TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
Ойын-сауық
Imepita miaka 107 lakini dunia imeshindwa kuhusahau usiku wa umauti, Ulikuwa usiku wa kiza kinene kwenye bahari yenye kina kirefu, bahari ya Atlantic, Ilikuwa Aprili 14 mwaka 1912 Usiku ambao meli kubwa zaidi kwenye historia ya Dunia ilizama, Meli ya Titanic
.
Пікірлер: 1 700
Kama tumetazama 2024 😁😁😁😁😁tujuane 👋
@KipronoDennis-mx2wd
3 ай бұрын
Hi
@kevinmapozi159
2 ай бұрын
Tuko hpa Team 2024...❤😢..inua mkono
@user-du7br1kp8q
2 ай бұрын
Hi here we are
@kid20-iu5ln
2 ай бұрын
Tupo hapa 24.3.2024 nimechelewa eeeh
@user-tu2rc8pq2n
2 ай бұрын
@@KipronoDennis-mx2wd hi 2
Huyu jamaa anajua kusimulia aysee,,hii ajali itabaki kumbukwa saana,kama unamuelewa huyu msimuliaji like basi twende sawa@@@
@faidhamyovela179
5 жыл бұрын
Sanaaaa hiv na yy ndio kipaji chake mwingine ukisimuliaa huwez mtu hapat radh 😂😂😂😂😂
@mgirikimweusi8534
Жыл бұрын
@@faidhamyovela179 chugs Das
@selestianjoseph6119
2 ай бұрын
anajitahidi sana
Nani anaangalia 2024 like hapa🤔
@user-bk3fl7ud8m
25 күн бұрын
Mm
Anaetizama 2021 anipe like zangu
@irenedeogratius1608
3 жыл бұрын
😀
@vivelyv1651
3 жыл бұрын
Pamoja saana
@saibogingonyani5674
3 жыл бұрын
Sw👫SwzawsswzzwawTv tes azaww w👭wewsswzwzzWz
@jeropirine9386
2 жыл бұрын
🙋🙋🙋
SubhanaAllah ndo mipango yake Allah anakuepusha na jambo lkn bado unalazimisha.... Mpk watu wanakufa wakati wanaitengeneza manake wanapewa ishara wasifanye jambo lile.Ndo siku zote tukiepushwa na jambo lina kheri ndani yake, mfano mzuri huo hapo.... Ya rabb tuongoze waja wako. Amiin
Km unamini mungu yupo na Kila lenye kutokea ni kwa rehma zake bc Seema inalilahii wa Inna ilaihi ranjiun 😭😭😭 manaaa si jambo dogo mungu tupe mwisho mwema😢😢
Mungu akupe umri mrefu professor Jamal uendelee kutoa vumbi akili zetu
Nani anatizama 2023? Like tafadhali..
@manuManu-qo8fk
10 ай бұрын
Ok
@irenemapund
10 ай бұрын
po[@@manuManu-qo8fk
@charlesmwai9234
9 ай бұрын
🤚
@RozaliaJoseph-cg8he
9 ай бұрын
Tupo
@ImaMatemba
7 ай бұрын
Suma
Imebidi nirudi kusikiliza tena! Nipee like ili niendelee kurudi
Hii sauti amazing tumeimiss hadi nimetafuata story ya mda kidogo ili nisikilize, we miss you mtiga, mlejesheni jamaa huyu,
@platner5
3 жыл бұрын
Nomasana
@ashuradaud8577
2 жыл бұрын
Rest in peace
Waaaw simulizi nzuri,sauti tamuuuu,,niachieni like akii
Kama unaamin JAMAA anafaa kuwa mwalimu wa history like apa
Vizuri sana kweli Kwa story hiyo Kujuwa ilivyo tengenezwa Kamanawew humemuelewa weka like ilitwende
@revocatuamajula7500
3 жыл бұрын
Unajuakusmulia
Daaah!Nilikuwa cjui story ila nmeipata😍@The story book imetisha👌embu like hapa kama unakubali💪💪
@ramadhannjoroge1193
4 жыл бұрын
Thyner trends Tv fun games
@lucylwitiko3231
3 жыл бұрын
Xana
Malaika alijitengenezea CV nzuri Sana daaah .. Nimecheka
Am here 2021 anyone else..... Continue resting in peace 😢😢
@mjanjatv3522
3 жыл бұрын
Also here
@daphinnasike4244
3 жыл бұрын
Me tw
Dah iko Njema sana story jopo kwa upande mwingine ni taku sktisha. Mungu awa pumzishe kwa aman (Amen)
Dah mtangazaji umenifuraisha. Malaika alijitengeneza CV siku hiyo. Twende sawa like hapa
@alyothman7975
2 жыл бұрын
mungu anapenda
Msimulizi uko vzuri kama vile ulishuhudia tukio zima.ahsante sana.
