"TUNAKIMBIZWA NA PISTOL, TUSAIDIE" RC AINGILIA KATI SAKATA LA WANANCHI KUVUNJIWA NYUMBA ZAIDI YA 30
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameagiza kukamatwa kwa watu waliovunja makazi ya watu zaidi 30 nyakati za usiku eneo la Majoe Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam
ameyasema hayo alipotembelea eneo hilo na kujionea nyumba zilizo bomolewa na watu ambao hawafahamiki kwa kuwa uhalifu huo umekua ukifanyika nyakati za usiku.
Albert Chalamila baada ya kuwasikiliza waathirika wa mgogoro huo alimuagiza OCD na TAKUKURU kumkamata Mwenyekiti wa mtaa wa Majoe ili aweze kuhojiwa ni watu gani wamefanya uhalifu huo
" haiwezekani watu wanakuja kubomoa nyumba usiku alafu awajulikani na mwenyekiti yupo hili halikubaliki" Alisema RC Chalamila
Vilevile RC Chalamila amemtaka OCD kuwasaka na kuwakamata wote waliojihusisha na tukio hilo, apeleleze kwa kina ajue ni akina nani, hatua itakayofuata ni atakuja tena na vyombo vyake pamoja na timu ya wataalam wanasheria na Wataalam wa Ardhi ili kupata ufumbuzi wa mzizi wa mgogoro huo
Aidha RC Chalamila ameagiza eneo hilo kuanzia sasa lilindwe ili Isitokee uharibifu au ubomoaji mwingine wa aina yeyote, ambapo amesistiza kitendo kilichofanyika halivumiliki pia kina chafua taswira ya Jeshi la polisi, Kinamchafua, Rais na Chama cha mapinduzi kwa ujumla.
Kwa upande wa Mhe Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo amesema alifika katika eneo hilo na kujionea nyumba zilizo bomolewa ambazo ni zaidi ya 30 na wamiliki wa nyumba hizo hadi sasa wamekua wakihangaika kutokana na kukosa makazi.
Mwisho RC Chalamila amesema hatua aliyoichukua ni ya awali ili apate pa kuanzia na ijulikane wazi hatengui wala kuingilia hukumu ya mahakama.
Пікірлер: 520
Hakika magufuli tutamkumbuka sana pengine angekuwepo haya yote yasingetokea.
@omaryramdhani9823
6 ай бұрын
Utamkumbuka wewe na ukoo wako na sukuma gang
@VeNoM-hx4sj
6 ай бұрын
@@omaryramdhani9823 lazima akumbukwe kwa mazuri aliye fanya kwa wanyonge
@mamboshepea8888
6 ай бұрын
@@omaryramdhani9823 Alikua anasaidia wasukuma peke yao??!! Shika adabu zako we fisadi mwizi mkubwa😢😢 Iko siku moja tu ya Mungu haya yote yataisha😢😢
@aediayumgo8546
6 ай бұрын
@@omaryramdhani9823acha ukabila kiazi we
@user-kx7ob5rx4p
6 ай бұрын
Magu muuwaji
Nchi hii haina baraka kwa sababu ya dhulma
@raheematanzania3543
6 ай бұрын
Haswa
@user-xd9ye7wk6c
6 ай бұрын
Hakika
@yugemasanza1008
6 ай бұрын
Baraka ni nyingi ila viongozi wa ngazi za chini huwa na tamaa ya fedha
@awadhally1052
6 ай бұрын
Kweli kabisaa
@shemsahemed3577
6 ай бұрын
Habisa
Najuwa mtanikumbuka..sio.kwa. mabaya kwa mazuri.tuu. ndio hayoo wananchi .wanazurumiwa.R.I.P.MANGUFURI😢😢😢mtetezi.wa..wawanyonge
@EliaMwaijumba
6 ай бұрын
Asante charamila unapiga kazi kama makonda
@SebaMbilinyi
21 күн бұрын
@@EliaMwaijumba Mojmookook.ook9o o oo o.moo😅opl mjonoA//09 L Ook.momop😊ollml😊 .
@basharanasser1541
11 күн бұрын
😅@@EliaMwaijumba
Tanzania tulipofikia hapa Mungu atusaidie
@thabitdaudi9815
6 ай бұрын
Tulishangalia kufa kwa upinzani leo inabid tupambane wenyewe kukosoa serikal na hatuna nguv wala saut kama ilivyokua upinzani 😢
@emanuelleopod3949
6 ай бұрын
Jeshi la police mbona limeshalaaniwa mbona kitambo sana
Hongera mheshimiwa chalamils mungu akupandishe juu Kwa kujua haki
Ndio Tanzania, hapo hatawasaidia atasikiliza alafu ataondoka.
