Profesa Kishimba: "Wasomi Walete Miti ya Miezi 6 I Wanakuona Mpuuzi I Inawezekana Wasipike na Wasile

Музыка

"HOJA ZA PROFESA KISHIMBA BUNGENI"
.
.
"Kuna sheria mpya imeanzishwa ambayo inamtaka mtu atakayekuwa na gunia moja la mkaa lazima apte kibali toka Halmashauri ya Wilaya na awe na EFD, labda wenzetu wangeangalia Jiografia ya nchi na maisha ya watu wetu. Tutarajie ndani ya mwezi mmoja kutatokea "chaos" kubwa ya mkaa na kwa kawaida itawezekana kweli watu wasipike na wasile?. Kuna majimbo kutoka makao makuu ya Halmashauri kwenda kijijini ni zaidi ya kilomita 200 kweli mwananchi mwenye gunia moja aende mpaka wilayani?"
"Kwetu kanda ya Ziwa ukimwambia mtu apande miti kwa ajili ya mvua anakuona ni mpuuzi maana yake tuna mafuriko miaka miwili, mwananchi atakuuliza je unataka tupande miti ya kuzuia mvua maana ukiwaambia unataka miti ya mvua wanakuuliza kuzidi hii iliyopo leo. Sisi tuwaambie panda miti ya kutengeneza pesa"
"Wakati mwingine mnasema tunawasakama wasomi, leo Tanzania ni nchi ya nne kwa ku-export mkaa wa magendo, sasa ukataaje kurasimisha ili upate pesa na wale wanaonunua wa magendo waje kununua pale kwenye soko.”
“Haiwezekani baada ya miaka 60 tukawapeleka watoto wasome wawe mgambo wa kukamata wazazi wao, kazi ya elimu duniani ni kutatua matatizo.
"Leo wazungu wametengeneza mpaka mapapai ya miezi 6, wametengeneza kuku wa kizungu kwanini hao wataalamu wasilete miti ya miezi 6 ili watu wauze kuni na mkaa, lazima twende kwenye pesa" Jumanne Kishimba-Mbunge Kahama Mjini
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates

Пікірлер: 128

  • @meshackkamduli8507
    @meshackkamduli8507 Жыл бұрын

    Walio kupeleka bungeni mungu awabariki

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Жыл бұрын

    Hongera sana MHs MBUNGE KISHIMBA UKO Na mawazo muhimu yakipata wasikilizaji wTaokubali kufanyiwa kazi nchi itaamini askari Wa pori

  • @gallibmhammed8971
    @gallibmhammed89713 жыл бұрын

    Huyu mzee anaongea point sana ukikaa ukiskiliza bunge mara nying utaskia katika mipango yao tufanye hv kama nchi flani walivyofanya wakapata maendeleo hii inamaana nchi itaendeshwa kwa kucopy ya wengne. Hakuna nchi katika hizo walizotaja itakaa waseme tuige Tanzania. Hii inamaana elimu tunacopy kwa wazungu na maisha vilevile tunacopy. Ifikie hatua viongozi wakubwa kama wabunge watunge sheria kutokana na asili yao na maisha halisi ya mtanzania si kucopy kila kitu. Nchi kama China, iran,korea zimepiga hatua baada ya kuacha kucopy 100% yanayotoka nje. Lazma nchi ijiamulie kulingana na watu inao waongoza si kucopy

  • @philemonaminiel

    @philemonaminiel

    2 жыл бұрын

    Huu ni mfano wa kuigwa Wa huyu mbunge mwenye busara na hekima za kuona mbali mdadisi ,lakini cha kushangaza kwenye hili serikali za vijiji bado zunauza mashamba kwenye mapori yenye misitu minene na ulime lazima ukate MTU ndipo upunguze kivuli mmea update kukua vizuri ,au MTU achome miti yote bila faida au apewe Elimu ya kuibadilisha miti kuwa pesa mfano uchomaji wa mkaa serikali ipate ushuru au ichomwe biila faida kipi boraa? Maana vinavyoendelea mshambani nu vitu vya kusitisha sana miti inachomwa bila faida inaonekana tumelizika Sana'a mi mi naungana na mbunge serikali ilasimishe hayo mazao ya misitu kuweka katika magulio ili kuondokana na usumbufu hongera sana mheshimiwa j4 kishimba kwa mawazo endelevu ya kulijenga taifa Katika amani

