BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA

Пікірлер: 477

  • @officer1208
    @officer12085 жыл бұрын

    Ambao hatujui hata baba zetu wako wapi ila bado tuna fight wenyewe.. gonga like mayatima tujuane.

  • @ndayisengafrorence8461

    @ndayisengafrorence8461

    4 жыл бұрын

    Tupooo

  • @officer1208

    @officer1208

    4 жыл бұрын

    @@ndayisengafrorence8461 daah pamoja sana mkuu! Bado tuna pambana na hatutochoka kupambana.

  • @alexlingwendu6780

    @alexlingwendu6780

    4 жыл бұрын

    Kweli tuupo .Na tunapigana kwelikweli .Japo Mimi baba yuupo Ila mpka naanza kujitambua baba Angu hakua na chochote .

  • @albeleenalberto158

    @albeleenalberto158

    4 жыл бұрын

    Don't make me cry

  • @yusufally6853

    @yusufally6853

    4 жыл бұрын

    Alhamdulilah yote yana mungu.tumshukuru mungu kwa kila jambo

  • @40kstore
    @40kstore5 жыл бұрын

    millard tunaomba hizi interview za watu kama hawa ziongezeke kaka,please...zinatupa sana moyo wa kupambana,hoji watu wengi waliofanikiwa,ili tuweze kupata vitu

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    5 жыл бұрын

  • @estherpetza5236

    @estherpetza5236

    5 жыл бұрын

    true

  • @mandyfitnesstv6738

    @mandyfitnesstv6738

    5 жыл бұрын

    Kweli bro. Zinatujenga sana.

  • @simbawateranga7020

    @simbawateranga7020

    5 жыл бұрын

    Point kbs mkuu

  • @eenpaard3915

    @eenpaard3915

    5 жыл бұрын

    kweli

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69614 жыл бұрын

    Mashaallah.Hongereni Sana na mtangulizeni Mwenyezi Mungu katika Kila kitu.Msisahau kutoa zaka mwisho wa mwaka na kuwapa maskini

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu58625 жыл бұрын

    Hapa ndio utakapojua maana ubora wa Elimu naaarifa yanayopatikana.Investment yote haikua inamuandaa mtoto kusubiri au kuwaza kuajiriwa ..waliangalia zaidi kuanza jambo lao kuemdeleza na kuwa wabunifu .Hongera sana .

  • @kazungujonathan9000
    @kazungujonathan90005 жыл бұрын

    Millard nakuelewa sana kwa kazi yako , kutoka maganzo kwa jamaa wa almasi ukasogea jambo, jambo ndo nilipoanzia kazi baada ya kutoka SUA 2014 kama field officer. Ndo palinifungulia mlango, kwasasa nafanya kazi na taasisi ya utafiti wa kilimo tananzania kama mtafiti wa kilimo.

  • @OKiduma

    @OKiduma

    4 жыл бұрын

    kazungu jonathan bro kazungu tuwasiliane bas

  • @maijopardon2274

    @maijopardon2274

    Жыл бұрын

    Namba za company p Ries

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano53725 жыл бұрын

    Hongera Ayo kwa kutuletea interview hii. Endelea kutuletea nyingine za wengine waliofanikiwa. Interview kama hizi zitatusaidia kushirikiana na vijana wetu ktk kuendesha miradi kwa mafanikio

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga70205 жыл бұрын

    Mi nahc miaka mi'5 mbele MirlladAyo atakua kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa sana..

  • @kingslleyhaidar2649
    @kingslleyhaidar26495 жыл бұрын

    Very impressed, very young Tanzania to run a big company like this owesome....

