BASHE ALIPUKA TENA BUNGENI, ASEMA CCM KWANZA UBUNGE BAADAE

Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2018/2019, jijini Dodoma leo.

Пікірлер: 357

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua20676 жыл бұрын

    Kama unamkubali hussen bashe acha ubishi gonga like yako hapa hili ni jembe👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @halimachezue926

    @halimachezue926

    6 жыл бұрын

    kura yangu haikwenda bure namkubal sna. mbunge wangu

  • @wilonjahatua2067

    @wilonjahatua2067

    6 жыл бұрын

    Halima Chezue 👏👏👏

  • @hawaaally1639

    @hawaaally1639

    6 жыл бұрын

    hongera kwa kuwa kweny jimbo la bashe

  • @halimachezue926

    @halimachezue926

    6 жыл бұрын

    wilonja hatua najivunia sna

  • @bimumaulid1171

    @bimumaulid1171

    6 жыл бұрын

    👏

  • @musakiboya587
    @musakiboya5875 жыл бұрын

    Hussein Bashe excellent!! Excellent!! Kura zote kwa Hussein Bashe kwa maoni mazurii

  • @khaleedndoni5707
    @khaleedndoni57076 жыл бұрын

    Wasomali wengi akili zao ziko vizuri sishangai.Mungu akubariki

  • @fadhiliitambu6210
    @fadhiliitambu62105 жыл бұрын

    Wabunge wa CCM wangekua kama Bashe nchi hii ingekua mbali kimaendeleo.....🇹🇿

  • @saimonlazaro925
    @saimonlazaro9255 жыл бұрын

    Nakupenda sana Bashe..Nitafurahi SIKU moja ukiwa Rais wa nchi hii

  • @edisonmwambokela3364
    @edisonmwambokela33645 жыл бұрын

    Wambunge wa ndioo jifunzeni kwa Bashe Mungu akulinde mweshimiwa big up

  • @chescomnyangali8601
    @chescomnyangali86016 жыл бұрын

    KAMA UNAMKUBALI BASHE GONGA LIKE TWENDEEE TUMSAPOTI BASHE

  • @nasibmaganga1131

    @nasibmaganga1131

    6 жыл бұрын

    CHESCO MUHEMA Bashe nampongeza kwaubungewake naanaonekana bungen

  • @omaryititi9005

    @omaryititi9005

    5 жыл бұрын

    Hapo sawa

  • @faustinemangula450

    @faustinemangula450

    5 жыл бұрын

    CHESCO TV ONLINE bashe ndiye mbunge sahihi

  • @paulmnama9405

    @paulmnama9405

    5 жыл бұрын

    jembe hilo

  • @kitabwana9741

    @kitabwana9741

    5 жыл бұрын

    Nakuombea bashe uwe raisi wa nchi yetu tz nakupenda

  • @lilianmbedule4664
    @lilianmbedule46646 жыл бұрын

    dah bashe nkukubli xan kama n muelewa gpnga like hapo

  • @allenregnald506
    @allenregnald5066 жыл бұрын

    hongera bashe upo vizuri

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani31695 жыл бұрын

    Bashe unaakili sana ww kijana na pia nimkweli sana barikiwa sana mungu akutunze""

  • @joelmbise2189
    @joelmbise21896 жыл бұрын

    Bashe nakupendaga bure tu, lkn tatizo ni chama chako

  • @fitinaelias421

    @fitinaelias421

    6 жыл бұрын

    Kimefanyaje we kilaza?. ni mambo mangapi mliyokuwa mnayapigia kelele sasa mmeyasaliti?. mwache MH atimize wajibu wake nadhani hujui hata Wajibu wa Mbunge!

