BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa

Ойын-сауық

Kutoka Bungeni DODOMA, leo April 10, 2017 Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe alisimama kuomba kutoa taarifa kwa Naibu Spika wa Bunge akitaka Bunge lisimamishe shughuli za kawaida na kuanza kujadili matukio ya utekaji watu yanayoendelea nchini.
Bashe amesema yeye pia ameshatumiwa ujumbe wa vitisho wakimwambia kuna watu 11 akiwemo yeye watafanyiwa vitendo vibaya popote watakapokuwa, hivyo analiomba Bunge lijadili suala hilo kwa dharula kwasababu sio sawa kukaa kimya.

Пікірлер: 264

  • @deviskaliare5420
    @deviskaliare54207 жыл бұрын

    Bashe you are da best.. hujaenda bungeni kulala mkuuu.. Mungu na akulinde...

  • @yesayamwanjemba4726
    @yesayamwanjemba47267 жыл бұрын

    Hii imekuwa serious issue. Mungu ibariki Tanzania

  • @lupetamhagama2145
    @lupetamhagama21457 жыл бұрын

    Kwel bashee you are smart in ur heard big up nzega they are luck

  • @loner_wolf
    @loner_wolf4 жыл бұрын

    Hata mm ningekuwa ktk list ningeshindwa kkuvumilia .... Asante bashe kw kuogopa kututangulia

  • @gracemarine6753
    @gracemarine67537 жыл бұрын

    Shikamoo Bashee MUNGU awaongezee ulinzi awatume malaika wake walinzi ili hawa mashetani weusi waanze kuteketea kuanzia hapa dunia mpaka jehanamu

  • @ashamwandu3781

    @ashamwandu3781

    5 жыл бұрын

    saruti bashe penda Sana wewe.

  • @jasminasha9551
    @jasminasha95517 жыл бұрын

    Bashe & Sugu pamoja sana.

  • @furahamwajeka3708
    @furahamwajeka37085 жыл бұрын

    safi sana Dada tulia unajua sana hongera sana,kweli sheria inaweza kuyafanyia kazi baana,hatuna haja kamati za bunge kwani nazo zikiundwa si zitaenda kukusanya taarifa polisi,kwa wahussika na familia za wahanga ambacho naamin na polisi ndo wanakifanya...then au bashe anahisi polisi wamekaa tu noo...wanafanya kazi pamoja na matatizo yote hasa ya rushwa walio nayo

  • @thedeo472
    @thedeo4727 жыл бұрын

    Waziri wa mambo ya ndani hajui au hana alifanyalo. Ningemshauri ajiuzulu kulinda heshima yake(kama anayo).

  • @bushmendatoga4754
    @bushmendatoga47547 жыл бұрын

    Bashe is a gentleman indeed. ... Tanzania tunakoelekea siko na huu utamaduni haukuepo

  • @shadrackmnjelu5285
    @shadrackmnjelu52857 жыл бұрын

    Yan wew mwanamkeeee kwelii unfnya kazi yako ilokufnya uletwe hapooo xaxa naomba Mungu naww familia yako itekwe

  • @japhetnzunda5421
    @japhetnzunda54216 жыл бұрын

    Nashukulu sana kwa hojaja nzuri muheshimiwa bashe

  • @isayakaihula8172
    @isayakaihula81725 жыл бұрын

    Your the best in speech the government have to work on this

  • @geofbeka1669
    @geofbeka16697 жыл бұрын

    sina imani na naibu spika Tulia, yaani kazi yake imekuwa kutuliza tu hoja, huwa simwelewi kabisaa

  • @arnoldamel8164

    @arnoldamel8164

    7 жыл бұрын

    geof beka kumbuka kuwa ni mteule wa rais kama mbunge na alimpa huo ubunge ili akawe naibu spika nadhani picha unayo

  • @davidlauliankitinya3035

    @davidlauliankitinya3035

    7 жыл бұрын

    kaka Bashe me nimekbali I like your chain na ntaifuata kaka I have future

  • @abdalahsuleiman8989

    @abdalahsuleiman8989

    7 жыл бұрын

    Hatar sanaa

  • @stephanomwakyobe4675

    @stephanomwakyobe4675

    5 жыл бұрын

    geof beka sio naibu tu ata spika mwenyew ndo ivy ivy

  • @rahmarahmajuma8646

    @rahmarahmajuma8646

    5 жыл бұрын

    Hilo swara linatuumiza wananchi ila huyo special pamaja navigogo wakuu wanalijua kuwa wakimchukia tu mtu ndio wanamuazibu hichonikikulacho kinguoani mwako

