MBUNGE MUSUKUMA AHOJI KIWANDA CHA CHALINZE SIMENTI, AMTAJA RIDHIWANI “HIZI DILI ZITATUMALIZA”
Жүктеу.....
Пікірлер: 165
@gasparmhapa1329 Жыл бұрын
Hii nchi Ina watu wa ajabu sana? Wabunge wote wangekuwa kama msukuma tungefika mbali sana. Big up Msukuma.
@buswerumanyama971
Жыл бұрын
Ww noma sana
@uredmwasembo8579
Жыл бұрын
Daaih ih nnchi ila. mungu yupo
@leonardmwayeya13
8 ай бұрын
Msukuma unapiga pabaya hapa hatutumi akiri kuongoza tunatumia nguvu madaraka sio uongozi bari wanafanya wanavyo jisikia
@HashimMpenja-tq9ft Жыл бұрын
Msukuma n mtu muhimu sana bungeni maana hafichi kitu yeye anaongeya ukweli mtu Allah amfanyie wepec na amlinde maana dah!!!
@rosechuwa9493 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni muhimu sana kwenye taifa letu la Tanzania. Mungu akubariki sana msukuma
@athuimansaid7279
Жыл бұрын
Wewe muone hivyo sio mtu huyo
@martinmadodo4666 Жыл бұрын
Hongera Mh Joseph Kasheku,unawapita kwa hoja Madoctor Uchwara...
@cvanoedward3093 Жыл бұрын
Kuna Mhe Msukuma na Mhe Kishimba huwa nawakubali sana
@abdulrazackkipingu5437 Жыл бұрын
Namuona kama magufuli ajaye miaka ya mbeleni hapo Congratulations 👏👏 👏
@honoratamafala6968 Жыл бұрын
Yaani Tanzania tungekuwa na Msukuma wanne tuu na wa tano wakutekeleza ,tungekuwa mbali mmno.ila janjajanja nyinngi ,wakusikia na kutekeleza hawapo kabisa inauma mno.Msukuma Mungu akujaze hekima ,utamshangaa Mungu pale atakapokupa ukuu wa nchi.amina.
@namsamson3443 Жыл бұрын
I love Msukuma kwa kweli, huyu wala sio degree ya kheshima hii ni ya darasani kabisa, hao waliokalia degree za shule hawana kitu
@marianmartin7483 Жыл бұрын
Hongera sana mh Msukuma
@psj1564 Жыл бұрын
Lasaba wako vizuri kuliko wenye digrii
@mamaluusoap5834 Жыл бұрын
Unafaa kuwa RAIS WETU MSUKUMAA
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
2025 amkeni Watanganyika muikombowe nchi yenu kutoka kwenye mikono ya raisi. wa sanamu na walaji wanao muwezesha
@mgemamgema95 Жыл бұрын
Uko vizuri sana Dr musukuma
@annawillbard4138 Жыл бұрын
Uko vizuri sana Msukuma
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Sema msukuma dili ziko chalinze kwa wauza madawa ya kulevya tumewachoka kweli kweli timu msoga tunaomba na wao wafe kama walivyomuua magufuli
@wanguwangu34 Жыл бұрын
Msukuma umeongea facts kweli,big up.
@edimundrevelian1246 Жыл бұрын
Ila Mh. Msukuma wewe ni zaidi ya Dr.
@DAUDENOS-hn7go10 ай бұрын
Hongera sana mbunge msukuma upo sawa kabisaa. Hapa chato nyamirembe
@hassanidrisankingilea8827 Жыл бұрын
Dr. Msukuma ni ana akili sana sema hawa majamaa ni wanaiba bila hata kutumia akili Dr. Endelea kuwanyoosha
@mako331 Жыл бұрын
Yani ukimsikiliza huyu jamaa utatamani kulia machozi jinsi Watanzania maskini wanavyoibiwa! Ni kama wapiga dili sasa wameamka wote kutoka mafichoni kila kona ni dili tu , haya mama kazi kwako
@spiderelexander9977 Жыл бұрын
Msukuma uko vzr sana sema wanatumia usomi wao kukukwepa kijanja.
