Profesa Kishimba: "Wasomi Walete Miti ya Miezi 6 I Wanakuona Mpuuzi I Inawezekana Wasipike na Wasile
Музыка
"HOJA ZA PROFESA KISHIMBA BUNGENI"
.
.
"Kuna sheria mpya imeanzishwa ambayo inamtaka mtu atakayekuwa na gunia moja la mkaa lazima apte kibali toka Halmashauri ya Wilaya na awe na EFD, labda wenzetu wangeangalia Jiografia ya nchi na maisha ya watu wetu. Tutarajie ndani ya mwezi mmoja kutatokea "chaos" kubwa ya mkaa na kwa kawaida itawezekana kweli watu wasipike na wasile?. Kuna majimbo kutoka makao makuu ya Halmashauri kwenda kijijini ni zaidi ya kilomita 200 kweli mwananchi mwenye gunia moja aende mpaka wilayani?"
"Kwetu kanda ya Ziwa ukimwambia mtu apande miti kwa ajili ya mvua anakuona ni mpuuzi maana yake tuna mafuriko miaka miwili, mwananchi atakuuliza je unataka tupande miti ya kuzuia mvua maana ukiwaambia unataka miti ya mvua wanakuuliza kuzidi hii iliyopo leo. Sisi tuwaambie panda miti ya kutengeneza pesa"
"Wakati mwingine mnasema tunawasakama wasomi, leo Tanzania ni nchi ya nne kwa ku-export mkaa wa magendo, sasa ukataaje kurasimisha ili upate pesa na wale wanaonunua wa magendo waje kununua pale kwenye soko.”
“Haiwezekani baada ya miaka 60 tukawapeleka watoto wasome wawe mgambo wa kukamata wazazi wao, kazi ya elimu duniani ni kutatua matatizo.
"Leo wazungu wametengeneza mpaka mapapai ya miezi 6, wametengeneza kuku wa kizungu kwanini hao wataalamu wasilete miti ya miezi 6 ili watu wauze kuni na mkaa, lazima twende kwenye pesa" Jumanne Kishimba-Mbunge Kahama Mjini
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates
Пікірлер: 128
Walio kupeleka bungeni mungu awabariki
Hongera sana MHs MBUNGE KISHIMBA UKO Na mawazo muhimu yakipata wasikilizaji wTaokubali kufanyiwa kazi nchi itaamini askari Wa pori
Huyu mzee anaongea point sana ukikaa ukiskiliza bunge mara nying utaskia katika mipango yao tufanye hv kama nchi flani walivyofanya wakapata maendeleo hii inamaana nchi itaendeshwa kwa kucopy ya wengne. Hakuna nchi katika hizo walizotaja itakaa waseme tuige Tanzania. Hii inamaana elimu tunacopy kwa wazungu na maisha vilevile tunacopy. Ifikie hatua viongozi wakubwa kama wabunge watunge sheria kutokana na asili yao na maisha halisi ya mtanzania si kucopy kila kitu. Nchi kama China, iran,korea zimepiga hatua baada ya kuacha kucopy 100% yanayotoka nje. Lazma nchi ijiamulie kulingana na watu inao waongoza si kucopy
@philemonaminiel
2 жыл бұрын
Huu ni mfano wa kuigwa Wa huyu mbunge mwenye busara na hekima za kuona mbali mdadisi ,lakini cha kushangaza kwenye hili serikali za vijiji bado zunauza mashamba kwenye mapori yenye misitu minene na ulime lazima ukate MTU ndipo upunguze kivuli mmea update kukua vizuri ,au MTU achome miti yote bila faida au apewe Elimu ya kuibadilisha miti kuwa pesa mfano uchomaji wa mkaa serikali ipate ushuru au ichomwe biila faida kipi boraa? Maana vinavyoendelea mshambani nu vitu vya kusitisha sana miti inachomwa bila faida inaonekana tumelizika Sana'a mi mi naungana na mbunge serikali ilasimishe hayo mazao ya misitu kuweka katika magulio ili kuondokana na usumbufu hongera sana mheshimiwa j4 kishimba kwa mawazo endelevu ya kulijenga taifa Katika amani
@nestorymwezimpya4077
2 жыл бұрын
Kuiga sio tatizo Ila hata biblia inasema ndugu zangu igeni mema musiige mabaya hii yote inasababisha na watawala wetu kutokusima sela na mipango inde haraka
@erickmasunga9939
2 жыл бұрын
Hawa viogoz hawana huruma na wananch wake hayupo aneumiza akil kuhusu wananch
@mcgabby
Жыл бұрын
Huyu mzeee anakitu atafika mbalii anahojaaa asikilizweeee jamani
Big up xana msukuma. Huwa unaongea point kuwazd had hao wanaojiita wasomi
Huyu kweli professa
Kuwa na mbunge kama Kishimba ni bahati sana,kahama mmepata mbunge,huyu ni zaidi ya profesor
@habibndyeshobora6848
2 жыл бұрын
Were Mzee were in Genius sana M/Mungu akutunze!!!! Amiin.
