BEST FRIEND | Full Movie |
Ойын-сауық
This video is fair use under U.S. copyright law because it is non-commercial, transformative in nature, uses no more of the original work than necessary for the video's purpose, and does not compete with the original work and could have no negative affect on its market.
Copyright Disclaimer Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for 'Fair Use' for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research, Fair use is a permitted by copyright statute that might otherwise be infringing, Non-profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use
Пікірлер: 791
Leo naombeni hata like 5 tu
@JohnLaban-wz2kj
3 күн бұрын
We mpumbavu
Jamani Tanzania naombeni sana tuangalie sana kipaji cha huyu kijana CLAM VEVO maana ni so talented.
Clam nikanumba Naomba like jaman japo 5❤❤❤
@InnocentMukoko
7 ай бұрын
bald
@cresensiangunga5358
5 ай бұрын
Unaweza
@user-nw7rv2ff9l
Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@halimajire27
Ай бұрын
Ikosawa VEVO na Sasha ❤😮😅😊🎉
Wakwanza leo nipeeni like from Kenya 🇰🇪
Am from kenya that song enye clam ameimba it is so nice please jina la hio wimbo
The Best movie ever I think you should prepare another one like...... Sikua nataka ata iishe yani🥰🥰🥰
😂😂😂😂😂 ndoto imetisha kinoma wallai hii imeenda 😢😢😢😢😢😢... nani amekubalia hili❤❤
@Virginiawanjiku-ib5kb
8 ай бұрын
Walai aki
@anniesylivester4100
Ай бұрын
😂😂😂🔥🔥🔥❤️
Charming pumzika kwa amani bro mm kila nikikuona nalia sana bro km nakuona pande za lumo 😢😢🤲🤲
Rest in peace charming Charz😭😭 Nahisi hii Move ingekua nzuri zaid kama ungekuwepo Allah ailaze roho yako maala pema pepon inshallah 🙏
@paulmushendu5299
4 ай бұрын
hey
Clam anajua paka anakera ❤🎉🎉🎉
@AkolDavidfrancis
2 ай бұрын
AkoLDAViD
Wakwanza leo to much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hatimae wakwanza,, nipen maua yangu jaman,, clam kep it up ,💪
kabisa kazi imekuwa kali sana kabisa .Nimependa kazi kutoka DRC GOMA 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Pole sana kwa ajari bro mungu akupe maisha marefu na yenye furaha tukutane kwenye season nyingine❣️❣️❣️❣️🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Kazi imetamatika sasa ni muda wa kuwaletea kile kitu loho inapenda na utapata burudani 🤝
Here I'm from Kenya wapi likes zangu wadau😢😢😢
🎉🎉🎉watching from Kenya 🇰🇪 clam vevo hii ni kali yaani umetiisha 😊❤❤❤
Ila iyi ndoto imenifurahisha😂❤❤
Clam hii movie ulivyoimaliza so pw bwana ulianza vzr ila umeimaliza vibaya bwana😮😮
Amazing sana clam vevo, hichi ni kizazi cha kanumba! Watching from Kenya.
