Wewe kweli ni mama, Asante kwa kumsemea mtoto wa kiume
@mudathirbaalawy813Ай бұрын
Asante muheshimiwa natamani niku hug from 🇴🇲
@Tg.7_7Ай бұрын
Huyu tunatakiwa kutoa Sadaka ya Shukrani kwa ajili yake!! 🙏
@pastorteddywaziri5754
Ай бұрын
Kichwa chako wewe😂😂😂🙌🙌
@boniphacesululu5428Ай бұрын
Asanteee mama Bora hata umeongea
@DaimonMwapeleleАй бұрын
Safi Sana usawa wa kijinsia mlango wa mapepo
@simonmlelwa440Ай бұрын
HEKO sana kwako Mama … quite a point!
@thomaskiponda6079Ай бұрын
KUMBE KUNA WABUNGE WENYE AKILI❤❤❤❤DUHHHH!!!??
@gadrontz9042Ай бұрын
Mama wewe ni 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@valentinoswenya748Ай бұрын
Huyu mama alindwe kwa galama yeyote ile nahayo ndio maagizo ya mwenyezi mungu ubarikiwe sana mama
@ErickMwashamboАй бұрын
Shukrani sana kwa kututetea mama yetu wanaume sasa hivi tunaonewa sana
@barakahosana6579Ай бұрын
Huyu Mama nimempenda bure kwa kweli👏👏
@mmassyferguson4959Ай бұрын
Bora mama umetutetea sisi wanaume mwenyez mungu akubariki
@Zaburi-
Ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@MiriamAbdallah
Ай бұрын
Mwanaume mwenzio akili kisado alafu eti ni doctor 😢😢😢😢😢 ningepata nafasi ngemkata pua😢😢😢😢😢😢😢 baba atabaki kwenye nafasi yake kama kiongozi wa family
@user-zj1rl4qu6dАй бұрын
Sio wewe mama ni mungu anakuongoza dada yangu barikiwa sana
@ChrisElectrical-ck4mcАй бұрын
Da mama Mungu akusaidie
@user-zz9gr1vd9hАй бұрын
U.esema kweli kabisa kuna wanaume wananyanyasika sana hawasemi tu wanaugulia miyoni barikiwe
@haizuruMakomboАй бұрын
Nashukuru mama kwa kuongea point.ila nakuhurumia kwasababu nchi zetu zinapangiwa na mataifa yaliyoendelea kwasababu ya utegemezi na woga
@faridmnyamike556Ай бұрын
Mama yangu Msambatavangu Shikamoo, Asante sana Mama, Hiyo Motion yako imeshiba.
@user-bp2cc9eo6gАй бұрын
Hii ndiyo kuongea,unaongea points tena kwa HERUFI KUBWA,safi sana mama Tanzania🎉🎉🎉🎉🎉
@MenelusCzarАй бұрын
ASANTE MAMA ❤ Huyu ni MAMA NA NUSU 🔥🔥🔥
@charlessamwel7581Ай бұрын
Mama uko vzr
@jamesmasome359Ай бұрын
Wasikuache kukuchaguwa kwenye Jimbo lako. Unahakili sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@m.e.ssofttech2806Ай бұрын
Ndio maana mashoga wanaongezeka na single mother wanaongezeka
@DeusRobartАй бұрын
kigwangala dishi limeyumba😂😂😂
@josephjulio6112
Ай бұрын
Alaniwe kabisa pamoja na watoto wake
@MiriamAbdallah
Ай бұрын
Limejifunika kabisa 😂😂😂😂😂
@salehemcharoАй бұрын
Huyu kigwangala ni shoga 😂😂😂😂 anatutia aibu yani mwanamke anatutetea kigwangala anatoa hoja za hovyo. Sijapenda mungu amuweke huyu mama. Aisee
@jonamnyone8014Ай бұрын
Inashangaza sana Dr. Kigwangala unatoa comment ya hovyo namna hii. Yaani huoni hilo tatizo. Wanaume tunanyanyasika anatokea mwanamke anatetea wewe unampinga. Mungu si mjinga kumfanya mwanaume awe kichwa cha familia. Sasa hivi watoto wa kiume hawana mtetezi wanageuzwa kuwa mashoga kila kona. Wanawake wanakuwa ma single mother wanalea watoto bila baba zao matokeo ni ongezeko la mashoga.
