The Story Book: Watu 15 wa Ajabu Zaidi Duniani

Ойын-сауық

The Story Book: Watu 15 wa Ajabu Zaidi Duniani
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 624

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 Жыл бұрын

    SubhanAllah Yarab tupe mwisho mwema...km umeguswa na hii story gonga like tuende sawa

  • @dadyshunaydah9421
    @dadyshunaydah94212 жыл бұрын

    Tunaomkubali Professor Jamal Tujuane Kwa Likes Hapa👍🏿

  • @collinsoduor2151

    @collinsoduor2151

    Жыл бұрын

    Dunia Ina majabu🤔🇰🇪🇰🇪

  • @user-br9bk7is1y

    @user-br9bk7is1y

    3 ай бұрын

    Asante Sana kwataharifa nzuri😅

  • @user-ec6cl8sn5t

    @user-ec6cl8sn5t

    3 ай бұрын

    Mambovipi

  • @user-wp9iw8hq5r

    @user-wp9iw8hq5r

    14 күн бұрын

    LUIZNHO❤😮

  • @wardaomar4828
    @wardaomar482827 күн бұрын

    Na Mungu atawafufua hivyo hivyo na kuwakana kwamba yy hajaumba binaadamu wa aina hyo

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh24002 жыл бұрын

    Dah.. The Story book kali sana.. Ubarikiwe kwa kutuletea hizi mambo... Tunajifunza mengi broo... Respect to you... Hakika usichoke kutupa madini haya... Endeleza nitapoteza Mb zang kufatilia... Na hakika sitojutia... #Jamal April.. Big Salute

  • @salumually-lm2sl
    @salumually-lm2sl7 күн бұрын

    Mungu hawezi kumsaidia mtu aliejitakia jambo yeye mwenyewe hata sikumoja

  • @mohammedhalfan
    @mohammedhalfan2 жыл бұрын

    Hawa wapuuzi watakuja kujielezea kesho mbele za Mungu kwamba ni kwann waliamua kujibadilisha baadhi ua maumbile yao...sijapenda huu ujinga wao

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    2 жыл бұрын

    Kwani wakati wakifanya hayo Mungu hakua anaona??

  • @binhussain3445

    @binhussain3445

    2 жыл бұрын

    @@BigZhumbe Mungu anawaona ila anawaacha huenda wakatambua makosa yao kisha wakamrudia mungu

  • @neemazee1864

    @neemazee1864

    2 жыл бұрын

    @@binhussain3445 na aitokuja kutokea wakajitambuwa hata siku1, wenyewe wanajiona wapo sahihi sana na wala awajutii Never

  • @binhussain3445

    @binhussain3445

    2 жыл бұрын

    @@neemazee1864 Mbona mimi nipo cool halafu naelekezeka believe it

  • @neemazee1864

    @neemazee1864

    2 жыл бұрын

    @@binhussain3445 hata me nipo cool

  • @DoreenRobert-xm8ew
    @DoreenRobert-xm8ew9 күн бұрын

    subhanallah yarabi😢 tunusuru🙏

  • @guvamalik9253
    @guvamalik92532 жыл бұрын

    Professor must get an award for his sweet stories

  • @ramamanyama9271
    @ramamanyama92712 жыл бұрын

    Wangap Tunaoenjoy sn hich kipindi gonga like twende sawa

  • @Zaikadena
    @Zaikadena2 жыл бұрын

    We jamaa nakukubali sana unavosimulia unakipaji mnoo

  • @rahmasamir1631
    @rahmasamir16312 жыл бұрын

    mashallah may god bless you and give you many more lives here on earth

  • @edinaobel7568
    @edinaobel7568 Жыл бұрын

    Mungu akupe maisha malefu professor uzidi kutupa mambo ya Guinness book

  • @josephmarwa7212
    @josephmarwa72122 жыл бұрын

    Mungu akupe hitaji la moyo wako uzae mwanadamu wa adabu kama ilivyo matamanio yako

