Dakika 12 za Hussein Bashe bungeni kuhusu wizara ya fedha

Wakati tukiendelea kuzifuatilia headline za bungeni Dodoma ni vyema usikubali kupitwa na maoni ya mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe aliyowasilisha wakati akichangia hotuba ya wizara ya fedha na mipango kwa maendeleo ya taifa kwa mwaka wa fedha 2016/2017

Пікірлер: 169

  • @muhammadsalaam1373
    @muhammadsalaam13734 жыл бұрын

    Ipo siku Bashe atakuwa rais wa Tanzania insha Allah.

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    2 жыл бұрын

    InshaAllah

  • @leonardkapati3125

    @leonardkapati3125

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @stevenayo4742
    @stevenayo47427 жыл бұрын

    Bashe nakuelewa sana fanya kweli nchi ibadilike

  • @edwinchama9211
    @edwinchama92117 жыл бұрын

    absolutely.. you stand up, you say the truth fearlessly... thank you.. be blessed kaka bashe

  • @sharifaoisso2094
    @sharifaoisso20946 жыл бұрын

    Waaah I have never listened u before.Allah akujalie kila LA kheri

  • @franksomanga8759
    @franksomanga87597 жыл бұрын

    I salute you Bashe you're always stands on truth and facts

  • @ephraimathanas7833
    @ephraimathanas78337 жыл бұрын

    we nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu sana bashe

  • @medlucas7397
    @medlucas73976 жыл бұрын

    tamaa yangu ni kuona kila kiongozi anajituma kuliko mwenzake asante Husehn Bashe

  • @athumangullam3854
    @athumangullam38547 жыл бұрын

    linapokuja suala la nchi tuweke vyama pemben...hawa ndio wawakilishi tunaowataka bungeni

  • @jeromefelix7741
    @jeromefelix77417 жыл бұрын

    (kaka tumehaidi wananchi sisi chama cha mapinduzi,au kwa sababu kaka yangu wewe ujaenda kuomba kura?)yani ni moja ya maneno yenye ukarimu sana.daaaah yani kaka hussein bashe ningekuwa na uwezo wakukutana nawe ningekupa mkono wangu ili uendelee kupata baraka na maneno mazuri kama haya,manake kwa muonekano na hayo maneno yako inaonesha ni mtendea kazi mzuri japo me sikufuatilii...kaka husseini fanya kazi hiyohiyo kwani wananchi walikupa kura ili ukafanye kazi nzuri...nakuombea Mungu akulinde na kukubariki kokote uendako na kuuweka mkono wake kwenye shughuli zako zote ufanyazo,ziwe zako na za wananchi kwa ujumla zote ubarikiwe.

  • @moheqadday8123
    @moheqadday81237 жыл бұрын

    big up bashe uko vizuri hata kama wewe ni ccm nakukubali kwny hoja zako mungu akubariki

  • @marcojoel5217
    @marcojoel52177 жыл бұрын

    big up sana hussein bashe kwa kutetea masilahi mapana ya nchi.

  • @gabrielchowo8070
    @gabrielchowo80707 жыл бұрын

    Wewe ni mbunge shupavu sana na unasimamia ukweli wala sio siasa nakukubali sana na Allah akulipe kwa ukweli unaosimamia

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @lapelyepota5572
    @lapelyepota55727 жыл бұрын

    well spoken MP. tunapenda wabunge wanaojiamini kama wewe. sio wengine waoga ka kunguru. sipendagi kusikiliza speech za wanaccm. but hapa👍👌

  • @allyomary2636
    @allyomary26367 жыл бұрын

    mungu akulinde mbunge ww kama tungekua na wabunge wa ccm 15 tu hii nchi ingekua mbali

  • @hermanmwailanga3912
    @hermanmwailanga39126 жыл бұрын

    upo vzr brother wananchi tumekuelewa (siku zote tuna hitaji watu wa kweli wanao weza kusimamia maslahii yanchi yetu )nawapa shukran watu wa nzega kupata bonge la kiongozi