  • @palesyosilingo6386
    @palesyosilingo63867 жыл бұрын

    Bashe rafiki yangu mungu atakulinda kwasababu unaongea ukweli na huyo rais wenu anasema msema ukweli ni mpenzi wa mungu

  • @kefawales8187
    @kefawales81877 жыл бұрын

    Bashe ni akili kubwa sana

  • @santodelove4351
    @santodelove43517 жыл бұрын

    big up basheeeeeee

  • @basraebrahim9687
    @basraebrahim96876 жыл бұрын

    Mashallah you are good

  • @shindapapaya9194
    @shindapapaya91947 жыл бұрын

    Shikamoooo mwanamke wa shoka twakupenda je 2020 wewe ni waziri yaani una watuliza kama kitenesi💪💪💪💪

  • @fridgeismybestfriendwhenit7149
    @fridgeismybestfriendwhenit71497 жыл бұрын

    "there's no hope kutoka serikalini" so true ...naombeni mkopo nihame nchi 😢😢😢

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga80603 жыл бұрын

    huyu ni mbunge wa watanzania na sio mbunge wa chama cha mapinduzi nakukubari sana bashe

  • @lemalalioloulu3025
    @lemalalioloulu30255 жыл бұрын

    Bashe mungu akulinde witete watanzania we nyonge

  • @revocatusmanyama8621
    @revocatusmanyama86215 жыл бұрын

    Mungu akulinde bashe

  • @shehemnazi127
    @shehemnazi1275 жыл бұрын

    Asantee bashe.

  • @ismailbaruan2833
    @ismailbaruan28336 жыл бұрын

    yaan naibu spika Uko vizuri sana ahsante sana kwa majibu yako

  • @sakinandoile4758
    @sakinandoile47587 жыл бұрын

    wah. Bashe na Sugu bora mmekuwapo mjengoni...coz watu twaishi kwa mashaka sasa

  • @alinanusyemwatukambo7908

    @alinanusyemwatukambo7908

    5 жыл бұрын

    Wewe acha uwongo sugu sio mwana siasa mwenyewe ni vta tuu

  • @vivianlenard3618

    @vivianlenard3618

    5 жыл бұрын

    Unakua na mashaka we naye una nn wakuteke sasa. kuna anayekujua huko zombi kweli

  • @enosh22wanyeche45
    @enosh22wanyeche455 жыл бұрын

    God bless mh bashe

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel94345 жыл бұрын

    Yani mtu anaongelea issue ya uhai wetu unamwambia akae chini?????????? Yaani acha ninyamaze tu maana hasira nayo ni dhambi

  • @khatrarage4445
    @khatrarage44457 жыл бұрын

    it's trueeeee😢😢😢😭😭 there is no hope in serikali basheeeee oyèeeeeeeeee tutetee jmn😢😢😢😢

  • @noellikwet6113
    @noellikwet61137 жыл бұрын

    huyu tulia huyuuuuu ooooooh

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan80932 жыл бұрын

    Mwendazake alaaniwe huko aliko alikua farao mkubwa

  • @novatiemmanuel2175
    @novatiemmanuel21757 жыл бұрын

    Bashe Mungu akuzidixhie uwezo na nguvu na uwe imara kusema ukweli na kutetea wtz na siyo kutetea ugali kama wenzako was ccm hakika Bashe ww ni mfano tosha kwa wanaccm wenye akili kukuunga mkono

  • @irinekatumwakatumwa6606
    @irinekatumwakatumwa66065 жыл бұрын

    Dhu jaman!!!! Sisi wote niwakupita tuache visasi ili cku moja tuuone ufalme wa mungu

  • @briggsanji9176
    @briggsanji91767 жыл бұрын

    Safiii

  • @johnsonkuziwa171
    @johnsonkuziwa1717 жыл бұрын

    Bashite Aende Jeratu Wananchi TunaumiaTunakuea Nahofu Nanchi Yetu Hatunaamani Jamani Tunaenda Wapi Sasa Jamani Hatupo Sudani TupoTanzania Nchiyenye Amani"

  • @aishahussein68

    @aishahussein68

    7 жыл бұрын

    Johnson Kuziwa wee kilaza kweli umeelewa alichokisema sasa aende jela kwa kipi we pumba kweli

  • @mobileshop818

    @mobileshop818

    7 жыл бұрын

    Aisha Hussein tena pumba asie jielewa kabisa

  • @mariammarco1554

    @mariammarco1554

    7 жыл бұрын

    Johnson Kuziwa Wew chizi kweli aende jera kwa kosa gani alilolifanya?? kwani yeye ndo anayewateka? unapotaka kukoment uwe unafikilia kwanza muone na kichwa km vile zombi..

