Msukuma awavaa mawaziri aikataa taarifa ya Kunambi" hii ni aibu, madudu mengi"
Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma akichangia maoni yake kwenye taarifa ya kamati kuhusu ripoti za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2022
Пікірлер: 67
Mungu akupe maisha marefu ipo siku utaongoza Tanzania kwa uwezo wa Mungu kwa mbalii namuona mwendazake anafurai kumuona kijana wake anavyosema ukweli
Comrade unajua kweli kabisa,huwa nafatilia speeches zako yaani unaongelea Ukweli, nakupenda Sana Msukuma%%%%%%%......
C A G mwizi anakagua wezi Msukuma hiyo nimeipenda
Msukuma sisi watanzania ndugu zako kaka zako TUNAKUPENDA kwa sababu ubunge unautendea haki sio kama wabunge wengine wanakaa bungeni bila kututetea lolote hii sio dili unafaa KTK nafasi hiyo mimi natoka KAGERA Muleba usiogope na usirudi nyuma unapokua unatenda haki ya kututetea Asante sana Mungu akubariki
@kabulukimati
Жыл бұрын
Wabadilishe. Wote.unda.baraza.jipya
Uko sawa sana mbuge msukuma kwa kulishauli bunge
Msukuma angalia sana CCM itakukolimba angalia sana wenye nchi yao toka awamu ya kwanza wanakuona
Namkubali sana msukuma👍👍👍
Upo vizuri sana Msukuma
wabunge wote wangekuwa kama msukuma bunge lingewa safi nawananchi wasinge kuwa na shida
Dah kwahiyo watu wa cag wanawazunguka wabunge na wabunge wanawazunguka dah Mungu tuokoe
KWA SERIKALI HII YA AWAMU YA 6 NA KWA LICHAMA HILI LA CCM MAJIZI MATUPU MSITUPIGIE MAKELELE HAPO
Tunakupenda msukuma MUNGU azidi kukutunza
Mama yupo China anatafuta pesa hakuna shida ataziba mapengo ya pesa zilizoibiwa na mafisadi.
Musukuma unayo yaongea nikweli kabisa wasomi wanatuangusha sana ukiangalia kazi zingine unakuta yamefanyika madudu tupu
Mzee nakuelewa sana ila msaidieni ata ally mlagila mbuge wa kyela Yani atetei ata wilaya yake mungu akubaliki
Musukuma hajui kitu, talk talk talk hajui hata katiba ya nchi!
@allymukhsin2962
5 ай бұрын
Bro kama haujui siasa nyamaza
Hongera sn bro we n Kat ya wazalendo wa Nchi hii.
Tanzania tunajuwa kusema lakini hatuchukui hatua
Mama mpe uwaziri wa nishati mh msukuma
Huyu anaeitwa hasunga yupo bungeni kweli? Inamaana huku ,kwenyejimbo lake hakuna matatizo🙆???¿ Hiiiiii jaman
Hahahaha huyu jamaa kunambi nakumbuka hata chuo LLB 2011 darasani alikua hivo 😢😢
Kwa Tanzania tulipofika tunaka kiongozi kama magufuli. Magufuli alikuwa haangalia mtu. Usoni. Uwe kiongozi wa kigogo alikuwa anasumbuliwa. Tumechoka na wizi serikari
Uko vizuri
Uko sasa mbele ya mawaziri
Tunaeishi mbagala msukuma umetukosea chaurembo mbunge huyo msukuma analala na ng'ombe mbona Yuko bungeni?
Katiba mpya ndiyo itungwe
Good akiri kubwa
Kazi endlee
Ewe msukuma nakuamini hata msomi hawezi kukupinga uko sawa
Katiba mpya muhimu
🎉🎉❤❤
Msukuma CAG aanzie ukaguzi bungeni humo ataona jinsi Covid 19 wanavyo kula hela zetu bila chama na nyinyi mmefumba macho
Sema bwana nimekuelewa
😂😂😂😂😂msukuma nakupenda
Safi sana Boniphase kapongezwa harafu akapewa yake mazingira machafu hahahaha wewe kama Mheshimiwa onyesha mfano usafi Boniphase
msukuma kwa nn usiwe rais tu aaah
Safi king
Msukuma baba mwaka 2025 njo ugombee pangani Mana atuna mbunge wa kuisemea pangani tuna mbunge kapata bahat akapewa nafasi awe wazili wa maji lkini pangani bado tunashida ya mji
Msukuma kichwa kweli hoteli ile inahitai eneo
Achieni madaraka amuwezi kuongoza nchi ao wanaokura hela za watanzania wametokana na sera zenu ccm na wabunge hamna haki ya kukemea ubadhilifu huu ikiwa wengi wenu mko bungeni Kwa wizi wa kura me binafsi naona munajikosha tu wote ni wezi mumetengeneza mifumo ya wizi wenyewe,na wanaoiba hela za watanzania ndo wale wale mnawatumiaga kuiba kura .ndani ya ccm akuna msafi wote hati zenu ni chafu mno.
Kenya
Sasa munaelekea kwenye sera za chadema mutajenga nchi kila mtu ana cheyo et aah achen ujinga magavana ndyo kila kitu
Kila mfanyakazi kwenye anakiwa kuwajibika Ili kutimiza malengo ya serikali
Ccm mnatakiwa muwe pembeni mmeshinda kutuongoza
Tunaupiga mwingi jamani, sifa kila cku zinamiminwa! Mie nadhan tusilaumu! Tuendeleeni tu kusifia!
Msukuma una hoja nimependa,ile hotel ilijengwa bila akili nyingi hata eneo la parking lilipatikana bdae,ni kutokufikiria
Musukuma unaupiga mwingi
Unaongea ukweli baba lakini haupat sapot
Mung akulide
Yani hii Tz cjui kwa nn nimekuja huku Bola ningebk hukohko
Msukuma cyo tu mbunge ni mbunge pekee!!
SEMA msukima
No
😂😂😂😂
Wote wezi nyie acheni kutudanganya nyinyi wajinga!
Msukuma wasukume wajinga hao
Wapinzani walikuwa wanasaidia ila sasa mmm
@janenzilano632
Жыл бұрын
Juuu
sasa wote wa mama mmoja hakuna kudhuriana ! Hakuna jipya hapo !!
@mayaally2512
Жыл бұрын
Kwan wakiwepo wapinzani wanaongeza nn sasa ?
@jacksonsawe2301
Жыл бұрын
Ukweli kuvunja Paradaiz Cinema Jengo alama ya mji mkongwe wenzetumajengo yanakuwa kumbukumbu sisi tunabomoa
🎉🎉❤❤
🎉🎉❤❤