MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA
MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 820
Asante mheshimiwa spika. Taifa hili tunahitaji watu wakweli ili tufike. Dr. Tulia Mungu akutunze mama yangu😍...Msukuma tunakupa PhD nyingine tena😍
@thomastarimo
Жыл бұрын
Mweshimiwa sipika sisi tunakushukuru kwa pointi
@thomastarimo
Жыл бұрын
Wewe acha ujinga unatoa ela hizo ela ni zako wewe ela ni zetu za walipa kodi
Tulia unafanya watu wajivunie watoto wa kike
Mh. Tulia wewe ni mlezi na mwenye haki moyoni mwako.
Big up sana Dr.Tulia Akson, speaker wa bunge la Tanzania. Tungepata pia na wabunge hata 7 wa upinzani ambao ni machachari hakika tungefika mbali sana.
@georgemassebu2083
Жыл бұрын
Upinzani ndo nini we nae! Mlishajiaminisha mtu kua mpinzani ndo anakua mkweli? Humo ndani huwaoni wabunge walio machachali kutetea wananchi? We unawaza upinzani tu, mpinzani ni mTanzania na hao CCM ni waTanzania
@malugukushaha6764
Жыл бұрын
@@georgemassebu2083usifikili kuwa kila mtu anayesema wawepo na wapinzani ukahisi na yeye ni mpinzani. Inabidi uangalie mbali ni kwanini huyu mtu kasema hivyo. Ipo siku utakubaliana nami.
@afterfull-time1348
Жыл бұрын
Muda wote waliokuwemo mlifika wapi au unaleta ushabiki wa kitoto tu hapa
@wechemakambo2182
Жыл бұрын
Ile kulewa mpaka kuvunjika miguu?
@ibutilehyila9146
Жыл бұрын
Unaona ee!!! big up sana asee!!!!
Hongera sana Mh. Spika kwa kutokukubali uongo wa baadhi ya mawaziri kama walivyozoea business as.....
@meryshekoloa961
Жыл бұрын
Bila kua muongo nchi hii utateseka sana hongera Sana spika
Tulia sio kwa kumnyuka hivyo mwiguru😂😂atakuwa akikuona anatamani kulia😂😂
@naturelle1097
Жыл бұрын
Acha alie
@pidiusdominic3673
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allykamanga4366
Жыл бұрын
Lazma aanze kumuogopa, maana siku zile alihojiwa hadi tukapata ile trab na trant...leo tena kajaa kwenye 18 tena
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@thomasmagoti9040
Жыл бұрын
@@allykamanga4366 haahaha
Dr.Tulia Akson ..big up,so smart
Hii ndio raha ya kuwa na Spika Daktari wa Sheria, Big up sana Mama Speaker, Uishi miaka mingi bungeni mama👏👏👏🙌🙌🙌🤝🤝🤝🙏🙏🙏
@auntdorah9141
Жыл бұрын
Raha ya kuwa na kiongozi mwanamke( mama🥰) anayejua uchungu wa kubeba ndoo Nakupenda mpk naumwa🥰🥰
@godwinshoo5032
Жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa spika kwa elimu unayotowa mara kwa mara kwa mawaziri na wabunge wanaojifanya wajuaji!
@henrychaula1174
Жыл бұрын
Sijajua Mwigulu anashindwa wapi kumwelewa Spika
@banzimtizii5020
Жыл бұрын
Mwigulu kaelewa ila hana jibu la uhakika
@edigarfurumericus3745
Жыл бұрын
Huyu jamaa mchumi lakin 🫥 kabisa
dada tulia mungu akulinde nakupenda tu
I see the bright future for this woman...May God bless her
KUNAKITU NINAKIONA HAPA KIZURI SANA NAOMBA ENDELEA HIVYO HIVYO ILI UJE KUWA HAFITHI NZURI KATIKA TAIFA Ila utakuwa MWANAMKE wa 1 MZALENDO mpaka Sasa unakaribia Ila MUNGU akujalie kwa Imani yako mama angu hongera Ila ww NI MZALENDO unakaribia MUNGU akujalie usije ukawa upande wa hao majambazi hongera sana
Huyo jamaa hakuna kitu kabisa
@williamsenkoro2210
Жыл бұрын
Alafu anajifanya mbishi anajua kila kitu ..
@personpeter2221
Жыл бұрын
Mwakaaa huu ni wake
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
Huyu hadi ndanj kwa mkewe ni boya mpumbavu huyu
@EmmanuelLupoja
Ай бұрын
Tumtumbue et
Ubarikiwe sana Mhe.Spika Tulia Akson. Ninaiman na wewe kwa haki unayointenda katika nafasi yako.
