Follow Me On Instagram / clamcris_ Tiktok: / clam_cris Facebook: people/CLAM-... #clamvevo #comedy
Жүктеу.....
Пікірлер: 1 300
@KIDNESS117810 ай бұрын
wakwanza leo jamani from drc Congo 🇨🇩🇨🇩 naombeni like zangu musiwe wa choyo
@MartinLaban9 ай бұрын
Hii ndio bongo Sasa 😂😂😂 safi kabisa angalau mnaturudisha kwenye ubora wa zamani l love bongo movie, mzidi kutuboreshea kazi hizi, Martin nikiwa Kenya.
@estatekisombola925110 ай бұрын
Mwakatobe: mkuu mwenzio sijisikii vzr najisikia kufakufa yani kama nina UTI 😂
@darlenesalum3667
Ай бұрын
😅😅😅
@Mukavana13810 ай бұрын
Kuna season 2 maana hii movie nzuri Sana unafanya kazi nzuri Sana clam
@CynthiaMpawenimana-nr6pm10 ай бұрын
Wa kwanza nipeni like zangu from 🇧🇮 😆😆😆😆
@annaki31810 ай бұрын
Clam Hana kaazi mbovu nani anabisha❤😂
@SmilingBicycle-sz9ub
20 күн бұрын
😂😂
@nurusaid469810 ай бұрын
Unafatiliya Big Boss Ukiwa Wapiiii❤❤❤❤❤
@Mgindo271110 ай бұрын
kazi nzuri sana clam ukiachana na comedy hii nayo ni nzuri inatuelimisha vijana wapambanaji wapi huwaga tunakosea ukiacha changamoto za ugumu wa life kitaa
@darlenesalum3667
Ай бұрын
Fact
@user-lh4jb2ts3d10 ай бұрын
Leo me wakwanza jamani kwa hii season ya kwanza wap like zenu mnaompenda @clam vevo
@yussufhassan517910 ай бұрын
Mmeamua kutuwekea full 😂😂😂bado tunasubir season 2
@Lilmbunah10 ай бұрын
Binafsi nilikua simuelew clam ila hii movie imefanya niwe miongon mwa fans wake good job🔥
@alhimnamussasaid3619
10 ай бұрын
Ni kweli amekuja kitofauti sana kwa hii move
@herongwikwi102110 ай бұрын
Hii movie imenifundisha vitu vingi sana, HONGERA KWENU WOOTE MRIO SHIRIKI.💯💯💯 KUTOKEA 🇹🇿.
@RuthGiven-jt4bp
8 ай бұрын
Asante san
@kiondojuma579810 ай бұрын
Mwakatobe ana vaibu sana kwenye hii move😂😂😂😂
@Sharonkemmy2000
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ako na experience
@ukhutymamuu7470
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka pale makabulini
@dicksonduke1433
8 ай бұрын
anaviaibu halafu anakuchana ukwel mkavumkavu😆😆😆😆😆😆
@tonnyk7419
8 ай бұрын
Zuchuuuu tu😂
@anorderastonyondo3726
7 ай бұрын
Mwakatobe ananifanya nirudie Mara 2 2 hii movie
@ibrahimuselemani407610 ай бұрын
Wote tulioenjoy BIG BOSS seasson tujuane kwa likes hapa,mi nimeenjoy sanaa vp wew❤🙌🙌
@mnyilingatv
10 ай бұрын
😂Dude hili hapa full kddk
@Alphertv
10 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/qYGFuJmdXbyYdbg.html
@gastonharinganji813
2 ай бұрын
Respect bro gaga-bizzo frm burundiano❤❤❤
@kevinkioo25410 ай бұрын
Future kanumba!!! Clam unaigiza vizuri jaman ❤😊
@josephstephen2047
7 ай бұрын
Huyu ni Kanumba mpya
@EmmaPallanjo10 ай бұрын
Ni bonge la movie na ukituliza akili Ina bonge la ujumbe kwenye maisha halisi tunayo ishi na hapa ndo utagundua utajiri ni Siri ngumu na inahitaji kuwa na roho ngumu sana mfano Clam amepata utajiri ila anaweza kusaidia majirani lakini anashindwa kumsaidia mama yake Mzazi hivi familia inayokuzunguka itakuelewaje na wanajua ww ni tajiri
