Bwana clam alipostuka usingizini kwa Mara ya kwanza yule dada ambae ni mkewe amesmile... I like kazi zenu from LUBUMBASHI DRC
@axsarhodajaphet4479
Жыл бұрын
Kweli🤣🤣
@Mushalotelevisionkiswahili
Жыл бұрын
@@axsarhodajaphet4479 yeah tunafatiliaga sana kwani mi ni host
@pops.dreezy
Жыл бұрын
Pitia bc kk na kwangu pleas🙏🙏
@ecamlenda7982
Жыл бұрын
Kweli kbs 😂😂😂😂
@Mushalotelevisionkiswahili
Жыл бұрын
@@pops.dreezy wapi hapo. WE msanii au? Mimi Niko Lubumbashi Congo Dr Host kwenye redio RTP
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Chite chite ukae ahhh chite ukae,anaeikumbuka hii movie agonge like
@sarahnjeri-tz8eu12 күн бұрын
Vile Clam anashtuka kwa ndoto waa heart attack ilikuwa mbali😂😂😂kama uliwatch hii movie ukiwa pekee ukacheka kama chizi nipee likes 👍👍👍
@EmileNiyomugabo-il9bw9 ай бұрын
Kazi nzuri bwana Clam ! Na hapa 🇷🇼 tunawafuata na tunawapenda!
@SwediramazaniBinkilela-jx9jm Жыл бұрын
Bien joué Toujours swedi ramazani bin kilela homme sérieux
@mushken65 Жыл бұрын
Clam kazi yako nimeipenda nikiwa hapa Wote, Makueni kenya
@shadyarif653 Жыл бұрын
This is magic House by Charles Steven Kanumba...We still remember him,from 🇰🇪
@malaki047
8 ай бұрын
Kbsa
@shavanyyahya5153
8 ай бұрын
këë.
@shavanyyahya5153
8 ай бұрын
këë.
@Sharifaliuma-gb3vt
8 ай бұрын
Kweli hii ni magic house
@shakuekilifisafaridhowscap4402 жыл бұрын
Clam Naitaka hii nyimbo ulioeka Kwa kichekesho,Naipenda hii song wallahi karibu vichekesho zako Naiskia,siku ukiisoma comment yangu niandikie hapo Kwa comment ni nani alieimba Ili niitafute nitashkuru.
@clamvevo6472
2 жыл бұрын
Inaitwa MOYO WANGU alieimba ni SMATA FRIDA
@suzanmichael9670
Жыл бұрын
Asanty
@jude_bellingham22kareem31
11 ай бұрын
@@clamvevo6472😊
@user-dm6qw3qg7p
6 ай бұрын
@@clamvevo6472 mkali clam ile nyimbo ya best friend hivi ipo mpka mwisho au nikipande tu naitaka ile nyimbo best friend
@HashMizzleTz-rv8hb
2 ай бұрын
@@user-dm6qw3qg7p iameimba benny shizzoy
@ArshadNjengaАй бұрын
Safi clam haunabaya❤😅😅😅😅🎉
@havefunny8181 Жыл бұрын
Huyo muzimu kavaa kanzu halafu kaigeuza hizi mizimu za bongo hatari sana...nakubali sana
@jamilalaila8501 Жыл бұрын
Congratulation my favorite Star ❤️❤️❤️💓😂😂😂😂😂😂
@philibertemmanuel23872 жыл бұрын
mnatisha sana wanangu tena sana sema nini fanyeni kabisa full filam so clip yaan mtafika mbali sana kiukwel mnajua sana yaan mmeupiga mwingi kwa hii clip mpaka nikaanza kuis kaa kwel vile dah!!!!