Mwigulu bwana!!! Hoja IPO wazi,,,,,msukuma anaweza kuwa mbunge no 1 kwa hoja ambazo Ni real
dr Tulia your the best and you deserve to be in that position
Yan mwaka huu, kiukwery aisee dah😥😥😥yan hata kwenye maj bado watu wanajing'ata ng'ata eeh mungu weeeeh😥😥😥
@mbwanamtessa8607
Жыл бұрын
Tena mbunge na waziri mwenye dhamana kubwa.
Yaan huyu jamaa huwa simuelewi Haki ya Mungu asee huyu jamaaa liwekwe jiwe na yeye bora nichague jiwe kuliko huyu jamaa asee
@catherinemzurikwao3265
Жыл бұрын
Hata mimi sijawahi kumwelewa. Ni kilaza kufa mtu 😃😃😃😃
Asante spika Tulia. Nimekukubali kwa kusimamia hoja. Keep it up💪💪👍
This Lady is future Head of State!!
@auntdorah9141
Жыл бұрын
Kweli ...hili ni jembe
TRAB NA TRAT😎🎼🎶🎵🎧
@godwinananias5358
Жыл бұрын
Akuna kitu hapo hyooo msanii tyu
@shinipapaya846
Жыл бұрын
🤣🤣
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Nakumbuka Magufuli aliwahi kumpiga gwala toka siku ile ndio nikatambua kabisaa ya kwamba Magufuli anaona mbali sana 🤣🤣
@sebastianzongoro8915
Жыл бұрын
Hapo ndiyo unafahamu kwamba spika ni msomi anasimamia haki hatetei ujinga
@annastellalugayana8454
Жыл бұрын
Asante madam Kama Jimbo letu la kibamba ni asilimia moja tu ya watu wanaopata maji asilimia 99 hatujui maji ya bomba tunatumia maji chumvi je uko vijijini si ndio kabisa
Huu siyo u daktar wa darasani. Tuna madoctors wengii Tanzania. Huo ni udoctor wa damu. Anajua kutetea haki na ukweli bila kigugumizi. Hongera sana dada Yetu na Spika wa Bunge la 🇹🇿 Nimeupenda msimamo na hoja zake.🙏
Unajua Haya majibu ya serikali lzm ya we yanajitosheleza. Naona Kama Waziri hayuko happy sana kubanwa hivyo.
@jacobmsigwa383
Жыл бұрын
Mzee wa TRAT na TRAB anazingua
@machaggechacha3422
Жыл бұрын
Shauri yake kubanwa. Ndiyo maana kuwa waziri wa michongo. Mwigulu ni tunda bovu.
Huyu mama kiboko
Hongera sana mh tulia mana umetusaidia nasisi wananchi kujua/ kupata ufafanuzi zaidi ubalikiwe sana.
@johnjumalesso8153
Жыл бұрын
Uyo waziri hafai kabisa
Mama yetu Dr. Tulia you have wisdom God bless you mum🇹🇿
Huyu Mwigulu atupishe kazi imemshinda
@leokamil6284
Жыл бұрын
Nashangaa Raisi sijui kwa nini anambeba mtu hawezi kabisa
😂😂😂 Siku akiwa kwenye kiti Docter Tulia Nafurahi sana kulitazama Bunge Maana sio Spika Wamchongo hata kidogo
huyu mwanamke saiz kabadilika aiseee 🤣🤣🤣 ahsant sana 🙏
@amoji126
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Mwigulu has attended the class in a Parliament Meeting Hall. Congratulations Dr. Tulia Ackson
@samwelimasoya5612
Жыл бұрын
Huna uwezo kuwa sipka huna huruma
Mzee wa trab na trat big up Dr Tulia unatufurahisha
@deusdeditswebe8930
Жыл бұрын
TRAB na TRAT...🙄
@emmanuelsilasi6395
3 ай бұрын
Trab na trat imejaa longolongo😂😂😂
You are so smart madam Speaker..all the best
@kazembe987
Жыл бұрын
Punguzeni Saisa nchi mnaitia hasara kubwa
tuwe tu wastaarabu jamani kwa suala la waziri wa fedha tumepigwa, naomba kuwasilisha.
