THE STORY BOOK : MFALME SULEIMAN, NABII ALIYEPENDELEWA KILA KITU NA MUNGU
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 1 400
Mwaga like kama zote. Jamal unatisha kaka tunapata elimu bora kabisa
Neema ya Mwenyezi Mungu iwe nawe daima my Brother Jamal, Amin.
Jamal, historia za biblia ni nzuri sana. Na kizazi hichi watu wengi hawasomi biblia na kupata hekima hizi. Naomba uendelee kuleta story za kutoka kwenye vitabu vya Mungu. Be blessed brother!
@thomasnzioki2027
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/oKSX2aWFYd26qpM.html🎥🙏
@agaikilembemwamafupa1671
3 жыл бұрын
Asante
@hildpaul7823
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@michaelkijazi5692
3 жыл бұрын
.
@elastoluoga7566
2 жыл бұрын
Mh
Wow asante kipenzi nilikua sijui yote hayo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😍😍
Maneno yenye busara jamal profesa lazima tumshukuru Allah kwa uzima Alhamdulillah🤲🤲🤲
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
@favouritebenafa
3 жыл бұрын
waaaah😙
@barnababoniface3504
3 жыл бұрын
Yuko vizuri
@hamisitenga9094
3 жыл бұрын
@@crypto7-t1y m
@hamisitenga9094
3 жыл бұрын
@@crypto7-t1y o
Jamal April you are the best. I like your way of narrating these ancient stories and in good voice and Swahili. Pongezi sana
King SULEIMAN....Inshaallah for your good story
Alichokifanya Mungu kwa familia hii nijema YeYe anauwezo kwa kuchagua mwema au mubaya kwa mapenzi yake .Amen
Waooooo kwamara yakwanza nafunguwa ukurasa wa comment. Jamani naomba like zangu🙏💪
@amraniibrahim6906
3 жыл бұрын
chukua
@gulainruvuzomusic5965
3 жыл бұрын
Umeona hii? 👇🤔👇 kzread.info/dash/bejne/qoap17pppZmac8Y.html
@hamzamwalalika2816
3 жыл бұрын
Umekua ugari uo
@salimukasimu1630
3 жыл бұрын
Simchenzo
@youngkid8095
3 жыл бұрын
We chawa
Rafiki katika Bwana Mungu wa Mbinguni, nashukuru sana kwa hii stori. Aise Mungu akubariki sana.
Nimependa sana alivyomalizia . Mungu azidi kukujaza hikima na maarifa ndugu jamal
Kaka tunaomba uendelee na story izi.. japo kwa mwezi mara 3... maana utapata baraka kwa mungu pia..
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB. kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
@esthelamonica7022
Жыл бұрын
Hizi story zinanifanya kujua biblia sana nakuisoma kila mara
Hatimaye Mfalme Suleiman mwana wa Daudi..... Big up Profesa
Jamal April, The Professor, you have already definitely said and defined the word Wisdom!!!,,, You already have it with you.let it be God's power Amen
Great 👌 much respect from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
THE STORY BOOK ON #TRENDING tuifikishe top 10 wapendwa wa Jamal
Jamani mi nimwana familia mpya wa #the stor book. Na nimebahatik kuw wakwanza ku comment so naomb mnikalibish kwa like. P1 jamal april
@tatuamidu40
3 жыл бұрын
Ivi mnao omba like mnazipekaga wapi
@nallynkeke103
2 жыл бұрын
Kama like zina hela tuambie nasi tuanze kuziomba,,au unafrah tu kuona umepata like nying huo ni umama
Mungu akubariki professor nazidii jifunza mengi kila cku kupitia ww🙏🙏🙏
The king 👑 of story's, murch respect 👏👏 from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
nakubali jomba nakubali wasaf TV wasaf fb so nilipenda omba story ya nabii enoki simulia dunia ijue ukweli lik2 me
Suleiman alhamdulillah inshallah mwenyezi Mungu awe nawewe popote ulio pepon
Nakubali brother Jamal Mustapha Jamal April Professor. Mm hupendelea kurejea ile ya dan cooper. "Upo mkasa maaruf sana, mkasa ambao gaidi mmoja aliyefahamika kwa jina la Dan cooper aliyeiteka ndege ilyo na abiria 36 ndani yake ....."