@AlAl-sd9pl Жыл бұрын
Nampenda xana msukuma anauchungu xana na wanachi WA Tanzania
@migerajacob581 Жыл бұрын
Hongera kwa kupiga kelele ila hovyo ndivyo Nchi hii inavyo kwenda, nation cake inaliwa na watu wa chache,,
@fintanmkesha1077 Жыл бұрын
Mkiambiwa mtu anapotunukiwa u dr kama huo wat wamemfatilia sana nawakagundua kna kit anacho akilin
@rosemuhandoofficial5676 Жыл бұрын
Khaaa!! Mbona hi taaarifa ni kama ugomvi jamani!!!
Ila wasukuma wanauwezo na hawana woga wako vzr raisi mwingne atokee uko uko
@frankkajoba8372
Жыл бұрын
Sana
@victormtani7170 Жыл бұрын
Wasomi hao wanaojiita Ma Doctor ndio wenzi na wapumbavu sana na Msukuma ana akili nyingi sana siyo za kusomea ana akili za kuzaliwa toka kwa Mungu hivyo hao wasomi wa madarasani ni kuiba mitihani na kujipa Degree wakisema wamesoma kumbe hovyo kabisa. Tanzania tungekuwa na Watu 20 km Msukuma Tanzania tungekuwa mbali sana.
@ndewariopeter
Жыл бұрын
Darasa la Saba oyeee wasomi asilimia 79 hovyooooo uhalisia wa maisha yetu waafrka,unahitaji maamuzi tu,nchi ina mitaji ya kutosha,tunawakodolea mataifa ya watu weupe macho? wapeni hawa watu nafasi kubwa,tuangalie utendaji wao nao
@rohomtv1115 Жыл бұрын
PhD ya heshima
@chimanjames-ko3cs
Жыл бұрын
Ff4
@Burner_Acc Жыл бұрын
Msukuma anatemaga facts sana 😅
@jacksondaniel5577 Жыл бұрын
Muheshimiwa msukuma, wewe ni magufuri, Yani ukisimama wewe namuona magufuri kasimama, dah! Mpaka machozi🤔🤔😭😭😭
@mamaluusoap5834 Жыл бұрын
Kanda ya ziwa Ina watu vichwaaa
@chaulachaulaya5259 Жыл бұрын
Bw. Napoleon Bornapathe aliwahi kutuambia “"Never interrupt your enemy when he is making a mistake.” “Usimshtue/usimuingilie adui yako pindi anapofanya makosa”
@clemencemkondya8561 Жыл бұрын
Huyo ndiyo msukuma anayesema ukweli mtupu
@nayopamlimbatv1382 Жыл бұрын
Uyu kweli Dr wa heshima
@samwelhechei8537 Жыл бұрын
Upo vizuri Dr
@deogratiuswambura7597 Жыл бұрын
Musukuma nakuerewa sana kuna mambo ukweli ayaitaji erim
@chybuwagwantaz8054 Жыл бұрын
Namkubali sana msukuma
@LucasSalimLiamaLiama-vq7qhАй бұрын
Hii nchi bora tuwa wasukuma waitawale milele na jamaa wapo vizuri kabisa
@petrohaonga4353 Жыл бұрын
Ni mmoja ya wabunge mashujaa
@geraldndila5172 Жыл бұрын
Hakika hii nchi kunabaazi yaviongoz Wana tiahasira sana, ila ipo cku mtatapika namlichomeza endeleen nakujiaminisha kuwa hii nchi niyenu😮😮😮
@anosiata8242 Жыл бұрын
Hicho kiwanda ni ni msoga si ndo . wenye nchi. Wimbo wa roma mkatoliki.
@mwitawakimara3649 Жыл бұрын
Safi ndio inatakiwa uzalendo kama huu
@kitovagvankiwele3447 Жыл бұрын
TRA ndo kikwazo kuliko kitu chochotea kwa nchi hii wanasumbua Sana wafanyabiashara
@aminimushi6945 Жыл бұрын
Kama nikupigwa,watanzania tunapigwa,Mungu tuhurumie,ccm mko wapi?
