KIGWANGALA AJICHANGANYA, MSAMBATAVANGU AMUWAKIA "NAKUSHANGAA WEWE NI MWANAUME HALAFU DAKTARI"

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 164

  • @westserengeti5608
    @westserengeti5608Ай бұрын

    Wewe kweli ni mama, Asante kwa kumsemea mtoto wa kiume

  • @mudathirbaalawy813
    @mudathirbaalawy813Ай бұрын

    Asante muheshimiwa natamani niku hug from 🇴🇲

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7Ай бұрын

    Huyu tunatakiwa kutoa Sadaka ya Shukrani kwa ajili yake!! 🙏

  • @pastorteddywaziri5754

    @pastorteddywaziri5754

    Ай бұрын

    Kichwa chako wewe😂😂😂🙌🙌

  • @boniphacesululu5428
    @boniphacesululu5428Ай бұрын

    Asanteee mama Bora hata umeongea

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapeleleАй бұрын

    Safi Sana usawa wa kijinsia mlango wa mapepo

  • @simonmlelwa440
    @simonmlelwa440Ай бұрын

    HEKO sana kwako Mama … quite a point!

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079Ай бұрын

    KUMBE KUNA WABUNGE WENYE AKILI❤❤❤❤DUHHHH!!!??

  • @gadrontz9042
    @gadrontz9042Ай бұрын

    Mama wewe ni 🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @valentinoswenya748
    @valentinoswenya748Ай бұрын

    Huyu mama alindwe kwa galama yeyote ile nahayo ndio maagizo ya mwenyezi mungu ubarikiwe sana mama

  • @ErickMwashambo
    @ErickMwashamboАй бұрын

    Shukrani sana kwa kututetea mama yetu wanaume sasa hivi tunaonewa sana

  • @barakahosana6579
    @barakahosana6579Ай бұрын

    Huyu Mama nimempenda bure kwa kweli👏👏

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959Ай бұрын

    Bora mama umetutetea sisi wanaume mwenyez mungu akubariki

  • @Zaburi-

    @Zaburi-

    Ай бұрын

    Mungu/MUNGU sio mungu

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Mwanaume mwenzio akili kisado alafu eti ni doctor 😢😢😢😢😢 ningepata nafasi ngemkata pua😢😢😢😢😢😢😢 baba atabaki kwenye nafasi yake kama kiongozi wa family

  • @user-zj1rl4qu6d
    @user-zj1rl4qu6dАй бұрын

    Sio wewe mama ni mungu anakuongoza dada yangu barikiwa sana

  • @ChrisElectrical-ck4mc
    @ChrisElectrical-ck4mcАй бұрын

    Da mama Mungu akusaidie

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9hАй бұрын

    U.esema kweli kabisa kuna wanaume wananyanyasika sana hawasemi tu wanaugulia miyoni barikiwe

  • @haizuruMakombo
    @haizuruMakomboАй бұрын

    Nashukuru mama kwa kuongea point.ila nakuhurumia kwasababu nchi zetu zinapangiwa na mataifa yaliyoendelea kwasababu ya utegemezi na woga

  • @faridmnyamike556
    @faridmnyamike556Ай бұрын

    Mama yangu Msambatavangu Shikamoo, Asante sana Mama, Hiyo Motion yako imeshiba.

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6gАй бұрын

    Hii ndiyo kuongea,unaongea points tena kwa HERUFI KUBWA,safi sana mama Tanzania🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzarАй бұрын

    ASANTE MAMA ❤ Huyu ni MAMA NA NUSU 🔥🔥🔥

  • @charlessamwel7581
    @charlessamwel7581Ай бұрын

    Mama uko vzr

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359Ай бұрын

    Wasikuache kukuchaguwa kwenye Jimbo lako. Unahakili sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @m.e.ssofttech2806
    @m.e.ssofttech2806Ай бұрын

    Ndio maana mashoga wanaongezeka na single mother wanaongezeka

  • @DeusRobart
    @DeusRobartАй бұрын

    kigwangala dishi limeyumba😂😂😂

  • @josephjulio6112

    @josephjulio6112

    Ай бұрын

    Alaniwe kabisa pamoja na watoto wake

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Limejifunika kabisa 😂😂😂😂😂

  • @salehemcharo
    @salehemcharoАй бұрын

    Huyu kigwangala ni shoga 😂😂😂😂 anatutia aibu yani mwanamke anatutetea kigwangala anatoa hoja za hovyo. Sijapenda mungu amuweke huyu mama. Aisee