  • @kingraba6334

    @kingraba6334

    5 жыл бұрын

    Namkubali xn bashe good xn brother

  • @angelmasaki6667

    @angelmasaki6667

    5 жыл бұрын

    Penda sana bashe

  • @emmanuelbonifase1114

    @emmanuelbonifase1114

    3 жыл бұрын

    Ulitaka awe WAP mbise

  • @richardmugacostantine2791
    @richardmugacostantine27915 жыл бұрын

    Asante sana kututetea. sisi wakulima wa Kahawa ndoa tumeisha kabisha Tunaibiwa wazi wazi na Kdcu ltd na serikali ina fumba macho!.tutakutana 2020.

  • @johariabdallah7238
    @johariabdallah72386 жыл бұрын

    I real appreciate u brother Hussein Bashe may Allah bless u and long live brother

  • @leonidaobed2952
    @leonidaobed29526 жыл бұрын

    Safi sana mr.bashe mungu akutangulie

  • @danielnjile883

    @danielnjile883

    6 жыл бұрын

    huyu mbunge amenitachi kweli kwenye mifugo. maana kukamatwa kumezidi.

  • @thomasmwombeck7132
    @thomasmwombeck71324 жыл бұрын

    Mungu akutangulie Bashe

  • @kamboarheritage461
    @kamboarheritage4616 жыл бұрын

    Evaluative speech! Salute kubwa sana Mh. Mbunge. We need people like you.

  • @davidmwandenuka1712
    @davidmwandenuka17125 жыл бұрын

    Safi Sana na mungu atakulinda kwa kuwa mkweli na kweli itasimama daima

  • @khalidbakari8505
    @khalidbakari85056 жыл бұрын

    Yaani nakukubali sana ww ni mbunge unaejitambua na cyo mbunge ndioooo

  • @jamilamwanzalila1982

    @jamilamwanzalila1982

    5 жыл бұрын

    wewe ndo mbunge sio msukuma amekua zuzu

  • @barakamfugale1049

    @barakamfugale1049

    4 жыл бұрын

    Khalid Bakari bora hata angekuwa mbunge wa njombe maana libunge langu cjui linafanya nin

  • @hangimasunga5959
    @hangimasunga59596 жыл бұрын

    having people like you in the country, is a great asset

  • @evarinyelias1316
    @evarinyelias13165 жыл бұрын

    katika wabunge wa ccm huyu ni watofauti Niko chadema ila wewe tofaut kabisa wewe ni mbunge wao ni wajaza viti

  • @wawahatv8783
    @wawahatv87835 жыл бұрын

    Mie nasemaga siku zote kama wabunge wote wa ccm wangekuwa kama bashii,mie ningejiunga ccm Mara moja na bashii mungu akupe maisha marefu na ccm wenzio waige nyendo zako

  • @hangimasunga5959
    @hangimasunga59595 жыл бұрын

    Mungu akupe hekima if possible I wish you to become president of this Nation in future

  • @lucasfrednand895
    @lucasfrednand8956 жыл бұрын

    Hakika kura yangu haijawahi kukosea kwenda ccm ila ningekua jumbo LA nzega bashe kula yangu ungeipata unanikusha marehem firikunjombe

  • @pilmungure5409

    @pilmungure5409

    5 жыл бұрын

    Bashe huko ccm unapotea...njoo chadema ulilie haki ya wananchi

  • @ibrahimdavid6219

    @ibrahimdavid6219

    4 жыл бұрын

    Lucas Frednand acha tu filikumjombe yan#

  • @mwinjumathomas5132
    @mwinjumathomas51326 жыл бұрын

    Hongera raisi mtarajiwa husen bashe na iwe hivyo Nina matarajio makubwa na wewe katika taifa hili mungu mbariki mja wako mzalendo wa kweli.

