MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI KUZALISHA UMEME.

Ғылым және технология

📜 Innovation for the future
we strive to educate you in the world of science. We're delighted to hear your thoughts.
In today's session, we are looking at how hydroelectric power is generated.
We greatly respect all KZread policies and copyrights. We also appreciate your feedback as it's one way to improve our services.
message at Email: perfectsidetz@gmail.com
subscribe our channel 🔔
KIPINDI...
MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI

Пікірлер: 96

  • @MairaAlly
    @MairaAllyАй бұрын

    Hii ni channel sahihi kabisa sijutii kuijua kila siku huwa nazima nichungulie kitu chochote hata sometimes huwa narudia video moja kwa mara kadhaa

  • @Perfect_side_tz

    @Perfect_side_tz

    Ай бұрын

    Karibu sana🤝

  • @MairaAlly

    @MairaAlly

    Ай бұрын

    @@Perfect_side_tz Asante sana pia nakuomba siku moja uje ugusie jinsi mafuta yanafanya kazi katika engines na kuzalisha nishati nguvu

  • @jamesmzaki6041

    @jamesmzaki6041

    29 күн бұрын

    ​@@MairaAlly Ingia KZread kila kitu kipo,,,Ukitaka kusoma engine za pikipiki,gari,train,meli,boti,ndege mpaka helicopter na Kuna picha na maelezo kabisa.

  • @MairaAlly

    @MairaAlly

    29 күн бұрын

    @@jamesmzaki6041 umeelewa nilicho taka kujua?

  • @khalidySalumu-tp2wl

    @khalidySalumu-tp2wl

    26 күн бұрын

    Ntafute nikujulishe ilo​@@MairaAlly

  • @martinusdamian3085
    @martinusdamian3085Ай бұрын

    Upo vzr sana ndugu, unafanya elimu iliyo ngumu kuitafuta darasan na kuwa nyepesi kupitia kwako, nasi tunaweza tamba mitaani kuwaelekeza wengine

  • @jefjacob12420
    @jefjacob12420Ай бұрын

    Kwa mtu ambaye amekalili Physics anawez sema umetoa somo jepes lakini kwa mtu anaye jua physics ajakalil Nots za darasan wew jamaa ni zaid ya Ticha, vitu vigumu lakini unavifanya tuvione vyepesi. 🎉🎉🎉🎉

  • @rajabuhamzambagonyonge3257

    @rajabuhamzambagonyonge3257

    28 күн бұрын

    Kabisa me nimejifunza Sana hapa

  • @austereaniceth7577
    @austereaniceth757713 күн бұрын

    Aisee unaelezea vizuri sana...na unaeleweka muno big up sana....nimejifunza kitu ambacho nilikuwa sikijui siku nyingi..... shukrani sana.

  • @mohdali2408
    @mohdali240827 күн бұрын

    Ulipaswa waondoe walimu wa shule na iekwe projecta ufundishe wanafunz wetu pamoja na internet thank you

  • @Ben_Safari_Tz
    @Ben_Safari_TzАй бұрын

    KAZI NZURI KAKA WANAFUNZI WAKO TUNAENDELEA KUPOKEA MATUNDA 🎉 MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏

  • @martinusdamian3085
    @martinusdamian3085Ай бұрын

    Ombi langu kwako tufanyie utaratibu wa stellaite inavyomuongoza rubani pindi anapopaisha ndege juu na kutua mji mwingine bila hata kuwa na njia angani, na mawasiliano yote yanafanyika vp mpaka mwishon

  • @fanuelikizungu1412
    @fanuelikizungu141227 күн бұрын

    Maelezo mazuri sana mwana fizikia 👏👏 Ila nlikuwa nataman utuelezee mechanism inayopelekea kuzaliswa umeme baada ya kuzungushwa, nimeona sumaku kwenye Dynamo je Ina kazi gani kwenye kuzalisha umeme

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur192214 күн бұрын

    Nakukubali mzee from M23

  • @Kakajambazitv..
    @Kakajambazitv..29 күн бұрын

    Nimejikuta na sb hii channel nimekubali sana 🫡🫡

  • @BusokeloTV
    @BusokeloTV29 күн бұрын

    Amazing sana kaka. Am Paul mwakyusa

  • @MrBm-369
    @MrBm-3698 күн бұрын

    We jamaa unajua sana👏👏👏

  • @IvanRichard-dp6jy
    @IvanRichard-dp6jyАй бұрын

    Namna magari yanavyotengenezwa

  • @Joekwid960
    @Joekwid96026 күн бұрын

    Ahsante kwa Elimu Engineer Swali ni juu ya uwezekano kuzalisha free energy kwa kutumia Motor -Flywheel - Alternator.