@MiriamAbdallah
Ай бұрын
Huyu tumwekee kwenye kundi like la wababa wanaolawiti na kubaka watoto wao mwamke kaona hatari yee kaona sawa MUNGU mfungue ufahamu, hii haki sawa hapana
@ReginaJoseph-cm3cxАй бұрын
Ukiwa Dr halafu ukaongea point less aibu sana. Kwa hii Dr ni Huyu Mama, big up mama
@evancetarimo1310Ай бұрын
Asante sana mama mwenyez mungu akusaidie sana
@zariadunia6328Ай бұрын
Nampendaga sana mh Jesca udumu mama
@lulyehomadale9009Ай бұрын
Dah tumepata mtetezi Huyu mama anafikiria tofauti sana ,program zote za kijamii zimebeba agenda ya mwanamke,
@jonamnyone8014
Ай бұрын
Agenda ya kuwadogolesha wanaume ilianza Beijin. Huu si mpango wa Mungu. Shetani anataka kuua taasisi ya familia. Sasa hivi kuna wanaume wanaolewa na wanaume mabasha. Huu ni ufidhuli mkubwa unapaswa kupiga vita.
@RevocatusWilliamАй бұрын
Hii ndo lugha inayotakiwaa kutoka sasa kwa mama zetu.
@madinaMussa-hm8inАй бұрын
Asantee mama
@omarimketo8621Ай бұрын
Asante mama
@ErickBandushiEtienАй бұрын
Mungu akutie nguvu ubarkiwe
@FelisterLigazio-mw3hhАй бұрын
Sema mama, Mungu akubariki tuku pamoja nawe
@eddiemohamed9003Ай бұрын
BIG UP MAMA🤣 👏👏👏
@RobartShello-qj4vrАй бұрын
Wewe ndie mama mwenyemaono, naumelelewa, nakweli mwanamke ukimgusa kidogo tayari unawekwa ndan nahilo kweli limewachosha wanaume matokeo yake kutelekeza familia
@edsonnelson4464Ай бұрын
Bora hata umeongea naona watu sasa akili zimefunguka
@zephaniahfanuel8444Ай бұрын
Huyu mama wa Iringa hatakagi michongo ya usingle mother ni ushetani huo, Tungekuwa na mama kama hawa hakungekuwa na ushoga wala usagaji TZ
@cholesilwela5186Ай бұрын
Asante Sana Mama Kwa kututetea sisi wanaume
@meshackpatrick6981Ай бұрын
Apewe uprofesa Ikiwezekana ajengewe Sanamu
@raphaelmethod5599Ай бұрын
Fact mama bora
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
Safiiiii saaana Mama pongezi kwako 🙏🙏🙏
@charlesmakuri792Ай бұрын
Mama hongera ila nashauli (thyroidectomy ) ni nzuri kwa afya kwa wenye thyroid hyperplasia
@dericktouch5723Ай бұрын
Asante sana ni uwepo wa mungu umetuonekania kwa huyu mama no ushoga tanzania tamaduni zetu haziruhusu kabisa
@JasbaKipinguАй бұрын
Hakika Waume tumechanganyikiwa keli leo mwanaume anatukana tunatetewa na mwanamke eeee mungu tuvushe tuko hatarini sisi waja wako
@sambulugu9988Ай бұрын
Hongera sana!
@magomadamian3468Ай бұрын
Safi Sana Bora hata umewatetea hao wanawake bila kujijua Ka wametetewa maana siku zijazo zitakuwa mbaya sana.staeleweka na wengi ila wachache tu
@jovianusrweikila8595Ай бұрын
Well said Mama...