  • @frankmlawa4156
    @frankmlawa41565 жыл бұрын

    Magufuli umefanya vema sana kumteua uyu jamaa anaakili kama zote ani MPE nafasi kubwa atakusaidia sana mzee bashe

  • @annamwamlima894
    @annamwamlima8947 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu aendelee kukutunza na kukupa afya njema wewe ni muwaz na unachoongea nakuelewa

  • @itmanager1119
    @itmanager11196 жыл бұрын

    asante kakaangu Bashe bungeni natamani hata uwe ndgu unakomboa taifa la 2018

  • @maxv5047
    @maxv50477 жыл бұрын

    Napenda sana viongozi kama hawa bungeni kungekuwa na wabunge wengi tungefika mbali sana mungu akuweke miaka mingi Mh. Bashe

  • @imamollel8494

    @imamollel8494

    6 жыл бұрын

    pamoja xana bashe,,

  • @janekivivilo1851
    @janekivivilo18517 жыл бұрын

    Hii ni nchi yetu ambapo Mungu alipenda sisi wstu weusi tuzaliwe hapa,HIVYO tunataka viongozi wanaosema ukweli katika kutetea maslahi na maendeleo ya wananchi!wabunge wetu simamieni vizuri sheria za nchi yetu.unganeni na kufanyakazi kama wabunge wa binge LA jamhuri ya muungano, na si vinginevyo !kwa pamoja na kwa sauti moja tunaweza.

  • @frankmlawa4156
    @frankmlawa41565 жыл бұрын

    We ni mashine bashe mungu akulinde daima mpango n kilaza uyo

  • @jacksonsospeter-cg2of
    @jacksonsospeter-cg2of Жыл бұрын

    bro bashe you are upcoming Magufuli, Utakuwa rais nimekutabilia mimi.

  • @NabiiKelvinSittaSitta
    @NabiiKelvinSittaSitta7 жыл бұрын

    maarifa iko Juu Yako! Be Blessed Baahe.

  • @potypooty38
    @potypooty385 жыл бұрын

    Kaka mungu akuzidishie maisha malefu

  • @realrealadventurestz3348
    @realrealadventurestz33487 жыл бұрын

    Umeongea ukweli kaka big up!

  • @jumayahaya8609
    @jumayahaya86096 жыл бұрын

    uko vizuri sana mh Bashe

  • @annacarlos7925
    @annacarlos79257 жыл бұрын

    hongera sana kaka ubarikiwe mungu akupe afya njema utumikie wantanzania kwa haki

  • @godlucktesha2676
    @godlucktesha26767 жыл бұрын

    kaka ww ndio unahitaji wa tz tukuombee maana upo sereous na maaendeleo ya nchii hii

  • @jumahassan273
    @jumahassan2733 жыл бұрын

    Kweli mungu ameshuka kwa watu wachache bashe mungu akubarik kwa kututetea wananchi wengi

  • @jaliwakope1949
    @jaliwakope19497 жыл бұрын

    Niliwaza pia suala la kuongeza kodi hasa kwenye sekta za kibenki, utalii, na n,k kama ndio njia pekee ya kuongeza makusanyo na matokeo yake tunaona utalii na huduma za kibenki kushuka nchini. Serikali isikilize maoni haya

  • @sebastianitz2178
    @sebastianitz21786 жыл бұрын

    Uyu ndie mbunge anajua kazi yake wote wangekuwa kama Bashe Tanzania tungekuwa mbali sana ila wengine hawatimizi wajibu wao

  • @obadiaalbetus620
    @obadiaalbetus6207 жыл бұрын

    aksante sana kwa kazi ulofuata kwaajili ya watanzania 'heshima'kwa ulo waambia wakuelewa ataelewa

  • @nestarlameck9561
    @nestarlameck95617 жыл бұрын

    i do respect u bro...unajua mpaka sio vzuri

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514
    @drisayaambulatoryvetclinic15143 жыл бұрын

    Ccm mtunzeni huyuu MTU ndo rais ajae ,mie nasema wacha tumpe nchii nyota njema hiii .....big up bashe am learning facts in politics via u bro .....my vote will not lost in ballot box

  • @lawisonjameskaleme6243
    @lawisonjameskaleme62436 жыл бұрын

    Very thick minded, hiki kichwa achana nacho.. tungepata hata robo ya wabunge wa CCM... kama hawa hakika

  • @erickkihuru4529
    @erickkihuru45297 жыл бұрын

    nimekuelewa sana big up!!!!

