KARIAKOO, Jamaa amchana Waziri "alafu Mh MWIGULU wewe una PhD, unajua vitu vingine tuulizane"

Ойын-сауық

Пікірлер: 207

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Жыл бұрын

    Yaani watu wa Dar mmefanya kazi ya wabunge..hongereni sana

  • @yesuanikumbukejanuary8363

    @yesuanikumbukejanuary8363

    Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa.

  • @SalumBakar-ob7in

    @SalumBakar-ob7in

    Жыл бұрын

    Kwakweli

  • @fredrickmtei9764
    @fredrickmtei9764 Жыл бұрын

    Mwigulu ana PhD ya tozo tu🤣

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Жыл бұрын

    Safi Sana wafanyabiashata,huyo mwigulu ana phd ya ufisadi tu, Rip JPM

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Жыл бұрын

    Ni aibu aibu aibu kuja kusemwa hadharani ..heads must roll!

  • @salomemalema7470
    @salomemalema7470 Жыл бұрын

    Respect kamamda Adam Zella wao wanafikili wamesomea wao tu biashara wamesahau kuwa wanaowaongoza nao niwasomi wazuri pengine kuliko wao

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 Жыл бұрын

    Wanaunafu wenzetu waliohamia Zambia na Malawi kutafuta riziki,mi walikuja kwenye kabanada kangu wakaniambia nilipiage kabango niliko andika jina langu shilingi 300,000 kwa mwaka,jamani hii Tz kweli wanaifaidi wachache,Mungu tutazame kwa jicho la kipekee

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Жыл бұрын

    Waziri wa fedha ni. Moja ya takataka za serikari hii😏

  • @margrethjonesmshana8555
    @margrethjonesmshana8555 Жыл бұрын

    Yaaaani ndio maaana nasema mtaaani Kuna ma genius

  • @monicambuya-sq9ms
    @monicambuya-sq9ms Жыл бұрын

    Mh kweli Watanzania tumechoshwa nidhamu ya woga imeisha

  • @yakubsaid22

    @yakubsaid22

    Жыл бұрын

    Sio nidhamu ya woga imeisha uongozi ulioko madarakan ndo umetengeneza mazingira hayo kuanzia rais na wazir mkuu wake

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Жыл бұрын

    Qassim majaliwa ni kiongoz bora sana natamani siku moja aiongoze hii nchi

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Жыл бұрын

    Insha Allah

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo

    @MsanangoMwalabu-rx1oo

    25 күн бұрын

    Hafai walewale

  • @user-bi7gk7im4f

    @user-bi7gk7im4f

    17 күн бұрын

    Hafai

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 Жыл бұрын

    Kwa kero hizi hata mm nimesajili kampuni yangu hivi karibuni, kwa wizi huu naifunga kampuni Bora niuze maandazi kuliko kukutana na TRA.

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    Жыл бұрын

    Kasome KITABU CHA kiyosaki ,ujue mbinu za KUWEKEZA bila kulipa Kodi best Huko kwenye kampuni umeenda kujinyonga mwenyewe

  • @tanzaniaally

    @tanzaniaally

    Жыл бұрын

    Hadi kwenye maandaz watakudai kodi

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Жыл бұрын

    jamani wafanya biashara watanzania mkovizuri sn mungu awabariki maoni yenu ipate ufafanuzi

  • @JAIROSMLIMILA-cl1wp
    @JAIROSMLIMILA-cl1wp Жыл бұрын

    Iyo wizara inatakiwa isafishwe na steel wire.

  • @alexpuwale9653
    @alexpuwale9653 Жыл бұрын

    Mama Samia aangalie Uwaziri wa Mwingulu,huyu jamaa hafai kuwa Waziri ndo maana Magufuli alimtoaga kuwa Waziri

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Жыл бұрын

    Hongela sana wafanyabiashala RIP magufuri

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 Жыл бұрын

    Safi sana!!!! Wamemwagika sana!!!

