"TUNAKIMBIZWA NA PISTOL, TUSAIDIE" RC AINGILIA KATI SAKATA LA WANANCHI KUVUNJIWA NYUMBA ZAIDI YA 30

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameagiza kukamatwa kwa watu waliovunja makazi ya watu zaidi 30 nyakati za usiku eneo la Majoe Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam
ameyasema hayo alipotembelea eneo hilo na kujionea nyumba zilizo bomolewa na watu ambao hawafahamiki kwa kuwa uhalifu huo umekua ukifanyika nyakati za usiku.
Albert Chalamila baada ya kuwasikiliza waathirika wa mgogoro huo alimuagiza OCD na TAKUKURU kumkamata Mwenyekiti wa mtaa wa Majoe ili aweze kuhojiwa ni watu gani wamefanya uhalifu huo
" haiwezekani watu wanakuja kubomoa nyumba usiku alafu awajulikani na mwenyekiti yupo hili halikubaliki" Alisema RC Chalamila
Vilevile RC Chalamila amemtaka OCD kuwasaka na kuwakamata wote waliojihusisha na tukio hilo, apeleleze kwa kina ajue ni akina nani, hatua itakayofuata ni atakuja tena na vyombo vyake pamoja na timu ya wataalam wanasheria na Wataalam wa Ardhi ili kupata ufumbuzi wa mzizi wa mgogoro huo
Aidha RC Chalamila ameagiza eneo hilo kuanzia sasa lilindwe ili Isitokee uharibifu au ubomoaji mwingine wa aina yeyote, ambapo amesistiza kitendo kilichofanyika halivumiliki pia kina chafua taswira ya Jeshi la polisi, Kinamchafua, Rais na Chama cha mapinduzi kwa ujumla.
Kwa upande wa Mhe Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo amesema alifika katika eneo hilo na kujionea nyumba zilizo bomolewa ambazo ni zaidi ya 30 na wamiliki wa nyumba hizo hadi sasa wamekua wakihangaika kutokana na kukosa makazi.
Mwisho RC Chalamila amesema hatua aliyoichukua ni ya awali ili apate pa kuanzia na ijulikane wazi hatengui wala kuingilia hukumu ya mahakama.

Пікірлер: 520

  • @LeodigaryPatrick-zo5kl
    @LeodigaryPatrick-zo5kl6 ай бұрын

    Hakika magufuli tutamkumbuka sana pengine angekuwepo haya yote yasingetokea.

  • @omaryramdhani9823

    @omaryramdhani9823

    6 ай бұрын

    Utamkumbuka wewe na ukoo wako na sukuma gang

  • @VeNoM-hx4sj

    @VeNoM-hx4sj

    6 ай бұрын

    ​@@omaryramdhani9823 lazima akumbukwe kwa mazuri aliye fanya kwa wanyonge

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    6 ай бұрын

    @@omaryramdhani9823 Alikua anasaidia wasukuma peke yao??!! Shika adabu zako we fisadi mwizi mkubwa😢😢 Iko siku moja tu ya Mungu haya yote yataisha😢😢

  • @aediayumgo8546

    @aediayumgo8546

    6 ай бұрын

    ​@@omaryramdhani9823acha ukabila kiazi we

  • @user-kx7ob5rx4p

    @user-kx7ob5rx4p

    6 ай бұрын

    Magu muuwaji

  • @mohddelo
    @mohddelo6 ай бұрын

    Nchi hii haina baraka kwa sababu ya dhulma

  • @raheematanzania3543

    @raheematanzania3543

    6 ай бұрын

    Haswa

  • @user-xd9ye7wk6c

    @user-xd9ye7wk6c

    6 ай бұрын

    Hakika

  • @yugemasanza1008

    @yugemasanza1008

    6 ай бұрын

    Baraka ni nyingi ila viongozi wa ngazi za chini huwa na tamaa ya fedha

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    6 ай бұрын

    Kweli kabisaa

  • @shemsahemed3577

    @shemsahemed3577

    6 ай бұрын

    Habisa

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja97136 ай бұрын

    Najuwa mtanikumbuka..sio.kwa. mabaya kwa mazuri.tuu. ndio hayoo wananchi .wanazurumiwa.R.I.P.MANGUFURI😢😢😢mtetezi.wa..wawanyonge

  • @EliaMwaijumba

    @EliaMwaijumba

    6 ай бұрын

    Asante charamila unapiga kazi kama makonda

  • @SebaMbilinyi

    @SebaMbilinyi

    21 күн бұрын

    ​@@EliaMwaijumba Mojmookook.ook9o o oo o.moo😅opl mjonoA//09 L Ook.momop😊ollml😊 .