@JenniferBenson-kp4hg Жыл бұрын
Nakupenda kilm
@onesmusnjuguna5902 Жыл бұрын
I like you work clam, oness from 001 mombasa
@abdulbob57962 жыл бұрын
Mmeuwa sna masela wangu yani hii nikibko zaid ya zote kwaupande wangu. Nawkubri sn endeleen kujitaid mtatbow. NYOOOOO! NAIJUA IYOOO
@ayuburamadhani9133 Жыл бұрын
Magic house by kanumba the great, respect to you guys
@LucianaMbunda-cj1he
8 ай бұрын
Naipenda iyooo
@fredkambole-jt9xi Жыл бұрын
Clam wewe nimwamba unaweza!
@user-il7ve1gt5s2 ай бұрын
Kweli kachkaaaaaaa😅😅😅😅😅
@brankfestoАй бұрын
Demu kazingua ualisia kaaushindwa
@madamereen2284 Жыл бұрын
Mwambie amenikalia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-xe8jr2ex8t8 ай бұрын
Jmn me napenda kuigiza tena sana ila sasa cna ht wa kuniwezesha
@user-hn7ug7fv4b9 ай бұрын
ni nge kuwa mimi ninge kimbia kitabo na ninge muachia nyumba hiyo haha
@user-xo5ii2pw2h2 ай бұрын
niwapenda sana mungu awabariki hote songeni mbele ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@almasially6509 Жыл бұрын
inspired by the great, STEVEN CHARLES KANUMBA
@barutithedoni95382 жыл бұрын
We naijua iyo unaijua nyoko bahati yako umetisha San
@QueenLabrunedephilBoy8 ай бұрын
Chite chite ukayi mama kala vyuma vyamaana🤣🤣🤣🤣🤣🤣 clam ananivunja mbavu aiseez🤣🤣🤣🤣🤣
@Kikwaya07 Жыл бұрын
Tafadhali naombeni jina la hii nyimbo
@user-ul1sr4oh9d9 ай бұрын
Nyumba magwende bana Daa!
@aminahhuawei11332 жыл бұрын
Rip kanumba 😭😭 mmenikumbusha mbali ilaa naomba jina ya huu wimbo🙏
@swaumdodoma7591
Жыл бұрын
Na mimi pia nimekubali kinoma iyo nyimbo nimetafuta sijaipata
@sjfamily8121
Жыл бұрын
Magic house ndio jina la move
@rigidcostar8900
Жыл бұрын
Kwa kweli hii ni Magic house
@anzazichaka9896
Жыл бұрын
Moyo wangu by smata frida
@sarahkijimba4073 Жыл бұрын
Nakumbuka kanumba kweli🥰🥰🥰Magic
@catschannel271
Жыл бұрын
Magic house 😂😂
@carolinekivindyo3281
Жыл бұрын
Kweli kweli
@AmCool_2 жыл бұрын
Nimeona........... Si angevaa tu bra
@salujuma453010 ай бұрын
Mbona dem anacheka kazin
@user-hn7ug7fv4b9 ай бұрын
na ninge omba bwana ani saidie nitoke hapo
@user-rc1re7qj3m9 ай бұрын
Mke wako amecheka amearibu move 😂😂😂😂😂😂😂
@MorrisKirimi-vx2pq7 ай бұрын
Clam vevo congulat
@aliythiago8069 Жыл бұрын
Jaman kazi nzuri
@sophiasaidi8269 Жыл бұрын
Apriciate your work🤗
@Amisi942 ай бұрын
Kazi Safi bro 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@lilianalmas59112 жыл бұрын
Huyo Dada jini nilikuwa nimemmiss sana. Umenifurahiasha sana Clam 🤣🤣🤣🤣
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
Huwa anaigiza vizuri sana. Ana kipaji na ni mtanashati