@megnewtsproduction769310 ай бұрын
Wakwanza wapi likes from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@evodiadominicpaul500610 ай бұрын
Umenoga Leo kuiweka full , big up mwandaaji na washiriki wa BIG BOSS tunasubiri SEASON 2
@mosesibrahim82410 ай бұрын
Hakuna movie iliyonitoa machozi Kama hii oyaa nmejifunza vingi sana oiii CLAM VEVO keep up bro
@mgorakatembo26428 ай бұрын
Wadau tujuane ambao tunaikubali BIG BOSS NAOMBA LIKE ZENU❤❤❤💯💯💯
Oàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa claaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam nakuita mara 100 sema nn we jamaa unajua sana umenifundisha
@ashazuber65488 ай бұрын
😢😢😢hii move ni fundisho kwa watu wote usiwe na roho nzur kupitiliza na usiwe na roho mbaya kupitiliza
@aishahemed7477
7 ай бұрын
fanyeni haraka mtuletee season 2 plz maana so kwaukali huuu daa asei bid up sana and good job
@lephyspemba340010 ай бұрын
Ongera sana kaka umepiga atua kubwa sana Kwa kuungalisha big boss kua single move
@user-jk4qj6rv4d10 ай бұрын
wakwanza leo mim nipen likes
@josestudio4534
10 ай бұрын
Haya bwana
@Officialldjiza
10 ай бұрын
Unakula like au
@jovinuskailembo14639 ай бұрын
Big up sana mmenifanya kidogo nifrahie move za kibongo maana mmezingatia Kila kipengele ongere sana Wana wote WA big boss
@ibrahimashiraf360810 ай бұрын
Wa mwisho kuiona Big boss full movie😢 clam unatisha sanaa blaza
@dr_donye10 ай бұрын
Kivumbi leo 🔥🔥🔥hii movie Kali sana 🔥💪 clam
@ImaniMfuta10 ай бұрын
Tupeni tena season 2 imepoa haiozi💪🔥👊.
@user-rf1jr8cs9l10 ай бұрын
Clam hawezi ziba pengo la kanumba lakini bigUP kwa kazi poa 👍 achunge asi ingine huko☠️😈
@josephstephen2047
7 ай бұрын
Akikaza anaweza kuliziba na kufanya makubwa zaid kuliko hata huyo Kanumba
@FlorenceAtieno-uh9wm8 ай бұрын
Jamani clam umecheza vizuri.mimi napenda Sana movies zako.mimi fan wako kutoka Kenya
@Heiskmb10 ай бұрын
Wakwanza leo kutoka Tanzania kama unamkubali Clam vevo weka like apa tujuane ❤❤
@ImaniMfuta10 ай бұрын
Kaka nimeifuatilia tangu awali mpaka sasa mmetoa season 1 hongereni 💪🔥 ,mungu azidi kuwapa maarifa zaidi katka kazi za mikono yenu .#clame vevo
@hlimaa51829 ай бұрын
Kutoka Kenya 🇰🇪 nimeiangalia nikiwa Saudi Arabia good 👍 job clam Vevo Allah azidi kuku bariki na akutangulie kwenye kazi nzuri zaidi ❤❤❤❤❤
@isackthomas4899 ай бұрын
Leo ndio nimepata muda wa kuangalia mwanzo hadi mwisho, nime'enjoy, nimefurah, wote mmefanya vizuri sana asee sana sana, msela wake kipara nimemkubali sana 😂
@user-zu8sd2eq2n10 ай бұрын
Number one ku angaliya big boss ❤
@lucypaulo923810 ай бұрын
Leo wa Kwanza naombeni like zenu hata kumi tu
@timothyledama37089 ай бұрын
Kanumba is back kupitia clam..sasa naweza keti nikatazame bongo movie kwa umakinifu.
