The Story Book : Usiyoyajua kuhusu Daudi na Goliati

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 732

  • @eliudignatio9378
    @eliudignatio93782 жыл бұрын

    Leo nimekua wa pili like zenu wadau wa the story 📖

  • @richardmweri1094
    @richardmweri1094 Жыл бұрын

    Iam from tanzania lakini Mimi ni mtoto mwenye miaka 14 always napenda kuangalia story book zako course unasauti nzuri sana nakuombea kwa mungu maisha marefu na heri duniani🙏

  • @joycelaulensfilbert-ii3vh

    @joycelaulensfilbert-ii3vh

    Жыл бұрын

    Nimekupenda bure

  • @dicksonbaya5263
    @dicksonbaya52632 жыл бұрын

    Kwangu mm sina kipindi ninacho kipenda kama the story book

  • @davidmaisely7487
    @davidmaisely74872 жыл бұрын

    Mafundisho ya Bible mafundisho ya Mungu ni yale yale jana kesho na hata milele hayabadiliki ..Bible is perfectly book 100% .. huo uchunguzi mpya magunduzi mapya na mafundisho mapya ni ktk vitu vngn ila si kwa neno la Kristo

  • @mundhirmundhir7410

    @mundhirmundhir7410

    2 жыл бұрын

    😂 wabongo bn

  • @eliwahavehaeli9938

    @eliwahavehaeli9938

    2 жыл бұрын

    Wrong

  • @robertbiah9364

    @robertbiah9364

    Жыл бұрын

    @@eliwahavehaeli9938 cy

  • @robertbiah9364

    @robertbiah9364

    Жыл бұрын

    @@eliwahavehaeli9938 uyyu

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel56492 жыл бұрын

    I am from in Tanzania Africa I beg all the people of Tanzania we have to proud of jamal April for teaching us, pig professor in Africa

  • @edwardmwakanolo1259
    @edwardmwakanolo12592 жыл бұрын

    Daaa uwezo wako ni Kama mwanga wa Jua Ulimwenguni.. 🔥🔥🔥🔥

  • @zeynabmohamedzeynab4753
    @zeynabmohamedzeynab47532 жыл бұрын

    Nimeskia rah alivyomsameh🤲🤲🤲🤲hakika Allah anapokea msamaha

  • @edwinjohn1852
    @edwinjohn18522 жыл бұрын

    Nakuomba uendelee kuhadithia stories za manabii very interesting

  • @anganilekajigilikajigili2641

    @anganilekajigilikajigili2641

    2 жыл бұрын

    Mungu ananguvu hata waabudu shetwani 😂

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg5 ай бұрын

    Mungu asieshindwa kisichowezekana kwa mwana damu, kwa mungu inawezekana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪

  • @deborahdavi6593

    @deborahdavi6593

    3 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @nyandwiniyera5535
    @nyandwiniyera55352 жыл бұрын

    Jamani we kaka una nibariki sana na the story book mungu akuzidishie kipaji chako 🙏🙏❤️❤️

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74912 жыл бұрын

    Duh yani mtihani wa Daudi ni fundisho kubwa sana yani Mungu hashindwi sababu huo mfano wa kondoo 99 na mwenye kondoo mmoja duniani sisi haturidhiki

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel31322 жыл бұрын

    Mungu ndio kitu mhimu Sana apewe sifa ninaziona dalili za kujikita kwenye dini mungu akuwezeshe kipaji ili utupe maelifu ya elimu

  • @BakariHosseni-jw9io
    @BakariHosseni-jw9io4 ай бұрын

    The story book nikipindi kizuri sana kinatoa histoty nzuri

  • @amirikalli1657
    @amirikalli16572 жыл бұрын

    Kaka unatupa elimu iliyo nzuriii..najikuta naongea na nafsi yangu.. ,pamoja na kujiusia kusoma sana vitabu vya Mwenyezi Mungu. Kwani kuna elimu kubwa yenye mazingatio katika maisha yetu hapa Duniani, Kaburin na Kesho mbele ya Mungu..Kila la kherii

  • @kenyanmagazine8510
    @kenyanmagazine85102 жыл бұрын

    Tunatamani sana stry ya lebo ya wasafi Jamal Fanya mambo mkaka

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga2 жыл бұрын

    Asante sana kwa story nzuri za kwenye bible. Daud kumpiga Goliath inatufundisha kuwa Mungu hashindwi na jambo lolote hata liwe gumu kwa akili za kibinadamu kwa Mungu ni lepesi tu. Nakuombea wewe unayesoma ujumbe huu Mungu akupe Imani iliyo thabiti katika magumu yote mtegemee yeye utashinda.