  • @basharanasser1541

    @basharanasser1541

    11 күн бұрын

    😅​@@EliaMwaijumba

  • @ThomasNghwani-nw6rx
    @ThomasNghwani-nw6rx6 ай бұрын

    Tanzania tulipofikia hapa Mungu atusaidie

  • @thabitdaudi9815

    @thabitdaudi9815

    6 ай бұрын

    Tulishangalia kufa kwa upinzani leo inabid tupambane wenyewe kukosoa serikal na hatuna nguv wala saut kama ilivyokua upinzani 😢

  • @emanuelleopod3949

    @emanuelleopod3949

    6 ай бұрын

    Jeshi la police mbona limeshalaaniwa mbona kitambo sana

  • @IbrahimShabani-uc8ce
    @IbrahimShabani-uc8ce6 ай бұрын

    Hongera mheshimiwa chalamils mungu akupandishe juu Kwa kujua haki

  • @hassangasaba4565
    @hassangasaba45656 ай бұрын

    Ndio Tanzania, hapo hatawasaidia atasikiliza alafu ataondoka.

  • @gallusmbaga5522

    @gallusmbaga5522

    6 ай бұрын

    Watanzania pia tujifunze kununua na kumiliki ARDHI kwa kufuata taratibu sahihi.

  • @user-xd9ye7wk6c

    @user-xd9ye7wk6c

    6 ай бұрын

    Ndugu watu Hadi hati miliki wanazo mkononi ila ndo Ivo

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    6 ай бұрын

    Kwel kabisa

  • @HalfaSaid-vl6ki
    @HalfaSaid-vl6ki6 ай бұрын

    Ipo siku nkifa mtanikumbuka Mimi ni Raisi wa wanyonge R.I.P. Magu nimeamin ni kweli 😢😢😢😢

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven6 ай бұрын

    Halafu anatokea Fara mmoja anasema Tanzania ni Nchi yenye AMANI.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx

    @emmanuelmlowe-ew7gx

    6 ай бұрын

    Wewe pia huna akili hujui nchi isiyo na ama I ikoje?

  • @user-rt1wf6se5f

    @user-rt1wf6se5f

    6 ай бұрын

    Ushampata fala tayar

  • @user-lb5zj2ne5c

    @user-lb5zj2ne5c

    4 ай бұрын

    ​@@emmanuelmlowe-ew7gx5î61q111q1qqqq be t1qqq1qqqqqq1q1qqqqqqq1q1q1q11q111111q1qq1qq

  • @aminimushi6945

    @aminimushi6945

    14 күн бұрын

    Watanzania tumechukuliwa misukule,tutaendelea kunyimwa haki mpaka mwisho was dunia.

  • @sammykateregga6238

    @sammykateregga6238

    6 күн бұрын

    Nakubaliana na ndg aliyesema kwamba wa Tz tumechukuliwa msukule

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus70686 ай бұрын

    Mungu ampumzishe kwa amani JPM💔😭😭wanyonge wanazidi kudidimizwa Mungu awatete wanyonge wote 🙏🙏

  • @TumlumbeKilave

    @TumlumbeKilave

    6 ай бұрын

    😊

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz86 ай бұрын

    R I P MAGUFULI HAKIKA PENGO LAKO LINAONEKA SANA😢

  • @andrews_kodeson

    @andrews_kodeson

    6 ай бұрын

    kwa uhakika

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68806 ай бұрын

    Hii n nchi ya mwenye nguvu mpishe, na kuna watu wapo juu ya sheria😢

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama6 ай бұрын

    Kazi ya kuhalalisha pombe kwa nguvu zote, Mungu hukaa pembeni. Tuombe toba

  • @nellywizz9631

    @nellywizz9631

    6 ай бұрын

    Mm sinyw pombe ila apo umeongea ujinga tu jielew

  • @samirmswahili
    @samirmswahili6 ай бұрын

    Hongera muheshmiwa kazi iendelee tupo na wananchi haijalishi kua mi nimzanzibari ya uko hayanihusu ila kwenye uwonevu nawaunga mkono kaka zangu na mama zangu watanzania wote ni ndugu

