The Story Book : Usiyoyajua kuhusu Daudi na Goliati
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 732
Leo nimekua wa pili like zenu wadau wa the story 📖
Iam from tanzania lakini Mimi ni mtoto mwenye miaka 14 always napenda kuangalia story book zako course unasauti nzuri sana nakuombea kwa mungu maisha marefu na heri duniani🙏
@joycelaulensfilbert-ii3vh
Жыл бұрын
Nimekupenda bure
Kwangu mm sina kipindi ninacho kipenda kama the story book
Mafundisho ya Bible mafundisho ya Mungu ni yale yale jana kesho na hata milele hayabadiliki ..Bible is perfectly book 100% .. huo uchunguzi mpya magunduzi mapya na mafundisho mapya ni ktk vitu vngn ila si kwa neno la Kristo
@mundhirmundhir7410
2 жыл бұрын
😂 wabongo bn
@eliwahavehaeli9938
2 жыл бұрын
Wrong
@robertbiah9364
Жыл бұрын
@@eliwahavehaeli9938 cy
@robertbiah9364
Жыл бұрын
@@eliwahavehaeli9938 uyyu
I am from in Tanzania Africa I beg all the people of Tanzania we have to proud of jamal April for teaching us, pig professor in Africa
Daaa uwezo wako ni Kama mwanga wa Jua Ulimwenguni.. 🔥🔥🔥🔥
Nimeskia rah alivyomsameh🤲🤲🤲🤲hakika Allah anapokea msamaha
Nakuomba uendelee kuhadithia stories za manabii very interesting
@anganilekajigilikajigili2641
2 жыл бұрын
Mungu ananguvu hata waabudu shetwani 😂
Mungu asieshindwa kisichowezekana kwa mwana damu, kwa mungu inawezekana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪
@deborahdavi6593
3 ай бұрын
🙏🙏🙏
Jamani we kaka una nibariki sana na the story book mungu akuzidishie kipaji chako 🙏🙏❤️❤️
Duh yani mtihani wa Daudi ni fundisho kubwa sana yani Mungu hashindwi sababu huo mfano wa kondoo 99 na mwenye kondoo mmoja duniani sisi haturidhiki
Mungu ndio kitu mhimu Sana apewe sifa ninaziona dalili za kujikita kwenye dini mungu akuwezeshe kipaji ili utupe maelifu ya elimu
The story book nikipindi kizuri sana kinatoa histoty nzuri
Kaka unatupa elimu iliyo nzuriii..najikuta naongea na nafsi yangu.. ,pamoja na kujiusia kusoma sana vitabu vya Mwenyezi Mungu. Kwani kuna elimu kubwa yenye mazingatio katika maisha yetu hapa Duniani, Kaburin na Kesho mbele ya Mungu..Kila la kherii
Tunatamani sana stry ya lebo ya wasafi Jamal Fanya mambo mkaka
Asante sana kwa story nzuri za kwenye bible. Daud kumpiga Goliath inatufundisha kuwa Mungu hashindwi na jambo lolote hata liwe gumu kwa akili za kibinadamu kwa Mungu ni lepesi tu. Nakuombea wewe unayesoma ujumbe huu Mungu akupe Imani iliyo thabiti katika magumu yote mtegemee yeye utashinda.
@fasconeroh8740
2 жыл бұрын
Ameena
@elishavicentmhina3545
2 жыл бұрын
Ameen
@chambijr1623
2 жыл бұрын
Ameen KUBWA👏
@tinnahmosha5177
2 жыл бұрын
Amina
@licious3456
2 жыл бұрын
Amina
Story book ni cinema iliyoshiba wala hahitaji maelezo yoyote yale,hakika nipate kusema profesa Jamal ni mchambuzi wa hali ya juu kabisa ,umenifanya nisome biblia bila kulazimishwa,hongera kwako profesa Unahitahi kupewa tuzo ya usimulizi
@edisonnovart1971
2 жыл бұрын
Hakika Mungu hanatisha
Asanti sana professor.. Mwenyezi aendelee kukuneemesha ...zaidi.
