MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI KUZALISHA UMEME.
Ғылым және технология
📜 Innovation for the future
we strive to educate you in the world of science. We're delighted to hear your thoughts.
In today's session, we are looking at how hydroelectric power is generated.
We greatly respect all KZread policies and copyrights. We also appreciate your feedback as it's one way to improve our services.
message at Email: perfectsidetz@gmail.com
subscribe our channel 🔔
KIPINDI...
MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI
Пікірлер: 96
Hii ni channel sahihi kabisa sijutii kuijua kila siku huwa nazima nichungulie kitu chochote hata sometimes huwa narudia video moja kwa mara kadhaa
@Perfect_side_tz
Ай бұрын
Karibu sana🤝
@MairaAlly
Ай бұрын
@@Perfect_side_tz Asante sana pia nakuomba siku moja uje ugusie jinsi mafuta yanafanya kazi katika engines na kuzalisha nishati nguvu
@jamesmzaki6041
29 күн бұрын
@@MairaAlly Ingia KZread kila kitu kipo,,,Ukitaka kusoma engine za pikipiki,gari,train,meli,boti,ndege mpaka helicopter na Kuna picha na maelezo kabisa.
@MairaAlly
29 күн бұрын
@@jamesmzaki6041 umeelewa nilicho taka kujua?
@khalidySalumu-tp2wl
26 күн бұрын
Ntafute nikujulishe ilo@@MairaAlly
Upo vzr sana ndugu, unafanya elimu iliyo ngumu kuitafuta darasan na kuwa nyepesi kupitia kwako, nasi tunaweza tamba mitaani kuwaelekeza wengine
Kwa mtu ambaye amekalili Physics anawez sema umetoa somo jepes lakini kwa mtu anaye jua physics ajakalil Nots za darasan wew jamaa ni zaid ya Ticha, vitu vigumu lakini unavifanya tuvione vyepesi. 🎉🎉🎉🎉
@rajabuhamzambagonyonge3257
28 күн бұрын
Kabisa me nimejifunza Sana hapa
Aisee unaelezea vizuri sana...na unaeleweka muno big up sana....nimejifunza kitu ambacho nilikuwa sikijui siku nyingi..... shukrani sana.
Ulipaswa waondoe walimu wa shule na iekwe projecta ufundishe wanafunz wetu pamoja na internet thank you
KAZI NZURI KAKA WANAFUNZI WAKO TUNAENDELEA KUPOKEA MATUNDA 🎉 MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏
Ombi langu kwako tufanyie utaratibu wa stellaite inavyomuongoza rubani pindi anapopaisha ndege juu na kutua mji mwingine bila hata kuwa na njia angani, na mawasiliano yote yanafanyika vp mpaka mwishon
Maelezo mazuri sana mwana fizikia 👏👏 Ila nlikuwa nataman utuelezee mechanism inayopelekea kuzaliswa umeme baada ya kuzungushwa, nimeona sumaku kwenye Dynamo je Ina kazi gani kwenye kuzalisha umeme
Nakukubali mzee from M23
Nimejikuta na sb hii channel nimekubali sana 🫡🫡
Amazing sana kaka. Am Paul mwakyusa
We jamaa unajua sana👏👏👏
Namna magari yanavyotengenezwa
Ahsante kwa Elimu Engineer Swali ni juu ya uwezekano kuzalisha free energy kwa kutumia Motor -Flywheel - Alternator.
Good broh
Nimerudia mara 3 kuisikiliza hii video, channel sahihi sana Kwa sisi tunaopenda kujifunza thanks brother
Tunaomba somo la jinsi mawimbi yanavyosafiri. Redio inavyofanya kazi, simu, remote.. pia tueleweshe maana ya frequency
Nzuri sana hii inafundisha
Kaka unatoa masomo mazuri sana., ni mambo mengi sana watu hatufahamu ila huwa tunaona na kusikia sikia tu... keep it up bro, tuko pamoja
Asante Sana muzidi kukuza viwango na kufundisha ili vipaji viendelee mbele
Daa mim nimgeni uku nmejiungaa ramsi perfect side nawakubalii
Afii🥰 ilaumetupunja! Hujatuambia huo waya wanauvushaje? Wanauchimbia au wanautupa juu ya mchangaa! Na wanauvusha na mtanbo upi? Meli au Helkopta!?
Hongera kwa maelezo mazuri kuhusu complex principles in our daily life. Naomba utuelezee pia Programmable Logic Controller (PLC) inavyofanya kazi.
Safi sana yaani umenifanya nijiunge kupitia chaneli Yako Mzee.