  • @fasconeroh8740

    @fasconeroh8740

    2 жыл бұрын

    Ameena

  • @elishavicentmhina3545

    @elishavicentmhina3545

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @chambijr1623

    @chambijr1623

    2 жыл бұрын

    Ameen KUBWA👏

  • @tinnahmosha5177

    @tinnahmosha5177

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @licious3456

    @licious3456

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi12472 жыл бұрын

    Story book ni cinema iliyoshiba wala hahitaji maelezo yoyote yale,hakika nipate kusema profesa Jamal ni mchambuzi wa hali ya juu kabisa ,umenifanya nisome biblia bila kulazimishwa,hongera kwako profesa Unahitahi kupewa tuzo ya usimulizi

  • @edisonnovart1971

    @edisonnovart1971

    2 жыл бұрын

    Hakika Mungu hanatisha

  • @meshackkoskei9258
    @meshackkoskei92582 жыл бұрын

    Asanti sana professor.. Mwenyezi aendelee kukuneemesha ...zaidi.

  • @ruahahilltoplodge
    @ruahahilltoplodge Жыл бұрын

    Nikweli storybook nzuri Sanaa napenda kufatilia na najengeka kiiman Mungu akubariki sanaa🙏 Aloyce from Tanzania

  • @edwinelias8554
    @edwinelias85542 жыл бұрын

    Nakupa vizur jamal from Ukrine huku tunakipiga Vita huku tuhasikiliza The story book from Tanzania Sarut 👍

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema2 жыл бұрын

    BASATA naomba Professor Jamal apewe Tuzo ya kutangaza Lugha ya Kiswahili vizuri kupitia Sarufi na Fasihi. Mfalme Daudi ndiye Mfalme pekee Duniani aliyepigana Vita nyingi na alifanikiwa kushinda Vita zote. Mungu alimuambia sababu umemwaga damu nyingi sana haitapendeza unijengee Hekalu bali uzao wako Mfalme Suleiman ndiyo atajenga Hekalu la Mungu.

  • @danielsanga8730

    @danielsanga8730

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisaaaa

  • @starladke598
    @starladke5982 жыл бұрын

    Jamal April mungu akulinde uendeee kutunogesha na mambo matamu.

  • @gorymushy3612
    @gorymushy3612 Жыл бұрын

    Kiukweli hakuna kinachoshindikana kwa Mungu GOD IS GREAT 👍 👌 🙏 🙌

  • @maestro1902
    @maestro19022 жыл бұрын

    Hizi story Zita ishii sana 🌍

  • @mandalorian_4.11

    @mandalorian_4.11

    2 жыл бұрын

    Fact

  • @husneymtipa7399
    @husneymtipa73992 жыл бұрын

    Kazi mzuri prof Jamal asante kwa kutufunulia tusiyoyajua

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis590410 ай бұрын

    Mungu akubariki Anko J hapo tumepata kitu cha kujifunza

  • @charlesprince6293
    @charlesprince62932 жыл бұрын

    Plz am your fan from Kenya plz tuandalie story ya idd Amin dada🙏🙏🙏

  • @mohkishoma9375

    @mohkishoma9375

    2 жыл бұрын

    Alishasimulia isearch tu

  • @starladke598

    @starladke598

    2 жыл бұрын

    Stories IPO tayari

  • @manp.....7694
    @manp.....76942 жыл бұрын

    Ukiona nimeunga bundle ujue naunga kwaajili ya THE STORY BOOK.JAMAL, EDGAR, MPAGAZE SALUTE SANA KWENU KWA KUANZISHA THE STORY BOOK. natamani viongozi wetu wangekua wanafuatlia the story book ili muwakomboe kifikiri🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼👍👍👍❤❤❤❤❤

  • @user-bp4wv4jo2i
    @user-bp4wv4jo2i5 ай бұрын

    Mungu ni nuru Atukuzwe milele.

