The Story Book: Watu 15 wa Ajabu Zaidi Duniani
Ойын-сауық
The Story Book: Watu 15 wa Ajabu Zaidi Duniani
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 624
SubhanAllah Yarab tupe mwisho mwema...km umeguswa na hii story gonga like tuende sawa
Tunaomkubali Professor Jamal Tujuane Kwa Likes Hapa👍🏿
@collinsoduor2151
Жыл бұрын
Dunia Ina majabu🤔🇰🇪🇰🇪
@user-br9bk7is1y
3 ай бұрын
Asante Sana kwataharifa nzuri😅
@user-ec6cl8sn5t
3 ай бұрын
Mambovipi
@user-wp9iw8hq5r
14 күн бұрын
LUIZNHO❤😮
Na Mungu atawafufua hivyo hivyo na kuwakana kwamba yy hajaumba binaadamu wa aina hyo
Dah.. The Story book kali sana.. Ubarikiwe kwa kutuletea hizi mambo... Tunajifunza mengi broo... Respect to you... Hakika usichoke kutupa madini haya... Endeleza nitapoteza Mb zang kufatilia... Na hakika sitojutia... #Jamal April.. Big Salute
Mungu hawezi kumsaidia mtu aliejitakia jambo yeye mwenyewe hata sikumoja
Hawa wapuuzi watakuja kujielezea kesho mbele za Mungu kwamba ni kwann waliamua kujibadilisha baadhi ua maumbile yao...sijapenda huu ujinga wao
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
Kwani wakati wakifanya hayo Mungu hakua anaona??
@binhussain3445
2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Mungu anawaona ila anawaacha huenda wakatambua makosa yao kisha wakamrudia mungu
@neemazee1864
2 жыл бұрын
@@binhussain3445 na aitokuja kutokea wakajitambuwa hata siku1, wenyewe wanajiona wapo sahihi sana na wala awajutii Never
@binhussain3445
2 жыл бұрын
@@neemazee1864 Mbona mimi nipo cool halafu naelekezeka believe it
@neemazee1864
2 жыл бұрын
@@binhussain3445 hata me nipo cool
subhanallah yarabi😢 tunusuru🙏
Professor must get an award for his sweet stories
Wangap Tunaoenjoy sn hich kipindi gonga like twende sawa
We jamaa nakukubali sana unavosimulia unakipaji mnoo
mashallah may god bless you and give you many more lives here on earth
Mungu akupe maisha malefu professor uzidi kutupa mambo ya Guinness book
Mungu akupe hitaji la moyo wako uzae mwanadamu wa adabu kama ilivyo matamanio yako
@hamidahHammy254
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆♀️
Subhanna'Allah anatisha mwenyezi mungu atupe mwisho mwema🙏
Nina maswali mengi Sana juu ya simulizi hii ya leo nilitaka I hata nipate wasaa wa kumuuliza maswali professor 😔
Duh hii dunia hii, ina watu wa hovyo sana
@cyberspatial-gt3gb
2 жыл бұрын
😁😁😁😁
Subba an Allah oooh mungu wangu mwenyezi mungu azidi kitu rehemu
Subhannallah...daah kwel Mung anatuvumilia sana
Kaka unaweza sana 😭😭😭 I'm watching from 🇲🇿
Mungu akupe maisha marefu duniani
Hi Professor Jamal Napenda hii simulizi endelea kutupa mengi support 100% from Kenya Mombasa.
Subhanallah Mungu atuepushi ss na vizazi vetu
mekuwa wakwanza leo big up bro hukoseagi💪💪
wewe ni TUNU ya TAIFA🇹🇿❤
Pande za Lusaka Zambia wasafi for life
@winicatewainaina4456
2 жыл бұрын
Aaawh 🤗 wow
There is a woman in Uganda that died at the age of 122yrs. She died in 2021
Yani hawa jamaa motoni moja kwa moja🔥
The story book 💥
Innalillah wainnailaih rajighun binadam kmkosoa muumba wake acha 2 huo moto uwake hko akhera
Nimekua wa 17 kukomenti na nime kua wa 71 ku like plz Ni like bc wewe mwana chama .wa the store book
Tunakubali sana The story Book Professor Jamal April
Subuhanallah yupo kama sweitwani daa Azabu aikwepi huyu anaogavipi abanawaje akiamka a nalala vipi huyu si anachomwachomwa hafai kuishi Duniani huyu
Wasafi for life
mungu tupe mwisho mwema maana ya dunia yanatisha🙏🙏🙏🙏
Habari ndugu,katika Afrika hii wapo watu wengi tu walio hishi mia mia na hamsini,wengine walikawia zaidi ya masaa tatu chini ya maji ukitaka kupata picha zao ni vyepesi sana. Watu hao walikuwa wazaliwa wa kongo Tarafani fizi ni wabembe wabondo
Professor 🔥🔥🙌
Wasafi Kenya tunawapenda❤❤
duuu innalinlah wainna ilaih rajiiuun
Waombe Wasife waishi Duniani tuu,watakutana na Mungu wao
Nitaingia mimi kwenye hizo records
Story nzuri inafunza na kufurahisha
uish miaka mingi professior
Unajuw nn proffesor we ndo unanifany nisonge mbele you are my hero
One love proffessor🥂
Professor
Ila jamani ukweli kabisa sidanganyi Nina mama yake bibi angu yuko mbeya naomb afuatiliwe ninauhakika ana 140+ maana bibi angu ambae nimtoto wake wa nne amefari mwaka juzi akiwa na miaka 86
@lucydamas128
2 жыл бұрын
Mbeya sehem gn
@kasimukabeje6919
2 жыл бұрын
Mtoto wa nne kuwa na miaka 40 sio kigezo Cha umri wa uyo Bibi yako kwasababu zamani kuzaa walikua hawapishani over three yrs kwa walio wengi huenda Bibi yetu alizaa akiwa na miaka 25 na mtoto wake wa kwanza ako na miaka 95
Napendaga sana vipindi vyako @Burundi
Duuuuuuh jamali unaweza mungu akuogezee akili
@mudrickbachan2442
2 жыл бұрын
Mzee wapo watu wenye umri mrefu nitafute nkupe data
dah mwanangu up vzr sana brow yaan unamfanya mtu akuskulize kwa makin saa big up brow nakubaly💯👊
More than history and story.