  • @nestorymwezimpya4077

    @nestorymwezimpya4077

    2 жыл бұрын

    Kuiga sio tatizo Ila hata biblia inasema ndugu zangu igeni mema musiige mabaya hii yote inasababisha na watawala wetu kutokusima sela na mipango inde haraka

  • @erickmasunga9939

    @erickmasunga9939

    2 жыл бұрын

    Hawa viogoz hawana huruma na wananch wake hayupo aneumiza akil kuhusu wananch

  • @mcgabby

    @mcgabby

    Жыл бұрын

    Huyu mzeee anakitu atafika mbalii anahojaaa asikilizweeee jamani

  • @richardibrahim5609
    @richardibrahim56092 жыл бұрын

    Big up xana msukuma. Huwa unaongea point kuwazd had hao wanaojiita wasomi

  • @Ezeakutelevision
    @Ezeakutelevision3 жыл бұрын

    Huyu kweli professa

  • @petrojohn8250
    @petrojohn82503 жыл бұрын

    Kuwa na mbunge kama Kishimba ni bahati sana,kahama mmepata mbunge,huyu ni zaidi ya profesor

  • @habibndyeshobora6848

    @habibndyeshobora6848

    2 жыл бұрын

    Were Mzee were in Genius sana M/Mungu akutunze!!!! Amiin.

  • @mwana4599
    @mwana45992 жыл бұрын

    Safi sana Prof. Kishimba.

  • @deusdeditkapenegele8919
    @deusdeditkapenegele89192 жыл бұрын

    Mzee Kishimba KONGOLE unaeleza maisha halisi ya Mwananchi wa kawaida kabisa,wabunge wengine tuige mfano huo,sio kushindana kuonyesha Elimu zenu Bali Uwakilishi wenu Bungeni. ASANTE SANA MZEE MUNGU AKUBARIKI.

  • @mwalumogomsigwa856

    @mwalumogomsigwa856

    2 жыл бұрын

    Sheria za TFF afu mtu alisomea London

  • @kasililamecksatano7302
    @kasililamecksatano73023 жыл бұрын

    Pf kishimba namuelewa sana huyu mzeee

  • @masoudrashid5480
    @masoudrashid54802 жыл бұрын

    Kwa kweli ikiwa tutapata wabunge wenye maona kama huyu mzee wananchi tutanufaika sana na rasilimali za nchi

  • @frankedwardmhoza6613
    @frankedwardmhoza66132 жыл бұрын

    Jamaan maarifa aliyonayo mzee kishimba inatakiwa ya fanyiwe kazi na wasomi wetu

  • @jacksonluzwiro9374
    @jacksonluzwiro93742 жыл бұрын

    safi sana kishimba

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo36153 жыл бұрын

    safi sana mh kishimba sema watu chache ndo wanakuelewa

  • @faustinejemsi1488

    @faustinejemsi1488

    2 жыл бұрын

    Nani hamuerewi kishimba

  • @faustinejemsi1488
    @faustinejemsi14882 жыл бұрын

    Asante sana kishimba nakukubali

  • @iddihussein526

    @iddihussein526

    Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole56632 жыл бұрын

    Huyu mzee huwa napenda kumsikiliza ana hoja nzuri sana

  • @dazk7861
    @dazk78613 жыл бұрын

    Kishimba shikamoo

  • @jumakivuma581
    @jumakivuma5813 жыл бұрын

    So intelligent

  • @kiharasadikiluca9377
    @kiharasadikiluca93772 жыл бұрын

    Sawa mzee uko vizuri ukomakini

  • @kulwahdeusdedith2780
    @kulwahdeusdedith2780 Жыл бұрын

    Kishimba Mimi nakupa udoctor michango yako ni bungeni yote inawahusu wananchi hongera sana