  • @mobileshop818

    @mobileshop818

    7 жыл бұрын

    Mariam Marco ha ha hahahaa kwani kichwa cha zombi kiko vpi? umenifurahisha sana ndugu yngu; ila c mbya umempa maneno ya kweli mana kitu kikitokea majibu yanakuja c mwingine bali makonda

  • @bilalkitiku9096

    @bilalkitiku9096

    6 жыл бұрын

    mbwa wewe ,,,,,,kusoma mwenyewe hujui ,,,uelewa nako zero

  • @castrolk.ezekiel7426
    @castrolk.ezekiel74267 жыл бұрын

    Bashe na wew utaambiwa umechochea unatangaza kua nchi hakuna aman!?

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti7 жыл бұрын

    Bashe, nakukubal xna kaka. inapobid kuzungumza ukweli, we have to say xo.

  • @memoratasalon1128
    @memoratasalon11287 жыл бұрын

    Bashe marry me

  • @MarcoNM100

    @MarcoNM100

    7 жыл бұрын

    hahahaaa

  • @mzamilmik7387

    @mzamilmik7387

    7 жыл бұрын

    hahaha

  • @babawahindi7368

    @babawahindi7368

    7 жыл бұрын

    Yes he deserve to marry you.

  • @nassorozawiya5778

    @nassorozawiya5778

    7 жыл бұрын

    i wll

  • @nzegelamalimi1195

    @nzegelamalimi1195

    7 жыл бұрын

    nakupongeza

  • @manfredymahinya9511
    @manfredymahinya95115 жыл бұрын

    mwiguru amini hujafa hujaumbika najua ww ni mcha Mungu sana naomba kwa kauli yako uwasaidie Watanzania ili wawe ktk hali ya amani.

  • @Purity493
    @Purity4937 жыл бұрын

    safi sanaa

  • @bestinamseti3078
    @bestinamseti30785 жыл бұрын

    Basheee your very bright

  • @yohanabandoma9337
    @yohanabandoma93377 жыл бұрын

    Speaker is toothless now,nothing can't do.

  • @jumahassan273
    @jumahassan2732 жыл бұрын

    Bunge bado halipo na haki ya kutetea raia na ndio hao wanaotumia kukamata watu kimykimy shenzi kabisa sugu na bashe nawakubali sana

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet27607 жыл бұрын

    Hivi serikali yetu kama ingekua sio makini na kutegemea wa bunge kupanga maendeleo yetu tungekua hali mbaya sana

  • @swaburyrwamlaza1479
    @swaburyrwamlaza14797 жыл бұрын

    shukurani mheshimiwe bashe

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin75215 жыл бұрын

    love u bashe

  • @riscaoscar521
    @riscaoscar5217 жыл бұрын

    jamani mbona

  • @olivaanosisye3184
    @olivaanosisye31847 жыл бұрын

    bashe, Sijui upewe kitengo gani? tupiganie baba

  • @annethdominic3403
    @annethdominic34037 жыл бұрын

    MUNGU awe pamoja nawe Bashe umeongea vizuri

  • @ghayoghayosd1581
    @ghayoghayosd15817 жыл бұрын

    Duu hatari sana sasa kama mnaogopa kiasi hiki je na kwa walio hali ya chini wanao potea wanasaidiwaje

  • @saidwilson6529
    @saidwilson65297 жыл бұрын

    bashe kweli ni mwanaharakati.....

  • @charlzlyimo1982
    @charlzlyimo19827 жыл бұрын

    duuuuh!!! hata na nyie wamewageukia

  • @elishaalex6695
    @elishaalex66957 жыл бұрын

    huyu naibu spika daaa ...sijui na yy ana ubashite.....

  • @kingcobra9238
    @kingcobra92387 жыл бұрын

    bashe umenena vizuri

  • @mosesjferuzi3413

    @mosesjferuzi3413

    5 жыл бұрын

    H

  • @agressngimbudzi5319
    @agressngimbudzi53196 жыл бұрын

    Uko vizuri bashe wenzio wa ccm wanaogopa kusema ukweli wanaogopa

  • @justinchriss3778
    @justinchriss37787 жыл бұрын

    bashe the great

  • @hajamijohana6979
    @hajamijohana69795 жыл бұрын

    2020 bubu ataongea

  • @shafiimsemo698
    @shafiimsemo6985 жыл бұрын

    Bashe ukovizuri,hongera kaka

  • @dostovan5142
    @dostovan51423 жыл бұрын

    Very brave Bashe,wh

  • @DeusNchembah
    @DeusNchembah7 жыл бұрын

    Tulia anajua kutuliza,Majina mengine banaa!