@gallusmbaga5522
6 ай бұрын
Watanzania pia tujifunze kununua na kumiliki ARDHI kwa kufuata taratibu sahihi.
@user-xd9ye7wk6c
6 ай бұрын
Ndugu watu Hadi hati miliki wanazo mkononi ila ndo Ivo
@awadhally1052
6 ай бұрын
Kwel kabisa
Ipo siku nkifa mtanikumbuka Mimi ni Raisi wa wanyonge R.I.P. Magu nimeamin ni kweli 😢😢😢😢
Halafu anatokea Fara mmoja anasema Tanzania ni Nchi yenye AMANI.
@emmanuelmlowe-ew7gx
6 ай бұрын
Wewe pia huna akili hujui nchi isiyo na ama I ikoje?
@user-rt1wf6se5f
6 ай бұрын
Ushampata fala tayar
@user-lb5zj2ne5c
4 ай бұрын
@@emmanuelmlowe-ew7gx5î61q111q1qqqq be t1qqq1qqqqqq1q1qqqqqqq1q1q1q11q111111q1qq1qq
@aminimushi6945
14 күн бұрын
Watanzania tumechukuliwa misukule,tutaendelea kunyimwa haki mpaka mwisho was dunia.
@sammykateregga6238
6 күн бұрын
Nakubaliana na ndg aliyesema kwamba wa Tz tumechukuliwa msukule
Mungu ampumzishe kwa amani JPM💔😭😭wanyonge wanazidi kudidimizwa Mungu awatete wanyonge wote 🙏🙏
@TumlumbeKilave
6 ай бұрын
😊
R I P MAGUFULI HAKIKA PENGO LAKO LINAONEKA SANA😢
@andrews_kodeson
6 ай бұрын
kwa uhakika
Hii n nchi ya mwenye nguvu mpishe, na kuna watu wapo juu ya sheria😢
Kazi ya kuhalalisha pombe kwa nguvu zote, Mungu hukaa pembeni. Tuombe toba
@nellywizz9631
6 ай бұрын
Mm sinyw pombe ila apo umeongea ujinga tu jielew
Hongera muheshmiwa kazi iendelee tupo na wananchi haijalishi kua mi nimzanzibari ya uko hayanihusu ila kwenye uwonevu nawaunga mkono kaka zangu na mama zangu watanzania wote ni ndugu
@mweusiasili8345
6 ай бұрын
Ahsante kwa niaba sote ni wamoja mungu aki yao
@EnockNanyaro-lk1zi
23 күн бұрын
Amen
Ubarikiwe Mheshimiwa Chalamila, hakika huu mgogoro wa majohe ni wamiaka mingi sana. Sasa nimuda wakuumaliza
Dah kama kweli ni kweli serikali fanyeni maamzi magumu,sana saidia Hawa wananchi,
Millard Ayo tunaomba muendelezo wa hii habari tafadhali sana sana unfanya kazi nzuri mnooooooooooooo
@juliusmlula1658
22 күн бұрын
Juzi limubunge Moja juzi mama kilango anasema Tz Kuna amani na wengine wanampigia makofi bunge la ajabu
Huu niunyama wa Hali ya juu,,RIP JPM😭😭😭
Mtamkumbuka yule mzee, wacha nibaki kwenye nchi zawenyewe.
@rahimaaaaa5682
6 ай бұрын
Kbs😂😂😂😂
@salehesalehe2967
6 ай бұрын
Wewe si shoga acha wa kule
@wemamtundu7906
6 ай бұрын
@@salehesalehe2967 sio mbaya kuwa shoga cus ndio wanawake tulivyo umbwa
@khadejakhadeja9713
6 ай бұрын
😢😢😢😢kabisa lakini malipo. Ni hapapa. Akhera.kwenda.mahesabu
@user-rt8df5ce4s
6 ай бұрын
Umeona e, bora nibaki ulaya tu, nyumbani kusalimia.