  • @gospelman3720
    @gospelman37202 жыл бұрын

    Mungu akuongoze katika kutafiti kwako bwana Jamal

  • @jumampewa792

    @jumampewa792

    2 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @naomikalinga3042
    @naomikalinga30422 жыл бұрын

    Asante kwa story nzuri MUNGU wetu hajawahi shidwa na Jambo yeye na MUNGU wa wote wenye mwili hakuna Jambo gumu kwake haijalishi unamuonekano gani ama Jambo Ni gumu kiasi gani akisema ndio hakuna wa kupinga Jamal unajua kusimulia story hongera sana

  • @ashirafsuleiman

    @ashirafsuleiman

    Жыл бұрын

    Naomi naomba unitumie namba ako, ila kwaajri ya kujuliana har na kubadilishana mawazo, name napenda cana kusoma na kusikiliza story,

  • @johnluyego9353
    @johnluyego93532 жыл бұрын

    Nimejitahidi sana kutoandika kitu! Ila Wakati naendelea kusikiliza unavyoelezea nimejikuta naelewa kuwa we ni zaidi ya smart bro! Ur good! Unatupa kitu roho inapenda. Thanks man. Mungu akupe maisha marefu uendelee kufundisha kizazi hadi kizazi.

  • @WinfredVungo
    @WinfredVungo5 ай бұрын

    Asante Kwa hadhiti hii❤❤❤❤❤❤

  • @lydiahsarange7430
    @lydiahsarange74309 ай бұрын

    Shukrani Kwa hizi hadithi za bibilos

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k2 жыл бұрын

    Mr jamal he is here mashallah may Allah bless u bro💯💯💯💯

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    2 жыл бұрын

    👍👍

  • @RONALDOTRUCKDRIVER

    @RONALDOTRUCKDRIVER

    2 жыл бұрын

    Hello

  • @bennzuki1285
    @bennzuki12852 жыл бұрын

    Mr Story Book, Asante kwa masimulizi yako mazuri,yenye mafunzo mbalimbali, nitoe tuu ushauri kwako. Unapotumia vitabu vya Dini, yaani BibLia na Quran, hivi vyote ni vitabu vitakatifu. Lakini wewe unatambua Quran tuu ndo kama kitabu kitakatifu, yaani ukisema biblia hutumii neno takatifu lakini ukitamka Quran hutamka Quran takatifu. Hii sio sawa Mana hukippi heshima takatifu kitabu Cha Biblia kama kinavyostahili ilihaki unakitumia Kwenye simulizi zako

  • @mwanashagladys4581

    @mwanashagladys4581

    2 жыл бұрын

    Qurani ndo imeandikwa ivo ndugu

  • @markokida9918

    @markokida9918

    2 жыл бұрын

    Ben umemwambia ukweli wakat stoli zake zotee Ana sitowa kwenye biblia takatifu

  • @eng.anaelyowenya7809

    @eng.anaelyowenya7809

    2 жыл бұрын

    bora aache kutumia bible atumie kitabu chao

  • @hamadeddymaclayz

    @hamadeddymaclayz

    2 жыл бұрын

    Quran kitakatifu ndio maana ukichoma una dhulika bible haina hiyo so quraan ni holy

  • @hamadeddymaclayz

    @hamadeddymaclayz

    2 жыл бұрын

    Makuma nyie kama hamtaki msisikilize hamja lazimishwa

  • @abulrahmanallahdad5789
    @abulrahmanallahdad57892 жыл бұрын

    My name is Kadrow napenda sana tuelewe ya kwambia historia ni msingi wa maisha yetu

  • @user-sz3eg4hq4e
    @user-sz3eg4hq4e4 ай бұрын

    Tutetee ee mungu me ni mdogo lakn naiman nitavuka majaribu makubwa

  • @user-yj8ne3ps7c
    @user-yj8ne3ps7c7 ай бұрын

    Amen amen kwa story ya daud na pendezwa na yo goliati mwenye Ana tatiza maisha yetu tuta mutia shini