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014Ай бұрын

    Inashangaza sana Dr. Kigwangala unatoa comment ya hovyo namna hii. Yaani huoni hilo tatizo. Wanaume tunanyanyasika anatokea mwanamke anatetea wewe unampinga. Mungu si mjinga kumfanya mwanaume awe kichwa cha familia. Sasa hivi watoto wa kiume hawana mtetezi wanageuzwa kuwa mashoga kila kona. Wanawake wanakuwa ma single mother wanalea watoto bila baba zao matokeo ni ongezeko la mashoga.

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Huyu tumwekee kwenye kundi like la wababa wanaolawiti na kubaka watoto wao mwamke kaona hatari yee kaona sawa MUNGU mfungue ufahamu, hii haki sawa hapana

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cxАй бұрын

    Ukiwa Dr halafu ukaongea point less aibu sana. Kwa hii Dr ni Huyu Mama, big up mama

  • @evancetarimo1310
    @evancetarimo1310Ай бұрын

    Asante sana mama mwenyez mungu akusaidie sana

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328Ай бұрын

    Nampendaga sana mh Jesca udumu mama

  • @lulyehomadale9009
    @lulyehomadale9009Ай бұрын

    Dah tumepata mtetezi Huyu mama anafikiria tofauti sana ,program zote za kijamii zimebeba agenda ya mwanamke,

  • @jonamnyone8014

    @jonamnyone8014

    Ай бұрын

    Agenda ya kuwadogolesha wanaume ilianza Beijin. Huu si mpango wa Mungu. Shetani anataka kuua taasisi ya familia. Sasa hivi kuna wanaume wanaolewa na wanaume mabasha. Huu ni ufidhuli mkubwa unapaswa kupiga vita.

  • @RevocatusWilliam
    @RevocatusWilliamАй бұрын

    Hii ndo lugha inayotakiwaa kutoka sasa kwa mama zetu.

  • @madinaMussa-hm8in
    @madinaMussa-hm8inАй бұрын

    Asantee mama

  • @omarimketo8621
    @omarimketo8621Ай бұрын

    Asante mama

  • @ErickBandushiEtien
    @ErickBandushiEtienАй бұрын

    Mungu akutie nguvu ubarkiwe

  • @FelisterLigazio-mw3hh
    @FelisterLigazio-mw3hhАй бұрын

    Sema mama, Mungu akubariki tuku pamoja nawe

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003Ай бұрын

    BIG UP MAMA🤣 👏👏👏

  • @RobartShello-qj4vr
    @RobartShello-qj4vrАй бұрын

    Wewe ndie mama mwenyemaono, naumelelewa, nakweli mwanamke ukimgusa kidogo tayari unawekwa ndan nahilo kweli limewachosha wanaume matokeo yake kutelekeza familia

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464Ай бұрын

    Bora hata umeongea naona watu sasa akili zimefunguka

  • @zephaniahfanuel8444
    @zephaniahfanuel8444Ай бұрын

    Huyu mama wa Iringa hatakagi michongo ya usingle mother ni ushetani huo, Tungekuwa na mama kama hawa hakungekuwa na ushoga wala usagaji TZ

  • @cholesilwela5186
    @cholesilwela5186Ай бұрын

    Asante Sana Mama Kwa kututetea sisi wanaume

  • @meshackpatrick6981
    @meshackpatrick6981Ай бұрын

    Apewe uprofesa Ikiwezekana ajengewe Sanamu

  • @raphaelmethod5599
    @raphaelmethod5599Ай бұрын

    Fact mama bora

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9yАй бұрын

    Safiiiii saaana Mama pongezi kwako 🙏🙏🙏

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792Ай бұрын

    Mama hongera ila nashauli (thyroidectomy ) ni nzuri kwa afya kwa wenye thyroid hyperplasia

  • @dericktouch5723
    @dericktouch5723Ай бұрын

    Asante sana ni uwepo wa mungu umetuonekania kwa huyu mama no ushoga tanzania tamaduni zetu haziruhusu kabisa

  • @JasbaKipingu
    @JasbaKipinguАй бұрын

    Hakika Waume tumechanganyikiwa keli leo mwanaume anatukana tunatetewa na mwanamke eeee mungu tuvushe tuko hatarini sisi waja wako

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988Ай бұрын

    Hongera sana!