  • @mwilogokadunda9114

    @mwilogokadunda9114

    5 жыл бұрын

    Uko vizuri kaka kuwa muwazi

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove57866 жыл бұрын

    Hahah! Maashallaah, "Namuheshimu na nimefunga"

  • @andrewsailen7628
    @andrewsailen76286 жыл бұрын

    Daaah mpaka nimesisimkwa vinyweleo this is a very nice speech huku na swaumu kali lkn umejitahidi kukaza sauti na point nzito

  • @abuaymanalshirazy2472

    @abuaymanalshirazy2472

    6 жыл бұрын

    Andrew Sailen fine

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa93716 жыл бұрын

    Wakimnyima ubunge kupitia CCM, tutamteua kuwa mgombea binafs

  • @muyumbasimba7035
    @muyumbasimba70355 жыл бұрын

    SIJUI KWANINI HUKUWA MBUNGE TOKEA MWAKA 1990 BASHE? YAANI UNASTAHILI SANA KAKA. KEEP IT UP, USIRUDI NYUMA.

  • @josephmwasota5840
    @josephmwasota58405 жыл бұрын

    Be blessed Mheshimwa Bashe, michango yako Bungeni yote mimi naikubali sana unafanya analysis nzuri sana mkuu wangu.

  • @johnnasunga55
    @johnnasunga555 жыл бұрын

    Thanks alot big man your light and your point is understandable big up Sir

  • @samsonjuliusjuliuslukinda5897
    @samsonjuliusjuliuslukinda58976 жыл бұрын

    kweli bashe uko vizur ndugu unaweza hongera

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Жыл бұрын

    Tanzania Nzima Wabunge Nao Wakubali ni Mh Hussein Mohammed Bashe na Zitto Zuberi Kabwe Wengine Nawafikilia Bado Hawanishawishi

  • @hermanmwailanga642
    @hermanmwailanga6425 жыл бұрын

    Bashe unapoint zamana Sana mkuu niwachache wasema ukweli ambao wapo ndani ya serikali kama ww chapa Kazi mungu akupe nguvu namaisha malefu ktk kazi yako

  • @leonardmsusa9795
    @leonardmsusa97956 жыл бұрын

    Ww ni kichwa na nape nawakubali sana kti ya wanachama wa ccm ninyi wawili ni vichwa

  • @mcmackone1958

    @mcmackone1958

    6 жыл бұрын

    Bashe, we we ni miongoni mwa watu wachache makini tulio nao tz. wengine ni kitambi mbeleee.

  • @asteriambwei95

    @asteriambwei95

    5 жыл бұрын

    Uko vinzuri ile mbaya nakukubaligi maana una point

  • @ndaysengaalon4732

    @ndaysengaalon4732

    5 жыл бұрын

    Daaaaaaaaaaah! watanzania tupige magoti tuiombee nchi yetu, hii sio hali yakawaida kabisa hawa wakijani hawafai kabisa na iposku watajutaa

  • @nicksonkiyeyeu383
    @nicksonkiyeyeu3835 жыл бұрын

    Mhhh!ila Bashe ,Mungu akubariki sana kweli waliokupa kura hata hawakukosea.

  • @ombenimshana9162
    @ombenimshana91625 жыл бұрын

    Ningekuwa nzega kura yangu unalamba mdogo wangu,upo sawa

  • @neshenijohn7822
    @neshenijohn78226 жыл бұрын

    bashe endelea hivyohivyo wananchi tanzania kote wanakuelewa sana bashe big up

  • @mussashabani3345

    @mussashabani3345

    6 жыл бұрын

    asiye muelewa bashe hataelewa milele mwenyezimungu amuongezee uhai

  • @mpelienock
    @mpelienock6 жыл бұрын

    good Mr.Bashe, good Mr.Job Ndungai.

  • @hamisichuma3270
    @hamisichuma32705 жыл бұрын

    bro wew na nape sarudi aki kwaza uchama badae

  • @elisonguomsaki6208
    @elisonguomsaki62086 жыл бұрын

    Bashe umetisha ndg yng'!!! We ni zaidi ya mzalendo

  • @frankzominister1473
    @frankzominister14736 жыл бұрын

    Asantee sanaa bashe ila jipange 2020

  • @ebenmsuya2492

    @ebenmsuya2492

    6 жыл бұрын

    kweli yani 2020 apewe tu.