  • @wilsonamandus1567
    @wilsonamandus15676 жыл бұрын

    mungu akulinde na kuongoze mh.h bashe we ni muwazi na si mnafiki kama walivyo wabunge wengine

  • @oresluaw6607
    @oresluaw66077 жыл бұрын

    mungu akutangulie ktk uongozi wako nimejifunza kitu

  • @jisandumanyakenda3666
    @jisandumanyakenda36662 жыл бұрын

    Braza uko vinzur sis wakulima nakupa hoger kazi iedelee kaka

  • @mgendela2416
    @mgendela24167 жыл бұрын

    Bashe anajua achosema..💪

  • @capelohamadi5273
    @capelohamadi52737 жыл бұрын

    Huyu ndie mbunge......

  • @gezaulole7988
    @gezaulole79887 жыл бұрын

    go ahead Bashe, go wakikuzingua hama na Chama kbs

  • @anastanciamalema9406
    @anastanciamalema94067 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana kaka umeongea points sio brabra usichoke kutenda Mema vivyo hivyo ili wananchi tunufaike

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter40175 жыл бұрын

    Mh uko vzr sana 100% ila punguza lugha ya magaribi huko, tumia lugha mama ya kiswahili tukuelewe vzr Mh H.Bashe

  • @rehemapaulo9427
    @rehemapaulo94275 жыл бұрын

    Mungu akulinde mheshimiwa

  • @denniskiboko2502
    @denniskiboko25027 жыл бұрын

    Ukwell nikwamba Inchi hii inaitaji watu Jasiri kama Bashe. tuache ushabiki tutete Taifa. Mungu akubariki Bashe

  • @yusufumpepo5836
    @yusufumpepo58365 жыл бұрын

    Bashe. samahani ,naomba nikuulize swali bro, hivi unahisi kwann wabunge wezako hawafanyi kazi ya kibunge kama we we?

  • @ezekiamaluma6091
    @ezekiamaluma60916 жыл бұрын

    Ungekuwa jimbo ni kwangu ningepanga foleni kukuchagua

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Жыл бұрын

    Safi sana big mungu pamoja nawe

  • @lwiticomwalukumba4148
    @lwiticomwalukumba41487 жыл бұрын

    you are real man ....Bashe

  • @hasanngwindi3237
    @hasanngwindi32377 жыл бұрын

    Waambie nakukubari sana bashe

  • @gastordominic410
    @gastordominic4107 жыл бұрын

    Hongera Sana kaka hussein bashe ww ni mzalendo baada ya jk yaan nyerere

  • @jeremiahkileo6641
    @jeremiahkileo66417 жыл бұрын

    constructive contribution

  • @omarymwigula5479
    @omarymwigula54797 жыл бұрын

    Huyu jamaa huwa namuelewa sana pamoja na kuwa yeye ccm

  • @user-oj1vp9vd4j

    @user-oj1vp9vd4j

    7 жыл бұрын

    ɷɷɷɷ Heeyy Friends I Havee Just Won Branddd New Samsung Galaxy From visitttt : - t.co/wnm5Vtayxv

  • @MohamedHassan-zc5bl
    @MohamedHassan-zc5bl7 жыл бұрын

    mkuu bashe ndelea hivyo yani ni filosis filanyoso

  • @YOHANAKASARA
    @YOHANAKASARA7 жыл бұрын

    Huyu ana neno zur kwa nchi

  • @rosehillary8742
    @rosehillary87427 жыл бұрын

    Hussein Bashe Hawa ndio viongozi Na Wabunge tunaowataka. wawe CCM ila wakweli. hatutaki unafiki Mungu akulinde kijana mwenzangu. tears for really