  • @shariduidrisa1993
    @shariduidrisa1993Ай бұрын

    Good broh

  • @raiszongo4136
    @raiszongo413626 күн бұрын

    Nimerudia mara 3 kuisikiliza hii video, channel sahihi sana Kwa sisi tunaopenda kujifunza thanks brother

  • @jamestocta3075
    @jamestocta307526 күн бұрын

    Tunaomba somo la jinsi mawimbi yanavyosafiri. Redio inavyofanya kazi, simu, remote.. pia tueleweshe maana ya frequency

  • @phabiansindano2856
    @phabiansindano285612 күн бұрын

    Nzuri sana hii inafundisha

  • @EmmanuelElemba-zp9vr
    @EmmanuelElemba-zp9vr25 күн бұрын

    Kaka unatoa masomo mazuri sana., ni mambo mengi sana watu hatufahamu ila huwa tunaona na kusikia sikia tu... keep it up bro, tuko pamoja

  • @LukandaJean
    @LukandaJean23 күн бұрын

    Asante Sana muzidi kukuza viwango na kufundisha ili vipaji viendelee mbele

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w5 күн бұрын

    Daa mim nimgeni uku nmejiungaa ramsi perfect side nawakubalii

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq28 күн бұрын

    Afii🥰 ilaumetupunja! Hujatuambia huo waya wanauvushaje? Wanauchimbia au wanautupa juu ya mchangaa! Na wanauvusha na mtanbo upi? Meli au Helkopta!?

  • @jacksonrocky2712
    @jacksonrocky271229 күн бұрын

    Hongera kwa maelezo mazuri kuhusu complex principles in our daily life. Naomba utuelezee pia Programmable Logic Controller (PLC) inavyofanya kazi.

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor43718 күн бұрын

    Safi sana yaani umenifanya nijiunge kupitia chaneli Yako Mzee.

