawa zitto, mbowe, sugu, nk maana ndio wasemaji pekee

  • @juliaslaizer341
    @juliaslaizer3415 жыл бұрын

    Daaa kweli be blessed kamanda

  • @remenmassawe9184
    @remenmassawe91846 жыл бұрын

    Elimu ni silaha! Yani hapo kumpinga lazima ujue kufafanua vifungu... huyo jamaa katoa taarifa mchele mpaka Zitto kamdharau! Wageni nao wanapenda wajulikane wapo, hahaha! bigup kaka Zitto... Ntakutafuta japo kukushika tu mkono bro,pengine ntapata upako wa fikra yakinifu

  • @abdullyamiry6901
    @abdullyamiry69015 жыл бұрын

    zitto kweli Wewe ni mzito Kweli

  • @bernardbenedicto1373
    @bernardbenedicto13734 жыл бұрын

    Ndugai hapa watanzania ulitutendea haki na munguu atakubariki.

  • @donaldsinkamba4867
    @donaldsinkamba48676 жыл бұрын

    Nimependa mpk raha

  • @nathanmapunda1052
    @nathanmapunda10525 жыл бұрын

    mama jenister kazi unayoiweza ni kuomba mwongozo tu , ivi unaiona hali ya hukujimbon kwako?

  • @olemoissan6441
    @olemoissan64416 жыл бұрын

    hakuna raha kama kua chama cha upinzani yaani unakua huru kukataa na kukubali.. ila ukiwa ccm kama hapo huwo ufisadi wa hela za korosho hapo ccm watasema uchochezi mafisadi wakubwa ccm

  • @sadaramustafa8401

    @sadaramustafa8401

    6 жыл бұрын

    Ole Moissan ni kweli kaka ccm ni ugonjwa kwa watanzania

  • @humphreybilly3258

    @humphreybilly3258

    5 жыл бұрын

    Watapata patabu

  • @ceciliajimmy5652

    @ceciliajimmy5652

    5 жыл бұрын

    Usichoke kusema ukweli Zitto Mungu awe pamoja nawe.

  • @mathewsaitoti4250

    @mathewsaitoti4250

    4 жыл бұрын

    Hapo kweli ndg Moisan. Wengine hawa wengine hawako huru. Wakikosoa wataitwa kwa tume ya maadili.nkt.

  • @kasyupamwakibibi1615
    @kasyupamwakibibi16155 жыл бұрын

    zito kichwa sana lazima wa2 wajipangeee sana

  • @abdulkareemally8371
    @abdulkareemally83715 жыл бұрын

    Zito you're so wise

  • @georgeshija911
    @georgeshija9115 жыл бұрын

    yani manyumbu ya ccm yamepigwa nondo na zito mpaka kilanja wao anaamua kuongeza muda kwa zito ili awafundishe vilaza wa ccm yanaanza kusema mwongozo mwongozo yani kichwa na uelewa wa zitto nisawa na wabunge wote vilaza wa ccm hovyo sana

  • @stephenulomi8364
    @stephenulomi83645 жыл бұрын

    hawa ndio wabunge wanaotakiwa bungeni

  • @eliyamaganda8180
    @eliyamaganda81805 жыл бұрын

    Your so bright honourable zitto kabwe"""_

  • @johnsobu4062
    @johnsobu40626 жыл бұрын

    Namkubali sana jmaa huyu

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37154 жыл бұрын

    ZITO ANA UFAHAMU MKUBWA SANA NA AKILI YAKE IKO SMART

  • @missiali7936
    @missiali79364 жыл бұрын

    Akiongea zitto watu wanakuwa makini kumsikiliza k7b wanajua Kuna mambo mazito ndani yake anaebisha naabishe kwa ukaidi wake t lkn ukweli ndio huo

  • @johnphilipoaugustino6100
    @johnphilipoaugustino61004 жыл бұрын

    Mbunge mwenye akili hii nchi ni wa upinzani tu kwa kweli

  • @marblebaswige614
    @marblebaswige6146 жыл бұрын

    Zitto pamoja na spika muko vinzuri mpk na mm nimeelewa asanten sana

  • @brianbasela1160
    @brianbasela11606 жыл бұрын

    Smart sana bw. Ruyagwa.unatoa mawe sana.

  • @genariusgabriel5360
    @genariusgabriel53605 жыл бұрын

    Jamaa anawafundisha kwel spiker anauliza maswali aereweshwe.

  • @jabiromary3276
    @jabiromary32766 жыл бұрын

    Huyu ndio kiongozi wangu was chama haki mie huyu jamaa namuelewaga mpka sijielewi. Ni mwanasiasa bora kuwahi kutokea nchi hii.

  • @josephnchunga6554
    @josephnchunga65545 жыл бұрын

    huyu akiwa bungeni Yuko vizuri ,ila kwasasa jimboni kwake haonekani, nimewahi kwenda Kigoma kwa muda wa miezi 3 sikuwahi jumuona zitto jimboni kwake.

  • @donatuskabuje3401
    @donatuskabuje34016 жыл бұрын

    zitto namtabiria makubwa sana 💪

  • @charleschoma9555
    @charleschoma95555 жыл бұрын

    Hawa jamaa mawazo yao yangechukuliwa nchi ingekuwa vizuri sans

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley41605 жыл бұрын

    Huyu mama sijui huwa anasoma au ? Maana haionei huruma serikali yake , ushauri wa upinzani huwa nimzuri lakini CCM wanaukataa ,wakati wangeuchukua na wakaufanyia kazi ,

Келесі