  • @Expedito2512
    @Expedito25122 жыл бұрын

    Huyu mzee aliumbiwa busara sana

  • @isayayohana6341
    @isayayohana63413 жыл бұрын

    MUNGU akubariki sana mzee una akili sana babangu

  • @mshamumohamed8305

    @mshamumohamed8305

    3 жыл бұрын

    Huyu mbunge ana akili sana kwa kweli nakupenda sana

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber75703 жыл бұрын

    Safi

  • @mtagaiwakarungula3547
    @mtagaiwakarungula35472 жыл бұрын

    Uko vizuri mkuu

  • @selemsigala4771
    @selemsigala47712 жыл бұрын

    Hakika kishimba hujawai kosea Mungu akubariki🙏

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala33923 жыл бұрын

    Ndio. Namwelewa.

  • @faraimangoro9510
    @faraimangoro9510 Жыл бұрын

    Shikamoo Profesa.

  • @raufurajabu
    @raufurajabu Жыл бұрын

    Nakuelewa sanaaa mzee wangu hawa watalam ni vilaza 2

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu67803 жыл бұрын

    Daaa Asee huyu Ni Mtu muhimu saana ktk uchangiaji hoja bungeni.

  • @yohanamlowe704
    @yohanamlowe704 Жыл бұрын

    Daaaa safi sana

  • @LambertNandi-kf3ww
    @LambertNandi-kf3ww Жыл бұрын

    Very smart

  • @majidukalugendo4738
    @majidukalugendo47382 жыл бұрын

    Natamani sana kuendelea kumsikiliza huyu mzee wetu mhe. Kishimba kuliko kuwasikiza Maprofesa wetu ambao hawaeleweki Elimu zao zinasaidia Nini vizazi vyetu. Our elites must use their education to solve the locally existing challenges. But that is the case wanatuharibia upepo tu. Mzee huyu anaongelea masuala yaliyo ndani mwetu na anatoa suluhisho lakini hakuna aliye tayari kutumia mawazo yake kutatua matatizo kwa sababu hajasoma. MASIKINI TANZANIA, MASIKINI AFRIKA!!!!

  • @ramadhanimtetu3656

    @ramadhanimtetu3656

    Жыл бұрын

    Ni zaidi ya Uprofesa kama Elimu ni vyeti

  • @nrecords7222
    @nrecords72223 жыл бұрын

    Da! Ila hyu mbunge anajiamini Sana,ety kwasababu kasomea London 😂😂😂

  • @renatusaugustine3410
    @renatusaugustine34102 жыл бұрын

    Safiiii

  • @wilsonnzowa3620
    @wilsonnzowa36202 жыл бұрын

    "hatutaki wasomi kuwa polisi"tunataka wasomi wanaotatua matatizo ya wananchi sio wanaogeuka kuwa miungu watu

  • @vascomaguku2605
    @vascomaguku26052 жыл бұрын

    ❤️❤️

  • @yesayamwambu4431
    @yesayamwambu44312 жыл бұрын

    Mheshimiwa mbunge unasema vitu vya msingi hongera

  • @wechemoshy4305
    @wechemoshy4305 Жыл бұрын

    Huyu Mh kumwita Professor ni kumkosea adabu Mamlaka za vyuo vikuu vijitafakari watu wa aina hii ndio wanaostahili kutunukiwa Udaktari waHeshima watu wenye mawazo mbadala Xante xana Mh Kishimba