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi14185 жыл бұрын

    Sasa ni kipindi cha kurudi nyumbani maana tunayoyaona huku kwenye dunia ya kwanza ndio yanayoendelea nyumbani big up boss mtoto

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    5 жыл бұрын

    Shamimu Shittindi tutarudi pamoja upo pande zipi

  • @firdausnassor1105
    @firdausnassor11055 жыл бұрын

    Mungu awalinde hii familia , ni vema sana ndugu kukaa pamoja na kupendana

  • @davidobonyo7558
    @davidobonyo75585 жыл бұрын

    Nimependa sana uzalishaji wa bidhaa za Jambo yaani very hygienic keep it up Jambo

  • @jumannechapembe8280
    @jumannechapembe82805 жыл бұрын

    Nafarijika Sana kwa unachokifanya ayo tv. Natamani na Mimi kufanya innovation baada ya miaka kazaa niwe Kama Jamaaa hpo. Big up Ayo TV

  • @blackmamba7553
    @blackmamba75535 жыл бұрын

    Had leo sijui ofisi ya Baba iko wap 😢😢😢

  • @mgasathedon1579

    @mgasathedon1579

    5 жыл бұрын

    Uwe unatupa hizo story znatupa moyo sio udaku news

  • @emmakalou5920

    @emmakalou5920

    5 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @richardrobert1032

    @richardrobert1032

    5 жыл бұрын

    Black Mamba 😂

  • @officialgakankara

    @officialgakankara

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @jacksonchimomo554

    @jacksonchimomo554

    5 жыл бұрын

    Black Mamba kakuona huna Akili

  • @justinemaganga4139
    @justinemaganga41395 жыл бұрын

    hii ndo interview bora kwangu ndani ya mwaka huu umefanya Millard hayo

  • @louisngaiza
    @louisngaiza5 жыл бұрын

    Hizi ndo contents tunapenda kuona Be Millard una focus.

  • @aminaibrahim4148

    @aminaibrahim4148

    3 жыл бұрын

    Safi sana mungu awa zidie mapenzi na imani

  • @lukombesoemmanuel7271
    @lukombesoemmanuel72715 жыл бұрын

    Nice interview...vinajana tunapenda kusikia hays

  • @ericernest2099
    @ericernest20995 жыл бұрын

    Niwapongeze kwa kuwekeza kwenye mkoa wao. Wengine wangekimbilia Dar au Mwanza

  • @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608

    @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608

    3 ай бұрын

    juisi zao ni nzuri sana

  • @mohamedhamdan4956
    @mohamedhamdan49565 жыл бұрын

    MashaAllah huyu kijana anakosa kubwa sana ambalo ni hatari kutoka wewe tangu uanze kulizungumzia kuhusu viwanda viwanda mbona hatujawahi kusikia ukishukuru Mungu ukisema ALHAMDULILAH HAPO UMEMASI ALLAH MAANA KAMA SI ALLAH NI NANI MWENGINE NI MWEZA??? Lazima utafakari maalim umemasi Mungu

  • @qilil7

    @qilil7

    5 жыл бұрын

    Wallah hata Mimi nimeliona hilo

  • @qilil7

    @qilil7

    5 жыл бұрын

    Kweli nami nimefikiria saana labda atasema Alhamdulillah

  • @kigomampyatv9209

    @kigomampyatv9209

    4 жыл бұрын

    Ni mkristu

  • @ahmedadam6568
    @ahmedadam65685 жыл бұрын

    Baba alikuwa akimpeleka kwenye ofisi ya biashara sio ofisi ya serikali,watu weupe wana uvumilivu na wananyanyuana sana lakn watu weusi tuna unyimi na malengo ya mida mfupi,ukaichana na tatzo la mtaji wa pesa bado mtaji wa mawazo ni duni,elimu itakufanya kuwa na mawazo mapana na zaidi ukisoma nje unapata fursa ya kujionea mambo mengi mazur na ya kisada,hongereni sana

  • @darmillionaire

    @darmillionaire

    5 жыл бұрын

    Jiongelee mwenyewe. Hili sio jambo la weusi au weupe. Ni jambo la mtu na mtu. Kama hujawahi kusikia basi enzi za Kikwete kuna mweusi mmoja mmiliki wa hoteli ya Peacock pale Mnazi Mmoja aliwahigi na yeye kuhojiwa na kueleza jinsi alivyosota kutoka kuuza duka Iringa hadi kujenga hoteli Mnazi Mmoja kwa elimu ya darasa la saba, halafu jinsi alivyomrithisha mwanae mikoba. Ila ujue pia kuna wengine wanaofanya hivyo ambao hawaongei. Sasa usijishushe na kukweza rangi ya mtu au kudharau rangi ya mtu kwa sababu ya matatizo ya watu binafsi. Hata watu wenye ngozi unazosifia ni wengi tu huko kwao ambao wana mambo ya ovyo ovyo kabisa. Usiangalie wachache unaowasikia wanavuma ukajua basi wote wako hivyo.

