"Sasa wewe njoo na tai na Cheti cha Degree halafu nikupe hela zangu'' kISHIMBA vs MWIGULU
KISHIMBA AMCHANA MWIGULU, ATOA TAHADHARI, "WAONDOE HUO UOGA, WANAOGOPA NINI?"
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
⚫️ SIASA : • Video
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
ngasamedia@gmail.com
WhatsApp: +255 716909567
Call us : +255 716909567
thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
#sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv
Пікірлер: 62
This man is super GENIUS. Lazima tutumie vichwa hivi kabla havijaondoka duniani.
Vyeti na hio PHD nyingi ukigonga ndani zinatoa MWANGWI YAANI ZIKO TUPU ,😂😂😂😂
Huyu Mbunge awe anaongezewa Muda akiwa anatoa hoja.
Kumbe huyu ndio kishimba wa kakahama 🙌❤️
Mwigulu anafanya nini bungeni empty box kabisaaa😢
Kishimba safi sana Akili nyingi
Kua na Elimu sio kua na hela. Hao wenye vyeti hawawezi ku raise hela.
Huyu jamaa Safi sana. Akili kubwa!
Ni kwanini Rais haoni kama mwigulu ni shida jamani?
@user-ek3zk4bx5j
Жыл бұрын
Wanajuana
Kishimba mpina ndio wenye akili sio Hawa wengine wanajiona Wana akili kumbe mabogas tuu
Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..
Mtangaika sana bila mama kumtumbua mwiguru hatutakuwa salaama wizara ya fedha ni kubwa anatakiwa mtu mwenye Elimu kubwa na maono yule jamaa vyeti tu vya kununua kutoka udsm hpo wanahonga mwalimu pale akili ndogo inatakiwa mtu makini kuongoza wizara ya fedha
@user-uy2dk2yv2c
Жыл бұрын
Bro wasomi wengi Ni majizi tena majambazi wakubwa
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
tatizo watanzania hamna uelewa mwigulu hawezi kufanya kitu bila rais kwahiyo huyo mama enu ndio anamtuma afanye hivo ndio maana unaona hawatumbui makamba na mwigulu wabaya kupitia nguvu yavrais nasio wao hata akiwatoa hao akaleta wengine halafu yeye ndio ana wamrisha wafanye hayo hakuna kitakacho badilika
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@user-uy2dk2yv2c kabsa ndugu
Royal brother!! I salute you!!
Me sijui vigezo binavyo mpa mtu uwaziri au naibu waziri..nashindwa kuamini huyu jamaa anakosaje huo uwaziriii...yaani akili nyingi hivi bado hamtaki kuzitumiaa..
Manful!!!✊✌️
Mh kishimba upo sahihi utafikili kuna viongozi wanajitoa akili. Vitu vya kawaida sana hata hao wazungu wana nguvu sababu ya akiba ya dhahabu.
Sijui kwanini hakupewa wizara ya fedha.
Kuna siku tutamwelewa tu!
❤❤❤
Kishimba your smart.wafundishe hao. Wanajua ila ni wahuni
Safi kaka ❤❤❤
Mbunge mwenye bongo inayochambua mambo kisawasawa
Wazir wa fedha anazingua
Kishimba katika ubora wake.
Hili bunge la mazuzu kazi kupiga makofi miaka yote kishimba anasema hakuna hatua ...
Tatizo wasomi yy anamiliki vyeti tu na kuhusu kutafta ela hmn imani yangu tokeapo mtu ambae hana elimu kubwa ndie anae weza kutafuta na kubarance mm matajili wengi naona ambao hawaja soma
Huyu ndo alitakiwa kuwa waziri ..ila Cha ajabu uwaziri wanapewa vilaza
Mi najua wabunge sahihi hawazidi kumi hapo bungeni wengine wote ni wezi tu
@ramadhanimtetu3656
Жыл бұрын
Mzee kishimba Kibera -; Kuna baadhi ya mambo anabidi awakubali tu wavaa tai Kuna tofauti kubwa ktk kuendesha Private Company na Public Company Kampuni za Umma ambazo Sheria za uendeshaji na Umaliki Mitaji zinaruhusu Kuuza hisa hata kwa Aliye Nje ya Company lazima hiyo Mitaji ilindwe Na Wasomi (wanataaluma ) Maana Si Kila Mwenye Mtaji ana Uwezo wa Kuwa Mwendesha Jambo Na Kanuni inasema -; ili Kampuni ifanye vyema kibiashara inahitaji vitu vikuu v 2 Kwanza Sheria Nzuri za uendeshaji Pili Msimamizi Mzuri Mwenye weledi na Kipaji Hapa kwenye Weledi namaanisha pamoja na Taaluma Pia Maana logical Pekee haitatosheleza Kila Eneo wakati wa kutekeleza majukumu
@IsayaSosolo-nx8zk
Жыл бұрын
Siyo wezi Ila uwezo wa kufikiri mdogo! Na watawala wanapenda Sana wabunge vilaza ili waweze kuiburuza Ichi vizuri!