@p.kasongot979
Жыл бұрын
😅😅😅😅😂😂 hapo sasa
@DBrownstain
11 ай бұрын
Acha tu, yaani nimemuelewa kuliko ata ile muvi yenyewe 😃😃
1M mungu akubariki mtiga abdallah uzidi kutuletea more story
wasaf mko vzr mb zangu zinaenda kihalali
@cuitymwana9455
4 жыл бұрын
Kabixa wako poa
@dullahbarca3279
4 жыл бұрын
😂😂😂😂asee kweli
@aminajuma5664
4 жыл бұрын
Kabixaaa
@lucylightdaniel3569
4 жыл бұрын
Patrick Malyampa hahahaaaaa
@sikujuambena9424
3 жыл бұрын
Asee Kwl akuna malef yasiyokuwa na NCHAa
Nimekubali! Umeenda deep sana! Kuna vitu ndio nimevisikia hapa kuhusu hii ajali!! Big up! Kazi nzuri!!
What a story!!.. jamaa anasimulia hadi raha aseee.... SIMBA KUNA CROWN ATHLETE INATAKIWA ITOLEWE KWA BRO MTIGA!!! BIG UP MWAMBA UNAWEZA SANA.. BOOM 2021
@youngweezy3846
3 жыл бұрын
😂😂😂CROWN apewe na majizzo
aliyeitazama 2021 tujuane hapa😁😁
@hellenmwikali7930
3 жыл бұрын
Here
@antonykimaro8535
3 жыл бұрын
Miaka mia moja na 7 bibi yangu alikuw na miaka 5 na mpak sasa yupo
kama umependa utangazaji wake huyu mtangazaji gonga like
@sureimanidahodd9047
3 жыл бұрын
Aisee nakunari sana
Hongera sana mtambaji.. unasimulia kwa ufasaha na ufanisi wa hali ya juu kabisa.. Hongera kaka.
Asante Sana kwa mwandishi na msimulizi... At least I have apiece of history this night
Anaetizama 2020 anipe Like 😁😁
@ukhtyanasabintimalikimalik7188
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@sapnaabdallah1084
3 жыл бұрын
@@ukhtyanasabintimalikimalik7188 🙄🙄
@linakimaro4274
3 жыл бұрын
2021
@mahabarionlinetv2314
3 жыл бұрын
mmmmmmh
@petergeorge4637
3 жыл бұрын
Msenge
Big up abdalla! Uko vizuri kwny usimulizi... Kama umemkubali jmaa gonga likee apo Chin!
Daaah the story waz so hot.....but alie fnya iwe hot ni msimuliajii..kaka safi snaaaaa...
@shahamtindo
5 жыл бұрын
Sana
Halafu nimesikia mmiliki wa meli hii alipouliulizwa kuhusu usalama wa meli yake alijibu kua hiyo meli hata mungu hawezi kuizamisha 😄😄 angalia kilichotokea sasa
@anandepallangyo4177
6 ай бұрын
Isee😢 hivi watu wanamchukuliaje MUNGU😮
Jamaa unakipaji sana cha kusimulia sauti nzuri, matamshi fasaha, unajiamini yaani raha ndani ya utamu.
