BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
Ойын-сауық
Kutoka Bungeni DODOMA, leo April 10, 2017 Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe alisimama kuomba kutoa taarifa kwa Naibu Spika wa Bunge akitaka Bunge lisimamishe shughuli za kawaida na kuanza kujadili matukio ya utekaji watu yanayoendelea nchini.
Bashe amesema yeye pia ameshatumiwa ujumbe wa vitisho wakimwambia kuna watu 11 akiwemo yeye watafanyiwa vitendo vibaya popote watakapokuwa, hivyo analiomba Bunge lijadili suala hilo kwa dharula kwasababu sio sawa kukaa kimya.
Пікірлер: 264
Bashe you are da best.. hujaenda bungeni kulala mkuuu.. Mungu na akulinde...
Hii imekuwa serious issue. Mungu ibariki Tanzania
Kwel bashee you are smart in ur heard big up nzega they are luck
Hata mm ningekuwa ktk list ningeshindwa kkuvumilia .... Asante bashe kw kuogopa kututangulia
Shikamoo Bashee MUNGU awaongezee ulinzi awatume malaika wake walinzi ili hawa mashetani weusi waanze kuteketea kuanzia hapa dunia mpaka jehanamu
@ashamwandu3781
5 жыл бұрын
saruti bashe penda Sana wewe.
Bashe & Sugu pamoja sana.
safi sana Dada tulia unajua sana hongera sana,kweli sheria inaweza kuyafanyia kazi baana,hatuna haja kamati za bunge kwani nazo zikiundwa si zitaenda kukusanya taarifa polisi,kwa wahussika na familia za wahanga ambacho naamin na polisi ndo wanakifanya...then au bashe anahisi polisi wamekaa tu noo...wanafanya kazi pamoja na matatizo yote hasa ya rushwa walio nayo
Waziri wa mambo ya ndani hajui au hana alifanyalo. Ningemshauri ajiuzulu kulinda heshima yake(kama anayo).
Bashe is a gentleman indeed. ... Tanzania tunakoelekea siko na huu utamaduni haukuepo
Yan wew mwanamkeeee kwelii unfnya kazi yako ilokufnya uletwe hapooo xaxa naomba Mungu naww familia yako itekwe
Nashukulu sana kwa hojaja nzuri muheshimiwa bashe
Your the best in speech the government have to work on this
sina imani na naibu spika Tulia, yaani kazi yake imekuwa kutuliza tu hoja, huwa simwelewi kabisaa
@arnoldamel8164
7 жыл бұрын
geof beka kumbuka kuwa ni mteule wa rais kama mbunge na alimpa huo ubunge ili akawe naibu spika nadhani picha unayo
@davidlauliankitinya3035
7 жыл бұрын
kaka Bashe me nimekbali I like your chain na ntaifuata kaka I have future
@abdalahsuleiman8989
7 жыл бұрын
Hatar sanaa
@stephanomwakyobe4675
5 жыл бұрын
geof beka sio naibu tu ata spika mwenyew ndo ivy ivy
@rahmarahmajuma8646
5 жыл бұрын
Hilo swara linatuumiza wananchi ila huyo special pamaja navigogo wakuu wanalijua kuwa wakimchukia tu mtu ndio wanamuazibu hichonikikulacho kinguoani mwako
Bashe rafiki yangu mungu atakulinda kwasababu unaongea ukweli na huyo rais wenu anasema msema ukweli ni mpenzi wa mungu
Bashe ni akili kubwa sana
big up basheeeeeee
Mashallah you are good
Shikamoooo mwanamke wa shoka twakupenda je 2020 wewe ni waziri yaani una watuliza kama kitenesi💪💪💪💪
"there's no hope kutoka serikalini" so true ...naombeni mkopo nihame nchi 😢😢😢
huyu ni mbunge wa watanzania na sio mbunge wa chama cha mapinduzi nakukubari sana bashe
Bashe mungu akulinde witete watanzania we nyonge
Mungu akulinde bashe
Asantee bashe.
