MZEE ALIYE FUNGWA GEREZANI KWA UONEVU NA HALMASHAURI YA MBEYA NA KUPEWA KESI YA MADAI YA MILIONI 12
#AdilTV
Жүктеу.....
Пікірлер: 65
@user-eu6ql9zl7n5 күн бұрын
Namshukuru Mwenyez Mungu kwa akili ya kutupa zawadi ya kiongoz mpenda haki ma mtenda haki wewe Makonda!
@KijukuuMtemi5 ай бұрын
Makonda mungu akupe mwisho mwema ila ulipotokea nyuma ulikua mtu mwenye jeur na kiburi Sanaa ila kabla hujafa uombe radhi ulio wakosea nyuma ila saiv ww mtu poa Sana Tena mtu wa kuigwa
@kilimanjaro77international26
5 ай бұрын
Wacha Utoto, wabongo hawa endi bila shuruba
@fredykephacy51665 ай бұрын
Daaaa viongozi mbon wako hivo wananyanyasa sana wanachi
@luganocornel91214 ай бұрын
Nikipata pesa nitakupatia ununue darubini ili uweze kusoma mabango yaliyombali. Kazi iendelee comrade Makonda
@blog91175 ай бұрын
Makonda umeibeba Tanzania ukiomba kura za urais tunakupa umeupiga mwingi ndani ya tanzania
@emmanuelmlowe-ew7gx
5 ай бұрын
Makonda akigombea urais anapewa
@user-ev3if3ss8o5 ай бұрын
Mungu akusaidie makonda 1:16
@mabeyainvestment5485
5 ай бұрын
ila wewe hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@SalimKombo-xo4pq7 күн бұрын
Ndio mueshimiwa makonda mtetezi wa wanyonge. Dhuma nyingi sana zinafanyika kwa wananchi.😢
@user-os6sc7is5h4 ай бұрын
Fanya vitu nakuaminia mkuu wewe na waziri wa Alizi kama nyinyi wenyewe Amjui CCM inakua vizuri kutokana na wewe makonda waziri wa Arizi na waziri mkuu mambo mnayofanya mama samia 2025 Anachukua uraisi mia.mia ❤❤❤☝🤲😂😂🙏✊👏👏👏
@jobungure71954 ай бұрын
Huu uongozi utafika Kenya lini huku ndio Kuna shida mbaya sana
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
beautiful soul; Paul Makonda..Mama Samia ww kweli ni mama ukatupenda Tanzania. barikiwa Samia binti yake na Suluhu wake Hassan
@user-sv6zy3hc8o
7 күн бұрын
Wacha wee
@jedidahbintidaudi8241
6 күн бұрын
@@user-sv6zy3hc8o aaha na sindio kaka yangu mwema😆😆
@valenakomba76863 ай бұрын
Mungu akubariki sana Makonda.
@honhonhaule92325 ай бұрын
Uko vizuri makondaaa
@rashidalbalushi83555 ай бұрын
Toka enzi za mwalimu Nyerere Tz ina matatizo nakumbuka wakati ule kulikuwepo shirika la STC wananchi wakabadilisha wakasema sasa tule chetu shirika likafillisika kwa hiyo hakuna uzalendo c serikalini wala polisi wala wananchi lini watanzania watakuwa waaminifu?
@AnethEdward-nf6sc
4 ай бұрын
Ni kuzidi kumuomba MUNGU ,cku Moja uaminifu utaonekana ktk jamii.