  • @edgerkinyaga8202

    @edgerkinyaga8202

    7 жыл бұрын

    d

  • @aibansaidy4497

    @aibansaidy4497

    6 жыл бұрын

    mungu akubariki mh bashe kwkwel unaongea vitu vyenye ukwel ndani yake

  • @edwinmoshi2523
    @edwinmoshi25237 жыл бұрын

    mi naona huyu mh. apewe kabisa hiyo wizara. inaonekana waziri Mpango ana vyeti vizuri tuu ile anashindwa kuviweka in practice

  • @fathiyasaleh2639

    @fathiyasaleh2639

    7 жыл бұрын

    kodi zinatuumiza wananchi WA chini

  • @davidkalinga5580

    @davidkalinga5580

    7 жыл бұрын

    shida ni kuwa wazir mpango amepangwa

  • @nathanmapunda1052
    @nathanmapunda10525 жыл бұрын

    natafuta kila neno la kukuambia kaka bashe, zaidi ya ahsante.

  • @rashidabrahamani5860
    @rashidabrahamani58606 жыл бұрын

    kaka nakupongeza sana kwa kucmamia haki kweli tunaumia

  • @paulkusaya8476
    @paulkusaya84766 жыл бұрын

    MUNGU akupe ulinzi mh bash

  • @erickhaule8680
    @erickhaule86807 жыл бұрын

    daah aisee wanatuua na haya makodi

  • @mangibusiness6771
    @mangibusiness67717 жыл бұрын

    J.P.M akitumia busara na hekima... Tutafika... Akitumia sifa tutamtoa 2020......

  • @yassinponera4271
    @yassinponera42715 жыл бұрын

    nice kaka

  • @meryjohn7120
    @meryjohn71204 жыл бұрын

    Nakupenda sana kaka

  • @tanstoretz
    @tanstoretz7 жыл бұрын

    big up Beshe

  • @Msonjo
    @Msonjo7 жыл бұрын

    big up umesoma

  • @kephasnaftal
    @kephasnaftal Жыл бұрын

    Hussein Bashe his president

  • @jamesmwaisondola6745
    @jamesmwaisondola67456 жыл бұрын

    Bora kuwa na mmbunge mmoja kuliko wabunge mia wasio na elimu by mwaisondola chief

  • @kamkubwa
    @kamkubwa7 жыл бұрын

    what we call a leadership.

  • @stelaamosi2549
    @stelaamosi25497 жыл бұрын

    nimekuelewa kaka semasema habari iwafikie

  • @ajayommy279
    @ajayommy279 Жыл бұрын

    Liumbwa linacheka kwa zarau dar inaumaa mungu ww wajua

  • @sskbmtbk4901
    @sskbmtbk49017 жыл бұрын

    Lait wabunge wa cc ...wangekuwa na hoja kama hz za mheshimiwa klio knachoskika xaiv kisngekuwepo

  • @kabaitijunior2642
    @kabaitijunior26427 жыл бұрын

    Bashe ni mtu makini sana namuelewaga harakati zake hasa pale anapooona ujinga unatendekaa

  • @tinooscar9981
    @tinooscar99817 жыл бұрын

    safi sana

  • @emmanuelpanga943
    @emmanuelpanga9436 жыл бұрын

    Bashe wewe ni kiongozi bora ndoto ya watanzania..Uzalendo kwanza Mr. ccm mjipime kwa mwenzenu jamani

  • @fathiyasaleh2639
    @fathiyasaleh26397 жыл бұрын

    Hakuna professionalism inayoweza kusimama peke take bila msaada kutoka fani nyingine. kwa mfano ni mhandisi gani asiyehitaji mpishi WA kumuandalia chakula.

