MBUNGE MUSUKUMA AHOJI KIWANDA CHA CHALINZE SIMENTI, AMTAJA RIDHIWANI “HIZI DILI ZITATUMALIZA”

Пікірлер: 165

  • @gasparmhapa1329
    @gasparmhapa1329 Жыл бұрын

    Hii nchi Ina watu wa ajabu sana? Wabunge wote wangekuwa kama msukuma tungefika mbali sana. Big up Msukuma.

  • @buswerumanyama971

    @buswerumanyama971

    Жыл бұрын

    Ww noma sana

  • @uredmwasembo8579

    @uredmwasembo8579

    Жыл бұрын

    Daaih ih nnchi ila. mungu yupo

  • @leonardmwayeya13

    @leonardmwayeya13

    8 ай бұрын

    Msukuma unapiga pabaya hapa hatutumi akiri kuongoza tunatumia nguvu madaraka sio uongozi bari wanafanya wanavyo jisikia

  • @HashimMpenja-tq9ft
    @HashimMpenja-tq9ft Жыл бұрын

    Msukuma n mtu muhimu sana bungeni maana hafichi kitu yeye anaongeya ukweli mtu Allah amfanyie wepec na amlinde maana dah!!!

  • @rosechuwa9493
    @rosechuwa9493 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ni muhimu sana kwenye taifa letu la Tanzania. Mungu akubariki sana msukuma

  • @athuimansaid7279

    @athuimansaid7279

    Жыл бұрын

    Wewe muone hivyo sio mtu huyo

  • @martinmadodo4666
    @martinmadodo4666 Жыл бұрын

    Hongera Mh Joseph Kasheku,unawapita kwa hoja Madoctor Uchwara...

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Жыл бұрын

    Kuna Mhe Msukuma na Mhe Kishimba huwa nawakubali sana

  • @abdulrazackkipingu5437
    @abdulrazackkipingu5437 Жыл бұрын

    Namuona kama magufuli ajaye miaka ya mbeleni hapo Congratulations 👏👏 👏

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Жыл бұрын

    Yaani Tanzania tungekuwa na Msukuma wanne tuu na wa tano wakutekeleza ,tungekuwa mbali mmno.ila janjajanja nyinngi ,wakusikia na kutekeleza hawapo kabisa inauma mno.Msukuma Mungu akujaze hekima ,utamshangaa Mungu pale atakapokupa ukuu wa nchi.amina.

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Жыл бұрын

    I love Msukuma kwa kweli, huyu wala sio degree ya kheshima hii ni ya darasani kabisa, hao waliokalia degree za shule hawana kitu

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Жыл бұрын

    Hongera sana mh Msukuma

  • @psj1564
    @psj1564 Жыл бұрын

    Lasaba wako vizuri kuliko wenye digrii

  • @mamaluusoap5834
    @mamaluusoap5834 Жыл бұрын

    Unafaa kuwa RAIS WETU MSUKUMAA

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Жыл бұрын

    2025 amkeni Watanganyika muikombowe nchi yenu kutoka kwenye mikono ya raisi. wa sanamu na walaji wanao muwezesha

  • @mgemamgema95
    @mgemamgema95 Жыл бұрын

    Uko vizuri sana Dr musukuma

  • @annawillbard4138
    @annawillbard4138 Жыл бұрын

    Uko vizuri sana Msukuma

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Sema msukuma dili ziko chalinze kwa wauza madawa ya kulevya tumewachoka kweli kweli timu msoga tunaomba na wao wafe kama walivyomuua magufuli

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Жыл бұрын

    Msukuma umeongea facts kweli,big up.

  • @edimundrevelian1246
    @edimundrevelian1246 Жыл бұрын

    Ila Mh. Msukuma wewe ni zaidi ya Dr.

  • @DAUDENOS-hn7go
    @DAUDENOS-hn7go10 ай бұрын

    Hongera sana mbunge msukuma upo sawa kabisaa. Hapa chato nyamirembe

  • @hassanidrisankingilea8827
    @hassanidrisankingilea8827 Жыл бұрын

    Dr. Msukuma ni ana akili sana sema hawa majamaa ni wanaiba bila hata kutumia akili Dr. Endelea kuwanyoosha

  • @mako331
    @mako331 Жыл бұрын

    Yani ukimsikiliza huyu jamaa utatamani kulia machozi jinsi Watanzania maskini wanavyoibiwa! Ni kama wapiga dili sasa wameamka wote kutoka mafichoni kila kona ni dili tu , haya mama kazi kwako

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 Жыл бұрын

    Msukuma uko vzr sana sema wanatumia usomi wao kukukwepa kijanja.