yaan naibu spika Uko vizuri sana ahsante sana kwa majibu yako
wah. Bashe na Sugu bora mmekuwapo mjengoni...coz watu twaishi kwa mashaka sasa
@alinanusyemwatukambo7908
5 жыл бұрын
Wewe acha uwongo sugu sio mwana siasa mwenyewe ni vta tuu
@vivianlenard3618
5 жыл бұрын
Unakua na mashaka we naye una nn wakuteke sasa. kuna anayekujua huko zombi kweli
God bless mh bashe
Yani mtu anaongelea issue ya uhai wetu unamwambia akae chini?????????? Yaani acha ninyamaze tu maana hasira nayo ni dhambi
it's trueeeee😢😢😢😭😭 there is no hope in serikali basheeeee oyèeeeeeeeee tutetee jmn😢😢😢😢
huyu tulia huyuuuuu ooooooh
Mwendazake alaaniwe huko aliko alikua farao mkubwa
Bashe Mungu akuzidixhie uwezo na nguvu na uwe imara kusema ukweli na kutetea wtz na siyo kutetea ugali kama wenzako was ccm hakika Bashe ww ni mfano tosha kwa wanaccm wenye akili kukuunga mkono
Dhu jaman!!!! Sisi wote niwakupita tuache visasi ili cku moja tuuone ufalme wa mungu
Safiii
Bashite Aende Jeratu Wananchi TunaumiaTunakuea Nahofu Nanchi Yetu Hatunaamani Jamani Tunaenda Wapi Sasa Jamani Hatupo Sudani TupoTanzania Nchiyenye Amani"
@aishahussein68
7 жыл бұрын
Johnson Kuziwa wee kilaza kweli umeelewa alichokisema sasa aende jela kwa kipi we pumba kweli
@mobileshop818
7 жыл бұрын
Aisha Hussein tena pumba asie jielewa kabisa
@mariammarco1554
7 жыл бұрын
Johnson Kuziwa Wew chizi kweli aende jera kwa kosa gani alilolifanya?? kwani yeye ndo anayewateka? unapotaka kukoment uwe unafikilia kwanza muone na kichwa km vile zombi..
@mobileshop818
7 жыл бұрын
Mariam Marco ha ha hahahaa kwani kichwa cha zombi kiko vpi? umenifurahisha sana ndugu yngu; ila c mbya umempa maneno ya kweli mana kitu kikitokea majibu yanakuja c mwingine bali makonda
@bilalkitiku9096
6 жыл бұрын
mbwa wewe ,,,,,,kusoma mwenyewe hujui ,,,uelewa nako zero
Bashe na wew utaambiwa umechochea unatangaza kua nchi hakuna aman!?
Bashe, nakukubal xna kaka. inapobid kuzungumza ukweli, we have to say xo.
Bashe marry me
@MarcoNM100
7 жыл бұрын
hahahaaa
@mzamilmik7387
7 жыл бұрын
hahaha
@babawahindi7368
7 жыл бұрын
Yes he deserve to marry you.
@nassorozawiya5778
7 жыл бұрын
i wll
@nzegelamalimi1195
7 жыл бұрын
nakupongeza
mwiguru amini hujafa hujaumbika najua ww ni mcha Mungu sana naomba kwa kauli yako uwasaidie Watanzania ili wawe ktk hali ya amani.
safi sanaa
Basheee your very bright
Speaker is toothless now,nothing can't do.
Bunge bado halipo na haki ya kutetea raia na ndio hao wanaotumia kukamata watu kimykimy shenzi kabisa sugu na bashe nawakubali sana
Hivi serikali yetu kama ingekua sio makini na kutegemea wa bunge kupanga maendeleo yetu tungekua hali mbaya sana
shukurani mheshimiwe bashe
love u bashe
jamani mbona
bashe, Sijui upewe kitengo gani? tupiganie baba
MUNGU awe pamoja nawe Bashe umeongea vizuri
Duu hatari sana sasa kama mnaogopa kiasi hiki je na kwa walio hali ya chini wanao potea wanasaidiwaje
bashe kweli ni mwanaharakati.....
duuuuh!!! hata na nyie wamewageukia
huyu naibu spika daaa ...sijui na yy ana ubashite.....
bashe umenena vizuri
@mosesjferuzi3413
5 жыл бұрын
H
Uko vizuri bashe wenzio wa ccm wanaogopa kusema ukweli wanaogopa
bashe the great
2020 bubu ataongea
Bashe ukovizuri,hongera kaka
Very brave Bashe,wh
Tulia anajua kutuliza,Majina mengine banaa!
hawa wote kina jenista wanahemewa kisogoni
duuh ni shidaaaaaa
@sadikisaidi28
5 жыл бұрын
Sawa ila kunawengine hpo niwatata angalien msje mkapgana na chupa
Dah nimasikitiko makubwa kwa nchi hii jamani
Big up: Bashe.
@amryabdallasaid2077
5 жыл бұрын
Big up. Bashe.