  • @ambakisyemwanjemba6501
    @ambakisyemwanjemba65017 жыл бұрын

    mbunge makini sana

  • @hamismartin5011
    @hamismartin50117 жыл бұрын

    hii ndio inaitwa hadhi ya bunge

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi14834 жыл бұрын

    Msema kweli mpenzi wa Mungu.

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    2 жыл бұрын

    Kwel Allah amuhifadh

  • @renatuscharles4524
    @renatuscharles45245 жыл бұрын

    Pengine naona huyu ndo miongoni mwa waheshimiwa wa kweli,wabunge wetu wamuige Mheshimiwa Bashe,nchi yetu ikiwa na wabunge wengi kama Huyu ni lazima nchi yetu isonge mbele tu ,sasa niwakati wakufanya utekelezaji sasa Tanzania mpya izaliwe.

  • @eliudkimokezi8538
    @eliudkimokezi85387 жыл бұрын

    Hon. Bashe 👏👏👏

  • @robati.majwajwamajwajwa4152
    @robati.majwajwamajwajwa41526 жыл бұрын

    Huseen. Bashe. Ninomasana. Namkubari

  • @odetatz3050
    @odetatz30507 жыл бұрын

    tungekuwa na watu kama hawa wa5 tz tungefika mbali

  • @danielphares3089
    @danielphares30895 жыл бұрын

    Nakukubari brother yani dah one day naomba mungu anisaidie nije nilitetee taifa langu kama unavyo litetea wewe

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye60135 жыл бұрын

    Huyu jamaa shule alienda kutenda kilichokuwa kimempeleka 100%

  • @salimmasatu6839
    @salimmasatu68397 жыл бұрын

    kaka kweli we ni mwanaume haung'atagi maneno kabisa cyo km hao wanaccm wengine wao ni ndiyo hata km ni baya ili wachanguliwe kuwa mawaziri. tutetee kamanda tunakuombea ufike mbali

  • @ayoubmponzi2859
    @ayoubmponzi28597 жыл бұрын

    umetukuka na unafanya kaz kwa weledi mkubwa sio mkulupukaji mungu awe pamoja nawe kwa kutusaidia wanyonge

  • @pauldeogratias1037
    @pauldeogratias10376 жыл бұрын

    NAKUPONGEZA SANA BASHE KWA UZALENDO WA KUWA MKWELI BILA KUJALI ITIKAD ZA CHAMA CHAKO

  • @yusufumpepo5836
    @yusufumpepo58365 жыл бұрын

    kwa ifahamu wa elimu yangu, kama hutaku kushauriwa au kukosolewa basi hutafanya vitu kwa maendeleo na kitu utakuwa unapata hasara. na huh mfumo ndio serikali yetu ilivyo.

  • @shadagashabani9336
    @shadagashabani9336 Жыл бұрын

    Huyu ndo anafaa kuwa waziri wa fesa

  • @mojakabenga6270
    @mojakabenga62705 жыл бұрын

    Saruti sana mbashe

  • @maliyamungukimaro5211
    @maliyamungukimaro52115 жыл бұрын

    unasifa ya Kuwa rais

  • @petermsogot4905
    @petermsogot49057 жыл бұрын

    mzalendo waukweli

  • @salisali3738
    @salisali37383 жыл бұрын

    2021 lita kuwa bunge kama tembere

  • @omarymussa4506
    @omarymussa45067 жыл бұрын

    huyu jamaa kaongea facts saana

  • @ibrahimmwasomola4130
    @ibrahimmwasomola41307 жыл бұрын

    daaaah uyu jamaa

  • @doctorjuniour9459
    @doctorjuniour94597 жыл бұрын

    Nahc kwa wabunge wa CCM huyu ndo anajielewa wengne wote MABUA tu...wanatoa toa macho mda uende tu

  • @pastorydaudi1388
    @pastorydaudi1388 Жыл бұрын

    NEXT PRESIDENT

  • @dinomussa635
    @dinomussa6356 жыл бұрын

    Nakukubal bashe in mzalendo

Келесі