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Жыл бұрын

    Nampenda xana msukuma anauchungu xana na wanachi WA Tanzania

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 Жыл бұрын

    Hongera kwa kupiga kelele ila hovyo ndivyo Nchi hii inavyo kwenda, nation cake inaliwa na watu wa chache,,

  • @fintanmkesha1077
    @fintanmkesha1077 Жыл бұрын

    Mkiambiwa mtu anapotunukiwa u dr kama huo wat wamemfatilia sana nawakagundua kna kit anacho akilin

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Жыл бұрын

    Khaaa!! Mbona hi taaarifa ni kama ugomvi jamani!!!

  • @angelchimamy9775

    @angelchimamy9775

    Жыл бұрын

    Hapana anasema ukweli ndo maaaana mpka anaskia hasila

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga4027 Жыл бұрын

    Musukuma Mungu akuweke miaka buku100

  • @Kristofanitv
    @Kristofanitv Жыл бұрын

    Hongera sana msukuma,huyu ni mzalendo wa kweli

  • @octavianmushi
    @octavianmushi Жыл бұрын

    Msukumaaaa uko vizuri sanaaaaa😂❤

  • @cosein
    @cosein Жыл бұрын

    Ila wasukuma wanauwezo na hawana woga wako vzr raisi mwingne atokee uko uko

  • @frankkajoba8372

    @frankkajoba8372

    Жыл бұрын

    Sana

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 Жыл бұрын

    Wasomi hao wanaojiita Ma Doctor ndio wenzi na wapumbavu sana na Msukuma ana akili nyingi sana siyo za kusomea ana akili za kuzaliwa toka kwa Mungu hivyo hao wasomi wa madarasani ni kuiba mitihani na kujipa Degree wakisema wamesoma kumbe hovyo kabisa. Tanzania tungekuwa na Watu 20 km Msukuma Tanzania tungekuwa mbali sana.

  • @ndewariopeter

    @ndewariopeter

    Жыл бұрын

    Darasa la Saba oyeee wasomi asilimia 79 hovyooooo uhalisia wa maisha yetu waafrka,unahitaji maamuzi tu,nchi ina mitaji ya kutosha,tunawakodolea mataifa ya watu weupe macho? wapeni hawa watu nafasi kubwa,tuangalie utendaji wao nao

  • @rohomtv1115
    @rohomtv1115 Жыл бұрын

    PhD ya heshima

  • @chimanjames-ko3cs

    @chimanjames-ko3cs

    Жыл бұрын

    Ff4

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Жыл бұрын

    Msukuma anatemaga facts sana 😅

  • @jacksondaniel5577
    @jacksondaniel5577 Жыл бұрын

    Muheshimiwa msukuma, wewe ni magufuri, Yani ukisimama wewe namuona magufuri kasimama, dah! Mpaka machozi🤔🤔😭😭😭

  • @mamaluusoap5834
    @mamaluusoap5834 Жыл бұрын

    Kanda ya ziwa Ina watu vichwaaa

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259 Жыл бұрын

    Bw. Napoleon Bornapathe aliwahi kutuambia “"Never interrupt your enemy when he is making a mistake.” “Usimshtue/usimuingilie adui yako pindi anapofanya makosa”

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Жыл бұрын

    Huyo ndiyo msukuma anayesema ukweli mtupu

  • @nayopamlimbatv1382
    @nayopamlimbatv1382 Жыл бұрын

    Uyu kweli Dr wa heshima

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 Жыл бұрын

    Upo vizuri Dr

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Жыл бұрын

    Musukuma nakuerewa sana kuna mambo ukweli ayaitaji erim

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz8054 Жыл бұрын

    Namkubali sana msukuma

  • @LucasSalimLiamaLiama-vq7qh
    @LucasSalimLiamaLiama-vq7qhАй бұрын

    Hii nchi bora tuwa wasukuma waitawale milele na jamaa wapo vizuri kabisa

  • @petrohaonga4353
    @petrohaonga4353 Жыл бұрын

    Ni mmoja ya wabunge mashujaa

  • @geraldndila5172
    @geraldndila5172 Жыл бұрын

    Hakika hii nchi kunabaazi yaviongoz Wana tiahasira sana, ila ipo cku mtatapika namlichomeza endeleen nakujiaminisha kuwa hii nchi niyenu😮😮😮

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Жыл бұрын

    Hicho kiwanda ni ni msoga si ndo . wenye nchi. Wimbo wa roma mkatoliki.