Congratulations sana mama yetu Dkt.Tulia, waziri ameshindwa kuelewa swali kabisa kabisa
Kwa kweli mwenyewe nimekuelewa spika toka mwanzo maana haihitaji kwenda shule kuelewa concept hizo mbili ziko sahihi kulingana na kila mmoja anapovutia sema waziri wa fedha kwa hapo kazingua.
@bulugusoteli
Жыл бұрын
Wazir wa fedha ni ziro hakuna kitu
@nelsabugo3613
Жыл бұрын
Spika Mungu akulinde
Dr Tulia 🔥
@obeidmpombwe9951
Жыл бұрын
Mwigulu ni tatizo sijuwi sijawahi kumwelewa kabisa
@amanichuwa6687
Жыл бұрын
Mama amtoe huyu mtu watu wanamshambulia sana uwezo wake wa kutatua mambo ni mdogo
....Trab na trat 😂😂😂😂
Msukuma😂😂😂😍
Du! Nimeamin kweli tulia ni zaidi ya NDUGAI
Tulia huyu mhuuuuuh 😁😁😁😁😁😁😁😁atawanyoosha afu inaonekana anamalengo mapana kuliko hako kausipika
Huyu dada tulia anajua xana pia ni anajielewa sana
Mzimu wa magufuli umemuingia Tulia Acson . Big up mama
mwigulu amezoea kutudanganya😂😂😂😂😂😂😂leo kapatikana,i appreciate you tulia ackson
dah tunapigwa sana waziri hajui kit
Yan Katka viongoz huyu mweshimiwa sjawaig kukuelewa.🙇🙇🙇🙇
MWIGULU UNACHEMKA, WAKATI WENZAKO WANAWATETEA WANANCHI WEWE UNATETEA MASLAHI YAKO BINAFSI UTAFIKIRI KIJIJINI KWENU HAWANA SHIDA KABISA....Yaani kila kitu kwako ni "TRAB & TRAT" tu.
Mwigulu mpaka umueleze vzr madame spika uwazir uliupataje pataje😎😎😂😂😂
@prophetlinustesha6333
Жыл бұрын
😂
@gametongwe3539
Жыл бұрын
MAMA YENU HUYO KAMUWEKA KIJANA WAKE
@issaissaswaleh5547
Жыл бұрын
Amesoma kweli huyo Mzee, au dhambi za watanzania inamsokota.
@amoskatela1282
Жыл бұрын
Spika endelea na mkazo wa namna hiyo ili wawe wanajibu hoja walengwa
Mheshimiwa Tulia Mungu wa mbinguni akutunze🙏
Mheshimiwa Raisi mtoe huyu Waziri wa Fedha hafai hata kidogo kwa nini unamngangania nini?anakutia aibu tu kwani msomi ni yeye tu
Waziri bwana😂😂 mama Tulia Ackson ni 🔥🔥🎻🎷🎷🎷🎸
I like her. Give this woman the presidency.
@kwisa4899
Жыл бұрын
Nafasi yake ni kubwa zaidi ya hiyo ya urais
@mohamedpius4895
Жыл бұрын
Hongera spika uongo hauna nafasi
@aloycesilwela3485
Жыл бұрын
We we we usithubutu kabisa
KWELI TUNAPIGWA AISE😭😭😭😭😭😭😭😭
Shkamoo mh spika nakuombea sana wasije wakakuuwa
Tulia anaupiga mwingi kuliko mama yenu
@amour5535
Жыл бұрын
Huyu akigombea urais nampigia kura
@gametongwe3539
Жыл бұрын
SURE 💯
Madame speaker your doing an amazing job na hongera sana kwa kweli.