  • @geraldsenkondo4334
    @geraldsenkondo43345 жыл бұрын

    Mheshimiwa Hussein Bashe Mungu Akulinde wanasiasa igeni mfano wa Bashe huu ndio uanaume Afadhali kufa ukiwa unausimamia ukweli kuliko kuishi ukiwa mtumwa

  • @shukurukinzasa53
    @shukurukinzasa533 жыл бұрын

    Daaa itapendeza mh rais ambadilishe kuwa wazir kamili co unaibu naimani atatupeleka mbali huyu jamaa namkubali sna bashe mungu akujalie upate vyeo zaidi ya hivi

  • @emanuelwilbrod8720
    @emanuelwilbrod87205 жыл бұрын

    mungu akubariki sana huseni bashe

  • @othmansaleh177
    @othmansaleh1775 жыл бұрын

    Kama hajakupa nafasi 2020 njo ukawa

  • @talhamohammad5781
    @talhamohammad57816 жыл бұрын

    mtuakiwa na hoja muhimu aongezewe muda huyu anazungumzia maisha ya watu

  • @jonasmwita1837
    @jonasmwita18375 жыл бұрын

    Nakupenda bure Mh Mbunge

  • @davidmbilinyi4198
    @davidmbilinyi41986 жыл бұрын

    Ubarikiwe bashe kwa kuipenda nchi yako ingekua amri yangu ungetawala baada ya magufuri ,japokua pale ikuru maraisi wakifika wanabadirika sijui pana shetani gani .hata angeshuka maraika pale anakua shetani

  • @salomemwansile3946

    @salomemwansile3946

    Жыл бұрын

    Duh unaongea point sana na ufike had urais

  • @danielsagara1158
    @danielsagara11585 жыл бұрын

    hawa ndo wabunge tunaowahitaji bana siyo mtu ni mbunge anaingia bungeni kusinzia na kupiga soga then posho bila kazi ya maendeleo

  • @bonabonala8253
    @bonabonala82535 жыл бұрын

    Yombaga mamy bashe nzagamba wiswe wanyanyembe wa ntobora

  • @acray2437
    @acray24375 жыл бұрын

    bashe yupo vizuri aisee!

  • @fredikagi1708
    @fredikagi17085 жыл бұрын

    Bashe unagusa wanachi ila nikweli ayo yanatoka moyoni Kama nikweli mungu akutie nguv

  • @shabanikibana4279
    @shabanikibana42796 жыл бұрын

    Safi sana bashe mungu akubariki na akupe maisha marefu

  • @ayubusanga3796
    @ayubusanga37965 жыл бұрын

    We lijamaa upo vizuri sana dah

  • @huseinkudrat2052
    @huseinkudrat20523 жыл бұрын

    Nais kama nakuelewa bashe kiukweli wizaran ya kilimo umwagiliji na ufugaji bajeti yake indigo Sana nakuunga mkono

  • @DavidNoloame
    @DavidNoloame3 жыл бұрын

    Bashe bashe hakika were in mbunge unae penda kuweka kira kitu wazi barikiwa

  • @jamesmpepo4386
    @jamesmpepo43865 жыл бұрын

    dah Jamaa yuko vzr Sana,big up kiongozi .

  • @shininisoipano4973
    @shininisoipano49735 жыл бұрын

    hongera sana nikweli kabisa wafugaji awatambuliwi kabisa waambiye kama wa tatambuliwa

  • @hanifaharet3739
    @hanifaharet37395 жыл бұрын

    Bashe unafaa kua president,inshaallah

  • @adammakoye4198
    @adammakoye41985 жыл бұрын

    kwani waziri huwaga na sifa zipi kma sio huyu aisee! au naonaje

  • @saidmathias8850
    @saidmathias88506 жыл бұрын

    Kwa nin wanaccm wote wasiwe kama bashe ?