  • @africayetutv329
    @africayetutv329 Жыл бұрын

    HAPA ni dhahili kuwa sasa wananchi wameanza kuchoka kama wanaweza kuongea mbele ya kiongozi hivi bila kuogopa serikali ilitazame tunakoelekea ipo siku wananchi watawashikia mawe viongozi na inaosha wanahasira za muda na machungu mengi

  • @shaabanramadhan6770

    @shaabanramadhan6770

    Жыл бұрын

    Kabisa boss hii ni ya yajayo yanafurahisha wa tz weshachoka sasa

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Жыл бұрын

    Ukenda kenya uganda burundi congo hakuna kukamatana sana police umalizane nae lkn hakuna duniani wasimamia kodi wakakabarabrani ni kuitukanisha serekali kwa maslahi ya matumbo ya tra

  • @jarnskorelly464
    @jarnskorelly464 Жыл бұрын

    Hafai kuwa waziri wa fedha Jamani amtoe

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ananondo sana,tatizo nchi yetu inaurasimu sana ndo maana tutaendelea kumkumbuka JPM tu kwa kweli

  • @labankisunga1567

    @labankisunga1567

    Жыл бұрын

    Sio tutamkumbuka sema nitamkumbuka...

  • @elibarikkiakyoo
    @elibarikkiakyoo Жыл бұрын

    Nashukuru Mungu bado tuna watu timamu,lkn Kuna ,mwigulu,Simba Cha wene,na ........✍️🤔

  • @musakibwana4596
    @musakibwana4596 Жыл бұрын

    Hata sisi mombasa tunalia ivoivo. Nairobi hakuna bandari lakni sisi wa mombasa tunategemea mali kutoka Nairobi.

  • @yesuanikumbukejanuary8363
    @yesuanikumbukejanuary8363 Жыл бұрын

    yani kiongozi anae sikiliza watu wake ndiyo anae faa kuwa kiongozi yani waziri mkuu MUNGU akutunze kwakweli wewe ni baba yetu tuna kuamini una huruma na watu wahali ya chiini mtu akiwa sehemu nzuri hawezi kujua wengine wanapitia changamoto gani wa baba wanaonge mpaka wana tamani kulia kulingana na njinsi wanavyo tendewa 😢 inaa saama kama haja kukuta haya huwezi kuelewa ila ya kikukuta ndoutaelewa MUNGU awabaliki wafamya biashara mmetuwakilisha vyema tatizo watu hawa ridhiki na mishahara yao hata kidogo alicho nacho maskini na hicho pia wanataka wasimaizi mkojee? MUNGU ana waona na dhuruma zeenu

  • @salomemalema7470

    @salomemalema7470

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @vyoxerhama2417
    @vyoxerhama2417 Жыл бұрын

    Unajua nchi hii wanazani wenye akili wapo bungeni, mahakamani na serekalini, siku hizi watu wanajua vitu vingi Sana, na kuwadanganya danganya km zaman haipo tena

  • @shaabanramadhan6770

    @shaabanramadhan6770

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Жыл бұрын

    Huyu kaka apewe yote❤❤❤❤

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Жыл бұрын

    Majaliwa kiongozi bora sana apewe URAIS kiongozi sikiliza hoja Malalamiko ya wananchi kitu kizuri na kutatua

  • @upgo6112
    @upgo6112 Жыл бұрын

    Huyu mwigulu ...ni hamnazo ..ni bora wa darasa la saba....PhD ya wizi ndo aliyonayo

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa wafanya biashara wengi wa Kanda ya ziwa wanaagiza mizigi Uganda na Nairobi.

  • @user-zh8wg3lc4i
    @user-zh8wg3lc4i Жыл бұрын

    Lakini Tanzania kuna kudanganyana sana CCM bwana!! Tanzania kuna wafanyi biashara Wachina, Wahindi, na Waarabu mbona hatuwaoni kina Bakhresa, kina Mohamed Dewjina wale Waarabu wengine wako wapi? Wanapigwa mchanga wa Macho wanadanganywa tu masikini CCM.