  • @crershawmafia1009

    @crershawmafia1009

    4 жыл бұрын

    Ubinafsi ndio unatuponza sie weusi. Tunapenda kusujudiwa sana hasa tukipata mafanikio kidogo tu. Unataka walioko chini wabakie huko huko hata kama una nafasi ya kuwainua ila unawakazia makusudi ama kwa roho mbaya tu. Hatutakaa tusogee

  • @goodteam7890

    @goodteam7890

    4 жыл бұрын

    @@darmillionaire weuc wenye maendeleo makubwa ni wachache sio kama wenzetu weupe

  • @robtv9634
    @robtv96345 жыл бұрын

    Lemme tell you guys u have good governorship. And a great President #FromSomalia

  • @santodelove4351

    @santodelove4351

    5 жыл бұрын

    Come and take him

  • @robtv9634

    @robtv9634

    5 жыл бұрын

    @@santodelove4351 wish i can

  • @cbegram6161

    @cbegram6161

    2 жыл бұрын

    Miaka miwili baada ya hii comment, he is no longer with us😥😥

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery5 жыл бұрын

    Well done young boy, initiatives, eduction, commitments , mitigation and excursion is the key of successes

  • @mutalemwagabriel2277

    @mutalemwagabriel2277

    5 жыл бұрын

    😁😁

  • @InnohubGroup

    @InnohubGroup

    5 ай бұрын

    Sasa mbona ujiaibishe mbele ya Dunia wakati unaweza kukitumia kiswahili. Kiingereza sio kipimo Cha masomo au ujanja! Next time try to find out the meaning of the vocabulary you would like to use and the correct/proper spelling. STOP 🛑 worshipping the English language. Be proud of our Swahili language.

  • @edsonsibuti6914
    @edsonsibuti69145 жыл бұрын

    Sitokei katika familia tajiri lakini familia tajiri lazma itoke kwangu

  • @zalhatamakange2627

    @zalhatamakange2627

    3 жыл бұрын

    Nimependa hii

  • @kaburashindika5617

    @kaburashindika5617

    3 жыл бұрын

    💪

  • @zurfashafii9531

    @zurfashafii9531

    3 жыл бұрын

    Mungu akujaaliye

  • @johnmwandry4309
    @johnmwandry43095 жыл бұрын

    gonga like kwa mzee aliona mbali kuwekeza elimu kwa watoto

  • @khadijak3065

    @khadijak3065

    5 жыл бұрын

    Hakika amefanya kitu cha maana lio hii angeajiri MTU baki lakini hela ya mshahara imerudi nyumbani hongera baba

  • @salamakombo3257

    @salamakombo3257

    4 жыл бұрын

    Goood

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa33465 жыл бұрын

    Miaka 5 ijayo tutashindana sokoni na jambo company, Mimi nikiwa Geita I'm serious!

  • @stevegill2799

    @stevegill2799

    5 жыл бұрын

    Tutafutane kaka na Mimi nipo geita

  • @proevolutionsoccer3779

    @proevolutionsoccer3779

    5 жыл бұрын

    GOD BLESS YOU

  • @fatmafeisal4328

    @fatmafeisal4328

    4 жыл бұрын

    mungu akubariki

  • @seifdisail3007

    @seifdisail3007

    4 жыл бұрын

    MUNGU akujaalie baraka

  • @martinmichael6057

    @martinmichael6057

    4 жыл бұрын

    sawa

  • @rayesrayyan2428
    @rayesrayyan24285 жыл бұрын

    MashaAllah very proud of you khamis your doing so well. May Allah bless you all and keep up with high quality products.

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Жыл бұрын

    Hongera sana mzee amesimama vyema sana na kijana anajitambua sana ni vijina wachache sana

  • @micamathew6433
    @micamathew64335 жыл бұрын

    Mzee wake huyu jamaa ni kati ya baba bora sana hapa Africa..ahsante sana millard

  • @samuelmulumba1892
    @samuelmulumba18925 жыл бұрын

    Hongera sana wana Shinyanga wenzangu. No efforts without impacts.