Safi sana Prof. Kishimba.
Mzee Kishimba KONGOLE unaeleza maisha halisi ya Mwananchi wa kawaida kabisa,wabunge wengine tuige mfano huo,sio kushindana kuonyesha Elimu zenu Bali Uwakilishi wenu Bungeni. ASANTE SANA MZEE MUNGU AKUBARIKI.
@mwalumogomsigwa856
2 жыл бұрын
Sheria za TFF afu mtu alisomea London
Pf kishimba namuelewa sana huyu mzeee
Kwa kweli ikiwa tutapata wabunge wenye maona kama huyu mzee wananchi tutanufaika sana na rasilimali za nchi
Jamaan maarifa aliyonayo mzee kishimba inatakiwa ya fanyiwe kazi na wasomi wetu
safi sana kishimba
safi sana mh kishimba sema watu chache ndo wanakuelewa
@faustinejemsi1488
2 жыл бұрын
Nani hamuerewi kishimba
Asante sana kishimba nakukubali
@iddihussein526
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
Huyu mzee huwa napenda kumsikiliza ana hoja nzuri sana
Kishimba shikamoo
So intelligent
Sawa mzee uko vizuri ukomakini
Kishimba Mimi nakupa udoctor michango yako ni bungeni yote inawahusu wananchi hongera sana
Huyu mzee aliumbiwa busara sana
MUNGU akubariki sana mzee una akili sana babangu
@mshamumohamed8305
3 жыл бұрын
Huyu mbunge ana akili sana kwa kweli nakupenda sana
Safi
Uko vizuri mkuu
Hakika kishimba hujawai kosea Mungu akubariki🙏
Ndio. Namwelewa.
Shikamoo Profesa.
Nakuelewa sanaaa mzee wangu hawa watalam ni vilaza 2
Daaa Asee huyu Ni Mtu muhimu saana ktk uchangiaji hoja bungeni.
Daaaa safi sana
Very smart
Natamani sana kuendelea kumsikiliza huyu mzee wetu mhe. Kishimba kuliko kuwasikiza Maprofesa wetu ambao hawaeleweki Elimu zao zinasaidia Nini vizazi vyetu. Our elites must use their education to solve the locally existing challenges. But that is the case wanatuharibia upepo tu. Mzee huyu anaongelea masuala yaliyo ndani mwetu na anatoa suluhisho lakini hakuna aliye tayari kutumia mawazo yake kutatua matatizo kwa sababu hajasoma. MASIKINI TANZANIA, MASIKINI AFRIKA!!!!