@augustoomar22342 жыл бұрын
Gosto muito isso...o legado de kanumba...Nhumba ya majabo
@user-qu9uq4ng5d2 ай бұрын
Mnachekesha kwl😂😂😂😂
@AmCool_2 жыл бұрын
"Angalia mama usije ukauponza" Me: (mecheka kif*la sana) 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@carolinajaquez924
Жыл бұрын
Bueno esa
@jude_bellingham22kareem3111 ай бұрын
songea on the bullding😅😅😅😅
@masikarachael9324 Жыл бұрын
I really love this 😭😭😭😭
@jiloasser600 Жыл бұрын
Clam demu wako n mweupe sana chunga msije mkazaa manguchiru bana
@user-ry5bh9vq7t11 ай бұрын
Clam bwana ❤❤
@yunicebanelle117311 ай бұрын
Hapo ndio mnakera sasa mmeshindwa hata kubadirisha chochote mmecopy kila kitu magic House ya kanumba
@luobae41282 жыл бұрын
Same na magic house ya marehemu kanumba 😍😍nice show
@jumaathuman1416
Жыл бұрын
Yeah 🤣🤣
@enockshagile9641
Жыл бұрын
Nyumba ya Mareham kanumba
@sabigosabigo4076
Жыл бұрын
@@enockshagile9641 M
@salimhajj47612 жыл бұрын
😍😍😍Wow this is so beautiful video I love this
@janethedward4631 Жыл бұрын
Tz Awapo sure is ktk maigizo Yao km uyo Alie ekti na clam wakati clam kashtuka usingizini Kwa mara 1 Ali cheka so tujitaidi unapo tuwe suri is
@flova7022 Жыл бұрын
Urithi WA songeaaa hahahahaha matogoro au
@user-ok9oq3rg5m9 ай бұрын
Hiyo kali 😂😂😂😂😂😂
@SamiraChami-id6ot7 ай бұрын
Hhhhhh pambe clam umenifurahisha
@deniseibondomedia6889 Жыл бұрын
Clam wewe utakuja kuni towa roho mimi na mwanangu, izo kofi jamani, shiteee shitokalii
@deccosmartboemusic4439 Жыл бұрын
Mpenz mkal uyo
@swaumdodoma7591 Жыл бұрын
Jamani huu wimbo uloimwa apo mwishoni you tube unapatikana kwa Jina gani?
@jonathanfrank25227 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣MAMA ANGALIA USIJE UKAUPONZA😂
@faudhiakambogoro Жыл бұрын
Eti mama angalia usije ukaupoza😂😂hpn sitaupomza
@ramadhanichuka3583 Жыл бұрын
Mnaijua eee
@asiaabdul6424 Жыл бұрын
Kushoto yupo jini
@herryomary62752 жыл бұрын
jini lina kucha nzuri na amepaka rangi
@hurumandobo6001
2 жыл бұрын
😂
@maherzain615 Жыл бұрын
Hapo kwa kuota huyo dem kataka kucheka kisha kajiiziwia
@officialjoakim3555 Жыл бұрын
Mko vzr Sana kwakweli mnafaa Kwenye silious movie mko vzr kucheza na camera
@jumahuseni8156 Жыл бұрын
Safi San💪💪💪
@emmanuelmasika567 Жыл бұрын
Kwani hizi shows zenu n tamuu kabisaa
@sarataunes Жыл бұрын
Jaman mbavu zangu
@RosemaryDuwange-hq9yc Жыл бұрын
Nimeipend iyo
@HildaSaulo11 ай бұрын
Big up clam vevo
@lucylove7292 Жыл бұрын
Njok bahati yenuuuu nimecheka saana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zulachama10672 жыл бұрын
Jini mauza mauza jini mpambe shado mpango mzima.