  • @hamidahHammy254

    @hamidahHammy254

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆‍♀️

  • @salmaalnaamani2786
    @salmaalnaamani27862 жыл бұрын

    Subhanna'Allah anatisha mwenyezi mungu atupe mwisho mwema🙏

  • @msusasandali5833
    @msusasandali58332 жыл бұрын

    Nina maswali mengi Sana juu ya simulizi hii ya leo nilitaka I hata nipate wasaa wa kumuuliza maswali professor 😔

  • @mlsglobalchannel8219
    @mlsglobalchannel82192 жыл бұрын

    Duh hii dunia hii, ina watu wa hovyo sana

  • @cyberspatial-gt3gb

    @cyberspatial-gt3gb

    2 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @user-yi2bn4no5p
    @user-yi2bn4no5p2 ай бұрын

    Subba an Allah oooh mungu wangu mwenyezi mungu azidi kitu rehemu

  • @yaroobalgahdani4014
    @yaroobalgahdani40142 жыл бұрын

    Subhannallah...daah kwel Mung anatuvumilia sana

  • @polyglot053
    @polyglot053 Жыл бұрын

    Kaka unaweza sana 😭😭😭 I'm watching from 🇲🇿

  • @naynahofficial
    @naynahofficial Жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu duniani

  • @sammyeddy5646
    @sammyeddy56462 жыл бұрын

    Hi Professor Jamal Napenda hii simulizi endelea kutupa mengi support 100% from Kenya Mombasa.

  • @shadyabdallah7247
    @shadyabdallah72472 жыл бұрын

    Subhanallah Mungu atuepushi ss na vizazi vetu

  • @japhetshiyo3497
    @japhetshiyo34972 жыл бұрын

    mekuwa wakwanza leo big up bro hukoseagi💪💪

  • @anethteodos6208
    @anethteodos62082 жыл бұрын

    wewe ni TUNU ya TAIFA🇹🇿❤

  • @isaackmboma72
    @isaackmboma722 жыл бұрын

    Pande za Lusaka Zambia wasafi for life

  • @winicatewainaina4456

    @winicatewainaina4456

    2 жыл бұрын

    Aaawh 🤗 wow

  • @millicentlumumba1469
    @millicentlumumba14692 жыл бұрын

    There is a woman in Uganda that died at the age of 122yrs. She died in 2021

  • @johnbernad3990
    @johnbernad39902 жыл бұрын

    Yani hawa jamaa motoni moja kwa moja🔥

  • @dinajonas5566
    @dinajonas55662 жыл бұрын

    The story book 💥

  • @ashaomari7972
    @ashaomari79722 жыл бұрын

    Innalillah wainnailaih rajighun binadam kmkosoa muumba wake acha 2 huo moto uwake hko akhera

  • @shadrackdamiani1418
    @shadrackdamiani14182 жыл бұрын

    Nimekua wa 17 kukomenti na nime kua wa 71 ku like plz Ni like bc wewe mwana chama .wa the store book

  • @Nahadi-Said
    @Nahadi-Said5 ай бұрын

    Tunakubali sana The story Book Professor Jamal April

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72582 жыл бұрын

    Subuhanallah yupo kama sweitwani daa Azabu aikwepi huyu anaogavipi abanawaje akiamka a nalala vipi huyu si anachomwachomwa hafai kuishi Duniani huyu

  • @johnlymu7124
    @johnlymu71242 жыл бұрын

    Wasafi for life

  • @amidamohammed7484
    @amidamohammed748410 ай бұрын

    mungu tupe mwisho mwema maana ya dunia yanatisha🙏🙏🙏🙏

  • @MsambyaNdulu-uw4do
    @MsambyaNdulu-uw4do2 ай бұрын

    Habari ndugu,katika Afrika hii wapo watu wengi tu walio hishi mia mia na hamsini,wengine walikawia zaidi ya masaa tatu chini ya maji ukitaka kupata picha zao ni vyepesi sana. Watu hao walikuwa wazaliwa wa kongo Tarafani fizi ni wabembe wabondo