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649 Жыл бұрын

    Safi ndio inatakiwa uzalendo kama huu

  • @kitovagvankiwele3447
    @kitovagvankiwele3447 Жыл бұрын

    TRA ndo kikwazo kuliko kitu chochotea kwa nchi hii wanasumbua Sana wafanyabiashara

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 Жыл бұрын

    Kama nikupigwa,watanzania tunapigwa,Mungu tuhurumie,ccm mko wapi?

  • @emmanuelletema8385
    @emmanuelletema8385 Жыл бұрын

    Halafu eti wanawapiga vita darasa la 7 !!!loh 😢

  • @kapesaemmanuel2422
    @kapesaemmanuel2422Ай бұрын

    Nakupenda masukuma gombea urais utatutetea we ni kama JPM

  • @eliudkibona7138
    @eliudkibona7138 Жыл бұрын

    100% Nakupa Musukuma kweli jimboni kwako wanajembe inatakiwa tuwe na wambuge kama wewe Hongera sana MH

  • @malimusi-uf4ib
    @malimusi-uf4ib Жыл бұрын

    Msukuma ni mwamba sana

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo5772 ай бұрын

    Kutoka kwa wasukuma Kuna watu vichwa sana mm nawakabali sana

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 Жыл бұрын

    SAFI SANA LY DALASALA SABA MH KING MSUKUMA

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Жыл бұрын

    Shida sionii Watuu waku support jamaaan what's wrong kila siku msukuma yupo mbele wengine mwaogopa or

  • @waziriuledi6322
    @waziriuledi6322 Жыл бұрын

    Unakili sana jamaaaa

  • @mohdmood9726
    @mohdmood9726 Жыл бұрын

    Huyu ni zaidi ya wasomi

  • @lennymallya
    @lennymallya Жыл бұрын

    Hii sehemu ya Taarifa inapoteza mda haina maaana

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Жыл бұрын

    Kusamehe wakwepa Kodi ni kosa kubwa. Marekani wakwepa wanafungwa na wanafirisiwa hawasamehewi serikari nyingi duniani zinaendeshwa na kodi. Kwahiyo mnasamehe kodi alafu mnaenda kukopa. Mnasamehe watu madeni alafu serikari inakopa kujiongezea madeni. Hayo ndio mambo ya kuvuja nyama mchuzi unabaki. Tunatiwa changa la macho. Msukuma ni mdaiwa ndio maana anataka tra wasamehe madeni. Na tozo msitoze zinawaibia wananchi wana lipa kodi mara nyingi kwa mshahara mmoja.

  • @user-fk3wi6nj1i
    @user-fk3wi6nj1i Жыл бұрын

    Namkubali sana mungu amlinde

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw23 күн бұрын

    Asatee Bab yangu msukuma❤❤❤

  • @DAUDENOS-hn7go
    @DAUDENOS-hn7go10 ай бұрын

    Uelewa sio kusoma mpaka upate dngrii mnamuona msukuma. MUNGU atupe nani zaidi ya huyu mtetezi .

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 Жыл бұрын

    Shida ni kwamba haya yanazungumzwa yanaishia uko bungeni mwakani atakuja tena kuyauliza yaleyale ovyo kabisa

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Жыл бұрын

    Msukuma uko vizuri lakini kwenye bandari umelambishwa asali

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Жыл бұрын

    Safi sana msukuma wewe kweli ni Docta.

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Жыл бұрын

    Hii ni akili za ya kuzaliwa sio ya shuleni, big up Msukuma ,

  • @leticiaboniface2949
    @leticiaboniface2949 Жыл бұрын

    Msukuma Mungu akubariki

  • @mohamedithabiti4476
    @mohamedithabiti4476 Жыл бұрын

    Huyu jamaa..mwenyezi mungu amuweke sanaa

  • @souksoukeventsandmarketing653
    @souksoukeventsandmarketing653 Жыл бұрын

    TRA leo wamekula 20,000 ki nguvu

  • @RamiaRess-tu8it
    @RamiaRess-tu8it10 ай бұрын

    Kazi iendeleee wabunge teteeni haki za watanzania.

  • @mlewamlewa976
    @mlewamlewa976 Жыл бұрын

    Fact mr dokt msukuma

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 Жыл бұрын

    Huyu bwana msukuma wakati mwingine huwa yuko makini .Hivi kweli kama hivi ndivyo mmmmmh nchi hii vipi?