  • @mweusiasili8345

    @mweusiasili8345

    6 ай бұрын

    Ahsante kwa niaba sote ni wamoja mungu aki yao

  • @EnockNanyaro-lk1zi

    @EnockNanyaro-lk1zi

    23 күн бұрын

    Amen

  • @mohamedmussa7258
    @mohamedmussa72586 ай бұрын

    Ubarikiwe Mheshimiwa Chalamila, hakika huu mgogoro wa majohe ni wamiaka mingi sana. Sasa nimuda wakuumaliza

  • @nurubarakekenwa7557
    @nurubarakekenwa75576 ай бұрын

    Dah kama kweli ni kweli serikali fanyeni maamzi magumu,sana saidia Hawa wananchi,

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa10856 ай бұрын

    Millard Ayo tunaomba muendelezo wa hii habari tafadhali sana sana unfanya kazi nzuri mnooooooooooooo

  • @juliusmlula1658

    @juliusmlula1658

    22 күн бұрын

    Juzi limubunge Moja juzi mama kilango anasema Tz Kuna amani na wengine wanampigia makofi bunge la ajabu

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa6166 ай бұрын

    Huu niunyama wa Hali ya juu,,RIP JPM😭😭😭

  • @wemamtundu7906
    @wemamtundu79066 ай бұрын

    Mtamkumbuka yule mzee, wacha nibaki kwenye nchi zawenyewe.

  • @rahimaaaaa5682

    @rahimaaaaa5682

    6 ай бұрын

    Kbs😂😂😂😂

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    6 ай бұрын

    Wewe si shoga acha wa kule

  • @wemamtundu7906

    @wemamtundu7906

    6 ай бұрын

    @@salehesalehe2967 sio mbaya kuwa shoga cus ndio wanawake tulivyo umbwa

  • @khadejakhadeja9713

    @khadejakhadeja9713

    6 ай бұрын

    😢😢😢😢kabisa lakini malipo. Ni hapapa. Akhera.kwenda.mahesabu

  • @user-rt8df5ce4s

    @user-rt8df5ce4s

    6 ай бұрын

    Umeona e, bora nibaki ulaya tu, nyumbani kusalimia.

  • @user-bh5uf9jh1m
    @user-bh5uf9jh1m6 ай бұрын

    minafurahi sana wanaoteseka kwa wingi ni ccm oyeee

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja97136 ай бұрын

    Kweli kosaa kubwaa kuvunja.nyumba.usiku watu wamelala. Kuna binadamu wamelala.kweli.wakamatwe.safi.sana..Chalamilaa. mungu akulinde na hasda

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei86356 ай бұрын

    Piga kazi baba watu wanaonewa sana

  • @emanulmwaitege5531
    @emanulmwaitege553125 күн бұрын

    Mkuu wa mkoa CHALAMILA hongera baba chapa kazi

  • @PriyankaPaulheyo-ur6bx
    @PriyankaPaulheyo-ur6bx6 ай бұрын

    Mungu akuongoze katika kazi yako

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula49656 ай бұрын

    Huyu mkuu wa mkoa ana akili nyingi sana angalia hoja anazojenga zinavyoeleweka

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40546 ай бұрын

    Mama kajitoa sadaka kutetea wananchi wenzake mungu Akubariki Mama

  • @user-lx2yc8tj5h
    @user-lx2yc8tj5h6 ай бұрын

    Nice Dada

  • @LEO-uq6el
    @LEO-uq6el6 ай бұрын

    Good reasoning Safi sana Chalamila

  • @laylayl5166
    @laylayl51666 ай бұрын

    Mungu mlaze mahali pema.peponi angekuwepo magufuli akajua kama nikweli wanadhulumiwa hawa jamaa hawaliovunja nyumba wange ambiwa wazijenge zotee tena kwa wiki mbilitu jamani vibayani ivoo hatakuogopa tu hakuna wana mungu hawa 😭😭😭😭

  • @sekelagatusekelege9325
    @sekelagatusekelege93256 ай бұрын

    Bravo Chalamila

  • @user-ln5zv9to6e
    @user-ln5zv9to6e6 ай бұрын

    Poleni ndugu zetu kwa tatizo hilo.