  • @geniusslayer6782
    @geniusslayer67822 жыл бұрын

    Professor 🔥🔥🙌

  • @emmanuelwarugongo3074
    @emmanuelwarugongo30743 ай бұрын

    Wasafi Kenya tunawapenda❤❤

  • @nurdiniothumani1034
    @nurdiniothumani10342 жыл бұрын

    duuu innalinlah wainna ilaih rajiiuun

  • @siamina1070
    @siamina10702 жыл бұрын

    Waombe Wasife waishi Duniani tuu,watakutana na Mungu wao

  • @catherinejanken7697
    @catherinejanken76972 жыл бұрын

    Nitaingia mimi kwenye hizo records

  • @shariftawakal3631
    @shariftawakal36312 жыл бұрын

    Story nzuri inafunza na kufurahisha

  • @JosephatMuss
    @JosephatMuss13 күн бұрын

    uish miaka mingi professior

  • @khadijamahmoud4571
    @khadijamahmoud4571 Жыл бұрын

    Unajuw nn proffesor we ndo unanifany nisonge mbele you are my hero

  • @techwithkombe
    @techwithkombe2 жыл бұрын

    One love proffessor🥂

  • @Cench005
    @Cench0052 жыл бұрын

    Professor

  • @mwanjekeyz8671
    @mwanjekeyz86712 жыл бұрын

    Ila jamani ukweli kabisa sidanganyi Nina mama yake bibi angu yuko mbeya naomb afuatiliwe ninauhakika ana 140+ maana bibi angu ambae nimtoto wake wa nne amefari mwaka juzi akiwa na miaka 86

  • @lucydamas128

    @lucydamas128

    2 жыл бұрын

    Mbeya sehem gn

  • @kasimukabeje6919

    @kasimukabeje6919

    2 жыл бұрын

    Mtoto wa nne kuwa na miaka 40 sio kigezo Cha umri wa uyo Bibi yako kwasababu zamani kuzaa walikua hawapishani over three yrs kwa walio wengi huenda Bibi yetu alizaa akiwa na miaka 25 na mtoto wake wa kwanza ako na miaka 95

  • @delphinefleurmanirambona8651
    @delphinefleurmanirambona86512 жыл бұрын

    Napendaga sana vipindi vyako @Burundi

  • @shaibuuwesu8571
    @shaibuuwesu85712 жыл бұрын

    Duuuuuuh jamali unaweza mungu akuogezee akili

  • @mudrickbachan2442

    @mudrickbachan2442

    2 жыл бұрын

    Mzee wapo watu wenye umri mrefu nitafute nkupe data

  • @youngbr33zy76
    @youngbr33zy762 жыл бұрын

    dah mwanangu up vzr sana brow yaan unamfanya mtu akuskulize kwa makin saa big up brow nakubaly💯👊

  • @mathsnewdiscoveries
    @mathsnewdiscoveries2 жыл бұрын

    More than history and story.

  • @rahmanakapi4071
    @rahmanakapi40712 жыл бұрын

    Subhana allah

  • @aridhunaidrissa3922
    @aridhunaidrissa39222 жыл бұрын

    Professor again ...well done 👏✔👍👌🙌😀ur are very professional 👏👌🙂

  • @msusasandali5833
    @msusasandali58332 жыл бұрын

    Mnasema baba levo ana pua kubwa mnamuona Mehmet ozurek nyieeee😂😂😂😂😂

  • @HannahDevidRichad

    @HannahDevidRichad

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @khadijeegundumu4651

    @khadijeegundumu4651

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zuchu3647
    @zuchu36472 жыл бұрын