Jamani hii movie naielewa sana zaidi ya sana❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@benjaminwafula10 ай бұрын
Hapo lazima niwepo Big boss sison 2 good job nipo Kenya sehem almarufu kama mtwapa kilifi county
@user-fr3hf5un9w
2 ай бұрын
❤
@husseinsika734410 ай бұрын
Jaman mm ndo wamwisho leo naomba likes zangu😄😄
@NewtonKe-kx2ul10 ай бұрын
Wa kwanza kwa BIG BOSS LEO HOPE NI 🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💯💯💣💣
@KassimGereza9 ай бұрын
Nakubali hii filamu am from Kenya
@masomba10 ай бұрын
Wangapi tumeanza upya BIG BOSS season 1 huku tumeshaangalia mpaka sehem ya 11 gonga like tujuane😊😊
@slovetanzania812
10 ай бұрын
Wanatufuruga 😂😂😂😂
@rosekayombo
10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aishahemed7477
7 ай бұрын
movies zenu zote nimeziappreciate hongereni sana asei kila season ambayo mmetoa nyie naipenda asei me sio mpenzi wa bongo movies lakin zakwenu nimezipenda sana mpo vizuri jamn
@muhammedkhamis2566
5 ай бұрын
😂😂😂Tupo baba
@HadijaMfinanga-wo3tv
2 күн бұрын
Mambo❤❤❤❤❤❤❤
@manfromkakamega10 ай бұрын
washabiki wa clam vevo tujuane mahali tunatoka mmi kutoka kenya cheza na sticker 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aishaomar2287
6 ай бұрын
🇰🇪
@ashleystella10 ай бұрын
CLAM VEVO.... season 1 imekua moto w kuotea mbli... hope season 2 itakua zaidi
@joshuamkarehammarton15875 ай бұрын
Huyu bingwa mbona kama kanumba😢 Ndio maana utapata matajiri wako na roho katili wanasahau Hadi wazazi wao walio walea kumbe Kisha ni vyama😢 MOLA ANIPE HIKMA NISIISAHAU FAMILIA YANGU NA NILIPOTOKA🤲🇰🇪💞🇰🇪🇰🇪
@user-qo8jp6cm4x9 ай бұрын
Kuna mchawi mmoja uyo anayemwita mwenzie Zuchu kajua kunivunja mbavu 😂😂
@darlenesalum3667
Ай бұрын
😂😂😂
@badboyjephanie-uh3mz10 ай бұрын
Kama unamkubali clam gonga like hapa
@Immamk__4410 ай бұрын
Haya namim naombeni like jamani hata mbili tu😢
@elizabethmunezero6180
10 ай бұрын
Tumesha kupa bro 😂
@HadijaZabroni-pu1lt
10 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@joymkenya235910 ай бұрын
Waa ,, the best movie 😂wa TZ mnatubamba sana ... Kenya tuko na nyinyi unyo unyo
@josephstephen2047
7 ай бұрын
hahahah eti unyounyo tunawapenda pia ndugu zetu
@tanganationdj10 ай бұрын
Watanzania Kwa hii movie mmetisha sana❤❤❤, nipeni subscription angalau nifike 1k subscribers
@Elizabeth-my2yx
9 ай бұрын
Hivi Kanumba karud
@LemyJere-eo1fn
8 ай бұрын
Season nzuli
@josephstephen2047
7 ай бұрын
Unatokea nchi gani kaka?
@nancyg8664
7 ай бұрын
@@Elizabeth-my2yx 😂😂😂
@RajiMayira-tc2dx10 ай бұрын
Wa kwanza mimi naomba like zangu plz.
@leisureboykenya20010 ай бұрын
SESSION MMEPIGA MASAA MAWILI MKIUNGANISHA DAKIKA KUMI NA TISA TISA,UNYAMA UO MNATISHA🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamidahHammy2549 ай бұрын
Movie nzuri sana tena yenye mafunzo mengi haswaa kw vijana❤❤🇰🇪
@user-tt3ep1fu8o10 ай бұрын
😂😂😂makatobe uko vizuri my bratha😂😂🎉
@lilianalmas591110 ай бұрын
Wale wapenzi wa full season ya Big Boss tayari hukuu Mambo yametik. Kama unasoma comment huku ukiangalia weka like 😂😂😂
@AsAs-lj4ob
10 ай бұрын
Mi naishiya apa nasubiri season 2
@mariamselemani1366
10 ай бұрын
😂😂😂😂🤣🤣
@professorJ.A.M
10 ай бұрын
Orally
@fedrickkapenga5186
10 ай бұрын
@@AsAs-lj4ob aclam umetisha mwan
@user-ux8lz3rz7n
7 ай бұрын
@@AsAs-lj4obcbsgey
@user-vg8ho6oq7q10 ай бұрын
Dah nlijuwa seson2😢mbona unatutesa clam kila ck tunaeka bando kw ajili yko
@aminaabdalla-uo9zq
8 ай бұрын
😂😂😂
@floraantiaflora60598 ай бұрын
Barikiwa kwa kazi nzuri binafsi nimejifunza mengi
@user-hc7lr6gj6k10 ай бұрын
Asante Sana kwa mafundisho sitokuja kutamani viatu alivyo vivaa mwenzangu kwani akinipa Mimi nivae avito nitosha