@PaulinaLwenaАй бұрын
Mbunge ustaili hongera sana
@sadikiissa7756Ай бұрын
Safi Sana.
@2.12carrental6Ай бұрын
Mama Yangu Jeska Mungu aendelee Kukupaq Sauti Ili Kuteteaaa
@leonardmrope9528Ай бұрын
Fact
@ImanueliMwakajinga-ry8igАй бұрын
Waooo awa ndo wabunge tunao wataka
@user-cu3cl4yy5sАй бұрын
Asante mama umesema yaliyokweli
@ButondoАй бұрын
Well said mama. Tatizo hizi haki za wanawake inashachukua kila kona
@ChrisElectrical-ck4mcАй бұрын
Kwa kweli
@JOHNKKULULINDA-pc6gyАй бұрын
MAMA, MUNGU AKUBARIKI SANA.
@josephmwinuka3982Ай бұрын
Safi mh jesca umetuwkilisha vzur
@DaimonMwapeleleАй бұрын
Taifa linaangamia tulud kwenye njia maana tumepotea kwa kumwinua mwanamke na kumshusha mwanamme
@jameswissa9981Ай бұрын
Huyo Daktari aliyetoa hiyo taarifa apimwe akili..
@alinanusweedward2952Ай бұрын
Dah Mitano tena kwa Mama Msambatavangu
@ngambikomsu64Ай бұрын
Kigwangala bhana , hilo si ndilo analosema lirekebishweeeeee? Huu uchawa bhana umekuharibu sana, utabaki kubebea wanawake mabegi tuu weweeee
@YusuphShabani-wk5bvАй бұрын
❤❤❤❤ 👍
@LightnessMunisi-uo5pdАй бұрын
Asante mama yetu
@RashidKidolingoАй бұрын
Asante mama yangu,mpaka nimelia
@nurdinswaleheАй бұрын
Kweli huyu mama kweli
@user-xp8fe3iz8wАй бұрын
Aaah we mama unajua umuhimu wa kijana wa kiume sana
@user-hj4bc5uh2xАй бұрын
Kuna raisi kila sherehe zamashoga yupo hao kinaharmonaiz dimond nawengine ndio maajent wakubwa
@user-zm5co2rf6zАй бұрын
Dah uyu mbunge anaakili sana
@japhethcharles5791Ай бұрын
Yani akili kubwa kama hii inapatikana Tanzania,eeh MUNGU ibariki Tanzania
@christerlymakala791Ай бұрын
🙏🙏🙏
@dreamleague-uq2gxАй бұрын
Fact ✊
@ramadhanmwandambotuntufye5972Ай бұрын
Wanaume siku hizi ni kama mabinti, tusemee mama achana na hao wanaoleta taarifa za hovyo .
@user-xc5lt3jm6pАй бұрын
Hii sauti ya mama imetoka Kwa mamlaka ya mwenyezi Mungu sauti haipingwi hiyo imeenda
@pastorb.alaurent1006Ай бұрын
Umeongea vitu vya point sana nakuombea sana uwe ww waziri
@prosperjuma905Ай бұрын
Kigwangala hovyo sana aise
@luqmanomary3558
Ай бұрын
Tena akil zake chache sana yaani mwanaume unatetew bado yy anaona haki kwa wanawake au shoga nn😂😂😂
Huyu ndo mama wa kazi" sio yule dhaifu toka kizmkazi"
@user-sn9ip6qr3lАй бұрын
Kwakwel nashindwa cha kukoment mama umeongea mno ila hawa kuna muda huwaga naifikiria sana serikal hii ina nin jaman afadhali umeongea mama ang vitoto vyetu mtaan vinabakwa mno tuu huku na mibaba 😢😢
@michaelmlacha5670Ай бұрын
Tukiongea ukweli bila kupepesa macho, hiyo WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, ilipaswa kuitwa WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, WANAWAKE, WAZEE NA WATOTO. Hamna kitu wanafanya Kwa ajili ya WANAUME aisee.