  • @patricksimango2935
    @patricksimango29356 жыл бұрын

    Hivi Bashe ulipewa Kadi ya CCM ukiwa umeomba au ulipewa bila kuomba?

  • @yusuphsaid8206
    @yusuphsaid82066 жыл бұрын

    Kwel hiyo taarifa ni ya uongo, serikali inayo hela

  • @matheihaule8586
    @matheihaule85866 жыл бұрын

    bashe ukovizur mm nakuelewa sana Asante sana

  • @shabibuabdala7816
    @shabibuabdala78165 жыл бұрын

    Huyu CIO ccm 2 ni mbunge wa watu na kweli wangekuwa hivi wote ccm tungeshnda ila wengne wapga mawe

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli27086 жыл бұрын

    Mheshimiwa Bashe mimi niko Kigoma ila ninakukubali sana Mungu amekujalia akili sana, Mungu akujalie ,akufadhili na kukulinda,

  • @lootosimzablon629
    @lootosimzablon6296 жыл бұрын

    asiyekukubali ni mnafiki tu

  • @asteriambwei95

    @asteriambwei95

    5 жыл бұрын

    Yaani nampendaga huyu bashe anaongea ukweli daima siyo mnafiki yaani siyo wa ndiyooo inamuumizaga sana wangekuwepo wabunge km bashe kumi hivi tungeenda mbali sana bc tuu yuko ccm

  • @hassanjoseph2398
    @hassanjoseph23986 жыл бұрын

    Mungu akujalie afya njema uzidikulitumikia taifa

  • @gibsonmwenda9885
    @gibsonmwenda98855 жыл бұрын

    wewe ndio unayo jitambuwa kwa 100% bila kwangalia chama

  • @petermillanga4762
    @petermillanga47626 жыл бұрын

    I real wish we could have MP's like Bashe, he is a good leader, I cherish his ideas and thinking!

  • @lutufyojason2598

    @lutufyojason2598

    6 жыл бұрын

    Peter Millanga but full of hypocrisy!!

  • @dicksonwambura9840
    @dicksonwambura98405 жыл бұрын

    We are supporting you

  • @ahmedkhamis9470
    @ahmedkhamis94706 жыл бұрын

    1 ya mambo ambayo serikali yetu hii haipendi kuskia ni kuuskia ukweli ukizungumzwa na mtu kuhusu taasisi yyte ya serikali. utakoma

  • @thabitkassim4668

    @thabitkassim4668

    5 жыл бұрын

    Bashe Allah akujalie na utalipwa sio wabunge ndio

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse49105 жыл бұрын

    YOU SO GOOD, , REMEMBER ALSO THAT JESUS LOVES YOU MORE THAN ANY BODY SAY

  • @pascusmathew4809
    @pascusmathew48095 жыл бұрын

    Kiswahi kinge , uko sawa Bashe

  • @peterkilwale5954
    @peterkilwale59545 жыл бұрын

    Tunaitaji vijana kama nyie co wale wa kugonga gonga tu kwa kwa kwa uko vizuri bashe

  • @rosemarykaroli9572
    @rosemarykaroli95725 жыл бұрын

    Muh huyu kweli ni ccm na wasiwas naogopa yarakukuta uwiiiii hongera saana

  • @far_hard1301
    @far_hard13016 жыл бұрын

    Mtu anayeongea kwa hisia na sio kusoma kwenye karatasi anaongea maneno yanayemtoka ndani ya nafsi hongera sana tetea wa tz

  • @maxwelljulius2541
    @maxwelljulius25416 жыл бұрын

    Safi sana tunawaitaji wabunge kama hawa

  • @anthonyamani5120
    @anthonyamani51206 жыл бұрын

    Bashe upo sawa mbunge wng

  • @Bulicheka
    @Bulicheka5 жыл бұрын

    Bashe namkubali pamoja na Nape, maana wanasema kweli ila wabunge wengine waliobakia wote wa CCM ni wasaka tonge hawana msaada wala kuchangia chochote bungeni wanasinzia na kujamba.