  • @senixdanethox
    @senixdanethox Жыл бұрын

    Kila mtu anatafuta pesa vijana tra wanaajiriwa juzi leo wanamagari hizi ni rushwa

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    Жыл бұрын

    Yaani wee acha tu

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Жыл бұрын

    MUNGU MUNGU MUNGU EE. Nakuomba Mh. Kasim Majaliwa awe Raisi wetu Tanzania 2025.

  • @maclaudismail6606

    @maclaudismail6606

    23 күн бұрын

    Huwezi kuwa waziri mkuu miaka 10 halafu uwe raisi kwa katiba hii

  • @DaressalaamTv-rb2io
    @DaressalaamTv-rb2io Жыл бұрын

    Tutamkumbuka Magufuli kwà hali hii kweli kiongozi bora sio chama ni mtu binafsi na kujali watu na kupenda taifa lako bila kujali tumbo

  • @jumaally4263
    @jumaally4263 Жыл бұрын

    Kweli wafanybiashara Mmefanya kazi ya Wabunge kuliko wabunge wenyewe

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 Жыл бұрын

    Kwakweli Mwigulu nchemba ni Tatizo kwa nchi hii. ww Ni mvuruga uchumi mkubwa, mnyonyaji uchumi wa wananchi, mbambikizia makodi na matozo kwa wananchi. mwenye kiburi na wivu kwa wafanyabiasha

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 Жыл бұрын

    Barabbara kabisa babamdogo👍🤳

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Жыл бұрын

    Mnawachekea sana

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Жыл бұрын

    Mwigulu anahisi kuvaa skafu ya bendera ya nchi ni sifa kumbe ni ujinga huo .. tena kwa kabila lake sidhani ..kama hilo kabila lake linauwezo kufikiri na kubadilika.

  • @evianjames88
    @evianjames8824 күн бұрын

    😂😂hyu jamaa ajengewe sanamu aisee

  • @saidali3893
    @saidali3893 Жыл бұрын

    Huyo mwinguli mama apo pana usiri gani asiondolewe anapiga sana hapo yy na makamshina wa TRA WAZIR MKUU WW MSAIDIZI WA MAMA SAMIA MWINGULU HAFAI ANA KIBURI CHA FEDHA WANAZO ZICHOTA HAPO

  • @fridakagoma1715
    @fridakagoma1715 Жыл бұрын

    Wapeni makavu kweli mie nilikuwa sielewi kama mizigo inatoka Zambia siku hizi ndo inarudi tena Tanzania. Ndio maana Zambia imechangamka yaani na wanaijenga Kwa kasi Inaelekea kuwa kama Kariakoo. Sio mbaya lkn wawe makini Watanzani watakuumbia Nchi

  • @user-zp6ub1nc3v
    @user-zp6ub1nc3v Жыл бұрын

    Jamani kiufupi Mwigulu hafai kuwepo wizara ya fedha.

  • @ShabaniOnyango-gm3vz
    @ShabaniOnyango-gm3vz Жыл бұрын

    Jamn Kuna watu tunaishi nao lkn wanavitu vikubwa xna cheo kumbe Ni bahati tu ukipata nafax usiichez wapo watanzania weng hawajapat nafx ila wanauwez kuliko ww mwigulu mh nipeni maua yangu

  • @soniaemmanuelmataro9414
    @soniaemmanuelmataro9414 Жыл бұрын

    Mmewachana vizuri sana,

  • @mshambawamjini2671
    @mshambawamjini2671 Жыл бұрын

    Ni kweli tunaomba mfutilie miradi yote mnayo peana kuna majungu sana hata hapa nilipo

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari1614 Жыл бұрын

    Walikuwa wakisema baba anatumia maguvu kukusanya kodi leo kjkowapiii

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Жыл бұрын

    Well presented

  • @johnlihawa4145
    @johnlihawa4145 Жыл бұрын

    Mwamba amerema points kinoma...afa anajua

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Жыл бұрын

    Huyu mama kumkumbatia Mwigulu, mtu ambaye hamudu kazi, kutammwangusha azame naye!