@Amina.Muabil-ep6oz10 ай бұрын
Nasemaje Nnasemajee Kama umemkubali CLAM nipe like zangu
@salmamgeni501610 ай бұрын
Nimejifunza kuwa watu hawahitaji wema tunao wafanyia.......😢
@user-ub7jo2mu1p
10 ай бұрын
Kbs
@emmykidot1844
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@HURUMAESAUKIHOMBO
4 ай бұрын
Kweli kabisa
@RashidMeza-vw3uh9 ай бұрын
Big boss ni bonge ya move na inamafundisho mazuri sana big up clam🔥🔥🔥🔥🔥🔥 like kwenu jamni
@user-sg6kg1mb9g10 ай бұрын
Mwanangu nna ugwadu mwakatobe ovyooo chefuuu unawashwa wewe😂😂😂😂
@Felexkryptone9 ай бұрын
Great job umenifanya nirudi kwa bongo movie waiting for season 2 🇰🇪🇰🇪 bongo movie is back
@rashidkalume10 ай бұрын
Leo nimekuwa wakwanza nipee likes basi😅
@rehemaluvuno605710 ай бұрын
Big Boss mmetisha sana na nmeipenda kazi yenu hongera sana❤❤🎉
@user-py3eq2st5w9 ай бұрын
Kwa hii filamu nimejifunza kama mungu hajanipa utajiri Bora niwe maskin mpaka mwisho wangu
@mohamedsheealom874510 ай бұрын
Hivi ndio nilitaka asante kwa kuskiza ombi letu movie hatari kwakweli...
@barakahussein13110 ай бұрын
Naona mmeonganisha episode zote kuwa moja me nilijua mtaanzia pale mlipoishia sijaenjoy hata kidogo
@williamsblessing-fv8of9 ай бұрын
I'm Big fan for you Big Brother... Always from Burundian boy 🇧🇮
@isBurundianBoy
8 ай бұрын
🇧🇮🇧🇮😜🌹🌹👇👇👇🌹🌹www.youtube.com/@guenstoryhero
@user-tx8kl4mz9g10 ай бұрын
Big love from Kenya vevo to the world
@yvonneayesa644610 ай бұрын
Waiting for season 2, nzuri kabisa sijawahi ona clam vevo akiwa serious ivo
@amrimwingwa99410 ай бұрын
IMAGINE I VAVE SPENT TWO HRS ONLINE BECAUSE OF YOU CLAM VEVO KEEP IT UP THE GOOD WORK
@FeisyGidioni-lt7ow9 ай бұрын
Dah mwamba umetsha sana namuona kanumba upya hivyo basi naimani nitamuona magu pia mda utaongea tu
@user-nb4gt2zf8dАй бұрын
Big up sanaa team clam
@EdwinJohn-vo8uf10 ай бұрын
Team clam VEVO tujuane hapa kwa like🔥🔥🔥
@richvannyrichie10 ай бұрын
Better late than never clam vevo the big boss ...going far mnyama watishaaaa💥💥💥💥💥↗️💗💗 one love to clam vevo wadau wangu....
@AlhajiIssa-jb9hr5 ай бұрын
At shirika la msaada limehamia kwetu😂😂😂
@ashamwanganzi640010 ай бұрын
Tuletee moto 🔥🔥🔥zaid ya hii jmn clam mob love 😘❤
@africanjoker840610 ай бұрын
From Dar es salama naomba likes zangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jeandezanzibar10 ай бұрын
Wa kwanz 😂❤❤ big up Clam Vevo 🎉🎉🎉🎉🎉
@jacklinenoballa89469 ай бұрын
Nimejifunza kitu kwa hii movie yani hiki chama ni bora usaidie watu wainje kuliko watu wako ghai heri nife hivo kuliko niwe tajiri na mamangu hana chakula😢😢
@SalamaAlly-hv4sw8 ай бұрын
Namimi naomba like jmn
@bakunduwukizebenithe788810 ай бұрын
Yaani nimefunguwa kwa haraka nafkir tunaendelea na episod ya 2😢
@paskalinapa6177
10 ай бұрын
Mimi pia😂😂
@HadijaZabroni-pu1lt
10 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha hahaha
@EricSimbalalya-rp5pu10 ай бұрын
We are waiting for the Season 2🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩WE love you ✌️
@user-dd7mo1wl7r9 ай бұрын
Hii movie ukiangalia vzur Ina mafundisho mazur likes za clam zikowp❤
@Miltonmkali10 ай бұрын
Wapi like ya msanii Milton mkali
@mpozenzichristian165810 ай бұрын
Big Up Bro Clam by CHRIS 7 BUJA
@adamsaid70375 ай бұрын
Watu hamjui tu ila huyu clam the man is genius a hundred percent nimejifunza kitu life is valuable than everything
@user-sb7wf2ep7f2 ай бұрын
Hapo umeweza bro clam kula likes zako hongera sana
@florencemzungu997910 ай бұрын
We can't wait season 2 aki
@bramwelsituma637510 ай бұрын
I like it ,,,its good combination of all the episode,,good work.