  • @magomadamian3468
    @magomadamian3468Ай бұрын

    Safi Sana Bora hata umewatetea hao wanawake bila kujijua Ka wametetewa maana siku zijazo zitakuwa mbaya sana.staeleweka na wengi ila wachache tu

  • @jovianusrweikila8595
    @jovianusrweikila8595Ай бұрын

    Well said Mama...

  • @PaulinaLwena
    @PaulinaLwenaАй бұрын

    Mbunge ustaili hongera sana

  • @sadikiissa7756
    @sadikiissa7756Ай бұрын

    Safi Sana.

  • @2.12carrental6
    @2.12carrental6Ай бұрын

    Mama Yangu Jeska Mungu aendelee Kukupaq Sauti Ili Kuteteaaa

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528Ай бұрын

    Fact

  • @ImanueliMwakajinga-ry8ig
    @ImanueliMwakajinga-ry8igАй бұрын

    Waooo awa ndo wabunge tunao wataka

  • @user-cu3cl4yy5s
    @user-cu3cl4yy5sАй бұрын

    Asante mama umesema yaliyokweli

  • @Butondo
    @ButondoАй бұрын

    Well said mama. Tatizo hizi haki za wanawake inashachukua kila kona

  • @ChrisElectrical-ck4mc
    @ChrisElectrical-ck4mcАй бұрын

    Kwa kweli

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gyАй бұрын

    MAMA, MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @josephmwinuka3982
    @josephmwinuka3982Ай бұрын

    Safi mh jesca umetuwkilisha vzur

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapeleleАй бұрын

    Taifa linaangamia tulud kwenye njia maana tumepotea kwa kumwinua mwanamke na kumshusha mwanamme

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981Ай бұрын

    Huyo Daktari aliyetoa hiyo taarifa apimwe akili..

  • @alinanusweedward2952
    @alinanusweedward2952Ай бұрын

    Dah Mitano tena kwa Mama Msambatavangu

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64Ай бұрын

    Kigwangala bhana , hilo si ndilo analosema lirekebishweeeeee? Huu uchawa bhana umekuharibu sana, utabaki kubebea wanawake mabegi tuu weweeee

  • @YusuphShabani-wk5bv
    @YusuphShabani-wk5bvАй бұрын

    ❤❤❤❤ 👍

  • @LightnessMunisi-uo5pd
    @LightnessMunisi-uo5pdАй бұрын

    Asante mama yetu

  • @RashidKidolingo
    @RashidKidolingoАй бұрын

    Asante mama yangu,mpaka nimelia

  • @nurdinswalehe
    @nurdinswaleheАй бұрын

    Kweli huyu mama kweli

  • @user-xp8fe3iz8w
    @user-xp8fe3iz8wАй бұрын

    Aaah we mama unajua umuhimu wa kijana wa kiume sana

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2xАй бұрын

    Kuna raisi kila sherehe zamashoga yupo hao kinaharmonaiz dimond nawengine ndio maajent wakubwa

  • @user-zm5co2rf6z
    @user-zm5co2rf6zАй бұрын

    Dah uyu mbunge anaakili sana

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791Ай бұрын

    Yani akili kubwa kama hii inapatikana Tanzania,eeh MUNGU ibariki Tanzania

  • @christerlymakala791
    @christerlymakala791Ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @dreamleague-uq2gx
    @dreamleague-uq2gxАй бұрын

    Fact ✊

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972Ай бұрын

    Wanaume siku hizi ni kama mabinti, tusemee mama achana na hao wanaoleta taarifa za hovyo .