LIKE kama unaamini Professor anatufundisha mengi mazuri tusio yajua
@juniornungu2478
3 жыл бұрын
Unetisha
@dannyeliya9010
3 жыл бұрын
Simpendi ni muongo af ana masifa nafuu mtiga
@mengalaba9213
3 жыл бұрын
@@dannyeliya9010 utakuwa una matatizo ya ubongo sifa gan sasa alizo nazo usiwe una sikiliza sasa
@bamuucmba92
3 жыл бұрын
Weee Dani unafirwa kweli humpendi jamal cc tnampnda wewe kampnde mamaako
@bamuucmba92
3 жыл бұрын
Ningekua na mtoto ningekuozesha bure professor
Bro uko vizuri safi sana nimesikiliza kwa umakini mno Mungu azidi kukuongezea hiki kipawa
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.... kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
Astaghfirullah... Haikuwa kwa mitume wa mungu kufanya dhambi munazowsingizia.... Doh... Eti daud alizini... Subhanallah.... Mimi kama muislamu namtetea mtume wa Allah..
@yahayaallytv2852
2 жыл бұрын
Ametakasika alllah
@deborahdavi6593
3 ай бұрын
Daudi alizizini kubali yaishe😅😅
Ubarikiwe san ndgu yetu, mungu akuongezee maarifa na akufunulie vingi vilivyo vyema na vyenye kheri ili Jamii izid kunufaika kupitia ww. “Aamin”
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.... kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
Mungu nipe Hekima kama za Solomon Ameen
@reganmrema
11 ай бұрын
Alishasema Hatatokea mwingine kama Suleiman. Fanya kazi, Tafuta pesa 😅
@LaCasaPreciosa
7 ай бұрын
@@reganmrema😂😂😂
@LeilaWilfred-zc7gn
4 ай бұрын
@@reganmrema duuu nimecheka kwa sauti jamanii
Quran inailezea vizyri sana hadithi ya Suleiman
You are the king of story makers..... Real love to you broo.
@tirap6290
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eWF729yYk6e7ZZs.html
Naaam kweli mambo mengi sasahivi nimaludio duh......... Professor jamar saluuti mungu azidi kukupa nguvu juu ya kazi yako
Nabii Suleiman ana historia kubwa. Alikuwa Nabii Tajiri na Mwenye Uwezo Wa Kuamrisha Upepo.. Aliyopewa na mwenyezi Mungu. Alikuwa anaogopewa na majini
Professor king of the story in the world
@theafricanprincevivecongo8632
3 жыл бұрын
@@brotherh-elite1825 😅😅😅😅😅
@dannyeliya9010
3 жыл бұрын
Mtiga abdalah ndio great and king wa yii mamboo bana huyu anaiga tu na kuifikia ni ndotoo yule jmaa fundi
@laylaafricanbridesamiry644
3 жыл бұрын
@@dannyeliya9010 shtuka ww Kama mtiga ndo Bora mbona hana ishu now
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
@@brotherh-elite1825 Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
Umerudia kuangalia zaid ya Mara mbili hii story book gonga like twende sawa🙏
@jimymacha6985
3 жыл бұрын
Mara ya nne narudia
Hatimaye kile nilichokisubiri kimekuwa🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Sijawahi kukoment lakini leo nimeshindwa kuacha. Aksante sana Prof.
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia simulizi zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.... kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
Dah bro mi naamini hii nd story teller kali one hour tyr 1.5k views salute you Blazah
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB.. kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
Naangalia na mimi tuliyoandikiwa lakini hatukusoma hiii ni sawa behind the scene kwenye movie funua yaliyojificha ....... Respect Brother kunywa soda ntalipa
Jamali always you Do good meen, we appreciate your efforts in Kenya 🇰🇪...........
What a captivating and salivating story telling skills Jamal! Keep it up bro.
jamaa ni na kukubali kwa kutuletea story book na voice 🙌🙌 tupe na nyingine
The great professor of all time
De proffesor jamal big up mwamb nakubal nakubal👊
Huwa napenda sana kukufatiliya Ur true professional jamali
Jamali, i really admire your ability of narrating and researching about these ancient stories... Much love from Kenya 🇰🇪
@tuelezanestory2546
2 жыл бұрын
Pia Mimi 254
@upendosfamily7210
2 жыл бұрын
Mi pia 🙋♀️🙋♀️🙋♀️
@PASTORHANNAHTV
9 ай бұрын
Ata mimi nampenda sana niufuatilia research yake sana
@winniethuo9736
5 ай бұрын
Especially where without wishing to state the facts zenye ye ameziomba kwa vitabu na viombo vinginevyo anatutuma sana kujitu juu ya kuutafuta ukwelu kibinafsi. A genuine guru guru gives the disciple tools to be free and not dependant on him/her. ❤
Jamal mungu akupe khery za dunia na akulinde na maadui ajae kwa ubaya asikufikie uishi kwa aman tukumbushe mungu atakulipa khery # nakubali kazi yko# Omar
Allah akulipe kher jamal
Uko vizuri professor ila mitume ya mungu wakikosea hukosea kwa mambo mema rekebisha apo
Ninapenda sana stry zako na mm n mshabk no 1 ..Mwenyezmungu kakupa kipaji cha kuhadithia ... lkn n vyema usiongelee story za kuusu ma nabii au vitu vinavyojihusisha na dini......ukiongelea kuuhu ivyo vitu utawapotosha watu na siku ya mwisho utaulizwa kutokana na kipaj chako ulikitumiaje ... @jamaliapril
Hadithi nzuri xana br
Jamal kama Jamal the Genius 💗💗💗💗💗
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
@omarkapayer1412
2 жыл бұрын
We are listening
Hata ww mtangazaji mungu Amekupa Hekima ya hal ya juu
Uko vizuri sana bro nimekukubali sana kwa Leo, kuna aya moja kwenye Biblia takatifu inasema ombeni chochote kwa jina langu na mtapewa manake kwenye maombi yako be specific and accuracy!