  • @nehemiajohn3918
    @nehemiajohn39187 жыл бұрын

    hawa wote kina jenista wanahemewa kisogoni

  • @lumamichombochayesu1838
    @lumamichombochayesu18387 жыл бұрын

    duuh ni shidaaaaaa

  • @sadikisaidi28

    @sadikisaidi28

    5 жыл бұрын

    Sawa ila kunawengine hpo niwatata angalien msje mkapgana na chupa

  • @mohammedally8569
    @mohammedally85697 жыл бұрын

    Dah nimasikitiko makubwa kwa nchi hii jamani

  • @amryabdallasaid2077
    @amryabdallasaid20775 жыл бұрын

    Big up: Bashe.

  • @amryabdallasaid2077

    @amryabdallasaid2077

    5 жыл бұрын

    Big up. Bashe.

  • @elishaalex6695
    @elishaalex66957 жыл бұрын

    Yan nchi kama somalia banaa

  • @BLESSblessing1
    @BLESSblessing1Ай бұрын

    Jamani naomba , lissu, sugu, zitto nawengine warudi bungeni siku hizi bunge limekala sana.

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe46755 жыл бұрын

    njoo ukawa kuna mdee lemma nassari, kama wew

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv50315 жыл бұрын

    duh

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga62053 жыл бұрын

    Seen

  • @datchdatch3836
    @datchdatch38367 жыл бұрын

    KAMA CHOMBO TUNACHOKITEGEMEA NI HIKI, KISHA MAAMUZI YA WASIMAMIZI WAKUU NDIO HAYA MAJIBU TUMEYASIKIA , TUSUBIRI NEEMA YA M/MUNGU. siku akifanyiwa anayewagusa LABDA UMUHIMU UTAJULIKANA , MAANA MALIPO HUWA NI HAPAHAPA.

  • @sphrb1063
    @sphrb10637 жыл бұрын

    Tanzania 🙏🙏🙏🙏

  • @anthonmunishi4463
    @anthonmunishi44636 жыл бұрын

    naibu spka kawekwa jamani kwahyo Hana nguvu yeyote

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8097 жыл бұрын

    mwiguru umekaatu aseee

  • @bahatidan4751
    @bahatidan47517 жыл бұрын

    duuh ...I hope speak Ndugai...will do something.. naibu speaker is useless..God bless u Sir Mh Bashe n Sir Mh Sugu

  • @rachelissacmahenge1348
    @rachelissacmahenge13484 жыл бұрын

    Kwanini habari za utekaji ziko awamu wa tano tu🤷‍♀️

  • @daudhenry8909
    @daudhenry89095 жыл бұрын

    Duh

  • @abelmachunda9494
    @abelmachunda94947 жыл бұрын

    ndiye naibu spika... dk tulia ... tutegemee mabadiliko baada ya miaka 10000

  • @munuobaraka5409
    @munuobaraka54097 жыл бұрын

    sana bashe

  • @husseinrajabu2735
    @husseinrajabu27355 жыл бұрын

    Waambie bna nchi yetu yaa Amani hatutaki kuipoteza hii Amani

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga51972 жыл бұрын

    Bashe nakukubali sana ndio uongoz huo shida chama chako hakitaki ukweli sio kila kitu siasa

  • @ibrahimkassim7298
    @ibrahimkassim72985 жыл бұрын

    true

  • @dulasaidi9544
    @dulasaidi95447 жыл бұрын

    hahahahahahhahaahahahahahahah#sugu bn umetisha

  • @babucheenyahega2778
    @babucheenyahega27785 жыл бұрын

    Tutafute katiba yenye usawa maana naibu spika mjinga mjinga kama tulia niwakuponda mawe

  • @shyneplatnumz2583
    @shyneplatnumz25837 жыл бұрын

    Bashite bungeni

  • @jisamjose2184
    @jisamjose21847 жыл бұрын

    Kweli kabisa haiwezekani tukose uhuru

  • @jozeymkonge4905
    @jozeymkonge49055 жыл бұрын

    Bashe mwamba wao

  • @elialucas6140
    @elialucas61403 жыл бұрын

    Ahsante sugu

  • @babawahindi7368
    @babawahindi73687 жыл бұрын

    Shikamoo bashe laiti kama wabunge qwanakielewa unacho kisema basi hawatosita kukuunga mkono kuhusu hoja yako,ila yatakapo wakuta wao au watu wa karibu kwao ndipo wataelewa.