    Kesho Natoa Nyimbo Inaitwa The Story Book

  • @user-lq2xf6tc4j

    @user-lq2xf6tc4j

    2 жыл бұрын

    ❤️🔐👑

  • @luluselemani7956

    @luluselemani7956

    2 жыл бұрын

    Ppp

  • @neemazee1864

    @neemazee1864

    2 жыл бұрын

    Kwaiyo

  • @VanisyJonathan

    @VanisyJonathan

    2 ай бұрын

    Hahahahahahahaha 😅😅😅😅😅😅

  • @davidkamando9630
    @davidkamando96302 жыл бұрын

    Daah.. aiseh!! Mungu tusaidie

  • @edsonalex2567
    @edsonalex25672 жыл бұрын

    Unawezaaa boss

  • @dainesspeter2551
    @dainesspeter25512 жыл бұрын

    Kesho,turushie kuhusu lil Tunechi ..Wayne

  • @omarroro9118
    @omarroro91183 ай бұрын

    Jamal somo wangu

  • @mahamudumbwana382
    @mahamudumbwana3822 жыл бұрын

    Gud jamal

  • @kaazykazunguabdool3266
    @kaazykazunguabdool32662 жыл бұрын

    Narudia tena unajua kaka Prof

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili84322 жыл бұрын

    Aiseeee...wewe kaka fundi sanaaa unajua kutangaza hadi unatuteka

  • @tifahhamiar8739
    @tifahhamiar87392 жыл бұрын

    Hi professor Jamal, love the way u inspire me with your history stories which I find them true n believe in them...honestly I really love your stories which makes me aware of what it's happening in this world 💕💕

  • @patientslweso-pp5li

    @patientslweso-pp5li

    Жыл бұрын

    🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥

  • @patientslweso-pp5li

    @patientslweso-pp5li

    Жыл бұрын

    🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥

  • @patientslweso-pp5li

    @patientslweso-pp5li

    Жыл бұрын

    🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥

  • @patientslweso-pp5li

    @patientslweso-pp5li

    Жыл бұрын

    🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥

  • @patientslweso-pp5li

    @patientslweso-pp5li

    Жыл бұрын

    🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥

  • @fabriceraphael364
    @fabriceraphael3642 жыл бұрын

    Babu yangu amekufa 2007 akiwa na umri wa myaka 137

  • @medinahussein8373
    @medinahussein83732 жыл бұрын

    Hizi ndo kuni za moton Allah atusamehe

  • @DioniziJoseph
    @DioniziJoseph19 сағат бұрын

    Nakubali kaka ww noma san

  • @peaceboymike777
    @peaceboymike777 Жыл бұрын

    history stories by jamal big up man👊👊💯🔥🔥

  • @lyrical_master_
    @lyrical_master_2 жыл бұрын

    professor never disappoints

  • @patientslweso-pp5li

    @patientslweso-pp5li

    Жыл бұрын

    🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥

  • @patientslweso-pp5li

    @patientslweso-pp5li

    Жыл бұрын

    🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥

  • @patientslweso-pp5li

    @patientslweso-pp5li

    Жыл бұрын

    🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥

  • @masongatz

    @masongatz

    11 ай бұрын

    #Mizimu ktk hiphop kzread.info/dash/bejne/Y4Wmlo-oqNmvnbw.html

  • @uwezopacifique5710
    @uwezopacifique57102 жыл бұрын

    Congo kuna mzee aliye Fariki mwaka jana na miaka 160

  • @janiaoma7093
    @janiaoma70932 жыл бұрын

    jani nduguzagu kama hamuelewi habari za duniya yamazeni hichokitabu unacho sema kimepitwa nawakati piya alie zuwiliwa dubai siyohuyo ni mbrazili ana vipini 165 ndiye anaevuja rikodi na mweye ulimi mrefu nimwanamke marekani ana umri wa miyaka 25 yuko holando msisemeovyo hichokitabu ni cha zamani 2012

  • @FaizaWalasa
    @FaizaWalasa5 күн бұрын

    Nihatari sana ulimwengu

  • @josephjefu1406
    @josephjefu14062 жыл бұрын

    Kaka fuga hizo kucha ww unaweza🤣🤣🙆🏽‍♂️

  • @masendetv5942
    @masendetv5942 Жыл бұрын

    Mungu wa mbingun wahurumie jaman

  • @CassianaMselewa
    @CassianaMselewa9 күн бұрын

    Duu uxijali nitavunja recodi ya kufuga kucha😮😮😮😮

  • @sabrijuma1552
    @sabrijuma15522 жыл бұрын

    On fire 🔥🔥🔥

  • @syliverymartine6089
    @syliverymartine6089 Жыл бұрын

    Kwenye miguu hamfikii rafiki yangu

  • @rehemaally2647
    @rehemaally26472 жыл бұрын

    Eeh ypo mibibi mmoja juzi katika katimixa miaka Mia 250 Tanzanian hyo maasha alllah