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb6 ай бұрын

    Kwakweli kila mtu anaangalia maisha yake Mungu tu ndiye anaupendo

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q6 ай бұрын

    Tanzania inako elekea mungu ndo anajua😢😢😢😢😢

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np8 күн бұрын

    Hii no tz kweli wanyonge tutakimbilia wap? M, mungu tunhitaji msaada wako Sana!

  • @helentelemla5623
    @helentelemla56236 ай бұрын

    Kuna sauti huwa nikiisikia kwa Chalamila akiongea huwa najua siku hiyo amekasirika zaidi kama leo..Mungu aendelee kukuongoza katika utumishi wako

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16326 ай бұрын

    Hadi mseme Yan bado hamjasema😂😂😂 ccm nambari Moja mbele daima nyuma mwiko😂😂😂😂

  • @user-rt1wf6se5f

    @user-rt1wf6se5f

    6 ай бұрын

    Mnafiki

  • @MaryLee-sh4nd

    @MaryLee-sh4nd

    22 күн бұрын

    Watu kwa tamaa yao wanakichafua chama

  • @Piscesblair
    @Piscesblair14 күн бұрын

    Rushwa imezidi katika watendaji wetu. Mungu atusaidie.

  • @laylayl5166
    @laylayl51666 ай бұрын

    Kwa mkuu chalamila limefika huyu namwamini yupo makini mungu akutanguliye chalamila

  • @rosehaule6765
    @rosehaule67656 ай бұрын

    Mungu akutunze mkuu wa.mkoa tunakuombea

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky6 ай бұрын

    Millard ayo ukitoa habari km hizi after one week utuletee part 2,3,4 tujuwe baada ya kusikilizwa nn kimefata? Je hatua zimechukuliwa faster or? Maana issue km hii action inatakiwa ichukuliwe haraka saana 😢

  • @godlistenobed9299

    @godlistenobed9299

    6 ай бұрын

    Ni kweli atupe na mrejesho maana ni uonevu

  • @geoffreykayombo6524

    @geoffreykayombo6524

    6 ай бұрын

    Huu ujambaz tunataka tuujue mwisho wake

  • @peterdaimon-ug6fd

    @peterdaimon-ug6fd

    6 ай бұрын

    Tumeshauzwa

  • @Evo_Tv1

    @Evo_Tv1

    6 ай бұрын

    Sawa ntajitahid kuwapa

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota14 күн бұрын

    Hapo ndoo anakumbukwa jpm mungu ampe pumziko Ra mirere

  • @user-gy3dv3tq8d
    @user-gy3dv3tq8d6 ай бұрын

    Mnajichosha tu wote ndo wale wale

  • @user-ur8cq1ye3b

    @user-ur8cq1ye3b

    Ай бұрын

    Sasa wakaetuu kimyaa

  • @LloydsTech
    @LloydsTech6 ай бұрын

    Kunahaja ya Viongozi wa juu wa Vyombo vya usalama na wale wakiserekali wa eneo husika kusimamishwa kazi na kupitisha uchunguzi wa kina , hizi tabia zinakuwa sana na ndizo ambazo zina chafua uongozi wa awamu hii . Askari polisi wamekuwa kipaumbele sana kwa kunyanyasa raia ila wamekuwa wanalindana jambo ambalo itafikia siku hela ya hewa itachafuka , so kabla ya yote hayo hayajatokea yafanyiwe kazi kwa mapana zaidi .

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana28286 ай бұрын

    Hiyo ndio tabu ya wenye viti wa kuletewa mwenyekiti wananchi wamchague wenyewe yangu ni hayo

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMririАй бұрын

    Hongera sana Mhe Chalamila mkuu wetu wa Mkoa wa Dar. Muhimu zaidi ni kujitahidi kusikiliza Wananchi unlimited data kama anavyofanya Mhe Makonda.

  • @opportunities2767
    @opportunities27676 ай бұрын

    Kama hao watu kweli wameonewa hao viongoz wanastahili kujiuzulu

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    6 ай бұрын

    Tanzania hii kujiuzulu ?😅

  • @opportunities2767

    @opportunities2767

    6 ай бұрын

    @@leokamil6284 😄😄

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    6 ай бұрын

    Sahau

  • @Stavanger-cr3ee

    @Stavanger-cr3ee

    6 ай бұрын

    Hapo ndipo tunapokosea. Kwa nini ajiuzulu? APELEKWE MAHAKAMANI. Ajiuzulu wakati wengi kawatia UMASKINI na KAWADHALILISHA?

