Musukuma amfokea Waziri, Amwambia, Nataka gari lako lifungwe Gesi uone linavyopiga kelele.

Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
MEDIA COVERAGE
1.Goverment Events
2.Social Events
3.Documentary
4.Live Streaming
5.Zoom Meting
6.Photo & Videograph
BUSINESS ADVERTISEMENT
#Hotel
#Appartiment
#Restaurant
#Supermakert
#Hall
#Sallon
#New Business
PTINTING
1.Banner
2.Sticker & Flyers
3.Brochures
4.Business Card
5.Graphics Design
6.Logo Design
7.Tshirt Printing
Call Us
0716909567
0766909567
DODOMA

Пікірлер: 54

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba68028 ай бұрын

    Nashangaa watu ambao sio wasomi,wanachangia vitu vya maana 😂😂😂

  • @stevenrichard189
    @stevenrichard1898 ай бұрын

    🇹🇿 ndio Nchi pekee inayo mwambia marehemu Amuombee kwa Mungu.

  • @alexiuscornely1449
    @alexiuscornely14498 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akujalie tena na tena msukuma

  • @FadhiliMgalla-ds9fx
    @FadhiliMgalla-ds9fx8 ай бұрын

    Kaka safi sana nimubunge peke anaye piga nia malanyingi haki zamasikini wanyonge kaka safi sana

  • @khamisibundala4805

    @khamisibundala4805

    8 ай бұрын

    Naamuunga mkono mbuge msukuma chapa kazi baba

  • @lazboylazboy6188
    @lazboylazboy61888 ай бұрын

    Nakubali sana msukuma mwenzangu

  • @user-yr5nx2nw8r
    @user-yr5nx2nw8r6 ай бұрын

    msukuma unayajua zaidi hakika unafaaaa

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba68028 ай бұрын

    Uko sahihi kabisa Mweshimiwa

  • @Ashahabibu-yr1rn
    @Ashahabibu-yr1rn4 ай бұрын

    Huyo jamaa anapoint kubwa sana

  • @user-gw7fu9pu7d
    @user-gw7fu9pu7d8 ай бұрын

    Wote walio shiriki, kuuza ngo'mbe watarahaniwa.. Nawafugaji.. Mungu anawaona

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi2118 ай бұрын

    DP World na Musukuma oyeeeed

  • @estominmrema5782
    @estominmrema57828 ай бұрын

    Yani mheshimiwa msukuma kwakweli mungu atazame juzi mama mmoja kafungwa miaka ishirini nambili kisa chake nivipande vya nyama ya swala lakini walioiba mabilioni wako mabarabarani wanatamba tu

  • @bayekefarijala5042
    @bayekefarijala50428 ай бұрын

    Sababu kubwa gas ni nafuu, kilo 1500, na inapatikana hapa, tunaweza kupunguza mabilioni ya pesa kuagiza mafuta

  • @user-cr5kr1vm2x
    @user-cr5kr1vm2x8 ай бұрын

    Msukuma mungu akulinde unapepo yako kwa mungu

  • @isihakaog8355
    @isihakaog8355Ай бұрын

    Huyu jamaaa anajua

  • @lilymuro4993
    @lilymuro49938 ай бұрын

    Msukuma nakuhunga mkono tunajuwa hujasoma lakini maneno Yako yanatupa moyo Sisi wana mchi nakupa mkono 👋👋👋

  • @user-uz5cu7cr9h
    @user-uz5cu7cr9h8 ай бұрын

    Kabisa kk

  • @maadigitalpro
    @maadigitalpro7 ай бұрын

    Msukuma Mungu akubariki

  • @IrackMdalingwa-jw8ui
    @IrackMdalingwa-jw8ui7 ай бұрын

    Mitandao Utaratibu inakuaje.

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw8 ай бұрын

    huyu jamaa ni sawa na wasomi 20 ana hoja nzito sana

  • @user-gw7fu9pu7d
    @user-gw7fu9pu7d8 ай бұрын

    Jamaa huyu mungu Akusahidie

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego7978 ай бұрын

    SH LAKI MOJA NG'OMBE

  • @michaelcosmas9540
    @michaelcosmas95408 ай бұрын

    Sawa kaka

  • @paulombay6884
    @paulombay68848 ай бұрын

    Msukum anatumia nature

  • @KelvinDeniswilliam
    @KelvinDeniswilliam8 ай бұрын

    Saw mbuge

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw8 ай бұрын

    Huo ni mpango wa upigaji hawalidhiki na mali ya serikali sasa wanaingia mpka kwa wananchi Mungu atatenda

