ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
Wabunge Zitto Kabwe na Cecil Mwambe leo Alhamisi Juni 28, 2018 wamemuomba Spika Job Ndugai kuitaka Kamati ya Maadili, Kinga na Madaraka ya Bunge kumhoji na kumchukulia hatua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk Adelardus Kilangi kwa madai kuwa amekipotosha chombo hicho cha Dola.
Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) na Mwambe (Ndanda-Chadema) wametoa kauli hiyo leo bungeni mjini Dodoma wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2018.
Mwambe alipingana na maelezo yaliyotolewa na AG siku mbili zilizopita kuwa fedha za ushuru wa mauzo ya korosho nje ni za umma na Serikali ndio yenye mamlaka ya kupanga matumizi yake, akisema kuwa fedha hizo ni za wakulima.
Mara baada Zitto kueleza hayo, Mwambe alimuunga mkono akitaka mwanasheria mkuu huyo wa Serikali achukuliwe hatua.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Пікірлер: 439
Wenzangu na Mimi mnaoangalia kwa ushabiki kama Mimi naombeni like zenu jamani!!!! Mimi mnanitengaga sana bhana
Zitto kabwe ndio CHUMA CHA RELI SIO MCHUNGAJI FULANI. You are the pride of KIGOMA, the Pride of the NATION.
Dah mh.Zitto Mungu akujalie maisha zaida,very logic kwa kla unachokiongea kiac kwmb ata speaker mwenyew kawa mpole
The charisma of Mwl.Nyerere,the courage of Amina Chifupa and the confidence of Zitto Kabwe.
Daaaaaaaaaah! Huyu jamaa namkubali Sana asee, Hongera yke. Mungu ampe maisha marefu na SIHA NJEMA
@mashalawamba2836
6 жыл бұрын
Bin Chipatu yaana zitto gudi
@bakariomary320
5 жыл бұрын
Usomi unaonekana kwa vitendo broda,,,gud sn kabwe,,hazna ya taifa
Mungu akusimamie ktk yote mhe Zitto kabwe upo vizuri sana
@yasintamwalukisi4060
5 жыл бұрын
Daud Henry Yaani Rais angempa Wizara Zitto..yupo vizuri saana huyu jamaa
Nampenda sana Zitto yuko vzr sana! Big up to you
@camiliusmasao303
5 жыл бұрын
√
Mh.Zitto! You are very much bright and talented in reasoning! Well said Honourable!!!
What a fine legislative mind!! Kenyan MPs, please 'look and learn' ...the craft of building up an argument in a livid debate!
Yaan leo nimefarijka kwa kusikiliza maelezo ya huyu jaama zito! Kweli selekar iangalie tena juu ya mpango wakuuwa upinzani, maana kuna vichwa ambavyo vikipotea kuvipata, cjui! 👏👏👏👏👏 Ahsant zito zuber kabwe
Huyo mama yukoje lakini? Zitto wewe ni kichwa sana Kamanda.
Zitto kweli umesoma na unajua unachokizungumza. Tunahitaji wabunge 100 kama Zitto kabwe. Live long brother
Sir Zitto Kabwe unawaonea wabunge wa ccm hata spika hawaelewi sheria wanazozitunga na hawana tabia ya kufanya rejea ya kisheria wavivu wa kusoma ata wanasheria wenyewe hawazijui... Hongera sana kaka unaona mbali sana
akili ni Mali!!! Endelea mkuu haahhahaha!! mpka spika wa Bunge kamuuongezee muda!!! safi sana Zitto.
Huyu Speaker wa Bunge, Yuko vizur I never seen before,
Zitto ni Genius👏👏👏 ila huu mjadala angekuwepo Lissu ungekuwa mtamu zaidi, hutoona baadhi ya wabunge wanaoongoza kwa kusema hovyo wakichangia kwenye hoja kama hizi za kutumia vifungu vingi vya sheria na akili nyingi
@simonbaro6886
6 жыл бұрын
huo ndo ukweli hapo kibajaji,msukuma,kessy,na mlinga wamejificha hapo shule inafanya kaz yake
@emmanuelmkoma5920
6 жыл бұрын
Fazeel Shomary 😂 hapa huwez kumuona MLINGA
@magorahassan3491
6 жыл бұрын
Fazeel Shomary Lisu angekuwepo ingekuwa nzuri zaidi maana namjua Lisu kwa history na legal perspectives ni hatari
@stephenulomi8364
5 жыл бұрын
Fazeel Shomary hahahaaa
@araphatiddy141
5 жыл бұрын
Uposawa
Nchi hii imebarikiwa, Mungu akutunze kijana wetu, ni hazina na tu u kuwa kwa Taifa hili.