Subhana allah
Professor again ...well done 👏✔👍👌🙌😀ur are very professional 👏👌🙂
Mnasema baba levo ana pua kubwa mnamuona Mehmet ozurek nyieeee😂😂😂😂😂
@HannahDevidRichad
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@khadijeegundumu4651
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Kesho Natoa Nyimbo Inaitwa The Story Book
@user-lq2xf6tc4j
2 жыл бұрын
❤️🔐👑
@luluselemani7956
2 жыл бұрын
Ppp
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Kwaiyo
@VanisyJonathan
2 ай бұрын
Hahahahahahahaha 😅😅😅😅😅😅
Daah.. aiseh!! Mungu tusaidie
Unawezaaa boss
Kesho,turushie kuhusu lil Tunechi ..Wayne
Jamal somo wangu
Gud jamal
Narudia tena unajua kaka Prof
Aiseeee...wewe kaka fundi sanaaa unajua kutangaza hadi unatuteka
Hi professor Jamal, love the way u inspire me with your history stories which I find them true n believe in them...honestly I really love your stories which makes me aware of what it's happening in this world 💕💕
@patientslweso-pp5li
Жыл бұрын
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
@patientslweso-pp5li
Жыл бұрын
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
@patientslweso-pp5li
Жыл бұрын
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
@patientslweso-pp5li
Жыл бұрын
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
@patientslweso-pp5li
Жыл бұрын
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
Babu yangu amekufa 2007 akiwa na umri wa myaka 137
Hizi ndo kuni za moton Allah atusamehe
Nakubali kaka ww noma san
history stories by jamal big up man👊👊💯🔥🔥
professor never disappoints
@patientslweso-pp5li
Жыл бұрын
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
@patientslweso-pp5li
Жыл бұрын
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
@patientslweso-pp5li
Жыл бұрын
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
@masongatz
11 ай бұрын
#Mizimu ktk hiphop kzread.info/dash/bejne/Y4Wmlo-oqNmvnbw.html
Congo kuna mzee aliye Fariki mwaka jana na miaka 160
jani nduguzagu kama hamuelewi habari za duniya yamazeni hichokitabu unacho sema kimepitwa nawakati piya alie zuwiliwa dubai siyohuyo ni mbrazili ana vipini 165 ndiye anaevuja rikodi na mweye ulimi mrefu nimwanamke marekani ana umri wa miyaka 25 yuko holando msisemeovyo hichokitabu ni cha zamani 2012
Nihatari sana ulimwengu
Kaka fuga hizo kucha ww unaweza🤣🤣🙆🏽♂️
Mungu wa mbingun wahurumie jaman
Duu uxijali nitavunja recodi ya kufuga kucha😮😮😮😮
On fire 🔥🔥🔥
Kwenye miguu hamfikii rafiki yangu
Eeh ypo mibibi mmoja juzi katika katimixa miaka Mia 250 Tanzanian hyo maasha alllah
super b professor Jamal🇹🇿🙏🙏
Mbona wote wazungu waje bongo watafute wakikosa ndio wasem mtu flani duniania sio wasem duniania akat bongo bado hawajaja
Zikija rekodi za umbea Bongo ndio watajaribu kushikilia rekodi au Waganga Bora wa nguvu za kiume lazima wasimame kidedea
N nzur Sana
Akuna ajue sili ya Mwenyezimungu, kuna wengine wanazalia bila kujua hospitali na wengine kufa bila kujua idadi
Jamal is baddest professor
sema jamaa upewe uprofessor kbs
Jamali mungu akubariki sana umenifumbua vingi sana
More than history..tunu ya Africa 🌍 ✌️🙌
@ezekielmuhindo7561
2 жыл бұрын
Hi profesor mimi ni mkongomani Nina bibiangu âme ishi miaka zaidi ya 130!
@VanisyJonathan
2 ай бұрын
Amazing!!!😮😮😮
Duh🙌
Atamimi nimlefu sanatu
❤❤❤like
This is legendary
Amazing Soo much
Africans we can't try these we love ourselves alot 😅😅🤣🤣🤣🤣
Mtu mlefu Mwenye futi 8 yupo na mlifanya nae kupinda #hivi ni kweli cha mo tauni sanya
Nakubali
Jamal ujawai kuniangusha big up bro...
Afrika tuko na wenye kuvunja hizo records ila hawataki waafrika kuonekana kwa picha la dunia..
@marthagabriel3417
Жыл бұрын
Hahaha 😂
god bless you mr jamali
Professor wewe ni moto natokeya CongoDRC beni Nord-Kivu🙏
Uko vizuri na najifunza sana kwako
Hiyo ngozi sasa duu
Ila yule jamaa wa story book aliepita alikuwa anasimulia na sauti nzuri zaid ya huyu jamaa