BASHE ALIPUKA TENA BUNGENI, ASEMA CCM KWANZA UBUNGE BAADAE
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2018/2019, jijini Dodoma leo.
Пікірлер: 357
Kama unamkubali hussen bashe acha ubishi gonga like yako hapa hili ni jembe👏👏👏👏👏👏👏👏
@halimachezue926
6 жыл бұрын
kura yangu haikwenda bure namkubal sna. mbunge wangu
@wilonjahatua2067
6 жыл бұрын
Halima Chezue 👏👏👏
@hawaaally1639
6 жыл бұрын
hongera kwa kuwa kweny jimbo la bashe
@halimachezue926
6 жыл бұрын
wilonja hatua najivunia sna
@bimumaulid1171
6 жыл бұрын
👏
Hussein Bashe excellent!! Excellent!! Kura zote kwa Hussein Bashe kwa maoni mazurii
Wasomali wengi akili zao ziko vizuri sishangai.Mungu akubariki
Wabunge wa CCM wangekua kama Bashe nchi hii ingekua mbali kimaendeleo.....🇹🇿
Nakupenda sana Bashe..Nitafurahi SIKU moja ukiwa Rais wa nchi hii
Wambunge wa ndioo jifunzeni kwa Bashe Mungu akulinde mweshimiwa big up
KAMA UNAMKUBALI BASHE GONGA LIKE TWENDEEE TUMSAPOTI BASHE
@nasibmaganga1131
6 жыл бұрын
CHESCO MUHEMA Bashe nampongeza kwaubungewake naanaonekana bungen
@omaryititi9005
5 жыл бұрын
Hapo sawa
@faustinemangula450
5 жыл бұрын
CHESCO TV ONLINE bashe ndiye mbunge sahihi
@paulmnama9405
5 жыл бұрын
jembe hilo
@kitabwana9741
5 жыл бұрын
Nakuombea bashe uwe raisi wa nchi yetu tz nakupenda
dah bashe nkukubli xan kama n muelewa gpnga like hapo
hongera bashe upo vizuri
Bashe unaakili sana ww kijana na pia nimkweli sana barikiwa sana mungu akutunze""
Bashe nakupendaga bure tu, lkn tatizo ni chama chako
@fitinaelias421
6 жыл бұрын
Kimefanyaje we kilaza?. ni mambo mangapi mliyokuwa mnayapigia kelele sasa mmeyasaliti?. mwache MH atimize wajibu wake nadhani hujui hata Wajibu wa Mbunge!
@kingraba6334
5 жыл бұрын
Namkubali xn bashe good xn brother
@angelmasaki6667
5 жыл бұрын
Penda sana bashe
@emmanuelbonifase1114
3 жыл бұрын
Ulitaka awe WAP mbise
Asante sana kututetea. sisi wakulima wa Kahawa ndoa tumeisha kabisha Tunaibiwa wazi wazi na Kdcu ltd na serikali ina fumba macho!.tutakutana 2020.
I real appreciate u brother Hussein Bashe may Allah bless u and long live brother
Safi sana mr.bashe mungu akutangulie
@danielnjile883
6 жыл бұрын
huyu mbunge amenitachi kweli kwenye mifugo. maana kukamatwa kumezidi.
Mungu akutangulie Bashe
Evaluative speech! Salute kubwa sana Mh. Mbunge. We need people like you.
Safi Sana na mungu atakulinda kwa kuwa mkweli na kweli itasimama daima
Yaani nakukubali sana ww ni mbunge unaejitambua na cyo mbunge ndioooo
@jamilamwanzalila1982
5 жыл бұрын
wewe ndo mbunge sio msukuma amekua zuzu
@barakamfugale1049
4 жыл бұрын
Khalid Bakari bora hata angekuwa mbunge wa njombe maana libunge langu cjui linafanya nin
having people like you in the country, is a great asset
katika wabunge wa ccm huyu ni watofauti Niko chadema ila wewe tofaut kabisa wewe ni mbunge wao ni wajaza viti
Mie nasemaga siku zote kama wabunge wote wa ccm wangekuwa kama bashii,mie ningejiunga ccm Mara moja na bashii mungu akupe maisha marefu na ccm wenzio waige nyendo zako
Mungu akupe hekima if possible I wish you to become president of this Nation in future
Hakika kura yangu haijawahi kukosea kwenda ccm ila ningekua jumbo LA nzega bashe kula yangu ungeipata unanikusha marehem firikunjombe
@pilmungure5409
5 жыл бұрын
Bashe huko ccm unapotea...njoo chadema ulilie haki ya wananchi
@ibrahimdavid6219
4 жыл бұрын
Lucas Frednand acha tu filikumjombe yan#
Hongera raisi mtarajiwa husen bashe na iwe hivyo Nina matarajio makubwa na wewe katika taifa hili mungu mbariki mja wako mzalendo wa kweli.