@cppbureau272
Ай бұрын
Game
Mtangazaji ukae ukijua unapendwa na kula MTU chakufanya ungeza mautamu baba Ahsante kwa simulizi nzuri japo inackitisha bwana alitoa na bwana ametwa jina lake libarikiwe Amina
@salumumndugwa5994
2 жыл бұрын
nmeilike
Wasafi mko juu mtangazaji nimekuelewa
@samwelrobert5490
3 жыл бұрын
Good
I really empower this story ...nairudia mara ya kumi😍 thumbs up to the writer
@zaharandady737
2 жыл бұрын
Ex
@mohamedhamdan4956
2 жыл бұрын
Also
@nyamuhanganyamuhanga1566
Жыл бұрын
@@zaharandady737 mu
Eeeeish🔥🔥🔥 #Mtigaaaaa💯💯 Big Love from Kenya❤️
ahsante sana ndugu mtangazaji , r.i.p ndugu zetu
@jumakimanda6968
3 жыл бұрын
Kwa 65 I was just 7666ujuiiii the y5 I was just asking if
@kachikifrank4191
3 жыл бұрын
Aa
@kachikifrank4191
3 жыл бұрын
Asant
Kama Umemueelewa Mtangazaji Gonga like hapa
@shahamtindo
5 жыл бұрын
Hii hapa
@arthurmwakanyamale7651
5 жыл бұрын
huyu jamaa nimemuelewa yaani akiwa ana tangaza dakik 19 utafikiri ni dakika mbili tu
@edesiusngui2372
5 жыл бұрын
Badooooooooopopppp
@sharifbinsimba3063
5 жыл бұрын
Yani anasimulia vizuri sana na kuelewesha
@frankmmasi4281
5 жыл бұрын
Yuko njema
Mtangazaji nakwamini sana bro nice voice 🥰🥰
Kama uko in love na sauti ya mtigaabdallah kama mm gonga like twende pamoja
@emmanuelmushi312
3 жыл бұрын
Naomba namba yako
@justineelihu7767
3 жыл бұрын
@@emmanuelmringo6810 cçççf
Asante xana nlikuwa natitaka hii Muwe mnaweka huku wengne 2po nje ya nch tunafuatilia xana
@pendosammy5984
5 жыл бұрын
mm naona wanao watch n watu w nje maana kila mtu nipo nje
@ramlazuber6038
4 жыл бұрын
@@pendosammy5984 ukiwa njee ya nchi yako unataman hata upate maneno ya lugha yako. Tupo wengi nje
@pendosammy5984
4 жыл бұрын
@@ramlazuber6038 sanaa
mtangazaji hakika upo vzr.RIP wote kwenye hiyo ajali
@sadatinikodemas144
4 жыл бұрын
Inauzunisha kwa kwel maellfu yawatu wamepotea
Mtiga Abdallah na Jamal Mustafa nafurahia kazi yenu kutokea Kenya Mombasa magongo 💯
Unajua mwanzoni nilkua napotezea stori zako ila nakufatilia sana mkuu saiv big up
.nimekukubali sana kwa kusimulia uko vizur sana agiza soda apo nalipa
@kakanathan2553
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😀
@focustz4408
5 жыл бұрын
@@kakanathan2553 mbona unacheka
@kindaaliy3279
3 жыл бұрын
Mamb
@adamhassan4845
3 жыл бұрын
Lipa
Yani huyu jamaa anae tuadisia anajua kweri tena sana bigap brother
Kam umependa sauti ya mtangazaji gonga like hapa
@fakiisaid6237
3 жыл бұрын
D
Ooooooyes Good! I congratulating who documented this story. I give you 100%.
Mtangazaji napenda sauti yko🤣🤣🤣🤣✨💖😍
@saidibambo4339
5 жыл бұрын
Ichukue iwe ringtone 😂 😂 kwenye cmu yko
@maryamammar1488
5 жыл бұрын
@@saidibambo4339 🤣🤣🤣🤣Umenishinda tabia😅😅😅😅
@aishahindoabdallah3122
5 жыл бұрын
@@saidibambo4339 toba roho yangu 😂😂😂
@johnsilima6789
4 жыл бұрын
Aisha Hindo Abdallah imekuwaje
story tamu sana , umetisha kamanda 💣💣💣
A talent guy may God add you more years so that we enjoy your stories
@nkwabi290
3 жыл бұрын
Wewe ni mjing
@OlivaMbuz
7 ай бұрын
Ehii
Wale wote tunao tazama 2024 like hapa
mtangazaji upo bomba sana anaekataa agonge like hapa
@alisalehe8835
4 жыл бұрын
Prisca kihaga
Doooh.....faida za gambe gonga like kama mdau wa gambe....💪
@drdioclespr6722
5 жыл бұрын
Eston martin aaaaah, nimekusoma
@estonmartin8269
5 жыл бұрын
Dioo😅😅
@daudijohn609
4 жыл бұрын
Sema pombe kali za kule ziko na alcohol ya kutosha sio km izi konyagi zenu utapiga unadanja ✌️✌️
Walimdhihaki Mungu kwa kusema haiwez. Kuzama na wakati Mungu ndie mwenye kumiliki Kila kitu na Mungu hadhihakiwi kamwe maana haonekan Wala hachunguziki
"Even God couldn't sink it," Now people can understand How God is never Mocked
@shahanajash8449
11 ай бұрын
You are correct 💯
@shahanajash8449
11 ай бұрын
The GOD is never mocked
Noma saana mtangazaji uko juu
@omarmuhombo5003
4 жыл бұрын
Makini sana
Dah wasafi hambahatishi,,bonge la sauti
Asanteni wasafi kwa ubunifu wa kuleta THE STORY BOOK
i really like your stories as you come up with them bro
Stori nzuri sana hongereni wasafi!!!