  • @mwajohari4385
    @mwajohari43856 ай бұрын

    Oooh. Kesi hiyo sio hapo tuu,,,nenda chanika ya ngobedi,,,utalia na hawa nabeberu wanaodhulumu maeneo ya watu,,,tena kama wanavyosema serikali ipo mkononi kwao,,,tena tunalia watu wanapigika wanafungwa,,,jee hii ni haki,, serikali ipo wapi wanawasaidia hawa nabeberu mitapeli

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga62386 күн бұрын

    Nashangaa wananchi wanasahau kwamba mwendazake na viongozi aliyokuwa nao ndiyo waliotengeneza changamoto hizi. Angalia gazetti la mwananchi la tarehe 4/7 kuhusu utekaji nyara. Vyombo vya usalama viko wapi?

  • @JosephHaule-yg1cf
    @JosephHaule-yg1cf6 ай бұрын

    Nakukubali mungu akupekibali uwe raisi wa nchihii

  • @alvezog_3836

    @alvezog_3836

    7 күн бұрын

    Hakuna Mtu Mnafiki Kama Mkuu Wa Mkoa..

  • @aliabdallasaid3174
    @aliabdallasaid31746 ай бұрын

    Mama upo wapi Hali mbaya hii wasaidie wanyonge Leo duniani kesho Ahera mama saidia hawa watu Hali ya maisha ni ngumu sana

  • @salumjrsaidjr7150

    @salumjrsaidjr7150

    6 ай бұрын

    Mm Anauipiga mwingi😂

  • @salumally663
    @salumally6636 ай бұрын

    Mheshimiwa huku kigamboni VIJIBWENI watendaji wako wanakuharibieni...Mwwnyekiti wa vijibweni kisot hafaiii wanakuharibieni na kukupakeni matope....wanawatapeli watu.

  • @MICHAELSYLIVANUS-ig5pk
    @MICHAELSYLIVANUS-ig5pk6 ай бұрын

    Umenena vyema mkuu wa mkoa.Hongera sana.

  • @naomijames5820
    @naomijames58206 ай бұрын

    Hakuna Cha RPC Wala OCD hawapokei cm wakipigiwa

  • @salvatoresanya9194
    @salvatoresanya91946 ай бұрын

    Usicheze na majambazi yanayo shika pisto tena zilizo sajiliwa na serikali. Hee huko tena kupewa ya mauaji ogopa niheri usomewe uwe umeua🤔 sina hamu na hao 🔫wenye dhamana ni wajii

  • @habibabarker1644
    @habibabarker16446 ай бұрын

    Asante kiongozi Chalamila

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa55666 ай бұрын

    Njia iliyotumika kutengeneza tatizo huwezi kutumia njia hiyo hiyo kutatua tatizo. Tatizo ni mfumo,hivyo huwezi kutatua matatizo yaliyoletwa na mfumo huo huo. Wabongo tafakarini hiyo

  • @mtahogarashid8488
    @mtahogarashid84886 ай бұрын

    Daah hadi nimeumia moyo,mungu yupo atasaidia.

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona76386 ай бұрын

    Tanzania hii dah watu wanapata tabu Sana mungu tunusuru.,

  • @HalfaSaid-vl6ki
    @HalfaSaid-vl6ki6 ай бұрын

    Daa! hii ndo Tz katiba ya Mkoloni na Kuibadili awataki yani 😢😢😢😢😢😢😢

  • @IbrahimShabani-uc8ce
    @IbrahimShabani-uc8ce6 ай бұрын

    Hongera shujaa miladyoo

  • @user-rz9vc6go1r
    @user-rz9vc6go1r6 ай бұрын

    daima tutamkumbuka magufuli, haya yote tulishayasahau jamani, wanyonge twende wapi jamani,

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja97136 ай бұрын

    Safiiiiii safiiiii.Chalamimi.baba ❤❤❤❤

  • @pungopungo411
    @pungopungo411Ай бұрын

    Hao hawawezi kuwasaidia ni wanafiki wanatafuta vyeo mlilieni Mungu pekee ndie atakaewaweza hao viongozi miamba hatari