  • @chamwilambomusa4447
    @chamwilambomusa44473 жыл бұрын

    Anaupigaga mwingii saaaana kishimbaaa

  • @essauchaula5436
    @essauchaula54362 жыл бұрын

    Namkubali Sana kishimba anaongea vitu halisi

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias13392 жыл бұрын

    Hamna kitu hapo, gesi yenyewe imepanda ukizuia mkaa mbadala wake itakuwa nin,

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao3 жыл бұрын

    😎

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Жыл бұрын

    Yaani kwa kweli kuhuusu mkaa kweli waangalie namna maana wananyanyasika Sana" duhu wanakera saana"na maliasili wanakamata raia wanawanyanganya na wao wanauza 🤔🤔

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah78922 жыл бұрын

    Suluhu ya kukatwa miti ni serikali kupunguza gharama za umeme mafuta ya taa na gesi, zamani majiko ya mafuta taa yaliokoa miti, mkaa haukuwa dili ilikuwa biashara ya aibu.

  • @aminitu3766
    @aminitu37662 жыл бұрын

    Dah hatar

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage61592 жыл бұрын

    Waambie hao mzee maana wanatungia sheria zao kwenye magora yenye viyoyozi Utalikuta lijitu limezaliwa na kukulia kijijini lakini leo limejisahau

  • @isikesamike

    @isikesamike

    2 жыл бұрын

    Aliyekulia kijijini wala hawezi kutunga sheria ya kijinga hivi. Tunasumbuliwa na vilaza waliokulia kwenye viyoyozi hawajui adha ya watu wa chini. Tuna wasomi ambao hata hawajutambui.

  • @flaviankato1697
    @flaviankato16973 жыл бұрын

    Duh

  • @jamhurilibawa6505

    @jamhurilibawa6505

    3 жыл бұрын

    apewe nafasi akafundishe chuo kikuu huyu ni professor kamilii hakuna longolongo! hivyo vyuo vikuu hamumuoni huyu mbunge kumpa hiyo honorable doctorate?

  • @mfwimimkemele1156

    @mfwimimkemele1156

    2 жыл бұрын

    Good

  • @machilijuma8203
    @machilijuma82032 жыл бұрын

    Tunakuamin

  • @abdonsamson8182
    @abdonsamson81822 жыл бұрын

    Nitakupigia kura mzeee KISHIMBA.

  • @mekumeku2484
    @mekumeku24842 жыл бұрын

    Nasema huyu jamaa mpeni uraisi hakika

  • @andrewsam364
    @andrewsam3642 жыл бұрын

    Huyu angekua speaker Tanzania tungeendelea maana anafikiria nje ya box

  • @fatmamsiliwa8485

    @fatmamsiliwa8485

    2 жыл бұрын

    Hawampi hyu maanq huyu anqhuruma nq anaogopa dhambi

  • @nyambegamatoro6817

    @nyambegamatoro6817

    2 жыл бұрын

    Sio uspika apewe urais. Anaweza rekebesha Mambo mengi kama Jpm(RIP)

  • @chistinaboa645

    @chistinaboa645

    2 жыл бұрын

    Mungu ambariki Sana huyu mbunge nimemwelewa Sana.

  • @veronicanangale4700
    @veronicanangale4700 Жыл бұрын

    Kahama mtuludishie tena bungeni mhe. Kishimba.😁😄😁😄

  • @loitushulyamat2738
    @loitushulyamat2738 Жыл бұрын

    Kweli kishimba ni kiboko cha maisha halisi ya watanzania

  • @bockerbocker8495
    @bockerbocker8495 Жыл бұрын

    Ni heri nimsikilize Mbunge mwenye elimu ya chini kuliko hawa wasomi wakubwa,hawa wanaojiona ni wasomi ndiyo hola kabisa yaa ni hovyo kabisa