@bramwelsituma6375
10 ай бұрын
Waiting season 2,please
@WinfredWambua-jw1pv
9 ай бұрын
A very nice and educational movie waiting for season 2
@placidekalofficiel655310 ай бұрын
We are waiting for a season 2 of big boss. RAJA from D.R.Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@KarisaJumakarisa-ee5lk10 ай бұрын
From kenya...plz prepare the second season earlier you can....among them you deserve to be included and congratulated 👍👍👍
@giftfungo1404
9 ай бұрын
Clam na timu yako mmefanya kitu kizuri sana Quality, keepItUp inafurahisha, inafundisha na inaonya pia usikate tamaa kwa changamoto unazozipitia kuanzia production na team nzima , #BOSS ♥️🔥
@fatumamwayawe7598
7 ай бұрын
Jaman mtu anisaidie jina la huyo doctor... Natafta movie yake ingine hapo siijui jina mybe Niki search na jina lake kamili naeza ipata please
Пікірлер: 1 300
wakwanza leo jamani from drc Congo 🇨🇩🇨🇩 naombeni like zangu musiwe wa choyo
Hii ndio bongo Sasa 😂😂😂 safi kabisa angalau mnaturudisha kwenye ubora wa zamani l love bongo movie, mzidi kutuboreshea kazi hizi, Martin nikiwa Kenya.
Mwakatobe: mkuu mwenzio sijisikii vzr najisikia kufakufa yani kama nina UTI 😂
@darlenesalum3667
Ай бұрын
😅😅😅
Kuna season 2 maana hii movie nzuri Sana unafanya kazi nzuri Sana clam
Wa kwanza nipeni like zangu from 🇧🇮 😆😆😆😆
Clam Hana kaazi mbovu nani anabisha❤😂
@SmilingBicycle-sz9ub
20 күн бұрын
😂😂
Unafatiliya Big Boss Ukiwa Wapiiii❤❤❤❤❤
kazi nzuri sana clam ukiachana na comedy hii nayo ni nzuri inatuelimisha vijana wapambanaji wapi huwaga tunakosea ukiacha changamoto za ugumu wa life kitaa
@darlenesalum3667
Ай бұрын
Fact
Leo me wakwanza jamani kwa hii season ya kwanza wap like zenu mnaompenda @clam vevo
Mmeamua kutuwekea full 😂😂😂bado tunasubir season 2
Binafsi nilikua simuelew clam ila hii movie imefanya niwe miongon mwa fans wake good job🔥
@alhimnamussasaid3619
10 ай бұрын
Ni kweli amekuja kitofauti sana kwa hii move
Hii movie imenifundisha vitu vingi sana, HONGERA KWENU WOOTE MRIO SHIRIKI.💯💯💯 KUTOKEA 🇹🇿.