  • @elishakayagwa9371

    @elishakayagwa9371

    Жыл бұрын

    Wanaiba pamoja

  • @kutikavu-jk7ue
    @kutikavu-jk7ue Жыл бұрын

    Mwigulu hafai, si mtetezi wa wananchi, hiyowizara haiweziii

  • @michaelgershon9077
    @michaelgershon9077 Жыл бұрын

    Tanzania inabunge dhaifu. Bunge la kula mishahara. Wachumia tumbo, nchi hii ni ngumu.

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde125924 күн бұрын

    Huyu jamaa nimemkubali anaongea point safi kabisa kutetea HAKI ni kazi jamani.

  • @fridamnyambii7175
    @fridamnyambii7175 Жыл бұрын

    Mkutano wa wafanyabiashara wamefanya kazi ya bunge kabisaa maana wabunge ndio walewale hawana uchungu

  • @victorjames3730
    @victorjames37302 ай бұрын

    Kodi ya kitenge Zambia milioni 30 Hadi 50 Tanzania milioni 300 just imagine

  • @edwinbayona7395
    @edwinbayona7395 Жыл бұрын

    Mabunge bungeni yapo yapo tu dadeq watu hapa wanaongea points za muhimu😢

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Жыл бұрын

    Tuna bandari haitusaidi waeleze wa TZ , Allah atusaidie,

  • @reymamy-rc7fx
    @reymamy-rc7fx Жыл бұрын

    Huyu jamaa ajengewe sanam

  • @muktarmashukura950
    @muktarmashukura950 Жыл бұрын

    Muheshimiwa Majaliwa, ni mvumilivu sana

  • @vyoxerhama2417

    @vyoxerhama2417

    Жыл бұрын

    Ulitaka asiwe mvumilivu? Kiongoz sahihi Ni Yule anaeruhusu watoe keep zao hata km anaguswa yeye mwenyewe ajue mapungufu yake

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter494725 күн бұрын

    Mzungumzaji moja mwenye ndevu kabla ya wafanyabiashara wa mikoani ameongea vizuri sana kama anafanya kazi TRA

  • @user-zp6ub1nc3v
    @user-zp6ub1nc3v Жыл бұрын

    Mwigulu hafai hata kuongoza kuku wa nyumbani kwake

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Жыл бұрын

    Ajiuzulu tu uyoo mwiguluu

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 Жыл бұрын

    Mwigulu chembe kama nimuzalendo ni Bora ajiuzuli kama anaipenda Tza asisubili wat wamechoka

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Жыл бұрын

    Mizigo inaagizwa Nairobi na uganda

  • @omarkhamis3909
    @omarkhamis3909 Жыл бұрын

    Anajichekesha kipumbavu kama chizi kaokota mkate jalalani fukuza hilo yeye ndio anasababisha maisha kua magumu tz

  • @mathiaspeter397
    @mathiaspeter397 Жыл бұрын

    Mwigulu AJIUZULU UWAZIRI NI MWIZI

  • @patrickrukuba3314
    @patrickrukuba3314 Жыл бұрын

    Uko sawa ndugu ni aibu tz

  • @Fabian-yr3ep
    @Fabian-yr3ep Жыл бұрын

    Dah dah

  • @calistusmahombo-ty8ni
    @calistusmahombo-ty8ni Жыл бұрын

    Maofisa wa TRA wote wasimamishwe na wakubwa wao wote na Mali zao zichunguzwe wafilisiwe,kinyume Cha hapo ni kupakana mafuta Kwa mgongo wa chupa.

  • @mariasmith4301
    @mariasmith4301 Жыл бұрын

    Umoja ni nguvu 💪💪

  • @user-yd9ds1zs1i
    @user-yd9ds1zs1i23 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 daaaaah! Nouma sana

  • @ramadhaniyahaya7286
    @ramadhaniyahaya72862 күн бұрын

    Watanzani wapo walio amuka sio watanzania wote tumelala ila viongozi ndo shida

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk23 күн бұрын

    Mwigulu na hafai kuwa waziri kabisa mama huna mtu hapo mpka vita itatokea UK I'm leaving huyu mnyeramba

  • @amanntepa8178
    @amanntepa8178 Жыл бұрын

    Mungu fundi

  • @MrishoMzelela-xb9bb
    @MrishoMzelela-xb9bb Жыл бұрын

    Bila wabunge wa upinzani bunge ni uozo tu

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Жыл бұрын

    Na Scarf ya nchi shingoni,,Muoneeni huruma jmn

  • @frankenock2853

    @frankenock2853

    Жыл бұрын

    Aonewe huruma kwa kuiba fedha za nchi ?