  • @henrysangiwa1731
    @henrysangiwa17312 жыл бұрын

    Hamjui tu kwamba issue ni wauza gesi wanahitaji soko lao likue kama ilivyo kwenye yard za magari hawauzi now inapigwa marufuku ya kuningiza magari chini ya 2010. Kesi ya uhujumu kukata mti ili wauze gesi ??? Hii nchi jamani

  • @egidiusthadeo5573
    @egidiusthadeo55732 жыл бұрын

    Hivi kila hoja zinafanyiwa kazi

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Жыл бұрын

    Uyu jaa ikitokaea Ni Raisi tutatajirika wote. Uiangalia Nyumbu Ni wengi kuliko ng'ombe na mazingira hayana shida. Alafu wanadanganywa na wazungu hawana hata mbuzi.

  • @odilompilipili7381
    @odilompilipili7381 Жыл бұрын

    Huyu kweli ni msomi

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro68172 жыл бұрын

    Waambie hao wahusika wapunguze Bei ya gesi na waongeze usambazaji gesi kupunguza matumizi ya mkaa.

  • @immamwandolela6851
    @immamwandolela68512 жыл бұрын

    Unatisha mzee

  • @godwinmongi5242
    @godwinmongi52422 жыл бұрын

    Mzee Juma haya mawazo Hadi nafurahi kuyasikiliza

  • @festomlowegypsum8214

    @festomlowegypsum8214

    2 жыл бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @mcgabby
    @mcgabby Жыл бұрын

    Huyu apewe hata umakamu wa uRahisi ikishindindikana saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana kuwa rahisi wa Nchi😂😂😂

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 Жыл бұрын

    Sehem zingine wamekamatwa wamepigwa faini 50000 Kila ng'ombe Moja.

  • @gallibmhammed8971
    @gallibmhammed89713 жыл бұрын

    Nchi kama china imeamua kuipa hata tiba za asili thamani na leo wanasifika lakin sisi wasomi wetu wa kwanza kupuuza tiba asili na mambo mengi ukipoboresha chako ulichonacho ukataman cha mwingne ni mwanzo wa kukosa maendeleo. Kuna mambo mengi na elim nying ya kiasili kama mtanzania anazikosa kwa kuaminishwa imepitwa na wakat ndo maana inafikia hatua mbunge anasema mashine iondolewe hospital kwa kuona taifa lake linaitiwa aib, hawa ndo wasomi tunapeleka bungeni na vyeti lukuki.

  • @bayonsileo2155

    @bayonsileo2155

    2 жыл бұрын

    Uko vizuri kishimba

  • @jakobongwara3038

    @jakobongwara3038

    Жыл бұрын

    Tiba asri nitam kuriko vidonge nisum Huyu baba namkumbuka makufuri Huyu baba apemaisha marefu

  • @moseskibozi1329
    @moseskibozi13292 жыл бұрын

    Baba naomba nikuone.....

  • @lazarochihoma2663
    @lazarochihoma26632 жыл бұрын

    9

  • @stephanijeremia330
    @stephanijeremia3302 жыл бұрын

    Da huyu Mzee apewe urais tu

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Жыл бұрын

    Nyundo hiyo

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani70142 жыл бұрын

    Ukifika chuo unafundishwa wizi sasa hapo akisimama mwenye digree hapo angesapot ujinga wakati wanajua kabisa asilimia kubwa watanzania wanategemea mkaa!

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu43022 жыл бұрын

    Maproffesa nchi hii wapo wachache sana kama sio Mh. Kishimba peke yake.