@ramadhanimtetu3656
Жыл бұрын
Ni zaidi ya Uprofesa kama Elimu ni vyeti
Da! Ila hyu mbunge anajiamini Sana,ety kwasababu kasomea London 😂😂😂
Safiiii
"hatutaki wasomi kuwa polisi"tunataka wasomi wanaotatua matatizo ya wananchi sio wanaogeuka kuwa miungu watu
❤️❤️
Mheshimiwa mbunge unasema vitu vya msingi hongera
Huyu Mh kumwita Professor ni kumkosea adabu Mamlaka za vyuo vikuu vijitafakari watu wa aina hii ndio wanaostahili kutunukiwa Udaktari waHeshima watu wenye mawazo mbadala Xante xana Mh Kishimba
Anaupigaga mwingii saaaana kishimbaaa
Namkubali Sana kishimba anaongea vitu halisi
Hamna kitu hapo, gesi yenyewe imepanda ukizuia mkaa mbadala wake itakuwa nin,
😎
Yaani kwa kweli kuhuusu mkaa kweli waangalie namna maana wananyanyasika Sana" duhu wanakera saana"na maliasili wanakamata raia wanawanyanganya na wao wanauza 🤔🤔
Suluhu ya kukatwa miti ni serikali kupunguza gharama za umeme mafuta ya taa na gesi, zamani majiko ya mafuta taa yaliokoa miti, mkaa haukuwa dili ilikuwa biashara ya aibu.
Dah hatar
Waambie hao mzee maana wanatungia sheria zao kwenye magora yenye viyoyozi Utalikuta lijitu limezaliwa na kukulia kijijini lakini leo limejisahau
@isikesamike
2 жыл бұрын
Aliyekulia kijijini wala hawezi kutunga sheria ya kijinga hivi. Tunasumbuliwa na vilaza waliokulia kwenye viyoyozi hawajui adha ya watu wa chini. Tuna wasomi ambao hata hawajutambui.
Duh
@jamhurilibawa6505
3 жыл бұрын
apewe nafasi akafundishe chuo kikuu huyu ni professor kamilii hakuna longolongo! hivyo vyuo vikuu hamumuoni huyu mbunge kumpa hiyo honorable doctorate?
@mfwimimkemele1156
2 жыл бұрын
Good
Tunakuamin
Nitakupigia kura mzeee KISHIMBA.
Nasema huyu jamaa mpeni uraisi hakika
Huyu angekua speaker Tanzania tungeendelea maana anafikiria nje ya box
@fatmamsiliwa8485
2 жыл бұрын
Hawampi hyu maanq huyu anqhuruma nq anaogopa dhambi
@nyambegamatoro6817
2 жыл бұрын
Sio uspika apewe urais. Anaweza rekebesha Mambo mengi kama Jpm(RIP)
@chistinaboa645
2 жыл бұрын
Mungu ambariki Sana huyu mbunge nimemwelewa Sana.
Kahama mtuludishie tena bungeni mhe. Kishimba.😁😄😁😄
Kweli kishimba ni kiboko cha maisha halisi ya watanzania
Ni heri nimsikilize Mbunge mwenye elimu ya chini kuliko hawa wasomi wakubwa,hawa wanaojiona ni wasomi ndiyo hola kabisa yaa ni hovyo kabisa
Hamjui tu kwamba issue ni wauza gesi wanahitaji soko lao likue kama ilivyo kwenye yard za magari hawauzi now inapigwa marufuku ya kuningiza magari chini ya 2010. Kesi ya uhujumu kukata mti ili wauze gesi ??? Hii nchi jamani
Hivi kila hoja zinafanyiwa kazi
Uyu jaa ikitokaea Ni Raisi tutatajirika wote. Uiangalia Nyumbu Ni wengi kuliko ng'ombe na mazingira hayana shida. Alafu wanadanganywa na wazungu hawana hata mbuzi.
Huyu kweli ni msomi
Waambie hao wahusika wapunguze Bei ya gesi na waongeze usambazaji gesi kupunguza matumizi ya mkaa.
Unatisha mzee
Mzee Juma haya mawazo Hadi nafurahi kuyasikiliza
@festomlowegypsum8214
2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
Huyu apewe hata umakamu wa uRahisi ikishindindikana saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana kuwa rahisi wa Nchi😂😂😂
Sehem zingine wamekamatwa wamepigwa faini 50000 Kila ng'ombe Moja.
