FULL VIDEO: HOTUBA NZIMA ya WAZIRI wa KILIMO BASHE AKIHITIMISHA HOJA YAKE BUNGENI 2023 | Awa Mbogo!

FULL VIDEO: HOTUBA NZIMA ya WAZIRI wa KILIMO BASHE AKIHITIMISHA HOJA YAKE BUNGENI 2023 | Awa Mbogo!
Ni mkutano wa 11 kikao cha ishirini na moja cha Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 55

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Жыл бұрын

    Watakuelew tu Bashe we pga kaz weye ni rais wetu ajaye...Una respect, hekima, mzalendo, speaking and listening skills, confidence, mckizi, educated, na haup kumridhisha mtu kwa kuonea wengin...Pga kaz babak..." Ndio ukweli" kauli hii bashe amenikumbush hayat John Maguful

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Жыл бұрын

    Nampenda huyu waziri sana popote wanapo muweka ana fit 👍👌👏❤

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Жыл бұрын

    Nimefurahishwa sana na hotuba ya Bashe. Ana spirit ya kilzalendo na ya kuchapa kazi. Songa mbele Kaka, usikubali wenye midomo mipana kama mabakuli wanaoongea tu porojo wakukwamishe. Songa mbele, tunahitaji taifa tajiri, na sisi ni matajiri kama alivyokuwa anatuambia Hayati Chuma Magufuli

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester56123 ай бұрын

    kaka mungu akuweke ww ni zawadi toka kwa mungu

  • @keystone_earth
    @keystone_earth Жыл бұрын

    Jameni huyu kiongozi anajua kazi yake. God bless him. From Kenya 🇰🇪

  • @athumanikagimbo3396
    @athumanikagimbo3396 Жыл бұрын

    Mungu atupe nini Alhamdulillah Tunamshukuru Allah kwa kuwa na uongozi mzuri hapa Tanzania

  • @benimlisa6056
    @benimlisa6056 Жыл бұрын

    Ndio ukweli. Bashe sio mnafiki. Pure Magufuli. Mzalendo wa kweli. Mungu akulinde.

  • @maulidimuhammed7851

    @maulidimuhammed7851

    Жыл бұрын

    Ila Magufuli alikuwa ni mnafiki alitumia madaraka vibaya na kwa ubabe na ufisadi mkubwa ndio sababu ya kumpigabrisasi Tundu lissu,Ndio sababu ya kuwauwa Ben Saa nane,Azory Gwambo na wengi wengineo,ndio sababu ya ya kumfukuza CAG MChamungu na msomi Proffessor Assad Mussa.Jitathmini lugha yako.

  • @maloshasiyantemi6446
    @maloshasiyantemi6446 Жыл бұрын

    Mwl. Syantemi Nyamigota Geita. Maono ya waziri huyu yanatakiwa kuwezeshwa na serikali ili mkulima wa Tanzania kijana awe tajiri.

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Жыл бұрын

    Ila Bashe shikamooo, kwenye hoja tuh narudia tena shikamoo

  • @lubambilubambi8681
    @lubambilubambi8681 Жыл бұрын

    Yaaani Waziri wangu ninakupenda sana, uko vizuri sana Sana👏👏👏Piga KAZI Mkuu wangu 🙏

  • @user-ib6mf2kg3t
    @user-ib6mf2kg3t7 ай бұрын

    Najua mh Bashe hongera sana mwamba unasimamiaga hoja mana unachofa ya unakijua mungu akubarimi sana

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 Жыл бұрын

    Bashe nakupenda an unawapenda vijana wa Kitanzania unasomesha vijana wa Nzega wote tunapaswa kuiga mfano kwako.Usife moyo songa mbele.

  • @hajikombo7421
    @hajikombo74212 ай бұрын

    Asante sana kwa hutuba nzuri Mh. Wazir . Hutuba ni nzur na imekamilika.

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 Жыл бұрын

    Mungu akulinde Bashe.NAKUPENDA SN KWA KUWAPENDA WATANZANIA.

  • @festongonyani152
    @festongonyani152 Жыл бұрын

    Kongore sana Mh.Bashe, Binafsi ninakuelewa sana.... kilimo ndiyo Kila kitu

  • @agustinokimaro1483
    @agustinokimaro1483 Жыл бұрын

    Mungu niwezeshe nitakwenda shambani hakika,,mm sio ccm ila napenda utendaji wa bashe

  • @mwandowela
    @mwandowela2 ай бұрын

    Hongera sana kwa budget Nzuri, Mdau nimekuelewa sana na nakupongeza mno, hap kwenye masoko ndio naomba sana ushirikishwaji

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Жыл бұрын

    Mungu akutunze Bashe

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Жыл бұрын

    Wawajibishe wezi Asante baba

  • @petermangara4680
    @petermangara4680 Жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu mkulima mwenzetu

  • @neemabaker3738
    @neemabaker3738 Жыл бұрын

    Watu kama Magufuli wapo!! Mungu atusaidie awape maisha marefu na tuwaunge mkono💪🏾💪🏾💪🏾 Asante Waziri kwa kazi nzuri unayoifanya🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇺🇸

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa. Bashe spirit ya Magufuli kabisa

