Musukuma amfokea Waziri, Amwambia, Nataka gari lako lifungwe Gesi uone linavyopiga kelele.
Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
MEDIA COVERAGE
1.Goverment Events
2.Social Events
3.Documentary
4.Live Streaming
5.Zoom Meting
6.Photo & Videograph
BUSINESS ADVERTISEMENT
#Hotel
#Appartiment
#Restaurant
#Supermakert
#Hall
#Sallon
#New Business
PTINTING
1.Banner
2.Sticker & Flyers
3.Brochures
4.Business Card
5.Graphics Design
6.Logo Design
7.Tshirt Printing
Call Us
0716909567
0766909567
DODOMA
Пікірлер: 54
Nashangaa watu ambao sio wasomi,wanachangia vitu vya maana 😂😂😂
🇹🇿 ndio Nchi pekee inayo mwambia marehemu Amuombee kwa Mungu.
Mwenyezi Mungu akujalie tena na tena msukuma
Kaka safi sana nimubunge peke anaye piga nia malanyingi haki zamasikini wanyonge kaka safi sana
@khamisibundala4805
8 ай бұрын
Naamuunga mkono mbuge msukuma chapa kazi baba
Nakubali sana msukuma mwenzangu
msukuma unayajua zaidi hakika unafaaaa
Uko sahihi kabisa Mweshimiwa
Huyo jamaa anapoint kubwa sana
Wote walio shiriki, kuuza ngo'mbe watarahaniwa.. Nawafugaji.. Mungu anawaona
DP World na Musukuma oyeeeed
Yani mheshimiwa msukuma kwakweli mungu atazame juzi mama mmoja kafungwa miaka ishirini nambili kisa chake nivipande vya nyama ya swala lakini walioiba mabilioni wako mabarabarani wanatamba tu
Sababu kubwa gas ni nafuu, kilo 1500, na inapatikana hapa, tunaweza kupunguza mabilioni ya pesa kuagiza mafuta
Msukuma mungu akulinde unapepo yako kwa mungu
Huyu jamaaa anajua
Msukuma nakuhunga mkono tunajuwa hujasoma lakini maneno Yako yanatupa moyo Sisi wana mchi nakupa mkono 👋👋👋
Kabisa kk
Msukuma Mungu akubariki
Mitandao Utaratibu inakuaje.
huyu jamaa ni sawa na wasomi 20 ana hoja nzito sana
Jamaa huyu mungu Akusahidie
SH LAKI MOJA NG'OMBE
Sawa kaka
Msukum anatumia nature
Saw mbuge
Huo ni mpango wa upigaji hawalidhiki na mali ya serikali sasa wanaingia mpka kwa wananchi Mungu atatenda
Mbunge ni mmoja
Msukuma unathamani ya shingapi uje kwenye jimbo langu
Washatukela
Daah
@AmiryMmanga
8 ай бұрын
Msukuma hongera unaongea ga vitu vya akili wengine wanatetea matumbo Yao hawajali wananchi
🎉🎉🎉
Halafu huyu kairuki ni lazima atakua ni mhaya kwa sababu ni kabishi
Huyu jamaa ana akili sana
Raisi uyu..apewe
HV mnatofautishaje uzembe wamawazili nalaisi?pengine wnatumwa namteulewao wafanyemadudu HV kamahuliziki nawayafanyayo mawziliwako kwaniniusitengue?lakini klambunge utamsikia pongezikwamama cchuku tunaumia naufsadiunaoendelea kwakweli wabunge pongezihizo Zinawavunjia heshima sanahukumtaani niwakujikweza
Meli ya. Tetanic
Kaulinnj ,fomu ya kugombea urais 2025 inamuhusu
Msukum akiwa raisi watasema wampe jamani Yani huyu kaka ANAYO akili sana
Ukiangalia comments za watu unabaki unashangaa. Mpka sasa kuna gari zaidi ya 5000. Gesi si hatari kama wengi wanavyodhani, petroli inalipuka haraka zaidi kuliko gesi hii inayotumika. Hapa kunatofauti ya kujua mambo kwa kina na elimu. Elimu elimu, elimu.
Meli. Ya. Tetanic
Msukuma suala la mfumo wa gesi hulijui linavyofanya kazi kama una vituo vya mafuta naomba jiheshimu acha serikali ijenge vituo vya kujazia gesi magari umeongea uongo sana eti gari inabadilisha mlio ni uongo mtupu leo umeniboa sana
@user-yr5nx2nw8r
6 ай бұрын
huna point kalale
@philipolubuva4102
6 ай бұрын
@@user-yr5nx2nw8r soma kwa sauti ulichoandika kisha waonyeshe watu point yako.
Msukuma unaongea aunamsaada ii sio serekali ya masikini ii selekali ya matajili
Gesi is not good for the environment. Tumieni EV wapimbafu nyinyi.
MWANZA Endeleeni kumuamini mtu huyu ANA AKILI nyingi.
@philbertcelestin7057
8 ай бұрын
Kwani ni wa Mwanza???
Msukuma hapa kwenye suala la vituo vya gesi umeniangusha mkuu, au kwasababu na wewe ni mnufaika wa mafuta nini?
Hio mitungi wanayoweka ndani ya magar kwanza niatar
Anaongea pumba
Anaongea vitu makini na yuko sa hihi asilimia 100
msukuma popote ulipo mungu akubariki akuepushe na maofu ya dunia uko sahihi kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-jw3zo5no2n
7 ай бұрын
Msukuma bora uwe rais baba umeongea meng ya msing vichwa vigum hawaelew