@jumaseifu1083
Жыл бұрын
vyema kabisa
Mashallah kaka una kipaji hongera kwa kusimulia vzr
I love you guys,you are doing a Big good job.may God bless you.i'm a french speaker and i love so much the story book
@bedechorray5482
Жыл бұрын
French huh?
@adamkamaze9888
Жыл бұрын
@@bedechorray5482 .ll
Asante MIE nakufatilia Hapa CONGO 🇨🇩🇨🇩🔥👍🏾👀nice videos keep it up my brother bless you we need more
Kwa Hakika neno, lako lakufungia kipindi hua na liskiza kwa umakini mno hasa huku nikiwa nime tune ktk Bluetooth ya subwofer nakua Nakupata Bara bara, #UBARIKIWE 🙏
Soma sana Biblia pia itakufundisha lakinia zaidi muombe Roho mtakatifu atakufundisha nakukufunulia.....nikupe hongera kwakusoma jinsi alivyo patikana Solomoni
Jamal April, professor.You mentors me when it comes to story telling.Thanks for the way I take it from you
Hallelujah hallelujah I praise you Father Lord no one Like you Father
Ahsante Sana Kaka we ni zaid ya shule
Nakukubari sana jamar unafundisha vizur sana professor uko vizur kama nawew unamkubar professor gonga Like twende sawa😎😎🙏👊👊
Mimi sihitaji like, mimi nahitaji hekima na busara kama ya mfalme huyu Sulemani.
@brisillarutaigwa5022
7 күн бұрын
Wewe badae utakuwa yuda
@brisillarutaigwa5022
7 күн бұрын
Au utatukana mara tatu
Asante nimejifunza mengi kuhusu Suleiman
Hongera unajua kuadisia vizuri mpaka unanishangaza
Wa kwnza mwnyewe kuskliza professor jamal unajua♨️♨️♨️♨️
Wi nuh man a king inna di earth dan Solomon 🤴🏽
Jamal you're an inspiration to many,God bless you boss.
Nimekubaliii kaka uko vizur sanaa
Sawa Jamal Asante kwa story nzuriii zenye mafundisho mazuri
well fed with ancient stories.....well done job....from kenya.
Watu wanaomba likes tuuu,kwan zina maajabu gan jaman
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
@paulpama7305
10 ай бұрын
Itakuwa zinasibisha....,
Kile cha dk7 kilivuja kumbe Maana kilituchanganya mpaka basi tuliyumba ALAFU TUMEAMBIWA UNAYO OFFICIAL ACCOUNT JAMAL .. ni kweli au Tunaibiwa kule 🚶🚶🚶 KAMA ULIONA KIPAMDE CHA DK7 GONGA LIKE NYINGI ILI JAMAL ATUJIBU .👍
@dullahaibo28
3 жыл бұрын
Hahaahhaahha we acha
@williammyemba7791
3 жыл бұрын
Vipande viwili,,mwanzon anaongea Jamal halfu anamalizia mtiga
@nichoojr.6747
3 жыл бұрын
@@williammyemba7791 hahahah ndio
Ahsante kwa somo zuri Prof.
Nani anataka kuwa kama solomon dondosha like 👆
@jimmymeshack9338
3 жыл бұрын
mimi hapa
Usiache kusimulia story book, tunahitaji kila Mara uwe unatupatia, nakukubali sana Prof
Jamaal katika la baraka hakika umenena kweli. Tumshukuru Mungu kwa kuwa tulivyo na tuone katubariki kuwa tulivyo turidhike nae.