@Zubaiba5 ай бұрын
Hongera sana Mr makonda
@user-ql6jr4tz4m5 ай бұрын
Uwishi maisha marefu
@user-cz7bd9tc5k5 ай бұрын
Anaye futa hati ni Raistu Hicho kinacho fanyika hapo ni Maneno yasio na Masiko huyo anaye simama hapo Hana Maamuzi
@user-qp6zn2xf8w5 ай бұрын
Makonda mungu akubariki,, akupe Maisha marefu kwa kuisimamia haki
@jumamnumbwa94835 ай бұрын
Kwa hivo wataalam wanayumbisha viongozi,wizara ya kilimo ikatafute eneo lingine
@TasianaKuta3 ай бұрын
Kweli MH unapiga Kazi Mama Samia kakupatia kuweka hapo unetukumbusha Sana Rai's Magufuli
@MichaelMlowe-ne3ri5 ай бұрын
Mimi sie ccm lakin kuhusu makonda ni kiongozi sahihi hapaswi kuwa mwenezi tu mungu atujaalie tupate rais mweny urafiki na wananchi kama mh.makonda
@laylayl51665 ай бұрын
Muheshimiwa warudishiwe eneo lao Wana nnchi dhulma hiyoo
@user-hh4us7kb5q5 ай бұрын
mama akimaliza omba urais
@simumbaken49025 ай бұрын
One komando makonda ast rais wangu mm samia
@jofreyfungo11125 ай бұрын
Tatizo ni Bashe hapo hataki kupata ushauri Kwa yeyote
@npiperito195 ай бұрын
Kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nakubali sana👌👌👌
@siwahemochristine80595 ай бұрын
Huyo dada anahibu kwa dharahu yeye ndio tatizo hapo mbeya na sibure anamtu anaye mshika mkono
@blog91175 ай бұрын
Makonda oyeeeeeee
@user-qj3hk5zt5p5 ай бұрын
Mh Mimi ni mwenyekiti ccm tawi nilishawai kuchomewa nyumban sijawahi ona msaada toka wilayan au mkoa au taifa hadi nikakata tamaa mh nimepoteza vitu vingi sana mh Naomba msaada japo nimejenga jengo la ccm tawi Kukatia bima wana nchi kugawanya kuku kata kijij kuchimba mabarabara hawajanikumbuka kunifuta machozi jaman dah Jarman naomba nisaidieni
@Ali-nl2du5 ай бұрын
Makonda 2030
@Zubaiba5 ай бұрын
Wakurugenzi mbona vituko jamani
@Miro2555 ай бұрын
Hapa shida ni serikali kuruhusu wakurugenzi kuhama bila kuweka mambo yao sawa, kwahyo mkurugenzi mpya akija anajificha kwenye kichaka cha ugeni ndan ya halmashaur......hili ni tatzo kubwa mno
@valenakomba76863 ай бұрын
WANA CCM MWISHO WA DUNIA IKO KARIBU SANAAA, ACHENI UNAFIKI NA MSJUNGU. ACHENI KUENDEKEZA RUSHWA NA TAMAA YA PESA. MOTOOO WA AHELA UTAWAMALUZA . MSIKILIZENI MAKONDA ANAEISHI NA MUNGU.
@user-er8mq8ju2o5 ай бұрын
Huna imani hiyo
@JosephGambishi4 ай бұрын
Kweli kaka
@jakobongwara30385 ай бұрын
Jamaani hivi mahakama hazipo
@emmanuelmlowe-ew7gx
5 ай бұрын
Mahakama zipo na mahakimu wapo lkn kama huna hela hupatikana haki ndio maana wanakuja kwamakonda unapata haki yako bila gharama. Makonda ili kazi uliyoifanya idumu iwe kwenye shroa maana ukiondoa vitarud vyote
@user-yn4te8mc3c4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nice makondaaaa respect
@user-cz7bd9tc5k5 ай бұрын
Kipenya umepotea kabisa Utarudishwa tena gerezani weweMkugenzi ni Mkubwa sana una Mdhalilisha!!
@user-jx4on5mr7y4 ай бұрын
Safi sana
@amosmahona4334 ай бұрын
🙏
@matridamwalyoyo17355 ай бұрын
Himeland
@user-qj3hk5zt5p5 ай бұрын
Onger
@user-wm5fg7xi1o5 ай бұрын
Makonda is contracting his government
@matridamwalyoyo17355 ай бұрын
Homeland
@user-zl3le1wz2u5 ай бұрын
Kesi za serikali zinafunga wananchi wake zichunguzwe sio kumsubiri Makonda.Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya, Waziri mkuu, Makamu wa rais na Mbunge ni jukumu lenu mwananchi si mtumishi wa umma na kama ni michango serikali usilazimishe kwani imeshindwa kabisa kilimo kukifanya kuwa uti mgongo wa Taifa mwananchi huyu afanyeje?. Mahakimu wetu wawe waelewa
@hafsamnenga19425 ай бұрын
Rais ajae 2030
@AlexMwansuleАй бұрын
I'm
@user-nu2em5rt7j5 ай бұрын
Kwaredhima
@DavidEmilian-hq9xm5 ай бұрын
Hayo malalamiko mengi nî juu ya watendaji wengi ni wa ccm nini tafsiri yake?