  • @franklawrence5452
    @franklawrence54522 жыл бұрын

    huyu mzee inabidi serikali ifanyie kazi mawazo yake

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza19692 жыл бұрын

    Akili kubwa huyu mzee

  • @crissinkala3110
    @crissinkala31102 жыл бұрын

    Hii nchi kwa upande wa wasomi hatuna kabisa wengi polojo nyingi lkn uharisia wa elimu ni 0+0

  • @ezekielmahogwa2602
    @ezekielmahogwa26022 жыл бұрын

    Chukua fom ya uraisi baba nakukubali

  • @idysimba881
    @idysimba8812 ай бұрын

    Mkaa ni endelevu

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Жыл бұрын

    Huyu baba 10000

  • @babumtarajiwa5892
    @babumtarajiwa5892 Жыл бұрын

    Nawaomba kahama mtunzeni huyu Mzee nitunu kwataifa

  • @bakuzasimon6193
    @bakuzasimon61932 жыл бұрын

    Unaakir nyingi Mh badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanaiongeza

  • @machilijuma8203
    @machilijuma82032 жыл бұрын

    Jamani iv mmesomea nn mawzili@ mnaongeatu tumieni akr jaman

  • @shamteamiry6326
    @shamteamiry63262 жыл бұрын

    Wasomihovyoooooooo

  • @shamteamiry6326
    @shamteamiry63262 жыл бұрын

    Bahati mbaya viongozi hawanamaono

  • @oblemongi4195
    @oblemongi4195 Жыл бұрын

    Yupo mbunge yuleeeee daaa cjui nawaza nn

  • @davidmwita3008
    @davidmwita30082 жыл бұрын

    Viongozi wetu wanasikitisha, wanajisahulisha waliko Toka, upuuzi kweli EFD na mkaa gunia moja

  • @bakuzasimon6193
    @bakuzasimon61932 жыл бұрын

    Badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanazidi kuichochea

  • @joelmosses9395
    @joelmosses9395 Жыл бұрын

    Huyu mzee amebalikiwa xaana anaogea point tupu na kwa busala mnooooo,

  • @kalla4alex146
    @kalla4alex1462 жыл бұрын

    Wasukuma waanakili kweli kwli vichwa

  • @LydiaIsangi
    @LydiaIsangi2 ай бұрын

    Siku zote anaongeaga vitu vya msingi

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq8 ай бұрын

    Kwanini mutu abae ajasoma anakuwa navita sana nakwanni serikari mirebe wanatumia Kuni kwanini wasitumie nges kama kwenye maoteri

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Жыл бұрын

    Baba ukosahihi wafunguke nawengine

  • @machilijuma8203
    @machilijuma82032 жыл бұрын

    Tulia jbu hoja tumia akr znguka vjjn usisetiwe ;!

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi14963 жыл бұрын

    Kishimba nakuunha mkono uposawa kabisa

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal41912 жыл бұрын

    Daaah ukiongea mpk nàmkumbuka rais magufur

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin79292 жыл бұрын

    DR KUMBUKA

  • @elimenson3150
    @elimenson3150 Жыл бұрын

    Kishimba ww ni mashine ya serikali na ccm yote. Sijamuona msomi zaidi yako kishimba mbwa zingine zote ndani ya bunge nikuwaletea matatizo wananchi badla ya kuwatatulia matatizo

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Жыл бұрын

    Unapochangia sipendi umalize bunge lingekuongezea muda namaoni yako wayafanyie kazi

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo28673 жыл бұрын

    Shikamo Mh prop

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 Жыл бұрын

    Wauza mkaa.wakigoma je hali itakuwaje?sema wewe!

  • @nestorymwezimpya4077
    @nestorymwezimpya40772 жыл бұрын

    Ndo maana tuiomba selikari ikamilishe mapema umeme kutoka bwawa la mwalimu nyelele ili tuondokane na iyi aza lakini kuendelea kuchelewa ni kusababisha jangwa katika hii nchi

  • @jacksonmwakasege6210
    @jacksonmwakasege6210 Жыл бұрын

    Haingii akilini=stupid? huyu kweli ni profesa

  • @dsk1tv749
    @dsk1tv7492 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/fZds1rWoaZzRpLg.htmlsi=Cwfv6clpoQEZMEHb Cheki anavyo pondea

  • @yuzotv458
    @yuzotv4582 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂NAIPOKEA KWA MIKONO 3.

Келесі