Yan nchi kama somalia banaa
Jamani naomba , lissu, sugu, zitto nawengine warudi bungeni siku hizi bunge limekala sana.
njoo ukawa kuna mdee lemma nassari, kama wew
duh
Seen
KAMA CHOMBO TUNACHOKITEGEMEA NI HIKI, KISHA MAAMUZI YA WASIMAMIZI WAKUU NDIO HAYA MAJIBU TUMEYASIKIA , TUSUBIRI NEEMA YA M/MUNGU. siku akifanyiwa anayewagusa LABDA UMUHIMU UTAJULIKANA , MAANA MALIPO HUWA NI HAPAHAPA.
Tanzania 🙏🙏🙏🙏
naibu spka kawekwa jamani kwahyo Hana nguvu yeyote
mwiguru umekaatu aseee
duuh ...I hope speak Ndugai...will do something.. naibu speaker is useless..God bless u Sir Mh Bashe n Sir Mh Sugu
Kwanini habari za utekaji ziko awamu wa tano tu🤷♀️
Duh
ndiye naibu spika... dk tulia ... tutegemee mabadiliko baada ya miaka 10000
sana bashe
Waambie bna nchi yetu yaa Amani hatutaki kuipoteza hii Amani
Bashe nakukubali sana ndio uongoz huo shida chama chako hakitaki ukweli sio kila kitu siasa
true
hahahahahahhahaahahahahahahah#sugu bn umetisha
Tutafute katiba yenye usawa maana naibu spika mjinga mjinga kama tulia niwakuponda mawe
Bashite bungeni
Kweli kabisa haiwezekani tukose uhuru
Bashe mwamba wao
Ahsante sugu
Shikamoo bashe laiti kama wabunge qwanakielewa unacho kisema basi hawatosita kukuunga mkono kuhusu hoja yako,ila yatakapo wakuta wao au watu wa karibu kwao ndipo wataelewa.
@yassinmuhajir4391
7 жыл бұрын
zimwi linawatafuna wao sasa wanaanza kupiga kelele, walitekwa mashekhe zetu zanzibar wakapewa kesi mpaka leo wako ndani hawajahukumiwa miaka takriban saba sasa hatukusikia watu kuja mitandaoni au bungeni kuongea leo wametekwa kina roma watu mapov yanawatoka, nataka ile dhambi ya kuwateka mashekhe iwatafune mpaka na wao waachiwe, muone uchungu wake tena nyie hamjafanyiwa walichofanyiwa mashekhe mnalalamika je mngefanyiwa ingekuaje, Allah iweke balance hii nchi kila raia awe na haki sio wasanii tu ndio wana haki au wabunge, viongozi wa juu
BASHE NI JEMBE LA KUIGWA NA WATANZANIA
@dicksonmrema7584
5 жыл бұрын
Ukweli bashe unachosema wasipo fuata maneno yako inamaana wanajuwa watekaji na wanawabeba
@dicksonmrema7584
5 жыл бұрын
Bashe sugu mpaka kieleweke yani watu tuwweke kichwani mwaka,,2020watuambia
@shakilaabubakar8517
5 жыл бұрын
m.mungu amlindeee
@mosesolodi242
4 жыл бұрын
Jeremia Johaziel hatar hii
@lichilasalumu7983
3 жыл бұрын
Sasaiv ni utopolo tu
mama wee 😲😲😲😩😩😩
Endapo huyo bashite hajahusika na tuhuma za utekaji huu basi yafaa taifa litambue mkombozi wetu ni huyo Bashita na yafaa tuzingatie Ushirikiano Bora kuongoza nchi unatakikana ili kunusuru haki za wananchi na si ubinnafafsi. Mungu Ibariki.
Jamn bashe ubarikiwe kwa ukweli wako
MALAIKA wakulinde bashe
Ally kessy
Dr. Tulia anasitahikuwa spika wa mbuge na sio naibu
Bashe wewe unafaa kuwa lais wa nnchi yetu kabisa mungu akulindi sana
@paschalboniface8319
5 жыл бұрын
Gud
@ramsaybrown2708
5 жыл бұрын
Kizungu zungu tunapenda amani ila kwetu mby foleni kubwa jioni balabala nindogo sasa tukizungumzia mtu mmoja tu mo tu na wengine hatufiki kwa staili iyoo
Mhh Nchi imekwisha tuliipofika Mungu atusaidie
@mobileshop818
7 жыл бұрын
Ayub Nsajigwa Ameen In sha Allah kwa uwezo wake Allah ninaimani tutaishi kwa Amani.
MWIJAGE JOHN
Sema japo inauma, ukweli wa mungu ndo huo.
sipika end bashitte end rais wote wasukuma hamna usarama watanzania tukae kwa kumuomba mungu mana hii nchi inako elekea hata nashindwa kuelewa kabisa
HIYU NAIBU SPIKA NA SPIKA WAKE DAAAH SIWAELEWAGI MIMI