@st.alvincollege6184Ай бұрын
Alikua mgeni rasmi wakati namalza Form 6 mwaka 2012 ni hatar kabisa
@user-pg6db8jl2yАй бұрын
Wanafanyiwa lakin awana pakujitetea kabc jmn yaan nihuruma sana wanawake wamewekwa mbele sanaa na ndo maan utaskia mwanamme kamuuwa mke kwasababu anauchungu mwingi na mambo mengi anashindwa pakuyasemea
@user-oj3lv6et4nАй бұрын
Ningekuwa Rais ningekupa uwaziri wa jinsia maana umeupiga mwingi sana mpaka shoga kigwangara aumbuka
@charlesmateso1408Ай бұрын
Mama ana maono makubwa
@nakalikyumile3234Ай бұрын
Huyo kigwangala hana akili huyo,huyo huenda anatumiwa na wazungu kuongeza mashoga
@angelanaftael7965Ай бұрын
Hakika uzao wa kiume uko kwenye moto mkali jamani... wanaume wamechoka sana jamani...mifumo umeua wanaume imemaliza watoto wetu wa kiume...uuuuwiiiii
@petromgaya1746Ай бұрын
Kigwangala aibu 😂 chawa boi
@westserengeti5608Ай бұрын
Yaani huyu mbunge, kwa neno Hilo, hata kama una dhambi, Mungu akusemehe, yaani Leo umenena vema.
@user-kc3dx3fd8gАй бұрын
Kigangwala kweli kazi ipo kashapotea huyu mzee
@josephmwinuka3982Ай бұрын
Kigwangala huna jipya 5:44
@PauPaulo-qf3woАй бұрын
Mama ana point uyu
@LightnessMunisi-uo5pdАй бұрын
Amen🇹🇿🙏
@MusaMkembela-ex6evАй бұрын
Na mkiendelea na sera za kiboya hizo mtajaza masingle mother nchi nzima endeleeni kukandamiza wanaume
Пікірлер: 164
Wewe kweli ni mama, Asante kwa kumsemea mtoto wa kiume
Asante muheshimiwa natamani niku hug from 🇴🇲
Huyu tunatakiwa kutoa Sadaka ya Shukrani kwa ajili yake!! 🙏
@pastorteddywaziri5754
Ай бұрын
Kichwa chako wewe😂😂😂🙌🙌
Asanteee mama Bora hata umeongea
Safi Sana usawa wa kijinsia mlango wa mapepo
HEKO sana kwako Mama … quite a point!
KUMBE KUNA WABUNGE WENYE AKILI❤❤❤❤DUHHHH!!!??
Mama wewe ni 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Huyu mama alindwe kwa galama yeyote ile nahayo ndio maagizo ya mwenyezi mungu ubarikiwe sana mama
Shukrani sana kwa kututetea mama yetu wanaume sasa hivi tunaonewa sana
Huyu Mama nimempenda bure kwa kweli👏👏
Bora mama umetutetea sisi wanaume mwenyez mungu akubariki
@Zaburi-
Ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@MiriamAbdallah
Ай бұрын
Mwanaume mwenzio akili kisado alafu eti ni doctor 😢😢😢😢😢 ningepata nafasi ngemkata pua😢😢😢😢😢😢😢 baba atabaki kwenye nafasi yake kama kiongozi wa family
Sio wewe mama ni mungu anakuongoza dada yangu barikiwa sana
Da mama Mungu akusaidie
U.esema kweli kabisa kuna wanaume wananyanyasika sana hawasemi tu wanaugulia miyoni barikiwe
Nashukuru mama kwa kuongea point.ila nakuhurumia kwasababu nchi zetu zinapangiwa na mataifa yaliyoendelea kwasababu ya utegemezi na woga
Mama yangu Msambatavangu Shikamoo, Asante sana Mama, Hiyo Motion yako imeshiba.