Asante mtangazaj mana ndio nimejuwa Leo kama kapten alienda kulala alafu meli inaenda yenyewe si kwa uzembe huu meli ya kifahali walishindwa darubini kuangalia mbele kama salama kapoteza funguo sikunakuwaga nafunguo za akiba mtangazaji apo umeongeza chumvi bwana yani darubini iwe moja tu meli lote ilo umenichekesha mtangazaji kwakweli
@godlistenmachite7596
4 жыл бұрын
Daa nihatari sana mwwnyezimungu awawwke mahari pema
Daah thank you sana! Nilikuwa naisikia tuu hii story!
@yurrisclassic5800
Жыл бұрын
Bonjour suite
Nimeipenda sana jinsi ilivyoelezewa hii story ya titanic simple and clear as well as understandable. Thank you WASAFI TV for bringing the story book show. May God bless you all.
Woow,napenda unavosimulia una sauti nzuri pia
@issaikhamisi0125
4 жыл бұрын
Fj
@makantajelemia9539
3 жыл бұрын
Nimeipenda sifa yk kwa mtanhazaji
@makantajelemia9539
3 жыл бұрын
Nimeipenda hy
Historia tatanic inatisha sana kila siku kabla safari tumkabidhi safari muumba wetu atuongoze
My best story book ever titanic 🤩
@zubedasultan9585
2 жыл бұрын
🙏 NAKUOMBA BONYEZA HAPA 👇 kzread.info/dash/bejne/n2t6usihetLahJM.html
Wasafi FM juu sana ama kweli kila binadamu ana nafasi yake katika dunia bila diamond platnumz tusingekuwa na wasafi
@edumaxmedia6757
4 жыл бұрын
Wasafi latest
Viva wfm. Wtv the story book safi sana
Thanks wasafi,rip beautiful souls!
Mie mkenya and really like this guy he his my swahili morgan freeman
Team kiba hii ni story book sio nyimbo ko mapovu noooo kama umekubalian na mim gonga like
@michaeleustach8742
4 жыл бұрын
Richard Lugano duuu
@kenmumo6098
Жыл бұрын
plll0Pp0ppp00
Safi sanaa we need this kind of Content 👏👌👌..upload kila week the story book its interesting
@rogerfederer3436
5 жыл бұрын
Marcelo__6
@osolinamgimwa9323
5 жыл бұрын
Slaying Tee
@salehsuleiman9218
4 жыл бұрын
rogerfederer kolllm
@hamismgaya3676
4 жыл бұрын
Safi
@ezekielmathias627
4 жыл бұрын
Slaying Tee mambo
Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi amen
Likes za mtangazaji in 2019 ziko wapi wenzangu? Usimulizi wake unavutia si haba.
@antidiusrweyemam2675
4 жыл бұрын
Mia
Kama unakubali the story book dondosha like hapa
@yahyamwagarashi4243
5 жыл бұрын
Iko poa
@user-pd2ty7hy1d
5 жыл бұрын
Hii INA xikitixha sana hixtoria hihi
@mmelaluchoe9124
4 жыл бұрын
awesome
@shabanishabani2453
4 жыл бұрын
Uko makini sanaaaaaaa.