Nikweli storybook nzuri Sanaa napenda kufatilia na najengeka kiiman Mungu akubariki sanaa🙏 Aloyce from Tanzania
Nakupa vizur jamal from Ukrine huku tunakipiga Vita huku tuhasikiliza The story book from Tanzania Sarut 👍
BASATA naomba Professor Jamal apewe Tuzo ya kutangaza Lugha ya Kiswahili vizuri kupitia Sarufi na Fasihi. Mfalme Daudi ndiye Mfalme pekee Duniani aliyepigana Vita nyingi na alifanikiwa kushinda Vita zote. Mungu alimuambia sababu umemwaga damu nyingi sana haitapendeza unijengee Hekalu bali uzao wako Mfalme Suleiman ndiyo atajenga Hekalu la Mungu.
@danielsanga8730
2 жыл бұрын
Kweli kabisaaaa
Jamal April mungu akulinde uendeee kutunogesha na mambo matamu.
Kiukweli hakuna kinachoshindikana kwa Mungu GOD IS GREAT 👍 👌 🙏 🙌
Hizi story Zita ishii sana 🌍
@mandalorian_4.11
2 жыл бұрын
Fact
Kazi mzuri prof Jamal asante kwa kutufunulia tusiyoyajua
Mungu akubariki Anko J hapo tumepata kitu cha kujifunza
Plz am your fan from Kenya plz tuandalie story ya idd Amin dada🙏🙏🙏
@mohkishoma9375
2 жыл бұрын
Alishasimulia isearch tu
@starladke598
2 жыл бұрын
Stories IPO tayari
Ukiona nimeunga bundle ujue naunga kwaajili ya THE STORY BOOK.JAMAL, EDGAR, MPAGAZE SALUTE SANA KWENU KWA KUANZISHA THE STORY BOOK. natamani viongozi wetu wangekua wanafuatlia the story book ili muwakomboe kifikiri🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼👍👍👍❤❤❤❤❤
Mungu ni nuru Atukuzwe milele.
Mungu akuongoze katika kutafiti kwako bwana Jamal
@jumampewa792
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
Asante kwa story nzuri MUNGU wetu hajawahi shidwa na Jambo yeye na MUNGU wa wote wenye mwili hakuna Jambo gumu kwake haijalishi unamuonekano gani ama Jambo Ni gumu kiasi gani akisema ndio hakuna wa kupinga Jamal unajua kusimulia story hongera sana
@ashirafsuleiman
Жыл бұрын
Naomi naomba unitumie namba ako, ila kwaajri ya kujuliana har na kubadilishana mawazo, name napenda cana kusoma na kusikiliza story,
Nimejitahidi sana kutoandika kitu! Ila Wakati naendelea kusikiliza unavyoelezea nimejikuta naelewa kuwa we ni zaidi ya smart bro! Ur good! Unatupa kitu roho inapenda. Thanks man. Mungu akupe maisha marefu uendelee kufundisha kizazi hadi kizazi.