  • @yassinmuhajir4391

    @yassinmuhajir4391

    7 жыл бұрын

    zimwi linawatafuna wao sasa wanaanza kupiga kelele, walitekwa mashekhe zetu zanzibar wakapewa kesi mpaka leo wako ndani hawajahukumiwa miaka takriban saba sasa hatukusikia watu kuja mitandaoni au bungeni kuongea leo wametekwa kina roma watu mapov yanawatoka, nataka ile dhambi ya kuwateka mashekhe iwatafune mpaka na wao waachiwe, muone uchungu wake tena nyie hamjafanyiwa walichofanyiwa mashekhe mnalalamika je mngefanyiwa ingekuaje, Allah iweke balance hii nchi kila raia awe na haki sio wasanii tu ndio wana haki au wabunge, viongozi wa juu

  • @jeremiajohaziel4927
    @jeremiajohaziel49277 жыл бұрын

    BASHE NI JEMBE LA KUIGWA NA WATANZANIA

  • @dicksonmrema7584

    @dicksonmrema7584

    5 жыл бұрын

    Ukweli bashe unachosema wasipo fuata maneno yako inamaana wanajuwa watekaji na wanawabeba

  • @dicksonmrema7584

    @dicksonmrema7584

    5 жыл бұрын

    Bashe sugu mpaka kieleweke yani watu tuwweke kichwani mwaka,,2020watuambia

  • @shakilaabubakar8517

    @shakilaabubakar8517

    5 жыл бұрын

    m.mungu amlindeee

  • @mosesolodi242

    @mosesolodi242

    4 жыл бұрын

    Jeremia Johaziel hatar hii

  • @lichilasalumu7983

    @lichilasalumu7983

    3 жыл бұрын

    Sasaiv ni utopolo tu

  • @neemahussein4957
    @neemahussein49577 жыл бұрын

    mama wee 😲😲😲😩😩😩

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87637 жыл бұрын

    Endapo huyo bashite hajahusika na tuhuma za utekaji huu basi yafaa taifa litambue mkombozi wetu ni huyo Bashita na yafaa tuzingatie Ushirikiano Bora kuongoza nchi unatakikana ili kunusuru haki za wananchi na si ubinnafafsi. Mungu Ibariki.

  • @bamurwakana5890
    @bamurwakana58904 жыл бұрын

    Jamn bashe ubarikiwe kwa ukweli wako

  • @charleskanwani5765
    @charleskanwani57655 жыл бұрын

    MALAIKA wakulinde bashe

  • @athumaningitu7743
    @athumaningitu77436 жыл бұрын

    Ally kessy

  • @mustaphakisanga8381
    @mustaphakisanga83813 жыл бұрын

    Dr. Tulia anasitahikuwa spika wa mbuge na sio naibu

  • @paschalboniface8319
    @paschalboniface83195 жыл бұрын

    Bashe wewe unafaa kuwa lais wa nnchi yetu kabisa mungu akulindi sana

  • @paschalboniface8319

    @paschalboniface8319

    5 жыл бұрын

    Gud

  • @ramsaybrown2708

    @ramsaybrown2708

    5 жыл бұрын

    Kizungu zungu tunapenda amani ila kwetu mby foleni kubwa jioni balabala nindogo sasa tukizungumzia mtu mmoja tu mo tu na wengine hatufiki kwa staili iyoo

  • @ayubnsajigwa1037
    @ayubnsajigwa10377 жыл бұрын

    Mhh Nchi imekwisha tuliipofika Mungu atusaidie

  • @mobileshop818

    @mobileshop818

    7 жыл бұрын

    Ayub Nsajigwa Ameen In sha Allah kwa uwezo wake Allah ninaimani tutaishi kwa Amani.

  • @mujwahuzikyabwishukuru2917
    @mujwahuzikyabwishukuru2917 Жыл бұрын

    MWIJAGE JOHN

  • @shafiimsemo698
    @shafiimsemo6985 жыл бұрын

    Sema japo inauma, ukweli wa mungu ndo huo.

  • @willsonsaidi7468
    @willsonsaidi74687 жыл бұрын

    sipika end bashitte end rais wote wasukuma hamna usarama watanzania tukae kwa kumuomba mungu mana hii nchi inako elekea hata nashindwa kuelewa kabisa

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37153 жыл бұрын

    HIYU NAIBU SPIKA NA SPIKA WAKE DAAAH SIWAELEWAGI MIMI

Келесі