Japo nimechelewa lkn naombeni like hata 10 zinatosha wadau wa story book
@robertlameck7095
3 жыл бұрын
Thanks wadau wa story book
Ningekua na dada ningekupa bure jamal nakukubali sana nakupenda kuliko kula cmba from zanzbr
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Sasa dada huna tunafanyaje, we jitoe tu km kweli wamkubali
@charityemmanuel9763
3 жыл бұрын
Hahahaaaaa nimeipenda iyo
Kakangu jamal mungu alikupanga wisdom kwa wingi zaidi
Safi wewe ni noma sana
leo umefanya vizuri sana nimejifunza mengi bro
Big up san bro, kama unamkubali jamal like twende sawaaaa🤝🤝👏👏
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
Jamali thank you so much for program for story book
Historia hizi zina vito vya maadili ya ajabu. Usuli wake ni asili ya ujio wa waja. God bless you Brother.
Naitazama tena kwa mpya (01/01/2021)
Nabii sleiman alikuwa ni Mtume wa Allah kama Issa, Mussa, Muhammad, Ibrahim na n.k.
@johnjuma2482
3 жыл бұрын
Issa ni nan
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
Mnavyo muita nyiyi yesu na wazungu jesus warabu isa bin maryam alahy salam,
@givenessgwelino4572
3 жыл бұрын
Habari ya Yesu unaijua lakini vile inatawanya hadi sisimizi wa pepo
@hanifaally4694
3 жыл бұрын
Na kwenye historia cjawah ckia kuna nabii kazini au kazaliwa kwa zinaa cjui vitabu vya dini nyingine lkn QUR'AN tukufu NO
@saiyachuwa3512
3 жыл бұрын
Nabii au mtume hawezi kuzini we sijui unayeitwa jamali mbona unahadithia vitu vya ajabu ilo balaa unalolitafuta litakushukia mtume WA mwenyezi mungu azini na mtume azaliwe kwa zinaa
Bibilia imefika mbali sana kwa kuwazulia nabii wa mungu uongo. Eti mtume aliyeletwa kuwaongoza watu kwa mungu ni mzinzi Mara mlevi, Mara mshirikina kweli binaadamu sio perfect lkn mungu anapochagua mitume huchagua wenye nguvu katika ilimu, hekima, na mwili. Waandishi wapotofu wa bibilia.
@yahayaali7970
2 жыл бұрын
Umesema kwel
Tuliokoment huku bdo hatujalza kuskilza kwa sababu story ni tamu niachie like hapa
Big Up My Brother Professor ✌ Ujawai Kosea Hapo Mwisho Nimekukubali
Allah aendelee kukupa afya uzima na uhai hakika tunayajua ambayo hatukuyakuta si Wala wazazi wetu walio tangulia mbele ya haqi shukran sana kwa kazi nzuri
i love you #professajamal umeniliza kweli MOLA akuruzuku elimu na busara zaidi
Jamali mustfa shukran my brother kwa story ya mfalme 👑 suleman 🙏🙏🙏 Maaana ulikua umetuonjesha kweny sehemu nyigine ila kwa hii hasante tuketee nyengine na nyengine tupo pamoja my brother
@victacosta7053
2 жыл бұрын
Sana
ubarikiwe Kaka napenda sana unavyo tupa historia tamu na za ukweli kabisaaa,eeh Mungu utuepushe na maovu tukiwa diniani kwasababu malipo ni hapa hapa duniani.
@ayubukassimu8347
2 жыл бұрын
Iko pow kabisa allah akuongoze
dakika 10 za mwisho🔥🔥🔥🔥...... it's something priceless keep it up jamal🙏🏽
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html
Hii kuzaliwa kwa sleiman waongo tu,MANA HAKUNA MTUME WA MUNGU ALIZALIWA NJE YA NDOA
Nimependa hadidhihii❤👍👌
I loved this Guy. .I still do... #youjamal
Jamal kwa hii story Umetisha mbaya
Kila siku najiuliza Hawa wanaoombaga like wanazifanyia Nini au Kuna faida kupata like
@hawaallywatimu7198
3 жыл бұрын
Huwa wanazibadili kuwa fedha wanapata kutumia
Kupitia simulizi hii ya mfalme suleimani leo ndio nimeamini kuwa binadamu si mkamilifu
@crypto7-t1y
3 жыл бұрын
Naomba pitia hapa pia kuangalia makala zangu tafadhali.👇 CHANZO NA SIRI YA VITA YA SOMALIA NA AL-SHABAAB kzread.info/dash/bejne/hnWC19Vwj7jHo8o.html