Asante Kwa hadhiti hii❤❤❤❤❤❤
Shukrani Kwa hizi hadithi za bibilos
Mr jamal he is here mashallah may Allah bless u bro💯💯💯💯
@Pedeshee01
2 жыл бұрын
👍👍
@RONALDOTRUCKDRIVER
2 жыл бұрын
Hello
Mr Story Book, Asante kwa masimulizi yako mazuri,yenye mafunzo mbalimbali, nitoe tuu ushauri kwako. Unapotumia vitabu vya Dini, yaani BibLia na Quran, hivi vyote ni vitabu vitakatifu. Lakini wewe unatambua Quran tuu ndo kama kitabu kitakatifu, yaani ukisema biblia hutumii neno takatifu lakini ukitamka Quran hutamka Quran takatifu. Hii sio sawa Mana hukippi heshima takatifu kitabu Cha Biblia kama kinavyostahili ilihaki unakitumia Kwenye simulizi zako
@mwanashagladys4581
2 жыл бұрын
Qurani ndo imeandikwa ivo ndugu
@markokida9918
2 жыл бұрын
Ben umemwambia ukweli wakat stoli zake zotee Ana sitowa kwenye biblia takatifu
@eng.anaelyowenya7809
2 жыл бұрын
bora aache kutumia bible atumie kitabu chao
@hamadeddymaclayz
2 жыл бұрын
Quran kitakatifu ndio maana ukichoma una dhulika bible haina hiyo so quraan ni holy
@hamadeddymaclayz
2 жыл бұрын
Makuma nyie kama hamtaki msisikilize hamja lazimishwa
My name is Kadrow napenda sana tuelewe ya kwambia historia ni msingi wa maisha yetu
Tutetee ee mungu me ni mdogo lakn naiman nitavuka majaribu makubwa
Amen amen kwa story ya daud na pendezwa na yo goliati mwenye Ana tatiza maisha yetu tuta mutia shini
My Name David.. means a beloved of God (a proud of it)
@reginasawe3356
2 жыл бұрын
🤗🤗
@gelvasmapunda9006
2 жыл бұрын
Jamali💓💓💓💓💓
Mwenyezi mungu atusaidie kutupa loho mtakatifu atsaidie tunapokuwa vitani na wabaya wetutuwashinde kwa imani amenii🙏🙏🙏🙏🙏
Napenda iyo story book sana God bless
Asante Sana kwa hi story nzuri Sana
Ahsante kwa elim ulotupatia kwakua🇹🇿wavivu kusoma naniwepesi kusikiliza
Asanti sana Kwa mzimulizi Wa hii story yenye utamu Wa kugundua mambo mazurii na yenye manufaa kubwa sana katika maisha ya kila binadamu anayeishi.yatupasa kujua yakwamba Mungu anaweza na ana ushindi katika kila jambo
@retiekadarling992
8 ай бұрын
Fireeeee❤
Ahsante kwa stir ni nzur sana
Asante sana kwa hiyo the story book mungu akubariki sana
Allah akubari ktk kazi zako na akulipe kwa ujumbe wako safisana
From the day I started following the storybook, never want to miss even a single story.. well done prof👏👏#very informative🙏
@alladitahnoordin4895
2 жыл бұрын
Me too 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🏼🙏
@whitesichalwe7079
2 жыл бұрын
We are all together
@isaacmesso6721
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/hIusqMdpedqsddI.html
@wazirimbwambo672
2 жыл бұрын
Good sana
@dominicrop4642
2 жыл бұрын
Mm too siz
Mi wa nne like
Hongereni sana waandishi wa kitabu cha the story book sasa ongezeni masomo mingi ambayo yopo kwenye bible naqoorne
@ilynpayne7491
2 жыл бұрын
Kabisa mimi napenda mno
Mimi nimejifunza kusikiliza sauti ya bwana na kuitii ukiamini hii imetoka Mungu utashinda amini wokovu Amina
Asante sana jamal kwa kutuelimisha
Asante kwa stori nzuri zinanikonga moyo sana
Thanks so much brother,leo ndio nimesikia hiyo story ya daudi Kwa upande wa Quran takatifu, lakini mara nyingi nilikuwa naisoma katika biblia tu🤝,asante sana.
Jamal uko juu lazma kufatie kila wiki 💯💯💯💯💯..
Mungu ni mungu tu akuna mwengine kamawewe
@CHANCESIMON
8 ай бұрын
God
I love you story book for giving us big secret about nature ❤️❤️❤️ I love you
Asanteni kutukumbusha History hii
Mungu nimkubwa
JAMAL APRIL wewe sio binadam wa kiwaida big up
Ahsnte sna kwa story brother🙏
Nimerizika sana tena nimekubali
Nimeipenda hii kuliko zingine kabisa
Asante kwa hii story ya bibilia...kuusu shujaa daudi
Mashallah allah akujalie kila kheri unaupiga mwingi brother
Waooo Nice brother.. uko vizuri sana.