  • @davidmaisely7487
    @davidmaisely74872 жыл бұрын

    My Name David.. means a beloved of God (a proud of it)

  • @reginasawe3356

    @reginasawe3356

    2 жыл бұрын

    🤗🤗

  • @gelvasmapunda9006

    @gelvasmapunda9006

    2 жыл бұрын

    Jamali💓💓💓💓💓

  • @user-me7lg1dk4f
    @user-me7lg1dk4f10 ай бұрын

    Mwenyezi mungu atusaidie kutupa loho mtakatifu atsaidie tunapokuwa vitani na wabaya wetutuwashinde kwa imani amenii🙏🙏🙏🙏🙏

  • @brianmachariamacharia3029
    @brianmachariamacharia30292 жыл бұрын

    Napenda iyo story book sana God bless

  • @carolecar5498
    @carolecar54989 ай бұрын

    Asante Sana kwa hi story nzuri Sana

  • @ramadhantingatinga5132
    @ramadhantingatinga51322 жыл бұрын

    Ahsante kwa elim ulotupatia kwakua🇹🇿wavivu kusoma naniwepesi kusikiliza

  • @paulmosomi6217
    @paulmosomi6217 Жыл бұрын

    Asanti sana Kwa mzimulizi Wa hii story yenye utamu Wa kugundua mambo mazurii na yenye manufaa kubwa sana katika maisha ya kila binadamu anayeishi.yatupasa kujua yakwamba Mungu anaweza na ana ushindi katika kila jambo

  • @retiekadarling992

    @retiekadarling992

    8 ай бұрын

    Fireeeee❤

  • @MiriamAmando-uj7ld
    @MiriamAmando-uj7ld9 ай бұрын

    Ahsante kwa stir ni nzur sana

  • @clovistwengerayesu7929
    @clovistwengerayesu79292 жыл бұрын

    Asante sana kwa hiyo the story book mungu akubariki sana

  • @nashirmcheni9011
    @nashirmcheni90112 жыл бұрын

    Allah akubari ktk kazi zako na akulipe kwa ujumbe wako safisana

  • @claydonruto5528
    @claydonruto55282 жыл бұрын

    From the day I started following the storybook, never want to miss even a single story.. well done prof👏👏#very informative🙏

  • @alladitahnoordin4895

    @alladitahnoordin4895

    2 жыл бұрын

    Me too 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🏼🙏

  • @whitesichalwe7079

    @whitesichalwe7079

    2 жыл бұрын

    We are all together

  • @isaacmesso6721

    @isaacmesso6721

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/hIusqMdpedqsddI.html

  • @wazirimbwambo672

    @wazirimbwambo672

    2 жыл бұрын

    Good sana

  • @dominicrop4642

    @dominicrop4642

    2 жыл бұрын

    Mm too siz

  • @agnesmajuramangombe986
    @agnesmajuramangombe9862 жыл бұрын

    Mi wa nne like

  • @japhetmyombo2542
    @japhetmyombo25422 жыл бұрын

    Hongereni sana waandishi wa kitabu cha the story book sasa ongezeni masomo mingi ambayo yopo kwenye bible naqoorne

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    2 жыл бұрын

    Kabisa mimi napenda mno

  • @wenceslausassey
    @wenceslausassey3 ай бұрын

    Mimi nimejifunza kusikiliza sauti ya bwana na kuitii ukiamini hii imetoka Mungu utashinda amini wokovu Amina

  • @gaashbwoyke9890
    @gaashbwoyke98902 жыл бұрын

    Asante sana jamal kwa kutuelimisha

  • @user-hs8zv5ws9s
    @user-hs8zv5ws9s8 ай бұрын

    Asante kwa stori nzuri zinanikonga moyo sana

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798Ай бұрын

    Thanks so much brother,leo ndio nimesikia hiyo story ya daudi Kwa upande wa Quran takatifu, lakini mara nyingi nilikuwa naisoma katika biblia tu🤝,asante sana.