Maelezo mazur
Hii chanel inatusaidia tuliokimbia physics na kuturudisha darasan
We ni noma sana kaka umetisha sana kaka
Ktk channel za maana sana kwangu hii ni miongoni mwao.... Napata elimukubwa sN
Umetisha sana 🎉🎉
Thanks so much 🎉
This is real PERFECT 🤝💪
Asanteee 🎉kaka
MUNGU akubarik sana darasa kubwasana hili
Uko vzr unatoa elimu zuri sana
Chanel hii ya elimu
Uzidi sana kubarikiwa Ndugu
Good Idea
Nimeipenda sana
Salute
Kazi nzuri
Nazidi kujua meng pamoja sana mkuu tunashukulu
Shukrani
Engineer uko vzuri sana
Excellent
Ningependa kufahamu kuhusu mafuta ya tranfoma la umeme kwa kirefu
Uko vizur brother
👏👏✋👏
mkuu nimekuelewa vizur sana
Usikate tamaa. Kazi ni nzuri, inafaa Sana kwa Nchi Kama zetu kukuza teknolojia na Hali ya kupenda Sayansi kwa vijana wetu
Safi Sana kaka,Mimi nageuza kutoka DC v12_hadi ac v220 nk,yaani nauda invertor unachozunguza sahihi maana nimefanya utafiti ,vitu vingi,naomba uzungumzie aplifey ,na transformer ways zake ndani ,zinazopokea Moto na zinazotowa motor hazigusani?
Safi sana
Mwamba yupo vizur sana
Bro we umesoma bongo kweli maana akili nyingi sana ila mm nataka utuletee mambo ya sayari ya dunia kwann inaelea na aishuki chini
Yan ile physics alonifundisha ticha nikaiona ngumu mikaka minne leo naiona simple sana ndn ya dakika 10
Nafurai sanaa kupata madini kama hayaa
hapa kwa kusafirisha kwenda. zanzibar ufafanuzi wa namna gan unafika
Unaakiri sana
Baba nimekubali baba kwa elim bola
Vizuri broo lakini Me nataka kujua kuhusu mfumo wa air brake katika truck
Kijana
Kaka Naomba kujua vifaa wanavyo tumia wanahanga kwenda kwenye sayali nyingine
imekaa sawa saana ni vema pia kama ungeelezea biogas production na geothermal steam energy zinavyo tengenezwa (generated )
Safii nimefurahi ndo NIMEKUTANA na hii channel nimeona ni subscription hapo hapo
Hizi program ziweke vitu kama hizi wafrika wafungue bongo sio tu move za ngono na wizi na uchawi na kuombewa
ok
Elim nzur
Duh kumbe Zanzibar wanategemea Umeme huku?
Naomba kujua siri ya fuel inavyoweza kuleta nguvu ya kusukuma mitambo mikubwa kama vile malori,katapila nk
Mtanimalizia bando akyamungu
Kumbe chaja ya simu naya ni step-down transfomer
@Perfect_side_tz
25 күн бұрын
Charge ya Simu inafanya kazi hizi. 1. Inatumika kupunguza umeme kama step-down transformer inavyofanya. Mfano inaingiza voltage 220, yenyewe inapunguza na inatoa voltage 5. 2. Inabadilisha umeme wa AC unaotoa tanesco kuwa umeme wa DC ambao utatumika kwenye simu yako.
Samahani tunaomba kujua kuhusu gari za umeme
Nimejua Hz na AC Tuandalie jinsi shoti inavotokea kwa mwanadamu upande wa AC na DC
Naomba unichambulie ndege inavyo weza kupaa
@Shebbytvs
29 күн бұрын
Fuatilia hyo channel video zake alizoupload utaikuta hyo vdeo unayoitaka!
uku tuingie wana sayansi tu ili tusisumbuwe walimu.
Sasa hapo kwenye kupata transforma ya kupunguza umeme ndiyo changamoto maana nisije nikaunguza vitu
Perfect side please naomba ujuzi uliopo kwenye vyombo vya umeme mfano simu ikiisha chaji ukiichaji inajaa tena .. nitafurahi kama mtafanyia kazi comment yangu
@Perfect_side_tz
Ай бұрын
Tunafanyia kazi haraka 🙂
nataka kujua barid ya kwenye ac huwa unatoka wap
Dynamo ni ac cyo dc
Sio Kwa lugha ya kitaalam Bali Kwa lugha ya kingereza
@jefjacob12420
27 күн бұрын
Kwani anafundisha kingerez au anafundisha Sayansi Kitaalamu ni Dynamo. Kingereza ni Transducer. Au umekulupuk tu ku comment
@BONGOINMOTION
27 күн бұрын
@@jefjacob12420 umekurupuka bro pakujibu nilipo commentia sio hapo😂😂😂😂
@BONGOINMOTION
27 күн бұрын
@@jefjacob12420nilipokoment ni kwenye eti step up transformer ni lugha ya kitaalam Isawa,,,ila kwani nikisema transfoma chocheo sio lugha ya kitaalam? Sio Kwa ubaya JJ man.
@jefjacob12420
27 күн бұрын
@@BONGOINMOTION haya ban ila huku Tanesco huwa tunatumia majina hay kwaiy kwa mtazam wa kitaalam yup saw ila yote pow ty😃😃🤝
Vipi umeme wa ac unabadilishwa na kua DC
@Perfect_side_tz
17 күн бұрын
Kuna kifaa kinaitwa Diode huwa kinapatikana kwenye TV au Kwenye Redio nk