  • @daudkondo4069
    @daudkondo40696 ай бұрын

    Tutamkumbuka saana Magufuli

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    6 ай бұрын

    Kwa lipi

  • @FatmaLyego

    @FatmaLyego

    6 ай бұрын

    Hakika na tumeshamkumbuka

  • @ChoiceSportstv

    @ChoiceSportstv

    6 ай бұрын

    ​@@salehesalehe2967 kwa kesi kama hizi magufuli alikuwa anatetea masikini na wanyonge ILa matajiri alikuwa anawapiga piniiii balaaa

  • @user-nt4mh4xj2f
    @user-nt4mh4xj2f6 ай бұрын

    tatizo wanatengeneza migogolo ili waonekane wanafanya kazi

  • @mallemaOg
    @mallemaOg6 ай бұрын

    Dah dunia eeeeeh mwenyezi mungu

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja97136 ай бұрын

    Asanteee chalamilalaaaa ❤❤❤❤❤

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa10856 ай бұрын

    Huu ni zaidi ya unyama hivi ninani yupo juu ya sheria,Hakika tutamkumbuka mwamba milele hivi hawa waliofanya wanapataje ujasiri huu,Hivi vaa uhusika wa kuvunjiwa nyumba ambayo umejenga kwa shida mama kajitoa muhanga kwa maneno mazito aliyoyaongea mbele ya mkuu wa mkoa,pistor anaonyeshwa raia mwema kweliiiiiiiii

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Ай бұрын

    Tatizo la nchi ya Tanzania kila kiongozi anaetawala anakuja intresti zake za wizi.sasawanaoumia ni wapiga Kura.Mungu yupo hatuna jinsi

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Ай бұрын

    Wamepita mawaziri wa aridhi wangapi?hadi huyo aamue kukomesha wananchi kugawanyumba zao kwa mtu eti ni wakwanza kupewa. Na kuanzua 1975 & 2024 ni mda wa miaka mingapi.leo umejukuu kwenye nyumba uliojenga unaambiwa toka sio kwako.bado huyo waziri anaangaliwa tu.huyo ni mwambia hatari na Kuna anaowalinda hawabomolewi. Eebaba Mungu tusaidie

  • @user-ur8cq1ye3b

    @user-ur8cq1ye3b

    Ай бұрын

    ​@@pungopungo411mungu awe nasi tuu bac

  • @user-de4sv1yn2t
    @user-de4sv1yn2t6 ай бұрын

    Rais mrudishe makonda kwenye huu mkoa

  • @hamimually3759

    @hamimually3759

    6 ай бұрын

    Hata aliyepo yuko sawa

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu29 күн бұрын

    Naiomba Serikali ijitahidi kukemea vitendo vibaya kama hivi vya dhulma,Kwa sababu raia wanaheshimu sana sheria lakini kila wanapoenda wanakosa msaada Mwisho wa siku wanachukua hatua wao kinyume na sheria

  • @jokhaali5893
    @jokhaali58936 ай бұрын

    Poleni sana, serikali ya Tanzania haina msaada wowote kwa wananchi, tunsituhumu serikali kuwa inashirikiana na majambazi kuwadhulumu wananchi

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime73006 ай бұрын

    Serikali inahusika na hiyo changamoto..... Kumpa fulsa Mtu kufanya uhalifu.... Haiwezekani Police inazuia raia kujitetea.... Hakika MUNGU yupo hiii Sio sawaa eh mwenyezi MUNGU .... Angaza macho Yako mahali Hapa hasila yako ikaonekane kwa kila alie kinyume na hiyo nafasi

  • @comradeandrewsaul5459
    @comradeandrewsaul54596 ай бұрын

    Hongera sana comrade chalamila

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson52026 ай бұрын

    Chalamila ni kichwa Aiseee

  • @user-cs5gs5lf2o
    @user-cs5gs5lf2o6 ай бұрын

    Aisee mtakumbuka Sana raisi wawanyonge jonh pombe magufuli

  • @nassorofundi7695
    @nassorofundi769523 күн бұрын

    Chalamila kazi kwako chapa kazi

  • @mohammedmhina3973
    @mohammedmhina39736 ай бұрын

    Magu asingeruhus upuuzi huuu RIP mkuuu 😢

  • @thomastemu3332
    @thomastemu33326 ай бұрын

    Safii Kaka chalamila

  • @Kabwela776
    @Kabwela7766 ай бұрын

    Chalamila yuko vizuri

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv16 ай бұрын

    We ni jembe chalamila chapa kazi bila kujali maneno

  • @ndabarinzesamuel9333
    @ndabarinzesamuel9333Ай бұрын

    Watanzania mnaanza kukumbuka hayati Magufuli Mungu amaze pema peponi, mafisadi wa kwanza huko kwenu ni mapolisi na wale viongozi wenu hawafai kuongoza wale ni walaji wa rushwa.