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma46915 жыл бұрын

    Beautiful wajina.message from USA good job brother

  • @richardntullo6105
    @richardntullo61054 жыл бұрын

    Hongereni Kwa kazi nzuri mbarikiwe katika biashara ipate kua yamafanikio siku zote mungu akuongoze daima

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog5 жыл бұрын

    Familia za jamii ya watu weupe zimefanikiwa sana kuliko sis wabongo, tunawazaga tu kuuana

  • @Bigboy-nx3nc

    @Bigboy-nx3nc

    5 жыл бұрын

    UKWELI

  • @khadijak3065

    @khadijak3065

    5 жыл бұрын

    Tatizo kubwa sisi watu weusi hatufikirii kuona mbali na rohoo mbaya ndio maana hatuwi na maendeleo MTU na mtoto wake anamfanyia rokho mbaya .Sasa wakiona intavyoo kama hizi ndio maswali mengi yanazuka kwanini biyashara kubwa zinashikwa na watu kwanza hawa watu wana hofu ya mungu pili wanaalikili yani ukiwa karibu na MTU mweupe kama unaakili hukosi kuishi maana utapata umajimaji Wa kutafuta kwa bidiii .Lakini sisi Tanzania uwena uwezo wakumiliki bajaji basi utawapanga kwa safu wanawake na kijisifu .lakini hakumbuki hata kuna watoto wakupeleka shule wakiona kamaivyo baba kajikaza kumsomesha kajima mengi na kukuza miradi Ingikuwa gozi nyusi majigambo. Mengi mahojiano hapo ungesikia NO : koment Tujitume Wa baba na Wa mama Wa KITANZANIA tusipende kubweteka

  • @dasilvajacmwax7436

    @dasilvajacmwax7436

    5 жыл бұрын

    Kabisa

  • @mohamedimohamedi7881

    @mohamedimohamedi7881

    5 жыл бұрын

    @@dasilvajacmwax7436 sio kweli kuna watu weusi wamefanikiwa sana

  • @dasilvajacmwax7436

    @dasilvajacmwax7436

    5 жыл бұрын

    @@mohamedimohamedi7881 kaka mkubwa, hawa ndugu zetu kiukweli wako tofauti, sio Kama sisi blacks

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu5 жыл бұрын

    May Allah bless you and your family more and more Insha Allah Ameen

  • @ahikemankambila7255
    @ahikemankambila72554 жыл бұрын

    Very very inspiring; assurance and guarantee of products quality to consumers is where success rely; 👊Big up Jambo family 👏

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi77505 жыл бұрын

    Congratulations guys we need people like so we can change the lives of our peoples, big up my bro

  • @munnawwaryaqoob3414
    @munnawwaryaqoob34145 жыл бұрын

    Safi sana kwa Elimu kweli nampa big up sana Salum wtt wote wamesoma

  • @blacknature7637
    @blacknature76375 жыл бұрын

    Huyu kijana Millard huwa anajuwa mambo ya kutuletea kwa kweli hanaga upuuzi

  • @Famsting
    @Famsting5 жыл бұрын

    Leading the industry, big up Khamis !

  • @moussabmohamedsaid6066
    @moussabmohamedsaid60665 жыл бұрын

    Millard tunahitaji more Interviews Kama hizi zinatu motivate vijana kama sisi ambao tupo vyuoni trying to get our Educations

  • @mussamsindo2029
    @mussamsindo20295 жыл бұрын

    Safiiiii Ila muda mchache sn nimependa sn Hamis anavyojieleza kwa kujiamin big up

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын

    Safi sana , fursa ni mahari popote, mnaokimbilia kuangalia magorofa ulaya fursa mnaziahacha hapa kwenu, karibuni shinyanga Tanzania