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv285229 күн бұрын

    Maelezo mazur

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe345118 күн бұрын

    Hii chanel inatusaidia tuliokimbia physics na kuturudisha darasan

  • @tamimusoftware
    @tamimusoftware28 күн бұрын

    We ni noma sana kaka umetisha sana kaka

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla662217 күн бұрын

    Ktk channel za maana sana kwangu hii ni miongoni mwao.... Napata elimukubwa sN

  • @idrixalumany5902
    @idrixalumany590220 күн бұрын

    Umetisha sana 🎉🎉

  • @eliofootz6519
    @eliofootz651929 күн бұрын

    Thanks so much 🎉

  • @allymwinja2693
    @allymwinja269329 күн бұрын

    This is real PERFECT 🤝💪

  • @XhebbyMandevu-u1h
    @XhebbyMandevu-u1h14 күн бұрын

    Asanteee 🎉kaka

  • @Mpforsmart
    @Mpforsmart19 күн бұрын

    MUNGU akubarik sana darasa kubwasana hili

  • @yohanamsagara1999
    @yohanamsagara199928 күн бұрын

    Uko vzr unatoa elimu zuri sana

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu10 күн бұрын

    Chanel hii ya elimu

  • @sirielypetrombise519
    @sirielypetrombise51929 күн бұрын

    Uzidi sana kubarikiwa Ndugu

  • @barakamanoniinuka9200
    @barakamanoniinuka920028 күн бұрын

    Good Idea

  • @albertnyari7052
    @albertnyari705225 күн бұрын

    Nimeipenda sana

  • @CNM-hw1ns
    @CNM-hw1ns28 күн бұрын

    Salute

  • @HabibuHaji-oq1zr
    @HabibuHaji-oq1zr26 күн бұрын

    Kazi nzuri

  • @user-gi8ny2xt3y
    @user-gi8ny2xt3y25 күн бұрын

    Nazidi kujua meng pamoja sana mkuu tunashukulu

  • @denischarles8864
    @denischarles886422 күн бұрын

    Shukrani

  • @zajarone9186
    @zajarone918625 күн бұрын

    Engineer uko vzuri sana

  • @RajabuSalumu-ik1fx
    @RajabuSalumu-ik1fx28 күн бұрын

    Excellent

  • @bakarially4336
    @bakarially433628 күн бұрын

    Ningependa kufahamu kuhusu mafuta ya tranfoma la umeme kwa kirefu

  • @Christianmovies52
    @Christianmovies5223 күн бұрын

    Uko vizur brother

  • @widebrainclassic
    @widebrainclassic14 күн бұрын

    👏👏✋👏

  • @richytarimo4656
    @richytarimo465629 күн бұрын

    mkuu nimekuelewa vizur sana

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya964828 күн бұрын

    Usikate tamaa. Kazi ni nzuri, inafaa Sana kwa Nchi Kama zetu kukuza teknolojia na Hali ya kupenda Sayansi kwa vijana wetu

  • @GeorgeCharlesKipeya-m3b
    @GeorgeCharlesKipeya-m3b20 күн бұрын

    Safi Sana kaka,Mimi nageuza kutoka DC v12_hadi ac v220 nk,yaani nauda invertor unachozunguza sahihi maana nimefanya utafiti ,vitu vingi,naomba uzungumzie aplifey ,na transformer ways zake ndani ,zinazopokea Moto na zinazotowa motor hazigusani?

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa14829 күн бұрын

    Safi sana

  • @ce-08
    @ce-0829 күн бұрын

    Mwamba yupo vizur sana

  • @Kamanda12
    @Kamanda1228 күн бұрын

    Bro we umesoma bongo kweli maana akili nyingi sana ila mm nataka utuletee mambo ya sayari ya dunia kwann inaelea na aishuki chini

  • @laurent993
    @laurent99313 күн бұрын

    Yan ile physics alonifundisha ticha nikaiona ngumu mikaka minne leo naiona simple sana ndn ya dakika 10

  • @mtaalamutv6928
    @mtaalamutv6928Ай бұрын

    Nafurai sanaa kupata madini kama hayaa

  • @atenionesmo_A10
    @atenionesmo_A1028 күн бұрын

    hapa kwa kusafirisha kwenda. zanzibar ufafanuzi wa namna gan unafika

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni29 күн бұрын

    Unaakiri sana

  • @filbertvicent4738
    @filbertvicent473829 күн бұрын

    Baba nimekubali baba kwa elim bola

  • @TariqSalym
    @TariqSalym29 күн бұрын

    Vizuri broo lakini Me nataka kujua kuhusu mfumo wa air brake katika truck

  • @user-ml2fv8lv2n
    @user-ml2fv8lv2n29 күн бұрын

    Kijana

  • @fedrickcharles5937
    @fedrickcharles593724 күн бұрын

    Kaka Naomba kujua vifaa wanavyo tumia wanahanga kwenda kwenye sayali nyingine

  • @gilbertmsemo
    @gilbertmsemo28 күн бұрын

    imekaa sawa saana ni vema pia kama ungeelezea biogas production na geothermal steam energy zinavyo tengenezwa (generated )

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht29 күн бұрын

    Safii nimefurahi ndo NIMEKUTANA na hii channel nimeona ni subscription hapo hapo

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu240811 күн бұрын

    Hizi program ziweke vitu kama hizi wafrika wafungue bongo sio tu move za ngono na wizi na uchawi na kuombewa

  • @user-hq2uk5yc2f
    @user-hq2uk5yc2f18 күн бұрын

    ok

  • @jumannerajabu5288
    @jumannerajabu528829 күн бұрын

    Elim nzur

  • @majaliwaking4500
    @majaliwaking450023 күн бұрын

    Duh kumbe Zanzibar wanategemea Umeme huku?

