Msukuma awavaa mawaziri aikataa taarifa ya Kunambi" hii ni aibu, madudu mengi"

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma akichangia maoni yake kwenye taarifa ya kamati kuhusu ripoti za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2022

Пікірлер: 67

  • @frankilunga1447
    @frankilunga1447 Жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu ipo siku utaongoza Tanzania kwa uwezo wa Mungu kwa mbalii namuona mwendazake anafurai kumuona kijana wake anavyosema ukweli

  • @madattarcharles1114
    @madattarcharles1114 Жыл бұрын

    Comrade unajua kweli kabisa,huwa nafatilia speeches zako yaani unaongelea Ukweli, nakupenda Sana Msukuma%%%%%%%......

  • @deusmtewele1599
    @deusmtewele1599 Жыл бұрын

    C A G mwizi anakagua wezi Msukuma hiyo nimeipenda

  • @sifathyunusu871
    @sifathyunusu871 Жыл бұрын

    Msukuma sisi watanzania ndugu zako kaka zako TUNAKUPENDA kwa sababu ubunge unautendea haki sio kama wabunge wengine wanakaa bungeni bila kututetea lolote hii sio dili unafaa KTK nafasi hiyo mimi natoka KAGERA Muleba usiogope na usirudi nyuma unapokua unatenda haki ya kututetea Asante sana Mungu akubariki

  • @kabulukimati

    @kabulukimati

    Жыл бұрын

    Wabadilishe. Wote.unda.baraza.jipya

  • @fellisianholle9431
    @fellisianholle9431 Жыл бұрын

    Uko sawa sana mbuge msukuma kwa kulishauli bunge

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Жыл бұрын

    Msukuma angalia sana CCM itakukolimba angalia sana wenye nchi yao toka awamu ya kwanza wanakuona

  • @RehemaNchimbi-ji9jq
    @RehemaNchimbi-ji9jq2 ай бұрын

    Namkubali sana msukuma👍👍👍

  • @user-ge6fi8dk2g
    @user-ge6fi8dk2g Жыл бұрын

    Upo vizuri sana Msukuma

  • @majurandaro1408
    @majurandaro1408 Жыл бұрын

    wabunge wote wangekuwa kama msukuma bunge lingewa safi nawananchi wasinge kuwa na shida

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Жыл бұрын

    Dah kwahiyo watu wa cag wanawazunguka wabunge na wabunge wanawazunguka dah Mungu tuokoe

  • @davidchungu6598
    @davidchungu6598 Жыл бұрын

    KWA SERIKALI HII YA AWAMU YA 6 NA KWA LICHAMA HILI LA CCM MAJIZI MATUPU MSITUPIGIE MAKELELE HAPO

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 Жыл бұрын

    Tunakupenda msukuma MUNGU azidi kukutunza

  • @benjaminbatano698
    @benjaminbatano698 Жыл бұрын

    Mama yupo China anatafuta pesa hakuna shida ataziba mapengo ya pesa zilizoibiwa na mafisadi.

  • @DaudiMwanyombole-tm6hm
    @DaudiMwanyombole-tm6hm Жыл бұрын

    Musukuma unayo yaongea nikweli kabisa wasomi wanatuangusha sana ukiangalia kazi zingine unakuta yamefanyika madudu tupu

  • @IpyanaMwangonda
    @IpyanaMwangondaАй бұрын

    Mzee nakuelewa sana ila msaidieni ata ally mlagila mbuge wa kyela Yani atetei ata wilaya yake mungu akubaliki

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Жыл бұрын

    Musukuma hajui kitu, talk talk talk hajui hata katiba ya nchi!

  • @allymukhsin2962

    @allymukhsin2962

    5 ай бұрын

    Bro kama haujui siasa nyamaza

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 Жыл бұрын

    Hongera sn bro we n Kat ya wazalendo wa Nchi hii.

  • @stevumgaya6543
    @stevumgaya6543 Жыл бұрын

    Tanzania tunajuwa kusema lakini hatuchukui hatua

  • @user-fx3sk9kh1s
    @user-fx3sk9kh1s4 ай бұрын

    Mama mpe uwaziri wa nishati mh msukuma

  • @VumiliaMwakamisa
    @VumiliaMwakamisa10 ай бұрын

    Huyu anaeitwa hasunga yupo bungeni kweli? Inamaana huku ,kwenyejimbo lake hakuna matatizo🙆???¿ Hiiiiii jaman

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya31906 күн бұрын

    Hahahaha huyu jamaa kunambi nakumbuka hata chuo LLB 2011 darasani alikua hivo 😢😢

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Жыл бұрын

    Kwa Tanzania tulipofika tunaka kiongozi kama magufuli. Magufuli alikuwa haangalia mtu. Usoni. Uwe kiongozi wa kigogo alikuwa anasumbuliwa. Tumechoka na wizi serikari

  • @josephsengule3039
    @josephsengule3039 Жыл бұрын

    Uko vizuri

  • @paulmhelwa8403
    @paulmhelwa8403 Жыл бұрын

    Uko sasa mbele ya mawaziri

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce1559 Жыл бұрын

    Tunaeishi mbagala msukuma umetukosea chaurembo mbunge huyo msukuma analala na ng'ombe mbona Yuko bungeni?