@faridahabubakar3589 Жыл бұрын
Sijawahi kucheka kwa stile hii duh mmenivunja mbavu.jamani nawapenda
@luobae41282 жыл бұрын
😂😂😂😂😂nlikua namiss show zako 😂😂😂
@ChristelMuswamba2 ай бұрын
Chikamu 😅😂
@neemamzande8547 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sujuu nacheka nn niulizeni kwa like tu jamon 😆😆😆😆😆😆😆😆
@jacquelineniyonkuru3306
Жыл бұрын
Unacheka Nini🤣🤣
@jiloasser600 Жыл бұрын
Hio nyimbo nani kaimba jamani tamu kweli
@pops.dreezy
Жыл бұрын
smat
@IntareYumuryangoАй бұрын
Nikwel wakati clam kastuka Mara yakwanza Uyo wamelala nae kama mke wake amesmall
@saumumwavuna5640 Жыл бұрын
Nimeipenda hio nyimbo
@nacca_briz10 ай бұрын
Nice job bro
@amimuradjabu3277 Жыл бұрын
Chiite chitokaaaa😄😄😄😄😄twaaaaaaa
@stanohmuchela5933 Жыл бұрын
Kazi safi mwanangu
@carelessamirkeyalesiburund9297 Жыл бұрын
Magic housse by kanumba a.k.a angel
@jameskinyua2082
Жыл бұрын
Mumenifulaisa tuederehe hifu walahi
@janniffermary736 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 wah, hii ni 🔥🔥🔥
@maryamsylivester86622 жыл бұрын
😃😃😃😃😃 mama mpe pole
@agathaandrew1374 Жыл бұрын
Daah mmenichekesh jamn
@Gerardirankunda2885 Жыл бұрын
Mam muzim kwr😂😂😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌
@phorahmahaza638 Жыл бұрын
Aki huyo mama alivyokua anaingia hapo getin nimeshutuka jmn khaaaa hizi movies zingine zitatutoa roho 🤔🤣🤣🤣
Пікірлер: 250
Bwana clam alipostuka usingizini kwa Mara ya kwanza yule dada ambae ni mkewe amesmile... I like kazi zenu from LUBUMBASHI DRC
@axsarhodajaphet4479
Жыл бұрын
Kweli🤣🤣
@Mushalotelevisionkiswahili
Жыл бұрын
@@axsarhodajaphet4479 yeah tunafatiliaga sana kwani mi ni host
@pops.dreezy
Жыл бұрын
Pitia bc kk na kwangu pleas🙏🙏
@ecamlenda7982
Жыл бұрын
Kweli kbs 😂😂😂😂
@Mushalotelevisionkiswahili
Жыл бұрын
@@pops.dreezy wapi hapo. WE msanii au? Mimi Niko Lubumbashi Congo Dr Host kwenye redio RTP
Chite chite ukae ahhh chite ukae,anaeikumbuka hii movie agonge like
Vile Clam anashtuka kwa ndoto waa heart attack ilikuwa mbali😂😂😂kama uliwatch hii movie ukiwa pekee ukacheka kama chizi nipee likes 👍👍👍
Kazi nzuri bwana Clam ! Na hapa 🇷🇼 tunawafuata na tunawapenda!
Bien joué Toujours swedi ramazani bin kilela homme sérieux
Clam kazi yako nimeipenda nikiwa hapa Wote, Makueni kenya
This is magic House by Charles Steven Kanumba...We still remember him,from 🇰🇪
@malaki047
8 ай бұрын
Kbsa
@shavanyyahya5153
8 ай бұрын
këë.
@shavanyyahya5153
8 ай бұрын
këë.
@Sharifaliuma-gb3vt
8 ай бұрын
Kweli hii ni magic house
Clam Naitaka hii nyimbo ulioeka Kwa kichekesho,Naipenda hii song wallahi karibu vichekesho zako Naiskia,siku ukiisoma comment yangu niandikie hapo Kwa comment ni nani alieimba Ili niitafute nitashkuru.
@clamvevo6472
2 жыл бұрын
Inaitwa MOYO WANGU alieimba ni SMATA FRIDA
@suzanmichael9670
Жыл бұрын
Asanty
@jude_bellingham22kareem31
11 ай бұрын
@@clamvevo6472😊
@user-dm6qw3qg7p
6 ай бұрын
@@clamvevo6472 mkali clam ile nyimbo ya best friend hivi ipo mpka mwisho au nikipande tu naitaka ile nyimbo best friend
@HashMizzleTz-rv8hb
2 ай бұрын
@@user-dm6qw3qg7p iameimba benny shizzoy
Safi clam haunabaya❤😅😅😅😅🎉
Huyo muzimu kavaa kanzu halafu kaigeuza hizi mizimu za bongo hatari sana...nakubali sana
Congratulation my favorite Star ❤️❤️❤️💓😂😂😂😂😂😂
mnatisha sana wanangu tena sana sema nini fanyeni kabisa full filam so clip yaan mtafika mbali sana kiukwel mnajua sana yaan mmeupiga mwingi kwa hii clip mpaka nikaanza kuis kaa kwel vile dah!!!!