  • @user-rg7tx2cc1l
    @user-rg7tx2cc1l8 ай бұрын

    Mbunge ni mmoja

  • @ZAKAYOMASOTA
    @ZAKAYOMASOTA2 ай бұрын

    Msukuma unathamani ya shingapi uje kwenye jimbo langu

  • @KelvinDeniswilliam
    @KelvinDeniswilliam8 ай бұрын

    Washatukela

  • @Princewaweru
    @Princewaweru8 ай бұрын

    Daah

  • @AmiryMmanga

    @AmiryMmanga

    8 ай бұрын

    Msukuma hongera unaongea ga vitu vya akili wengine wanatetea matumbo Yao hawajali wananchi

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba27857 ай бұрын

    🎉🎉🎉

  • @PartySekemi
    @PartySekemiАй бұрын

    Halafu huyu kairuki ni lazima atakua ni mhaya kwa sababu ni kabishi

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias13398 ай бұрын

    Huyu jamaa ana akili sana

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad57558 ай бұрын

    Raisi uyu..apewe

  • @yasiniswedi8835
    @yasiniswedi88358 ай бұрын

    HV mnatofautishaje uzembe wamawazili nalaisi?pengine wnatumwa namteulewao wafanyemadudu HV kamahuliziki nawayafanyayo mawziliwako kwaniniusitengue?lakini klambunge utamsikia pongezikwamama cchuku tunaumia naufsadiunaoendelea kwakweli wabunge pongezihizo Zinawavunjia heshima sanahukumtaani niwakujikweza

  • @lucasmabula9745
    @lucasmabula97458 ай бұрын

    Meli ya. Tetanic

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu8 ай бұрын

    Kaulinnj ,fomu ya kugombea urais 2025 inamuhusu

  • @Dailyminescommunity1
    @Dailyminescommunity18 ай бұрын

    Msukum akiwa raisi watasema wampe jamani Yani huyu kaka ANAYO akili sana

  • @katutaramadhani7193
    @katutaramadhani71938 ай бұрын

    Ukiangalia comments za watu unabaki unashangaa. Mpka sasa kuna gari zaidi ya 5000. Gesi si hatari kama wengi wanavyodhani, petroli inalipuka haraka zaidi kuliko gesi hii inayotumika. Hapa kunatofauti ya kujua mambo kwa kina na elimu. Elimu elimu, elimu.

  • @lucasmabula9745
    @lucasmabula97458 ай бұрын

    Meli. Ya. Tetanic

  • @philipolubuva4102
    @philipolubuva41028 ай бұрын

    Msukuma suala la mfumo wa gesi hulijui linavyofanya kazi kama una vituo vya mafuta naomba jiheshimu acha serikali ijenge vituo vya kujazia gesi magari umeongea uongo sana eti gari inabadilisha mlio ni uongo mtupu leo umeniboa sana

  • @user-yr5nx2nw8r

    @user-yr5nx2nw8r

    6 ай бұрын

    huna point kalale

  • @philipolubuva4102

    @philipolubuva4102

    6 ай бұрын

    @@user-yr5nx2nw8r soma kwa sauti ulichoandika kisha waonyeshe watu point yako.

  • @user-nk3nd4fn6t
    @user-nk3nd4fn6t8 ай бұрын

    Msukuma unaongea aunamsaada ii sio serekali ya masikini ii selekali ya matajili

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi2118 ай бұрын

    Gesi is not good for the environment. Tumieni EV wapimbafu nyinyi.

  • @lordsm.k-db3wy
    @lordsm.k-db3wy8 ай бұрын

    MWANZA Endeleeni kumuamini mtu huyu ANA AKILI nyingi.

  • @philbertcelestin7057

    @philbertcelestin7057

    8 ай бұрын

    Kwani ni wa Mwanza???

  • @mringoarts3710
    @mringoarts37108 ай бұрын

    Msukuma hapa kwenye suala la vituo vya gesi umeniangusha mkuu, au kwasababu na wewe ni mnufaika wa mafuta nini?

  • @daudysanga8492
    @daudysanga84928 ай бұрын

    Hio mitungi wanayoweka ndani ya magar kwanza niatar

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk8 ай бұрын

    Anaongea pumba

  • @user-hk9oy6ip9u
    @user-hk9oy6ip9u8 ай бұрын

    Anaongea vitu makini na yuko sa hihi asilimia 100

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo27948 ай бұрын

    msukuma popote ulipo mungu akubariki akuepushe na maofu ya dunia uko sahihi kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-jw3zo5no2n

    @user-jw3zo5no2n

    7 ай бұрын

    Msukuma bora uwe rais baba umeongea meng ya msing vichwa vigum hawaelew

Келесі