  • @SalumBakar-ob7in
    @SalumBakar-ob7in Жыл бұрын

    Nimekubali

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 Жыл бұрын

    Ana chekacheka tuu hapo

  • @maulidiforty5493
    @maulidiforty5493 Жыл бұрын

    Uzur wa JPM angetoaa hapo hapo mamuzi

  • @Chef_Ammytz
    @Chef_Ammytz Жыл бұрын

    Hili ni bunge baada ya lile la sita

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter494725 күн бұрын

    Uongozi mbaya haustahili kuendelea kuwepo

  • @lovenessferdinand3664
    @lovenessferdinand3664 Жыл бұрын

    Haki hiki nikichambo Cha mwaka 😅woi

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si23 күн бұрын

    PM ni jabali hata Magu alimkubali akamteua

  • @annakassege7134
    @annakassege7134 Жыл бұрын

    Yu Majaliwa anapaswa kuwa rais

  • @marrytesha6960
    @marrytesha6960 Жыл бұрын

    Akili nyingi sana huyu

  • @BotulphusAugustine
    @BotulphusAugustine Жыл бұрын

    Upigaji tu uku tarime simenti yakenya 15000 tanzania 20000 vip acha wizi

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Жыл бұрын

    Kweli

  • @samuelnjuguna6688
    @samuelnjuguna6688 Жыл бұрын

    Kenya tuko more 🔥

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 Жыл бұрын

    Hii serikali inatufanya tuzidi kuhangaika sana

  • @user-lc9yw3kt1s
    @user-lc9yw3kt1s Жыл бұрын

    Nakupenda sana wazili wangu mkuu

  • @jumaally4263

    @jumaally4263

    Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy264021 күн бұрын

    Asantee

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Жыл бұрын

    Ety ajiuzuru....😂😂

  • @habaccucisrael5328
    @habaccucisrael5328 Жыл бұрын

    👏🏽👏🏽👏🏽

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Жыл бұрын

    Kwanza huyu mwigulu ni kiongozi kwani huyu takataka au box empty

  • @KijaElikana-vk4xp
    @KijaElikana-vk4xp Жыл бұрын

    Uzinduzi ikulu

  • @jumannewamburaa4145
    @jumannewamburaa4145 Жыл бұрын

    Tatizo mwigulu tu apo

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari1614 Жыл бұрын

    Watu wamechoka😂😂😂

  • @hadijasaidi331
    @hadijasaidi331 Жыл бұрын

    Mh Waziri mkuu ukimaliza ya Kariakoo geukia sokoni vitu ama vyakula vipo juu sana tunaomba utafutie dawa,tunateseka wananchi wako,yaani kila mtu na bei yake anayojiamulia leo hii kesho hii na hakuna kiongozi anayetujali kuona tunaumia na familia zetu

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2n4 ай бұрын

    Yan mwananch anae akil kuliko ata kamishna wa TRA na huyo anae semekana anae PHD kumbe hakun lolote

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Жыл бұрын

    Nchi ya Tanzania niya Ajabu mnyeramba kuwa waziri wa fedha haifai kabixa

  • @SamweliPhilipo-kd6ld
    @SamweliPhilipo-kd6ld Жыл бұрын

    Mwiguru Nchemba

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy629822 күн бұрын

    Raiya wanaujua uchumi kuliko walosoma angalieni nchi mnaitia ufukara pas na sababu tre kutwa mwandege kukamata magari wanakusanya rushwa kwa viroba makufuli aliwafukuza pale wanakesha kupitisha malori ya egzepishe kupakia mizigo ya loko nikosa ispokua madereva wanatoa pesa

Келесі