Hii ndiyo kuongea,unaongea points tena kwa HERUFI KUBWA,safi sana mama Tanzania🎉🎉🎉🎉🎉
ASANTE MAMA ❤ Huyu ni MAMA NA NUSU 🔥🔥🔥
Mama uko vzr
Wasikuache kukuchaguwa kwenye Jimbo lako. Unahakili sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ndio maana mashoga wanaongezeka na single mother wanaongezeka
kigwangala dishi limeyumba😂😂😂
@josephjulio6112
Ай бұрын
Alaniwe kabisa pamoja na watoto wake
@MiriamAbdallah
Ай бұрын
Limejifunika kabisa 😂😂😂😂😂
Huyu kigwangala ni shoga 😂😂😂😂 anatutia aibu yani mwanamke anatutetea kigwangala anatoa hoja za hovyo. Sijapenda mungu amuweke huyu mama. Aisee
Inashangaza sana Dr. Kigwangala unatoa comment ya hovyo namna hii. Yaani huoni hilo tatizo. Wanaume tunanyanyasika anatokea mwanamke anatetea wewe unampinga. Mungu si mjinga kumfanya mwanaume awe kichwa cha familia. Sasa hivi watoto wa kiume hawana mtetezi wanageuzwa kuwa mashoga kila kona. Wanawake wanakuwa ma single mother wanalea watoto bila baba zao matokeo ni ongezeko la mashoga.
@MiriamAbdallah
Ай бұрын
Huyu tumwekee kwenye kundi like la wababa wanaolawiti na kubaka watoto wao mwamke kaona hatari yee kaona sawa MUNGU mfungue ufahamu, hii haki sawa hapana
Ukiwa Dr halafu ukaongea point less aibu sana. Kwa hii Dr ni Huyu Mama, big up mama
Asante sana mama mwenyez mungu akusaidie sana
Nampendaga sana mh Jesca udumu mama
Dah tumepata mtetezi Huyu mama anafikiria tofauti sana ,program zote za kijamii zimebeba agenda ya mwanamke,
@jonamnyone8014
Ай бұрын
Agenda ya kuwadogolesha wanaume ilianza Beijin. Huu si mpango wa Mungu. Shetani anataka kuua taasisi ya familia. Sasa hivi kuna wanaume wanaolewa na wanaume mabasha. Huu ni ufidhuli mkubwa unapaswa kupiga vita.
Hii ndo lugha inayotakiwaa kutoka sasa kwa mama zetu.
Asantee mama
Asante mama
Mungu akutie nguvu ubarkiwe
Sema mama, Mungu akubariki tuku pamoja nawe
BIG UP MAMA🤣 👏👏👏
Wewe ndie mama mwenyemaono, naumelelewa, nakweli mwanamke ukimgusa kidogo tayari unawekwa ndan nahilo kweli limewachosha wanaume matokeo yake kutelekeza familia
Bora hata umeongea naona watu sasa akili zimefunguka
Huyu mama wa Iringa hatakagi michongo ya usingle mother ni ushetani huo, Tungekuwa na mama kama hawa hakungekuwa na ushoga wala usagaji TZ
Asante Sana Mama Kwa kututetea sisi wanaume
Apewe uprofesa Ikiwezekana ajengewe Sanamu
Fact mama bora
Safiiiii saaana Mama pongezi kwako 🙏🙏🙏
Mama hongera ila nashauli (thyroidectomy ) ni nzuri kwa afya kwa wenye thyroid hyperplasia
Asante sana ni uwepo wa mungu umetuonekania kwa huyu mama no ushoga tanzania tamaduni zetu haziruhusu kabisa
Hakika Waume tumechanganyikiwa keli leo mwanaume anatukana tunatetewa na mwanamke eeee mungu tuvushe tuko hatarini sisi waja wako
Hongera sana!
Safi Sana Bora hata umewatetea hao wanawake bila kujijua Ka wametetewa maana siku zijazo zitakuwa mbaya sana.staeleweka na wengi ila wachache tu
Well said Mama...
Mbunge ustaili hongera sana
Safi Sana.