  • @abelshinyanga2683
    @abelshinyanga26833 жыл бұрын

    wale wote wa shy nyumbn ngola like twende sawa

  • @ismailabbas2675

    @ismailabbas2675

    3 жыл бұрын

    Majengo moja iyo💪

  • @onlinemovie8580
    @onlinemovie85805 жыл бұрын

    Tisha sana millado bonge moja la interview

  • @mwarabutoleolamwisho7879
    @mwarabutoleolamwisho78794 жыл бұрын

    Hamis Salum,WAJNA ALLAH azd kukusimamia inshallah

  • @blacknature7637
    @blacknature76375 жыл бұрын

    Masha Allah mungu awasimamie

  • @herysikawa3138
    @herysikawa31385 жыл бұрын

    Mungu akubariki Millard, ii content ni nzuri kuliko shukran sana

  • @lawfang2311
    @lawfang23115 жыл бұрын

    He been the hardest worker man!!!! Happy for you bro keep going

  • @danielshunda4410

    @danielshunda4410

    5 жыл бұрын

    Kanyoeee.nyweleeee.miraddd

  • @princegabytv7251
    @princegabytv72515 жыл бұрын

    This guys are so SMART.

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.29615 жыл бұрын

    Nimeipenda hii, safi sn Millard!

  • @tztanzania2262
    @tztanzania22625 жыл бұрын

    Mashaa allah nataman utajir in shaa allah nitapambana sana kutafuta halaal

  • @najimshaib9306

    @najimshaib9306

    5 жыл бұрын

    Taman uchamung

  • @swalehfarid5466
    @swalehfarid54663 жыл бұрын

    ALLAH Azidi Kuwatilia Barka Muzidi Kupanua Company

  • @sebaskibiki4836
    @sebaskibiki48363 жыл бұрын

    Waarabu na wahindi wako vizuri lakini weusi ngozi ya yako nyoko Sana! Litahonga vimada mpaka mfilisike

  • @khamisrashidy1348
    @khamisrashidy13485 жыл бұрын

    Millard karibu shay jamukaya

  • @jumakibula4851
    @jumakibula48513 жыл бұрын

    Mashaallah good inspiration

  • @amethysturanus6351
    @amethysturanus63514 жыл бұрын

    Hongera Khamisi, Hongera Jambo. Mnatuletea maendeleo, Ajira na mafinikio Tanzania. Mungu abariki Tanzania.

  • @user-tf8qx4us5b
    @user-tf8qx4us5b5 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso1295 жыл бұрын

    Kazin kwangu hapa

  • @piusundisputed
    @piusundisputed Жыл бұрын

    A lesson to learn from this amaizing interview, for a child to achieve financially, a family must play a vital role, unlike relying to gain it only from schools, this is contrary In Tanzania,whereby financial knowledge is left only to school!!

  • @badmanno.1650

    @badmanno.1650

    4 ай бұрын

    Well said .. point kubwa mno sema umeweka kiingereza ndiyo naona watz hatuja kufahamu 😅

  • @luizabahati5198
    @luizabahati51984 жыл бұрын

    Whaoo...good info ..job well done ...wako vzr

  • @mariamkaaya214
    @mariamkaaya2145 жыл бұрын

    shkamoo wajerumani,technology imekua,inatengenezwa wakiwa ujerumani,technology ni nzuri mno

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth59575 жыл бұрын

    Maashallah Big Up Mjmb👍🏼

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman89895 жыл бұрын

    Nimewakubali sanaaa Masha Allah

  • @ramsthebiggest4716
    @ramsthebiggest47165 жыл бұрын

    hongera sana kijana familia yako ina upendo sana ,naijua familia yako vizur apo shy.mzee wako salum na wale wadogo zake wengine duh nakumbuka kipndi nafanya kazi apo japo kwenye kiwanda chenu cha pamba duu mko vzri kaza buti

  • @Jcmadad
    @Jcmadad4 жыл бұрын

    Great. I love it

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu1815 жыл бұрын

    Kijana kafanana na yule mapengo sapota wa Liverpool wa Dar. Sema huyu Hamisi hana upuzi kama yule mlaji ugoro anaedai amwagiwe ndoo ya mavi Liverpool ikishindwa 🤣🤣🤣

  • @yusufali290

    @yusufali290

    4 жыл бұрын

    Hahaha ati amwagiwe mavi ya ndoo

  • @kaburashindika5617

    @kaburashindika5617

    3 жыл бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @dflexmashairi8824
    @dflexmashairi88243 жыл бұрын

    Waliidhamini Stand United lakn kwa bahati mbaya ikashuka daraja.Rest in peace Chama La Wana

  • @yeyothegreat8277
    @yeyothegreat82774 жыл бұрын

    Best Interview ever Millard izi ndo interview bwana sio bongomovie please ooo abeg

  • @jumamohamedy2005
    @jumamohamedy20054 жыл бұрын

    Millard Ayo TV umeona mbali unatufundisha mengi kupitia vipindi vyako mungu akupe maisha marefu.