@RuthGiven-jt4bp
8 ай бұрын
Asante san
Mwakatobe ana vaibu sana kwenye hii move😂😂😂😂
@Sharonkemmy2000
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ako na experience
@ukhutymamuu7470
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka pale makabulini
@dicksonduke1433
8 ай бұрын
anaviaibu halafu anakuchana ukwel mkavumkavu😆😆😆😆😆😆
@tonnyk7419
8 ай бұрын
Zuchuuuu tu😂
@anorderastonyondo3726
7 ай бұрын
Mwakatobe ananifanya nirudie Mara 2 2 hii movie
Wote tulioenjoy BIG BOSS seasson tujuane kwa likes hapa,mi nimeenjoy sanaa vp wew❤🙌🙌
@mnyilingatv
10 ай бұрын
😂Dude hili hapa full kddk
@Alphertv
10 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/qYGFuJmdXbyYdbg.html
@gastonharinganji813
2 ай бұрын
Respect bro gaga-bizzo frm burundiano❤❤❤
Future kanumba!!! Clam unaigiza vizuri jaman ❤😊
@josephstephen2047
7 ай бұрын
Huyu ni Kanumba mpya
Ni bonge la movie na ukituliza akili Ina bonge la ujumbe kwenye maisha halisi tunayo ishi na hapa ndo utagundua utajiri ni Siri ngumu na inahitaji kuwa na roho ngumu sana mfano Clam amepata utajiri ila anaweza kusaidia majirani lakini anashindwa kumsaidia mama yake Mzazi hivi familia inayokuzunguka itakuelewaje na wanajua ww ni tajiri
Wakwanza wapi likes from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umenoga Leo kuiweka full , big up mwandaaji na washiriki wa BIG BOSS tunasubiri SEASON 2
Hakuna movie iliyonitoa machozi Kama hii oyaa nmejifunza vingi sana oiii CLAM VEVO keep up bro
Wadau tujuane ambao tunaikubali BIG BOSS NAOMBA LIKE ZENU❤❤❤💯💯💯
Much love Kwa clam vevooo kanumba wetu ❤❤
❤🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇭🇲 kwanza Leo ni mimi naomba like zangu
@ntirampebaesperance131
10 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/p6SHq6ebfrnHfKQ.html 🎉🎉🎉 Marrio
@FadhiliKiti
10 ай бұрын
Good
Oàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa claaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam nakuita mara 100 sema nn we jamaa unajua sana umenifundisha
😢😢😢hii move ni fundisho kwa watu wote usiwe na roho nzur kupitiliza na usiwe na roho mbaya kupitiliza
@aishahemed7477
7 ай бұрын
fanyeni haraka mtuletee season 2 plz maana so kwaukali huuu daa asei bid up sana and good job
Ongera sana kaka umepiga atua kubwa sana Kwa kuungalisha big boss kua single move
wakwanza leo mim nipen likes
@josestudio4534
10 ай бұрын
Haya bwana
@Officialldjiza
10 ай бұрын
Unakula like au
Big up sana mmenifanya kidogo nifrahie move za kibongo maana mmezingatia Kila kipengele ongere sana Wana wote WA big boss
Wa mwisho kuiona Big boss full movie😢 clam unatisha sanaa blaza
Kivumbi leo 🔥🔥🔥hii movie Kali sana 🔥💪 clam
Tupeni tena season 2 imepoa haiozi💪🔥👊.
Clam hawezi ziba pengo la kanumba lakini bigUP kwa kazi poa 👍 achunge asi ingine huko☠️😈
@josephstephen2047
7 ай бұрын
Akikaza anaweza kuliziba na kufanya makubwa zaid kuliko hata huyo Kanumba
Jamani clam umecheza vizuri.mimi napenda Sana movies zako.mimi fan wako kutoka Kenya
Wakwanza leo kutoka Tanzania kama unamkubali Clam vevo weka like apa tujuane ❤❤
Kaka nimeifuatilia tangu awali mpaka sasa mmetoa season 1 hongereni 💪🔥 ,mungu azidi kuwapa maarifa zaidi katka kazi za mikono yenu .#clame vevo
Kutoka Kenya 🇰🇪 nimeiangalia nikiwa Saudi Arabia good 👍 job clam Vevo Allah azidi kuku bariki na akutangulie kwenye kazi nzuri zaidi ❤❤❤❤❤
Leo ndio nimepata muda wa kuangalia mwanzo hadi mwisho, nime'enjoy, nimefurah, wote mmefanya vizuri sana asee sana sana, msela wake kipara nimemkubali sana 😂
Number one ku angaliya big boss ❤
Leo wa Kwanza naombeni like zenu hata kumi tu
Kanumba is back kupitia clam..sasa naweza keti nikatazame bongo movie kwa umakinifu.