Mama Yangu Jeska Mungu aendelee Kukupaq Sauti Ili Kuteteaaa
Fact
Waooo awa ndo wabunge tunao wataka
Asante mama umesema yaliyokweli
Well said mama. Tatizo hizi haki za wanawake inashachukua kila kona
Kwa kweli
MAMA, MUNGU AKUBARIKI SANA.
Safi mh jesca umetuwkilisha vzur
Taifa linaangamia tulud kwenye njia maana tumepotea kwa kumwinua mwanamke na kumshusha mwanamme
Huyo Daktari aliyetoa hiyo taarifa apimwe akili..
Dah Mitano tena kwa Mama Msambatavangu
Kigwangala bhana , hilo si ndilo analosema lirekebishweeeeee? Huu uchawa bhana umekuharibu sana, utabaki kubebea wanawake mabegi tuu weweeee
❤❤❤❤ 👍
Asante mama yetu
Asante mama yangu,mpaka nimelia
Kweli huyu mama kweli
Aaah we mama unajua umuhimu wa kijana wa kiume sana
Kuna raisi kila sherehe zamashoga yupo hao kinaharmonaiz dimond nawengine ndio maajent wakubwa
Dah uyu mbunge anaakili sana
Yani akili kubwa kama hii inapatikana Tanzania,eeh MUNGU ibariki Tanzania
🙏🙏🙏
Fact ✊
Wanaume siku hizi ni kama mabinti, tusemee mama achana na hao wanaoleta taarifa za hovyo .
Hii sauti ya mama imetoka Kwa mamlaka ya mwenyezi Mungu sauti haipingwi hiyo imeenda
Umeongea vitu vya point sana nakuombea sana uwe ww waziri
Kigwangala hovyo sana aise
@luqmanomary3558
Ай бұрын
Tena akil zake chache sana yaani mwanaume unatetew bado yy anaona haki kwa wanawake au shoga nn😂😂😂
DAAAAAAAA ❤❤❤❤
🎉🎉
Mungu azidi kukupa kibali
maisha malefu mheshimiwa nakutakia
Uyo mwishimiwa mbunge wakiume alieomba muongozo tunamashaka naee
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yeees
Huyu ndo mama wa kazi" sio yule dhaifu toka kizmkazi"
Kwakwel nashindwa cha kukoment mama umeongea mno ila hawa kuna muda huwaga naifikiria sana serikal hii ina nin jaman afadhali umeongea mama ang vitoto vyetu mtaan vinabakwa mno tuu huku na mibaba 😢😢
Tukiongea ukweli bila kupepesa macho, hiyo WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, ilipaswa kuitwa WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, WANAWAKE, WAZEE NA WATOTO. Hamna kitu wanafanya Kwa ajili ya WANAUME aisee.
Alikua mgeni rasmi wakati namalza Form 6 mwaka 2012 ni hatar kabisa
Wanafanyiwa lakin awana pakujitetea kabc jmn yaan nihuruma sana wanawake wamewekwa mbele sanaa na ndo maan utaskia mwanamme kamuuwa mke kwasababu anauchungu mwingi na mambo mengi anashindwa pakuyasemea
Ningekuwa Rais ningekupa uwaziri wa jinsia maana umeupiga mwingi sana mpaka shoga kigwangara aumbuka
Mama ana maono makubwa
Huyo kigwangala hana akili huyo,huyo huenda anatumiwa na wazungu kuongeza mashoga
Hakika uzao wa kiume uko kwenye moto mkali jamani... wanaume wamechoka sana jamani...mifumo umeua wanaume imemaliza watoto wetu wa kiume...uuuuwiiiii
Kigwangala aibu 😂 chawa boi
Yaani huyu mbunge, kwa neno Hilo, hata kama una dhambi, Mungu akusemehe, yaani Leo umenena vema.
Kigangwala kweli kazi ipo kashapotea huyu mzee
Kigwangala huna jipya 5:44
Mama ana point uyu
Amen🇹🇿🙏
Na mkiendelea na sera za kiboya hizo mtajaza masingle mother nchi nzima endeleeni kukandamiza wanaume
Aisee naomba namba yake nimtumie hata ya vocha