  • @mikesalii8568
    @mikesalii856826 күн бұрын

    Katiba mpya ndiyo itungwe

  • @fabianshibai3623
    @fabianshibai3623 Жыл бұрын

    Good akiri kubwa

  • @BarakaNestol-qw4bn
    @BarakaNestol-qw4bn Жыл бұрын

    Kazi endlee

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Жыл бұрын

    Ewe msukuma nakuamini hata msomi hawezi kukupinga uko sawa

  • @mabugamussa2860
    @mabugamussa2860 Жыл бұрын

    Katiba mpya muhimu

  • @IpyanaMwangonda
    @IpyanaMwangondaАй бұрын

    🎉🎉❤❤

  • @deusmtewele1599
    @deusmtewele1599 Жыл бұрын

    Msukuma CAG aanzie ukaguzi bungeni humo ataona jinsi Covid 19 wanavyo kula hela zetu bila chama na nyinyi mmefumba macho

  • @tekelosangala2278
    @tekelosangala2278 Жыл бұрын

    Sema bwana nimekuelewa

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂msukuma nakupenda

  • @naomijoram4622
    @naomijoram4622 Жыл бұрын

    Safi sana Boniphase kapongezwa harafu akapewa yake mazingira machafu hahahaha wewe kama Mheshimiwa onyesha mfano usafi Boniphase

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Жыл бұрын

    msukuma kwa nn usiwe rais tu aaah

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu4184 Жыл бұрын

    Safi king

  • @salehehussein5560
    @salehehussein5560 Жыл бұрын

    Msukuma baba mwaka 2025 njo ugombee pangani Mana atuna mbunge wa kuisemea pangani tuna mbunge kapata bahat akapewa nafasi awe wazili wa maji lkini pangani bado tunashida ya mji

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 Жыл бұрын

    Msukuma kichwa kweli hoteli ile inahitai eneo

  • @jasonkalekezi1191
    @jasonkalekezi1191 Жыл бұрын

    Achieni madaraka amuwezi kuongoza nchi ao wanaokura hela za watanzania wametokana na sera zenu ccm na wabunge hamna haki ya kukemea ubadhilifu huu ikiwa wengi wenu mko bungeni Kwa wizi wa kura me binafsi naona munajikosha tu wote ni wezi mumetengeneza mifumo ya wizi wenyewe,na wanaoiba hela za watanzania ndo wale wale mnawatumiaga kuiba kura .ndani ya ccm akuna msafi wote hati zenu ni chafu mno.

  • @KuruthumMichael-gh1vv
    @KuruthumMichael-gh1vv Жыл бұрын

    Kenya

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Жыл бұрын

    Sasa munaelekea kwenye sera za chadema mutajenga nchi kila mtu ana cheyo et aah achen ujinga magavana ndyo kila kitu

  • @mussasadick770
    @mussasadick770 Жыл бұрын

    Kila mfanyakazi kwenye anakiwa kuwajibika Ili kutimiza malengo ya serikali

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Жыл бұрын

    Ccm mnatakiwa muwe pembeni mmeshinda kutuongoza

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Жыл бұрын

    Tunaupiga mwingi jamani, sifa kila cku zinamiminwa! Mie nadhan tusilaumu! Tuendeleeni tu kusifia!

  • @andrew29468
    @andrew29468 Жыл бұрын

    Msukuma una hoja nimependa,ile hotel ilijengwa bila akili nyingi hata eneo la parking lilipatikana bdae,ni kutokufikiria

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Жыл бұрын

    Musukuma unaupiga mwingi

  • @NaaminiNgwatu
    @NaaminiNgwatu Жыл бұрын

    Unaongea ukweli baba lakini haupat sapot

  • @SiwemaSelemani-iq9oh
    @SiwemaSelemani-iq9oh Жыл бұрын

    Mung akulide

  • @chrislwali5660
    @chrislwali5660 Жыл бұрын

    Yani hii Tz cjui kwa nn nimekuja huku Bola ningebk hukohko

  • @shabirumsagati9369
    @shabirumsagati9369 Жыл бұрын

    Msukuma cyo tu mbunge ni mbunge pekee!!

  • @joachimgolola1086
    @joachimgolola1086 Жыл бұрын

    SEMA msukima

  • @JumaMnana-bf6bf
    @JumaMnana-bf6bf10 ай бұрын

    No

  • @SaidSiria
    @SaidSiria3 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Жыл бұрын

    Wote wezi nyie acheni kutudanganya nyinyi wajinga!

  • @deusmtewele1599
    @deusmtewele1599 Жыл бұрын

    Msukuma wasukume wajinga hao

  • @kongatulia6231
    @kongatulia6231 Жыл бұрын

    Wapinzani walikuwa wanasaidia ila sasa mmm

  • @janenzilano632

    @janenzilano632

    Жыл бұрын

    Juuu

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Жыл бұрын

    sasa wote wa mama mmoja hakuna kudhuriana ! Hakuna jipya hapo !!

  • @mayaally2512

    @mayaally2512

    Жыл бұрын

    Kwan wakiwepo wapinzani wanaongeza nn sasa ?

  • @jacksonsawe2301

    @jacksonsawe2301

    Жыл бұрын

    Ukweli kuvunja Paradaiz Cinema Jengo alama ya mji mkongwe wenzetumajengo yanakuwa kumbukumbu sisi tunabomoa

  • @IpyanaMwangonda
    @IpyanaMwangondaАй бұрын

    🎉🎉❤❤

  • @IpyanaMwangonda
    @IpyanaMwangondaАй бұрын

    🎉🎉❤❤

Келесі