Eti nani anaweza kulicheza sagarumba 🤣🤣🤣
Wapi likes za mwakatobe
Wee neng'enekaaa tuu...utauponza, mwakatobe shikamoo 😂😂😂
@rogatusmeleki1660
9 ай бұрын
😂
Jamani hii movie naielewa sana zaidi ya sana❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hapo lazima niwepo Big boss sison 2 good job nipo Kenya sehem almarufu kama mtwapa kilifi county
@user-fr3hf5un9w
2 ай бұрын
❤
Jaman mm ndo wamwisho leo naomba likes zangu😄😄
Wa kwanza kwa BIG BOSS LEO HOPE NI 🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💯💯💣💣
Nakubali hii filamu am from Kenya
Wangapi tumeanza upya BIG BOSS season 1 huku tumeshaangalia mpaka sehem ya 11 gonga like tujuane😊😊
@slovetanzania812
10 ай бұрын
Wanatufuruga 😂😂😂😂
@rosekayombo
10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aishahemed7477
7 ай бұрын
movies zenu zote nimeziappreciate hongereni sana asei kila season ambayo mmetoa nyie naipenda asei me sio mpenzi wa bongo movies lakin zakwenu nimezipenda sana mpo vizuri jamn
@muhammedkhamis2566
5 ай бұрын
😂😂😂Tupo baba
@HadijaMfinanga-wo3tv
2 күн бұрын
Mambo❤❤❤❤❤❤❤
washabiki wa clam vevo tujuane mahali tunatoka mmi kutoka kenya cheza na sticker 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aishaomar2287
6 ай бұрын
🇰🇪
CLAM VEVO.... season 1 imekua moto w kuotea mbli... hope season 2 itakua zaidi
Huyu bingwa mbona kama kanumba😢 Ndio maana utapata matajiri wako na roho katili wanasahau Hadi wazazi wao walio walea kumbe Kisha ni vyama😢 MOLA ANIPE HIKMA NISIISAHAU FAMILIA YANGU NA NILIPOTOKA🤲🇰🇪💞🇰🇪🇰🇪
Kuna mchawi mmoja uyo anayemwita mwenzie Zuchu kajua kunivunja mbavu 😂😂
@darlenesalum3667
Ай бұрын
😂😂😂
Kama unamkubali clam gonga like hapa
Haya namim naombeni like jamani hata mbili tu😢
@elizabethmunezero6180
10 ай бұрын
Tumesha kupa bro 😂
@HadijaZabroni-pu1lt
10 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waa ,, the best movie 😂wa TZ mnatubamba sana ... Kenya tuko na nyinyi unyo unyo
@josephstephen2047
7 ай бұрын
hahahah eti unyounyo tunawapenda pia ndugu zetu
Watanzania Kwa hii movie mmetisha sana❤❤❤, nipeni subscription angalau nifike 1k subscribers
@Elizabeth-my2yx
9 ай бұрын
Hivi Kanumba karud
@LemyJere-eo1fn
8 ай бұрын
Season nzuli
@josephstephen2047
7 ай бұрын
Unatokea nchi gani kaka?
@nancyg8664
7 ай бұрын
@@Elizabeth-my2yx 😂😂😂
Wa kwanza mimi naomba like zangu plz.
SESSION MMEPIGA MASAA MAWILI MKIUNGANISHA DAKIKA KUMI NA TISA TISA,UNYAMA UO MNATISHA🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Movie nzuri sana tena yenye mafunzo mengi haswaa kw vijana❤❤🇰🇪
😂😂😂makatobe uko vizuri my bratha😂😂🎉
Wale wapenzi wa full season ya Big Boss tayari hukuu Mambo yametik. Kama unasoma comment huku ukiangalia weka like 😂😂😂
@AsAs-lj4ob
10 ай бұрын
Mi naishiya apa nasubiri season 2
@mariamselemani1366
10 ай бұрын
😂😂😂😂🤣🤣
@professorJ.A.M
10 ай бұрын
Orally
@fedrickkapenga5186
10 ай бұрын
@@AsAs-lj4ob aclam umetisha mwan
@user-ux8lz3rz7n
7 ай бұрын
@@AsAs-lj4obcbsgey
Dah nlijuwa seson2😢mbona unatutesa clam kila ck tunaeka bando kw ajili yko
@aminaabdalla-uo9zq
8 ай бұрын
😂😂😂
Barikiwa kwa kazi nzuri binafsi nimejifunza mengi
Asante Sana kwa mafundisho sitokuja kutamani viatu alivyo vivaa mwenzangu kwani akinipa Mimi nivae avito nitosha
Nasemaje Nnasemajee Kama umemkubali CLAM nipe like zangu
Nimejifunza kuwa watu hawahitaji wema tunao wafanyia.......😢
@user-ub7jo2mu1p
10 ай бұрын
Kbs
@emmykidot1844
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@HURUMAESAUKIHOMBO
4 ай бұрын
Kweli kabisa
Big boss ni bonge ya move na inamafundisho mazuri sana big up clam🔥🔥🔥🔥🔥🔥 like kwenu jamni
Mwanangu nna ugwadu mwakatobe ovyooo chefuuu unawashwa wewe😂😂😂😂
Great job umenifanya nirudi kwa bongo movie waiting for season 2 🇰🇪🇰🇪 bongo movie is back
Leo nimekuwa wakwanza nipee likes basi😅
Big Boss mmetisha sana na nmeipenda kazi yenu hongera sana❤❤🎉
Kwa hii filamu nimejifunza kama mungu hajanipa utajiri Bora niwe maskin mpaka mwisho wangu
Hivi ndio nilitaka asante kwa kuskiza ombi letu movie hatari kwakweli...