Wakwanza leo kama unamkubali clam gonga like
Hongera sana mzee hii ime weza sana🎉🇨🇩
Kumbe ndo kipindi kinaanza 😅😅😅... nliwatch ikaisha mbaka mwisho Tena nimeanza upya 😅😅😅😅😅... all the way from UAE likes zangu bana
@user-ir9ur6rr9m
8 ай бұрын
Ndy sija elew apo
kuna kitu nilikua naona kabisa kinaenda kutokea ila sio kuisha kwa mtindo huu imeniuma san bro ila kazi nzur zaid👏👏👏👍👍👍❤
Much love for this movie Jina la wimbo was clam alikuwa akiimba ni mzuri sana
Clam vevo best friend unauwa sana kaka
😮😮😮 wakwanza mm leo naombeni likeee zenu 😂😂
Mimi wakwanja munipe liké mingi❤❤❤❤
Jaman mm cjawai kupata ata like 5 naomben Leo unipe
@kimabrahamnghambi3737
3 ай бұрын
Like
@mwavuapaulo4142
3 ай бұрын
😂😂😂
@user-rc6so2km7c
2 ай бұрын
Iyo chukua
@barakajohn6153
2 ай бұрын
Usiwaze
@PRODUCERJTRAFk
Ай бұрын
❤mesahau
Mtu aniambie huo wimbo kaimbwa na nani yavutia saana🎉❤❤❤
Kwa mm nilivyoelewa hapo mwisho ni kuwa maisha yetu yote mpaka hatima zetu zilishatayarishwa kama alivyo kuwa anaota hivyo sisi tunaishi marudio tu alieelewa kama mm agonge like hapa
@user-io5sm1eb5j
6 ай бұрын
Nilikuwa sjaelew Sasa nimeelew ohooo
@AkolDavidfrancis
2 ай бұрын
🎉AkoL DAViD
@AkolDavidfrancis
2 ай бұрын
🎉AkOL DViD
+254♥️♥️ nipeeni likes za Kenya tunaikubali
Like yang ya kwanza pamoja na comenti nahomb like zangu 🙏
Clam wew nikiongozi sana Yani mtalam kabis mm nakukubali hatari ❤ ongera kwanyota yako wallah 👌
Dah bro clam,,we uwa unatuacha in suspense sana,,,big boss ulituacha ata hatujui iliendaje,,Tena best friend bro Dah!!!
Mwisho umezinguwa brother..
To be honest... Kwenye hii movie umechukua kura yangu kwa 100% Ila nilitamani isingekuwa ndoto ili nijue hatma yao sanura na clam,, Anyway kazi nzuri sana na nitakuwa shabiki wako namba moja🎉🎉🎉🎉
Huyu dada @sasha jinake kamili anaitwa nani
Noma sana clam hiii imeenda sana @from pemba#
Sema kwenye kumalizia move za bongo ndo bado ila umefanya kaz nzuri kaka vevo unaupiga mwingi Sana 🔥🔥🔥🔥
Maishani mwangu mwote sijawahi kuitazama na kuipenda filamu kama jinsi nilivyoipenda hii🥰🥰🔥🔥💯💯
Leo nimekuwa wa kwanza nipeni like zangu
Aiseeee.........naelewa kwamba walio fariki hata mpaka sasa wapo hai na tunapata ujumbe nyingi kutoka kwao........ ila hatuziweke maanani. Wengi sana walio fariki miaka kadhaa iliopita mara nyingi nawaona wakiongea nami........... Mtu akifa ameanza ishi tangu muda ule maisha yake kiukweli kabisa........maisha tunayoishi hapa duniani tuko ndotoni tu......ukifa nikutoka ndotoni na kuishi kiukweli
Umezingua sana...sasa inaishaje hivyo?? Ndo maana huwa siangalii mifilamu ya kibongo huwa inaisha kiboya sana
❤❤❤kaka tunataka big boss mbn kimya sana
Ngumi moia kichwa kimeikaa sawa🤝tupo hindia😂😂😂😂
Wakwanza kutoka Burundi❤❤❤
hatari hii.....much love from kenya
Haijaisha vzr hii..Clam hapa umetuibia mawazo
Clam tunaomba big boss namba mwendelezo
Clam vipi unakatiza hivyo...hufai kuishia hapo..onyesha baada ya mama zanura kujua unacho kisema n ukweli... Hapa umeniangusha kaka mm... Anyway love from Kenya.