@emmanuelletema8385 Жыл бұрын
Halafu eti wanawapiga vita darasa la 7 !!!loh 😢
@kapesaemmanuel2422Ай бұрын
Nakupenda masukuma gombea urais utatutetea we ni kama JPM
@eliudkibona7138 Жыл бұрын
100% Nakupa Musukuma kweli jimboni kwako wanajembe inatakiwa tuwe na wambuge kama wewe Hongera sana MH
@malimusi-uf4ib Жыл бұрын
Msukuma ni mwamba sana
@meshacknyandongo5772 ай бұрын
Kutoka kwa wasukuma Kuna watu vichwa sana mm nawakabali sana
@kelvinimasagasi7398 Жыл бұрын
SAFI SANA LY DALASALA SABA MH KING MSUKUMA
@vicentmlumba591 Жыл бұрын
Shida sionii Watuu waku support jamaaan what's wrong kila siku msukuma yupo mbele wengine mwaogopa or
@waziriuledi6322 Жыл бұрын
Unakili sana jamaaaa
@mohdmood9726 Жыл бұрын
Huyu ni zaidi ya wasomi
@lennymallya Жыл бұрын
Hii sehemu ya Taarifa inapoteza mda haina maaana
@husseinmkanga7794 Жыл бұрын
Kusamehe wakwepa Kodi ni kosa kubwa. Marekani wakwepa wanafungwa na wanafirisiwa hawasamehewi serikari nyingi duniani zinaendeshwa na kodi. Kwahiyo mnasamehe kodi alafu mnaenda kukopa. Mnasamehe watu madeni alafu serikari inakopa kujiongezea madeni. Hayo ndio mambo ya kuvuja nyama mchuzi unabaki. Tunatiwa changa la macho. Msukuma ni mdaiwa ndio maana anataka tra wasamehe madeni. Na tozo msitoze zinawaibia wananchi wana lipa kodi mara nyingi kwa mshahara mmoja.
@user-fk3wi6nj1i Жыл бұрын
Namkubali sana mungu amlinde
@ChristineElias-bn4dw23 күн бұрын
Asatee Bab yangu msukuma❤❤❤
@DAUDENOS-hn7go10 ай бұрын
Uelewa sio kusoma mpaka upate dngrii mnamuona msukuma. MUNGU atupe nani zaidi ya huyu mtetezi .
@fridoliusrushunju9093 Жыл бұрын
Shida ni kwamba haya yanazungumzwa yanaishia uko bungeni mwakani atakuja tena kuyauliza yaleyale ovyo kabisa
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Msukuma uko vizuri lakini kwenye bandari umelambishwa asali
@robertabel6984 Жыл бұрын
Safi sana msukuma wewe kweli ni Docta.
@kenjoseph3337 Жыл бұрын
Hii ni akili za ya kuzaliwa sio ya shuleni, big up Msukuma ,
@leticiaboniface2949 Жыл бұрын
Msukuma Mungu akubariki
@mohamedithabiti4476 Жыл бұрын
Huyu jamaa..mwenyezi mungu amuweke sanaa
@souksoukeventsandmarketing653 Жыл бұрын
TRA leo wamekula 20,000 ki nguvu
@RamiaRess-tu8it10 ай бұрын
Kazi iendeleee wabunge teteeni haki za watanzania.
@mlewamlewa976 Жыл бұрын
Fact mr dokt msukuma
@salummhina4857 Жыл бұрын
Huyu bwana msukuma wakati mwingine huwa yuko makini .Hivi kweli kama hivi ndivyo mmmmmh nchi hii vipi?
@piusmayanga Жыл бұрын
Kubali kataa wasukuma wana akili
@JumaKamasa-kl6pz3 ай бұрын
Asande musukuma mjane🇹🇿✋
@simonmathias3969 Жыл бұрын
Good
@juliuskitaluka1206 Жыл бұрын
Wanakula urefu wa kamba yao sawa sawa na maagizo
@frankthomas6509 Жыл бұрын
Pamoja sana
@catherinemuya-zm1mr2 ай бұрын
Unafaa Sana Baba,nayo kweli itawaweka huru
@Vitusseleman11 ай бұрын
Mtani wangu mungu akulinde maaana hawapendi ukweli
@magesagambajr3546 Жыл бұрын
Mbali na Dr wa heshima,msukuma wewe ni Mzalendo kweli kweli na wazalendo ktk taifa ili ni wachache mno Yn km nusu ya viongozi wadizaini ya msukuma tungekuwa nao taifa ili lingekuwa mbali kiuchumi na watanzania tungekuwa tunajinadi Sasa yamebaki majizi tu 😢😢
@SalminTenga-fx6wi2 ай бұрын
Upo ok
@leonarddimdoy6237 Жыл бұрын
Hivi mnauhakika ni darasa la saba B??huyu jamaa anatudaganya huyo ni profesa kbx
@antonynhungo8641 Жыл бұрын
Wewe ni Rais ajaye
@anthonycharles1551 Жыл бұрын
Huyu jamaa angesoma sijuw ingekuwaje
@alidhinaselemani7446
Жыл бұрын
Angekuwa kama wasomi wetu walivyo tu ndiyo shida hapo
@denisrukangula2227
Жыл бұрын
Angeharibika
@dicksontimoth4297
Жыл бұрын
Asingekuwa na akili kama waliosoma
@khalidballeth5957 Жыл бұрын
super talent ,,,,,bigup mr kagasheki
@ashuraomary5624
Жыл бұрын
P
@SaiddotiАй бұрын
Uwo niwizi mtupu.kwahalihiyo nchi haitoenderea.