  • @user-xc5lt3jm6p
    @user-xc5lt3jm6pАй бұрын

    Hii sauti ya mama imetoka Kwa mamlaka ya mwenyezi Mungu sauti haipingwi hiyo imeenda

  • @pastorb.alaurent1006
    @pastorb.alaurent1006Ай бұрын

    Umeongea vitu vya point sana nakuombea sana uwe ww waziri

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905Ай бұрын

    Kigwangala hovyo sana aise

  • @luqmanomary3558

    @luqmanomary3558

    Ай бұрын

    Tena akil zake chache sana yaani mwanaume unatetew bado yy anaona haki kwa wanawake au shoga nn😂😂😂

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzarАй бұрын

    DAAAAAAAA ❤❤❤❤

  • @RichardZachalia-ph3ot
    @RichardZachalia-ph3otАй бұрын

    🎉🎉

  • @user-zg9cu7jp3q
    @user-zg9cu7jp3qАй бұрын

    Mungu azidi kukupa kibali

  • @DeusRobart
    @DeusRobartАй бұрын

    maisha malefu mheshimiwa nakutakia

  • @YusuphMnyachimo
    @YusuphMnyachimoАй бұрын

    Uyo mwishimiwa mbunge wakiume alieomba muongozo tunamashaka naee

  • @EmanuelNyondo-qj5zx
    @EmanuelNyondo-qj5zxАй бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FelisterLigazio-mw3hh
    @FelisterLigazio-mw3hhАй бұрын

    Yeees

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234Ай бұрын

    Huyu ndo mama wa kazi" sio yule dhaifu toka kizmkazi"

  • @user-sn9ip6qr3l
    @user-sn9ip6qr3lАй бұрын

    Kwakwel nashindwa cha kukoment mama umeongea mno ila hawa kuna muda huwaga naifikiria sana serikal hii ina nin jaman afadhali umeongea mama ang vitoto vyetu mtaan vinabakwa mno tuu huku na mibaba 😢😢

  • @michaelmlacha5670
    @michaelmlacha5670Ай бұрын

    Tukiongea ukweli bila kupepesa macho, hiyo WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, ilipaswa kuitwa WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, WANAWAKE, WAZEE NA WATOTO. Hamna kitu wanafanya Kwa ajili ya WANAUME aisee.

  • @st.alvincollege6184
    @st.alvincollege6184Ай бұрын

    Alikua mgeni rasmi wakati namalza Form 6 mwaka 2012 ni hatar kabisa

  • @user-pg6db8jl2y
    @user-pg6db8jl2yАй бұрын

    Wanafanyiwa lakin awana pakujitetea kabc jmn yaan nihuruma sana wanawake wamewekwa mbele sanaa na ndo maan utaskia mwanamme kamuuwa mke kwasababu anauchungu mwingi na mambo mengi anashindwa pakuyasemea

  • @user-oj3lv6et4n
    @user-oj3lv6et4nАй бұрын

    Ningekuwa Rais ningekupa uwaziri wa jinsia maana umeupiga mwingi sana mpaka shoga kigwangara aumbuka

  • @charlesmateso1408
    @charlesmateso1408Ай бұрын

    Mama ana maono makubwa

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234Ай бұрын

    Huyo kigwangala hana akili huyo,huyo huenda anatumiwa na wazungu kuongeza mashoga

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965Ай бұрын

    Hakika uzao wa kiume uko kwenye moto mkali jamani... wanaume wamechoka sana jamani...mifumo umeua wanaume imemaliza watoto wetu wa kiume...uuuuwiiiii

  • @petromgaya1746
    @petromgaya1746Ай бұрын

    Kigwangala aibu 😂 chawa boi

  • @westserengeti5608
    @westserengeti5608Ай бұрын

    Yaani huyu mbunge, kwa neno Hilo, hata kama una dhambi, Mungu akusemehe, yaani Leo umenena vema.

  • @user-kc3dx3fd8g
    @user-kc3dx3fd8gАй бұрын

    Kigangwala kweli kazi ipo kashapotea huyu mzee

  • @josephmwinuka3982
    @josephmwinuka3982Ай бұрын

    Kigwangala huna jipya 5:44

  • @PauPaulo-qf3wo
    @PauPaulo-qf3woАй бұрын

    Mama ana point uyu

  • @LightnessMunisi-uo5pd
    @LightnessMunisi-uo5pdАй бұрын

    Amen🇹🇿🙏

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6evАй бұрын

    Na mkiendelea na sera za kiboya hizo mtajaza masingle mother nchi nzima endeleeni kukandamiza wanaume

  • @pastadandan3569
    @pastadandan3569Ай бұрын

    Aisee naomba namba yake nimtumie hata ya vocha

Келесі