@isihakamtaalam2099
5 жыл бұрын
Kwelliiii
Zitto ww ni JEMBE, KICHWA, KIFAA.......naomba tuchukuwe wabunge wote kama zitto waunde bunge LA jamhuri ya Mungano wa tz, wabunge kama lusinde,mlinga na msukuma waunde bunge LA SHILAWADU tz. Vichwa vipo upinzani. Zitto Mungu akubaliki.
@octaviangervas8425
6 жыл бұрын
jeremiah kiberenge kweli aisee
@roilertemba4749
5 жыл бұрын
Kichwa mashaallah
Mungu akuweke miaka mingi ishaAllah...wewe ni Hazina ya Taifa
Naaaam,spika Ndugai unapomlinda asikilizwe hapo unajinyakulia heshima kubwa!
Zito + Lisu = na umbozi wa watanzania
Daah mwana yuko nondo yuko duki balaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 anatoa shule nzito yaan ni kama messi vile anavyo wapoteza mabeki 🙌
Zito ni mwanasiasa mzuri sana na tunakuunga mkono na ndo mwongozo wetu wa siasa kasoro mwaka 2015 ulikubali kuyumbiswa na siasa za bongo hicho kilikuharibia sana
Zito kibokooooo wallah,hongera sana muheshimiwa
Sheria zinatungwa Kwa Lugha ya Kiingereza, zinajadiliwa Kwa Kiswahili. Kazi tunayo, Sheria zitungwe Kwa kiswahili na zijadiliwe Kwa kiswahili, sisi sio waingereza!!!!
@mwalamimshamu331
5 жыл бұрын
yanga Vs biashara
Kama hauja mkubali zito utapata tabu sana tena sana
@isihakamtaalam2099
5 жыл бұрын
Ww ovyoooo hauoni ukwell au hujasomaaa
@isihakamtaalam2099
5 жыл бұрын
Oya nimemkubaaliii zito kiboko.
Uyo jamaa yuko sahihi sana jamani duuu
Zitto huwa yuko vizuri sana, kama nchi ni kama tuna mmissuse
Jumbe mbili zinaweza kupatikana-moja ni kurejea makubaliano ya 65 35 kama alivyoeleza kwa umahiri kabisa Mh Zitto, ama Serikali inaweza kuona haja ya kuleta ushuru wa namna hiyo hiyo kwa yaho mazao mengine ya kuuza nje. Ila busara itumike- ni wazi kuwa utaratibu huu wa makusanyo ya kuboresha kilimo cha korosho- ingezeweza kusaidia kuendeleza mazaomengine ya kibiashara. Zitto- shukrani kwa ufafanuzi
Lazima watu waelewe tu Akili kubwa sana hiyo Mh Zitto Kabwe thanks brother
Eti namuona Joshua nasarri nar anapoga makofi...daaaaaah pole mwanangu...turu usariver kula hela za yatima
Mwenyekitiiiiiiiii.Hiko ni kichwa cha Mungu kw ajili ya wa Tz
President Magufuli mtu km huyu unakoseje kumuweka sehem mhimu serkalin? Tunamkubal sn sio kwa ushabiki ni kichwa na mtaalam duh Mh Zitto it' s dangerous
@andrewsadiki9914
6 жыл бұрын
Kabi Sadu Ndugu yangu kwani hujui mpaka leo serikali ya ccm haikuchagui mpaka ufanye ubaya kwa wananchi ndio unapeiwa cheo kwa mfano Makonda,Ummy mwalimu, Nape, na wengine wengi tu
@amanzisandali317
6 жыл бұрын
Ivi ndosaf mbunge aongelee Jambo kwa maslah ya nch pia na Jimbo lake ongera sana zito
@alinanmpamba8471
5 жыл бұрын
Kabi Sadu hapana,,,abaki alipo ingewezkan Angelrejoin CHADEMA
Huu ndio upinzani ninaoukubali like nyingi tafadhali
Ur smart brother very smart, they understand you, spika knows ur position what a smart guy bless saana
Big up mwami👍 Kichwa kimoja sawa na wabunge hamsini wa fisiem!!!
Wewe kijwa mheshimiwa Zitto Kabwe Kigoma oyeeeee
Mh.kwa kuweka tofauti za vyama vyetu pembeni...Umejitahidi Sana kwa uwezo wako wote kujenga HOJA.HAKIKA WEWE NI MZALENDO.