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania10054 жыл бұрын

    Poleni mnao kunywa sumu toka viwandani nitabaki kunywa maji yangu asilia toka mirimani huko Morogoro chunguzeni kwa kina hao wenyewe hawatumii hivyo vitu kwa sababu wanajua fika vina chemical za kufa watu

  • @mohdpandu6802
    @mohdpandu68025 жыл бұрын

    Safi sana Millard, njoo na Zenji huku

  • @gitanokambarage8789

    @gitanokambarage8789

    4 жыл бұрын

    Aje awaone wakina #Suhail

  • @newforcejv9721
    @newforcejv97215 жыл бұрын

    Ayo kazi zako hazipitwi na wakati

  • @HusseinHaule-pr5ov
    @HusseinHaule-pr5ovАй бұрын

    Iko poa sana tuwasomeshe watoto jaman milla hongera bro

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo63965 жыл бұрын

    Safi sana jamaa wanaandaliwa mapema sana

  • @alexmichael8735
    @alexmichael87355 жыл бұрын

    mahojiano kama haya ndo muhimu nyakati hizi keep it up millard

  • @frankforeheads9796
    @frankforeheads97965 жыл бұрын

    sometime familia inachangia katika watoto kufanya vizur angalia huyu jamaa kasomeshwa mpaka nje ndio maana mpaka Leo kafika hapo alipo ,Lakini ninaacho Mimi mafanikio ya mtu yako katika mikono yake mwenyewe

  • @edinakyaruzi9226

    @edinakyaruzi9226

    Жыл бұрын

    Ndio kunakusomeshwa nje mtoto akaja waovyo kweli mafanikio yapo mkonono mwetu

  • @salminejuma5454
    @salminejuma54543 жыл бұрын

    Asante baba ckulaumu kwa chochote.

  • @user-yh3do3pk4y
    @user-yh3do3pk4y9 ай бұрын

    Alahuakbar mashaalah tabarak Allah love this

  • @orgeneslema9464
    @orgeneslema94645 жыл бұрын

    Ayo next time uliza kuhusu kiasi cha investment. Benki zilizoshiriki kutoa mikopo na riba. Na masharti ya ulipaji. Hayo mengine ni ya kawaida sana kwenye biashara

  • @shamsimagesa4520

    @shamsimagesa4520

    5 жыл бұрын

    Yes.!!

  • @meshackabdul928

    @meshackabdul928

    5 жыл бұрын

    Orgenes Lema hizo ni siri za biashara ndugu

  • @Wanja.Kelvin

    @Wanja.Kelvin

    5 жыл бұрын

    H

  • @ambakisyemwakinunu2002

    @ambakisyemwakinunu2002

    5 жыл бұрын

    Huwezi ambiwa kila kitu, pia benki washirika(mikopo yenye ribs nafuu wakutafuta ni we mwenyewe pindi uanzishapo biashara yako

  • @abdulrazakgwotta5561

    @abdulrazakgwotta5561

    4 жыл бұрын

    Uambiwe ili iweje sasa?????

  • @najma3268
    @najma32685 жыл бұрын

    Hakika yaha ndo madini tunayoyataka kwenye jamii kwakweli

  • @husseinmbetela4046
    @husseinmbetela40465 жыл бұрын

    Jambo wapo vizuri sana mimi nikiwaga shinyanga hua naifulahia sana juisi zao

  • @J4UPro
    @J4UPro4 жыл бұрын

    Washindani wa AZAM

  • @salumsaid9913
    @salumsaid99135 жыл бұрын

    MASHAALLAH

  • @marthaleonard2444
    @marthaleonard24443 жыл бұрын

    Hii ndio tunataka kuona sio umbea !Au maisha ya watu!