  • @jameskinuthia4480
    @jameskinuthia44802 жыл бұрын

    Jamal uko juu lazma kufatie kila wiki 💯💯💯💯💯..

  • @CHANCESIMON
    @CHANCESIMON8 ай бұрын

    Mungu ni mungu tu akuna mwengine kamawewe

  • @CHANCESIMON

    @CHANCESIMON

    8 ай бұрын

    God

  • @doniechung5539
    @doniechung5539 Жыл бұрын

    I love you story book for giving us big secret about nature ❤️❤️❤️ I love you

  • @user-dm6ex6yh7f
    @user-dm6ex6yh7f9 ай бұрын

    Asanteni kutukumbusha History hii

  • @kayongokayongo4609
    @kayongokayongo46092 жыл бұрын

    Mungu nimkubwa

  • @Dawuncho
    @Dawuncho2 жыл бұрын

    JAMAL APRIL wewe sio binadam wa kiwaida big up

  • @johnjmanyika1872
    @johnjmanyika18722 жыл бұрын

    Ahsnte sna kwa story brother🙏

  • @gahinangamarchelinoo2078
    @gahinangamarchelinoo20782 жыл бұрын

    Nimerizika sana tena nimekubali

  • @ramsesniganzisabwe7185
    @ramsesniganzisabwe7185 Жыл бұрын

    Nimeipenda hii kuliko zingine kabisa

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726Ай бұрын

    Asante kwa hii story ya bibilia...kuusu shujaa daudi

  • @AbdallahFahm
    @AbdallahFahmАй бұрын

    Mashallah allah akujalie kila kheri unaupiga mwingi brother

  • @ireneinnocent4128
    @ireneinnocent412810 ай бұрын

    Waooo Nice brother.. uko vizuri sana.

  • @openmindtz
    @openmindtz2 жыл бұрын

    I love old story that's show n tell the greatest of God

  • @hagastzaxzax3509
    @hagastzaxzax35092 жыл бұрын

    Asante sanaa

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda89072 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏😍Mungu ni Mkubwa

  • @AkilimaliBASHIMBECrispin
    @AkilimaliBASHIMBECrispin2 ай бұрын

    Nina sikia furaha na utamu ya neno la Mungu !

  • @sefujuma275
    @sefujuma2752 жыл бұрын

    Upo vizuri kiongoz mungu akubariki

  • @jafetcharojafet5708
    @jafetcharojafet57082 жыл бұрын

    Stor Kali Sana hii🔥🔥🔥

  • @willyswaya5746
    @willyswaya57462 жыл бұрын

    You deserve more than being a Professor 🤝🤝🤝 Man i take a bow to you # UNAJUA KINOMA ♾

  • @mamafaiza2651
    @mamafaiza26512 жыл бұрын

    Tupe historia ya mtume muhamad (saw)

  • @Abdulmajid79072

    @Abdulmajid79072

    3 күн бұрын

    S.A.W

  • @BakariHosseni-jw9io
    @BakariHosseni-jw9io4 ай бұрын

    Uishi miaka mia ya baraka uzidi kutuletea story za kale

  • @bankintoleahmady9321
    @bankintoleahmady93212 жыл бұрын

    Mwisho kabisa hapo kwenye mapokeo ndio umetisha kabisa na kusema kweli

  • @edsonmbega5031
    @edsonmbega50312 жыл бұрын

    Umetisha sanaaa mwanangu umepita mule mule

  • @zengandoto7088
    @zengandoto7088 Жыл бұрын

    The storry book.miaka yote unatupa historia za zamani.waafrika wazasisikia chini ta miaka 70 .bado mazingira ya waafrika ni masikini na hali ngumu.hebu. zungumza vipi na njia gani waafrika wanaweza kujikomboa kiuchumu,kimawazo,kiupendo,kimaendekea,kubadilisha hali ya waafrika walikuwa nao,na vipi wataweza kujikomboa na wanyonyaji.