Nchi kama china imeamua kuipa hata tiba za asili thamani na leo wanasifika lakin sisi wasomi wetu wa kwanza kupuuza tiba asili na mambo mengi ukipoboresha chako ulichonacho ukataman cha mwingne ni mwanzo wa kukosa maendeleo. Kuna mambo mengi na elim nying ya kiasili kama mtanzania anazikosa kwa kuaminishwa imepitwa na wakat ndo maana inafikia hatua mbunge anasema mashine iondolewe hospital kwa kuona taifa lake linaitiwa aib, hawa ndo wasomi tunapeleka bungeni na vyeti lukuki.
@bayonsileo2155
2 жыл бұрын
Uko vizuri kishimba
@jakobongwara3038
Жыл бұрын
Tiba asri nitam kuriko vidonge nisum Huyu baba namkumbuka makufuri Huyu baba apemaisha marefu
Baba naomba nikuone.....
9
Da huyu Mzee apewe urais tu
Nyundo hiyo
Ukifika chuo unafundishwa wizi sasa hapo akisimama mwenye digree hapo angesapot ujinga wakati wanajua kabisa asilimia kubwa watanzania wanategemea mkaa!
Maproffesa nchi hii wapo wachache sana kama sio Mh. Kishimba peke yake.
huyu mzee inabidi serikali ifanyie kazi mawazo yake
Akili kubwa huyu mzee
Hii nchi kwa upande wa wasomi hatuna kabisa wengi polojo nyingi lkn uharisia wa elimu ni 0+0
Chukua fom ya uraisi baba nakukubali
Mkaa ni endelevu
Huyu baba 10000
Nawaomba kahama mtunzeni huyu Mzee nitunu kwataifa
Unaakir nyingi Mh badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanaiongeza
Jamani iv mmesomea nn mawzili@ mnaongeatu tumieni akr jaman
Wasomihovyoooooooo
Bahati mbaya viongozi hawanamaono
Yupo mbunge yuleeeee daaa cjui nawaza nn
Viongozi wetu wanasikitisha, wanajisahulisha waliko Toka, upuuzi kweli EFD na mkaa gunia moja
Badala ya selikari kutatua keep ya nishati wanazidi kuichochea
Huyu mzee amebalikiwa xaana anaogea point tupu na kwa busala mnooooo,
Wasukuma waanakili kweli kwli vichwa
Siku zote anaongeaga vitu vya msingi
Kwanini mutu abae ajasoma anakuwa navita sana nakwanni serikari mirebe wanatumia Kuni kwanini wasitumie nges kama kwenye maoteri
Baba ukosahihi wafunguke nawengine
Tulia jbu hoja tumia akr znguka vjjn usisetiwe ;!
Kishimba nakuunha mkono uposawa kabisa
Daaah ukiongea mpk nàmkumbuka rais magufur
DR KUMBUKA
Kishimba ww ni mashine ya serikali na ccm yote. Sijamuona msomi zaidi yako kishimba mbwa zingine zote ndani ya bunge nikuwaletea matatizo wananchi badla ya kuwatatulia matatizo
Unapochangia sipendi umalize bunge lingekuongezea muda namaoni yako wayafanyie kazi
Shikamo Mh prop
Wauza mkaa.wakigoma je hali itakuwaje?sema wewe!
Ndo maana tuiomba selikari ikamilishe mapema umeme kutoka bwawa la mwalimu nyelele ili tuondokane na iyi aza lakini kuendelea kuchelewa ni kusababisha jangwa katika hii nchi
Haingii akilini=stupid? huyu kweli ni profesa
kzread.info/dash/bejne/fZds1rWoaZzRpLg.htmlsi=Cwfv6clpoQEZMEHb Cheki anavyo pondea
😂😂😂😂😂NAIPOKEA KWA MIKONO 3.