minafurahi sana wanaoteseka kwa wingi ni ccm oyeee
Kweli kosaa kubwaa kuvunja.nyumba.usiku watu wamelala. Kuna binadamu wamelala.kweli.wakamatwe.safi.sana..Chalamilaa. mungu akulinde na hasda
Piga kazi baba watu wanaonewa sana
Mkuu wa mkoa CHALAMILA hongera baba chapa kazi
Mungu akuongoze katika kazi yako
Huyu mkuu wa mkoa ana akili nyingi sana angalia hoja anazojenga zinavyoeleweka
Mama kajitoa sadaka kutetea wananchi wenzake mungu Akubariki Mama
Nice Dada
Good reasoning Safi sana Chalamila
Mungu mlaze mahali pema.peponi angekuwepo magufuli akajua kama nikweli wanadhulumiwa hawa jamaa hawaliovunja nyumba wange ambiwa wazijenge zotee tena kwa wiki mbilitu jamani vibayani ivoo hatakuogopa tu hakuna wana mungu hawa 😭😭😭😭
Bravo Chalamila
Poleni ndugu zetu kwa tatizo hilo.
Kwakweli kila mtu anaangalia maisha yake Mungu tu ndiye anaupendo
Tanzania inako elekea mungu ndo anajua😢😢😢😢😢
Hii no tz kweli wanyonge tutakimbilia wap? M, mungu tunhitaji msaada wako Sana!
Kuna sauti huwa nikiisikia kwa Chalamila akiongea huwa najua siku hiyo amekasirika zaidi kama leo..Mungu aendelee kukuongoza katika utumishi wako
Hadi mseme Yan bado hamjasema😂😂😂 ccm nambari Moja mbele daima nyuma mwiko😂😂😂😂
@user-rt1wf6se5f
6 ай бұрын
Mnafiki
@MaryLee-sh4nd
22 күн бұрын
Watu kwa tamaa yao wanakichafua chama
Rushwa imezidi katika watendaji wetu. Mungu atusaidie.
Kwa mkuu chalamila limefika huyu namwamini yupo makini mungu akutanguliye chalamila
Mungu akutunze mkuu wa.mkoa tunakuombea
Millard ayo ukitoa habari km hizi after one week utuletee part 2,3,4 tujuwe baada ya kusikilizwa nn kimefata? Je hatua zimechukuliwa faster or? Maana issue km hii action inatakiwa ichukuliwe haraka saana 😢
@godlistenobed9299
6 ай бұрын
Ni kweli atupe na mrejesho maana ni uonevu
@geoffreykayombo6524
6 ай бұрын
Huu ujambaz tunataka tuujue mwisho wake
@peterdaimon-ug6fd
6 ай бұрын
Tumeshauzwa
@Evo_Tv1
6 ай бұрын
Sawa ntajitahid kuwapa
Hapo ndoo anakumbukwa jpm mungu ampe pumziko Ra mirere
Mnajichosha tu wote ndo wale wale
@user-ur8cq1ye3b
Ай бұрын
Sasa wakaetuu kimyaa
Kunahaja ya Viongozi wa juu wa Vyombo vya usalama na wale wakiserekali wa eneo husika kusimamishwa kazi na kupitisha uchunguzi wa kina , hizi tabia zinakuwa sana na ndizo ambazo zina chafua uongozi wa awamu hii . Askari polisi wamekuwa kipaumbele sana kwa kunyanyasa raia ila wamekuwa wanalindana jambo ambalo itafikia siku hela ya hewa itachafuka , so kabla ya yote hayo hayajatokea yafanyiwe kazi kwa mapana zaidi .
Hiyo ndio tabu ya wenye viti wa kuletewa mwenyekiti wananchi wamchague wenyewe yangu ni hayo
Hongera sana Mhe Chalamila mkuu wetu wa Mkoa wa Dar. Muhimu zaidi ni kujitahidi kusikiliza Wananchi unlimited data kama anavyofanya Mhe Makonda.
Kama hao watu kweli wameonewa hao viongoz wanastahili kujiuzulu
@leokamil6284
6 ай бұрын
Tanzania hii kujiuzulu ?😅
@opportunities2767
6 ай бұрын
@@leokamil6284 😄😄
@MiriamAbdallah
6 ай бұрын
Sahau
@Stavanger-cr3ee
6 ай бұрын
Hapo ndipo tunapokosea. Kwa nini ajiuzulu? APELEKWE MAHAKAMANI. Ajiuzulu wakati wengi kawatia UMASKINI na KAWADHALILISHA?