@cosmaswilliam3805
Жыл бұрын
Bunge Ni la ajabu sana
Kuna akili za kuzaliwa huyu anazitumiaga vizuri mnoo
Hao ni wezu mzee
Akili kubwa
Iyo wizara ina shida
Asipate uwaziri atakula kiapo na mdomo ataufunga ili aitetee serikali
@zuwenasalim2794
Жыл бұрын
Cku akiapa atashindwa atakuwa na kigugumizi
Wape ushauri... Mzee
Mwigula kiukweli hajitambuai mweee
sasa mtu ana degree na phd lkn ndio anategemea serikali impe mshahara na asipopewa hana akili ya kuvumbuwa kitu chochote kiufupi degree na phd ujinga tu
Kahama miundo mbinu mibovu sana
Agombee Uraisi kura yangu ameshapata
😂👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
This man explains.boder of education and saycologe Different there that it shows how education works but saycologe sense umanbeng born with it always sense action then goes on his brain thinking choose and came with it on resption voice it ather sense goes on choose point sense of right answer This man is big brain has saycologe sense big capacity of netrow thing from.peaple who undermine peaple who are not educate but forgot education is matiriol fomuler but saycologe sense umanbeng born with it but different capacity
@mazikumange9130
Жыл бұрын
Is this english too?
Bunge lote mwenye kujielewa ni huyo Mzee tu wengine niwasaka tonge viva kishimba
@StartSmall
8 күн бұрын
😂😂😂
Kishimba.akili.kubwa.unafaa.kuwa.waziri.mkuu.shida.ccm.mna.roho.mbaya
Kishimba unayosema ukweli mtupu hiyo misomi ndiyo mijizi haswa angalia inavyouza bandari zote mpakhatimayehatimaye3wstatuuza sisi wenyewe tutamkunbuka magufuli daima
Duu
Kishimba wewe una PhD
Huyo ndo kishimba kipaji Cha Tanzania erimu Nini bana wezi kabisa wasomi wetu ndo wameirudisha nyumba nchii yetu erimu kiazi Hawana hojaaa kabisaaa ni vyetu ndo vinawrinda
@syliviakente9460
Жыл бұрын
Elimu bwana sio erimu
Na hapo mimi ndipo ninapo pata kigugumizi dhahabu ina chimbwa na watanzania halafu saa hiyo hiyo unasikia mama kaenda kukopa. Na mzungu anaona ajabu sana akienda mitandao mingine anaona hii nchi iliyokuja kukopa kwenye uzaji wa dhahabu ipo kwenye uzaaji wa Almasi ipo kwenye uzaaji wa chuma ipo kwenye uzaaji wa shaba ipo kwenye uzaaji wa tanzanite hayo madini duniani yapo tanzania. Mito ya maji ipo mingi. Maziwa na mabwawa yapo Bahari ya hindi tu nayo. Bandari yetu ikisimamiwa vizuri na jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ. Kibiashara bandari inaweze kusimamia bajeti ya nchi. Siyo wawekezaji wawekezaji matapeli tu wamekuja kunyakua mali za watanzania masiki vile vile hata hao viongozi watakuwa na masilahi yao humo yaani mgao wa bandari wakipewa Wa wekezaji mali ya wengi itaanza kuliwa na wachache.
Wasukuma Mungu ametuteua kuwasaidia wajuaji na PhD zao chukua elimu hizo zitawasaidia
Mwigulu ma tai yeke.
Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..
❤❤❤