@user-xz8tb3vh6l5 ай бұрын
Tunawaombea
@user-gw7fu9pu7d4 ай бұрын
May the lord be with you makonda
@user-xz8tb3vh6l5 ай бұрын
Eee
@JosephMhaiki-ld7rn5 ай бұрын
Nilikichukia chama cha Ccm kutokana na kero nzito za wananchi. Sasa kwakazi hii unayoifanya mheshimiwa Paulo Makonda , inaubariki sana Moyo wangu Mungu naazidi kukupa afya njema na uhai mrefu ili uzidi kuwasaidia wananchi wenye majeraha ya moyo .
@DianaWilawila5 ай бұрын
Mwamba
@user-nc3on3hg2e5 ай бұрын
J
@honoratamafala69685 ай бұрын
Jibu la hayo yote ni katiba mpya na kufuata sheria tuuuu.
@jumamnumbwa9483
5 ай бұрын
Katiba mpya ni ujinga
@dicksonkilupa22585 ай бұрын
MIMI NINAOGOPA SANA , INA MAANA SERA YA CCM NI KUTULETEA MIGOGORO NA MWISHO WANAKUJA KUTUCHEZESHA SINEMA?
Пікірлер: 65
Namshukuru Mwenyez Mungu kwa akili ya kutupa zawadi ya kiongoz mpenda haki ma mtenda haki wewe Makonda!
Makonda mungu akupe mwisho mwema ila ulipotokea nyuma ulikua mtu mwenye jeur na kiburi Sanaa ila kabla hujafa uombe radhi ulio wakosea nyuma ila saiv ww mtu poa Sana Tena mtu wa kuigwa
@kilimanjaro77international26
5 ай бұрын
Wacha Utoto, wabongo hawa endi bila shuruba
Daaaa viongozi mbon wako hivo wananyanyasa sana wanachi
Nikipata pesa nitakupatia ununue darubini ili uweze kusoma mabango yaliyombali. Kazi iendelee comrade Makonda
Makonda umeibeba Tanzania ukiomba kura za urais tunakupa umeupiga mwingi ndani ya tanzania
@emmanuelmlowe-ew7gx
5 ай бұрын
Makonda akigombea urais anapewa
Mungu akusaidie makonda 1:16
@mabeyainvestment5485
5 ай бұрын
ila wewe hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ndio mueshimiwa makonda mtetezi wa wanyonge. Dhuma nyingi sana zinafanyika kwa wananchi.😢
Fanya vitu nakuaminia mkuu wewe na waziri wa Alizi kama nyinyi wenyewe Amjui CCM inakua vizuri kutokana na wewe makonda waziri wa Arizi na waziri mkuu mambo mnayofanya mama samia 2025 Anachukua uraisi mia.mia ❤❤❤☝🤲😂😂🙏✊👏👏👏
Huu uongozi utafika Kenya lini huku ndio Kuna shida mbaya sana
beautiful soul; Paul Makonda..Mama Samia ww kweli ni mama ukatupenda Tanzania. barikiwa Samia binti yake na Suluhu wake Hassan
@user-sv6zy3hc8o
7 күн бұрын
Wacha wee
@jedidahbintidaudi8241
6 күн бұрын
@@user-sv6zy3hc8o aaha na sindio kaka yangu mwema😆😆
Mungu akubariki sana Makonda.
Uko vizuri makondaaa
Toka enzi za mwalimu Nyerere Tz ina matatizo nakumbuka wakati ule kulikuwepo shirika la STC wananchi wakabadilisha wakasema sasa tule chetu shirika likafillisika kwa hiyo hakuna uzalendo c serikalini wala polisi wala wananchi lini watanzania watakuwa waaminifu?
@AnethEdward-nf6sc
4 ай бұрын
Ni kuzidi kumuomba MUNGU ,cku Moja uaminifu utaonekana ktk jamii.