@aminanamoyo83 Жыл бұрын
Sitaki taarifa 😂😂😂😂❤
@user-hk6ls3yw9qАй бұрын
Msukuma anapaswa apewe nchi
@patrickpazza4764 Жыл бұрын
Ndo mtu pekee katika nchi hii naweza nikatulia nikaangalia hotuba yake hata kwa bando la kukopa
@emmanuelmodest7457Ай бұрын
SAFI MSUKUMAAAA
@annajohn2488 Жыл бұрын
Hahaaaaaa shikamoo msukumaaa
@kimingowameno4068 Жыл бұрын
Bora wewe kuliko wenye phd
@yahyajuma8793 Жыл бұрын
Natamani nikutane na huyu jamaaa angalau tule na kunywa pamoja
@kibonajuhudi4214 Жыл бұрын
Facts
@BuluguJames2 ай бұрын
Good 👍
@kenjoseph3337 Жыл бұрын
Vamoos! Kasheku!!
@andrewkitaly6003 Жыл бұрын
Aaahhh imeelewa
@brayanjames9953 Жыл бұрын
Kwani apo msukuma alimpaa nini uyo mwenzake apo🤔🤔🤔 au nime ona mimi tu
@mandava4153
4 ай бұрын
Simu iliwaka ni kama imeita ndo akampa
@kenjoseph3337 Жыл бұрын
Daraasa la saba is dispensing knowledge than a university😂
@raphaelukani2637 Жыл бұрын
Nikionaga hoja za dr msukuma huwa siwez pita bila kuzisikiliza MUNGU AKUSIMAMIE
Пікірлер: 165
Hii nchi Ina watu wa ajabu sana? Wabunge wote wangekuwa kama msukuma tungefika mbali sana. Big up Msukuma.
@buswerumanyama971
Жыл бұрын
Ww noma sana
@uredmwasembo8579
Жыл бұрын
Daaih ih nnchi ila. mungu yupo
@leonardmwayeya13
8 ай бұрын
Msukuma unapiga pabaya hapa hatutumi akiri kuongoza tunatumia nguvu madaraka sio uongozi bari wanafanya wanavyo jisikia
Msukuma n mtu muhimu sana bungeni maana hafichi kitu yeye anaongeya ukweli mtu Allah amfanyie wepec na amlinde maana dah!!!
Huyu jamaa ni muhimu sana kwenye taifa letu la Tanzania. Mungu akubariki sana msukuma
@athuimansaid7279
Жыл бұрын
Wewe muone hivyo sio mtu huyo
Hongera Mh Joseph Kasheku,unawapita kwa hoja Madoctor Uchwara...
Kuna Mhe Msukuma na Mhe Kishimba huwa nawakubali sana
Namuona kama magufuli ajaye miaka ya mbeleni hapo Congratulations 👏👏 👏
Yaani Tanzania tungekuwa na Msukuma wanne tuu na wa tano wakutekeleza ,tungekuwa mbali mmno.ila janjajanja nyinngi ,wakusikia na kutekeleza hawapo kabisa inauma mno.Msukuma Mungu akujaze hekima ,utamshangaa Mungu pale atakapokupa ukuu wa nchi.amina.
I love Msukuma kwa kweli, huyu wala sio degree ya kheshima hii ni ya darasani kabisa, hao waliokalia degree za shule hawana kitu
Hongera sana mh Msukuma
Lasaba wako vizuri kuliko wenye digrii
Unafaa kuwa RAIS WETU MSUKUMAA
2025 amkeni Watanganyika muikombowe nchi yenu kutoka kwenye mikono ya raisi. wa sanamu na walaji wanao muwezesha
Uko vizuri sana Dr musukuma
Uko vizuri sana Msukuma
Sema msukuma dili ziko chalinze kwa wauza madawa ya kulevya tumewachoka kweli kweli timu msoga tunaomba na wao wafe kama walivyomuua magufuli
Msukuma umeongea facts kweli,big up.