Nakupenda kilm
I like you work clam, oness from 001 mombasa
Mmeuwa sna masela wangu yani hii nikibko zaid ya zote kwaupande wangu. Nawkubri sn endeleen kujitaid mtatbow. NYOOOOO! NAIJUA IYOOO
Magic house by kanumba the great, respect to you guys
@LucianaMbunda-cj1he
8 ай бұрын
Naipenda iyooo
Clam wewe nimwamba unaweza!
Kweli kachkaaaaaaa😅😅😅😅😅
Demu kazingua ualisia kaaushindwa
Mwambie amenikalia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jmn me napenda kuigiza tena sana ila sasa cna ht wa kuniwezesha
ni nge kuwa mimi ninge kimbia kitabo na ninge muachia nyumba hiyo haha
niwapenda sana mungu awabariki hote songeni mbele ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
inspired by the great, STEVEN CHARLES KANUMBA
We naijua iyo unaijua nyoko bahati yako umetisha San
Chite chite ukayi mama kala vyuma vyamaana🤣🤣🤣🤣🤣🤣 clam ananivunja mbavu aiseez🤣🤣🤣🤣🤣
Tafadhali naombeni jina la hii nyimbo
Nyumba magwende bana Daa!
Rip kanumba 😭😭 mmenikumbusha mbali ilaa naomba jina ya huu wimbo🙏
@swaumdodoma7591
Жыл бұрын
Na mimi pia nimekubali kinoma iyo nyimbo nimetafuta sijaipata
@sjfamily8121
Жыл бұрын
Magic house ndio jina la move
@rigidcostar8900
Жыл бұрын
Kwa kweli hii ni Magic house
@anzazichaka9896
Жыл бұрын
Moyo wangu by smata frida
Nakumbuka kanumba kweli🥰🥰🥰Magic
@catschannel271
Жыл бұрын
Magic house 😂😂
@carolinekivindyo3281
Жыл бұрын
Kweli kweli
Nimeona........... Si angevaa tu bra
Mbona dem anacheka kazin
na ninge omba bwana ani saidie nitoke hapo
Mke wako amecheka amearibu move 😂😂😂😂😂😂😂
Clam vevo congulat
Jaman kazi nzuri
Apriciate your work🤗
Kazi Safi bro 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Huyo Dada jini nilikuwa nimemmiss sana. Umenifurahiasha sana Clam 🤣🤣🤣🤣
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
Huwa anaigiza vizuri sana. Ana kipaji na ni mtanashati
Gosto muito isso...o legado de kanumba...Nhumba ya majabo
Mnachekesha kwl😂😂😂😂
"Angalia mama usije ukauponza" Me: (mecheka kif*la sana) 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@carolinajaquez924
Жыл бұрын
Bueno esa
songea on the bullding😅😅😅😅
I really love this 😭😭😭😭
Clam demu wako n mweupe sana chunga msije mkazaa manguchiru bana
Clam bwana ❤❤
Hapo ndio mnakera sasa mmeshindwa hata kubadirisha chochote mmecopy kila kitu magic House ya kanumba
Same na magic house ya marehemu kanumba 😍😍nice show
@jumaathuman1416
Жыл бұрын
Yeah 🤣🤣
@enockshagile9641
Жыл бұрын
Nyumba ya Mareham kanumba
@sabigosabigo4076
Жыл бұрын
@@enockshagile9641 M
😍😍😍Wow this is so beautiful video I love this
Tz Awapo sure is ktk maigizo Yao km uyo Alie ekti na clam wakati clam kashtuka usingizini Kwa mara 1 Ali cheka so tujitaidi unapo tuwe suri is
Urithi WA songeaaa hahahahaha matogoro au
Hiyo kali 😂😂😂😂😂😂
Hhhhhh pambe clam umenifurahisha
Clam wewe utakuja kuni towa roho mimi na mwanangu, izo kofi jamani, shiteee shitokalii
Mpenz mkal uyo
Jamani huu wimbo uloimwa apo mwishoni you tube unapatikana kwa Jina gani?