Hongera sana Mr makonda
Uwishi maisha marefu
Anaye futa hati ni Raistu Hicho kinacho fanyika hapo ni Maneno yasio na Masiko huyo anaye simama hapo Hana Maamuzi
Makonda mungu akubariki,, akupe Maisha marefu kwa kuisimamia haki
Kwa hivo wataalam wanayumbisha viongozi,wizara ya kilimo ikatafute eneo lingine
Kweli MH unapiga Kazi Mama Samia kakupatia kuweka hapo unetukumbusha Sana Rai's Magufuli
Mimi sie ccm lakin kuhusu makonda ni kiongozi sahihi hapaswi kuwa mwenezi tu mungu atujaalie tupate rais mweny urafiki na wananchi kama mh.makonda
Muheshimiwa warudishiwe eneo lao Wana nnchi dhulma hiyoo
mama akimaliza omba urais
One komando makonda ast rais wangu mm samia
Tatizo ni Bashe hapo hataki kupata ushauri Kwa yeyote
Kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nakubali sana👌👌👌
Huyo dada anahibu kwa dharahu yeye ndio tatizo hapo mbeya na sibure anamtu anaye mshika mkono
Makonda oyeeeeeee
Mh Mimi ni mwenyekiti ccm tawi nilishawai kuchomewa nyumban sijawahi ona msaada toka wilayan au mkoa au taifa hadi nikakata tamaa mh nimepoteza vitu vingi sana mh Naomba msaada japo nimejenga jengo la ccm tawi Kukatia bima wana nchi kugawanya kuku kata kijij kuchimba mabarabara hawajanikumbuka kunifuta machozi jaman dah Jarman naomba nisaidieni
Makonda 2030
Wakurugenzi mbona vituko jamani
Hapa shida ni serikali kuruhusu wakurugenzi kuhama bila kuweka mambo yao sawa, kwahyo mkurugenzi mpya akija anajificha kwenye kichaka cha ugeni ndan ya halmashaur......hili ni tatzo kubwa mno
WANA CCM MWISHO WA DUNIA IKO KARIBU SANAAA, ACHENI UNAFIKI NA MSJUNGU. ACHENI KUENDEKEZA RUSHWA NA TAMAA YA PESA. MOTOOO WA AHELA UTAWAMALUZA . MSIKILIZENI MAKONDA ANAEISHI NA MUNGU.
Huna imani hiyo
Kweli kaka
Jamaani hivi mahakama hazipo
@emmanuelmlowe-ew7gx
5 ай бұрын
Mahakama zipo na mahakimu wapo lkn kama huna hela hupatikana haki ndio maana wanakuja kwamakonda unapata haki yako bila gharama. Makonda ili kazi uliyoifanya idumu iwe kwenye shroa maana ukiondoa vitarud vyote
😂😂😂😂😂 nice makondaaaa respect
Kipenya umepotea kabisa Utarudishwa tena gerezani weweMkugenzi ni Mkubwa sana una Mdhalilisha!!
Safi sana
🙏
Himeland
Onger
Makonda is contracting his government
Homeland
Kesi za serikali zinafunga wananchi wake zichunguzwe sio kumsubiri Makonda.Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya, Waziri mkuu, Makamu wa rais na Mbunge ni jukumu lenu mwananchi si mtumishi wa umma na kama ni michango serikali usilazimishe kwani imeshindwa kabisa kilimo kukifanya kuwa uti mgongo wa Taifa mwananchi huyu afanyeje?. Mahakimu wetu wawe waelewa
Rais ajae 2030
I'm
Kwaredhima
Hayo malalamiko mengi nî juu ya watendaji wengi ni wa ccm nini tafsiri yake?
Tunawaombea
May the lord be with you makonda
Eee
Nilikichukia chama cha Ccm kutokana na kero nzito za wananchi. Sasa kwakazi hii unayoifanya mheshimiwa Paulo Makonda , inaubariki sana Moyo wangu Mungu naazidi kukupa afya njema na uhai mrefu ili uzidi kuwasaidia wananchi wenye majeraha ya moyo .
Mwamba
J
Jibu la hayo yote ni katiba mpya na kufuata sheria tuuuu.
@jumamnumbwa9483
5 ай бұрын
Katiba mpya ni ujinga
MIMI NINAOGOPA SANA , INA MAANA SERA YA CCM NI KUTULETEA MIGOGORO NA MWISHO WANAKUJA KUTUCHEZESHA SINEMA?
@user-xo3bf3hm3p
5 ай бұрын
Hujajierewa