Ila Mh. Msukuma wewe ni zaidi ya Dr.
Hongera sana mbunge msukuma upo sawa kabisaa. Hapa chato nyamirembe
Dr. Msukuma ni ana akili sana sema hawa majamaa ni wanaiba bila hata kutumia akili Dr. Endelea kuwanyoosha
Yani ukimsikiliza huyu jamaa utatamani kulia machozi jinsi Watanzania maskini wanavyoibiwa! Ni kama wapiga dili sasa wameamka wote kutoka mafichoni kila kona ni dili tu , haya mama kazi kwako
Msukuma uko vzr sana sema wanatumia usomi wao kukukwepa kijanja.
Nampenda xana msukuma anauchungu xana na wanachi WA Tanzania
Hongera kwa kupiga kelele ila hovyo ndivyo Nchi hii inavyo kwenda, nation cake inaliwa na watu wa chache,,
Mkiambiwa mtu anapotunukiwa u dr kama huo wat wamemfatilia sana nawakagundua kna kit anacho akilin
Khaaa!! Mbona hi taaarifa ni kama ugomvi jamani!!!
@angelchimamy9775
Жыл бұрын
Hapana anasema ukweli ndo maaaana mpka anaskia hasila
Musukuma Mungu akuweke miaka buku100
Hongera sana msukuma,huyu ni mzalendo wa kweli
Msukumaaaa uko vizuri sanaaaaa😂❤
Ila wasukuma wanauwezo na hawana woga wako vzr raisi mwingne atokee uko uko
@frankkajoba8372
Жыл бұрын
Sana
Wasomi hao wanaojiita Ma Doctor ndio wenzi na wapumbavu sana na Msukuma ana akili nyingi sana siyo za kusomea ana akili za kuzaliwa toka kwa Mungu hivyo hao wasomi wa madarasani ni kuiba mitihani na kujipa Degree wakisema wamesoma kumbe hovyo kabisa. Tanzania tungekuwa na Watu 20 km Msukuma Tanzania tungekuwa mbali sana.
@ndewariopeter
Жыл бұрын
Darasa la Saba oyeee wasomi asilimia 79 hovyooooo uhalisia wa maisha yetu waafrka,unahitaji maamuzi tu,nchi ina mitaji ya kutosha,tunawakodolea mataifa ya watu weupe macho? wapeni hawa watu nafasi kubwa,tuangalie utendaji wao nao
PhD ya heshima
@chimanjames-ko3cs
Жыл бұрын
Ff4
Msukuma anatemaga facts sana 😅
Muheshimiwa msukuma, wewe ni magufuri, Yani ukisimama wewe namuona magufuri kasimama, dah! Mpaka machozi🤔🤔😭😭😭
Kanda ya ziwa Ina watu vichwaaa
Bw. Napoleon Bornapathe aliwahi kutuambia “"Never interrupt your enemy when he is making a mistake.” “Usimshtue/usimuingilie adui yako pindi anapofanya makosa”
Huyo ndiyo msukuma anayesema ukweli mtupu
Uyu kweli Dr wa heshima
Upo vizuri Dr
Musukuma nakuerewa sana kuna mambo ukweli ayaitaji erim
Namkubali sana msukuma
Hii nchi bora tuwa wasukuma waitawale milele na jamaa wapo vizuri kabisa
Ni mmoja ya wabunge mashujaa
Hakika hii nchi kunabaazi yaviongoz Wana tiahasira sana, ila ipo cku mtatapika namlichomeza endeleen nakujiaminisha kuwa hii nchi niyenu😮😮😮
Hicho kiwanda ni ni msoga si ndo . wenye nchi. Wimbo wa roma mkatoliki.
Safi ndio inatakiwa uzalendo kama huu
TRA ndo kikwazo kuliko kitu chochotea kwa nchi hii wanasumbua Sana wafanyabiashara
Kama nikupigwa,watanzania tunapigwa,Mungu tuhurumie,ccm mko wapi?