Oooh. Kesi hiyo sio hapo tuu,,,nenda chanika ya ngobedi,,,utalia na hawa nabeberu wanaodhulumu maeneo ya watu,,,tena kama wanavyosema serikali ipo mkononi kwao,,,tena tunalia watu wanapigika wanafungwa,,,jee hii ni haki,, serikali ipo wapi wanawasaidia hawa nabeberu mitapeli
Nashangaa wananchi wanasahau kwamba mwendazake na viongozi aliyokuwa nao ndiyo waliotengeneza changamoto hizi. Angalia gazetti la mwananchi la tarehe 4/7 kuhusu utekaji nyara. Vyombo vya usalama viko wapi?
Nakukubali mungu akupekibali uwe raisi wa nchihii
@alvezog_3836
7 күн бұрын
Hakuna Mtu Mnafiki Kama Mkuu Wa Mkoa..
Mama upo wapi Hali mbaya hii wasaidie wanyonge Leo duniani kesho Ahera mama saidia hawa watu Hali ya maisha ni ngumu sana
@salumjrsaidjr7150
6 ай бұрын
Mm Anauipiga mwingi😂
Mheshimiwa huku kigamboni VIJIBWENI watendaji wako wanakuharibieni...Mwwnyekiti wa vijibweni kisot hafaiii wanakuharibieni na kukupakeni matope....wanawatapeli watu.
Umenena vyema mkuu wa mkoa.Hongera sana.
Hakuna Cha RPC Wala OCD hawapokei cm wakipigiwa
Usicheze na majambazi yanayo shika pisto tena zilizo sajiliwa na serikali. Hee huko tena kupewa ya mauaji ogopa niheri usomewe uwe umeua🤔 sina hamu na hao 🔫wenye dhamana ni wajii
Asante kiongozi Chalamila
Njia iliyotumika kutengeneza tatizo huwezi kutumia njia hiyo hiyo kutatua tatizo. Tatizo ni mfumo,hivyo huwezi kutatua matatizo yaliyoletwa na mfumo huo huo. Wabongo tafakarini hiyo
Daah hadi nimeumia moyo,mungu yupo atasaidia.
Tanzania hii dah watu wanapata tabu Sana mungu tunusuru.,
Daa! hii ndo Tz katiba ya Mkoloni na Kuibadili awataki yani 😢😢😢😢😢😢😢
Hongera shujaa miladyoo
daima tutamkumbuka magufuli, haya yote tulishayasahau jamani, wanyonge twende wapi jamani,
Safiiiiii safiiiii.Chalamimi.baba ❤❤❤❤
Hao hawawezi kuwasaidia ni wanafiki wanatafuta vyeo mlilieni Mungu pekee ndie atakaewaweza hao viongozi miamba hatari
Tutamkumbuka saana Magufuli
@salehesalehe2967
6 ай бұрын
Kwa lipi
@FatmaLyego
6 ай бұрын
Hakika na tumeshamkumbuka
@ChoiceSportstv
6 ай бұрын
@@salehesalehe2967 kwa kesi kama hizi magufuli alikuwa anatetea masikini na wanyonge ILa matajiri alikuwa anawapiga piniiii balaaa
tatizo wanatengeneza migogolo ili waonekane wanafanya kazi
Dah dunia eeeeeh mwenyezi mungu
Asanteee chalamilalaaaa ❤❤❤❤❤
Huu ni zaidi ya unyama hivi ninani yupo juu ya sheria,Hakika tutamkumbuka mwamba milele hivi hawa waliofanya wanapataje ujasiri huu,Hivi vaa uhusika wa kuvunjiwa nyumba ambayo umejenga kwa shida mama kajitoa muhanga kwa maneno mazito aliyoyaongea mbele ya mkuu wa mkoa,pistor anaonyeshwa raia mwema kweliiiiiiiii
@pungopungo411
Ай бұрын
Tatizo la nchi ya Tanzania kila kiongozi anaetawala anakuja intresti zake za wizi.sasawanaoumia ni wapiga Kura.Mungu yupo hatuna jinsi
@pungopungo411
Ай бұрын
Wamepita mawaziri wa aridhi wangapi?hadi huyo aamue kukomesha wananchi kugawanyumba zao kwa mtu eti ni wakwanza kupewa. Na kuanzua 1975 & 2024 ni mda wa miaka mingapi.leo umejukuu kwenye nyumba uliojenga unaambiwa toka sio kwako.bado huyo waziri anaangaliwa tu.huyo ni mwambia hatari na Kuna anaowalinda hawabomolewi. Eebaba Mungu tusaidie