  • @piusmayanga
    @piusmayanga Жыл бұрын

    Kubali kataa wasukuma wana akili

  • @JumaKamasa-kl6pz
    @JumaKamasa-kl6pz3 ай бұрын

    Asande musukuma mjane🇹🇿✋

  • @simonmathias3969
    @simonmathias3969 Жыл бұрын

    Good

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Жыл бұрын

    Wanakula urefu wa kamba yao sawa sawa na maagizo

  • @frankthomas6509
    @frankthomas6509 Жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @catherinemuya-zm1mr
    @catherinemuya-zm1mr2 ай бұрын

    Unafaa Sana Baba,nayo kweli itawaweka huru

  • @Vitusseleman
    @Vitusseleman11 ай бұрын

    Mtani wangu mungu akulinde maaana hawapendi ukweli

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 Жыл бұрын

    Mbali na Dr wa heshima,msukuma wewe ni Mzalendo kweli kweli na wazalendo ktk taifa ili ni wachache mno Yn km nusu ya viongozi wadizaini ya msukuma tungekuwa nao taifa ili lingekuwa mbali kiuchumi na watanzania tungekuwa tunajinadi Sasa yamebaki majizi tu 😢😢

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi2 ай бұрын

    Upo ok

  • @leonarddimdoy6237
    @leonarddimdoy6237 Жыл бұрын

    Hivi mnauhakika ni darasa la saba B??huyu jamaa anatudaganya huyo ni profesa kbx

  • @antonynhungo8641
    @antonynhungo8641 Жыл бұрын

    Wewe ni Rais ajaye

  • @anthonycharles1551
    @anthonycharles1551 Жыл бұрын

    Huyu jamaa angesoma sijuw ingekuwaje

  • @alidhinaselemani7446

    @alidhinaselemani7446

    Жыл бұрын

    Angekuwa kama wasomi wetu walivyo tu ndiyo shida hapo

  • @denisrukangula2227

    @denisrukangula2227

    Жыл бұрын

    Angeharibika

  • @dicksontimoth4297

    @dicksontimoth4297

    Жыл бұрын

    Asingekuwa na akili kama waliosoma

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Жыл бұрын

    super talent ,,,,,bigup mr kagasheki

  • @ashuraomary5624

    @ashuraomary5624

    Жыл бұрын

    P

  • @Saiddoti
    @SaiddotiАй бұрын

    Uwo niwizi mtupu.kwahalihiyo nchi haitoenderea.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Жыл бұрын

    Sitaki taarifa 😂😂😂😂❤

  • @user-hk6ls3yw9q
    @user-hk6ls3yw9qАй бұрын

    Msukuma anapaswa apewe nchi

  • @patrickpazza4764
    @patrickpazza4764 Жыл бұрын

    Ndo mtu pekee katika nchi hii naweza nikatulia nikaangalia hotuba yake hata kwa bando la kukopa

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457Ай бұрын

    SAFI MSUKUMAAAA

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 Жыл бұрын

    Hahaaaaaa shikamoo msukumaaa

  • @kimingowameno4068
    @kimingowameno4068 Жыл бұрын

    Bora wewe kuliko wenye phd

  • @yahyajuma8793
    @yahyajuma8793 Жыл бұрын

    Natamani nikutane na huyu jamaaa angalau tule na kunywa pamoja

  • @kibonajuhudi4214
    @kibonajuhudi4214 Жыл бұрын

    Facts

  • @BuluguJames
    @BuluguJames2 ай бұрын

    Good 👍

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Жыл бұрын

    Vamoos! Kasheku!!

  • @andrewkitaly6003
    @andrewkitaly6003 Жыл бұрын

    Aaahhh imeelewa

  • @brayanjames9953
    @brayanjames9953 Жыл бұрын

    Kwani apo msukuma alimpaa nini uyo mwenzake apo🤔🤔🤔 au nime ona mimi tu

  • @mandava4153

    @mandava4153

    4 ай бұрын

    Simu iliwaka ni kama imeita ndo akampa

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Жыл бұрын

    Daraasa la saba is dispensing knowledge than a university😂

  • @raphaelukani2637
    @raphaelukani2637 Жыл бұрын

    Nikionaga hoja za dr msukuma huwa siwez pita bila kuzisikiliza MUNGU AKUSIMAMIE

  • @user-ej5xu7hi7n
    @user-ej5xu7hi7n2 ай бұрын

    Hakipoo hicho kiwanda chalinze

Келесі