@mwilogokadunda9114
5 жыл бұрын
Uko vizuri kaka kuwa muwazi
Hahah! Maashallaah, "Namuheshimu na nimefunga"
Daaah mpaka nimesisimkwa vinyweleo this is a very nice speech huku na swaumu kali lkn umejitahidi kukaza sauti na point nzito
@abuaymanalshirazy2472
6 жыл бұрын
Andrew Sailen fine
Wakimnyima ubunge kupitia CCM, tutamteua kuwa mgombea binafs
SIJUI KWANINI HUKUWA MBUNGE TOKEA MWAKA 1990 BASHE? YAANI UNASTAHILI SANA KAKA. KEEP IT UP, USIRUDI NYUMA.
Be blessed Mheshimwa Bashe, michango yako Bungeni yote mimi naikubali sana unafanya analysis nzuri sana mkuu wangu.
Thanks alot big man your light and your point is understandable big up Sir
kweli bashe uko vizur ndugu unaweza hongera
Tanzania Nzima Wabunge Nao Wakubali ni Mh Hussein Mohammed Bashe na Zitto Zuberi Kabwe Wengine Nawafikilia Bado Hawanishawishi
Bashe unapoint zamana Sana mkuu niwachache wasema ukweli ambao wapo ndani ya serikali kama ww chapa Kazi mungu akupe nguvu namaisha malefu ktk kazi yako
Ww ni kichwa na nape nawakubali sana kti ya wanachama wa ccm ninyi wawili ni vichwa
@mcmackone1958
6 жыл бұрын
Bashe, we we ni miongoni mwa watu wachache makini tulio nao tz. wengine ni kitambi mbeleee.
@asteriambwei95
5 жыл бұрын
Uko vinzuri ile mbaya nakukubaligi maana una point
@ndaysengaalon4732
5 жыл бұрын
Daaaaaaaaaaah! watanzania tupige magoti tuiombee nchi yetu, hii sio hali yakawaida kabisa hawa wakijani hawafai kabisa na iposku watajutaa
Mhhh!ila Bashe ,Mungu akubariki sana kweli waliokupa kura hata hawakukosea.
Ningekuwa nzega kura yangu unalamba mdogo wangu,upo sawa
bashe endelea hivyohivyo wananchi tanzania kote wanakuelewa sana bashe big up
@mussashabani3345
6 жыл бұрын
asiye muelewa bashe hataelewa milele mwenyezimungu amuongezee uhai
good Mr.Bashe, good Mr.Job Ndungai.
bro wew na nape sarudi aki kwaza uchama badae
Bashe umetisha ndg yng'!!! We ni zaidi ya mzalendo
Asantee sanaa bashe ila jipange 2020
@ebenmsuya2492
6 жыл бұрын
kweli yani 2020 apewe tu.
Mheshimiwa Hussein Bashe Mungu Akulinde wanasiasa igeni mfano wa Bashe huu ndio uanaume Afadhali kufa ukiwa unausimamia ukweli kuliko kuishi ukiwa mtumwa
Daaa itapendeza mh rais ambadilishe kuwa wazir kamili co unaibu naimani atatupeleka mbali huyu jamaa namkubali sna bashe mungu akujalie upate vyeo zaidi ya hivi
mungu akubariki sana huseni bashe
Kama hajakupa nafasi 2020 njo ukawa
mtuakiwa na hoja muhimu aongezewe muda huyu anazungumzia maisha ya watu
Nakupenda bure Mh Mbunge
Ubarikiwe bashe kwa kuipenda nchi yako ingekua amri yangu ungetawala baada ya magufuri ,japokua pale ikuru maraisi wakifika wanabadirika sijui pana shetani gani .hata angeshuka maraika pale anakua shetani
@salomemwansile3946
Жыл бұрын
Duh unaongea point sana na ufike had urais
hawa ndo wabunge tunaowahitaji bana siyo mtu ni mbunge anaingia bungeni kusinzia na kupiga soga then posho bila kazi ya maendeleo
Yombaga mamy bashe nzagamba wiswe wanyanyembe wa ntobora
bashe yupo vizuri aisee!
Bashe unagusa wanachi ila nikweli ayo yanatoka moyoni Kama nikweli mungu akutie nguv
Safi sana bashe mungu akubariki na akupe maisha marefu
We lijamaa upo vizuri sana dah
Nais kama nakuelewa bashe kiukweli wizaran ya kilimo umwagiliji na ufugaji bajeti yake indigo Sana nakuunga mkono
Bashe bashe hakika were in mbunge unae penda kuweka kira kitu wazi barikiwa
dah Jamaa yuko vzr Sana,big up kiongozi .
hongera sana nikweli kabisa wafugaji awatambuliwi kabisa waambiye kama wa tatambuliwa
Bashe unafaa kua president,inshaallah
kwani waziri huwaga na sifa zipi kma sio huyu aisee! au naonaje
Kwa nin wanaccm wote wasiwe kama bashe ?