  • @sabrashaibu8575
    @sabrashaibu85752 жыл бұрын

    Napenda sana story zako

  • @G.S985
    @G.S9852 жыл бұрын

    Unatupa story vizuri sana ,uko juu Broo

  • @ab3ab313

    @ab3ab313

    2 жыл бұрын

    🇰🇼💖

  • @tngmediake1905
    @tngmediake19052 жыл бұрын

    FROM 🇰🇪🇰🇪🇰🇪JENYA PROF KAZI YAKO SAFII WE NI INSPIRATIONAL KWETU SISI

  • @ephraimmwanginjeri8183
    @ephraimmwanginjeri81832 жыл бұрын

    Thank you our teacher I normally listen the new story book every week

  • @deborahdavi6593
    @deborahdavi65933 ай бұрын

    Nimeisikiliza hii story najihishi niko free mungu ni mungu hakawii akisema dio ameshasema akuna atakae pinga Daudi alikuwa anajua nguvu zinatoka kwa mungu

  • @jamalhussein3118
    @jamalhussein31182 жыл бұрын

    Mashallah

  • @aguerowakujidai6509
    @aguerowakujidai65092 жыл бұрын

    From Congo Brazzaville watching now

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74912 жыл бұрын

    Mimi napenda sana hizi story yani ni nzuri mno

  • @hamedmussah4413
    @hamedmussah44132 жыл бұрын

    Professor J .ongera sana kwa kipawa chako uko vizuri yani unanikosha balaaa unaziteka fikira za bongo yangu ...MUNGU akujalie maisha marefu.my bro

  • @nurenKalimu

    @nurenKalimu

    6 ай бұрын

    HuwAs

  • @mwangaza8594
    @mwangaza85942 жыл бұрын

    Umetisha Sana jamali like moja kwa jamali

  • @cassimomuemedesandar6418
    @cassimomuemedesandar64182 жыл бұрын

    Asante sana kwa story mzurii

  • @abdoulmadjaliwa3261
    @abdoulmadjaliwa32612 жыл бұрын

    Aksanti sana profesor Jamal tokea Egypte-Cairo

  • @razigirazigi5437

    @razigirazigi5437

    2 жыл бұрын

    Hasate kwamafunzo

  • @umutbulut7805
    @umutbulut78052 жыл бұрын

    Kazi nzuri🇰🇪🇰🇪

  • @lutusigaza2148
    @lutusigaza21482 жыл бұрын

    TANZANIA ni moja ya nchi ambayo raia wake yeyote yile akiwa na kipaji basi wanakipuudhia tuu, ila uyu mtu jamal april kama angekuwa nchi ambazo zipo serious basi angekuwa mbali sana maana si kwa kipaji iki

  • @seiphsaid7715

    @seiphsaid7715

    2 жыл бұрын

    Hhhhh kua serious kidogo... kipaji gni kusoma n kusimulia n kipaji??

  • @lutusigaza2148

    @lutusigaza2148

    2 жыл бұрын

    @@seiphsaid7715 mbona wewe husomi na ukatusimulia tukasikia hadithi zako

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    2 жыл бұрын

    Mbona wakaida sana

  • @lutusigaza2148

    @lutusigaza2148

    2 жыл бұрын

    @@zaburi2386 sawa embu jiulize wewe je unaweza kuwa kama yeye au kumpita yeye, ukishapata jibu utaacha roho ya kwanini

  • @lookbabes8710

    @lookbabes8710

    2 жыл бұрын

    Fala Sana. Rudi usome English

  • @Fc_mobile202
    @Fc_mobile202 Жыл бұрын

    mungu akubariki sana kaka akuzidishiye

  • @sirlameck5536
    @sirlameck55362 жыл бұрын

    Jamal Mustafaa 🔥🔥🔥

  • @alphawilbard9119
    @alphawilbard91192 жыл бұрын

    Pamoja sana professor

  • @divavlog2764
    @divavlog27642 жыл бұрын

    Thank you Mstafa...you're the best, we have learnt alot by this story book.....I love it...shukran

  • @lucyjohn5604
    @lucyjohn56042 жыл бұрын

    PR.jamal tunaomba ya yusuph

  • @davidreuben7083
    @davidreuben70832 жыл бұрын

    Jamaa umenikosha.. Big up

  • @danielsanga8730
    @danielsanga87302 жыл бұрын

    Wasafiii mmepata kituuuu adimu hapa

Келесі