@sarayusufu256
4 жыл бұрын
Gerald rk hatareee
Mtangazaji unasimulia vizuli sana had raha.....rest in peace ndugu zetu mliotututoka kwa ile ajali
@kudoja_fish_shop9592
5 жыл бұрын
Vincent Auxerbius mkuu acha uongo ulikua na ndugu zako kwenye meli wahaya achen sifa
@ilovejesus9303
5 жыл бұрын
@@kudoja_fish_shop9592 😄😄😄😄😄 hata Mimi mhaya lakini sikuwa na ndugu huko. Mabepari hao hawana ndugu
@gayumummalinda7225
5 жыл бұрын
ni nzuri
@manmusictiger379
4 жыл бұрын
Pole sasa watu
@dismasbundi5977
4 жыл бұрын
Dama ija
duh elfu 1912 ata babu wa babu yangu babu yake na alomzaa babu yake hajazaliwa 😢😢😢😢 rest in peace wote.
1.5M views hongera mtiga Abdallah
@theafricanprincevivecongo8632
3 жыл бұрын
3.2m
Kaka hauchoshi kukusikiliza... Keep up the good work
@aminapeter6177
3 жыл бұрын
Good
@suzanamayenga9620
3 жыл бұрын
Ppp
A Superb narration, not boring at all, fascinating..
@chalesnyanda5850
4 жыл бұрын
C
Kama unaangalia hii halaf unakumbuka MV SPAIC ya zanzibar na chozi linakutoka gonga like , 😭😭
Ujeutusimulie na Manisha yaviongozi wetu waliotangulia mbeleza mwenyez Mungu unajua Sana kusimulia ndugu
Huyu jamaa wa #wcb anatishaaaaa Goodvoice Wangap Wana amini Izo video alizotumia zinatokana na muviii ila wakatii asiliaa wenyewe haupo Yule aliyeenda kulala ndo aliyeandika kitabu cha maut ya titac lazimaa wafeee Tu lazimaaaaa #wcb #for life
@gracemallya4659
5 жыл бұрын
iko vizuri
@machichiheli7485
4 жыл бұрын
@@gracemallya4659 nzur
@simando993
4 жыл бұрын
ntangazaji upo vizur xana
@lightnessmtipula4508
4 жыл бұрын
Story sat hy
@maguoshao1300
4 жыл бұрын
@@lightnessmtipula4508 nicheki Kwa namba zanu
Mtiga Abdalah uko vzr wasafi wakikukosa wametukosa wengi.
@seciliamlaponi6290
3 жыл бұрын
That is Jamal Mustafa it's not Mtiga🙄🙄
Charles Jugini 🥃🥃 would have never hate alcohol in his entire life
@dieudonneyuha9763
Жыл бұрын
Alcohol is peaceful minded
@dieudonneyuha9763
8 ай бұрын
Alcohol for life
Asante kaka kweli we ni mtu mwenye akili zaidi
Itabaki stori waliofariki n wengi sana..mungu ashindwi na kitu.
@sharifajafari9178
3 жыл бұрын
Mh hay bhana
@naomisiriba3516
3 жыл бұрын
Amiiin😁😂😂😂😈😇😇😇😇😅😤😨😢😢😢
@servasinternal3155
3 жыл бұрын
Zuchu
@lusubilusubi2106
3 жыл бұрын
Kutombana ,x
@lusubilusubi2106
3 жыл бұрын
Kutombana
km unasikiliza huku unasoma comment gonga like hapa
@cypriansega7099
5 жыл бұрын
mohamedi Kibasa
@joycekasakisya7755
5 жыл бұрын
Hahahaha!!
@micobenjsmin2889
5 жыл бұрын
Ushuhuda nyisaki
@micobenjsmin2889
5 жыл бұрын
Ushuhuda was nyisaki
@laimtupa7642
4 жыл бұрын
Da Mungu awaafu
Leo nimepata lesson,huko nyumba nlkuw napata ukakasi Sana,thanks Jamal
Sisi sote ni wa allah na kwake tutalejea RIP😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@jackisondaniel2827
2 жыл бұрын
Kwel
Mtangazaji ukovyema sana
@fastmovementdancers5776
3 жыл бұрын
MG. general san2
kaka uko vizuri kwenye kusimlia
Mungu kwanza kwa kila jambo anatupatia akili tunamsau
Ww ni mtangazaji mziri sana poleni sana wenzetu
Uko vizuri mtangazaji
STORY NZUR SANAA r.i.p
Anaye angalia na kusikiliza hii simulizi 2023 gonga like hapa tujuane
100% kwa msimuliaji na R.I.P ndugu zetu
Dah msimulizi unaniteka juzi Remmy Ongala leo Titanic! Big up bro