Hivi Bashe ulipewa Kadi ya CCM ukiwa umeomba au ulipewa bila kuomba?
Kwel hiyo taarifa ni ya uongo, serikali inayo hela
bashe ukovizur mm nakuelewa sana Asante sana
Huyu CIO ccm 2 ni mbunge wa watu na kweli wangekuwa hivi wote ccm tungeshnda ila wengne wapga mawe
Mheshimiwa Bashe mimi niko Kigoma ila ninakukubali sana Mungu amekujalia akili sana, Mungu akujalie ,akufadhili na kukulinda,
asiyekukubali ni mnafiki tu
@asteriambwei95
5 жыл бұрын
Yaani nampendaga huyu bashe anaongea ukweli daima siyo mnafiki yaani siyo wa ndiyooo inamuumizaga sana wangekuwepo wabunge km bashe kumi hivi tungeenda mbali sana bc tuu yuko ccm
Mungu akujalie afya njema uzidikulitumikia taifa
wewe ndio unayo jitambuwa kwa 100% bila kwangalia chama
I real wish we could have MP's like Bashe, he is a good leader, I cherish his ideas and thinking!
@lutufyojason2598
6 жыл бұрын
Peter Millanga but full of hypocrisy!!
We are supporting you
1 ya mambo ambayo serikali yetu hii haipendi kuskia ni kuuskia ukweli ukizungumzwa na mtu kuhusu taasisi yyte ya serikali. utakoma
@thabitkassim4668
5 жыл бұрын
Bashe Allah akujalie na utalipwa sio wabunge ndio
YOU SO GOOD, , REMEMBER ALSO THAT JESUS LOVES YOU MORE THAN ANY BODY SAY
Kiswahi kinge , uko sawa Bashe
Tunaitaji vijana kama nyie co wale wa kugonga gonga tu kwa kwa kwa uko vizuri bashe
Muh huyu kweli ni ccm na wasiwas naogopa yarakukuta uwiiiii hongera saana
Mtu anayeongea kwa hisia na sio kusoma kwenye karatasi anaongea maneno yanayemtoka ndani ya nafsi hongera sana tetea wa tz
Safi sana tunawaitaji wabunge kama hawa
Bashe upo sawa mbunge wng
Bashe namkubali pamoja na Nape, maana wanasema kweli ila wabunge wengine waliobakia wote wa CCM ni wasaka tonge hawana msaada wala kuchangia chochote bungeni wanasinzia na kujamba.
Wambunge mliowengi atuwaelewi mliitaji dakika zenu muwe mnamuachia Bashe
bashe anakili xana yaan sector ya mifugo mmh haina mtetez kabxaa bora bashe na msukuma
Huyu mbunge alistahili kuwa waziri
Uko vizuri mbunge bashe kwa hoja ulioitoa ila sijaelewa utofauti kati ya serikali na wananchi kwasababu najua serikali inaundwa na wananchi sasa kwanini mnatofautisha serikali na wananchi wakati wananchi wenyewe ni serikali duuuh
nawaambiga uyu ni kiboko sema yupo tu ccm ila yuko vizur sana
Tumbua majipu bashe 💪💪
Wewe ni Rais Mpya ujaye miaka ya mbele una maono makubwa sana,toka nikujue umekuwa msaada kwa watanzania
Bashe nakubali hata Mimi japo mi si ccm
the best member of parliament in ccm
Safi nakuelewa sana bashe , wewe akili unazo wala hutetei chama , ila jichunge maana ukipewa wizara watakuandama kama nini. Lakin siku zote bungeni point zako nazikubali nahisi mawaziri wangekuwa wanasikiliza na kufanyia kazi mawazo yako tungekuwa mbali sana .
nakubali sana uyu jamaaaa
Huyu ccm lakin ni Kama yupo upinzani
4:37 kuna mbunge kacheka kinafki sanaa hahahah
u deserve....u real...u perfect...Nzega hawakukosea...b blessed..
@siddyoneonlinesi5433
6 жыл бұрын
Floral Bulwaye bashe
Safi kabisa mbunge wa Nzega mjini.
Hua wabunge ninae wapenda ni bashe na waupinzani🙏
Bajeti ilipita and business as usual.
Uko vizuri lakini usiwe unachanganya kiswaenglish.wapiga kura wako siyo wote wanaelewa kingereza,hivyo utakua unawaacha kidogo.hii ni Tanzania na lugha yetu pendwa kiswahili
Jaman mungu akubariki sana
wabunge wanamnahii ndio tunawahitaji tz tofauti na hao wagonga meza..