Naona mmeonganisha episode zote kuwa moja me nilijua mtaanzia pale mlipoishia sijaenjoy hata kidogo
I'm Big fan for you Big Brother... Always from Burundian boy 🇧🇮
@isBurundianBoy
8 ай бұрын
🇧🇮🇧🇮😜🌹🌹👇👇👇🌹🌹www.youtube.com/@guenstoryhero
Big love from Kenya vevo to the world
Waiting for season 2, nzuri kabisa sijawahi ona clam vevo akiwa serious ivo
IMAGINE I VAVE SPENT TWO HRS ONLINE BECAUSE OF YOU CLAM VEVO KEEP IT UP THE GOOD WORK
Dah mwamba umetsha sana namuona kanumba upya hivyo basi naimani nitamuona magu pia mda utaongea tu
Big up sanaa team clam
Team clam VEVO tujuane hapa kwa like🔥🔥🔥
Better late than never clam vevo the big boss ...going far mnyama watishaaaa💥💥💥💥💥↗️💗💗 one love to clam vevo wadau wangu....
At shirika la msaada limehamia kwetu😂😂😂
Tuletee moto 🔥🔥🔥zaid ya hii jmn clam mob love 😘❤
From Dar es salama naomba likes zangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wa kwanz 😂❤❤ big up Clam Vevo 🎉🎉🎉🎉🎉
Nimejifunza kitu kwa hii movie yani hiki chama ni bora usaidie watu wainje kuliko watu wako ghai heri nife hivo kuliko niwe tajiri na mamangu hana chakula😢😢
Namimi naomba like jmn
Yaani nimefunguwa kwa haraka nafkir tunaendelea na episod ya 2😢
@paskalinapa6177
10 ай бұрын
Mimi pia😂😂
@HadijaZabroni-pu1lt
10 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha hahaha
We are waiting for the Season 2🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩WE love you ✌️
Hii movie ukiangalia vzur Ina mafundisho mazur likes za clam zikowp❤
Wapi like ya msanii Milton mkali
Big Up Bro Clam by CHRIS 7 BUJA
Watu hamjui tu ila huyu clam the man is genius a hundred percent nimejifunza kitu life is valuable than everything
Hapo umeweza bro clam kula likes zako hongera sana
We can't wait season 2 aki
I like it ,,,its good combination of all the episode,,good work.
@bramwelsituma6375
10 ай бұрын
Waiting season 2,please
@WinfredWambua-jw1pv
9 ай бұрын
A very nice and educational movie waiting for season 2
We are waiting for a season 2 of big boss. RAJA from D.R.Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
From kenya...plz prepare the second season earlier you can....among them you deserve to be included and congratulated 👍👍👍
@giftfungo1404
9 ай бұрын
Clam na timu yako mmefanya kitu kizuri sana Quality, keepItUp inafurahisha, inafundisha na inaonya pia usikate tamaa kwa changamoto unazozipitia kuanzia production na team nzima , #BOSS ♥️🔥
@fatumamwayawe7598
7 ай бұрын
Jaman mtu anisaidie jina la huyo doctor... Natafta movie yake ingine hapo siijui jina mybe Niki search na jina lake kamili naeza ipata please
❤❤clam hawezekani ❤ Wewe ni king 👑 bro