Yan Dr tulia anaakili Sana Mungu akubariki Sana ! Huyo mwingine anajiita dokta wa hesabu ona sasa udaktar wake sasa zero plus
Sema waziri, mmh, hv unashindwa kumuelewesha spika wako, hiv asa unatusikilizaje wananch wako, 😥
Dr Tulia anaupiga mwingi sana
Ndio kabisa tulia spk upo sahihi wabunge wanatakiwa waelezee mpk mwananch wa huku kijijini nielewe
Hapo Sawa kila Mhimili ufanye kazi yake...Taarifa kama haipo Sawa kutoka Serikalini lazima isimwe haipo Sawa na hiyo ndo kazi ya Bunge na haki isipopatikana Mahakama Lazima isimamie haki ipatikane🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mzee wa Trab na Trap kabananishwa tena😆😆😆
Huyu mwingulu nasemaga kila siku hakunaga kitu kwenye kichwa chake nakama anajua achokifanya Basi huyu ni mwanasiasa
Waziri kachemka huyo ndio waziri huyo..... Mhuu kazi kweli kweli
Tulia ndio kiongozi tunaowataka sio zungu mpigaji tu na hana faida yeyote bungeni afukuzwe
@clintonarnold6291
Жыл бұрын
Anaubabe wa kjnga kwanza zungu
Hatuna waziri wafedha tanzania
Hongera sana Spika wetu. Unasimamia ukweli. Hicho kiti kinakutosha sana. 👏👏👏👏
Safi sana tulia napenda unavowabana huwangalii sura ya mtu sio waziri sio sio nani ukiona vitu haviendi sawa unambana Safi Sana hupendelei nakuelewa sawa doct TULIA ACKSON
Tulia ajengewe Mnara pale Nyerere square pembeni 😊😊😊😊💥💥💥
Mh spika🔥🔥
Hatari Sana hwa Mawaziri
Mwigulu awe waziri wa Nchi za mchongo tu kwanza Jeuri sana huyo na kauli zake zakejili kwa raia
Kwani lazima kuwa na wabunge wasielewa jamani , Dr tulia leo umenikosha na msukuma
Waziri wa fedha gani anaeshindwa na hesabu ndogo.
Napata mashaka kama wizala ya fedha inamtosha mwigulu kichwa kigum kuelewa safi sana spika tulia nakupenda sana
Hakika ww Ni mpenda haki
Mh mw fanya utafiti upendwi kuliko unavyo fikilia tokea nizaliwe wewe ni 1 kwa kiwango icho
Uyu Dada amesoma kuliko Dr mwigulu daaa mungu akupe maisha marefu MH TULIA akson
@Bashirubakarisalala
2 ай бұрын
Sasa mwigulu kasomea wap
Ukweli Spika uko vzr xana big up
waziri wa fedha hajui kutoa maelezo
Mbegu yamagufur
Kaka Mbunge mbona mbishi sana jamani? 😃
Hivi Mama kuweka tahila kama huyu kwenye wizara kubwa kama hii ya fedha aliona nini hivi Kwa hali kama hii tutatoboa kweli?
Mwigulu na Makamba hawaaminiwi na wananchi wengi
@joeaub2185
Жыл бұрын
weka na nape hao watu ni wa mchongo...
Upinzani ulikua unachangamsha bunge bwana🤣🤣🤣🤣 hili bunge limepoa sana
Tulia acson endelea na moyo huo mama. Big up toa shule
Kwa hiyo Mwigulu kama takwimu za kitaifa ni 74 percnt then kila kijiji ni asilimia hiyo hiyo.... ??? Ni kwamba kuna vijijini vitakuwa havina maji na kuna ambayo vitakuwa na asilimia zaidi ya 90.....
I really love mh msukumu from Burundi. Dr wa mathematics.
Big up mama uko vizuri👏👏
Safi sana Dr Tulia 🙏🙏🙏
YAANI HUYU WAZIRI HAFAI HATA KUWA MWENYEKITI WA MTAA
Safi Sanaa Do Rulia umemwuliza swali gumu kwa mwugulu. Ana Cha kujibu.
Asante Spika. Uko sawa kabisa
Dr. Tulia anaitwa tulia (relax) lakini hawezi kuTulia ikiwa mtu anabisha sehemu ambapo sheria au hoja inaeleweka wazi alafu mtu anaendelea kumpinga.
Tarime ni 10%
Jaman nasema Tena hapa kwa mwigulu hamna kitu.naona aende tu nyumbn hyo safas wapo weng wanaoiweza
Yaani enzi za JPM angekuwa ameshapigwa chini huyu Waziri wa Fedha.
Spika Dr. Tulia unakuwa wa kupoteza mda. Asilimia ya takwimu za maji kitaifa amwatajia. Tena akasema jimboni kwake kwa anayelalamikia maji aende kwa watu husika kuulizia yeye ana takwimu za kitaifa . Hapo atasema nini zaidi.
Huyu mwizi huyu Yani Nchi Inaviongozi wa hovyo sana
Asante xana spika mh. Tulia ackson kwa kuendelea kuendexha bunge la jamhur ya muungano ya Tanzania. Kazi iendeleee🙏🙏🙏🙏🙏
Mwigulu unaferi wapi kaka Iyo hesabu mbona ya STD 7? Ua ulipitiliza la 7? Pule
waziri wa fedha anapaniki, wa nishati naye hivyo hivyo ndo awamu ya 5 hawakuwepo.hawa wapigaji ndo maana wanapaniki