Zito nakukubari sana
Zitto mkuu nakufuatilia san nakinacho nifanya nikufatilie kuwa uwez ongea kitu kma ukijui kwakina big up san mkuuu
Zitto is one hell of an intelligent character... afunguo chuo atufunze namna ya kujenga hoja na kupambanua vitu
Duuh..Zitto kabwe.. upo vizuri sana Broo
Duuh!! Huyu zitto msomi kwelikweli anavyo dadavua mambo mpaka sisi wenye elimu ndogo tunamuelewa vizuri kabisa namshangaa huyo mbunge mbumbu anashindwa kuelewa jambo lepesi kama hilo!! Alafu eti ana digrii? Atakuwa bashite huyu maana anatia hasira kweli
@melejishangai6054
5 жыл бұрын
Mi niliipenda sana mbunge huyu Kwa hoja safi na maelezo safiiiiiiiiiiiiiiiiii
@ibrahimmaganga3429
5 жыл бұрын
Kwa kweli ztto ni mtu makini sana
Be blessed
Zitto alimuelimisha vzr sana zuzu letu hili li ndugai, yaani ni bogazi la htr swali lake lilijua hataweza kulijibu bwege kweli kweli yani livyobebwe na ccm linajua wote ni vilaza kama wao
kweli zito hakurupuki jaman
Mungu akubariki sana swahiba..sometimes najuta kwanini nilipoteza kura yangu 2015, majinga mengi ndani ya ccm
Kweli shule ni muhimu jamani...duh zitto respect
Brother ur so bright,hongera kwa kuwapigania watu watz bila kujali ukanda Wala ukabila
Zitto tu anatosha kusimama na wabunge wrote wa ccm
mungu akuzidishie mshimiwa ZITO ambaye shule haijamsaidia hawezi kukuelewa.
Pole Zito kwa kupambana kwa sababu ya Watanzania.
@alphoncekachira6414
3 жыл бұрын
Tunakuombea urudi bungeni tena,
Nionacho Mimi kuna watu vihiyo sana ktk serikali na wanaoangusha uchumi wa mtu mmojammoja na hata vyama vya ushirika,
This Guy is very SMART!
Mh. Zitto,pamoja na hoja zako nzuri na kugusa mawazo ya
Huyu jamaa anajua bwana dah Mh ndugai anaona km muvi ya kihindi hadi raha
mh. zito kabwa mungu akubariki sana naakulinde ili elimu yako iendee kutuelimisha hususani ss wanyonge.
Sitakuja kumshauri mwanangu kuwa hata na kadi ya ccm hata kama marehemu wangekuwa wanaongea!..
@emmykagemb7993
5 жыл бұрын
Mimi na we ni mapacha
@edinamwanilwa8094
5 жыл бұрын
Ndaro Gamba Hata mm aise atakuwa huru
sasa ni vizuri wabunge wote wawe na elimu ukipata wabunge kama hawa 100 abuluzwi mtu tena
Zitto upo vzr sana kijana mwezetu
Amewasaidia Sana jamaa Huyu Zitto yupo vizuri sana
Zitto Zidane Zubeir Zizou Kabwe Fundiii..a.k.a THE TEACHER.
Zitto you are 1000 people person. Excellent excellent excellent excellent
Asante kwa kuwapa dalasa.100000%
@shaibunamtita7879
5 жыл бұрын
Ezra Nairo zito kichwa
Duh vizuri sana, wapi Mhagama leo na miongozo yake?.Inaelekea amekubali hizo nondo .Ndugai wengekuwa upo hivi kwa kila jambo wengepata heshima kubwa kwenye hili Taifa kuliko marehemu Sitta
saf zto kabwe nakubal umemalxa kla ktu ahsante na mungu akulinde
huwa nakukubali sana. ila hapa Tz watu werevu hawanaga nafasi na huwa wanaonekana wahuni.
Jamani zito Mwaka 2020 njoo ugombee mtwara (v)
mimi kusema za kweli hua simuelewi uyo mama anaetoaga taarifa katikati ya mada muhimu
@chesconkwera2005
6 жыл бұрын
Tyson Deo hajawahi kuwa sawa msamehe bule
@khadijaaziza7586
6 жыл бұрын
Tyson Deo yani hata mm namuona sana huyu mama atulii yani utakuta mada za maana utasikiya taarifa yeyety
@meckymwandambo3977
6 жыл бұрын
Tyson Deo mapovu sasa ya nini shauri tu serikali itakuelewa
@beatrckombe2617
6 жыл бұрын
Tyson Deo ccm sunawajua?