  • @edisonmwambokela3364
    @edisonmwambokela33645 жыл бұрын

    Wambunge mliowengi atuwaelewi mliitaji dakika zenu muwe mnamuachia Bashe

  • @jonathannzagamba5253
    @jonathannzagamba52536 жыл бұрын

    bashe anakili xana yaan sector ya mifugo mmh haina mtetez kabxaa bora bashe na msukuma

  • @stephenhaule9051
    @stephenhaule90515 жыл бұрын

    Huyu mbunge alistahili kuwa waziri

  • @triplanetboy5703
    @triplanetboy5703 Жыл бұрын

    Uko vizuri mbunge bashe kwa hoja ulioitoa ila sijaelewa utofauti kati ya serikali na wananchi kwasababu najua serikali inaundwa na wananchi sasa kwanini mnatofautisha serikali na wananchi wakati wananchi wenyewe ni serikali duuuh

  • @haroubabdallah1860
    @haroubabdallah18606 жыл бұрын

    nawaambiga uyu ni kiboko sema yupo tu ccm ila yuko vizur sana

  • @babylidyaandrea4568
    @babylidyaandrea45686 жыл бұрын

    Tumbua majipu bashe 💪💪

  • @ClementKonda-uj1nj
    @ClementKonda-uj1nj4 ай бұрын

    Wewe ni Rais Mpya ujaye miaka ya mbele una maono makubwa sana,toka nikujue umekuwa msaada kwa watanzania

  • @lucasfrednand895
    @lucasfrednand8956 жыл бұрын

    Bashe nakubali hata Mimi japo mi si ccm

  • @zakaboy1305
    @zakaboy13055 жыл бұрын

    the best member of parliament in ccm

  • @paschallucas267
    @paschallucas2676 жыл бұрын

    Safi nakuelewa sana bashe , wewe akili unazo wala hutetei chama , ila jichunge maana ukipewa wizara watakuandama kama nini. Lakin siku zote bungeni point zako nazikubali nahisi mawaziri wangekuwa wanasikiliza na kufanyia kazi mawazo yako tungekuwa mbali sana .

  • @ibrainktz307
    @ibrainktz3075 жыл бұрын

    nakubali sana uyu jamaaaa

  • @edgarevance2172
    @edgarevance21725 жыл бұрын

    Huyu ccm lakin ni Kama yupo upinzani

  • @a.j9964
    @a.j99646 жыл бұрын

    4:37 kuna mbunge kacheka kinafki sanaa hahahah

  • @floralbulwaye79
    @floralbulwaye796 жыл бұрын

    u deserve....u real...u perfect...Nzega hawakukosea...b blessed..

  • @siddyoneonlinesi5433

    @siddyoneonlinesi5433

    6 жыл бұрын

    Floral Bulwaye bashe

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe33605 жыл бұрын

    Safi kabisa mbunge wa Nzega mjini.

  • @robertringi6434
    @robertringi64345 жыл бұрын

    Hua wabunge ninae wapenda ni bashe na waupinzani🙏

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb5 жыл бұрын

    Bajeti ilipita and business as usual.

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu20836 жыл бұрын

    Uko vizuri lakini usiwe unachanganya kiswaenglish.wapiga kura wako siyo wote wanaelewa kingereza,hivyo utakua unawaacha kidogo.hii ni Tanzania na lugha yetu pendwa kiswahili

  • @simonnyasa9498
    @simonnyasa94983 жыл бұрын

    Jaman mungu akubariki sana

  • @gadsonjustin3774
    @gadsonjustin37746 жыл бұрын

    wabunge wanamnahii ndio tunawahitaji tz tofauti na hao wagonga meza..

Келесі