🤣🤣🤣🤣MAMA ANGALIA USIJE UKAUPONZA😂
Eti mama angalia usije ukaupoza😂😂hpn sitaupomza
Mnaijua eee
Kushoto yupo jini
jini lina kucha nzuri na amepaka rangi
@hurumandobo6001
2 жыл бұрын
😂
Hapo kwa kuota huyo dem kataka kucheka kisha kajiiziwia
Mko vzr Sana kwakweli mnafaa Kwenye silious movie mko vzr kucheza na camera
Safi San💪💪💪
Kwani hizi shows zenu n tamuu kabisaa
Jaman mbavu zangu
Nimeipend iyo
Big up clam vevo
Njok bahati yenuuuu nimecheka saana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jini mauza mauza jini mpambe shado mpango mzima.
Sijawahi kucheka kwa stile hii duh mmenivunja mbavu.jamani nawapenda
😂😂😂😂😂nlikua namiss show zako 😂😂😂
Chikamu 😅😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sujuu nacheka nn niulizeni kwa like tu jamon 😆😆😆😆😆😆😆😆
@jacquelineniyonkuru3306
Жыл бұрын
Unacheka Nini🤣🤣
Hio nyimbo nani kaimba jamani tamu kweli
@pops.dreezy
Жыл бұрын
smat
Nikwel wakati clam kastuka Mara yakwanza Uyo wamelala nae kama mke wake amesmall
Nimeipenda hio nyimbo
Nice job bro
Chiite chitokaaaa😄😄😄😄😄twaaaaaaa
Kazi safi mwanangu
Magic housse by kanumba a.k.a angel
@jameskinyua2082
Жыл бұрын
Mumenifulaisa tuederehe hifu walahi
🤣🤣🤣🤣 wah, hii ni 🔥🔥🔥
😃😃😃😃😃 mama mpe pole
Daah mmenichekesh jamn
Mam muzim kwr😂😂😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌
Aki huyo mama alivyokua anaingia hapo getin nimeshutuka jmn khaaaa hizi movies zingine zitatutoa roho 🤔🤣🤣🤣
@christinenzobambona2225
11 ай бұрын
Na mimi nimeshutuka sana 😂😂😂
😁😂😂 Freemanson bhnah
Kali. Naijua hio. 🤣🤣🤣
Amecheka mkeo ulipo shutuka
😂😂😂😂😂Clam kaka
Mambo ni mazito
Hako ka beat ka Tenzi konki sana
Chite ukae.... Kitambo sana😁
I love this boy best comedian hakuwai tokea
Very interesting 💕💕
Songea kuna uchawi San mbuzi ww
Cram ulipo shituka kitandan mkeo kacheka nimeonaaaaaa
@mariamhaliki8976
2 жыл бұрын
🤣 Kumbe na wee umeona eeh
@mfuu9160
2 жыл бұрын
Namm nmemuon pia
@fatumamnyenze9696
2 жыл бұрын
Tunaijua iyoo😆
@Shamawa
2 жыл бұрын
Ata mimi, kumbe anajua yenye bwana anakusudia 😇😅😅😅
Mnajua sana kwakweli
I need the song
Wewe ushajiunga lazima upewe mashari kuigiza Mambo ya kuzimu kukamata ufahamu na nafsi zawatu yesu tusaidie