  • @petersonshaezra1135
    @petersonshaezra11355 жыл бұрын

    ongezeni mda kweny interview nzur km hzi zinazo inspire watu kujifunza na kuelewa @Millardayo

  • @tumainingowi6373
    @tumainingowi63735 жыл бұрын

    Ongezeni muda mukiwahoji watu kama hawa millard

  • @abuyunusmohamed6961

    @abuyunusmohamed6961

    5 жыл бұрын

    muda unatosha sana chamsingi ni pointi tu.chakwanza ni elimu na pili ni ari na juhudi ya kufanya kazi na tatu ni msingi wa kuanzia biashara.

  • @issaally4125
    @issaally41255 жыл бұрын

    Kumbe inawezekana biashara na familia ukiwa makini unatoka lakini kibongo bongo familia zetu hiz ukizishilikisha wao ndio wakwanza kufisadi Mali wakitegemea mzee yupo tu

  • @nurualamoody4305

    @nurualamoody4305

    3 жыл бұрын

    inawezekana muhimu nidhamu ya kazi

  • @ntulia.kapologwe9088
    @ntulia.kapologwe90885 жыл бұрын

    Very good interview...mahojiano ya aina hii ni muhimu sana kwa kizazi chetu na vizazi vijavyo.

  • @ahmedbawazir8035
    @ahmedbawazir80354 жыл бұрын

    Which family is this? I will be very much appreciated for the answer, Thanks

  • @johanesssiongo1351
    @johanesssiongo13515 жыл бұрын

    Powerful!

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah77092 жыл бұрын

    Mi naomba uwakala wa jambo Niko dar es salam

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki8245 жыл бұрын

    Millard ongeza sn juhudi kuwahoji watu walio fanikiwa huwa tunpt Elim kubwa sn kupitia kwa hawo watu walio fanikiwa

  • @amosurio8045
    @amosurio80454 жыл бұрын

    akuna asie jua Jambo tuko vizuri kilakona kwenye bindaa zetu

  • @faizahalidi4556
    @faizahalidi45564 жыл бұрын

    Interesting big up millard

  • @heavenlypatric4822
    @heavenlypatric48225 жыл бұрын

    Duuh wengine tulikuwa tukitoka shule ni uwanjan moja kw moja

  • @dottojamali6515

    @dottojamali6515

    4 жыл бұрын

    Heavenly Patric araf hat hatujawa wachezaji 😂😂😂😂😂

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest41552 жыл бұрын

    Sad truth ni only these arab tanzanians na indian tanzanians wenye guts hizi investments ...black tanzanians tumebak kuuza nguo tu 🤦🏽‍♂️

  • @imagepower3641
    @imagepower36415 жыл бұрын

    hongera sana jambo company napenda sana ubora wenu

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv5 жыл бұрын

    Kweli mwenye nacho huongezewa.hao wajerumani mliwapa hela zote au wanawadai maana mhhhhh

  • @maryammaram2612
    @maryammaram26125 жыл бұрын

    Insha Allah wanaosema weusi hawez ati kufanya watoto wao kuwa kama huyu mi nasema wangu naanza kumjenga saiv atakuja kuwa zaidi ya hawa.. tuwajenge watoto wetu kuanzia chini siku 1 watakuja kuwa kama hawa akina jambo..✌

  • @saumuhassan6365

    @saumuhassan6365

    5 жыл бұрын

    True my dear

  • @rashidhemed1212

    @rashidhemed1212

    5 жыл бұрын

    Dada mum upo

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    5 жыл бұрын

    @@saumuhassan6365 yeah✌

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    5 жыл бұрын

    @@saumuhassan6365 yeah✌

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    5 жыл бұрын

    @@rashidhemed1212 nipo mdogo wangu hujambo

  • @Shirimatunda
    @Shirimatunda5 жыл бұрын

    Naona mnatumia mashine za krohnes hope mtakua na bidhaa bora

  • @officialmakertz6516
    @officialmakertz65165 жыл бұрын

    Nakubali kazi yako millard

  • @petermwantole9433
    @petermwantole94335 жыл бұрын

    kweli maji ya jambo yana test nzuri sana ukiacha ya kilimanjaro

Келесі