I love old story that's show n tell the greatest of God
Asante sanaa
🙏🙏🙏🙏😍Mungu ni Mkubwa
Nina sikia furaha na utamu ya neno la Mungu !
Upo vizuri kiongoz mungu akubariki
Stor Kali Sana hii🔥🔥🔥
You deserve more than being a Professor 🤝🤝🤝 Man i take a bow to you # UNAJUA KINOMA ♾
Tupe historia ya mtume muhamad (saw)
@Abdulmajid79072
3 күн бұрын
S.A.W
Uishi miaka mia ya baraka uzidi kutuletea story za kale
Mwisho kabisa hapo kwenye mapokeo ndio umetisha kabisa na kusema kweli
Umetisha sanaaa mwanangu umepita mule mule
The storry book.miaka yote unatupa historia za zamani.waafrika wazasisikia chini ta miaka 70 .bado mazingira ya waafrika ni masikini na hali ngumu.hebu. zungumza vipi na njia gani waafrika wanaweza kujikomboa kiuchumu,kimawazo,kiupendo,kimaendekea,kubadilisha hali ya waafrika walikuwa nao,na vipi wataweza kujikomboa na wanyonyaji.
Napenda sana story zako
Unatupa story vizuri sana ,uko juu Broo
@ab3ab313
2 жыл бұрын
🇰🇼💖
FROM 🇰🇪🇰🇪🇰🇪JENYA PROF KAZI YAKO SAFII WE NI INSPIRATIONAL KWETU SISI
Thank you our teacher I normally listen the new story book every week
Nimeisikiliza hii story najihishi niko free mungu ni mungu hakawii akisema dio ameshasema akuna atakae pinga Daudi alikuwa anajua nguvu zinatoka kwa mungu
Mashallah
From Congo Brazzaville watching now
Mimi napenda sana hizi story yani ni nzuri mno
Professor J .ongera sana kwa kipawa chako uko vizuri yani unanikosha balaaa unaziteka fikira za bongo yangu ...MUNGU akujalie maisha marefu.my bro
@nurenKalimu
6 ай бұрын
HuwAs
Umetisha Sana jamali like moja kwa jamali
Asante sana kwa story mzurii
Aksanti sana profesor Jamal tokea Egypte-Cairo
@razigirazigi5437
2 жыл бұрын
Hasate kwamafunzo
Kazi nzuri🇰🇪🇰🇪
TANZANIA ni moja ya nchi ambayo raia wake yeyote yile akiwa na kipaji basi wanakipuudhia tuu, ila uyu mtu jamal april kama angekuwa nchi ambazo zipo serious basi angekuwa mbali sana maana si kwa kipaji iki
@seiphsaid7715
2 жыл бұрын
Hhhhh kua serious kidogo... kipaji gni kusoma n kusimulia n kipaji??
@lutusigaza2148
2 жыл бұрын
@@seiphsaid7715 mbona wewe husomi na ukatusimulia tukasikia hadithi zako
@zaburi2386
2 жыл бұрын
Mbona wakaida sana
@lutusigaza2148
2 жыл бұрын
@@zaburi2386 sawa embu jiulize wewe je unaweza kuwa kama yeye au kumpita yeye, ukishapata jibu utaacha roho ya kwanini
@lookbabes8710
2 жыл бұрын
Fala Sana. Rudi usome English
mungu akubariki sana kaka akuzidishiye
Jamal Mustafaa 🔥🔥🔥
Pamoja sana professor
Thank you Mstafa...you're the best, we have learnt alot by this story book.....I love it...shukran
PR.jamal tunaomba ya yusuph
Jamaa umenikosha.. Big up
Wasafiii mmepata kituuuu adimu hapa