Halafu eti wanawapiga vita darasa la 7 !!!loh 😢
Nakupenda masukuma gombea urais utatutetea we ni kama JPM
100% Nakupa Musukuma kweli jimboni kwako wanajembe inatakiwa tuwe na wambuge kama wewe Hongera sana MH
Msukuma ni mwamba sana
Kutoka kwa wasukuma Kuna watu vichwa sana mm nawakabali sana
SAFI SANA LY DALASALA SABA MH KING MSUKUMA
Shida sionii Watuu waku support jamaaan what's wrong kila siku msukuma yupo mbele wengine mwaogopa or
Unakili sana jamaaaa
Huyu ni zaidi ya wasomi
Hii sehemu ya Taarifa inapoteza mda haina maaana
Kusamehe wakwepa Kodi ni kosa kubwa. Marekani wakwepa wanafungwa na wanafirisiwa hawasamehewi serikari nyingi duniani zinaendeshwa na kodi. Kwahiyo mnasamehe kodi alafu mnaenda kukopa. Mnasamehe watu madeni alafu serikari inakopa kujiongezea madeni. Hayo ndio mambo ya kuvuja nyama mchuzi unabaki. Tunatiwa changa la macho. Msukuma ni mdaiwa ndio maana anataka tra wasamehe madeni. Na tozo msitoze zinawaibia wananchi wana lipa kodi mara nyingi kwa mshahara mmoja.
Namkubali sana mungu amlinde
Asatee Bab yangu msukuma❤❤❤
Uelewa sio kusoma mpaka upate dngrii mnamuona msukuma. MUNGU atupe nani zaidi ya huyu mtetezi .
Shida ni kwamba haya yanazungumzwa yanaishia uko bungeni mwakani atakuja tena kuyauliza yaleyale ovyo kabisa
Msukuma uko vizuri lakini kwenye bandari umelambishwa asali
Safi sana msukuma wewe kweli ni Docta.
Hii ni akili za ya kuzaliwa sio ya shuleni, big up Msukuma ,
Msukuma Mungu akubariki
Huyu jamaa..mwenyezi mungu amuweke sanaa
TRA leo wamekula 20,000 ki nguvu
Kazi iendeleee wabunge teteeni haki za watanzania.
Fact mr dokt msukuma
Huyu bwana msukuma wakati mwingine huwa yuko makini .Hivi kweli kama hivi ndivyo mmmmmh nchi hii vipi?
Kubali kataa wasukuma wana akili
Asande musukuma mjane🇹🇿✋
Good
Wanakula urefu wa kamba yao sawa sawa na maagizo
Pamoja sana
Unafaa Sana Baba,nayo kweli itawaweka huru
Mtani wangu mungu akulinde maaana hawapendi ukweli
Mbali na Dr wa heshima,msukuma wewe ni Mzalendo kweli kweli na wazalendo ktk taifa ili ni wachache mno Yn km nusu ya viongozi wadizaini ya msukuma tungekuwa nao taifa ili lingekuwa mbali kiuchumi na watanzania tungekuwa tunajinadi Sasa yamebaki majizi tu 😢😢
Upo ok
Hivi mnauhakika ni darasa la saba B??huyu jamaa anatudaganya huyo ni profesa kbx
Wewe ni Rais ajaye
Huyu jamaa angesoma sijuw ingekuwaje
@alidhinaselemani7446
Жыл бұрын
Angekuwa kama wasomi wetu walivyo tu ndiyo shida hapo
@denisrukangula2227
Жыл бұрын
Angeharibika
@dicksontimoth4297
Жыл бұрын
Asingekuwa na akili kama waliosoma
super talent ,,,,,bigup mr kagasheki
@ashuraomary5624
Жыл бұрын
P
Uwo niwizi mtupu.kwahalihiyo nchi haitoenderea.
Sitaki taarifa 😂😂😂😂❤
Msukuma anapaswa apewe nchi
Ndo mtu pekee katika nchi hii naweza nikatulia nikaangalia hotuba yake hata kwa bando la kukopa
SAFI MSUKUMAAAA
Hahaaaaaa shikamoo msukumaaa
Bora wewe kuliko wenye phd
Natamani nikutane na huyu jamaaa angalau tule na kunywa pamoja
Facts
Good 👍
Vamoos! Kasheku!!
Aaahhh imeelewa
Kwani apo msukuma alimpaa nini uyo mwenzake apo🤔🤔🤔 au nime ona mimi tu
@mandava4153
4 ай бұрын
Simu iliwaka ni kama imeita ndo akampa
Daraasa la saba is dispensing knowledge than a university😂
Nikionaga hoja za dr msukuma huwa siwez pita bila kuzisikiliza MUNGU AKUSIMAMIE
Hakipoo hicho kiwanda chalinze