  • @SadaDamas-jh2gt
    @SadaDamas-jh2gt28 күн бұрын

    Naomba kujua siri ya fuel inavyoweza kuleta nguvu ya kusukuma mitambo mikubwa kama vile malori,katapila nk

  • @RobertLyimo-vj3up
    @RobertLyimo-vj3up29 күн бұрын

    Mtanimalizia bando akyamungu

  • @rweyemamurweyongeza4879
    @rweyemamurweyongeza487925 күн бұрын

    Kumbe chaja ya simu naya ni step-down transfomer

  • @Perfect_side_tz

    @Perfect_side_tz

    25 күн бұрын

    Charge ya Simu inafanya kazi hizi. 1. Inatumika kupunguza umeme kama step-down transformer inavyofanya. Mfano inaingiza voltage 220, yenyewe inapunguza na inatoa voltage 5. 2. Inabadilisha umeme wa AC unaotoa tanesco kuwa umeme wa DC ambao utatumika kwenye simu yako.

  • @daudiboaz3737
    @daudiboaz373729 күн бұрын

    Samahani tunaomba kujua kuhusu gari za umeme

  • @hamisindingo
    @hamisindingo29 күн бұрын

    Nimejua Hz na AC Tuandalie jinsi shoti inavotokea kwa mwanadamu upande wa AC na DC

  • @NassaniMussa
    @NassaniMussaАй бұрын

    Naomba unichambulie ndege inavyo weza kupaa

  • @Shebbytvs

    @Shebbytvs

    29 күн бұрын

    Fuatilia hyo channel video zake alizoupload utaikuta hyo vdeo unayoitaka!

  • @user-ic4cg5fx2f
    @user-ic4cg5fx2f26 күн бұрын

    uku tuingie wana sayansi tu ili tusisumbuwe walimu.

  • @ce-08
    @ce-0829 күн бұрын

    Sasa hapo kwenye kupata transforma ya kupunguza umeme ndiyo changamoto maana nisije nikaunguza vitu

  • @officialdoy-ux8lt
    @officialdoy-ux8ltАй бұрын

    Perfect side please naomba ujuzi uliopo kwenye vyombo vya umeme mfano simu ikiisha chaji ukiichaji inajaa tena .. nitafurahi kama mtafanyia kazi comment yangu

  • @Perfect_side_tz

    @Perfect_side_tz

    Ай бұрын

    Tunafanyia kazi haraka 🙂

  • @richytarimo4656
    @richytarimo465629 күн бұрын

    nataka kujua barid ya kwenye ac huwa unatoka wap

  • @hans_tech0015
    @hans_tech001528 күн бұрын

    Dynamo ni ac cyo dc

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION27 күн бұрын

    Sio Kwa lugha ya kitaalam Bali Kwa lugha ya kingereza

  • @jefjacob12420

    @jefjacob12420

    27 күн бұрын

    Kwani anafundisha kingerez au anafundisha Sayansi Kitaalamu ni Dynamo. Kingereza ni Transducer. Au umekulupuk tu ku comment

  • @BONGOINMOTION

    @BONGOINMOTION

    27 күн бұрын

    @@jefjacob12420 umekurupuka bro pakujibu nilipo commentia sio hapo😂😂😂😂

  • @BONGOINMOTION

    @BONGOINMOTION

    27 күн бұрын

    ​@@jefjacob12420nilipokoment ni kwenye eti step up transformer ni lugha ya kitaalam Isawa,,,ila kwani nikisema transfoma chocheo sio lugha ya kitaalam? Sio Kwa ubaya JJ man.

  • @jefjacob12420

    @jefjacob12420

    27 күн бұрын

    @@BONGOINMOTION haya ban ila huku Tanesco huwa tunatumia majina hay kwaiy kwa mtazam wa kitaalam yup saw ila yote pow ty😃😃🤝

  • @yussufaziz325
    @yussufaziz32517 күн бұрын

    Vipi umeme wa ac unabadilishwa na kua DC

  • @Perfect_side_tz

    @Perfect_side_tz

    17 күн бұрын

    Kuna kifaa kinaitwa Diode huwa kinapatikana kwenye TV au Kwenye Redio nk

Келесі