  • @michaelalphonce6857
    @michaelalphonce68572 жыл бұрын

    super b professor Jamal🇹🇿🙏🙏

  • @jumashafii4896
    @jumashafii48962 жыл бұрын

    Mbona wote wazungu waje bongo watafute wakikosa ndio wasem mtu flani duniania sio wasem duniania akat bongo bado hawajaja

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe2 жыл бұрын

    Zikija rekodi za umbea Bongo ndio watajaribu kushikilia rekodi au Waganga Bora wa nguvu za kiume lazima wasimame kidedea

  • @daviony.1714
    @daviony.17142 жыл бұрын

    N nzur Sana

  • @abdalamacario7094
    @abdalamacario70947 ай бұрын

    Akuna ajue sili ya Mwenyezimungu, kuna wengine wanazalia bila kujua hospitali na wengine kufa bila kujua idadi

  • @wajazizi1088
    @wajazizi1088 Жыл бұрын

    Jamal is baddest professor

  • @nathanmalaki3392
    @nathanmalaki33922 жыл бұрын

    sema jamaa upewe uprofessor kbs

  • @michaelmziho1671
    @michaelmziho16712 жыл бұрын

    Jamali mungu akubariki sana umenifumbua vingi sana

  • @winicatewainaina4456
    @winicatewainaina44562 жыл бұрын

    More than history..tunu ya Africa 🌍 ✌️🙌

  • @ezekielmuhindo7561

    @ezekielmuhindo7561

    2 жыл бұрын

    Hi profesor mimi ni mkongomani Nina bibiangu âme ishi miaka zaidi ya 130!

  • @VanisyJonathan

    @VanisyJonathan

    2 ай бұрын

    Amazing!!!😮😮😮

  • @godloveemanuel1417
    @godloveemanuel14172 жыл бұрын

    Duh🙌

  • @LaitonSlumbwe
    @LaitonSlumbwe4 ай бұрын

    Atamimi nimlefu sanatu

  • @raimundomorais-ne2it
    @raimundomorais-ne2it29 күн бұрын

    ❤❤❤like

  • @millicentlumumba1469
    @millicentlumumba14692 жыл бұрын

    This is legendary

  • @perepetuamgosi8627
    @perepetuamgosi86272 жыл бұрын

    Amazing Soo much

  • @evemurugi3399
    @evemurugi33992 жыл бұрын

    Africans we can't try these we love ourselves alot 😅😅🤣🤣🤣🤣

  • @alexyohana4708
    @alexyohana47082 жыл бұрын

    Mtu mlefu Mwenye futi 8 yupo na mlifanya nae kupinda #hivi ni kweli cha mo tauni sanya

  • @ramahamidu
    @ramahamidu2 жыл бұрын

    Nakubali

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz2 жыл бұрын

    Jamal ujawai kuniangusha big up bro...

  • @Kobe_254
    @Kobe_2542 жыл бұрын

    Afrika tuko na wenye kuvunja hizo records ila hawataki waafrika kuonekana kwa picha la dunia..

  • @marthagabriel3417

    @marthagabriel3417

    Жыл бұрын

    Hahaha 😂

  • @user-pc7yj1ls4i
    @user-pc7yj1ls4i4 ай бұрын

    god bless you mr jamali

  • @juressemabili5133
    @juressemabili51332 жыл бұрын

    Professor wewe ni moto natokeya CongoDRC beni Nord-Kivu🙏

  • @user-ut7ye7bb1h
    @user-ut7ye7bb1h8 ай бұрын

    Uko vizuri na najifunza sana kwako

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo39712 жыл бұрын

    Hiyo ngozi sasa duu

  • @georgebruno916
    @georgebruno9162 жыл бұрын

    Ila yule jamaa wa story book aliepita alikuwa anasimulia na sauti nzuri zaid ya huyu jamaa

Келесі