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Жыл бұрын

    Kiongozi imara❤

  • @petermahimbo3458
    @petermahimbo3458 Жыл бұрын

    Big content

  • @rumonajarufu1346
    @rumonajarufu1346 Жыл бұрын

    Mwenyezimungu amlinde sana huyu waziri

  • @user-ix9vy7ev5o
    @user-ix9vy7ev5o Жыл бұрын

    Hii inchi ni kubwa na ndio kunachangamot kaka na wapigaj ni wengi lkn kwann mtu anaweza kuthubutu kupiga dili hela za wawakulima kweli kweli au mpaka inchii watu waingie katika njaa au unataka uniambie Tanzania yetu kwa sababu tunapenda na umoja wetu wa kupendana hivyo tuone kawaida hapan mm naimini Tanzania yetu kuna viongozi na wanaijua hii inchi asante sana waziri

  • @goodluckben7079
    @goodluckben7079 Жыл бұрын

    Bro you are my vision keep going god bless you

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Жыл бұрын

    Pure intelligence😍

  • @marynyaigoti
    @marynyaigoti Жыл бұрын

    Uko vizuri endelea kaka

  • @princekelvin5834
    @princekelvin58346 ай бұрын

    Muheshimiwa Ndugu kiongozi hongera sana kwa kazi nZuri

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 Жыл бұрын

    Waziri Bashe ana nia ya dhati ya kuiendeleza sekta ya kilimo. Apewe ushirikiano.

  • @ephremmalley153
    @ephremmalley1532 ай бұрын

    An excellent minister. He looks honnest and committed and has passion for the development of our country. However your common sense should guide you to integrate Halima's ideas nto your programme.

  • @BarakaMwamkingaMwamkinga-ld9kp
    @BarakaMwamkingaMwamkinga-ld9kp Жыл бұрын

    Very genius bro

  • @user-tk4bk9bc4j
    @user-tk4bk9bc4j4 ай бұрын

    Asante mbunge wangu🙏

  • @chachajulius4481
    @chachajulius4481 Жыл бұрын

    Huyu bashe anamaono makubwa sana kwenye hii nchi ni vile tu

  • @naomikusekwa1571
    @naomikusekwa1571 Жыл бұрын

    Mmmmmm baba wa wakulima hakuna njaaa tena Tanzania

  • @user-ts1jf7ii5c
    @user-ts1jf7ii5c Жыл бұрын

    Bashe tuvushe😂watanzania

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 Жыл бұрын

    Mtu kazi

  • @hassanchuji8965
    @hassanchuji8965 Жыл бұрын

    Keeli kabisa bashe usiwape vibali vya kuagiza ngano ao pumbavu

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Жыл бұрын

    Dogo narudi shambani nitakupa tahiti

  • @saidmadirisha2416
    @saidmadirisha2416 Жыл бұрын

    Pure intelligence 🙏🙏✍️

  • @conesmo5266
    @conesmo5266 Жыл бұрын

    👏👏👏Big brain

  • @azizimakotha4929
    @azizimakotha4929 Жыл бұрын

  • @najmamgallah8154
    @najmamgallah81548 ай бұрын

    Wazir, tafadhal tusikilize wakulima, mahindi mkoa wa rukwa, n sh 55000 gunia la debe 6 n bado soko hamna, mbolea selikal imetuuzia 72000 mfuko mmoja , n sawa lkn mpk Sasa mvua zimerud wakulima hatuna maandalizi y kutosha kw sabb soko la mzao limeshuka sanaa je tutanunua mbolea vip ikiwa hatuna pesaa , n pia dapu kw huu mwaka 79000 mbolea mnapandisha bei, n mzao hatuja uzaa runalima vip, tuoneen wakulima huruma funguen mipak tuuze mazao, mvua zimeenyesha lkn watu hatulimi kw sabb y kukosa pesa y mbolea, tumejaza mahindi tuu sitooo

  • @samateryusuf4345
    @samateryusuf43454 ай бұрын

    Kilichosaidia kunambi hapa yeye ni mkulima, nchi hii itaendelea hapo tutakapo pata Rais mkulima . Sikujuwa kumbe kuhifadhi mchele ni rahisi kuliko mahindi .

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Жыл бұрын

    Halina, Ni kwa sababu hukuruhusiwa kiongea nilitamani sana nisikie ulochotaka kuongea lakini...

  • @songolomgallah4017
    @songolomgallah4017 Жыл бұрын

    Hao vijana unao wapa maeneo na mitaji na ambao hulima miaka yote umewasaidia nini

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 Жыл бұрын

    Shikamoo kaka bashe hautaki mke wa pili kwani nipo hapa.

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 Жыл бұрын

    Mh Rais usimtoe Bashe ktk wizara ya Kilimo angalao hadi 2030. Panga pangua ya mawaziri wazuri inavuruga mipango ya muda mrefu ya wizara husika.

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Жыл бұрын

    Mbolea ya ruzuku kweli inachangamoto kweli

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    Жыл бұрын

    Mahitaji,uwezo na ubinafsi ni changamoto kuhusu mbolea

  • @hassanchuji8965
    @hassanchuji8965 Жыл бұрын

    Sasa kwanini wapumbavu kama Hawa wakina Alima mliwaachia wabaki Bungeni waziri Anawa pigania Vijana waki Tanzania halafu yeye hanaleta uchadema pumbavu wewe waziri bashe fanya kazi usiwaa sikilize watu wanao taka kuwepo bungeni kwa faida yao na family zao tu

  • @2003hintay
    @2003hintay Жыл бұрын

    Next Magufuli ndio huyu

Келесі