@salmaazard9793
6 жыл бұрын
xana
Zitto ni kichwa kilichobarikiwa Aiseee
Zitto kabwe Ruyagwa 2022 still nipo na wewe🔥
Kuna wabunge wa ccm wao kazi yao ni taarifa tu.hawatoi hoja yoyote ya maana. Huyu mama simwelewi kabisa. Kwani kuna zambi gani kuwapa watu vichwa kama zito ,bashe, nasari nk uwazili au kuwa upinzani ndo hawapati vyeo
Zito uko vizuri sana yani unachambua mpaka nasikia raha
Dah chadema always is back, napenda chadema in love
we ndo hero apa tanzania kwanza napenda unavyo ongea yani ii ni sign kuwa we ni msomi mzuri sana
Lazima watanzania tusikitike kua bunge letu la awamu ya tano kukosa watu muhimu kama Hawa zitto, mbowe, sugu, nk maana ndio wasemaji pekee
Daaa kweli be blessed kamanda
Elimu ni silaha! Yani hapo kumpinga lazima ujue kufafanua vifungu... huyo jamaa katoa taarifa mchele mpaka Zitto kamdharau! Wageni nao wanapenda wajulikane wapo, hahaha! bigup kaka Zitto... Ntakutafuta japo kukushika tu mkono bro,pengine ntapata upako wa fikra yakinifu
zitto kweli Wewe ni mzito Kweli
Ndugai hapa watanzania ulitutendea haki na munguu atakubariki.
Nimependa mpk raha
mama jenister kazi unayoiweza ni kuomba mwongozo tu , ivi unaiona hali ya hukujimbon kwako?
hakuna raha kama kua chama cha upinzani yaani unakua huru kukataa na kukubali.. ila ukiwa ccm kama hapo huwo ufisadi wa hela za korosho hapo ccm watasema uchochezi mafisadi wakubwa ccm
@sadaramustafa8401
6 жыл бұрын
Ole Moissan ni kweli kaka ccm ni ugonjwa kwa watanzania
@humphreybilly3258
5 жыл бұрын
Watapata patabu
@ceciliajimmy5652
5 жыл бұрын
Usichoke kusema ukweli Zitto Mungu awe pamoja nawe.
@mathewsaitoti4250
4 жыл бұрын
Hapo kweli ndg Moisan. Wengine hawa wengine hawako huru. Wakikosoa wataitwa kwa tume ya maadili.nkt.
zito kichwa sana lazima wa2 wajipangeee sana
Zito you're so wise
yani manyumbu ya ccm yamepigwa nondo na zito mpaka kilanja wao anaamua kuongeza muda kwa zito ili awafundishe vilaza wa ccm yanaanza kusema mwongozo mwongozo yani kichwa na uelewa wa zitto nisawa na wabunge wote vilaza wa ccm hovyo sana
hawa ndio wabunge wanaotakiwa bungeni
Your so bright honourable zitto kabwe"""_
Namkubali sana jmaa huyu
ZITO ANA UFAHAMU MKUBWA SANA NA AKILI YAKE IKO SMART
Akiongea zitto watu wanakuwa makini kumsikiliza k7b wanajua Kuna mambo mazito ndani yake anaebisha naabishe kwa ukaidi wake t lkn ukweli ndio huo
Mbunge mwenye akili hii nchi ni wa upinzani tu kwa kweli
Zitto pamoja na spika muko vinzuri mpk na mm nimeelewa asanten sana
Smart sana bw. Ruyagwa.unatoa mawe sana.
Jamaa anawafundisha kwel spiker anauliza maswali aereweshwe.
Huyu ndio kiongozi wangu was chama haki mie huyu jamaa namuelewaga mpka sijielewi. Ni mwanasiasa bora kuwahi kutokea nchi hii.
huyu akiwa bungeni Yuko vizuri ,ila kwasasa jimboni kwake haonekani, nimewahi kwenda Kigoma kwa muda wa miezi 3 sikuwahi jumuona zitto jimboni kwake.
zitto namtabiria makubwa sana 💪
Hawa jamaa mawazo yao yangechukuliwa nchi ingekuwa vizuri sans
Huyu mama sijui huwa anasoma au ? Maana haionei huruma serikali yake , ushauri wa upinzani huwa nimzuri lakini CCM wanaukataa ,wakati wangeuchukua na wakaufanyia kazi ,