Nzuri pia mwisho mzuri❤❤
Clam vevo mimi makonde naipenda sana kazi zako mimi jina langu naitua abilio Tiago chibalenge naipenda sana kazi zako namimi naitanji niwe Kama wewe naitanji niwe rafiki yako ukinikubaria ni tapenda sana natamani nifanhe kazi na wewe.niko uku Mozambique ulaia wa mueda
Wa kwanza leo kama tuko pamoja na the super family vevo 🎉
@AnnoyedCakeSlice-xk9xw
2 ай бұрын
huyu mtoto anawaendesha hadi watu waliomzidi yani hana kipaji kikubwa sana aendelee hivyo hivyo❤❤
Clam hii movie ilipaswa izinduliwe, x cinema mlimani waje waone watu wenye akili timam tuu 🎉🎉🎉
The movie stars combination is on another level bravo much love from kenya alafu tunawait hyo big boss part 2 please❤
Kisengere nyuma 😅😅😅 clam vevo 👌✌️🇰🇪🇰🇪 Nairobi
@nicdommie4143
26 күн бұрын
Cinema mzuri but hapo mwisho bado kidogo
Mwalimu...kingereza kilikuja na ndege😂😂😂😂😂much love our neighbours
Clam👏👏Clam👏👏 Clam 👏👏🎉🎉all the way from Kenya 🇰🇪 endelea hivyo
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Tunaomba muendelezo wa Big Boss
Next kanumba one love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Much love 💕 from Kenya 🇰🇪 Watch in Saudi Arabia good 👍 job clam Vevo ❤❤❤❤❤
@user-hx4cq2cf1g
7 ай бұрын
Gj
Félicitations vraiment RDC 🇨🇩
@MassoudAbdalla-vs6xl
8 ай бұрын
Safi
Ilove you from 🇧🇮 turagukunda cyane tunawapendaga san
Nimekuwa wakwanzaa jamani like zenu😂😂
Ridhwan .. AKA Clam Vevo.. Mastermind ❤
Uongo mbaya nimeangalia hii movie bila yakupeleka mbele ni nzuri mnoo
Waa huo utamu wa hii movie yaani ni ndoto 😂😂😂 Clamvevo u r talented I love it,mimi huo wimbo nimeupende❤❤❤much love from Kenya 💖💖💖💖
Naomben like zangu wa kwanza leo❤ ❤
Clam vevo clever boy never disappoint 👏🏼👏🏼
@DjJBreezyQTz
8 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/p5qczdasYteyqbQ.htmlsi=b8OT473Y0X6XLbaM
Watching from Kenya clam we love your content so much 🎉🎉🎉
Clam vevo eshima Sana mwanangu unaweza
Wakwanza kuiona from kenya
15:53-16:34...nimeirudia karibu the whole day much love Clam from Kenya
Kazi nzuri clam vevo👏👏👏
Naona chuma hiki clam umeamua kiwe chatofauti Sana hii itakuwa kalisana nikama big boss
Hongera sana clm vevo naomba nije kucheza na move hata moja na wewe
Nlikuwa nmeacha kuwatch bongo movie ila kwa hii nmerudi rasmi.clam unaweza hadi unakera.much love nikiwa KSA
@MarthaDaudi-ck4tj
7 ай бұрын
Kabisa
umetisha kak hii inawezekan kabisa kuiendelez tuletee part 2 maan imenigusa kam reality kak umewez kabisa
Nimependa san natamani iendelee ❤❤
Nipeni mauwa yangu❤❤
Nawapenda sana wtu wangu
Nakubali sana kaka clam vevo Team Vevo 🔵🟠
Nakutazama tokea kenya. Clam una kipaji kakangu. ila bado naisubiria sehemu ya pili ya big boss.
Clam Vevo. Umetumia Akili nyingi sana hadi kukamilisha hii Movie , umetumia maarifa ya juu mno.. ❤❤ Utafika mbali sana kiasi cha kushangaza..
Clam am eagerly waiting for big boss season 2
A good movie to watch when stressed a good one(nmesahau nimecoment nn)😅
@reginabayyo3365
7 ай бұрын
😂😂😂😂
unajua sana mpk unaharibu kaka
Idea konki, Movie Kali, Salut sana. Mlijipanga Aisee
Courage n'a kazi n'a mungu akupe maanda lizi mupya kwa sii mashaabiki wako nakupenda sana
Clam pole kwa ajali mwanetu😢
Rip 😢😢😢😢charmi 😢😢😢😢😢😢😢kumbe alikua Kwa hii muvi pesa zake zimsaidie mmke alafu iclamu mbona sijaelewa uyu msichana ni Sasha au sie jomon 😅😅😅😅😅
Wakwanza from kenya
wakwanza.mimi leo nipeni like zenu❤❤❤
nakupenda kk!!! mozambique
Niliidharau ila nibonge la move Kuanzia Story Unatisha Mwamba
Wakwanza akwenye best friend Leo
Buro clam una weza pambana kaka na pia pole sana kwa ajali iliyokutokea
Wow nice one clam vevo indeed your support