@user-ur8cq1ye3b
Ай бұрын
@@pungopungo411mungu awe nasi tuu bac
Rais mrudishe makonda kwenye huu mkoa
@hamimually3759
6 ай бұрын
Hata aliyepo yuko sawa
Naiomba Serikali ijitahidi kukemea vitendo vibaya kama hivi vya dhulma,Kwa sababu raia wanaheshimu sana sheria lakini kila wanapoenda wanakosa msaada Mwisho wa siku wanachukua hatua wao kinyume na sheria
Poleni sana, serikali ya Tanzania haina msaada wowote kwa wananchi, tunsituhumu serikali kuwa inashirikiana na majambazi kuwadhulumu wananchi
Serikali inahusika na hiyo changamoto..... Kumpa fulsa Mtu kufanya uhalifu.... Haiwezekani Police inazuia raia kujitetea.... Hakika MUNGU yupo hiii Sio sawaa eh mwenyezi MUNGU .... Angaza macho Yako mahali Hapa hasila yako ikaonekane kwa kila alie kinyume na hiyo nafasi
Hongera sana comrade chalamila
Chalamila ni kichwa Aiseee
Aisee mtakumbuka Sana raisi wawanyonge jonh pombe magufuli
Chalamila kazi kwako chapa kazi
Magu asingeruhus upuuzi huuu RIP mkuuu 😢
Safii Kaka chalamila
Chalamila yuko vizuri
We ni jembe chalamila chapa kazi bila kujali maneno
Watanzania mnaanza kukumbuka hayati Magufuli Mungu amaze pema peponi, mafisadi wa kwanza huko kwenu ni mapolisi na wale viongozi wenu hawafai kuongoza wale ni walaji wa rushwa.
Asante muheshimiwa chalamila inavyoonekana ww nitunda linalotokana na zao la mama na magufuli hongera sana mungu akubaki na akupe umri mrefu wenye manufaa wa zaidi ya Hali uliloanza kulifanya hongera sana
@stevensosipita
6 ай бұрын
usimshirikkishe magufuli na huyo mama samia huyo mama samia ndo chanzo cha matatizo yote rip magufuli
Mkuu wa m koaaa Deki deki toa toa takataja chafu mitaani fanya reshufle hapo kama Mama Samia anavyohamisha watu
Mtamkumbuka mtetezi wa wanyonge MZEE BABA alisema siku nikifa mtanikumbuka
Jamani daaa mama...! Rais rais rais rais Wetu angalia hii hayakuwepo Haya wakati wa magufuli inauma sana
Na kwasababu serikali imeshindwa .basi wanainchi chukuweni hatua mkononi..
Daaàaaaaaa nchi hii noma sana ninahakika silaha zingekuwa zinauzwa dukani tungelambishana mchanga sana, sasa hapo mfano mmembolea mchawi atawaacha hao wabomoaji?
Sasa huko ni maeneo ya wapi?
Mungu wangu inamaana haya mambo yamerudi tena? viongozi hilimnaliweza kabisa tena lipo ndani ya uwezo wenu Rais John pombe Magufuli aliwezaje! nawengine mnashindwaje? wanapata wapi kiburi cha kunyanyasa watu bila kuwa na mkubwa wao wanaemuamini kutoka serikalini?😊 Nakupongeza sana kuheshimiwa Chalamila kwa kukemea vikali hili tatitzo
Inauma sana
Mkuuu wamkoa yupo vizuri sana
Mulimudharau MAGUFULI Leo vipi? Bi tozo Yu wapi?
@MiriamAbdallah
6 ай бұрын
Hii ndo mwanzo, mtanikumbuka
R.I.P MAGU
R i p magufuri 😭😭😭😭😭mkuu wamko uko makini sanaaa🙏🙏🙏🙏
Kila sehem bunduki kitu kidogo bunduki alaf baadae mtu anakua nakinyongo anatafuta ata yamjombaa ake analipiza kisasi
Enzi za magu na kamanda rukuvi wanyonge walisikilizwa
Mtanikumbuka RIP JPM
Aseeee... Polen sana
TUNA KWENDA KUBAYA MAMA SAMIA
Tanzania kikubwa uzima tu
Mkuu wa Mkoa afanye kazi kama avyofanya Mhe. Makonda. Tunahitaji Viongozi wafanye kazi kama Makonda