FULL VIDEO: HOTUBA NZIMA ya WAZIRI wa KILIMO BASHE AKIHITIMISHA HOJA YAKE BUNGENI 2023 | Awa Mbogo!
FULL VIDEO: HOTUBA NZIMA ya WAZIRI wa KILIMO BASHE AKIHITIMISHA HOJA YAKE BUNGENI 2023 | Awa Mbogo!
Ni mkutano wa 11 kikao cha ishirini na moja cha Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 55
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Watakuelew tu Bashe we pga kaz weye ni rais wetu ajaye...Una respect, hekima, mzalendo, speaking and listening skills, confidence, mckizi, educated, na haup kumridhisha mtu kwa kuonea wengin...Pga kaz babak..." Ndio ukweli" kauli hii bashe amenikumbush hayat John Maguful
Nampenda huyu waziri sana popote wanapo muweka ana fit 👍👌👏❤
Nimefurahishwa sana na hotuba ya Bashe. Ana spirit ya kilzalendo na ya kuchapa kazi. Songa mbele Kaka, usikubali wenye midomo mipana kama mabakuli wanaoongea tu porojo wakukwamishe. Songa mbele, tunahitaji taifa tajiri, na sisi ni matajiri kama alivyokuwa anatuambia Hayati Chuma Magufuli
kaka mungu akuweke ww ni zawadi toka kwa mungu
Jameni huyu kiongozi anajua kazi yake. God bless him. From Kenya 🇰🇪
Mungu atupe nini Alhamdulillah Tunamshukuru Allah kwa kuwa na uongozi mzuri hapa Tanzania
Ndio ukweli. Bashe sio mnafiki. Pure Magufuli. Mzalendo wa kweli. Mungu akulinde.
@maulidimuhammed7851
Жыл бұрын
Ila Magufuli alikuwa ni mnafiki alitumia madaraka vibaya na kwa ubabe na ufisadi mkubwa ndio sababu ya kumpigabrisasi Tundu lissu,Ndio sababu ya kuwauwa Ben Saa nane,Azory Gwambo na wengi wengineo,ndio sababu ya ya kumfukuza CAG MChamungu na msomi Proffessor Assad Mussa.Jitathmini lugha yako.
Mwl. Syantemi Nyamigota Geita. Maono ya waziri huyu yanatakiwa kuwezeshwa na serikali ili mkulima wa Tanzania kijana awe tajiri.
Ila Bashe shikamooo, kwenye hoja tuh narudia tena shikamoo
Yaaani Waziri wangu ninakupenda sana, uko vizuri sana Sana👏👏👏Piga KAZI Mkuu wangu 🙏
Najua mh Bashe hongera sana mwamba unasimamiaga hoja mana unachofa ya unakijua mungu akubarimi sana
Bashe nakupenda an unawapenda vijana wa Kitanzania unasomesha vijana wa Nzega wote tunapaswa kuiga mfano kwako.Usife moyo songa mbele.
Asante sana kwa hutuba nzuri Mh. Wazir . Hutuba ni nzur na imekamilika.
Mungu akulinde Bashe.NAKUPENDA SN KWA KUWAPENDA WATANZANIA.
Kongore sana Mh.Bashe, Binafsi ninakuelewa sana.... kilimo ndiyo Kila kitu
Mungu niwezeshe nitakwenda shambani hakika,,mm sio ccm ila napenda utendaji wa bashe
Hongera sana kwa budget Nzuri, Mdau nimekuelewa sana na nakupongeza mno, hap kwenye masoko ndio naomba sana ushirikishwaji
Mungu akutunze Bashe
Wawajibishe wezi Asante baba
Mungu akupe maisha marefu mkulima mwenzetu
Watu kama Magufuli wapo!! Mungu atusaidie awape maisha marefu na tuwaunge mkono💪🏾💪🏾💪🏾 Asante Waziri kwa kazi nzuri unayoifanya🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇺🇸
@temuemanuel4671
Жыл бұрын
Kweli kabisa. Bashe spirit ya Magufuli kabisa
Kiongozi imara❤
Big content
Mwenyezimungu amlinde sana huyu waziri
Hii inchi ni kubwa na ndio kunachangamot kaka na wapigaj ni wengi lkn kwann mtu anaweza kuthubutu kupiga dili hela za wawakulima kweli kweli au mpaka inchii watu waingie katika njaa au unataka uniambie Tanzania yetu kwa sababu tunapenda na umoja wetu wa kupendana hivyo tuone kawaida hapan mm naimini Tanzania yetu kuna viongozi na wanaijua hii inchi asante sana waziri
Bro you are my vision keep going god bless you
Pure intelligence😍
Uko vizuri endelea kaka
Muheshimiwa Ndugu kiongozi hongera sana kwa kazi nZuri
Waziri Bashe ana nia ya dhati ya kuiendeleza sekta ya kilimo. Apewe ushirikiano.
An excellent minister. He looks honnest and committed and has passion for the development of our country. However your common sense should guide you to integrate Halima's ideas nto your programme.
Very genius bro
Asante mbunge wangu🙏
Huyu bashe anamaono makubwa sana kwenye hii nchi ni vile tu
Mmmmmm baba wa wakulima hakuna njaaa tena Tanzania
Bashe tuvushe😂watanzania
Mtu kazi
Keeli kabisa bashe usiwape vibali vya kuagiza ngano ao pumbavu
Dogo narudi shambani nitakupa tahiti
Pure intelligence 🙏🙏✍️
👏👏👏Big brain
❤
Wazir, tafadhal tusikilize wakulima, mahindi mkoa wa rukwa, n sh 55000 gunia la debe 6 n bado soko hamna, mbolea selikal imetuuzia 72000 mfuko mmoja , n sawa lkn mpk Sasa mvua zimerud wakulima hatuna maandalizi y kutosha kw sabb soko la mzao limeshuka sanaa je tutanunua mbolea vip ikiwa hatuna pesaa , n pia dapu kw huu mwaka 79000 mbolea mnapandisha bei, n mzao hatuja uzaa runalima vip, tuoneen wakulima huruma funguen mipak tuuze mazao, mvua zimeenyesha lkn watu hatulimi kw sabb y kukosa pesa y mbolea, tumejaza mahindi tuu sitooo
Kilichosaidia kunambi hapa yeye ni mkulima, nchi hii itaendelea hapo tutakapo pata Rais mkulima . Sikujuwa kumbe kuhifadhi mchele ni rahisi kuliko mahindi .
Halina, Ni kwa sababu hukuruhusiwa kiongea nilitamani sana nisikie ulochotaka kuongea lakini...
Hao vijana unao wapa maeneo na mitaji na ambao hulima miaka yote umewasaidia nini
Shikamoo kaka bashe hautaki mke wa pili kwani nipo hapa.
Mh Rais usimtoe Bashe ktk wizara ya Kilimo angalao hadi 2030. Panga pangua ya mawaziri wazuri inavuruga mipango ya muda mrefu ya wizara husika.
Mbolea ya ruzuku kweli inachangamoto kweli
@hadijamandanje6189
Жыл бұрын
Mahitaji,uwezo na ubinafsi ni changamoto kuhusu mbolea
Sasa kwanini wapumbavu kama Hawa wakina Alima mliwaachia wabaki Bungeni waziri Anawa pigania Vijana waki Tanzania halafu yeye hanaleta uchadema pumbavu wewe waziri bashe fanya kazi usiwaa sikilize watu wanao taka kuwepo bungeni kwa faida yao na family zao tu
Next Magufuli ndio huyu