  • @aliabdallasaid3174
    @aliabdallasaid31746 ай бұрын

    Asante muheshimiwa chalamila inavyoonekana ww nitunda linalotokana na zao la mama na magufuli hongera sana mungu akubaki na akupe umri mrefu wenye manufaa wa zaidi ya Hali uliloanza kulifanya hongera sana

  • @stevensosipita

    @stevensosipita

    6 ай бұрын

    usimshirikkishe magufuli na huyo mama samia huyo mama samia ndo chanzo cha matatizo yote rip magufuli

  • @demicratia4071
    @demicratia40716 ай бұрын

    Mkuu wa m koaaa Deki deki toa toa takataja chafu mitaani fanya reshufle hapo kama Mama Samia anavyohamisha watu

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim51566 ай бұрын

    Mtamkumbuka mtetezi wa wanyonge MZEE BABA alisema siku nikifa mtanikumbuka

  • @m2wamunguphilimin483
    @m2wamunguphilimin4836 ай бұрын

    Jamani daaa mama...! Rais rais rais rais Wetu angalia hii hayakuwepo Haya wakati wa magufuli inauma sana

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino16566 ай бұрын

    Na kwasababu serikali imeshindwa .basi wanainchi chukuweni hatua mkononi..

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani19896 ай бұрын

    Daaàaaaaaa nchi hii noma sana ninahakika silaha zingekuwa zinauzwa dukani tungelambishana mchanga sana, sasa hapo mfano mmembolea mchawi atawaacha hao wabomoaji?

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w6 ай бұрын

    Sasa huko ni maeneo ya wapi?

  • @PriscaCassian-xd6dw
    @PriscaCassian-xd6dw6 ай бұрын

    Mungu wangu inamaana haya mambo yamerudi tena? viongozi hilimnaliweza kabisa tena lipo ndani ya uwezo wenu Rais John pombe Magufuli aliwezaje! nawengine mnashindwaje? wanapata wapi kiburi cha kunyanyasa watu bila kuwa na mkubwa wao wanaemuamini kutoka serikalini?😊 Nakupongeza sana kuheshimiwa Chalamila kwa kukemea vikali hili tatitzo

  • @fihiriachi8167
    @fihiriachi81676 ай бұрын

    Inauma sana

  • @johnchungwa-ei7xj
    @johnchungwa-ei7xj6 ай бұрын

    Mkuuu wamkoa yupo vizuri sana

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis99916 ай бұрын

    Mulimudharau MAGUFULI Leo vipi? Bi tozo Yu wapi?

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    6 ай бұрын

    Hii ndo mwanzo, mtanikumbuka

  • @sekelagodensi2835
    @sekelagodensi28356 ай бұрын

    R.I.P MAGU

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28086 ай бұрын

    R i p magufuri 😭😭😭😭😭mkuu wamko uko makini sanaaa🙏🙏🙏🙏

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi29356 ай бұрын

    Kila sehem bunduki kitu kidogo bunduki alaf baadae mtu anakua nakinyongo anatafuta ata yamjombaa ake analipiza kisasi

  • @EliaMwaijumba
    @EliaMwaijumba6 ай бұрын

    Enzi za magu na kamanda rukuvi wanyonge walisikilizwa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3136 ай бұрын

    Mtanikumbuka RIP JPM

  • @hamimually3759
    @hamimually37596 ай бұрын

    Aseeee... Polen sana

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh39396 ай бұрын

    TUNA KWENDA KUBAYA MAMA SAMIA

  • @saididodi3988
    @saididodi39886 ай бұрын

    Tanzania kikubwa uzima tu

  • @fordia1
    @fordia1Ай бұрын

    Mkuu wa Mkoa afanye kazi kama avyofanya Mhe. Makonda. Tunahitaji Viongozi wafanye kazi kama Makonda

Келесі